Documentos de Académico
Documentos de Profesional
Documentos de Cultura
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1173 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 17-23, 2015
Tahariri
2
AN-NUUR
TAARIFA za Kipolisi
zinadai kuwa kuna
silaha zimekamatwa
ndani ya Msikiti, juzi.
Kwa mujibu wa taarifa
ya Kamanda wa Polisi
Mkoani Morogoro,
L e o n a r d Pa u l , v i t u
vilivyokamatwa katika
Msikiti uliotajwa kuwa
ni wa Suni, Kidatu
wilayani Kilombero ni
pamoja na milipuko 30,
bisibisi, majambia?,
misumeno, nyaya za
umeme, bendera yenye
Kalima ya Shahada na
vitu vya kufunika nyuso
(mask).
Taarifa zaidi zinasema
kuwa mtu mmoja
aliyetajwa kwa jina la
Hamad Makwendo
ameuliwa na wananchi
wa kitongoji cha
N ya n d e o , b a a d a ya
kumjeruhi polisi kwa
jambia. Yote haya ni
kwa mujibu wa taarifa
za polisi.
Kingine kilichodaiwa
kukutwa katika
Msikiti huo au tuseme
walichokutwa nacho
watu hao ni bendera
nyeusi ikidaiwa kuwa
kama ya Al-Shabaab.
Ukichanganya
kuwa waliokamatwa
w o t e n i Wa i s l a m u ,
wa l i p o k a m a t i wa n i
Msikitini ikijumuishwa
na kukutwa na bendera
hiyo ya ki-Al-Shabaab/
IS, wala haitakuwa sahihi
kuvilaumu vyombo vya
habari vilivyosherehesha
zaidi na kusema moja
kwa moja kuwa magaidi
wakamatwa Msikitini.
Hiyo ndiyo biashara ya
sasa.
Jambo hili sisi
tutalitazama katika
sura mbili. Moja kama
Waislamu na pili kama
Wa t a n z a n i a . K i s h a
tutahitimisha kwa kutoa
ushauri wetu, nini cha
kufanya.
Hivi sasa Jihad Feki,
ikiwa kwa sura ya IS,
Al-Shabaab, na kwa jina
lolote utakaloita, iwe
kule Libya, Syria, Iraq,
Somalia, imekuwa ni
saratani yenye kutafuna
Uislamu na Waislamu.
Mzaha huo wa jihad
na batili (pseudo-jihad)
i n a u f a n ya U i s l a m u
uonekane kama alama
ya ukatili na kielelezo
cha itikadi ya kishenzi na
watu washenzi wasio na
ustaarabu hata chembe.
Matukio kama hili la
juzi Garissa, vyovyote
utakavyolitizama, iwe
la kweli au ni usanii
uliofanyika (staged/
false flag terror attack),
lakini athari iliyoachwa
katika vichwa vya watu
ni kuwa waliofanya
hivyo ni magaidi wa AlShabaab, ni Mujahidina,
ni Waislamu wa Somalia
wanaotaka kusimamisha
Dola ya Kiislamu. Sasa
yale madai kwamba
walifanya hivyo
k u l i p i z a k i s a s i k wa
Kenya kupeleka jeshi
Somalia, haifuti picha
hiyo inayojengwa.
Hali ni hiyo hiyo kwa
yanayodaiwa kufanywa
na IS, Boko Haram na
Al-Qaidah.
Saratani
hii
inatutafuna kutokana na
vita inayochukua ushuru
wa roho za Waislamu
kule Afghanistan, Libya,
S y r i a , I r a q , Ye m e n ,
Somalia n.k. Ushuru
huu na umwagaji damu
huu unatisha zaidi kwa
sababu ni Waislamu kwa
Waislamu wanashikiana
bunduki na kulipuana
huku kundi moja
likiamini kuwa lipo
katika Jihad. Lakini wote
hawa ama wanauziwa
au kupewa silaha na
kafiri/beberu. Hakuna
mmoja kati yao mwenye
kiwanda cha kumfanya
ajitegemee kwa silaha.
Kafiri anatajirika na
kukuza uchumi wake
kwa kumwaga damu
zenu wenyewe. Lakini
kwa namna hiyo,
mnasambaratika kama
nchi. Beberu na kafiri
a n a wa k a l i a k i r a h i s i
anakomba rasilimali
zenu.
Kwa
upande
mwingine, kafiri/
mabeberu wanatumia
Jihad hii feki, kusambaza
kitisho cha ugaidi
ili kupata sababu ya
kuwapiga Waislamu
na kuzivuruga nchi
nyingine wanazozilenga.
Uchochoro wa kupitia ni
kuwa na mawakala wa
kutangaza Jihad hii feki
iwe ya Syria, Libya, Iraq
au Somalia. Hili wimbi
tunaloshuhudia hivi sasa
asili yake ni mkakati
uleule uliotumika
kupata Mujahidina wa
kupigana kwa niaba ya
mabeberu Afghanistan.
Mawakala hawa
wamekuwa wakipita
kila mahali kuhimiza
Jihad Somalia na Syria.
Na kama Waislamu,
lazima tukubali kuwa
miongoni mwetu, wapo
mawakala wanaofanya
kazi hiyo ndio maana
wanapatikana vijana
wasio na hatia (innocent)
kama Mberesero
aliyekamatwa Kenya
au akina Ummul Khair,
wanajikuta katika
matatizo, kwa ujinga tu
na utoto wao.
Tu l i w a h i k u e l e z a
katika gazeti hili juu
ya Khatib mmoja
katika Msikiti mmoja
wa M i k o c h e n i , D a r
es Salaam, aliyetumia
Khutba ya Ijumaa
k u e l e z e a n a m n a ya
kuchinja makafiri.
Tuliwahi kueleza pia
juu hotuba zinazotolewa
katika baadhi ya Misikiti
jijini Mwanza zikihimza
Wa i s l a m u k u wa n a
silaha majumbani
mwao. Ukiwa na
mawakala kama hawa na
wakaachwa wakakoroga
bongo za Waislamu,
leo yanapotajwa haya
ya Kilombero, tayari
unakuta kuna msingi
wa kujenga hoja. Hata
kama itakuja kudaiwa
kuwa watu wale wa
Kidatu walibambikiziwa
silaha zile na bendera ile
nyeusi, lakini kwa kauli
hizi za mawakala wa
mabeberu zilizoachwa
zikaota mizizi katika
b a a d h i ya M i s i k i t i ,
utetezi unakuwa wenye
kupwaya.
Ambacho sisi
tulitarajia ni kuwa baada
ya kuibuka watu kama
hawa, basi Masheikh
wangechukua nafasi zao,
AN-NUUR
jumbe zinazomiminika
katika Chumba Chetu
cha Habari:
Ama kama nyinyi
An nuur ni wa kweli
na mko kwa ajili ya
Allah, hamko kwa
ajili ya twaghuti, wiki
hii wakufurusheni na
Masheikh waliokwenda
mahakama ya twaghuti
kuwashitaki murtadiina
Bakwata, siyo muishie
kuwakufurisha
mujahidina wa haki alshabaab, Boko Haram,
Al-Qaida, dawla islamiya
(IS)
Huyo ni msomaji wetu
0716 67 5313. Hillary
Clinton anasema wao
ndio walioanzisha AlQaidah ili wawatumie
kupigana na Mrusi,
msomaji huyu anasema
Al Qidah ni Mujahidina
wa Haki. Boko Haram
i n a u w a Wa i s l a m u
Nigeria ya Kaskazini,
msomaji huyu anasema
Boko Haram, ni
mujahidina wa Haki.
Unamsaidiaje mtu kama
huyu!
Msomaji huyu katika
ujumbe wake mwingine
anasema kuwa na Redio/
TV Imaan, gazeti Imaan,
Mizani, Kisiwa, An nuur,
ni ukafiri mtupu kwa
sababu yanasajiliwa na
twaghuti!
Kwa wiki hii, huyu
ndiye msomaji wetu
ambaye katuma ujumbe
wa maneno mara nyingi
kuliko msomaji yoyote
kupitia namba yake hii
ya Tigo. Kwa Sheria ya
Tume ya Mawasiliano,
huwezi kumiliki laini
ya simu na kuitumia
mpaka usajiliwe. Sasa
unashindwa kujua, nini
k i n a c h o wa f a n ya T V
Imaan wawe matwaghuti
kwa kusajiliwa na Tume
ya Mawasiliano lakini
isiwe utwaghuti kuwa na
laini ya Tigo iliyosajiliwa
na Tume hiyo hiyo ya
Mawasiliano au Idara
n y i n g i n e y o y o t e ya
serikali!
Sasa unatizama hali
kama hii inayodhihirisha
jinsi mtu alivyo mtupu
katika Uislamu (Quran
na Sunnah) na maarifa
ya ujumla ya kujitambua
anaishi wapi na aishi
vipi kwa mwongozo huo
huo wa Uislamu, lakini
ashajipa Ukamanda
wa Kuhimiza Jihad na
Inaendelea Uk.3
3
Na Bakari Mwakangwale
TAASISI za Kiislamu
nchini zimepinga Bakwata
k u wa m wa k i l i s h i wa
Shule zinazomilikiwa na
Taasisi za Kiislamu katika
mchakato wa uandaaji wa
muswada wa elimu wa
mwaka 2015.
Msimamo huo umekuja
kufuatia Shirikisho la
Wamiliki na Mameneja
wa Shule na Vyuo visivyo
vya Serikali Tanzania
(TAMONGSCO) kuitaka
Bakwata, kuwa mwakilishi
wa Shule za Kiislamu,
katika kuuendea mchakato
huo.
Wadau hao wa elimu
kutoka pande zote za dini
na Serikali, walikutana
mwishoni mwa wiki
iliyopita katika ukumbi
wa Shule ya Sekondari ya
Shaban Robart, Jijini Dar
es Salaam, kwa lengo la
kujadili sera mpya ya elimu
ya mwaka 2014 sambamba
na Muswada wa Sheria ya
Elimu ya mwaka 2015.
Akipinga pendekezo
l a TA M O N G S C O k wa
Serikali (Wizara ya Elimu
na Mafunzo ya Ufundi)
kuwa Bakwata ndiyo iwe
msemaji na mwakilishi
wa shule za Kiislamu,
Sheikh Mohammed
Issa, alisema Jumuiya za
Kiislamu hazikubaliani na
pendekezo hilo.
Shk. Issa, alisema zipo
sababu nyingi za kupinga
pendekezo hilo, moja wapo
ni kwamba katika sekta ya
elimu Bakwata, inamiliki
Shule chache nchini
ukilinganisha na Taasisi
nyingine za Kiislamu.
Hata hivyo, alisema
kumekuwa na kasumba
si kwa asasi zisizo za
Serikali tu bali hata kwa
Serikali yenyewe mara kwa
mara kuifanya Bakwata
kuwa ndio chombo cha
Waislamu kinachotakiwa
kuwawakilisha Waislamu
nchini, ilihali kuna Taasisi
za Kiislamu nyingi zenye
hadhi sawa na Bakwata.
Bakwata imesajiliwa
c h i n i ya R I TA , k a m a
ambavyo Taasisi nyingine
za Kiislamu zilivyosajiliwa
(RITA), kwa hiyo kisheria
Taasisi zote hizo zina
hadhi sawa. Na miongoni
mwa hizo Taasisi kuna
madhehebu tofauti tofauti
hivyo sio sahihi kuifanya
Taasisi hiyo pekee kuwa
ndiyo ya Waislamu wote
nchini. Alisema Shkh.
Issa.
Shkh. Issa alisema
wakati ikiwa hivyo kwa
Waislamu, kulazimishwa
Bakwata kuwa mwakilishi
na msemaji wa Waislamu
wote, hali ni tofauti kwa
Habari
AN-NUUR
BAKWATA yapingwa
SHEIKH Mohamed Issa (kulia), Sheikh Rajab Katimba (katikati) na Sheikh Ally
Bassaleh (kushoto).
Wakristo ambao Serikali kiongozi wa Taasisi ya madhehebu mbalimbali
h a i t a m b u i Ta a s i s i a u Answar Sunnah Tanzania kama vile Wakatoliki,
dhehebu moja la Kikristo. (BASUTA), alisema kwa Walutheri, Angalikana
Shkh. Issa ambaye ni Wakristo kuna Taasisi za n a m e n g i n e m e n g i ,
Inatoka Uk. 2
ukatili na mafundisho ya
na Al Qaeda kwa
sababu zile zile kama
mwanzo - kukabiliana
na ushawishi wa Russia,
na sasa ule wa China
ili kueneza nguvu za
Marekani juu ya uchumi
wa jumla wa kibepari
duniani.
Tusisahau pia kuwa
haya ya Waislamu kuwa
na hizi zinazodaiwa
k u wa s i a s a k a l i n a
mawazo haya ya kuwa
na silaha misikitini,
katika madrasa,
skuli na majumbani,
za kuwaangamiza
wanaodaiwa kuwa
makafiri, yanatokana na
hawa hawa wanaojifanya
viranja, wafadhili na
wataalamu wetu katika
kupambana na magaidi.
Kama alivyoandika
Dr. Nafeez Ahmed
(PhD) katika makala
na uchambuzi wake
Islamic State is the cancer
of modern capitalism:
Islamic State; US foreign
policy; funding, nchini
Afghanistan, USAID
iliwekeza mamilioni
ya dola kuwapatia
za kibeberu zinaendelea watoto wa shule "vitabu
kuunga mkono kwa siri v i l i v y o j a a p i c h a z a
kipiganaji ya Kiislamu".
Theolojia inayohalalisha
jihadi ya kuua ilisanifiwa
kwa michoro ya bunduki,
risasi, askari na mabomu
ya kutegwa. "Vitabu hivyo
vya kiada vilifikia hata
kusifu thawabu ambazo
wa t a p a t a " wa k i n g ' o a
macho ya adui Mrusi na
kukata miguu yake."
Kirusi hicho ndicho
kinatafuna vijana kama
hao wa Kidatu mpaka
leo. Ufumbuzi hapa sio
kuwaadhibu waathirika
wa kirusi hiki. Hawa ni
wagonjwa wanahitaji tiba.
Usalama wetu ni kutizama
kinakotokea kirusi hiki na
kukizuiya kuingia akilini
na mioyoni mwa vijana
wetu na watu wetu.
Tukizingatia ukweli huo,
tutatambua kwamba sisi na
vijana wetu hao, adui yetu
ni mmoja. Imekuwa bahati
mbaya tu wao wamekuwa
wapumbafu wanatumiwa
huku wakidhani
wanapigania Dini.
Lakini na sisi kama
tutawatizama kuwa
hawa ndio maadui
zetu. Ni Al-Qaidah, AlShabaab au IS wa kwetu,
tutakuwa wapumbafu
pia, kama walivyogeuzwa
kuwa wapumbafu
wanaopambana na
Boko Haram Nigeria na
wanaopambana na AlShabaab Somalia.
Makala
TUME (S.A.W.)
anasema kuwa
kila binaadamu ni
mwenye kukosea na bora ya
wanaokosea ni wale wenye
kutubia. Kwa kua kiongozi
wetu S.A.W. haongei kwa
mapenzi au uamuzi wake,
bali anachosema ni kwa
u o n g o z i wa k e A L L A H
SWT, basi ni wazi kwamba
kila binadamu kati yetu
atafanya kosa katika maisha
yake. Makosa kwa ufupi
yanakuja na kifurushi cha
kuwa binadamu.
Kinachomfanya Muislamu
asikate tamaa baada ya
kufanya makosa, ni ahadi
nyingi alizotoa Allah SWT
kuhusiana na huruma yake
kwetu sisi wakosaji. Anasema
Allah SWT kwenye Surat
al-Nisaa, Hakika Allah
hasamehe kushirikishwa
lakini anasemehe lolote
chini ya hapo kwa anaeamua
kumsamehe.
Pamoja na kuwa ahadi
za Allah SWT za malipo
mazito kwa wasiotubu zina
vitisho vikubwa vya adhabu
kali, lakini bado Waislamu
tunaenedelea kufanya maasi
na kuyarudiarudia kila mara
na wengi wetu hatimaye
tunaiacha dunia tukiwa
kwenye hali hiyo. Hasara
ilioje mwisho huo!!
Kweli kuna makosa
tunayofanya kwa bahati
mbaya na kuna mengine
tunafanya kwa kutokujua au
kwa kutokua na uelewa wa
amri za Allah SWT. Lakini
maasi ninayoongelea mimi ni
yale ambayo tunafanya hali
ya kuwa tunajua vizuri kuwa
tunavunja amri za ALLAH
SWT.
Katika kujiuliza sababu
za kumuasi Allah SWT
wakati tukijua, hivi karibuni
nimeona video moja kwenye
mtandao ikimuongelea
Muislamu mmoja ambaye
nadhani kwa mavazi aliokua
a me va a i ma n i mt u wa
India, Pakistan, Bangladesh
au Afghanistan. Ndugu
yetu huyu kapewa mtihani
mkubwa na Allah SWT. Ni
kilema ambaye hana mikono
kuanzia kwenye mabega.
Kila jambo analofanya la
kimaisha anatumia miguu
yake. Kupiga mswaki, kuoga,
kusaidia wanae home works,
kupika na mengine mengi.
Anatumia miguu yake na
jambo moja tu anaonekana
akifanya kwa kutotumia
miguu ni pindi anapotaka
kufungua Quraan kufanya
tilaawah ndio anaonekana
akitumia uso wake kufungua
kurasa za kitabu kitukufu.
La kusisimua mwili na
akili na hata moyo kama
bado una chembechembe za
imani, ni kwamba hamna
swala inayompita na ibada
zake nyingine anazingatia.
Anatawadhwa kwa kutumia
miguu na anarukuu na
kusujudu bila kua na mikono.
Naomba tuzingatie mtihani
wa huyu mtu vizuri kabla
hatujaendelea kusoma.
Kama kilema huyu
hapotezi ibada zake, kwa
AN-NUUR
WAPIGANAJI WA IS
nini sisi wazima tunadharau.
Huyu Muislamu ni dalili
tosha kuwa, ulemavu si
sababu ya kuvunja amri za
Allah SWT. Tunaweza kudai
kuwa maradhi kuna wakati
yanatuzuwia kuabudu, lakini
pia kuna wagonjwa wengi
wa maradhi tofauti ambao
wanatimiza amri za Allah
SWT. Kuna wagonja ambao
wamo jela ndani ya ngozi
zao; watu ambao miili yao
imepooza kuanzia shingoni
kwenda chini lakini bado
wanaabudu kadri ya uwezo
wao. Kwa hiyo maradhi, si
sababu ya kumuasi mmiliki
wa nguvu zote, Allah SWT.
Tunaweza kudai kuwa
hali ngumu ya kiuchumi
(umasikini), inaweza
kusabibisha mtu kuasi au
kutozingatia ibada zake.
Lakini wote tunajua
wa t u a m b a o u m a s i k i n i
hauwazuii kuabudu. Au
t u n a we z a k u s e m a , h a l i
nzuri ya kibiashara/uchumi
ndio sababu ya baadhi ya
Waislamu kutokuabudu
ipaswavyo. Lakini vilevile
wote tunajua kuwa kuna
Waislamu matajiri wakubwa
na ni watu wa mashughuli
m e n g i l a k i n i h a wa a c h i
ibada zao. Sasa kama
ulema, maradhi, umasikini
na hata utajiri si sababu ya
kukiuka amri za Allah SWT,
sisi tunaomuasi Mungu usiku
mchana, sababu inakuwa ni
nini hasa?
Allah SWT anaposema
hatujaumba majini na
binaadamu isipokua
waabudu, tujue kuwa Allah
SWT anayakusudia hayo.
Hamna mchezo na wala
hakutokuwa na mabadiliko
katika ahadi alizotoa Allah
SWT kwenye Kitabu chake
kitukufu.
Wakati Allah SWT anasema
kwamba hajaumba yote haya
akifanya mchezo, maana yake
au kimatibabu kama
madaktari, si wao ambao
ndio wanamaliza matatizo
yetu. Inabidi tukumbuke
kuwa hawa binadamu
wanaosimama na sisi wakati
wa shida, ni ZANA tu za
ALLAH anazotumia kututoa
kwenye matatizo yetu. Wao
wenyewe wanamtegemea
Allah kwa kila kitu kwani
mbinu za binadamu yoyote
zinategemea uamuzi wa Allah
SWT. Wama Tashaauun illa
an yashaa Allah Rabbu Alalameen.
Mfano wa kufuata
ni Nabi Ayyub ambae
alinyanganywa mali yake
yote na akapewa maradhi ya
ajabu lakini katu hakumpa
nafasi Iblis kumnyanganya.
Cha muhimu alichokua
kabaki nacho, IMANI yake
bi LLAAH. Hatuwezi kama
waislamu kuyumbishwa
na matatizo ya kidunia na
kuanza kutapatapa kama
myama aliekatwa kichwa
h a l a f u wa k a t i h u o h u o
tukadai kuwa tuna Imani na
uwezo wa Allah SWT.
Tu k i wa n a I m a n i
dhaifu na Qudra za Allah
tutakuwa kama wale
Q u r a a n i n a w a o n g e l e a
ndani ya ayah hii ya Surat alHujuraat ayah 14: Mabedui
wa m e s e m a t u m e a m i n i .
Sema: Hamjaamini, lakini
s e m e n i : Tu m e s i l i m u .
Kwani Imani haijaingia
katika nyoyo zenu. Imani
ilokamilika haitetereki kwa
lolote. Muislamu mwenye
Imani thabiti hamna janga
la kuitingisha Imani yake na
hofu yake mpaka anaingizwa
kaburini inakuwa ni ya
kumuogopa na kumcha Allah
na kuamini kikamilifu kuwa
hamna linaloweza kumtokea
zuri au baya bila Allah
kuliruhusu. Na Muislamu
likimtokea zuri anasema Alhamdulillah na likimtokea
baya anasema Inna Lillah
wa Inna Ilaihi rajioun.
Kuridhika ni katika
misingi ya Imani. Kuna ayah
ambayo inaonyesha kuwa
shukurani ya dhati ni nzito
kuliko aina nyingi za ibada.
Anasema Allah: Na mwenye
kutaka malipo ya duniani
tutampa; na mwenye kutaka
malipo ya Akhera tutampa.
Na tutawalipa wenye
kushukuru. Kana kwamba
wanaoshukuru kwa dhati
wana daraja tofauti kabisa na
wengine.
Uchumi mbaya, maradhi,
matatizo mengine, tafuta
sababu za kuyatoka, lakini
wakati huo wote unaosubiri
faraja na mfunguko, kuwa
na subira na uamini kuwa
hamna binadamu ambaye
Allah SWT hafatilii mambo
yake. Allah SWT anasema
na hizo siku tunazigawanya
baina ya watu. Kama leo sio
siku yako, kuwa na Imani ya
dhati kuwa yako inakuja.
(Makala na ZHK).
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
VITA YEMEN
NA SAUDIA:
U m o j a wa M a t a i f a ,
azimio ambalo
k i v i t e n d o l i l i i g a wa
Palestina katika sehemu
mbili za Wapalestina
na Wayahudi mwezi
Novemba 1947, ni
matukio mawili
muhimu katika historia
ASKARI wa Saudia
A r a b i a wa m e u a wa
na wengine kadhaa
kukamatwa mateka
katika shambulizi
la kulipiza kisasi
lililofanywa na
wapiganaji wa kabila la
Takhya nchini Yemen.
Ripoti zinasema kuwa
wanachama wa kabila
l a Ta k h ya J u m a p i l i
i l i y o p i t a wa l i f a n ya
shambulizi la kuvizia
dhidi ya kituo cha jeshi
la al Minare, karibu na
mpaka wa nchi hiyo na
Yemen.
Shambulizi hilo
limefanyika ikiwa ni
kulipiza kisasi cha
mauaji yanayoendelea
kufanywa na majeshi
ya Saudi Arabia dhidi
ya watu wa kabila hilo.
Ijumaa iliyopita
askari watatu wa Saudia
waliuawa na wengine
wawili kujeruhiwa na
roketi lililorushwa na
wapiganaji wa Huthi
huko Kusini mwa
mkoa wa Najran nchini
Saudia.
MUFTI Mkuu wa
Syria, Sheikh Ahmad
Badruddin Hassun,
amesema kuwa mji wa
Alepo ulioko Kaskazini
mwa nchi hiyo unalipa
gharama za kulinda
heshima na izza yake na
kwa sababu hiyo magaidi
wamekuwa wakiulenga
mji huo kwa makombora
yanayonunuliwa na nchi
za Saudi Arabia na Qatar
na kuingizwa nchini Syria
kupitia Uturuki.
Sheikh Hassun alisisitiza
kuwa ulimwengu
unapaswa kuelewa kuwa
d a m u i n a y o m wa g wa
katika mji wa Aleppo
gharama yake italipwa na
nchi za Saudi Arabia, Qatar
na Uturuki kwa sababu
Wasyria hawatasahau jinai
hizo.
Shambulizi lililofanywa
na makundi ya ISIS tarehe
Nitagombea
Urais -Clinton
v i c h wa v ya wa t u a u
kuwachoma moto wakiwa
hai, wanasaidiwa kifedha
na silaha na nchi za Saudi
Arabia, Qatar, Uturuki,
utawala wa Kizayuni wa
Israel na nchi za Magharibi
zikiongozwa na Marekani.
Makala
AN-NUUR
WEZI Novemba
mwaka jana
n i k i wa k a t i k a
ziara ya kifamilia wilayani
Bukoba mkoani Kagera,
nilipata pia fursa ya
kumtembelea nyumbani
k wa k e r a f i k i ya n g u
wa karibu aliyekuwa
akifundisha katika shule
ya sekondari Nyanshenye
iliopo eneo la Nyamkazi
katika Manispaa ya mji
wa Bukoba.
Katika siku tatu
nilizokuwa na swahibu
wangu huyo, tulizungumza
na kujadiliana mintarafu
masuala mbalimbali
yakiwemo ya kisiasa,
ya kiuchumi pamoja na
ya kijamii yaliyokuwa
yakiendelea kujiri katika
ngazi ya kitaifa na ya
kimataifa kwa wakati huo.
Nakumbuka ilikuwa
ni siku ya pili baada ya
utekelezaji wa ibada ya
swala ya magharibi katika
msikiti mmoja uliopo eneo
la Kashai mjini humo
tukiwa mimi, swahibu
yangu huyo pamoja na
mwalimu mwingine
wa shule ya sekondari
Kahororo, ambaye kwa
bahati nzuri sote tulikuwa
tukifahamiana naye, mimi
binafsi nilifahamiana naye
tangu alipokuwa akiishi
jijini Mwanza kabla ya
kuhamia kwake mjini
Bukoba; na yule swahibu
wangu alipata kusoma
naye miaka michache
iliyopita katika Chuo
Kikuu kimojawapo
m i o n g o n i m wa V y u o
Vikuu vilivyopo mkoani
Morogoro. Kwa ufupi
wa maneno, sote watatu
tulikuwa tukifahamiana
vizuri.
Kufahamiana kwetu
huko kulitusukuma katika
mazungumzo ya hapa na
pale ya masuala kadha wa
kadha jioni ile yakiwemo
ya kitaifa na ya kimataifa.
Mojawapo ya suala la
kitaifa tuliloligusia katika
mazungumzo yetu hayo
ingawa kwa muhtasari
lilikuwa ni suala la kadhia
ya ufisadi wa akaunti ya
Tegeta ESCROW kwa
kuwa kipindi hicho
ndipo mjadala motomoto
kuhusu suala hilo ulikuwa
ukiendelea kushika kasi
kule bungeni Dodoma; na
kwa upande wa masuala
ya kimataifa tuliyaelekeza
mazungumzo yetu katika
na mwandishi wa makala
husika kwa upande wa
pili.
Nianze mjadala wa
suala hili kwa kunukuu
hapa
sehemu ya
mazungumzo ya baadhi
ya wanakundi kuhusiana
na makala husika kwa
ajili ya mjadala zaidi kama
yalivyowasilishwa kundini
na mwanakundi mmoja
sambamba na mrejesho
kutoka kwa baadhi ya
wanakundi.
Mwasilishaji taarifa:
Gazeti La Annur, Tanzania
lapoteza muelekeo.
Limetoa habari kuwa
kwenda kupigana Somalia
ni ukafiri. Kisha akatuma
kundini nakala ya ukurasa
wa kwanza wa gazeti la
Annuur lenye habarimakala husika kwa
ithibati zaidi halafu chini
yake akaandika hivi: Hii
ni nakala ya An-nuur
iliyotoka jana tarehe 10
April 2015
Mchangiaji wa kwanza:
Ninalo hapa yani hili
gazeti si la Kiislaamu.
Mwasilishaji taarifa:
Kinachoonekana zaidi
ni umamluki ulioingia
kwenye wanahabari
hawa dhidi ya Uislamu
na Waislamu. Mtume
(s.a.w) anasema "aljihadi
m a a d h w i i l a a ya w m i
l-qiyama" yaani jihadi
itaendelea hadi siku ya
qiyama.
Mchangiaji wa pili:
Kabisa yani sijuwi niliiteje
hili gazeti. Mwasilishaji
taarifa: Sasa wao kama
wanaona Somalia hakuna
jihad, wanaweza kutueleza
ni wapi jihadi IPO?
Mchangiaji wa tatu:
Wanapenda ubwabwa na
tende watu wa maulidi
mtihani sana.
Mwasilishaji taarifa:
Kinachosikitisha zaidi ni
ujinga wa mhariri wake,
anapoiweka habari hii
tena front page ikionesha
ni habari muhimu sana
kuliko zingine. Akiendelea
kulingania ujahili wake
anasema Somalia
wanaopigana ni Waislamu
wao kwa wao.
Mchangiaji wa nne: Wao
wanapenda kukuna nazi
hata kama ni wanaume
wamezoea kushika dufu
hawazi kubeba AK47.
Mchangiaji wa tano:
Kafiri wa kwanza yeye na
kwani yeye nani si nabii
wala si Mtume mdomo
Inaendelea Uk.8
Makala
7
Masoud Msellem
SHAMBULIZI la
karibuni la mauaji ya
wanafunzi 148 wasio
na hatia katika Chuo
Kikuu cha Garissa,
Kaskazini Mashariki
mwa Kenya ni tukio
ovu, la kutisha na
kumuhuzunisha kila
mtu. Kimsingi ni tukio
la kulaaniwa lisilokuwa
na uhalali kwa namna
yoyote.
Hata hivyo, baada ya
msiba wa tukio hilo,
umakini na uadilifu
unahitajika katika
matendo, kalamu,
matamshi na kauli zetu
hususan kwa vyombo
vya habari, wanafikra,
wasomi na
watu
jumla nk. Kukosekana
umakini na uadilifu huo
kutapelekea kuchochea
msiba mkubwa zaidi wa
kijamii na kisiasa kuliko
huu wa sasa.
Vyombo vya habari
hususan magazeti mbali
mbali vinaionesha
qadhia hii ya mauwaji ya
Garissa kana kwamba ni
vita baina ya Waislamu
na Wakiristo. Jambo
hilo sio sawa wala sio
uadilifu. Ajabu! vyombo
hivyo hivyo vya habari
vinaporipoti kuhusu
mauwaji ya Israel kwa
Waislamu wa Palestina
huwa havitamki kuwa ni
vita baina ya Waislamu
na Mayahudi.
Tu k u m b u s h e t u ,
mara nyingi kama
sio zote vyombo vya
habari vinaporipoti
matukio maovu
yanayonasibishwa
na Waislamu hukosa
uadilifu katika kuripoti
kwao. Kana kwamba
hadhira ya vyombo
hivyo ni wasiokuwa
Waislamu peke yao.
Wa k a t i m w i n g i
tunashuhudia vyombo
mbali mbali vya habari
kwa maksudi hupotosha
uhalisia wa matukio
hayo ili kuwatosa
z a i d i Wa i s l a m u .
Kwa upande wa pili,
ya n a p o j i r i m a t u k i o
a m b a y o Wa i s l a m u
ndio wahanga wakuu,
vyombo hivyo hivyo
huwa kama havipo au
huwa kimya cha mfu !
Kwa mfano, mauwaji
ya halaiki ya Waislamu
nchini Burma, mauwaji
ya halaiki ya Waislamu
nchini Jamhuri ya Afrika
ya Kati nk. Au walau
v y o m b o h i v y o v ya
habari kutaja kwamba
katika tukio la mauwaji
haya ya Garisa, mtu wa
AN-NUUR
suala la kujikusanyia
maslahi na kuzowa
rasilimali hizo, madola
hayo huzozana wao kwa
wao kutokana na uroho
wao. Kila mmoja akitaka
ajipatie fungu nono.
BAADHI ya wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya wanaodaiwa kuuawa
hivi karibuni.
mwanzo kuuwawa ni
Muislamu aliyekuwa
mlinzi wa chuo hicho.
Aidha, wakati
m we n g i n e t u n a o n a
vyombo vya habari
namna
qadhia
zinazowahusu
Waislamu zinavyotiwa
chumvi na kulazimisha
kinyume na ukweli
ulivyo. Mfano mzuri
wa k a r i b u n i n i i l e
Operesheni ya Amboni
Tanga, licha ya Jeshi
la Polisi kukanusha
kwamba waliokabiliana
na polisi katika mapango
yale walikuwa wahalifu
na sio magaidi, bado
vyombo mbali mbali
vya habari vilionekana
kushabikia kwa nguvu
kubwa na kunadi
wimbo wa magaidi na
Al-Shabab.
Kwa
upande
mwengine, tukio au
m a t u k i o m a o v u ya
wasiokuwa Waislamu
ya n a p o r i p o t i wa n a
vyombo hivyo hivyo
huripotiwa kwa
heshima na uadilifu.
Lakini tukio hilo hilo
l a u l i n g e k u wa k wa
Muislamu, ingekuwa
balaa kubwa . Fikiria
suala la karibuni la
wafuasi wa Mchungaji
Josephat Gwajima na
jaribio lililoripotiwa
kuwa la kumtorosha
mchungaji huyo. Lau
ingelikuwa wafuasi
hao wa Gwajima ni
Waislamu, ingelikuwa
tarumbeta kubwa!
Ungeona vichwa
vya habari magaidi
wavamia hospitali na
bastola. nk. Au tukio
la siku chache zilizopita
l a P o l i s i w i l a ya ya
Kisarawe kumshikilia
Joseph Mumbi baada
ya kumkuta na bastola
na risasi 8 kwenye ibada
ya Ijumaa Kuu katika
Kanisa la Mt Stephano.
Angekuwa huyo sio
Joseph magazeti
yangesemaje?
Kimsingi mwenendo
huu wa vyombo vya
habari wakati mwengine
vikiwemo vya umma
kukosa uadilifu na
umakini ni jambo la
hatari sana ambalo
Makala
AN-NUUR
WAPIGANAJI wa ISIS
wa
tukio lililowahi
kutokea takriban miezi
sita iliyopita unaolandana
na mjadala wetu wa leo ili
kuonesha namna wengi
wetu tunavyokabiliwa
na tatizo la kutokuwa na
uwezo wa kukabiliana na
hoja kinzani.
Mfano wenyewe ni ule
uliowahi kubainishwa
huko nyuma na mwandishi
mkongwe na mwenye
tajiriba ya muda mrefu
katika tasnia ya uandishi
wa h a b a r i B w . O m a r
Msangi katika makala
yake ya mwezi Novemba
mwaka jana katika gazeti
hili iliyobeba anuwani
iliyosomeka : 'Volikano ya
Jihadi yaelekea Makkah'.
K wa m u k t a d h a wa
ninachokusudia kukieleza
na kwa faida ya wasomaji
ambao hawakupata bahati
au fursa ya kuusoma
mukadima wake katika
makala hiyo, nimwombe
Bw. Msangi aniruhusu
kunukuu kile alichoandika
katika utangulizi wake ule
kabla ya kuendelea na hoja
AN-NUUR
Makala
Inaendelea Uk. 17
10
Makala
AN-NUUR
Na Mussa Ame
AADA ya kuandika
makala iliyopita juu
ya ukafiri wa kuuana
Waislamu kwa Waislamu,
nilipokea simu nyingi
sana zilogawika katika
makundi matatu. Kundi
moja walinilaumu sana na
kuona nimefanya dhambi
kubwa sana. Kundi la pili
walipongeza. akini Kundi la
tatu waliniomba nifafanue
mada zaidi kwa vile kuna
vipengele vingi nilivikiuka.
Mada hii itafafanua baadhi
tu ya vipengele na mada
itaendelea mpaka pale
wasomaji watakapoelewa
lengo la mada hizi.
Kuhusu vita vya Somalia
nakiri kwamba hapo
mwanzo wakati Wasomali
walipokuwa wakipambana
na Ethiopia walikuwa katika
jihadi, na pia walipokuwa
wakipambana na majeshi
ya M a r e k a n i wa l i k u wa
katika jihadi. Sasa baada ya
Mataifa hayo kuona kuwa
h a wa we z i k u wa sh i n d a ,
wakatumia mbinu ya
kuwagawa Wasomali katika
makundi yenye kupingana
na wameliweza hilo. Sasa
Wasomali wanapiganishwa
wanaouliwa ni Waislamu na
damu ya Muislamu ni takatifu
sana ni haramu kuimwaga.
Na vita hivi vinapangwa na
makafiri kwa kuwashawishi
Waislamu kupigana kwa
visingizio mbali mbali, na
Wislamu hukumbwa na jazba
wakaingia vitani kumwaga
damu za wasio na hatia.
Leo nimeombwa nifafafue
haki za Muislamu, pia
wasomaji wengine wanataka
nielezee ni wakati gani huwa
halali kumuua Muislamu,
lakini naona mada hiyo
akipenda Allah (SW) nitaitoa
baadaye.
Allah (SW) anasema: Na
saidianeni katika wema na
uchaungu, wala msisaidiane
katika dhuma na uadui na
mcheni Allah (SW) hakika
Allah (SW) ni mkali wa
kuadhibu. (Maidah :2)
Katika kuifafanua aya
hiyo, amesema Imamu
Ta b a r a n y ( 1 / 2 2 7 ) k u wa
amesema Mtume (SAW)
Atakayekwenda kumsaidia
dhalimu na anajua kuwa
ni dhalimu ametoka katika
Uislamu.
Mtu huyu hawi kafiri wa
imani kwamba si Muislamu
Inaendelea Uk. 11
AKUMBUKA
n i l i w a h i
kuhudhuria
M k u t a n o m m o j a wa
REDET Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam. Ilikuwa
ni katika kile kipindi
cha Muwafaka wa Pili
wa Zanzibar baada ya
ule uliofuatia Uchaguzi
Mkuu wa 1995. Katika
Mkutano huo aliyekuwa
Waziri Kiongozi, Shamsi
Vuai Nahodha aliusifia
sana Muafaka huo
akisema kuwa ni wa
kupigiwa mfano kwa
sababu umetokana na
Watanzania wenyewe.
Kwamba haukuwa sawa na
ule wa awali uliovunjika
uliokuwa umesimamiwa
na akina Anyauko. Na
akahitimisha kwa kusema
kuwa huo ulikuwa ni
ushahidi kuwa Waafrika/
Watanzania, tunaweza
kutatua matatizo
yetu wenyewe bila
k u s i m a m i wa n a m t u
kutoka nje.
Kwa bahati mbaya hata
muafaka huo haukuzaa
m a t u n d a ya l i y o k u wa
yametarajiwa. Zanzibar
iliendelea kuonja tamu ya
siasa za chuki, uhasama,
visa vya Janjaweed
n a m e l o d y . Wa t u
wakaendelea kuuliwa,
kupigwa, yakawepo madai
ya kubakwa wanawake,
kuporwa mapambo yao
ya dhahabu na visa vya
kila aina.
Ukilitizama jambo
hili na yaliyokuja kujiri
baadae, unakuta kwamba
kumbe Zanzibar walikuwa
wamejidanganya kwa
kudhani kuwa wakikaa
kama CCM (Bara na
Visiwani), au kama
Watanzania, ni wamoja.
Rais Mstaafu Amani Abeid
Karume na Maalim Seif,
11
AN-NUUR
Makala
Inatoka Uk. 10
Inatoka Uk. 10
yaliyojiri hivi karibuni
katika msafara wa CUF
wa k i t o k a m k u t a n o n i ,
ni kwamba melody na
Janjweed yaweza kurejea
na Serikali ya Umoja wa
Kitaifa itaporomoka.
Ikifikia hapo, CCM
wahafidhina watapata
nguvu kubwa kutoka Bara
na pengine hata Jumuiya
ya Kimataifa na watakuwa
n d i o we n ye s e r i k a l i .
Waliosalia watakuwa Al
Shabaab. Wapizani wa
wahafidhina.
Ukisimama upande
wa hawa CCM na CUF
wanaotaka maridhiano
na serikali ya Umoja
wa Wazanzibari, hawa
wahafidhina nao
wanapewa nguvu kubwa
kutoka CCM, Bara na
Jumuiya ya Kimataifa.
N i Wa z a n z i b a r i
wa n a r a r u l i wa .
Wanararuana wenyewe
kwa wenyewe. Sera ya
wagawe uwatawale
inafanya kazi. Hakuna
kinachoendelea, si
katika elimu, uchumi
wala huduma za kijamii.
Zanzibar inabaki doro.
Kwa maana hii, CCM
Ba r a a u k u ndi l ol ot e
litakalodai kwamba
linaisaidia Zanzibar kwa
kuliunga mkono kundi
ya Waislamu. Ni kutokana
na uzito wa aya hizo, ninahisi
iko haja ya kuzinduana kwa
sababu kuna watu hufikiria
kuwa kumuua Muislamu
ni jambo la mchezo
akishakuwa hakubaliani na
itikadi yako basi unaweza
la Wahafidhina wasio
taka Serikali ya Umoja,
litakuwa linadanganya.
Haliwatakii mema
Zanzibar. Kwa upande
mwingine, mtu yeyote wa
nje, iwe ni CHADEMA,
NCCR au taasisi nyingine
yoyote, itakayosimama na
Wazanzibari kupambana
na CCM wahafidhina,
hataweza kuondoa tatizo
bali kutia petrol katika
moto. Itakuwa sasa
ushabiki wa kupingana
tu mradi kupingana
kama ilivyojitokeza pale
Dodoma. Namna pekee ya
kuwasaidia Wazanzibari,
ni kuwasaidia waweze
kukaa pamoja kama
Wazanzibari na kutambua
agenda zao ni zipi,
salama yao kama nchi
ipo wapi, fursa walizo
nazo, changamoto,
nguvu walio nayo,
madhaifu yao, maadui
na kila linalowahusu
kama Wazanzibari. Kama
hilo likishindikana, kwa
siasa hizi tulizoshuhudia
Inaendelea Uk. 13
waliowazunguka (CCM),
pengine na sehemu
ya wananchi (CCM)
hawakuwa tayari.
Sasa suala hapo haliwi
kushikiana mtutu, bali
Dawah/Elimu/Ufahamu.
Hawa makada wafikie
mahali waone kuwa
masilahi ya Zanzibar na
Wazanzibari, ni muhimu
zaidi kuliko masilahi yao
ndani ya CCM.
Toka imeporomoka
serikali ya Siad Barre,
Wasomali wamekuwa
katika machafuko. Juhudi
zote za kimataifa kuwaleta
pamoja zilifeli mpaka
i l i p o i b u k a U m o j a wa
Mahakama za Kiislamu.
Mara baada ya nchi kutulia,
m a b e b e r u wa l i o k uwa
wakichochea mgogoro
huo na ambao walikuwa
hawataki Somalia iwe na
amani, hilo likawa pigo
kubwa kwao. Kwanza
waliwachukua wale wale
wababe wa Kivita, wakawa
wanawasadia kupambana
na Serikali ya Umoja wa
Mahakama za Kiislamu.
Mabeberu wasivyokuwa
n a h a ya wa l a k u o n a
vibaya, eti hawa wababe
wa kivita ndio wakapaewa
hadhi na wadhifa kuwa
wanapambana na magaidi.
Magaidi wenyewe, eti
Inaendelea Uk. 13
12
MAKALA/MASHAIRI
SIASA NA DINI
AN-NUUR
mashambulizi dhidi
ya Bw. Omar Msangi
nilioutoa hapo juu.
N i l i t a r a j i a
mwasilishaji taarifa
angejikita zaidi katika
maudhui ya mada ya
mjadala na kutupa hoja
mbadala kutoka katika
Qur-an na/au Sunnah
kwa kuonyesha kuwa
' K we n d a K u p i g a n a
Somalia si Ukafiri' kama
alivyofanya Bw. Mussa
Ame katika makala
yake yenye anuwani
' K we n d a K u p i g a n a
Somalia ni Ukafiri'.
Badala
yake
akakimbilia kulijadili
gazeti kwa kudai kuwa
limepoteza mwelekeo.
Bila kuathiri uhuru
wake wa kutoa maoni,
yumkini kwa maoni
yake hilo ni sahihi, nami
sina haja ya kuonesha
upinzani wowote juu ya
maoni yake kuhusu hilo,
ninachokishadidia hapa
ni kwamba mwasilishaji
taarifa ameshindwa
kukabiliana na maudhui
ya mada ya msingi kwa
nguvu ya hoja na badala
ya k e a n a l i s h u t u m u
gazeti lililotumika kama
nyenzo ya kuwasilisha
makala ile kwa
wasomaji; hali ni hiyo
hiyo kwa mchangiaji wa
kwanza na wa pili.
Hoja ya kujadiliwa
hapo haikupaswa
kuwa gazeti, kwani
lenyewe limetumika
kama nyenzo tu ya
kuwasilishia maudhui
kilichopaswa kujadiliwa
ni hoja ya Bw. Mussa
Ame.
Hilo linanikumbusha
ile kadhia ya
kushupaliwa na
hatimaye kufungiwa
kwa Redio Iman na
Mamlaka ya Udhibiti wa
Mawasiliano baada ya
kushindwa kuzikabili
hoja zilizokuwa
z i k i r u s h wa h e wa n i
kupitia chombo hicho
cha habari.
Katika sehemu ya
pili, mwasilisha hoja
ameshughulika na
wa n a h a b a r i b a d a l a
ya kushughulika na
habari iliyowasilishwa
n a m wa n d i s h i , h i i
ni sawa na kusema
ameshughulishwa
zaidi na mwandishi wa
habari-makala ile kuliko
maudhui ya makala
husika.
Vilevile, Kwa kuwa
mwandishi ameonesha
kwa mujibu wa Quran na Sunnah kuwa
kinachojiri Somalia
si jihadi, kwa hiyo
mwasilishaji wa taarifa
alipaswa kutoa dalili
mbadala kutoka katika
Qur-an na/au Sunnah
zenye kuonyesha
kwamba kinachojiri
Somalia ni jihadi badala
ya kutaka aonyeshwe
mahali jihadi ilipo,
kwani suala hilo si lenye
kuhusiana na maudhui
ya mada ya msingi ya
mwandishi.
Mchangiaji wa tatu na
wa nne, wao wameishia
kutoa kejeli kwa
mwandishi badala ya
kushughulika na hoja
yake.
Katika sehemu
ya tatu, mwasilishaji
taarifa anaonekana
kuvuka mpaka na
kumshambulia moja
kwa moja mhariri wa
gazeti hili badala ya
kushughulika na hoja ya
mwandishi wa makala
i l e k wa k u o n ye s h a
kuwa 'wanaopigana
Somalia si Waislamu
kwa Waislamu' kama
alivyobainisha yeye
katika makala yake
kuwa 'wanaopigana
Somalia ni Waislamu
kwa Waislamu'.
Mchangiaji wa tano
ameishia kumkufurisha
mwandishi wa makala
badala ya kujibu hoja
zake kwa nguvu ya hoja
mbadala.
Katika sehemu
ya nne, mwasilishaji
taarifa anadai kwamba
yeye na vijana wengine
walimpinga mhariri
alipoleta mada kama
hiyo katika semina kule
Kirinjiko Same. Japo
hakubainisha kama
walitumia nguvu ya
hoja au hoja ya nguvu,
yumkini walitumia hoja
ya nguvu ndio maana
pakatokea vurugu kama
anavyodai !
Yote kwa yote hata
kama walitumia nguvu
ya hoja kufanikisha
mapambano yao dhidi
ya mhariri mwenyewe
13
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 11
ni Serikali iliyotokana
na wananchi wenyewe
wa Somalia baada ya
Jumuiya ya Kimataifa
kushindwa kuleta amani
Somalia kama miafaka
iliyoshirikisha watu
kutoka nje ya Zanzibar
ilivyokwama.
Wa l i p o f e l i . N d i o
wakavamia kijeshi.
Wa k a i t u m i a E t h i o p i a
i k a va m i a i k a a n g u s h a
Serikali ya Umoja wa
Mahakama za Kiislamu.
Lilipotokea hilo,
Wasomali wakagawika
kama ambavyo hivi sasa
Wazanzibari wanataka
kugawika kuondoa Sera
ya Serikali ya Umoja wa
Kitaifa. Kundi likaenda
Nairobi kuunda Serikali
inayotakiwa na mabeberu
na kundi likabaki Somalia
na kuibuka Al-Shabaab.
Hawa waliounda Serikali
ya Mpito, walikuwa wale
wale waliokuwa viongozi
wa Serikali ya Umoja wa
Mahakama za Kiislamu.
Na hawa Al-Shabaab, vile
vile ni katika waliokuwa
katika Umoja wa
Mahakama za Kiislamu.
Ukichukulia mahesabu
mepesi kuwa hawa walio
serikalini wameritadi, ni
Wasomali. Wakipigana
n i Wa s o m a l i k w a
Wasomali wanaopigana.
N i Wa z a n z i b a r i ,
wahafidhina wasiotaka
Serikali ya Umoja wa
Kitaifa, wanaopigana na
wanaotaka maridhiano.
azimdhalilishe wala
asimdogoshe. Uchamungu
upo hapa, akaashiria
moyoni mwake mara tatu,
Muislamu kwa Muislamu
mwenzake ni haramu damu
yake (asiimwage), mali yake
(asiichukue kwa dhulma) na
heshima yake (asiivunje).
(SM2564).
Usama bni Zayd (RA)
alipigana na kafiri katika
vita. Yule kafiri alipoona
anashindwa alitoa shahada,
lakini baadaye alipigana
tena upande uleule wa
makafiri. Usama bin Zayd
(RA) akakutana naye tena
wakapigana, na yule kafiri
akatoa shahada tena, na mara
ya tatu wakapambana mpaka
akampiga mkononi, mara ya
tatu wakapambana na akatoa
shahada tena mara ya tatu,
mara hii Usama bin Zayd
(RA), alimuua yule Muislamu
kwa sababu kwanza alikuwa
anafanya masihara ya
kusilimu. Alimpiga Usama
(RA) upanga. Habari hii
alipoisikia Mtume (SAW)
alikasirika na alimgomba
Usama (RA) na alimuuliza
jee ulimuua mtu baada ya
kutoa shahada na alimlipia
jizya, fidia. Katika riwaya
nyengine alimuuliza Usama,
Inaendelea Uk. 16
14
Makala
AN-NUUR
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
ABUU Mussa Jabir Ibn
Hayyan ni katika ya
wasomi waliokuja kupata
msukusuko wa kufungwa
kifungo cha nyumbani
na babake naye kuuliwa
na watawala. Kati ya
wasomi wa siku hizo
waliokumbana na mateso
kutokana na viongozi
huwezi kusoma bila ya
kutajwa Jabir Ibn Hayyan.
Jabir Ibn Hayyan
katika midani za Ulaya
anajulikana kwa jina la
Geber, amezaliwa katika
mji wa Tus uliopo Iran
katika mwaka wa 721 na
wengine husema kuwa
amezaliwa mwaka wa 722.
Uasili wake haufahamiki
wengine wanafahamisha
kuwa ni Mfursi na wengine
wanatueleza kuwa ni
Mwarabu mwenye asili
ya Yemen.
Baba yake Hayyan al
Azdi alikuwa ni mfamasia
mjuzi wa uchanganyishaji
wa madawa na muungaji
mkono mkubwa wa
uongozi wa Banu Abass
d h i d i ya u o n g o z i wa
Banu Umayya wakati
akiishi katika mji wa Tus
nchini Iran. Kutokna
na misimamo yake hio,
alikamatwa na kuuliwa
t u k i o h i l o l i k a i f a n ya
familia yake kuhama Tus
na kuhamia Yemen na
hapa ndipo utatanishi
unapokuja juu ya asili ya
Jabir bin Hayyan wengine
husema ni Muarabu na
wengine husema kuwa ni
Mfursi.
Baada ya kukaa Yemen
na familia yake, msomi
huyu alirudi Kufa na
akasoma kwa Imam Jafer
al Sadiq na alipomaliza
m a s o m o ya k e a k a wa
anafanya kazi ya utabibu
wakati wa zama za Khalifa
Harun al Rashid. Katika
kuwa karibu na wakubwa
sio mara zote mtu hubakia
katika hali ya kukubalika
Mchoro unaomuonyesha
Jabir na vyombo
alivyokuwa akivitumia
ijulikanayo regia yenye
uwezo wa kuyayusha
dhahabu, akaipata
tindi kali ya citric acid
kutokana na ndimu na
jamii ya miti hiyo kama
machungwa na kugundua
aina ya tindikali ya tartaric
acid inayopatikana na
mabaki yaliotengenezewa
pombe ya wine. Kazi hizi
alizozifanya zilikubalika
na kuelezewa kuwa ni
mafanikio makubwa ya
somo la kemia zaidi ya
miaka alfu iliopita.
Jabir Ibn Hayyan
alivigawa vitu katika
makundi matatu
alipokuwa anafanya
majaribio. Kundi la
kwanza akaliita kundi la
spiriti ambalo vitu vyake
ukivipasha moto hupotea
kwa mvuke ikijumuisha
sulfur, ammonium
chloride na kundi la pili
akalita la metali ikiwemo
shaba, dhahabu, vyuma na
fedha na kundi la mwisho
ni vitu ambavyo havimo
katika kundi la vyuma na
dhahabu mfano wa jabali,
mkaa n.k. Mgao huu ndio
ukaja kutumiwa katika
mgao wa vitu vya metali
na visio vya metali.
Kuzama kwake katika
s a ya n s i n a u j u z i wa
kemia kulimsukuma
kuchanganya na masuala
ya kiroho. Alikuwa
akipenda kufanya
majaribio ya kila aina.
Aliweza kutengeneza
aina ya karatasi ambayo
ukiichoma kwa kibiriti
haiwaki. Na akatengeneza
a i n a ya w i n o a m b a o
unaweza kusoma ndani
ya giza. Katika vyombo
alivyokuwa akivitumia
katika majaribio ni aina
ya chombo kijulikancho
retort, pipette ya kuvutia
vitu vya maji kujuwa
kiwango ukitakacho
kuchanganya na kichupa
kidogo cha kuchanganyia
vitu (test tube) vitu
ambavyo vinatumika hadi
sasa katika maabara yote
duniani.
Jabir Ibn Hayyan
alimtangulia Muingereza
ambaye naye alikuwa
gwiji wa somo la kemia
na John Dalton ambaye
anazungumzwa kwa
mapana na marefu na Jabir
Mwezi utazaliwa
tarehe 16 June 2015
saa 11:05 za jioni, Juni
16 hautoonekna mwezi
popote pale Duniani na
tarehe 17 utaonekana kwa
taklifu katika maeneo ya
Kusini-Mashariki ya Asia,
Kaskazini mwa Afrika,
Australia na Indonesia
lakini utaonekana kwa
urahisi katika maeneo
ya Afrika Mashariki na
sehemu mbalimbali za
Bara la Afrika. Ramadhani
Mosi itakuwa tarehe 18
Juni, 2015.
15
Makala
K AT I K A m a k a l a m b i l i
nitayazungumzia aina ya
maji yaliotajwa katika Quran
na makala ya pili itakuwa ni
Maji na Mazingira.
Quran ni kitabu cha
uwongofu kwa Waislamu
na walimwengu kimeweka
wazi suala zima la maisha na
maumbile. Imefika wataalamu
wengine wamefika kuwa na
Maabara ya kufanya utafiti
juu ya aya zilizokuwemo
k a t i k a Q u r a n ( I s l a m i c
laboratory) na kuweza
kuzifanyia chambuzi za kila
aina pamoja na kuzifanyia
kazi.
A ya z i e l e z a o j u u ya
maji ni: 47:15, 56:31, 56:68,
77:27 na 88:17 aidha aya
25:53, 27:61, 35:12, 55:19
na 55:21 zina maelezo ya
bahari zinapoungana, aya
zinazoelezea juu ya mvua
2:163, 2:265, 6:99, 7:57, 8:11,
10:24, 13:17, 14:32, 15:22,
16:65, 18:45, 20:53, 22:5,
22:63, 23:18, 24:43, 25:48,
27:60, 29:63, 30:24, 30:48,
31:10, 31:34, 32:27, 35:27,
39:21, 40:13, 41:39, 42:28,
42:33, 43:11, 45:5, 46:24, 50:9,
56:69, 57:20, 78:14, 80:25
Aya zinazoelezea juu ya
Mito ni: Surah Al-Baqara
CHEMSHA BONGO
MAJIBU
CHEMSHA BONGO NO: 1
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, jawabu kamili
wiki ijayo.
1. Surah ilikyokuwa refu ina aya ngapi? Baqara Aya
286
2. Surah gani imeanza bila ya tamko Bismilahi
Rahman Rahim.
3. Surah za Makka ni ..85
4. Surah za Madinah .29
5. Wakusanyaji hadithi wawili mashhuri ni: Bukhari
na Muslim,
6. M t u m e S AW a l i k u w a n a u m r i g a n i
alipoteremshiwa Wahyi na Jibril? Miaka 40
7. Mke wa mwanzo wa Bwana Mtume SAW ni Bibi
Khadija
8. Hijra ya mwanzo Waislamu walikwenda wapi?
Ethopia
9. Safari ya Mtume SAW kutoka Duniani kwenda
Mbinguni inaitwa: Miraj
10. Mtume SAW alifwatana na nani alipohama
Makka kwenda Madinah? Syd Abubakar
AN-NUUR
yanachangiwa kutokana
na maji machafu. Maji
yaliotuwama kuyachafua ni
hatari sana kwa afya zetu,
zaidi ya miaka 1,400 Mtume
SAW amekataza kunywa
au kukoga katika maji yalio
machafu na akakataza
k we n d a h a j a n d o g o n a
kubwa karibu na vianzo
vya maji. Aidha kakataza
kutupa uchafu katika maji
yaliotuwama.
Katika Suratul Al-Arraf,
Quran inasisitiza pakubwa
juu ya uhifadhi kwa kusema
wala msifanye uharibifu
katika nchi. Hii ni uhifadhi
wa mtizamo wa Mazingira.
Na kwa watu wa Madyana
tulimtuma ndugu yao
Shua'ib. Akasema:
Enyi watu wangu!
Muabuduni Mwenyezi
Mungu. Hamna mungu
mwengine isipo kuwa Yeye.
Imekwisha kufikieni hoja
wa z i k u t o k a k wa M o l a
Mlezi wenu. Basi timizeni
sawasawa vipimo na mizani,
wala msiwapunje watu vitu
vyao, wala msifanye uharibifu
katika nchi, baada ya kuwa
imekwisha tengenea. Hivi
ndivyo bora kwenu ikiwa
nyinyi ni Waumini. (7:85)
J u u ya u f i s a d i M o l a
anatufahamisha kuwa wale
wenye kufisidi basi yeye
Mola hapendi ufisadi uwe
kwa mimea au viumbe.
Hii ndio ile dhana nzima
ya uhifadhi na maendeleo
endelevu.
Na anapo tawala hufanya
juhudi katika nchi kwa
kufisidi humo na kuteketeza
mimea na viumbe. Na
Mwenyezi Mungu hapendi
ufisadi. (2:20)
Uislamu umejengeka zadi
katika uhifadhi na Waislamu
wanatakiwa kujifunza zaidi
kuelewa mchango wao katika
kuiweka dunia katika utulivu
wa kimaumbile na utulivu
wa imani.
Makala ijayo nitaangalia
j u u ya m a j i n a d u n i a
tulionayo.
16
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 13
Marekani, ndio hizo hizo
w anazotumia Al-Shabaab.
ya sahihi Muslim).
Sasa wewe unaambiwa
A l S h a b a a b wa m e i n g i a
Garissa wameuwa watoto
wa shule 150, unasema hiyo
ni Jihad! Wameingia Wetgate
Shopping Mall, Nairobi,
wameuwa wanawake na
watoto, unasema hiyo ni
Jihad. Unaweza kusema kuwa
wamesingiziwa. Ukisema
hivyo, lazima ukubali kuwa
jina hilo Al-Shabaab hivi sasa
linatumika kama jinamizi
la kuupiga vita Uislamu.
Kwa hiyo wewe kushabikia
Jihad ya Al Shabaab ni kutilia
nguvu propaganda hiyo.
H a wa wa l i o k a t a z wa
kuuliwa katika Hadithi
tuliyoinukuu, ni watoto
na wanawake wa makafiri.
Jee, vita hivi vya harakati
za ukombozi hawauawi
wanawake na watoto wa
Kiislamu? Linapopigwa
bomu Somalia kuwalenga
askari wa Somalia (Waislamu)
wakiwa mitaani, litachagua
wanawake wapita njia na
watoto? Kama wanauawa,
basi harakati hizi zina kasoro
katika aqida zake na pia
zinakosa fiqhi sahihi ya jihadi
badala yake zinatawaliwa
na hamasa na katika hali hii
inaupelekea kufikiri kwamba
huenda wasioutakia mema
Uislamu wameziteka harakati
17
MAKALA
AN-NUUR
Inatoka Uk. 9
wa m a j e s h i ya n c h i z a
Kiarabu, unaoongozwa na
Saudi Arabia.
Wakazi wa kijiji hicho cha
Okash, kilicho karibu na
kambi ya jeshi la anga ya
Jabal Shouaib, walinukuliwa
wakisema familia iliyouawa
ilikuwa na wanaume wawili,
m wa n a m k e m m o j a , n a
watoto sita. Shirika la habari
la Yemen la Sabaa, limetuma
picha za familia hiyo kwenye
mtandao wake. Bila shaka
hao wote na wengine
wa n a o e n d e l a k u p o t e z a
maisha ni Waislamu. Kisa ni
tofauti tu ya kimadhehebu,
tena inayochochewa na
makafir kwa maslahi yao.
Kwa ujumla tunachoweza
kusema ni kwamba
kinachodhidiri hivi sasa
katika mzozo wa Yemen
hata Syria na Iraq, ni
matumizi mazuri ya
mkakati wa kufarakanisha
ndugu na anayefarakanisha
akizidi kuweka mazingira
ya kuneemeka kiuchumi
huku waliofarakanishwa
wakijiangamiza wenyewe.
Faraka ya Ushia na
Usunni iliyopenyenyezwa
inawatafuna Waarabu na
Waislamu kwa ujumla. Saudi
Arabia inaongoza Kundi
la mataifa yenye Waislamu
Na Juma Kilaghai
HAINA mashaka
yoyote kuwa vyakula na
vinywaji vinavyotokana
na nafaka vinanoga!
Au unasemaje kuhusu
wali mweupe, pilau,
biriani? Na bado
hapo hujagusia chips,
chapati, kitumbua,
andazi, na bajia! Mhh
kule kuna soda, juisi,
ice cream, pipi n.k. We
wacha tu!
Mpaka siku mbili tatu
zilizopita sikuwa na
shaka yoyote ile kuhusu
ubaya wa kubugia kwa
w i n g i v ya k u l a v ya
nafaka. Tukumbuke
kwamba sukari, - yule
adui namba moja wa
afya, chimbuko lake
ni nafaka! Nilijua, na
naamini wengi wetu
tunajua, kuwa sukari ni
miongoni mwa vyakula
vikuu vinavyosababisha
mfuro (inflammation) na
kwamba mfuro ni moja
ya vyanzo vikuu vya
maradhi ya kimfumo
ndani ya mwili.
Nilijua kuwa
chimbuko la nafaka
kusababisha mfuro ni
L a k i n i k wa S a u d i a
kuendelea kuua Waislamu
wa Yemen kwa kutumia
hazina yake ya silaha
kutoka Marekani,
ni wazi kwamba ni
kicheko kwa Marekani
ambayo itajihakikishia
kuongezewa kandarasi
ya kuuza silaha zaidi kwa
Taifa hilo. Hii ni kutokana
na ukweli kwamba tayari
kuna mahali pa kuzitumia
silaha hizo hivyo
mahitaji yake yatazidi
kuongoezeka.
Katika mashambulizi
haya Saudi Arabia
inaungwa mkono na Israel
na Marekani. Bila shaka
ile falsafa ya Marekani
ya wagawe, watawale
ufaidikie kiuchukumi,
imechukua nafasi
yake. Kwa kuwa silaha
zilizokuwa zimerundikwa
kwa muda mrefu sasa
zimepata matumizi, bila
shaka watumiaji watumia
fursa iliyojitokeza kuagiza
zaidi ili hazina isipungue.
Na ni wakati huo ambapo
soko la silaha za Marekani
linapanuka zaidi.
Kwa mtindo huu kwanini
Waarabu, ambao ni ndugu
wa Kiislamu wasiendelee
kufarakanishwa hadi pale
watakapotahayari?
ambao ni wapiganaji wa
Kiislamu wa dhehebu la
Shia, kuukabili utawala wa
Rais Hadi, ambaye wananchi
hao hawamtaki walkiamini
kuwa ni kibaraka wa Saudi
Arabia (Sunni) na mataifa
ya magharibi yanayounga
mkono Sunni. Hivi sasa Rais
Had, yupo mafichoni Saudia
akipata hifadhi ya nchi hiyo.
Nayo Saudia inapambana
kumrejesha swahiba wao,
ambaye anasimamia maslahi
ya o . Ye m e n n i t a i f a l a
Kiarabu lililopo jirani na
na mkakamo (haikubali
kupanuka wala
k u s i n ya a ) , k i t e n d o
ambacho huleta maradhi
ya mfumo wa mzunguko
wa damu, nakadhalika.
Kwa
upande
mwingine nilijua kuwa
glucose (sukari ingine
i n a y o p a t i k a n a k wa
wingi kwenye nafaka
na sukari ya mezani)
inaweza kuleta shida
kwenye ini, inaweza
ikasababisha unene
uliopea, inaweza
kuchochea kisukari cha
ukubwani, na pia kuwa
ni chakula kikuu cha
seli za saratani. Kitu
ambacho sikukijua ni
kwamba glucose pia ni
chanzo kikubwa sana
cha mfuro ndani ya
mwili!
Kwa mujibu wa tafiti,
Uchakataji wa glucose
huzalisha kemikali
i n a y o i t wa m a l o n yl coA. Malonyl-coA
18
Na Juma A. Simba
UNA
baadhi
ya
misemo
ya Kiswahili
unapoisikia ikisemwa
au unapoisoma, kuna
wakati unaweza maneno
yake ukayapita tu na
wala usiuone umuhimu
au tafsri ya msemo huo
mpaka likupatapo. Kwa
mfano kuna msemo
usemao Majuto ni
mjukuu, Msiba wa
kujitakia huambiwi pole.
Usipo sikiza la mkuu
huvunjika guu, na
kadhalika.
Katika misemo hii
ambayo nilo iaynisha
nataka niutumie huu
Msiba wa kujitakia
huambiwi
pole
kuhusiana na kadhia hii ya
kura ya maoni ya katiba,
ambapo Mheshimiwa
Spika Ameir Kificho
pale alipotumia mamlaka
yake ya kumkubali
M wa n a s h e r i a M k u u
mteule Said Hassan Said
alipowasilisha sheria ya
kura ya maoni barazani
kwa njia ya maandiko.
Mheshimiwa Spika
Kificho alitumia mamlaka
yake hayo kwa kukataa
upande wa upinzani
pale ulipowasilisha hoja
ya k wa m b a B a r a z a
la Wakilishi haliwezi
kutumika kuridhia sheria
ambayo jambo lenyewe
si la muungano kati ya
Zanzibar na Tanganyika,
kufanya hivyo ni kinyume
kabisa kwa mujibu wa
katiba ya Zanzibar na
hili Mheshimwa Kificho
alikuwa analijuwa fika.
Lakini afanyeje, na tayari
Mheshimiwa Kificho maji
alikuwa ameshayavuliya
nguo. Tayari alikuwa
a m e s h a ya v u l i a n g u o
tokea pale alipokuwa
Dodoma. Hivyo
asingeweza tena kuwa
kama ngombe kuutowa
ulimi wake kwenye
mdomo kuupeleka puani
na baadaye kuurejesha
mdomoni, kwa sababu hii
siyo tabia ya muungwana
na uungwana hasa wa
Kizanzibari. .
Kukubalika kupigiwa
kura ya maoni kwa katiba
hii kwa wajumbe wa
Baraza la Wakilishi
upande wa chama tawala
kulitarajiwa na wengi;
k u l i t a r a j i wa n a h a t a
wasio kuwa wanachama
wa chama tawala kwa
sababu ishara za matokeo
Makala
AN-NUUR
Msiba wa kujitaki
ya
Mapinduzi.
Hatukupinduwa kwa
sababu tu ya kutawaliwa
na watawala wa kigeni
au rangi, ili kukarabisha
utawala wa Waafrika
wenzetu ati tu kwa
sababu wao ni weusi.
Katiba hii ambayo hivi
sasa imeshikiwa bango
kupigiwa kura tarehe 30
Aprili, ilivyotengenezwa
ni kutunyanganya kabisa
umiliki wetu mamlaka
yetu, mwishowe Zanzibar
yetu. Hii ni katiba
ambayo lengo lake hasa
ni kututowa kikaangoni
kututumbukiza katika
moto.
Mwezi wa Aprili huu
tunao uanza umetengwa
kwa ajili ya kampeni rasmi
ingawa rasha rasha za
kampeni tayari tumesha
zishuhudia. Inawezekana
katika mwezi wa Aprili
katika kampeni wananchi
wakatiwa khofu na vitisho
ikiwa ni njia moja ya aina
ya kampeni, lakini aina
yeyote ya vitisho tusifike
pahala kujitafutiya msiba
w e n y e w e . Wa n a n c h i
wanapo piga kura
kuwachaguwa viongozi
wao, huwataka walio
wachaguwa wawe
ni wat u waaminifu,
waadilifu, wakweli, na
wawe wanayawakilisha
yale matakwa ya
wananchi wale walio
wengi, hasa inapo jitokeza
kuwa kinacho wakilishwa
kina faida na manufaa
kwa jamii yote. Uhuru
wa mwanadamu yeyote
yule una bora hata
ukaandamana na shida na
madhila. Hakuna utumwa
uungwanawala mzuri.
Wazanzibar ni watu
tulio zaliwa huru kama
wa l i v y o Ta n g a n y i k a ,
Muungano usiwe chanzo
cha kuujutia. Katiba hii
ambayo chama tawala
mnaipigia debe ya serikali
mbili haitotufaidisha,
tusiwasihi Wazanzibari
Wachilia mbali kutaka
kuwalazimisha kuipigia
kura. Muelewe fika wale
ambao maamuzi yenu
yatabakia kungangania
kuipigia kura katiba
hii ya serikalimbili, ipo
s i k u m a a m uz i ye nu
ya t a t u g h a r i m u s o t e ,
ikitokea sio sisi watoto
wetu au vijukuu vyetu,
hivyo tujiepusheni na
msiba huu wa kujitakia
kwa sababu hakutokuja
kuwepo wa kutupa pole.
19
Makala ya Mtangazaji
AN-NUUR
stated Abbas.
Abbas made these
remarks during his latest
official visit to Russia,
during which Russias
leader Vladimir Putin met
with him on Monday in his
Novo-Ogaryovo residence
outside Moscow.
The current state of
Israeli-Palestine relations
as well as armed conflicts
in the Middle East was at
the top of the talks agenda.
Now as the situation
grows more difficult in
the region, of course, it
is very important to hold
consultations on the full
range of issues. I mean
of course, primarily the
Israeli-Palestinian issue
but not only that, I would
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
Baadhi ya viongozi
wa Baraza la Wanawake
wa Kiislamu Tanzania
wamemtembelea Sheikh
Ponda Issa Ponda katika
gereza la Morogoro
m w i s h o n i m wa w i k i
iliyopita.
Viongozi hao
wamefanya ziara gerezani
hapo na kuonana na Sheikh
huyo anaeshikiliwa
gerezani hapo.
Viongozi
hao
waliowawakilisha
kinamama wenzao
wakiongozwa na Ukhti
Mayasa Sadallah ambaye
ni Naibu Katibu Mkuu wa
Baraza la wanawake wa
Kiislamu Tanzania akiwa
amefuatana na Amira
wa Baraza hilo Wilaya
ya Ilala, Ukht Hindu
Abdallah.
Akiongea na mwandishi
wa habari hizi Ukhti
Mayasa baada ya ziara
hiyo anasema anashukuru
sana kwa mapokezi na
ukarimu kutoka kwa
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, jawabu kamili wiki ijayo.
1. Sura za Makiya ni
2. Sura Madaniya ni ..
3. Anaitwa nani aliotafsiri Tafsiri ya Quran kwa jina la al-Tabari katika mwaka
wa 310 AH?
4. Mtume SAW alipewa Utume akiwa na umri wa miaka mingapi?
5. Ujumbe, Wahyi wa mwanzo aliteremshiwa Mtume SAW akiwa yupo wapi?
6. Vita vya pili Waislamu walivyopigana baada vya Badr vinaitwaje?
7. Mtume SAW alikufa akiwa na umri gani?
8. Taja jina la Mtume alioishi wakati mmoja na Mtume Mussa
9. Wataje watoto wawili wa Mtume Ibrahim na ..
10. Bibi Aisha alikufa akiwa na umri wa miaka mingapi?
Unajua
Kuwa Quran ndio kitabu kinachosomwa zaidi kila siku duniani?
Kuwa majina mengine ya Quran ni Al-Furqaan, Al-Kitaab, Al-Zikr, Al-Noor,
Al-Huda.
Mtume Mussa ametajwa katika Quran mara 136 katika Sura mbalimbali?
Quran ina Surah 114.
Suratul Naml ni Sura pekee Bismilalhi imetajwa mara 2.
Mtume amepokea wahyi kwa kipindi cha miaka 13 na kati ya hayo miaka
10 peke yake amepokea wahyi akiwa Madinah.
Kuwa jina la Bibi Maryam ni jina la mwanamke lilotajwa kwa jina.
Kuwa Quran ni kitabu pekee kilichohifadhiwa kwa ghibu na watu wengi
duniani hakuna kitabu chochote ambacho watu wamekihifadhi kwa ghibu zaidi ya
Quran.
Kuwa mwanadamu huvuta pumzi kwa kutumia gesi ya Oxygen na kutoa
Carbon dioxide wakati miti huvuta pumzi kwa kutumia gesi ya Carbon dioxide
na kutoa Oxygen.
Kuwa jangwa la Sahara ni kubwa kuliko yote duniani.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.