Está en la página 1de 20

Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu

Mchungaji, magazeti
wanachochea ugaidi

Sauti ya Waislamu

Wanatumika kama washenga wa mabeberu


Kama walivyosema Jibu, nasi tunanawa mikono

ISSN 0856 - 3861 Na. 1166 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Uk.6

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa


Ni kama walivyouliwa 8000 kule Srebrenica
Kijiji kizima chateketezwa wakiwa Msikitini
Jeshi latuhumiwa kushiriki. Kambi yatekwa
'Danganya toto, makamanda 10 wakamatwa

Brigedia Generali Enitan


Ransome-Kuti.

Major-General Chris
Olukolade.

UAMSHO wadaiwa kupanga


kulipua Makanisa Pasaka
JUU. Swala ya maiti Waislamu waliouliwa Nigeria. Chini swala katika kambi ya
wakimbizi.

Ndio walipambana na JWTZ Amboni!


IGP Ernest Magu atakiwa asipuuze
Akamatwa na Jeshi akisambaza hofu

UGWU Lawrence.

Tahariri/Maoni
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Neno la mwisho kwa Waislamu


Neno la mwisho kwa Watanzania
BOKO Haram wanadaiwa
kuwa ni Waislamu ambao
wana lengo la kuifanya
Nigeria, itawaliwe kwa
Shariah. Na ili kufikia
lengo hilo, inadaiwa
kuwa wametangaza kuwa
Wakristo katika nchi
hiyo, hawatakuwa salama
mpaka wasilimu wote.
Hapo ndio hufuatia
yanayodaiwa kuwa
matukio ya kulipua
makanisa na kuuwa
Wa k r i s t o k a t i k a
yanayodaiwa kuwa ni
mashambulizi ya kigaidi.
Hata hivyo, toka harakati
za Boko Haram zimeanza,
mashambulizi ya kigaidi
yamekuwa yakifanyika
K a s k a z i n i m wa n c h i
hiyo na wanaouliwa ni
Waislamu.
Mwanzoni mwa mwezi
u l i o p i t a wa J a n u a r i ,
wanaodaiwa kuwa ni
Boko Haram walivamia
mji wa Baga na kuuwa
watu zaidi ya 2000 huku
wakichoma moto nyumba
zao. Takribani watu wote
katika mji huo, ni Waislamu
wanaosimamisha swala
tano. Hata katika kambi
za wakimbizi ambako,
walionurika kuuliwa wapo
hivi sasa, wanaonekana
wakisimamisha swala kwa
jamaa, eneo la wazi.
Kama lengo la Boko
Haram ni kusimamisha
Shariah, inakuwaje tena
waangamize Waislamu
ambao tayari wapo katika
kutekeleza Dini? Kama
Boko Haram, wanataka
kuwasilimisha Wakristo
kwa nguvu, tungewaona
basi wakivamia miji yenye
Wakristo na kuwataka
wa s i l i m u k wa m t u t u
wa bunduki, wakikataa
wa wa u we . S i o h i i ya
kuuwa Waislamu.
Tuseme kuwa, historia
ya Boko Haram inaanza
kwa mtu akiitwa Ustadh
Mohamed Yusuf (Abu
Fulani). Kufuatia
mafundisho na mihadhara
yake, na jinsi alivyokuwa
akipewa fursa katika
v y o m b o v ya h a b a r i ,
Masheikh walionya
wakitoa hoja kuwa

anachozungumza Ustaz
Yusuf, sio Uislamu.
Hata hivyo, kila walivyo
jitahidi kutoa tahadhari,
ndivyo Yusuf, alivyozidi
k u p a m b wa n a wa k a t i
huo kukiwa na kila dalili
kuwa harakati za Yusuf,
zinaelekea kuleta balaa
la machafuko katika
nchi. Lakini wakati huo
huo, Ustaz Yusuf, akizidi
kungara kimaisha. Akiishi
katika nyumba nzuri na
k u e n d e s h a m a g a r i ya
kifahari, watoto wake
wakisoma Ulaya, tofauti na
alivyokuwa huko nyuma.
Na hata ikitokea polisi
katika kutekeleza wajibu
wao wakimkamata Ustaz
Yusuf, hutokea baadhi
ya wanasiasa kumkingia
kifua, na hata kumtoa
rumande anapokamatwa.
Mmoja katika wanasiasa
waliotajwa sana ni Jerry
Gana. Huyu aliwahi kuwa
Waziri wa Habari 2001
mpaka 2003 na sasa ni
katika kamati ya uchaguzi
ya Rais Goodluck Jonathan.
Baada ya kufikia hatua
kwamba washapatikana
vijana wa kutosha
na waliojazwa jazba
za kufanya lolote
watakaloelekezwa na Ustaz
wao, ikibidi hata kuchinja
kafiri, Ustaz Mohamed
Yusuf akakamatwa
na wale wanasiasa
wa l i o k u wa wa k i m t o a
rumande kila alipokuwa
akikamatwa na polisi,
safari hii, walitoweka. Kila
alivyompigia simu Jerry,
hakuweza kupatikana.
Baada ya Ustaz
kuhojiwa, aliuliwa kikatili
huku ukichukuliwa
mkanda wa video. Habari
hizo zikasambazwa katika
vyombo vya habari na
katika mitandao.
Kusambaa kwa picha
hizo za mauwaji ya
Ustaz, ikazuka balaa.
Vijana, wanaharaki, watu
wa mzaha wa Jihad,
wakaingia mitaani. Polisi
na vyombo vya usalama
navyo vikaingia kazini.
We n g i wa k a k a m a t wa .
Leo ukimtaka mfuasi wa
Ustaz Mohamed Yusuf,

hutampata. Kwa hiyo,


kila litakalosemwa kuwa
l i m e f a n y wa n a B o k o
Haram, hutampata mtu
wa kukanusha.
Ufafanuzi: Ushahidi
uliopo mezani ni kuwa
harakati za ustaz
Yusuf, ilikuwa ni katika
kuwafikisha Waislamu
h a p a wa l i p o N i g e r i a
ambapo wanauliwa
ovyo. Alitumiwa kupiga
propaganda ya mzaha
wa Jihad na kuchinja
makafiri, tofauti na Jihad
ya kweli inayojulikana
katika Uislamu. Ilipofikia
mahali kwamba mtaji wa
kuwahujumu Waislamu
ushapatikana, akauliwa.
Ile kwamba aliteswa na
kuuliwa kikatili na kisha
taarifa zake kusambazwa
katika vyombo vya habari
na mitandao, ilifanywa
makusudi ili kila aliye
mfuasi wake ajitokeze
katika hasira za kuona
kadhulumiwa. Hiyo
ikatumika kama fursa ya
kuwatambua na kuweka
rekodi zao. Ukiongea na
Waislamu wa Nigeria
wanaofuatilia habari za
Boko Haram kwa mtizamo
sahihi, watakuambia kuwa,
takribani baada ya pale,
vijana wale walikuwa
wakifuatwa mtaa kwa mtaa
na nyumba kwa nyumba
mpaka wakauliwa wote.
Kufikia hapo, sasa
waliotafuta mtaji huo,
wanautumia wenyewe
watakavyo, na hakuna
Boko Haram wa wakati
wa Ustaz na Abu Fulani
wa Nigeria wa kusimama
na kukanusha. Na
hakuna anayewajua Boko
Haram wa leo. Ni kama
alivyosema Mkuu wa Jeshi
wa nchi, hiyo. Limekuwa ni
jinamizi.
Waislamu waliokuwa
Boko Haram, wa
kuwapa makafiri mtaji
wa kuwaangamiza
Waislamu, wameuliwa.
Na mwezi uliopita mtaji
huo umetumika kuuwa
Waislamu 2000 na kuchoma
nyumba zao. Aidha, mtaji
huo hivi sasa hutumika
kuutukana Uislamu na
kuwatukana Waislamu
kwa kuwasingizia ugaidi
na kila aina ya ukatili na
ushenzi.
Wa p o b a a d h i y a
Waislamu hapa nchini
ambao, kila ukisikiliza
mawaidha yao na
maongezi yao, unapata
wasiwasi kuwa huenda na
sisi tumepandikiziwa akina
Ustaz Yusuf miongoni
mwetu. Chukulia kwa
mfano unamsikia mtu
katika nyakati hizi
ambapo kuna kila aina
ya p r o p a g a n d a k u wa
wapo magaidi wanachinja

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015


Wakristo kule Misri na
Syria, anasimama Ustaz
au Khatib katika Ijumaa
anatoa Khutba akihimiza
Wa i s l a m u k u c h i n j a
makafiri kwa kisu kikali
ili asiteseke wakati wa
kuchinjwa. Analiunganisha
hili na haki ya wanyama,
kwamba moja ya haki
zao ni kuwa hata kama
anachinjwa kwa ajili ya
kitoweo asiteswe kwa
kuchinjwa na kisu butu.
Hii haiwezi kuwa bure.
Lakini, tunavyoijua
nchi hii, hali itakuwa ya
wasiwasi na ya kutisha
zaidi, iwapo mazungumzo
ya namna hiyo, yatakuwa
yanapita hadharani katika
misikiti au mitaani tu,
watu wakiwa hawana
wasiwasi. Hiyo tafsiri yake
itakuwa kuwa huenda
tunao akina Jerry Gana
wetu wa kuandaa mtaji wa
kuwahujumu Waislamu.
Na hawa ni wazito!
Wanaingia hata polisi
kuwazuiya wasitekeleze
wajibu wao.
Masheikh wetu
wanatuambia kuwa
zinapokutana shari mbili,
unazuiya ile kubwa, hata
kama itabidi kuingia
katika shari ndogo.
Misikiti takribani yote,
ama itakuwa chini ya
Bakwata au Baraza Kuu,
au Taasisi ya Ansaar Sunna.
Tunachohimiza hapa ni
kuwa imefikia mahali
taasisi hizi ziwajibike kwa
misikiti yao. Ijulikane hata
inatoa hutuba za namna
gani katika Ijumaa.
K a m a wa t a s h i n d wa
kutekeleza jukumu hili,
itabidi tuchukue shari
ndogo. Serikali iwasaidie.
Kisiasa na kidini,
h a i t a k u wa s a wa k wa
serikali kuwa inaweka
utaratibu wa kudhibiti
h o t u b a z i n a z o t o l e wa
Misikitini, lakini kama
Baraza Kuu, Bakwata,
Ansaar Suna, na wengine
watashindwa kutekeleza
wajibu wao, na ikawa njia
pekee ya kuwadhibiti akina
Ustaz Yusuf na Jerry Gana
wao ni kupitia mkono wa
serikali, hii itakuwa shari
ndogo kuliko kusubiri hili
la sasa la Boko Haram,
Nigeria.
We n g i n e a m b a o
wametoa mchango
m k u b wa s a n a k a t i k a
kuifikisha Nigeria hapa
ilipo, ni vyombo vya habari
na baadhi ya wachungaji,
hasa wa makanisa ya
kilokole.
Unaweza kusema kuwa
huenda vyombo vya habari
vilinufaika kwa kuuza sana

magazeti kwa kuchapisha


habari za Congo na
kudai kuwa ni Waislamu
wanachoma moto Wakristo
Nigeria. Na ni wazi pia
kuwa walikuwa wakipewa
pesa.
Kwa wachungaji nao
kama Ayo, ambao hivi
sasa wanatembelea
ndege binafsi na magari
ya kifahari, huenda nao
wananufaika kwa kupewa
fedha.
Lakini ukitizama, hata
kama kuna manufaa
yoyote ya kipesa, bado
utakuwa ni ujinga iwapo
mtu utauza utu wako na
nchi yako kwa pesa.
Hawa nao inabidi
serikali na jamii kwa
ujumla itizame namna ya
kuwashughulikia maana
Waswahili wana misemo
ya o : M c h e l e a m wa n a
kulia, hulia yeye. Mdharau
mwiba, guu huota tende.
Na Mchuma janga, hula na
wakwao.
Mwaka 1941 wakati
Marekani ikijiandaa
kuingia vitani na Japan,
iliandaa filamu tatu za
kuwatia mori askari wake.
K a t i k a u t a n g u l i z i wa
filamu moja, mshereheshaji
ananukuliwa akieleza waJapan, ni watu gani.
The Japanese are easy
to knowthey are as different
from ourselves as any people
on this planet. The real
difference is in their minds.
You can not measure Japanese
sense of logic by any Western
yardstick. Their thinking is
2000 years out of date.
Ta f s i r i n y e p e s i y a
maneno haya ni kuwa
Wa j a p a n , n i wa j i n g a
sana wakilinganishwa
na Wamarekani. Kama
utachukulia ile nadharia
ya evolusheni ya Darwin,
ni kuwa ilipo akili ya
Wajapan hivi leo na uwezo
wao wa kufikiri, ni kama
walivyokuwa Wamarekani
miaka 2000 iliyopita.
Pengine
sasa
tujiulize, baada ya yote
haya yaliyoelezwa na
yanayofahamika juu
ya Boko Haram, na
machafuko yanayoendela
Nigeria.
Iwapo
tutaendeleza kampeni
chafu za kupandikiza
kitisho cha ugaidi nchini
mwetu, hivi tutakuwa na
haki gani ya kuwalaumu
wale wanaokutana na
a k i n a Pa t o r A y o d e l e
Joseph Oritsejafor kule
Washington, wakitutukana
kuwa sisi ni wapumbafu.

3
Na Bakari Mwakangwale
I M E E L E Z WA k u w a
kuna wasiwasi huenda
serikali na maaskofu
wanashirikiana
k u k wa m i s h a h a k i z a
Waislamu.
Hiyo ni kutokana na
ukweli kwamba mara zote
Waislamu wanapodai yale
wanayoamini kuwa ni
haki yao, wanaosimama
kupinga ni maaskofu na
mara zote serikali imekuwa
ikiwasikiliza na kupuuza
yale ya Waislamu.
Na hiyo hutokea hata pale
ambapo serikali yenyewe
ishatangaza kuridhia
madai ya Waislamu.
Hayo yameelezwa na
Amiri wa Baraza Kuu
la Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu nchini,
Alhaj Mussa Kundecha,
akiwahutubia Waislamu
katika Kongamano
lililofanyika Jumapili ya
wiki iliyopita katika Msikiti
wa Tungi, Temeke Jijini Dar
es Salaam.
Kundecha amesema,
Serikali ni sawa na refa
kiwanjani hivyo anatakiwa
k u s i m a m i a h a k i k wa
pande zote kinyume chake
anaweza kuvuruga amani
ndani ya uwanja na nje
kwa mashabiki wa pande
hizo mbili.
Tu n a i t a k a S e r i k a l i
iwakemee Maaskofu na
ichukue hatua madhubuti
kwa mwenendo wao huo,

Habari

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Serikali inawatumia Maaskofu


kukwamisha haki za Waislamu

kitendo cha kupinga haki za


Waislamu wanazotakiwa
kuzipata kupitia Serikali
yao na wao (Serikali)
kuwakalia kimya si ishara
nzuri, hali hii ikiendelea
ina maana refa kashindwa
kuchezesha mechi na
atakuwa amesababisha
mashabiki kupambana wao
kwa wao nje ya uwanja.
Alisema na kutaadharisha
Alhaj Kundecha.
Alisema, kwa kimya
hicho bila shaka Serikali
inafurahia mwenendo huu
na inaridhika na hatua
ya Maaskofu kuwaingilia
Waislamu katika mambo
yao ya kiimani na kikatiba
ndani ya nchi yao.
Alhaji Kundecha,
a l i s e m a Wa i s l a m u
wamevumilia kwa muda
mrefu mwenendo huo
wa viongozi wa Dini ya
Kikristo na kubaini kila
wanapohitaji haki zao
k u p i t i a S e r i k a l i ya o ,
wanaoibuka kupinga ni
Maaskofu, Mapadri na
Wachungaji walio nje ya
Serikali.
Alisema, pamoja na
haki hizo kupitia taratibu
zote za kisheria na hata
Serikali kujiridhisha na

kutamka katika vyombo


vya kisheria kuwa hakuna
tatizo kwa mambo hayo
ya Wa i s l a m u k u p i t i a
Serikalini, utekelezaji wake
huwa mgumu pindi tu
Maaskofu wanapoingilia
kati.
Alisema, hivi karibuni
kupitia Bunge, Mjini
Dodoma, ilitolewa kauli
na Serikali kuwa jambo
la Mahakama ya Kadhi
halina tatizo na Serikali
imejiridhisha kabisa,
akasema kauli hiyo sawa
na ile kuhusu suala la OIC.
Lakini pia akasema, hivi
karibuni Mwanasheria
Mkuu wa sasa wa Serikali,
naye hivi karibuni
mbele ya waandishi
wa H a b a r i , a l i o n e s h a
kuwatafadhalisha
Maaskofu, Mapadri na
Wa c h u n g a j i , w a s i w e
na wasiwasi na suala
hili kwani halina tatizo
kisheria.
H a i we z e k a n i , wa o
ndio wawe kikwazo
katika kupata haki zetu za
msingi, tunakwamishwa
siku zote na wenzetu wa
imani ya upande wa pili,
wanatuingilia kwa ajili
gani, tumewakosea nini?
na Serikali kwa nini iwe

kimya na ipate kigugumizi


c h a k u t e k e l e z a i k i wa
imejiridhisha?. Alihoji
Alhaj Kundecha.
Alisema, Serikali
i m e k u wa k i m ya s i k u
zote viongozi wa
Kikristo wakiwapanda
vichwani Waislamu pasi
ya kukemea jambo hilo,
hali hiyo inajenga hofu
kwa Waislamu kwamba
(Serikali) inawatuma watu
hawa wafanye hivyo.
Kwa sababu, akasema
kama isingekuwa
inawatuma ingekemea
kauli za Maaskofu hao
kwani kauli za hivi
karibuni kupinga
Mahakama ya Kadhi ni
tukio la tano katika jumla
ya masuala ya Waislamu
kila wanapopeleka madai
yao Serikalini.
Aidha, Alhaj Kundecha,
a l i s e m a k wa u p a n d e
mwingine kipo chombo
kinachojiita Baraza la
Viongozi wa Dini ambalo
linajinasibu kusimaia
misingi ya amani, upendo
na mshikamano baina ya
Waislamu na Wakristo
nchini.
Alisema, alitegemea
viongozi wa Baraza hilo
nao wangekemea hali hii

ya Maaskofu kuwaingilia
n d u g u z a o Wa i s l a m u
wanapodai haki zao ili
kuepusha kuvunjika kwa
upendo na mshikano baina
ya pande hizo mbili za dini.
Katika susla hili, Baraza
hilo ndio lingesimama
katika haki kwa kuwaunga
mkono kwa kuwa wenzao
wanahitaji haki yao kiimani
kwa kufanya hivyo ni wazi
ingekuwa imeonyesha
upendo na mshikamano,
lakini sio kuandaa mechi
ya mpira kisha unasema
huu ni urafiki, upendo na
mshikamano katika kuleta
amani na nchini.
Lakini wanaandaa
m e c h i wa n a c h e z a n a
kupeana mikono siku ya
pili Maaskofu wanaita
waandishi wa habari kisha
wa n a p i n g a Wa i s l a m u
kupata haki zako, sasa
huu ni urafiki au unafiki
na upendo wa namna
gani.Alisema huku akihoji
Alhaj Kundecha.
Alhaj Kundecha, alisema
kutokana na hali ilivyo
sasa Serikali isimamie
wajibu wake na iwakemee
Wakristo kuingilia mambo
ya Wa i s l a m u a m b a y o
hayahusu jambo ambalo
kama si subira ya Waislamu
inaweza kuleta hali ya
hatari humu nchini.
Alisema, Serikali yenye
busara huwa inaangalia
hali za raia wake na mahitaji
yao, na jitihada zake siku
zote iwe ni kukidhi haja za
raia wake ili itawale kwa
urahisi.

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa


Na Mwandishi Wetu

ZIPO taarifa kuwa


zaidi ya Waislamu 2000
wameuliwa huku kijiji
c h a o k i k i a n g a m i z wa
kabisa.
Ni mauwaji ambayo, kwa
kila hali, yanafanana na yale
ya kuuliwa Waislamu 8000
kule Srebrenica, Bosnia.
Waliosalimika hivi sasa
wapo katika makambi ya
wakimbizi wakishindwa
kurejea katika makazi
yao kwa sababu zaidi ya
asilimia 75 ya nyumba zao
zimeteketezwa.
Shambulio hilo lilifanywa
alfajiri takribani wanaume
wote wakiwa misikitini
wakiswali swala ya alfajiri.
Wanawake na watoto
walikutwa majumbani
wakishindwa kupata
wat et ezi na wan aume
waliokuwa Misikitini nao
wakivamiwa bila ya kuwa
na silaha za kujihami.
Mji wa Baga, Nigeria
uliovamiwa, takribani ni

wa Waislamu watupu
walioshikamana na dini
yao ambapo ikifika muda
wa swala, wanaume wote
wanakuwa Msikitini.
Kutokana na hali
hiyo, inaelezwa kuwa
washambuliaji walifahamu
kuwa kila atakayeuliwa ni
Muislamu na kila nyumba
itakayochomwa moto ni ya
Muislamu.
Many inhabitants
had already gone to pray
when gunshots rang out on
Saturday, 3 January. The first
raid started at about 05:45
local time (04:45 GMT), just
before dawn.
Anasimulia manusura
m m o j a wa t u k i o h i l o
Haruna Muhamad akisema
kuwa walivamiwa alfajiri
wakiwa tayari msikitini
na kuongeza kuwa japo
walikutwa Msikini wakiwa
hawana silaha, waliweza
kukimbia na kuokota
silaha walizoweza kupata
yakiwemo mapanga na
visu, wakaweza kuwatimua
washambuliaji.

Haruna akiongea
na mwandihi wa BBC
Thomas Fessy (West Africa
correspondent), anasema
kuwa baada ya wavamizi
kukimbia, wananchi
walitoa taarifa katika
kambi ya jeshi Baga, iliyo
jirani.
Anasema, kambini hapo
makamanda walioongea
n a o wa l i wa f a h a m i s h a
kuwa, waliowashambulia
ni Boko Haram.
Hata hivyo, taarifa
zaidi zinasema kuwa,
badala ya kupata msaada
kutoka kambi hiyo, ndio
mara wakakuta kundi
kubwa zaidi la wavamizi
wakiwemo wenye sare za
jeshi wakirudi na kuanza
kuuwa watu.
Wengi walikuwa na
silaha nzito za kijeshi
yakiwemo mabomu ya
kurusha kwa mkono
wakiwa na magari ya
kijeshi kadhaa, pick-ups
na pikipiki.
Manusura hao wanasema
kuwa hawakuwa na

namna ya kupambana na
washambuliaji hao wenye
silaha nzito huku wao
wakiwa na mapanga, ndio
ikawa mtafaruku watu
kukimbia ovyo kila mtu
kusalimisha nafsi yake
ikawa mume anapoteana na
mke na mama anapoteana
na watoto.
Ta a r i f a z i n a e l e z a
kuwa kuna baadhi ya
wanajeshi walionekana
wakiwa na silaha wakitaka
kupambana na wavamizi
hao waliodaiwa kuwa ni
Boko Haram, lakini katika
hali ya kushangaza, punde
tu, wakatupa silaha chini
na kukimbia.
Anasimulia mama
mmoja Saratu Garba,
mama wa watoto wawili
ambaye alifanikiwa
kukimbia na watoto wake
hao akanusurika.
Anasema, wengi
walikimbilia katika mji
wa D o r o n B a g a , u l i o
kando ya Ziwa Chad,
l a k i n i wa s h a m b u l i a j i
wakawafuata huko huko

ikabidi watu kujazana


katika mitumbwi
k u k i m b i l i a v i j i j i v ya
ngambo ya Ziwa kwa
upande wa Chad.
Mashambulizi
yalifanyika kwa siku tano
mfululizo, kutoka Januari
3 hadi saba, Waislamu
wakifuatwa kila mji na
kijiji wanakokimbilia huku
nyumba zao zikichomwa
moto.
Ta a r i f a ya a wa l i ya
Shirika la Human Rights
na Amnesty International,
inasema kuwa japo si
rahisi kwa sasa kusema
k wa uhak ik a ni watu
wa n g a p i wa m e u l i wa ,
lakini wanaweza kufika
2000 na zaidi.
Picha za Satellite katika
mji wa Baga na Doron
Baga, kama zilivyopigwa
na kutafisiriwa na Amnesty
International, zinaeleza
kuwa zaidi ya nyumba
3,700 zimeharibiwa kabisa
kwa kuchomwa moto au
Inaendelea Uk. 10

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

UAMSHO wadaiwa kupanga kulipua Makanisa Pasaka


Na Mwandishi Wetu

GAZETI moja la
Kikristo kwa jina
la Jibu la Maisha,
limesambaza kitisho
kuwa Jumuiya
ya Mihadhara ya
Kiislamu (maarufu,
U A M S H O ) ,
wanapanga kuleta
msiba mkubwa
wakati wa Pasaka.
Msiba huo utakuwa
ni kulipua makanisa
na kuuwa Wakristo.
K u f u a t i a
kupatikana kwa
habari hizo, Polisi
wametakiwa
wasipuuzie tishio
(hilo) la ugaidi
kwenye Pasaka
unaoandaliwa
n a M a s h e i k h wa
UAMSHO.
Aidha, gazeti hilo
la Kikristo limedai
k u wa , M a s h e i k h
wa UAMSHO,
ndio waliokuwa
wakipambana
na Polisi kule
Amboni hadi
Polisi wakazidiwa,
wakaitwa JWTZ.
Jibu la Maisha
wanalionyesha hilo
pale wanaposema:
Kwa
mara
nyingine tena
tumechapisha
hadharani jumbe
zinazoenezwa na
wanaodaiwa na polisi
kuwa ni majambazi
wakitishia kuibua
msiba mkubwa
wakati wa siku kuu
ya kukumbuka kufa
na kufufuka kwa
Bwana Yesu Kristo
(Pasaka).
Wamesema Jibu la

IGP, Ernest Mangu.


Maisha katika tahariri
yao ambapo ujumbe
wanaokusudia
wameuweka katika
habari iliyopo
ukurasa wa tano.
Jeshi la Polisi
kupitia kwa
Mkurugenzi wa
Operesheni na
Mafunzo, limekuwa
likikariri kuwa
kile kilichofanyika
Amboni, ni harakati
za kukabiliana na
wahalifu, na wala sio

suala la ugaidi.
Chini ya kichwa
cha habari kidogo
Tishio la Msiba
Wa k a t i
w a
Pa s a k a , J i b u l a
Maisha walinukuu
ujumbe wanaodai
unasambazwa
sasa, lakini ukiwa
umesambazwa awali
wakati alipouliwa
Padiri wa Kanisa
katoliki, Zanzibar.
Huu ni mmoja
wa ujumbe ambao

gazeti hilo la Kikristo


limeuhusisha na
wahalifu wa
Amboni.
Kule Nigeria
ambapo inaonekana
baadhi ya Makanisa,
wachungaji na
magazeti hapa
Tanzania, yanaiga
nyendo zao, jeshi la
nchi hiyo liliwahi
kumkamata kijana
wa Kikristo akiitwa
Ugwu Lawrence kwa
kusambaza habari za

vitisho bandia.
Security operatives
in Abuja have arrested
a man accused of
creating panic by
sending phony text
messages threatening
people about impending
Boko Haram attacks.
Ugwu Lawrence,
the suspect, reportedly
confessed to the crime
after being traced and
arrested by security
agents, the Nigerian
Defence Headquarters
reports.
N d i v y o
ilivyoandikwa habari
hiyo chini ya kichwa
cha habari Man
Arrested for Playing
Boko Haram, Sending
False Alarms about
Bombings.
Kijana Lawrence
anatuhumiwa kuwa
katika mtandao wa
vijana wa Kikristo
ambao walikuwa
wakitumiwa
kusambaza vitisho
bandia kuwa Boko
Haram, watalipua
hoteli na makanisa
sehemu mbalimbali.
Wakati mwingine,
vitisho bandia
hivyo vikifuatiwa
na matukio ambapo
kwa vile habari za
awali zilishawataja
watuhumiwa,
wahusika halisi
huwa hawapatikani.
Mara kadhaa,
walikamatwa
vijana wa Kikristo
wakijaribu kuchoma
makanisa baada
ya v i t i s h o h i v y o
kusambazwa. (Soma:
When Boko Haram
Became Christians,
HAUSA/FULANI
AS NIGERIA
SCAPEGOAT)

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Mahakama yazuia vipengele kandamizi sheria ya Usalama Kenya

MAHAKAMA Kuu nchini


K e n ya i m e h a r a m i s h a
b a a d h i ya v i p e n g e l e
katika Sheria ya Usalama
iliyolenga kuukabili
ugaidi.
Uamuzi huo wa
Mahakama Kuu ya Kenya
umeelezwa kuwa ni pigo
kwa Serikali ya Kenya,
ambayo tayari Rais Uhuru
Kenyata, alishaweka
saini kupitisha vipengele
hivyo kwa ajili ya kuanza
kutumiwa katika mfumo
wa sharia wa nchi hiyo.
Muungano wa Upinzani
nchini Kenya na Mashirika
mbalimbali yalikwenda
mahakamani mwaka jana
kupinga vipengele hivyo
kujumuishwa katika sheria
hiyo ya usalama, baada
ya Bunge kupitisha sheria
hiyo.
Jopo la Majaji watano
wa Mahakama Kuu
wakiongozwa na Jaji Isaac
Lenaola, waliharamisha
vipengele 10 kikiwemo
kile kinachohusu uhuru
wa vyomo vya habari
na haki ya watuhumiwa
wanapofikishwa
mahakamani.
Uamuzi huo ulichukua
takriban saa tano na
Majaji hatimaye waliamua
kuwa baadhi ya vipengele
havikuwiana na katiba ya
nchi hiyo.
Katika uamuzi wao,
walikubali kuwa Kenya
imekumbwa na visa
vingi vya ugaidi katika
miaka mitatu iliyopita na
inastahili kuwa na mbinu
za kuisaidia kukabiliana
na tatizo hilo, hata hivyo
majaji walisema kuwa haki
za watuhumiwawa ugaidi
zinatakiwa kuzingatiwa.
Vipengele vingine
vilivyoharamishwa
ni pamoja na kile cha
kuwalazimisha wanahabari
kuchapisha baadhi ya
picha kwa ruhusa ya polisi,
kuwashikilia watuhumiwa
bila kuwapa nafasi ya
kujitetea na kuwanyima
dhamana wanapopelekwa
mahakamani bila sababu
za kuridhisha.
Aidha mahakama
imeharamisha jaribio la
serikali kutaka kuweka
kiwango cha wakimbizi
wanaostahili kuhifadhiwa
Kenya kutozidi laki moja
na nusu, na kusema kuwa
ni kinyume cha mkataba
wa Geneva.
Uamuzi huo wa
Mahakama
Kuu
ulifurahiwa na muungano

wa upinzani CORD
pamoja na mashirika ya
kidemokarasi na kutetea
haki.
Hata hivyo Wakili wa
Serikali, Njoroge Mwangi,
alisema serikali itakata
rufaa ya kuondolewa
v i p e n g e l e h i v y o v ya
Sheria hiyo, iliyopitishwa
na Bunge Desemba 14
mwaka jana katika
kikao kilichokumbwa na
vurumai huku wabunge
wakipigana hadharani.
Baada ya hapo Rais
Uhuru Kenyatta alitia
saini mswada huo na
kuufanya sheria Desemba
22 ambapo chama cha
CORD kiliamua kwenda
mahakamani kikidai kuwa
sehemu nyingi za sheria
hiyo zilikiuka katiba.
Mashirika mengine
yalijiunga katika mchakato
h uo n a kuju mu is h wa
katika kesi, ikiwemo Tume
ya Kitaifa ya Kutetea Haki
za Binadamu.
Awali Jaji wa Mahakama
Kuu alikuwa amezuia
vipengele vinane vya
sheria hiyo kutotekelezwa
na kumchochea Mkuu
wa Sheria kukataa rufaa
lakini bado Mahakama ya
Rufaa ilishikilia uamuzi
wa Mahakama Kuu.
Kinachosubiriwa kwa
sasa ni kutazama mwelekeo
utakaochukuliwa, kufuatia
muun gan o wa C ORD
kusma kuwa wataenda
tena Mahakama ya Rufaa
kutaka sehemu nyingine za
sheria hiyo kuchunguzwa.
(BBC).

RAIS wa Tunisia Beji


Caid Essebsi, ametimua
b a l o z i wa M a r e k a n i
nchini humo Jacob Walles
katika Ikulu yake.
Taarifa zinasema kuwa,
kutimuliwa Balozi huyo
wa Marekani ndani ya
Ikulu ya Rais wa Tunisia,
kulitokana na kitendo cha
Balozi Walles kumweleza
Rais Essebsi juu ya
mpango wa Washington
kutaka kujenga kambi
ya kijeshi nchini Tunisia,

mpango ambao Rais


Essebsi aliupingwa vikali.
Duru za habari zinasema
kuwa, Rais Essebsi
alikasirishwa sana na
matamshi ya balozi huyo
wa Marekani kiasi kwamba
alikataa kuzungumza kwa
njia ya simu na Rais Barack
Obama wa Marekani baada
ya kuombwa kufanya
hivyo.
Essebsi mwenye umri wa
miaka 88 alishinda kwenye
duru ya pili ya uchaguzi

wa rais uliofanyika mwaka


jana nchini Tunisia, baada
ya kujipatia asilimia 55.68
za kura zote.
Rais Essebsi, ambaye
aliwahi kushika nyadhifa
nyeti kama vile Waziri
Mkuu, Waziri wa Mambo
ya Ndani, Waziri wa Ulinzi
na Waziri wa Mambo ya
Nchi za Nje katika utawala
wa zamani wa Tunisia,
a l i r e j e a t e n a k we n ye
ulingo wa kisiasa kupitia
chama cha Nidaa Tounes.
(irib).

M WA N A H I S T O R I A ,
mwandishi wa habari,
mhadhiri maarufu na
mtaalamu wa masuala ya
kisiasa nchini Marekani
Webster Griffin Tarpley,
amefichua kuwa kundi la
wapiganaji nchini Syria
na Iraq la Daesh, ni jeshi
la siri la Washington
katika nchi za Kiislamu
na Kiarabu.
Akinukuliwa na
mtandao wa habari wa
'Alwaie News', Webster
alisema kuwa, Abubakar
al-Baghdadi, kiongozi
wa kundi hilo ni rafiki
wa karibu sana na seneta
John McKean wa jimbo la
Arizona nchini Marekani.
Mwanahistoria huyo
mashuhuri nchini
Marekani amefichua

kuwa, lau kama


Washington ingekuwa
adui wa kweli wa kundi
hilo, basi ingekata njia zote
za mawasiliano na kundi
hilo la Daesh, ikiwemo pia
Intaneti, lakini hali haiko
hivyo kabisa.
Aidha aliutaja mji
wa Derna nchini Libya
u l i o s h a m b u l i wa h i v i
karibuni na ndege za
kijeshi za Misri, kuwa
ni mji mkuu wa dunia
wa ugaidi na kuongeza
kuwa, licha ya kwamba
mji huo una idadi ndogo
ya wakazi, lakini ndio
unaoongoza kwa kutuma
idadi kubwa ya wapiganaji
wa kundi hilo kwenda
Iraq na Syria kupigana na
kufanya ukatili dhidi ya
binadamu.

Webster Griffin Tarpley,


alipata umaarufu zaidi
kutokana na tabia yake
ya kukosoa siasa mbovu
za serikali ya Marekani,
h u k u a k i wa m j u m b e
wa Congress ya dunia
ya mapambano dhidi ya
ubeberu.
Katika tukio jingine,
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Urusi, Sergei Lavrov,
ameituhumu Marekani
kwa njia isiyo ya moja kwa
moja kwamba, Marekani
i m e k u wa c h a n z o c h a
vurugu, machafuko
na kuenea misimamo
iliyopitiliza katika eneo la
Mashariki ya Kati.
Sergei Lavrov alisema
wakati akihutubia kikao
cha Baraza la Usalama
la Umoja wa Mataifa

kuhusiana na amani na
usalama wa kimataifa,
kwamba mashambulio
ya anga ya vikosi vya
kimataifa vilivyoongozwa
na Marekani huko Syria
na Iraq, mashambulio
ya anga ya Washington
dhidi ya Iraq mwaka
2003 na kuingilia kijeshi
nchi ya Libya mwaka
2011, ni mambo ambayo
yamesababisha kutokea
migogoro katika Mashariki
ya Kati.
Waziri Lavrov alisisitiza
kuwa, Umoja wa Mataifa
unapaswa kuwa na nafasi
muhimu katika kutatua
migogoro inayoshuhudiwa
katika maeneo mbalimbali
ulimwenguni.

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Rais amtimua balozi wa marekani Ikulu

Webster: Daesh ni jeshi la siri la Marekani

6
Na Omar Msangi

PAMOJA na kauli ya
Jeshi la Polisi kuwa
harakati iliyofanyika
Tanga ya kukabiliana
na makundi ya kihalifu,
haikuwa ikihusiana na
ugaidi, lakini baadhi
ya vyombo vya habari
vimeshikilia hoja ya
ugaidi kwa ukucha na
jino.
Licha ya Polisi
kupooza, Ni Ugaidi
m t u p u : Wa t i s h i a
kuzusha msiba kwenye
Pasaka.
Ndivyo lilivyoandika
gazeti moja la Kikristo
liitwalo Jibu la Maisha
katika toleo lake namba
334 la Jumapili Februari
22-28, 2015.
Pamoja na hilo, yapo
pia magazeti mengine
ya Kikristo ambayo
ya me l i s h ik i a b ang o
suala hilo la kuwepo
magaidi wa Kiislamu
Tanzania.
Katika ukurasa wake
wa 5 na 7, Jibu la Maisha,
likitumia maelezo ya
mtu waliyedai kuwa ni
mtaalamu wa majanga
aliyetumikia mashirika
ya Umoja wa Mataifa
katika nchi mbalimbali,
Dr. Ben Morrison, gazeti
hilo limeandika kwa
urefu kuthibitisha kuwa
Tanzania kuna magaidi
Moja ya hoja alizotoa
Dr. Ben Morrison ni
kuwa katika matukio
ya k i g a i d i d u n i a n i
kote, magaidi ama
wanatoa taarifa kabla
au kujipambanua baada
ya matokeo (kwa maana
baada ya kushambulia)
Kwa hiyo ikaelezwa
h a p a k wa m b a k wa
vile kuna watu
wamesambaza waraka
kuwa watashambulia
katika
Pasaka
halikadhalika kutangaza
kuwa ni wao wanateka
vituo vya polisi, basi,
hapana shaka ugaidi
upo Tanzania.
Labda tuichoshe
kwanza nukta hii kabla
ya kwenda mbali kwa
sababu ni muhimu
sana. Alichosema Dr.
Ben Morrison, ni sahihi
kabisa ila tu hakufafanua
wanaofanya mchezo huu
na kusingizia wengine
ni akina nani. Ukianzia
Operation Nguchiro
(Operation Mongoose:
The Cuban Project),
Operation Northwoods,

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Mchungaji, magazeti
wanachochea ugaidi

Wanatumika kama washenga wa mabeberu


Kama walivyosema Jibu, nasi tunanawa mikono
Mauwaji ya Waislamu Baga walionusurika wakiwa
katika kambi ya wakimbizi

Gulf of Tonkin Incident


(Vietnamese: S kin
Vnh Bc B), ikijulikana
pia kama USS Maddox
Incident, Operation
Cyanide, Operation
Cyclone, Operation Gladio
mpaka hii vita ya sasa
hivi tuliyotangaziwa na
Uncle Sam, zimekuwa
zikitolewa taarifa za
kitisho cha ugaidi,
ugaidi unatendeka
halafu hutangazwa nani
kafanya.
Sasa ambacho Dr.
Morrison hakutaka
kukisema hapa ni
kufafanua ni nani
wa n a h u s i k a k a t i k a
operesheni zote hizo,
kupanga, kutekeleza
na kisha kuwasingizia
watu wengine ugaidi.
Katika operesheni
Code named Operation
Northwoods, mpango
ulikuwa kufanya
vitendo vya kigaidi
na kisha kuwasingizia
Makomunisti wa Cuba,
hasa akilengwa Fidel
Castro na serikali yake.
Hiyo ilihusisha kulipua
shabaha mbalimbali
kwa mabomu mpaka
kuteka ndege za abiria
zikiwa na wanafunzi.
Likishafanyika
h i l o , h u i b u k a wa t u
waliokwisha andaliwa
na kujitangaza kuwa
ndio waliofanya na hao
wanakuwa ni katika
wanaodaiwa kuwa ni
magaidi wa Cuba.
Hayo yamefanyika
ubebru ulipotaka
kujichimbia Amerika ya
Kusini. Yamefanyika pia
Ulaya baada ya Vita Kuu
ya Pili ya Dunia ambapo
ulifanyika ugaidi
mkubwa na watu wengi
kuuliwa wakisingiziwa
makomunisti wa Urusi
kama njia moja wapo
ya kupambana na Urusi
katika Vita Baridi. Na
hivi sasa ndio mkakati
unaotumika katika hii
New World Order na
USA, World Hegemony.
Unakuwa ni mkakati wa
kusambaza utando wa
majeshi ya mabeberu na
makucha yao kudhibiti
nchi mbalimbali na
raslimali zake.
Kwa hiyo anachosema
Dr. Morrison ni sahihi
ila kwa kuacha maelezo
haya, anapotosha na
hii inatupa wasiwasi
kuwa labda alikuwa
dakitari wa majanga
kweli, kwa maana kuwa
huenda naye alikuwa
mmoja wa waliotumika
katika mikakati hii ya
Neocons.

7
PA M O J A n a h a b a r i
hiyo ndefu, mhariri wa
Jibu la Maisha, katika
tahariri yake, amelitaka
Jeshi la Polisi lisipuuzie
tisho la ugaidi kwenye
Pasaka akizungumzia
kipeperushi alichodai kuwa
kimesambazwa na magaidi.
Lakini pia akikazia kuwa
kuna vijana wa Kiislamu
ambao tayari washakwenda
kujifunza ugaidi Somali.
Hapa tuseme jambo moja
la uhakika, na hii ni kutokana
na uzoefu wa yaliyojiri
mahali pengine katika hiki
kinachoitwa kitisho cha
ugaidi. Kama ni kuibua
msiba mkubwa wakati wa
siku kuu ya kukumbuka
kufa na kufufuka kwa Bwana
Yesu Kristo (Pasaka), basi
msiba huo utaletwa na Jibu la
Maisha, kwa moja ya njia tatu
zifuatazo. Moja kwa kufanya
wao kwa mikono yao. Pili,
kwa kuwajua waliofanya,
halafu wasiwafichue ila
wakapiga porojo na uwongo
wa kusingizia wengine. Tatu,
kwa kuchapisha uzushi
ambao unaweza kuwapa
mwanya magaidi halisi
k u f a n ya u o v u , wa k i j u a
lawama itaenda kwa
waliotajwa na Jibu la Maisha.
Hili litaeleweka kwa sababu
ndio mada ya uchambuzi
huu.
Ila Pasaka iwe salama. Na
nchi iwe salama. Vinginevyo,
Jibu la Maisha, watalazimika
kutueleza walikuwa wanajua
nini.
Tunanawa mikono
Katika kutoa tahadhari
kwa Polisi na kwa Watanzania
kwa ujumla, Jibu la Maisha,
wamesema maneno mazito
yafuatayo:
Tumechapisha jumbe
hizi ili kunawa mikono na
kuvikumbusha vyombo vya
usalama kuwa majuto ni
mjukuu na wakati wa kujuta
hauna msaada tena.
Tunafanya hivyo kwa
kuwa ipo tabia ya vyombo
vyetu vya usalama kuyapa
nafasi ndogo sana matishio
ya ugaidi na kushtuka wakati
yanapotokea.
Huu ni ujumbe mzito
unaostahiki kupokelewa kwa
uzito na kama ni kuungwa
mkono, kutolewa maelezo au
majibu, basi lazima pia yawe
majibu mazito.
Kwa uzito huo huo wa
kunawa mikono, na mimi
binafsi pamoja na An
nuur, tungependa tunawe
mikono pia. Isije ikasemwa
hatukusema.
Viongozi wetu wa vyama
vya siasa wana msemo wao
kwamba inapokuja jambo
la masilahi ya kitaifa, basi
h u we k a t o f a u t i z a o n a
masilahi ya vyama vyao
kando. Katika hili na mimi
kwa ajili amani, usalama,
mshikamano na umoja ya
taifa na nchi hii, ningeomba
nivumiliwe na niwaombe
radhi na mapema kuwa
itabidi niweke baadhi ya
picha ambazo kimaadili

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Wito wa Jibu la Maisha

ya u a n d i s h i wa h a b a r i
zisingepasa kuwekwa.
Naamini Mheshimiwa
Waziri mwenye mamlaka
na vyombo vya habari, na
Mamlaka nyingine husika,
watanielewa. Kama ndivyo,
natanguliza shukrani zangu
za dhati kwa kunielewa.
Ninachokusudia hapa
nikuonyesha jinsi ugaidi
bandia unavyopandikizwa
katika nchi, ikaingia chuki
na uhasama, matokeo yake
ikawa ni watu ndugu wa nchi
moja kuchinjana bila hata
tone la hisia ya ubinadamu na
hatimaye nchi kuingia katika
machafuko yasiyo kwisha.
Nitatumia mfano wa Nigeria
kwa sababu kuu saba.
Moja, ni moja ya nchi
za Afrika kama sisi. Pili,
tofauti na Somalia ambapo
kunatajwa kuwa na magaidi
a Al-Shabaab, lakini wote
ni Waislamu. Nigeria kuna
Waislamu na Wakristo kama
Tanzania, tena kwa idadi
inayokaribiana, kiuwiano
(%). Tatu, Kama ilivyo AlShabaab, wanaodaiwa kuwa
magaidi wa Boko Haram,
wametajwa sana na vyombo
vyetu vya habari na hata
wanasiasa kiasi cha kufikia
kudai kuwa tunao wananchi
wenzetu ambao tayari ni
Boko Haram. Nne, kama
ilivyo Nigeria, vyombo
vikubwa vya habari vyenye
kutegemewa, vinamilikiwa na
watu binafsi au taasisi zenye
mwelekeo wa kuunga mkono
kila lenye masilahi na Ukristo
na hivyo ndio hutumiwa
sana kukuza kitisho cha
ugaidi. Tano, tuna historia
inayofanana ya kutawaliwa
na Wakoloni wa Kizungu
a m b a o wa l i wa i m a r i s h a
Wakristo na kuwadhoofisha
Waislamu katika kila Nyanja
na matokeo yake ni kuwa
taasisi za Kikristo zina nguvu
sana katika siasa za nchi na
kimataifa. Sita, hata baada
ya kuondoka, bado nchi
zilizotutawala ambazo ni za
Kikristo, zikiungana na Uncle
Sam, bado zinaendeleza,
jicho la ubaguzi baina ya
Waislamu na Wakristo katika
nchi walizo tawala. Kwa
hiyo, kilio cha Wakristo wa
Nigeria na Tanzania, hata
kama kikiwa cha uwongo,
hakiwezi kuwa sawa na cha
Waislamu kilicho cha kweli.
Saba, Nigeria na Tanzania,
katika miaka ya hivi karibuni,
kumekuwa na ushirikiano wa
karibu sana baina ya baadhi
ya Makanisa na taasisi za
kiserikali za Marekani katika
kupiga vita Uislamu. Na
wamekuwa pamoja katika
kupiga propaganda.
Picha juu. Shekau wa
Boko Haram anayedaiwa
kulishinda nguvu jeshi la
Nigeria.
Kati. Picha inayotumika
inayotumika kutukana jeshi
la Nigeria kuwa ni woga
wanakimbizwa na punda.
Chini Mchungaji Ayo akiwa
na Rais Goodluck Jonathan
wa Nigeria.

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Tatizo la Russia: Jinsi ya kuchukuliana na vichwa ngumu na watwana

Na Finian Cunningham

Februari 10, 2015 'Mtandao wa Kupashana


Habari' na SCF
RUSSIA iko katika tatizo.
Inaweza vipi kufanya kazi
kwa kufikia makubaliano
ya amani kuhusu mzozo
wa Ukraine - na kukwepa
vita pana na kubwa zaidi wakati inahitaji kuwasiliana
na vichwa ngumu na
watwana? Tunazungumzia
viongozi wa Marekani na
Ulaya, kila kundi kivyake.
Tatizo la kujaribu kuwa na
mazungumzo na vichwa
ngumu ni kuwa hawana
uwezo kimsingi wa
kuelewa chochote ila kile
wanachokiona wao wenyewe
kwa hisia zao. Wanaugua
ugonjwa wa kutokupenya
kwa chembe za ufahamu
k a t i k a u e l e wa wa o n a
wanaringia hilo. Kusema
kweli, jinsi wanavyozidi
kutopea katika ugonjwa
wa kutokuelewa, ndivyo
mpuuzi huyo anavyosifiwa
kuwa na nguvu.
Vichwa ngumu hawawezi
k u i n u l i wa u e l e wa wa o ;
ujinga wao na ubabe wao wa
kuangalia dunia haupitishi
chochote kilicho tofauti,
hata mtazamo mwingine
ungekuwa sahihi zaidi.
Kwa hakika, wanachukia
kabisa kusahihiswa.ambayo
inaujenga ugumu wa
kimawazo kwa nguvu zaidi.
Tatizo la kuchukuliana na
watwana ni kuwa hawana
uwezo wa kubadili mwelekeo
- hata kama bado wana uwezo
kiasi fulani wa kufikiri kwa
njia tofauti na kutambua
mtazamo mbadala kuwa ni
sahihi zaidi, au unaeleweka.
Hivyo tuna tatizo linaloikabili
Russia katika kuchukuliana
na Marekani na washirika
wake wa Ulaya kuhusu
mzozo wa Ukraine.
Wa z i r i w a M a m b o
ya Nje wa Russia, Sergei
Lavrov akizungumza jijini
Munich, Ujerumani wiki
iliyopita alisikitishwa
na Ulaya kutokuwa huru
katika kukwepa uharibifu
wa Marekani wa mfumo
wa mahusiano ya kimataifa
uliopo. Lavrov alisutwa
kwa kuthubutu kusema
ukweli na zaidi kwa sababu
alizungumza kimantiki na
kutoa ushahidi wa kihistoria
kuyakinisha alichokisema.
Wamarekani wapuuzi
wanaweka nahau na lawama
mahali pa mazungumzo
halisi. Wanaongozwa na
propaganda ambazo zina
nia tu ya kutetea nia zao na
wanadanganywa na kila neno
wanalotoa. Na wanaringia
hilo. Mungu ibariki Marekani!
Rais Barack Obama
wa Marekani, ambaye
anaaminika ni mmoja wa
mwanasiasa wenye uwezo
m k u b wa wa k u t a f a k a r i

nchini humo, ni wazi hawezi


kufikiri nje ya mustakabaliimla kama unayotumika
kuelezea, bila ushahidi
wowote, kuwa mzozo nchini
Ukraine "unatokana tu na
inachokifanya Russia."
Akizungumza huku
Waziri Mkuu wa Ujerumani
akiwa kando yake Ikulu
ya M a r e k a n i w i k i h i i ,
Obama alisema alikuwa
anafikiria kupeleka silaha za
maangamizi makubwa kwa
serikali ya Ukraine "kuisaidia
Ukraine kuimarisha ulinzi
m b e l e ya u c h o k o z i wa
wanaotaka kujitenga."Obama
aliishambulia Russia kuwa
inachochea mzozo huo na
kujaribu kuingilia uthibiti
eneo la nchi ya Ukraine 'kwa

na utawala wa Ukraine
unaungwa mkono na nchi za
Magharibi, ambayo ilianzisha
vita isiyo na sababu dhidi ya
Ukraine ya Mashariki miezi
kumi iliyopita, kusababisha
vifo vya watu zaidi ya 5,500
na zaidi ya watu milioni moja
hawana makazi. - na bado
Obama analaani utumiaji
nguvu kama "uchokozi wa
wanaotaka kujitenga" na
anataka kupeleka silaha kali
zaidi kwa wakosaji.
Kutoka Obama kushika
ngazi ya siasa, hali inakuwa
mbaya zaidi. Makamu wa
Rais Joe Biden aliuambia
mkutano wa usalama jijini
Munich wiki iliyopita kuwa
"watu wa Ukraine wana
haki ya kujilinda" na kuwa

WAOKOAJI Ukraine wakiwa wamembeba mmoja wa majeruhi


nchini humo.
mtutu wa bunduki.'
Marekani ipeleke misaada
Tuangalie hali halisi. ya kijeshi kuzuia "uchokozi
Wakazi wenye asili ya Russia wa Russia."
wanauawa katika nyumba
Hivyo, Bw. Biden, vipi
zao, makimbilio yao yenye kuhusu haki ya wananchi wa
ngome, shule na mitaani, Ukraine wenye asili ya Russia

wanaojilinda? Wanakatazwa
kufanya hivyo? Wao siyo
raia wa Ukraine? Au labda
kwa vile wana asili ya Russia
inawafanya wawe duni kwa
mtazamo wako?
Mwanadiplomasia Mkuu
wa Marekani John Kerry,
anayedhaniwa ni mweledi,
anayezungumza lugha
kadhaa na kufahamu nchi
tofauti, anarudia madai hayo
yasiyo na msingi au akili
dhidi ya Russia, akidai kuwa
nchi hiyo ndiyo "tishio kuu
zaidi kwa Ukraine." Kerry pia
anataka kupeleka silaha kwa
Ukraine kuipa somo Russia.
Pia kwa Ashton Carter,
anayeingia kama Waziri
wa Ulinzi mpya pia
Michel Floournoy ambaye

wa mapigano yanayoendelea
anatazamiwa kuwa Waziri
wa Ulinzi endapo Hillary
Clinton anashinda urais
uchaguzi mkuu 2016. Pia
Bobby Jindal ambaye ni
mgombea moto wa kuteuliwa

na chama cha Republican


kugomea urais. Pia mkuu
wa masuala ya nchi za nje
wa Republican, Bob Corket.
Pia mwenyekiti wa wakuu
wa majeshi ya Marekani,
Jenerali Martin Dempsey. Pia
wajumbe wa jopo la sera za
nje za Marekani katika taasisi
ya Brookings na Baraza la
Atlantiki. Pia bodi za uhariri
za mashirika makubwa ya
habari nchini Marekani,
yakiwemo magazeti ya New
York Times na Washington
Post. Wote bila kupepesa
macho wanarudia mstari
tasbihi kuwa mzozo wa
Ukraine inatokana na
uchokozi wa Russia na kuwa
kuupatia silaha utawala wa
Ukraine ni wazo zuri kwa
amani. Wote wanarudia
maelezo yaliyokobolewa
kuhusu historia ambayo
inamnyooshea kidole Rais
Vladimir Putin wa Russia
kama "dikiteta wa miaka 50
iliyopita," akiwa na malengo
yale yale ya "kupanua himaya
yake" kama Adolf Hitler
na Benito Mussolini. (Bila
kuwa na chembe ya uelewa
kuwa ufashisti wa nchi za
Magharibi miaka 50 iliyopita
ulichochewa na siasa ya
wazi ya nchi za kibepari
za Magharibi kushambulia
Urusi, na matokeo yake ni
vifo vya Warusi milioni 30. Ni
sera inayoendelea leo katika
uunga mkono wa Marekani
kwa utawala wa ki-Nazi
jijini Kiev kama nyenzo ya
kuidhibiti Russia).
Kinachoogopesha
kuhusu ubutu wa kuelewa
wa wa-Marekani ni kuwa
hawana habari kabisa
kuwa labda wamechotwa
akili. Ni waundiwa fikra
wanaoamini kuwa vita ni
amani, utumwa ni uhuru,
n a u k we l i n i c h o c h o t e
utakachoambiwa kuwa ndiyo
huo. Wanasiasa wa Marekani
waliokuwa wanahudhuria
m k u t a n o wa a m a n i wa
Munich walipuuzia juhudi
za Merkel wa Ujerumani
na Rais Francois Hollande
wa Ufaransa kuingia katika
mjadala wa kisiasa na Putin
kuhusu mzozo wa Ukraine
kama 'uvundo.'
Vi o n g o z i h a o wa t a t u
wanapendekeza kuendeleza
majadiliano marefu
yaliyofanyika Moscow wiki
i l i y o p i t a k wa m k u t a n o
mwingine jijini Minsk, mji
mkuu wa Belarus, wiki
hii. Hakuna uhakika hata
kidogo kuwa Putin, Merkel
na Hollande wanaweza
kufikia maafikiano yoyote
k u we z e s h a u t a wa l a wa
Ukraine kuketi chini kwa
mazungumzo na wanaotaka
kujitenga wenye asili
ya Russia huko Ukraine
mashariki. Ubutu wa waMarekani bila shaka ni
kukwamisha mazungumzo
hayo kabla hayajapata nafasi
ya kuendelea.

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Tatizo la Russia: Jinsi ya kuchukuliana na vichwa ngumu na watwana


Inatoka Uk. 8

Tofauti na wa-Marekani
wa n a o s u k u m wa t u n a
kupaza sauti, kuna uelewa
wa pamoja mpya miongoni
mwa nchi za Ulaya kuwa
kujaza silaha chini Ukraine
siyo jawabu, na hasa
inahitajiwa kuachwa, na
kuwa wanaotaka kujitenga
wana hoja zenye mantiki
za kuwa na uhuru mpana
wa kisiasa zinazostahili
kusikilizwa kwa amani.
Viongozi wa Ulaya
angalau mbele ya watu,
wanaweza bado kutumia
lugha inayochosha kuwa
Russia inaihujumu Ukraine
kwa kificho na vikosi vyake
au misaada ya kijeshi kwa
wanaotaka kujitenga.
Utawala wa Russia unakataa
kata kata madai hayo.
Ila angalau viongozi wa
Ulaya wanaonyesha kuwa
na uwezo wa kufikiri wa
kutosha kutambua kuwa
kumnyooshea kidole Putin
kwa nguvu Russia kuwa
ndiyo chanzo cha tatizo
lote, hakusaidii na kwamba
inawezekana kuna zaidi ya
upande mmoja katika suala
hilo.
Anaweza kusifiwa Angela
M e r k e l k wa k u s i m a m a
imara katika upinzani wake
kwa miito ya Marekani ya
kuongeza kuhusika kijeshi
n ch i n i Uk r a i n e . Ak i wa
jijini Washington wiki hii,
aliondoa kabisa uwezekano
wa kuunga mkono wazo
la kupeleka silaha zaidi
nchini Ukraine. Upinzani
wa Merkel kwa pendekezo
la Marekani umelaaniwa
na ma-Seneta waandamizi
k u wa n i ' k u m r i d h i s h a '
Putin, kunakofanana na
jinsi Neville Chamberlain
wa Uingereza alivyojitahidi
kumridhisha dikteta Adolf
Hitler wa Ujerumani katika
mkutano wa Munich mwaka
1938.
Kuchukuliana na
wapuuzi wa Marekani hivyo
h a i we z e k a n i . Wa n a k a a
katika dunia tofauti
kimawazo na watu wengine.
Dunia yao inaundwa na
propaganda inayokwepa
historia na mwelekeo wa
kulazimisha ambao unafanya
majadiliano, kupeana na
kubadilishana, au ufafanuzi
wa kimantiki kuwa mgumu
kufikiriwa. Ubabe wao na
kibri cha ujuha ni kizuizi
cha mawasiliano halisi na
uelewano. Yote kayataka
Putin; tatizo ni makundi
h a y o ya n a y o t u m wa n a
Russia; ni himaya ovu ya
Urusi inayotaka kurudi.
Kuondolewa isivyo halali
kwa utawala wa Ukraine
ambako kuliungwa mkono
na Marekani? Vita ya utawala
wa Ukraine ikiungwa mkono
na Marekani dhidi ya wakazi
wa U k r a i n e m a s h a r i k i
wenye asili ya Russia? Una

RAIS wa Russia, Vladimir Putin.


kichaa, wewe kisataramtaatetezi wa Putin? Unawezaje
kuchukuliana na watu kama
hao? Huwezi.
Hata hivyo,, tatizo lingine
ni kuwa viongozi wa Ulaya
hawako huru kufanyia kazi
kiuhalisi mawazo yao huru
yanayochipuka. Ni wazi
kuwa Merkel na Hollande,
na viongozi wengine wengi
wa Ulaya, wanatambua
kuwa mipango ya Marekani
ya kuijaza Ukraine ifurike
na silaha nyingi zaidi ni
wazo baya ambalo linaweza
kusababisha Vita Kuu ya
Tatu ya dunia. Ni wazi
kuwa viongozi wengi wa
Ulaya wanafikiri kuwa
vikwazo vinavyosimamiwa
n a M a r e k a n i d h i d i ya
Russia siyo vina madhara
yasiyotarajiwa, lakini pia
vina lakini kwa hoja, ni sera
ya chuki inayowaumiza
wafanyakazi barani Ulaya,
wakulima na uchumi wa
bara hilo kama inavyomiza
nchini Russia.
Kinacholeta utata ni kuwa
nchi za Ulaya ni vikaragosi
v ya M a r e k a n i . H a z i k o
huru kufanya lolote nje
ya mstari wa utawala wa
Marekani unavyoelekeza,
hata msimamo wa Marekani
ungekuwa wa kijinga
namna gani. Ujerumani
inatambuliwa kuwa ndiyo
uchumi mkubwa katika bara
la Ulaya na uchumi wa nne
kwa ukubwa duniani. Hata
hivyo, kama mchambuzi
wa siasa wa Ujerumani,
Christof Lehmann
anavyotukumbusha,
Ujerumani haijawahi kuwa
na uhuru kamili wa kisiasa
t a n g u k u m a l i z i k a k wa
Vita Vikuu vya Pili. Haina
Katiba inayofanana na dola
ya kisasa, na inaendelea

kukaliwa na majeshi ya kigeni


kutoka "nchi zilizoshinda"
za Marekani na Uingereza.
"Ujerumani ni koloni kwa
hali halisi la Marekani,"
anasema Lehmann. "Wakati
wowote, chini ya sheria
mama ya kipindi baada ya
vita, askari wa Marekani
wanaweza kuitwaa serikali
ya U j e r u m a n i , a m b a y o
kimsingi na kisheria ni nchi
inayokaliwa, ni kikaragosi."
Ujasusi wa (National
Security Agency), idara ya
kijasusi nchini Marekani
kusikiliza simu za Kansela
Merkel ulioibuliwa mwaka

2013 na Edward Snowden


ni kielelezo kimojawapo.
Kinachoshangaza zaidi
ni kuwa Merkel hakujibu
uingiliaji huo wa kina wa
"uhuru" wa Ujerumani
kwa nguvu ya kisiasa
ambayo uingiliaji huo
wa Marekani ulikuwa
unahitaji. Alikubali tu
kwa unyonge uingiaji huo
kama hitaji mojawapo ya
nguvu za Marekani baada
ya vita.
Lehmann anaonyesha
jinsi juhudi zote za
Ujerumani nyakati
zilizopita za kuunda sera
huru ya mambo ya nje,
hasa inayolenga kufikia
u e l e wa n o n a R u s s i a ,
zilifutwa na Marekani na
mshirika wake, Uingereza.
"Tuliona kuwa chini ya
makansela Willy Brandt na
Gerhard Shroeder, juhudi
zao za kufikia uhusiano
mwema zaidi na Russia
z i l i h u j u m i wa k a t i k a
kila hatua na tawala za
Marekani na Uingereza,"
anasema Lehmann.
Ndiyo maana Merkel
anastahili sifa kwa
kuchukua uamuzi
wa dhati wiki hii ya
mwelekeo wa kijeshi wa
Marekani nchini Ukraine.
Kujitofautisha kwake
ni ishara muhimu ya
uwezekano wa kukosana
katika mahusiano wa
U l a ya n a M a r e k a n i .
Anachokifanya ni

kuukwaruza mstari
uliochorwa ardhini na
utawala wa Marekani
kuwa nchi za Ulaya, na
hasa Ujerumani, haziwezi,
hazithubutu, zisijaribu,
kuhoji ubabe wa Marekani
na sera yake ya muda
mrefu ya uadui dhidi ya
Russia.
Merkel na Hollande
wanaweza kuwa wanapata
hisia mpya kutoka kwa
mamilioni ya wananchi
wa kawaida barani Ulaya
ambao wanapinga kwa
nguvu utaka vita wa
Marekani kwa Russia kwa
kuiingiza Ulaya. Lakini
ukichukua utwana wa
jadi kwa vichwa ngumu
wa Marekani, uwezekano
wa kufikia uelewano
mpya ya mahusiano ya
amani inakuwa ngumu
kutarajia. Uongozi barani
Ulaya bado ni wateja wa
ndoana za Marekani.
Lakini wananchi wa Ulaya
wanaopata kichefuchefu
na hali hiyo wanaweza
tayari wanasukuma
mabadiliko katika
mifungamano kichwa
ngumu.
(Makala hii Moscows
Problem: Dealing with
Imbeciles and Vassals,
imeandikwa na Finian
Cunningham na
kutafsiriwa Kiswahili na
Anil Kija)

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High School


Mafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani
ya Kidato cha Nne 2015

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa


Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa
Credit za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.
Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili,
Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry,
Biology, Commerce na Book-Keeping.
Muda wa masomo: Jumatatu Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.
Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi SABA)
Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School
kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.
Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557
Wahi Mapema nafasi hii adhimu
Wabillah Tawfiiq
MKUU WA SHULE

10

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa

Inatoka Uk. 3
kubomolewa.
Hatuwezi kurejea
makwetu, nyumba
zimechomwa moto na
hapa sina nguo nyingine
zaidi ya hizi nilizovaa,
anasimulia mmoja wa
manusura Hadija Umar,
mama wa watoto watatu
ambaye mumewe aliuliwa.
Katika kunusuru
maisha, baadhi ya
Wa i s l a m u wa l i j i k u t a
wakitembea kilometa 162
(maili 100) hadi Maiduguri
mji mkuu wa Jimbo la
Borno.
Hiyo ni kwa mujibu wa
Shirika la Madaktari wasio
na Mipaka, Medecins Sans
Frontieres, na kusema
kuwa wengine wamevuka
mpaka na kuingia Niger
na Chad.
Shirika la kuhudumia
Wakimbizi la Umoja wa
Mataifa- UN refugee
agency (UNHCR), limekiri
kupokea maelfu ya
wakimbizi hao Waislamu
huku baadhi yao wakiwa
katika majonzi ya
kupotezana na wapenzi na
ndugu zao wasijue wapo
hai au wamekufa.
"Sijui kama wapo hai au
wameuliwa, anasimulia
Harun Muhamad akiwa
na majonzi kambini hapo
akisema kuwa hajui alipo
mkewe na mtoto wao
mchanga huku Dahiru
Abdullahi, akiwa hajui
walipo ndugu zake wengi
akiwemo mdogo wake.
Dahiru Abdullahi ni
mmoja wa wakimbizi
2,500 waliohifadhiwa na
UNHCR katika kambi
ya "Dar-es-Salaam" nje
kidogo ya mji wa BagaSola.
Katika jumla ya
almanusurina walio katika
Kambi ya Wakimbizi Dar
es Salaam, ni Bi Aisha
Al-Haj Gorba ambaye
anasema kuwa wakati
wa k i va m i wa i l i k u wa
siku zake za kujifungua
zimetimia.
Walikimbia na mumewe
na watoto wao watatu
na kujificha porini kwa
siku tatu huku akianza
kuumwa.
Anasema, hatimaye
walifanikiwa kudandia
mtumbwi uliofurika
wakimbizi wakivuka ziwa
Chad na hapo ndio na
uchungu ukakazana.
Mimi na mume
wangu, tulikuwa muda
wote tunamuomba Allah
anisitiri, maana pamoja
na kuomba nijifungue

Picha juu, baadhi ya akinamama walioojazana kwenye mtumbwi wakivuka ziwa


Chad. Chini BI. Aisha Al-Haj Umaru Gorba akiwa na mtoto wake aliyejifungua
kambini.
salama, lakini ile zahama lakini Mungu alinisitiri, nguvu na Boko Haram,
mtumbwi umejaa watu, nikajifungua salama baada M s h a u r i w a M a m b o
wake kwa waume, watoto, ya kufika ngambo ya ya Usalama (National
k wa h a k i k a n i l i k u wa ziwa. Anasimulia mama Security Adviser), Bwana
k a t i k a h a l i n g u m u . huyo akiwa kambini Dar Sambo Dasuki alisema
Anasimulia mama huyo es Salaam.
kuwa kulikuwa na
ambaye alijifungua salama
Baga, mji mdogo uliopo wanajeshi wa kutosha
mara tu mtumbwi ulipotia jirani kabisa na kambi akibainisha kuwa katika
nanga na kupata sehemu ya kijeshi (military base, jumla ya silaha zilizoachwa
ya faragha.
headquarters of the z i k a c h u k u l i w a n a
Aisha Al-Haj Umaru Multinational Joint Task wanaodaiwa kuwa ni Boko
Gorba, amempa mtoto Force), huku mji wa Doron Haram (Islamist militants)
wake huyo wa kiume jina Baga, ukiwa ni kituo ni pamoja na magari sita
la Idriss Deby, kama ishara kikubwa cha kibiashara na ya kijeshi (APCs - or
ya shukrani kwa Rais mji wa uvuvi (ziwa Chad) armoured vehicles) yakiwa
wa Chad aliyewapokea katika Jimbo la Borno.
yamejaa mabomu, risasi
na kuwahifadhi mpaka
na bunduki nzito (artillery
kupelekwa katika kambi
J e s h i l a t u h u m i w a guns.)
ya wakimbizi.
kuhusika
Anasema, huo ni
Kwa hakika ilikuwa ni
ushahidi kuwa silaha
muujiza kutoka kwa Allah,
A k i z u n g u m z i a z i l i k u we p o , k a m a n i
maana ilikuwa safari madai kuwa wanajeshi k u k i m b i a , wa n a j e s h i
ngumu ya zaidi ya masaa waliokuwa katika kambi walikimbia kwa woga
12 ndani ya mtumbwi y a B a g a w a l i k u w a wao.
uliofurika watu, huku wachache na silaha hafifu
"Anybody who says
nipo katika uchungu, ndio maana wakazidiwa he is not well-armed is

not telling the truth.


soldiers who ran away
were "cowards". Alisema.
Pamoja na taarifa hizo
za kawaida kuwa ni Boko
Haram waliovamia mji huo
mdogo wa Baga na kuteka
kambi hiyo nzito ya jeshi,
lakini taarifa na ushahidi
unaoibuka unaonyesha
mambo yalikuwa tofauti.
Kushindwa kwa
wanajeshi wa kambi ya
Baga kupambana na
washambuliaji hao huku
wakitupiwa lawama ya
woga, na wakati huo huo
Kamanda wa kambi hiyo
akitoweka kwa siku zote
za mashambulizi, kunazua
maswali mengi bila ya
majibu.
Inavyoonekana ni
kana kwamba kamanda
huyo alikuwa na taarifa
za kitakachofanyika na
kupewa maelekezo kuwa
asiingilie. Asichukue
hatua.
Ni kama ilivyokuwa
katika Mauwaji ya
Srebrenica, Bosnia
(Srebrenica massacre)
ambapo jeshi la Umoja
wa Mataifa la kulinda
amani lilitizama Waislamu
wakiuliwa na wanajeshi
wa Serbia.
Katika vita ya Bosnia,
Umoja wa Mataifa uliunda
jeshi la kulinda amani,
United Nations Protection
Force (UNPROFOR),
ambalo lililunda kikosi cha
askari kutoka Uholanzi,
Dutch peacekeepers,
Dutchbat, kikipewa
jukumu la kuwalinda
Waislamu katika mji wa
Srebrenica.
Hata hivyo, Waislamu
wakiwa na imani kuwa
jeshi hilo ni la kuwalinda,
Waislamu walishtukia
wanajeshi hao wa Umoja
wa Mataifa, wakimruhusu
Generali Ratko Mladi,
kuwatenganisha
wanawake na wanaume,
na kisha kuwauwa
wanaume na watoto wa
kiume wapatao 8000 na
kuwafukia katika mashimo
ya pamoja.
H a l i y a Wa i s l a m u
Baga, haina tofauti. Baga
ndio kuna Kambi Kuu
ya Kikosi Maalum cha
kupambana na magaidi
wanaoitwa Boko Haram,
Multinational Joint Task
Force (MNJTF).
W a i s l a m u
waliposhambuliwa na
magadi hao, wakaona
watoe taarifa kwa MNJTF,
wakiwa na imani kuwa
watapata msaada wa ulinzi.
Lakini wakasalitiwa.

11

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa

Inatoka Uk. 10

Hata hivyo, Kamanda


wa kikosi hicho, Brig. Gen.
Enitan Ransome-Kuti,
(mtoto wa Beko RansomeKuti na binamu (nephew)
wa mwanamuziki
mashuhuri Fela Kuti),
kwa siku tano mfululizo,
aliwaachia magaidi hao
wakiuwa Waislamu na
kuangamiza nyumba zao
kijiji kwa kijiji na mji kwa
mji.
Ni baada ya kuibuka
malalamiko na maswali
mengi watu wakituhumu
kuwa ama jeshi lilihusika
moja kwa moja au baadhi
ya o k u s h i r i k i a n a n a
wauwaji, ilitolewa amri
ya kukamatwa Mkuu wa
Kikosi hicho, Brigedia
Generali Enitan RansomeKuti.
I l a wa k a t i s u a l a l a
Bosnian: Genocid u
Srebrenici, lilienda mpaka
The Hague, baada ya
mauwaji hayo kuitwa
n i m a u wa j i ya h i l ak i
(genocide), bado hakuna
dalili kuwa hili la Baga
litafikia huko.
M a k a m a n d a
waliokamatwa na
kushikiliwa hadi sasa ni
kumi ikiwa ni pamoja na
Brigedia Generali Enitan
Ransome-Kuti Chief of
Staff, Lt.-Colonel G.A.
Suru, Lt.-Colonel Haruna
(Commanding Officer of
134 and 174 battalions) na
Major Aliyu.
Akielezea ni kwa nini
maofisa hao wa jeshi
wamekamatwa, Msemaji
wa Jeshi la Nigeria (Director
of Defence Information),
Major-General Chris
Olukolade, amesema kuwa
maofisa hao, licha ya kuwa
na wapiganaji pamoja
na silaha za kutosha,
walitelekeza kambi na
mji wa Baga ulipovamiwa
n a k u s h a m b u l i wa n a
magaidi. (Tazama: Gen.
Ransome-Kuti, 10 other
senior Nigerian Army officers
arrested over Boko Harams
take-over of Baga )
Hata hivyo imeelezwa
kuwa hiyo imefanyika
kama danganya toto kwani
mazingira yanaonyesha
kuwa kila kitu kilipangwa
na hata baadhi ya vyombo
vya habari vilielekezwa
namna ya kuripoti habari
hizo.
Propaganda na Kimya cha
Rais
Awali hapakuwa na
habari yoyote iliyoripotiwa
juu ya mauwaji hayo na

PICHA Juu, msururu wa akinamama wa Kiislamu wakisubiri kusajiliwa kambini.


Picha chini, mmoja wa familia zilizokimbilia kwenye kambi ya wakimbizi.

taarifa za awali zilizotolewa


na BBC zilikanushwa na
vyombo vya habari vya
Nigeria wakisema kuwa
ni uzushi. ("BBC Lied, no
Fresh Boko Haram Attack
on Baga". News Express.
Anadolu Agency. 8 January
2015. Retrieved 4 February
2015."Boko Haram suffers
heavy defeat in surprise attack
on military base". News
Express. 5 January 2015.
Retrieved 9 January 2015.
Ilikuwa baada ya kuwa
Waislamu walionusurika
wengine wamevuka
mpaka hadi Niger na Chad
na kusimulia yaliyowasibu,
ndio vyombo vya habari
viliripoti kwa nguvu,
lakini vikieleza kuwa ni
Boko Haram waliovamia
na kwamba safari hii eti
walijizatiti sana kiasi cha
kuweza kuteka kambi ya

kijeshi ya Baga.
Chief of the Defence Staff)
Air Chief Marshal, Alex
Badeh, ambaye awali alitoa
taarifa za kukanusha,
baada ya mambo kudhihiri
na hayafichiki tena, akatoa
taarifa nyingine akikiri
kambi kutekwa na Boko
Haram. ("Nigerian Defense
Chief : Military Base in
Hands of Extremists". ABC
News. Associated Press.
Retrieved 9 January 2015.2.
"Boko Haram displaces 1,636
in Baga". News Express.
7 January 2015. Retrieved
9 January 2015.Hata
hivyo, pamoja na kuanza
kutolewa taarifa hiyo,
hadi sasa Rais Jonathan
hajatoa kauli yoyote kulani
mauwaji hayo.
Kutokana na ukubwa
wa jambo hilo kushinda
h a t a l i l e l a k u d a i wa

kutekwa wasichana
279, watu mbalimbali
wamekuwa wakihoji nini
tafsiri ya kimya hicho cha
Rais Jonathan.
Julius Malema, kiongozi
wa Chama cha (left-wing)
Economic Freedom Fighters
cha Afrika ya Kusini na
kiongozi wa zamani wa
Vijana wa ANC, (African
National Congress, Youth
League), yeye alikuwa na
haya ya kusema kuhusu
kimya hicho cha Jonathan:
Goodlook, or Goodluck
or whatever his name is or
badluck I dont know ... He
is quick to release statement
about the killing in Paris; but
dont (sic) say anything about
the killings in his own country.
Thats an irresponsible
leadership. ("South African
Politician, Malema, Attacks
Jonathan, Says President

Irresponsible Over Silence


On Baga". Sahara Reporters.
Retrieved 4 February 2015.
Baada ya taarifa za awali
zikionyesha Waislamu
waliouliwa wakizikwa,
halikadhalika ikionyesha
wale walio katika kambi
za wakimbizi, maelezo
kuwa Boko Haram
walishambulia mji huo
katika harakati zao za
kusilimisha Wakristo na
kusimamisha serikali
ya Kiislamu zilionekana
kupwaya.
Te l e v i s h e n i z a
Nigeria na Marekani
ziliripoti tukio hilo huku
wakiambatanisha na picha
za wapiganaji wa IS na zile
za Abubakar Shekau na
kuzipamba kwa matukio
mengi yaliyodaiwa ya
kuuwa Wakristo huku
yakiwa hayahusiani kabisa
na tukio la Baga.
Ili kukoleza propaganda
hiyo, zilitolewa picha za
watu waliokufa kutokana
na ajali ya Moto mwaka
2010 Congo na kudaiwa
kuwa hao ni katika
Wakristo waliouliwa Baga.
Picha hizo ziliwahi
kutumika pia katika
matukio ya nyuma,
lakini katika haraka
haraka ya kuficha ukweli
wakajisahau na kuzirudia
tena.
Picha hizo kwa mara ya
kwanza zilitolewa Julai
2014 zikiwa na kichwa
cha habari 375 Christians
massacred by Boko Haram
militantas na kingine
kikisema, Boko Haram
burns 375 Christians,
wakati picha hizo ni za
watu walioungua moto
baada ya lori la mafuta
kulipuka Congo likitokea
Dar es Salaam, Tanzania.
In January 2015 the
image went viral once again
amid reports that dozens,
hundreds or possibly as
many as 2,000 people had
been massacred in Boko
Haram attacks centered on
the northern Nigerian town
of Baga and surrounding
villages.
Inaeleza taarifa moja
ikichambua picha hizo
kwamba zilitolewa tena
Januari hii 2015 ikidaiwa ni
Wakristo 2000 waliouliwa
na Boko Haram militants.
Taarifa hiyo ikahitimisha
uchambuzi wake ikisema
While the image - as evidence
of a massacre - was false,
the killings around Baga
were all too real. Amnesty
Inaendelea Uk. 12

12

MAKALA

MHH! ZAMA ZA PROPAGANDA!!!

Zama za propaganda, si kila jambo kutwaa,


Zama za propaganda, zina lukuki hadaa,
Zama za propaganda, hatari kuzinyamaa,
Zama za propaganda, japo kwa finyu wasaa,
Zama za propaganda, kuzitongoa yafaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, kwa kasi na kwa fajaa,


Zama za propaganda, walimwengu zatuvaa,
Zama za propaganda, twabaki tukiduwaa,
Zama za propaganda, si Tanga wala Dakaa,
Zama za propaganda, kote zimetandawaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
Zama za propaganda, lengo dunia kutwaa,
Zama za propaganda, kwa puya pasi janaa,
Zama za propaganda, kwa kuifanya ni jaa,
Zama za propaganda, la mazuzu na vichaa,
Zama za propaganda, ndio dhimaye alaa!,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
Zama za propaganda, bongo zetu hudumaa,
Zama za propaganda, fikra zetu husaa,
Zama za propaganda, nadhari zetu hupaa,
Zama za propaganda, mawazo yetu mawaa,
Zama za propaganda, vyote hivyo hututwaa,
Zama za propaganda, ni za hadhari kukaa.
Zama za propaganda, kama ni tembo chang'aa,
Zama za propaganda, kama ni ute usaa,
Zama za propaganda, kama ni hewa ukaa,
Zama za propaganda, kama ni janga balaa,
Zama za propaganda, kama ni wehu kichaa,
Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA

Mwili una raha gani

Naandiliza kusema, kwa Raufu jina lake,


Swala nyingi na Rehema, zende kwa Mtume wake,
Duwa ziwafike hima, wote Maswahaba zake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Leo nimekuja tena, na swali langu lifike,
Kwenu malenga vijana, busara mzipeleke,
Fanyeni bahathi sana, jawabu bora litoke,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Hili jambo lanitanza, sipati undani wake,
Tena linanishangaza, linanitia makeke,
Mwili nina uuliza, nini hasa raha yake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Ukenda kufanya kazi, wataka upumzike,
Bora ufanye ajizi, kutwa ukaghururike,
Unanitia simanzi, niupe nini ushike,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Mwili wataka kulala, daima usiamke,
Hautaki hata swala, kheri ukaadhibike,
Hueza sahau Mola, kuwa ndo Muumba wake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Kila nikijitahidi, alau ukurupuke,
Unafanya ukaidi, lala chini upweteke,
Hautimizi miadi, kwenda mahali ufike,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Hayo machache yatosha, mradi yafahamike,
Yanotia mshawasha, majibu muyaandike,
Nyote nawakaribisha, awezae kazi kwake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Sasa napiga tamati, jambo jengine nishike,
Japo mwili hautaki, uwache ukukurike,
Usubiri umauti, uone jeuri yake,
Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.
Zainab Mtima
Chuo cha Afya, Mbweni
Zanzibar 0777 357 031

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa

Inatoka Uk. 11

International described the


slaughter as the "deadliest
massacre" in the history
of Boko Haram and there
were disturbing reports
of bodies strewn among
bushes and in village
streets nine days later.
Kwamba japo picha
hizo ni za uwongo,
zikitaka kuficha ukweli
na kupiga propaganda
ya Boko Haram kuuwa
Wakristo, lakini tukio la
kuuliwa watu takriban
2000 limetokea.
Hiyo ni baada
ya k u t o l e wa p i c h a
za swala ya maiti ya
watu waliouliwa
na kuonekana wazi
kuwa waliouliwa ni
Waislamu, sio Wakrsito.
(Soma uchambuzi zaidi
wa picha na propaganda
hiyo uk. 10, 11)
Hatari ya Propaganda
hizi
Picha za namna
hii za urongo, za
kusingizia kuwa
Waislamu wanachinja
na kuchoma moto
Wakristo, zilisababisha
kundi la washambuliaji
Wakristo kuwavamia
Waislamu waliokuwa
wakiswali Eid na kuuwa
watu huku wengine
wakichomwa moto na
kuliwa nyama (Tazama:
Cannibalization of
Muslims in Jos on
Video: Where is our
Humanity? 2. Christians
Massacre Muslims on
Sallah Day (Graphic
pictures, please!): BBC
Captures and Records
Cannibalism Episode)
Lakini pamoja na
h a s i r a z a Wa k r i s t o
wanaopotoshwa
kuwa wanauliwa na
Waislamu, inaonekana
kuna kikundi au
vikundi rasmi
vinavyopewa silaha
kufanya mashambulizi
na kuuwa watu ovyo
huku ikidaiwa kuwa ni
Boko Haram.
N a
p i c h a
inayojitokeza hivi sasa
ni kuwa inapokuwa
inadaiwa kuwa
Wakristo wameuliwa
na picha kusambazwa
katika mitandao,

MMOJA ya wasichana wa Kiislamu akiwa


katika kambi ya wakimbizi, Nigeria. Msichana
huyo amepotezana na familia yake tokea
waliposhambuliwa na wanaodaiwa kuwa ni Boko
Haram.
z i n a k u wa p i c h a z a

uwongo au kama ni kweli


yanakuwa mauwaji ya
kupanga ili kuchochea
chuki, hasira na kupata
sababu ya kuwasingizia
Waislamu.
Lakini kila inapokuwa
ni Waislamu wameuliwa,
basi wameuliwa kweli.
Na hii inathibitisha
kuwa sasa ni dhahiri kuwa
k i l e k i l i c h o t a n g a z wa
kuwa ni Crusade, kweli
ilimaanishwa hivyo.
Ni vita dhidi ya
Waislamu na wala sio
magaidi japo kupitia vita
hiyo mabeberu wanapata
mtaji wao ambao ndio
muhimu kwao.
Kamanda mwanzilishi
wa vita hivyo, hakuwa
amekosea kama alivyokuja
kutoa ufafanuzi baadae
baada ya kuandamawa.
Matukio hayo mawili
ya k i wa k i l i s h a m e n g i
ya kuuliwa maelfu ya
Wa i s l a m u N i g e r i a ,
yanatosha kuwa kielelezo
ikitiliwa nguvu na
taarifa za propaganda ya
kupindua mambo ikabaki
kuwavurumishia lawama
marehemu na wafiwa.
Ilivyo, katika hii
i n a y o d a i wa k u wa n i
ugaidi wa Boko Haram,
kwa hakika ni ugaidi
na mauwaji dhidi ya
Waislamu.
Katika ugaidi huu,
Waislamu wanauliwa
na watu waliokwisha
andaliwa ambao ni vigumu
kwa sasa kuwatambua,

ikisingiziwa kuwa ni Boko


Haram.
N a m a u wa j i h a y o ,
toka Boko Haram
imeanza, hufanyika
Kaskazini katika miji na
vijiji vyenye Waislamu
w e n g i . Wa n a o u l i w a
na k uc ho m e wa m o t o
nyumba zao ni Waislamu.
Kwa upande wa pili
Waislamu wanauliwa na
vijana wa Kikristo wenye
hasira wanaodaiwa
kukasirishwa na mauwaji
ya Boko Haram.
Kwa upande wa tatu,
Waislamu wanauliwa
na polisi, jeshi, ikidaiwa
kuwa wanapambana na
Boko Haram.
Na nne, huenda
Nigeria ikaingia katika
hatua nyingine ambapo
Wa i s l a m u wa t a k u wa
wakiuliwa kupitia
makombora ya drone
ikidaiwa kulenga magaidi
Boko Haram.
Ta n o , n i k u w a
Uislamu na Waislamu
w a n a m a l i z w a
kupitia propaganda
inayowachafua kuwa ni
watu waovu, wauwaji
katili.
Katika watu hatari

waliofanya kazi kubwa


ya k u c h o c h e a h a l i
hii, ambapo Nigeria
inajikuta ipo katika
umwagaji damu
mkubwa, wanatajwa
Masheikh, Makasisi
na wandishi wa habari.
(Soma kwa undani uk.
2, 10, 11)

13

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Husema kelele za chura hazimkatazi ng'ombe kunywa maji


Na Ben Rijal
UKWELI misemo yetu
ya Kiswahili kama
tutayachunguza na
kuyaweka iwe dira ya
kutuongoza, hatutokuwa
na mashaka yaliotuvaa
hasa nyakati hizi za sasa.
Chura tunamuelewa ni
katika viumbe wenye
kuishi kwenye maji na
nchi kavu. Uwezo huo
waaliokuwa nao namna
muumba Mwenyeenzi-Mungu SW
anavyokadiria viumbe
v ya k e . C h u r a h u wa
anapiga kelele na kuleta
tafshanini, lakini wenye
kuzielewa na kuzifanyia
kazi lugha za wanyama,
husema kila ukisikia
vyura wanapiga kelele
sana, ujuwe wanapeyana
taarifa na kujibizana.
Wazee wamekuja na
msemo usemao, Kelele

za chura hazimkatazi
ngombe kunywa maji,
kwani ngombe akifika
katika sehemu yoyote
ile ilio na maji, kiwe
kidimbwi, kijito n.k. huku
vyura wanahanikiza kwa
kelele, ngombe husema,
piga kelele wee mie maji
nitayanywa.
Hapa najaribu kutaka
kujenga hoja namna
uharibifu mkubwa
unaotendeka hivi sasa wa
kimazingira na kusikia
kauli zitolewazo na
waharibifu kuwa pigeni
kelele wee, sio tupo pale
pale, tena mnataka tukale
wapi?
Mada yangu ya wiki
hii ni juu ya mikoko au
kama wengine waitavyo
mikandaa namna
i n a v y o a n g a m i z wa n a
kuanza kutoa athari
mbalimbali katika maeneo
ya mwambao.
Waislamu wametakiwa
kuenzi na kupanda
miti kwa wingi,
Mtume Muhammad
SAW amesisitiza kuwa
muumini wa Kiislamu
ajizaititi katika kupanda
miti, kama hadithi hii
isemayo Ikiwa Muislamu

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.


yoyote akapanda mti,
mti ule ukatoa faida kwa
wanadamu au wanyama
atalipwa kwa jambo hilo
la kutoa zawadi. (Sahih
Bukhari Vol. 8, Book 73,
No. 41).
Bwana
Mtume
Muhamad SAW amelezea
katika hadithi nyengine
Pindipipo wakati
unakaribia kupulizwa

bargumu la kiyama
akatokea mja akiwa na
mche mkononi anataka
kuupanda, basi aupande
mche hio. (Imenukuliwa
na Ahmad na Al-Bukhar
juu ya usihihisho wa Anas
in Al Adab Al-Mufrad,
angalia zaidi kwenye
Sahih Al- Jami' Al-Saghir,
No.1424).
Uislamu umesisitiza

sana katika suala zima


la kupanda miti na
kutokata miti ovyo na
hata kuwekwa taratibu
maalumu na Mtume SAW
kutengwa maeneo ya
uhifadhi maeneo ambayo
kutoruhusika kukata miti
wala kuuwa wanyama
Hima. Katika karne ya
7, Mtume SAW alitangaza
Inaendelea Uk. 19

Mchango wa Waislamu katika maendeleo ya Dunia


Na Ben Rijal

UISLAMU haupo kama


wanavyotaka wengine uwe
ndivyo ulivyo kwa sura
waitakawo wao. Uislamu
unapakwa kila sifa mbovu
hivi sasa na kufikia baadhi
ya Wa i s l a m u k u o g o p a
kujitambulisha kama
wao ni Waislamu wasije
wakahujumiwa. Jina Islam
linatokana na Salam yaani
amani. Kwa hio, Uislamu
umejengeka katika amani
na pindipo ukakutana na
Muislamu yumo kajikita
katika mambo ya shari tu,
ikiwa amani haipo pamoja
nayeye, basi ujue kuwa
huyo uliokutana naye,
Uislamu wake una walakini.
Mtume SAW katika maisha
yake yakulingania Uislamu,
alichanganya ya dunia na ya
akhera kwa kuyachanganya
pamoja pasi na kuyabagua.
Alikuwa anaelezea utibabu
na siha, uongozi, amiri jeshi
wa Waislamu katika vita,
mtawala aidha aliwajenga
kiroho waumini na waumini
kuweza kuyaunganisha ya
dunia na akhera. Katika
nyakati za Mtume SAW
kulifanyika mengi kuweza
kuwaendeleza Waislamu
kuishi katika maisha ya

AMIRI wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Mussa


Kundecha akionesha matanko ya Maaskofu yanayopinga Mahakama ya Kadhi.
matumaini kwa kuyaelewa
mazingira yaliowazunguka
na rasilmali zake aidha
waumini hao walielewa
ya n a y o wa l i z m u k a t i k a
maisha yao ya kiroho.
Utaalamu wa Waislamu
uliendelea kwa kasi na
ilipofika karne ya 8 pale

ilipoasisiwa Nyumba ya
maarifa/hikma ambapo
fani mbalimbali ziliibuliwa
kwa kina kirefu iwe Hesabu,
Fisikia, Elimu ya nyota,
Usarifu wa majenzi, Kemia,
Ushairi, Filosofia, Utibabu na
fani nyenginezo. Zama hizi za
karne ya 8 zikijulikana kama

zama za dhahabu na harakati


za wasomi hao makao makuu
yake yalikuwa katika mji
wa Baghdad uliopo Iraq.
Bahati mbaya michango
hio ilipotea pale Waislamu
waliposhikamana na dunia
na kuyapa kisogo mafunzo
aliokuja nayo Mtume

Muhammad SAW.
Kuna nadharia maarufu
inayozungumzia juu ya
wakati na upenyo na
harakati za mwendo zikawa
l a z i m a z i a n z i e k we n ye
nukta ilioanzia (Theory of
relativity) iliokuja mpa sifa
kuwa Albert Einstein. Wakati
Einstein anayazungumzia
haya wataalamu wa
Kislamu walikuwa tayari
wameshaifanyia kazi.
Nadharia hio.
Elimu ya Algebra,
algorithms na trigonometry
elimu zilizoleta msingi
mkubwa wa Teknolojia.
Elimu hizi zilifanyiwa kazi
kubwa na wataalamu wa
Kiislamu. Miji ya Damscus,
Baghdad, Cairo n.k. Vigogo
vya Kiislamu kama ibn alHaytham, ibn Sina, al-Tusi, alKhwarizmi, Omar Khayyam,
hawa ndio walioasisi na
kuisukuma sayansi iliokuja
kupanuliwa na kuendelezwa
na kina Newton, Copernicus,
Einstein na wengineo.
Makala kumi na tano
mfululizo muandishi wa
makala hii atawaelezea
baadhi yao kwa uchache
ili Muislamu aelewe juu
ya michango ya Waislamu
katika maendeleo.

14
JANUARI mapema
mwaka huu, makamanda
we n ye v ye o v ya j u u
wa j e s h i l a N i g e r i a
walikamatwa na mpaka
sasa wapo kizuizini kwa
madai kuwa walishindwa
kuwazuiya Boko Haram
kuteka kambi ya kijeshi
ya Baga na kisha kufanya
mauwaji ya watu wapatao
2000 kwa uchache.
Waliokamatwa ni pamoja
na Brigadier General,
Enitan Ransome-Kuti,
Lieutenant Colonel G.A.
Suru, Lieutenant Colonel
Haruna na Major Aliyu.
Kambi ya Baga, sio
kambi ndogo, kwani ndio
Kambi na Makao Makuu
ya Kikosi cha Kupambana
na Ugaidi wa Boko
Haram (Headquarters of
the Multinational Joint
Task Force [MNJTF]),
kikijumuisha nchi za
Nigeria, Niger, Chad na
Cameroon.
Taarifa zinasema kuwa
Kambi hiyo ina vifaa vya
kijeshi vya kutosha na
vya kisasa, ambapo katika
hali ya kwaida haitarajiwi
hata hao Boko Haram,
kuwaza uwezekano wa
kuishambulia.
Hata hivyo, walifanya
hivyo na Kamanda Mkuu
wa Kambi hiyo, Bwana
Ransome-Kuti kwa
siku nne, Boko Haram
walipokuwa wakifanya
mauwaji, hakuweza
kupatikana hata kwa simu.
Aliingia mafichoni.
The Brigadier General
is also send to have gone
underground for four
days after the MNJTF was
dislodged. Nobody was able
to reach him and nobody
could tell where he was,.
The suspicion is that he was
roaming around Maiduguri
in mufti while his troop
were in disarray. He and
his officers have to account
for everything. Ilisema
taarifa iliyochapishwa
katika gazeti la PREMIUM
TIMES.
U k i a c h a
h a o
waliokamatwa katika tukio
hilo la Januari mwaka
huu, lakini kuna mamia
ya askari wengine ambao
wameshafikishwa katika
mahakama za kijeshi
wakituhumiwa kuasi na
kukaidi amri ya jeshi ya
kupambana na magaidiBoko Haram. Nimejaribu
kuweka baadhi ya picha za
wanaodaiwa kuwa ni Boko
Haram, halafu msomaji
utizame na upime, iwapo
hao ni watu wa kuweza
kuteka kambi ya jeshi, hata
iwe ndogo kiasi gani.
Ufupi wa maneno
jeshi la Nigeria hivi
sasa linaonekana kiroja

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Hali ilivyo Nigeria hivi leo katika


kupambana na Boko Haram

MAMA akiswali na mtoto wake nje ya nyumba yao iliyochomwa moto. Tizama
mswala na birika lake la kutawadhia.

MAITI za ajali ya lori la mafuta Congo, DRC zikiwa zimefunikwa na blanketi, sasa
zinatumika kama propaganda ya kuwasingizia ugaidi Waislamu Nigeria.
na takataka tupu mbele h i z o wa n a z i a m i n i n a recalcitrant zebra charged
ya jamii. Hivi karibuni maelezo yake. Picha hiyo them.
ilisambazwa habari na ilikuwa imechukuliwa
Leo zebra hao wa
picha katika mitandao katika jarida, National Kenya wamekuwa wa
i k i o n y e s h a p i c h a ya G e o g r a p h i c N e w s , Nigeria na askari wa
w a n a j e s h i w a w i l i l a Au g u s t 1 7 , 2 0 0 7 nyama pori wa Kenya,
wakikimbizwa na punda l i k i wa o n ye s h a a s k a r i wamekuwa wanajeshi wa
milia.
wanyama pori wa Kenya Nigeria wa kupambana na
N i g e r i a n a r m y s wakiwa katika harakati za Boko Haram!
cowardice, ndio kichwa kutekeleza majukumu yao.
Baada ya lile tukio la
cha habari kilichokuwa
Picha ilipigwa na mpiga kutekwa wasichana 279
kimeandamana na picha picha wa Shirika la Habari kule Chibok, Aprili mwaka
hiyo ikidaiwa kuwa, kama la Reuters, Kenya tarehe jana 2014, ilichapishwa
wanajeshi wa Nigeria ni 30 Julai, 2007. Picha hiyo habari na picha ikionyesha
waoga kiasi cha kukimbia ilipochapishwa katika wanawake walioshika
punda milia, haishangazi jarida la NG, lilikuwa bunduki, AK-47 assault
kuona kambi zao zikitekwa na maelezo (caption) rifles, na kuelezwa kuwa
na Abubar Shekau wa yafuatayo:
wanawake hao, waliweza
Boko Haram.
Two Kenya Wildlife kupambana na kuwatimua
La kushangza ni kuwa Service rangers, working to Boko Haram.
wala watu hawakuzingatia help move 2,000 animals to
Another Boko Haram
kuwa Nigeria hakuna the Meru National Park, had attack repelled by armed
punda milia. Picha kama to make a run for it when a women,, Boko Haram

attack repelled by armed


women, zilisema taarifa
katika mitandao (Twitter)
na kudakwa na baadhi
ya magazeti ikielezwa
kuwa baada ya shambulio
la kutekwa wasichana
ambao hawajapatikana,
Boko Haram wamefanya
shambulio jingine Mei
27, 2014 katika vijiji vya
At t a g a r a n a K a w u r i
Jimbo la Borno, lakini
wakadhibitiwa na
k u t i m u l i wa n a a k i n a
mama.
The notorious pseudoIslamic terror groups tried
to attack the Attagara and
Kawuri communities over the
weekend but the insurgents
were instantly repelled by a
group of armed women.
Get em ladies,
ndio ilivyoripotiwa na
taarifa hizo kusambaa
katika mitandao watu
wakiwapongeza akina
mama hao na kubeza jeshi.
Picha hiyo iliibuka tena
katika kurasa za Facebook
baada ya shambulio la Baga
ikiambatana na maelezo
(caption) yaliksema:
When Boko Haram
showed up to kill and rape us
and our students we didnt
hide or throw spaghetti-os
We shot them in the face
because we dont demand
action we take action.
Hata hivyo, uchunguzi
unaonyesha kuwa picha
hiyo wala sio ya wanawake
wa Nigeria. Ilichapishwa
kwa mara ya kwanza
Novemba 23, 2012 katika
gazeti la The Times of
London.
Ilipigwa na Mpiga picha
wa gazeti hilo (Times
photographer), Jack Hill,
katika mji wa Sevare, Mali
ikiwa imewekwa katika
habari ya mwandishi
Jerome Starkey akielezea
jinsi wanawake wa Mali
walivyojizatiti kukabiliana
na waasi wa Tuareg, ikiwa
na kichwa cha habari,
women bent on revenge
against Tuareg rebels in
Mali. (Angalia: Story of
gutsy bravehearts who
fought off Boko Haram is a
hoax.)
Sasa yote hayo
hufanywa kama kejeli
kwa jeshi la Nigeria lakini
ikilenga pia kuzidisha
kitisho cha Boko Haram
na kuita usaidizi kutoka
nje. Kwamba, maadhali
jeshi la Nigeria ndio
limekuwa hivyo, kaputi,
b a s i wa j e w a n a j e s h i
kutoka Marekani, NATO
na mabeberu wengine.
Tutalieleza vizuri mbele.

15
UKIACHA taarifa feki
za kulichafua jeshi, hata
taarifa za kukuza kitisho
cha ugaidi nazo ni feki
pia. Ni mambo ya kuzua.
Urongo wa makusudi.
Ukiacha yale mahusiano
yasiyo mazuri baina ya
Waislamu na Wakristo
yaliyojengwa na wakoloni
toka zama za ukoloni, hii
chuki ya sasa na mengi
yanayoitwa matukio ya
kigaidi ni ya kupanga na
mengine yakiwa uzushi
tu. Ifuatayo ni mifano hai.
Baada ya tukio la
kushambuliwa miji ya
Doro Gowon na Baga,
Kaskazini mwa Nigeria,
mwezi uliopita ambapo
Waislamu 2000 waliuliwa
na nyumba zao kuchomwa
moto, picha za kutisha
z i l i s a m b a z wa k a t i k a
mitandao (online) na
kudaiwa kuwa huo ni
ushahidi wa mauwaji ya
kutisha ya Boko Haram
kwa Wakristo.
Ili kuelewa hatari ya
propaganda na ubaya wa
watu wanaofanya kazi
hii, nilitangulia kuomba
radhi kuwa nitatumia
picha za kutisha. Moja
ya picha iliyotumiwa
ilikuwa ikionyesha
maiti zilizoungua moto
zikiwa zimezagaa mbele
ya nyumba moja. Picha
h i y o i k a o n g o z wa n a
ichwa cha habari:Baga
massacre. Ikawekwa pia
picha nyingine ya maiti
m wa n a m k e n a m t o t o
wake mdogo walioungua
na miili yao kubabuka.
Zote hizo ikadiwa kuwa
ni za wahanga wa Baga
massacre.
Hata hivyo, picha ya
maiti nyingi zilizoungua,
ilikuwa za tukio la watu
waliokufa kwa kuungua
moto Congo (DRC) mwaka
2010 baada ya lori la
mafuta kuanguka na watu
kukimbilia kuiba mafuta,
likalipuka.
Picha hizo zilipotolewa
kwa mara ya kwanza
katika vyombo vya habari,
zilisindikizwa na vichwa
vya habari vifuatavyo:
Congo Oil tanker kills
220. DR Congo oil tanker
blaze kills 220. Na vingine
mfano wa hivyo.
Kwa bahati nzuri hata
TV za Kikristo, mfano
Gospel GTV, ilitoa taarifa
hiyo na picha hizo ikibebwa
na kichwa cha habari Sio
Wanajeshi Vitani. Kisha
taarifa ikasema, Lori la
Mafuta: 220 wafa. Ni baada
ya ajali, mafuta yakavuja.
Umasikini kulaumiwa?
Je, itakuwa funzo?
Au imekuwa mazoea.
Tu f a n ye j e ? ( A n g a l i a
Gospel GTV.com.)

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Propaganda chafu na hatari yake


Tunaomba radhi kwa picha mbaya.

MIILI ya watu aliokufa kwa kuungua moto kwenye ajali ya gari la mafuta Congo DRC,
2010. Picha hiyo imekuwa ikitumika Nigeria ikidaiwa ni Wakristo waliochomwa
moto na Boko Haram. Picha chini ni gari lililopata ajali.

Picha hiyo hiyo,


ilichapishwa mwaka jana
Julai 2014 ikiwa na kichwa
cha habari: Boko Haram
burns 375 Christians.
Picha mfano wa hizo
za matukio ya ajali ama
za magari au moto,
zilizotumika kusambaza
urongo kuwa ni Wakristo
waliouliwa na Boko
Haram, ni nyingi.
Picha hiyo baada ya
kuchapishwa katika
m i t a n d a o ya N i g e r i a
na kupewa kichwa cha
habari Boko Haram
burns 375 Christians,
ilidakwa na vyombo vya
Ulaya na Marekani, punde
i k a s a m b a a t a a r i f a ya
mwandishi Pamela Geller
ikisema: Nigeria: Muslim
Hordes Mass Slaughter
Christians.

Hata hivyo akatokea


mtu akamjibu akaandika:
Pamela Geller Watch:
Ties Gas Tanker Explosion
in Congo to Electoral
Violence in Nigeria.
Haikuishia hapo
akaibuka tena mwingine
akijiita Lazarus akisema,
Atrocity in Nigeria, kwa
maana ya, uovu, au ukatili
Nigeria. Nitanukuu kwa
uchache yaliyoandikwa
hapo.
I do aplolgize for
publishing this on here But i
feel it needs to be known and
beware of the Muslim.
This is a brutal example of
how far the struggle between
muslims and Catholics in
Nigeria has reached.
Muslims are determined
to impose their 'religion' all
over Africa as well as in other

continents and countries


of the world. Islam has but
one goal: rule the world at
any cost! And where are the
International Human Rights
Organizations?
Christians are burnt
alive in Nigeria: a horrific
Holocaust right in front of
International indifference!
As denounced by Father Juan
Carlos Martos, on behalf of
the Missionari Clarettiani,
via del Sacro Cuore di Maria,
Rome, Italy.
By publishing this graphic
document on Facebook, I have
intended to make the world
aware of certain terrible
events totally ignored or
minimized by the mainstream
media; an authentic genocide
so cruel and inhuman only
comparable with the most
hateful and vile acts in the

nazi extermination camps."


Kwa wanaojua
Kiingereza bila shaka
washapata ujumbe
uliokusudiwa. Ufupi wa
maneno ni kuwa, kwanza
mwandishi anaomba radhi
kwa kuweka picha hiyo
inayotisha kinyume na
maadili ya uandishi wa
habari. Lakini anasema
amelazimika kufanya
hivyo kwa sababu
ujumbe anaokusudia
kuufikisha ni mzito. Ni
picha inayoonyesha kisi
cha ukatili wanaofanyiwa
Wa k r i s t o N i g e r i a n a
Wa i s l a m u wa n a o t a k a
kusimamisha Uislamu
katika Bara zima la
Afrika na duniani kote.
Kutekeleza agenda
hiyo, wanawachoma
m o t o Wa k r i s t o w a
Nigeria. Na anasikitika
kuwa hayo yanafanyika
mbele ya Jumuiya ya
Kimataifa, lakini hakuna
juhudi zinazofanyika
kuwashambulia Waislamu
ili kuwanusuru Wakristo
wa Nigeria.
Anamalizia kwa kusema
kuwa kwa kuchapisha
picha hizo, ni kutaka
ulimwengu ufahamu
k u wa k u n a m a u wa j i
ya Kimbari (genocide)
ya n a f a n y i k a N i g e r i a .
Waislamu wanawamaliza
Wakristo, lakini vyombo
vya habari vimekaa kimya!
Niunge hapa kuwa na
sisi tumeamua kuweka
picha hiyo ili kuonyesha
ulimwengu kuwa picha
hiyo haioneshi Wakristo
waliochomwa moto na
Waislamu kule Nigeria
mwaka jana 2014, bali ni
watu walioungua moto
baada ya lori la mafuta
kupinduka Congo na watu
kukimbilia kuiba mafuta
mwaka 2010.
Katika kukuza kitisho
cha ugaidi, ukatili na
mauwaji Libya, ilikuwa
ikisambazwa taarifa kuwa
Gadhafi alikuwa akiwapa
askari wake Viagra ili
wapate nguvu ya kubaka
wanawake. Katika Syria
BBC imetumia picha za
watoto waliokufa Iraq
mwaka 2003 nchi hiyo
ilipovamiwa na Marekani,
ikadaiwa kuwa ni watoto
wa Syria wanaouliwa na
Bashar Assad.
Mambo ya kuandika
hapa ni mengi, lakini
niseme tu kuwa, picha
na taarifa kama hizo ndio
huchukuliwa kama taarifa
rasmi katika jumuya ya
kimataifa na kuwekewa
mikakati ya namna ya
kupambana na magaidi.

16
JULAI 10, 2012 Pastor
Ayo Oritsejafor, ambaye
ni Rais wa Chama
cha Wakristo Nigeria,
(Christian Association of
Nigeria (CAN), alipewa
fursa ya kuongea katika
K a m a t i ya B u n g e l a
Marekani (U.S. House of
Representatives Foreign
Affairs Committee, Subcommittee on Africa,
Global Health and
Human Rights), ambapo
alikariri habari hizo
hizo za kughushi kuwa
Waislamu wanachoma
m o t o Wa k r i s t o , n a
kusisitiza kuwa ni punde
tu, kama Marekani na
jumuiya ya Kimataifa,
haitaingilia kati, Wakristo
wa Nigeria watamalizwa
na Waislamu wanaotaka
kusilimisha Wakristo
kwa nguvu.
Boko Haram has waged a
systematic campaign of terror
and violence. They seek an
end to western influence and
a removal of the Christian
presence in Nigeria. This
is outright terrorism, not
legitimate political activity
or the airing of grievances.
Alisema Mchungaji Ayo
ambaye ana ndege binafsi
kutoka Marekani ambayo
mara kadhaa imekamatwa
ikijaribu kuingiza silaha,
na kumalizia kwa kuitaka
Marekani kuchukua hatua
haraka. Alisema:
A s B o k o H a r a m
increasingly turns towards
genocide through the
systematic targeting of
Christians and Christian
institutions in pursuit of its
goals, history will not forget
the actions or the inactions
of your great nation. I thank
you for this opportunity
and I look forward to the
continuing our strong
partnership with America.
Thank you, Mr.
C h a i r m a n . ( Ta z a m a :
Nigerian Christian
Association President
Statement to US Govt. on
Boko Haram.)
Wiki iliyopita tulitaja
kisa cha baadhi ya
vyombo vya habari vya
Nigeria kuchukua picha
zilizotumika kupiga
propaganda Somalia
mwaka 2008 kuwa AlShabaab wanachinja
Wakristo, wakazitumia
mwaka 2012 kuonyesha
kuwa ni Boko Haram,
kisha wakapaza kilio
kuwaita Wamarekani waje
wawaokoe, vinginevyo
watamalizwa kwa
kuchinjwa na Waislamu.
N i k i wa m wa k a wa
k wa n z a C h u o K i k u u
cha Dar es Salaam
mwaka 1983, tulikuwa
na mwalimu wetu wa

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Nafasi ya Wachungaji

PICHA juu wanaodaiwa kuwa Boko Haram wakiwa chini ya ulinzi. Vijana hao ndio
wanaodaiwa kulishinda nguvu jeshi la Nigeria. Kati Mohamed Yusuf kiongozi wa
zamani wa Boko Haram akiwa chini ya ulinzi baadaye kuuliwa na jeshi hilo. Chini
Mchungaji Ayo.

DS kutoka Ujerumani
Mashariki wakati huo.
Alikuwa akipenda sana
kuwabamiza Wamarekani
na siasa zao za ubeberu.
Siku moja mwanafunzi
mmoja akamuuliza,
mbona hata Urusi
imevamia Afghanistan
mwaka 1979 na bado
inaikalia kimabavu.
Mhadhiri huyo akajibu
kuwa wakati Marekani
inafanya kuvamia
nchi za watu kibabe,
Urusi ilikaribishwa na
wananchi wa Afghanistan
kuwanusuru kutokana na
utawala mbaya uliokuwa
ukitumikia mabeberu
wa n y o n ya j i . I t wa s
invited by the people,
alisema kwa Kiingereza.
N a
k w e l i ,
kinachofanyika
toka limeibuka hili
jinamizi Boko Haram,
kinachofanywa na vyombo
vya habari vya Nigeria na
baadhi ya Wachungaji, ni
kuikaribisha Marekani
kuikalia nchi hiyo kijeshi.
Hoja/kisingizio ni kuwa
serikali yao, jeshi lao,
limeshindwa kuwalinda
kutokana na Boko Haram!
Ni makaribisho kama
hayo, japo kwa kasi zaidi,
yaliyotumika kujivuruga
Libya, na sasa ndio hayo
hayo yanayotumika
kuivuruga Syria na kurejea
tena Iraq kwa kisingizio
cha kuzinusuru nchi hizo
na balaa la Islamic State
(IS).
Hiki ndicho anachosema
Glen Ford katika makala
yake The U.S. Empire
and ISIS: A Tale of Two
Death Cults, ambapo
anasema kuwa kila
mwaka imekuwa ni ada
kwa Marekani na wakati
mwingine, zikijumuika
Uingereza, Ufaransa
na Italia, kuandaa
yanayoitwa mazoezi ya
pamoja ya kijeshi- U.S.
Africa Commands
military Flintlock exercise,
ambayo japo yanadaiwa
kuwa nia ni kukabiliana
na kitisho cha ugaidi na
changamoto nyingine za
kiusalama, Ford anasema
kuwa kwa hakika
yamekuwa-designed to
deepen African militaries
dependence on western
weaponry, training and
finance.
Na kuhusu Boko Haram
akasema, Boko Haram has
proven quite useful to the
consolidation of U.S. military
dominance in West Africa.
Kwamba kitisho cha
Boko Haram, kama
kilivyopepewa na vyombo
vya habari na baadhi ya
wachungaji, kimekuwa
msaada mkubwa katika
kuimarisha utawala na
udhibiti wa kijeshi wa
Marekani katika Afrika
Magharibi.

17

Makala

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2015/2016

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL

SAME KILIMANJARO
NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
MWANZA
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

DAR ES SALAAM

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.
2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .
3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.
4.
Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)
katika kujifunza.
5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni
: 0783552414/0762817640.


Kilimanjaro
- Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490
- Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
- Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.
- Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga
- Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani : 0715 894111
- Uongofu Bookshop: 0784 982525

- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.
-Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza
- Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.
- Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.

Musoma
Shinyanga

Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172


- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531

Morogoro

Dodoma

Singida

Manyara

Kigoma
- Msikiti wa Mwandiga: 0714717727
- Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669.
- Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

Lindi

Mtwara

Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623


Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426
Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

- Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.


- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992

- Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.
- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196

- Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.


- Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

Songea
- Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.
- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.
Mbeya

- Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319.


- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

Rukwa

- Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

Tabora

- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342


Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

Iringa

- Madrastun Najah: 0714 522 122.

Pemba

-Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

Unguja

- Madrasatul Fallah: 0777125074.

- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba


Mafia
- Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ

18

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Abubakar Shekau maiti


na Shekau aliyefufuka

MWAKA jana zilisambaa


habari katika vyombo vya
habari kuwa Abubakar
Shekau ameuliwa.
Kukawa na picha za video
zi ki onyesha Shekau
a k i wa a m e k a m a t wa
na wanajeshi, na pale
alipokuwa maiti huku
sauti za wanajeshi
hao walio katika sare
rasmi za jeshi la Nigeria
wakijipongeza kwa kazi
waliyofanya.
Katika taarifa ya
televisheni ya Sahara
TV, inasikika sauti ya
askari mmoja ikisema,
weldone, huku maiti
ya Shekau ikonekana
imelala chini akioonyesha
kufungwa kamba.
A b u b a k a r S h e k a u
captured and killed
in Konduga, ndio
ilivyoarifiwa habari ya
kuuliwa kwa Shekau
kama Breaking News
Septemba 22, 2014.
Hata hivyo, baada ya
muda mfupi ikaibuka
video katika mtandao
ambapo Shekau anasema
kuwa taarifa za kuuliwa
ni urongo, yupo hai.
Vyombo vya usalama,
wakiwemo polisi, Idara
ya Usalama na jeshi,
vilikariri taarifa za awali
kuwa Shekau ameuliwa
na kwamba video hiyo
mpya ilikuwa feki.
Wakajitahidi kuonyesha
kuwa picha zilizotumika

ni feki.
Hata hivyo, kadiri
maelezo yalivyotolewa
na baadhi ya mitandao
ya kijamii ikiunga mkono
na kuonesha kuwa video
ya Shekau mpya ni feki,
habari za kuwa Abubakar
Shekau yu hai, zikawa

zinapewa nguvu ndani na


nje ya Nigeria, wakiwemo
Fox News na Mashirika ya
Habari kama AFP.
Hali hiyo ilipeleka
jeshi kusema kuwa
inavyoonekana Abubakar
Shekau sio mtu, bali neno
tu linalotumika kama

KAMA ilivyo kwa Kamanda


wetu Paul Chagonja hivi
sasa anavyoonya juu ya
kukuza kitisho cha ugaidi,
hali ilikuwa hivyo hivyo
kwa Nigeria.
Zilivyoanza kusambaa
habari katika magazeti
na mitandao ya kijamii
kuwa kuna magaidi wa
Boko Haram waliopania
kuteketeza Wakristo, Mkuu
wa Jeshi la Polisi (IGP)
Mohammed Abubakar,
alitoa kauli akitaka habari
za magaidi zisikuzwe na
kutiwa chumvi.
Stop giving Boko Haram
cheap publicity, IGP tell
journalists, alisema IPG
Mohammed Abubakar
katika taarifa yake kwa
vyombo vya habari
Jumamosi Aprili 21, 2012.
K wa b a h a t i m b a ya
kabisa, ombi hilo liliangukia
sikio la viziwi, anasema
mwandishi Dimeji KayodeAdedeji.
Kwa mujibu wa taarifa za
kiusalama, nyingi ya taarifa
zilikuwa za uwongo na kama
alivyosema msemaji wa
jeshi, kulikuwa hata na picha
kutoka machafuko ya Afrika
ya Kati zilidaiwa kuwa ni

za Nigeria na kusambazwa
katika mitandao na vyombo
vya habari vinazitumia.
Lakini kama ilivyokuwa
kwa yule Mhariri wa gazeti
maarufu kabisa la Ujerumani,
Frankfurter Allgemeine
Zeitung, Dr. Udo Ulfkotte,
ilidhihirika kuwa kuna watu
walikuwa wakipewa habari
za Boko Haram na kutakiwa
kuziweka kama zilivyokuwa
hata kama zilikuwa za
uwongo.
Ametajwa mtu mmoja
kwa jina la Ahmad Salkida
(haijulikani kuwa ni jina
halisi au pen name),
ambaye baadae alikimbilia
D u b a i , k u wa n i k a t i k a
waliokuwa wakipewa
habari za Boko Haram (na
nani? Haijajulikana) na
kuzisambaza katika vyombo
v ya h a b a r i m b a l i m b a l i
ambavyo navyo vilikwisha
andaliwa.
Katika taarifa yake ni
kwanini anakimbia Nigeria,
alisema wazi kuwa hakuwa
tayari kuendelea kupokea
na kuandika habari za Boko
Haram, na kwa kukataa
kuendelea kufanya kazi
hiyo, alikuwa na wasiwasi
juu ya usalama wake.
Lakini alisema pia kuwa

baadhi ya maofisa wa Idara


ya U s a l a m a , wa l i k u wa
wamekazana kumfuatilia juu
ya taarifa za habari za Boko
Haram, ambazo alikuwa
kama ndiye msambazaji
mkuu.
Kutokana na uzoefu wa
Nigeria, baadhi ya wasomi
na wachambuzi wa mambo
wamefikia kusema kuwa
bila vyombo vya habari
(global media), hakuna
ugaidi (global terror).
Baada ya kupigwa sana
zumari ya ugaidi ikakolea,
jamii ikatishika na ikaamini
kuwa kuna Boko Haram, kila
linalofanyika sasa linakuwa
halipo katika udhibiti wa
watu Nigeria wala hao
a m b a o a wa l i wa l i i t wa
Boko Haram. Ndio maana
ukiuliza Nigeria leo, hakuna
hata mtu mmoja katika wale
wafuasi wa mwanzo wa
kiongozi wa Boko Haram,
Mohamed Yusuf ambaye
yupo hai. Wote waliuliwa.
Kwa nini? Ili ikifikia hatua
hii, asije akatokea mmoja
wao kudai kama si wao
waliofanya. Hapana shaka
kama wale Boko Haram
wa awali wangekuwepo,
na zikatolewa picha kama
z i l e z a wa t u k u u n g u a

INAYODAIWA kuwa ni maiti ya Shekau baada ya kuuliwa na jeshi.

Tahadhari ya Polisi

kiwakilishi au nembo ya
ugaidi Nigeria. (Angalia:
Abubakar Shekau is a Fake
Identity, Not a Name,
Military Says.)
Ilikuwa ni katika kikao
na wandishi wa habari
ambapo msemaji wa jeshi
Brigadier General Chris
Olukolade, alisisitiza

kuwa kama ni mtu


a n a ye i t wa A b u b a k a r
Shekau, kiongozi wa
Boko Haram, basi huyo
ameuliwa.
Katika mkutano huo
ambao ulihudhuriwa pia
na msemaji wa Idara ya
Usalama (State Security
Service), Mrs. Marylyn
Ogar pamoja na msemaji
wa polisi, Mr. Frank
Mba, ilielezwa kuwa
taarifa na picha nyingi
zinazochapishwa juu
ya Boko Haram, ni za
kughushi na mambo ya
kuzua ili kuwatia katika
wasiwasi wananchi wa
Nigeria kiasi cha kufikia
kuhisi kuwa serikali yao
imeshindwa kuwalinda.
Global Media Busted
Promoting Fake Images Of
Ghost Of Shekau, ni
taarifa moja iliyotolewa
ikieleza jinsi vyombo
vikubwa vya habari vya
kimataifa, hasa ikitajwa
Fox News, Aljazeera
na AFP, zilivyokuwa
zimeshupalia kusambaza
habari za uwongo juu
ya kuwepo Shekau hata
baada ya kutolewa taarifa
rasmi na jeshi.
Baadae vyombo vya
ndani navyo vikaacha
habari ya vyombo
vya usalama vya nchi,
vikakamata habari za
Fox na kuanza kuripoti
kila uchao kuwa Shekau
kasema hili na lile.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi la polisi


nchini, Paul Chagonji.
katika ajali ya lori la mafuta
Congo halafu ikadaiwa
kuwa ni wao wamechinja
na kuchoma moto Wakristo,
wangetoa taarifa kukanusha.
Lakini taarifa kama hizo
hazikanushwi kwa sababu,
kama alivyosema msemaji
wa jeshi, Brigadier General
Chris Olukolade, hivi sasa
Boko Haram ni boya tu, sio
watu wala taasisi hai. Na boya
hili ndilo wanaloshindwa
polisi na wanajeshi wa
Nigeria, kupambana nalo.

Sio kuwa ni wasaliti na


woga. Kama ni kukimbia,
wanalikimbia boya, hili na
pepo (ghost) wa Shekau
anayekufa na kufufuka,
hawakimbii punda milia.
Kwa hiyo, ukitafakari
kauli ya Kamishna wa Polisi
Paul Chagonja, ni kuwa na
sisi tusije tukatumbukizwa
katika balaa hili tukajikuta
JWTZ wetu wakitukanwa
kuwa wanakimbizwa
na swala, afadhali hata
ingekuwa fisi!

19

Makala/Tangazo

AN-NUUR

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015

Husema kelele za chura hazimkatazi ng'ombe kunywa maji


Inatoka Uk. 13

eneo la Al-Madinah
ikiwa sasa unajulikana
kwa jina la Medina, Kuwa
marufuku kukata miti
wala kuuwa wanyama
na mpango huu wa Hima
ulibaki na kuendelezwa
hadi zama hizi.
Waislamu wameyatupa
mafunzo ya dini yao
na mafunzo hayo
kuchukuliwa na
waliokuwa sio Waislamu,
matokeo yake sasa
Waislamu wanafunzwa
na wengine na kuona
taaluma hizo ni vitu vipya
na kuanza kutekeleza kwa
hamasa. Mfano mwengine
Mtume SAW ametufunza
tupande mauwa kwa
kauli isemayo Pandeni
maua kwani hivyo ndivyo
vipando vya Peponi.
Ilibidi katika majumba
yetu tuwe na mauwa ya
kila aina, lakini waliokuwa
s i o Wa i s l a m u n d i o
wanaopandisha maua
na kupenda maua na
kusikia anazungumzwa
Muislamu aliojizatiti
na upandaji wa maua
n y u m b a n i k wa k e n a
kupewa jina la Bazungu.
Sasa tuje katika mada
juu ya miti ya mikoko.
Nikitu gani mikoko?
Mikoko ni aina ya miti
ambayo huonekana
kwa wingi katika
sehemu za joto kwenye
ukanda wa mwambao.
Tunafahamishwa kuwa
kuna aina 110 za mikoko
duniani kote na katika
Afrika ya Mashariki kuna
aina 11 na mikoko hio ni
kusema sawa na asilimia
10 ya mikoko yote duniani.
Mikoko ina faida nyingi
kati ya hizo ni mazalia ya
samaki, samaki baada ya
kuzaliwa hubakia katika
maeneo hayo mpaka
wanapokuwa wakubwa
kisha huelekea kwenye
bahari kuu, mikoko
hunyonya uchafu utokao
majumbani, mikoko
huzuia kasi za upepo
unapovuma, baadhi
ya viumbe mbalimbali
ikiwa kaa na wengineo
nao hufaidika maisha
yao katika maeneo ya
mikoko, mikoko hutoa
rangi ambazo hutumika
katika kuweka rangi za
viatu, hupatikana dawa
kutokana na mikoko,
magamba ya mik ok o
hutengenezwa viatu vya
kienyeji, hupatikana kuni
na majengo kutokana na
mikoko, mkaa wa mkoko
husifiwa kuwaka kwake,
kwa kifupi mikoko ina
faida chungu nzima.
Katika nchi yetu
ya Ta n z a n i a m i k o k o
h u t u m i wa k wa k a z i
mbalimbali kwa mfano
Msinzi au Mkaka
(Rhizophora mucronata

) aina ya mkoko
ambao hutumiwa zaidi
k wa m a j e n g o , k u n i ,
utengenezaji wa mikoba,
Mkandaa mkwendu au
kwa jina jengine Mkandaa
wa pwani (Ceriops tagal)
unatumika kwa majengo,
uzio na kuni, Msinzi
(Brugiera gymnorrhiza)
maarufu kwa majenzi
na hata nguzo za simu
hutokana na aina hii ya
mkoko. Mchu (Avicennia
marina) hutumika
kutengeneza mataruma
a i d h a h u t e n g e n e z wa
viti, mipini n.k. Mlilana
au kwa majina mengine
Mkopa, Mkoko mpya
hutumika kwa majenzi,
Mtifi (Xylocarpus
granatum) hutumika kwa
kutengeneza fanicha za
majumbani kisha kuna
Msikundazi (Heritiera
littoralis) hutumika kwa
kutengeneza milingoti ya
ngarawa, fanicha n.k.
Inakisiwa kuwa kuna
hekta 20,000 za Mikoko
visiwani Zanzibar na kila
kukicha zinapungua,
usimamizi wa mikoko
upo chini ya idara
inayohusika lakini
ukatwaji wa mikoko na
uharibifu upo na unaleta
tishio. Mikoko iliopo eneo
kuanzia Kinazini hadi
Maruhubi inakatwa kama
watu wamehalalishiwa
kufanya hivyo. Aidha
katika eneo la Kisakasaka,
Uzi mashoka yanaifisidi
mikoko na wafanyao
hayo wanayatekeleza
bila ya kujali. Mikoko
imehifadhiwa kisheria
lakini wengi wamejifanya
ngombe kuwa kelele za
vyura wao haviwasumbui
wanaendelea kuonyesha
kuwa wanatimiza matlaba
yao.
Jee hii mikoko sasa watu
wanatakiwa wasiyavune
kabisa kabisa iachiwe tu?
Hili ndio suala la wale
wa n a o i v u n a m i k o k o
pasi kisheria ndio suala
lao hupenda kuuliza
unapokutana nao.
Kuna dhana ijulikanayo
Maendeleo endelevu au
Maendeleo stahmilivu
a u u n a we z a K u ya i t a
Maendeleo ya kudumu
(Sustainable development)
ikimanisha kuwa Tuvune
rasilmali tulizonazo kwa
mpangilio maalumu
bila ya kuathiri vizazi
vijavyo katika kuweza
kutumia rasilmali hizo.
Mwengine alifika kusema
Tutumie na tuhifadhi
(Conserve and utilisation)
k i n a c h o t a k i wa k u wa
tutumie kwa uangalifu
na hapo hapo tuhakikishe
tunahifadhi, lakini wengi
wetu hawayataki hayo.
Wao huja na kukata miti
pasi kukumbuka kuwa
hio miti imekuwa kwa
kupandwa kwahio na

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia moja ya mikutano ya


hadhara aliyoifanya visiwani humo.
yeye ajizatiti kupandi miti.
Miaka ya nyuma
t u l i k u wa h a t u i p a n d i
m i k o k o t u k i z i wa c h a
mbegu zake zijiotee
wenyewe, lakini kasi
ya ongezeko la watu na
mahitaji kuongezeka
suala la upandaji wa
mikoko katika maeneo
mbalimbali linatekelezwa.
Wanavijiji na wananchi
hukusanya mbegu za
mikoko na kuzipanda na
kuhakikisha uharibifu
hautokei.
Hapo kabla nilielezea
kuwa mikoko husaida
kukinga upepo na
kupunguza kasi ya
m a w i m b i . Ts u n a m i
iliyotokea tarehe 26
December mwaka 2004
iliathiri nchi nyingi na
kusababisha upotevu wa
mali na watu, katika nchi
ya India eneo la Umpra
Pa d e s h wa l i s a l i m i k a
na mawimbi marefu ya
Tsunami yanayonyanyuka
na kufikia kima cha urefu
wa mita 100 lakini eneo la
Umpra Padesh lilisalimika
kwa kuwa watu wa eneo
hilo hawakati mikoko
abadan ila wao huwa
wanaifanyia ibada na
ndicho kilichokuja
kuwasaidia pale yale
mawimbi makubwa
yenye kwenda kwa kasi
na kimo kinachofikia
mita 100 yalivunjwa na
kupunguzwa kasi yake
kutokanana mikoko
ilioshonana na iliokuwa
mirefu.
K i l a t u t a p o j i f a n ya
mithili ya ngombe
kutoudhika na kelele
za vyura kumaanisha
k u wa wa t a a l a m u wa
uhifadhi wanapotunasihi
kutowasikiliza, tujue
tunaoishi maeneo
ya mwambao huwa
tunakaribisha majanga ya
kila aina, ikiwa kusogea
kwa bahari katika maeneo
ya ardhi, kuwa na

upungufu wa samaki n.k.


Suala Jee baina yetu
ambao tunaoishi zama
hizi na wazee waliopita
wepi waliokuwa
wakijua umuhimu wa
kuyatunza na kuyahifadhi
mazingira? Jawabu isio na
kiwewe wala kigugumizi
n i k u wa wa z e e w e t u
walijua umuhimu ya
maeneo yaliowazunguka
umuhimu wake na
wayalinde vipi. Kinyume
chake, kizazi kilichopo
sasa hakisikii lolote
lile bali kwa ujeuri na

kedi huyatupilia mbali


mafundisho yakutupa
salama katika maisha yetu
na kujibu ufidhuli kuwa
tutaendelea kuvuruga
na kuwambia hao
walipulizialo zumari la
uhifadhi wajue wao ni
mithili ya vyura kelele
wazipigazo hazimzui
ngombe kunywa maji.
Tujihadhari na maneno
ya kejeli na ukaidi kwani
tunajitia vitanzi wenyewe
na hatari inatukabili.

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

ILALA ISLAMIC SECONDARY

USAJILI
S.2401

KWA WASICHANA TU

IPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII


SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMO

Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,


B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322
Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,
0714 381964

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

USAJILI
S.4384

KWA WAVULANA TU

Ipo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa


MASOMO
Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

AN-NUUR

20

MAKALA

20

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5,

AN-NUUR
Kesi
kifo cha marehemu
JAMAADIULya
AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015
Sheikh Haruna Iddi Mlala
itasikilizwa tarehe 26/27
Februari, 2015 katika
Mahakama Kuu Kamanga,
Mwanza.

Kuna propaganda, hakuna ugaidi Tanzania-Sheikh


Na Bakari Mwakangwale

I M E E L E Z WA k u w a
Ta n z a n i a h a k u n a
ugaidi, bali kilichopo
ni taswira ya ugaidi
inayotengenezwa kwa
lengo la kuwadhibiti
Masheikh ili waache
kupinga dhulma dhidi
ya Waislamu na kudai
haki zao Serikali.
Hayo yamebainishwa
na Ustadhi Hussein Ismail,
akiongea na Waislamu
Jumapili ya wiki iliyopita
katika Kongamano la
Waislamu lililofanyika
Masjid Tungi, Temeke
Jijini Dar es Salaam.
Ust. Ismail, akiwasilisha
mada yake ya Propaganda
ya Ugaidi, ndani na nje
ya Tanzania, alisema
kiuhalisia ni kwamba
Tanzania hakuna magaidi,
h a i j a s h a m b u l i wa n a
magaidi na wala ugaidi
haujaingia nchini,
bali kuna sura mbili
zinazolazimisha ionekana
kuna tatizo hilo.
Waislamu, Tanzania
hakuna ugaidi isipokuwa
kwanza ni utaratibu au ni
taswira inayotengenezwa
i l i m a l e n g o ya wa l e
wanaokusudiwa ambao ni
viongozi wa kutetea haki
wadhibitiwe kwa anuani
ya ugaidi. Alisema, Ust.
Ismail.
Alisema, taswira ya
pili ya Ugaidi ni Taifa
kujipendekeza ili ionekane
na wao wanashughulika
kupambana na Ugaidi
kutokana na sheria
waliyoikubali ya ugaidi
ya mwaka 2002, ili vinara
wa kupambana na ugaidi
Duniani wasikie kwamba
na Tanzania wapo katika
juhudi hizo, hivyo
wa h a n g a wa n a k u wa
ni Waislamu, kutokana
na dhana kuwa gaidi ni
Muislamu.
Pamoja na Waislamu
kukabiliwa na hali hiyo,
akasema vyovyote
itakavyokuwa, Waislamu
wataendelea kudai kile
wanachojua kuwa ni haki

USTADHI Hussein Ismail.


yao na hawatonyamaza
kwa kuhofia kupewa
tuhuma za ugaidi.
Tupo wazi katika yale
tunayoyadai na ni ya
msingi sana, ni wajibu kwa
Serikali na watu wenye
mamlaka kutekeleza
haki zetu au watangaze
kwamba hatuwapi
haki hizo ama waseme
manachodai ni uongo au
hakina msingi, lakini si
kwa kuwanyamazisha
k wa p r o p a g a n d a z a
ugaidi. Alisema Ust.
Ismail.
Alisema, dhulma yoyote
ni deni, na haki haiwezi
kuzimwa kwa vitisho na
kuwabambikia madai
Masheikh wa Kiislamu,
bali Serikali ielewe
Waislamu si Magaidi wala
Tanzania hakuna Ugaidi
na Uislamu unakemea
vitendo vya Kigaidi kwa
asilimia zote.
Alisema, Serikali ina
vitendo vya kibaguzi
katika kutenda haki
kutokana na dhana kuwa
Magaidi ni Waislamu
tu, akahoji iwe Waislamu

wenye tuhuma za Ugaidi


wanyimwe dhamana lakini
Wakristo waliotuhumiwa
k wa U g a i d i h a wa p o
gerezani na wakitokea
hupata dhamana, huku
akiwataja Victor Amblos,
aliyehusika na mlipuko
Kanisani Arusha na
Wilfred Lwakatare,
aliyetuhumiwa kwa
ugaidi.
Alisema, hali hiyo
inadhihirisha kuwa
kuna propaganda
zinatengenezwa, ili
kuiaminisha jamii ya
Watanzania, wakubali
kwamba nchini kuna
ugaidi, lakini katika hili
walengwa ni Waislamu
ili kuwanyamazisha kuwa
wanapambana na ugaidi
kwa mujibu wa sheria ya
Ugaidi ya mwaka 2002.
Pamoja na kudai haki
zao (Waislamu) katika
hali hii ya propaganda
za Ugaidi, Ust. Ismail,
akawataka Waislamu
kuwa makini.
A k i f a f a n u a
alisema, kuna vikundi

vinatengenezwa vyenye
s u r a ya U i s l a m u n a
vinara wanaotangaza
kupambana na Magaidi,
lakini miongoni mwa
m a k u n d i h a y o wa p o
walioaminishwa kuwa
wanashiriki katika jihadi.
Alisema, watengeneza
vikundi hivyo hucheza
na mazingira ya mahali
husika mathalani,
akasema Tanzania kwa
sasa huwezi kuleta fitna
za makabila haikubaliki,
lakini kwa muda huu fitna
ya vita baina ya Waislamu
na Wakristo ni rahisi kwa
sababu kuna mwanya
wa watu kuyafitinisha
makundi haya mawili ya
kidini nchini.
Akitolea mfano wa
kundi la IS (Islamic State)
alisema, utabaini kuwa hili
ni kundi la kutengenezwa
kwa maslahi maalum na
watenganezaji ni hao hao
wanaodai kupambana na
Magaidi Duniani.
Ust. Ismail, alisema
hakuna maagizo ya dini
katika Jihadi yanayosema

mtu ujiuwe na uuwe watu


wengine wasio na hatia,
au uteke watoto wa shule.
Akasema, huo sio
Uislamu na wala sio jihadi
aliyoamrisha Mwenyezi
Mungu na ambayo Mtume
(s a w) aliipigana.
Kama
kundi
h i l i l i n g e k u wa s i l a
kutengenezwa, na kweli
lipo katika kusimamisha
haki (Uislamu), basi lisinge
wachukua muda mrefu
Marekani na washirika
wake kuliangamiza, kama
walivyoweza kuuondoa
u t a wa l a wa M u a m a r
Gadhafi wa Libya,
Sadam Hussein wa Iraq
pamoja na Afghanistani,
zikiwa na mamla kamili
na majeshi yaliyokuwa
imara, ukilinagnisha na
kikundi hicho cha IS.
Alisema Ust. Ismail.
Katika hatua nyingine,
Ust. Ismail, alilaani wale
aliowaita washenga
wa masuala ya ugaidi
nchini kwa kushadadia
propaganda hizo na
kuwanasibisha Waislamu
na matukio yanayodaiwa
kuwa ni ya Kigaidi nchini
vikiwemo vyombo vya
habari.
Akirejea tukio la
Kulipuliwa bomu
Kanisani, Jijini Arusha,
na kusababisha vifo vya
watu watatu na kujeruhi
we n g i n e 6 0 , a l i s e m a
muda mfupi wa tukio
na kabla ya uchunguzi,
Paroko wa Kanisa hilo
alidai waliorusha lile
bomu aliwaona, walikuwa
wamevaa Kanzu na
vilemba, kisha vikafuatia
vyombo vya habari
vikapiga propaganda
kuwa, Tanzania kuna
ugaidi hatimae Serikali
ikahitimisha kwa
kutoa kauli ikiahidi
kuwashughulikia hao
Magaidi.
Alisema, hata hivyo,
u c h u n g u z i wa a wa l i
ulimtia nguvuni Victor
Ambros.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

También podría gustarte

  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Documento15 páginas
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Documento20 páginas
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Press Realse 28
    Press Realse 28
    Documento4 páginas
    Press Realse 28
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Documento15 páginas
    HOTUBA YA BAJETI OFISI YA RAIS Final
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Documento20 páginas
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Documento20 páginas
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Documento20 páginas
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Documento20 páginas
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Documento20 páginas
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Documento20 páginas
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Documento20 páginas
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Press Release - Muungano Na Mazingira
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Documento4 páginas
    Press Release - Muungano Na Mazingira
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1215 PDF
    Annuur 1215 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1215 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    100% (1)
  • Karume Shujaa
    Karume Shujaa
    Documento11 páginas
    Karume Shujaa
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Documento20 páginas
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1212
    Annuur 1212
    Documento20 páginas
    Annuur 1212
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Documento27 páginas
    Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Documento20 páginas
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones