Documentos de Académico
Documentos de Profesional
Documentos de Cultura
com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1231 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 27 - JUNI 2, 2016
Aliyozungumza Mhe.
Lukuvi kanisani, si ndio hayo
hayo ya IS yanayowapa fursa
wenye MCC kuja na USARAF
zao kufanya vikao Arusha?
Soma Uk. 18.
AN-NUUR
Suratu An-faal:73
Fethullah-Gulen
NA wale ambao
wamekufuru baadhi yao
ni maraki wa baadhi.
Mkitolifanya hilo, itakuwa
tna katika ardhi na
uharibifu mkubwa. [ALANFAAL 73]
Katika aya iliyotangulia
Al-Anfaal 72 ilikuja aya
kwa kuthibitisha kwamba
Answarina na Muhajirina
atamrithi mmoja wao
mwingine pamoja na
kutokuwepo uhusiano
wa udugu kati yao. Kisha
imekuja aya hii ambayo
tunataka kuitolea maelezo
na hukumu ya kwamba
Waislamu na makari
hakuruhusiwi kurithi mmoja
wao kumrithi mwingine na
kwamba makari baadhi yao
maraki wa baadhi. Maana
atarithi mmoja wao kumrithi
mwingine. Anaweka wazi
ndani yake Mtume (s.a.w.)
aya hii :
Na alisema: Mimi
nimeepukana na kila
Muislamu anayeishi kati
ya Mushirikina. Wakasema
Ee Mjumbe wa Mwenyezi
Mungu kwa sababu gani.
Akasema Myoto yao
haioni. Maana pamoja na
kuamini kwao kwa hakika
moto ambao wanauwasha
hautoi mwangaza na
hawapambanuki wajuzi wa
mwili wenye kutofautiana
baadhi yao na baadhi
nyingine.
Tunaweza kutoa tathmini
ifuatayo: Moto wenye
kuwashwa jangwani
una umuhimu mkubwa
kwa upande wa kutaka
kufahamu juu ya athari na
kujuwa mahali na kadhalika.
Na huenda ukatathimiwa
mfano huu kwa kipembe
cha kutupambanuka kati ya
moto wa adui na moto wa
raki.
Pakiwa mahali pa
kuwasha moto pa kari na
muumini au machimbuko ya
mwangaza mbele zao yako
pamoja, kutakuwa vigumu
kutenganisha kati yao
pamoja na kujuwa kwamba
kunapasa kuwa mahali
pa kuwasha moto kwa
muumini pawe peke yake
na mahali pa kuwasha moto
kwa kari pawe peke yake,
ili mambo yasichanganyike
juu ya wenye kuwatafuta.
Jambo muhimu kuliko
yote hapa ni kwamba
mwenye kupondoka
akaiacha dini na muumini
nje ya ukanda wa
kuvumiliana kwa pande
mbili na kukubali mmoja
wao hali ya mwingine
iwapo zitadhooka
tofauti za msingi zilizo
kati yao katika upande
wa dini na tabia na kra,
38:30
185
12
8:26
7:7
114:5
76:14
MASAUALA
1. Itaje suara na Aya ya ngapi Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja
mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia. Jawabu: 38:30
2. Itaje Sura na Aya ya ngapi? Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada
ya matunda yataning'inia mpaka chini. Jawabu: 76:14
3. Itaje Sura na Aya ya ngapi? Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada
ya matunda yataning'inia mpaka chini. Jawabu: 76:14
4. Malaika yupi akitumwa Wahyi kwa Mitume? Jawabu: Jibril
5. Malaika anayotoa roho? Jawabu: Israel
6. Malaika yupi atakayowauliza waliokufa kwenye Makaburi yao? Jawabu:
Munkar, Nakir
7. Hawali, hawanywi wala hawamuasi Mwenye-enzi-Mungu ni wenye kufwata
amri tu na kutekeleza nani hao? Jawabu: Malaika
8. Ipi nyumba ya Mungu? Jawabu: Msikiti
9. Mitume wakitumiwa kitu gani? Jawabu: Wahyi
10. Kuhani yupi katika nchi ya Syria alipomuona Mtume (SAW) alimtambua kuwa
ndio aliotajwa katika vitabu vilivyopita kuwa ndio Mtume aliobashiriwa? Jawabu:
Bahira
CHEMSHA BONGO: 52
Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.
M
64:5
608 AD
10:16
4:4
35:5
68:17
Bin
610 AD
1,000
74:6
10,000
6:8
3,OOO
5:22
2:99
MASAUALA
1. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo Kwani haikukujieni khabari ya walio kufuru.
2. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo
wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo
kuwa asubuhi.
3. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
4. Mara ngapi katika mwaka Malaika Jibril akitalii Quran na Mtume Muhammad
(SAW)?
5. Nani aliokuwa Muadhini wa mwanzo katika Uislamu?
6. Kabla ya Vita vya Badr , Sahaba gani alitoa kauli ya kumuunga mkono Mtume
Muhammad (SAW) kwa maneno yafwatayo Ewe mjumbe wa Allah, sisi sio kama wale
watu wa kaumu ya Mtume Mussa AS walionena Wewe na Mola wako watapigana nasi
tunakungoja hapa, Sisi tutakuambia nenda popote pale Allah alipokuamrisha, Tunaapa
kuwa aliokutuma kwa haki basi sisi tutakuwa na wewe bega kwa bega, tutapigana
upande wa kulia, wa kushoto, usoni na nyuma, hatutokimbia.
7. Taja idadi ya Waislamu na Wakiristo pale Tariq bin Ziyad alipoongoza kampeni
ya kupambana na wasio Waislamu nchini Spain?
8. Syd Umar bin Khatab aliuanzisha mji upi kati ya hii: Fustat, Kufa, Basra?
9. Mahujaji wanapotoka Arafa huelekea wapi kwa usiku mmoja? Makka, Muzdalifa,
Mina?
10. Mwaka gani Syd Umar bin Khatab alisilimu, 610, 608, 622 AD?
Jee Unajua?
Mwandamo wa mwezi
Leo ni Tarehe 20 Shaaban mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 27 May, 2016.
Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan na Tarehe 7 June 2016
tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea hii leo Ijumaa ya tarehe 27 May
2016 hadi kuka kuanza mfungo wa Ramadhani tumebakisha siku 10.
3
MWANZA kumetokea tukio
ambalo sio la kawaida. Ni
tukio lililogubikwa na maswali
mengi yasiyo na majibu. Lakini
pengine maswali hayo kwa sasa
tuyaweke kando.
Kama walivyosema Masheikh
wa Umoja wa Wanazuoni wa
Kiislamu (Hay-at Ulamaa),
Baraza Kuu na Baraza la Sunna
(BASUTA), mauwaji na jinai
kama hiyo haiwezi kufanywa na
Waislamu, kwa sababu yoyote
ile iwayo. Ila kuna jambo moja
hapa tunatakiwa tulitizame,
nalo ni mlolongo wa matukio.
Yaweza kuwa ni bahati nasibu
tu (hayawiani), lakini wakati
mwingine, sayansi ya bahati
nasibu (science of coincidence)
inakataa.
Kiasi mwezi mmoja uliopita,
ilikuwa ni Aprili 29, 2016,
vyombo vya habari vya
Magharibi vilisambaza habari
kwamba kamanda mmoja wa
Al-Shabaab ameingia Afrika
Mashariki kuanzisha tawi la IS.
Huyu alitajwa kuwa ni Abdul
Nadir Mumin aka Orangebearded Jihadi general, Msomali
raia wa Uingereza.
An Orange-bearded British ISIS
leader sets up base in Somalia as
part of terror group's expansion
plans.
Ndivyo lilivyoripoti gazeti la
Mirror la Uingreza.
Sky News wao wakasema, A
British Islamic State leader has set
up a base in Somalia to extend its
inuence in the Horn of Africa for
the rst time.
Kisha ndani ya habari hiyo
wakasherehesha wakisema:
He is seeking to boost the ISIS
brand in East Africa, a region that
is ripe for the groups expansion but
has yet to be exploited.
Taarifa hiyo ikadakwa na
magazeti ya Uingereza, Marekani
na kwingineko Ulaya, nao
wakaisambaza huku wakinukuu
walichosema ni footage obtained
by Sky News.
Kilichosisitizwa na vyombo
hivyo vya habari vya Magharibi
ni kuwa eneo hili la Afrika
Mashariki lina fursa nzuri za
kusitawi ugaidi wa IS ambazo
hazijatumiwa. Ni kama ardhi
bikra ambayo haijawahi
kulimwa toka iumbwe dunia.
Kulingana na jinsi taarifa zile
zilivyoshabikiwa na kupigiwa
zumari na vyombo vya habari
vya Magharibi, sisi tukaandika
tukionyesha wasiwasi wetu.
Kuna nini? Kuna pangwa
nini? Lakini pia tukahoji,
inakuwaje Afrika Mashariki hii
kuwe na mazingira mazuri ya
kustawi ugaidi wa IS wakati
tayari tumeundiwa vikosi
vya kupambana na magaidi
ambavyo vimewezeshwa kisilaha
na kitaaluma za kikachero na
wataalamu wetu wa ukachero
na Counter terrorism, Marekani?
Hatujakaa sawa, zikarushwa
habari nyingine kwamba tayari
Afrika Mashariki kuna magaidi
Maoni yetu
AN-NUUR
Fitna inayotukabili
Ambalo ni muhimu kulisema
hapa na kusisitiza ni mambo
mawili. Moja, ni juu ya tna
inayotukabili. Mwaka 2011
zilisambazwa habari katika
vyombo vya habari ikidaiwa
kuwa Boko Haram walikuwa
wameuwa Wakristo 375 kwa
kuwachoma moto. Boko Haram
burns 375 Christians, ndivyo
ilivyoripotiwa huku habari hiyo
ikiambatanishwa na mamia
ya maiti zilizoonekana dhahiri
kwamba zimeungua moto.
Ilikuwa ni picha za kutisha,
huwezi kuzitizama mara mbili.
Kama ilivyotarajiwa. Ilijenga
chuki na kuwatia hasira
Wakristo. Kilichofuatia? Mwaka
huo huo, Wakristo wakalipiza
kisasi. Ilikuwa katika siku kuu
ya Eid el Fitri, kundi la vijana wa
Kikristo likawavizia Waislamu
wapo katika sijda, wakawavamia
wakiwa na silaha mbalimbali,
wakauwa wengi na wengine
kuwachoma moto. Hiyo ilikuwa
Agosti 28, 2011 katika mji wa
Birom. Kutokana na chuki
ya kisasi, kijana mmoja wa
Kikristo akakata mguu wa maiti
moja kwa panga akala nyama.
Alipohojiwa akasema ni hasira ya
kisasi. (Tazama: Birom Christians
eat Roasted esh of Muslims they
Killed in Jos, Nigeria. BBC Captures
and Records Cannibalism Episode.)
Kuonyesha kiwango cha sumu
ya chuki iliyokwishapandikizwa
katika jamii ya Wanigeria
(Wakristo/Waislamu),
zilipotolewa habari hizo katika
mitandao ya kijamii, mwananchi
mmoja aliyejitaja kwa jina moja la
Kebelle, akatoa maoni akisema:
THIS IS GOOD
Inaendelea Uk. 4
Maoni yetu/Habari
AN-NUUR
hilo.
Hata hivyo
kilichotokea ni kwamba
waliofanya hujuma hiyo
walikuwa vijana wa
kanisa hilo wakitajwa
kwa majina ya Lamba
Goma, Filibus Danasa,
Joshua Ali, Danjuma
Sabo, Joseph Audu,
Simon Gabriel, Bulus
Haruna, Yohanna Ishaya
na Daniel Ayuba. Na
kwa bahati ya mambo
ni kuwa wananchi wa
eneo hilo waliwaona
na wakawazingira na
kuwapiga sana kabla
ya kuokolewa na polisi.
(Tazama: When Boko
Haram Became ChristiansFebruary 27, 2012)
Japo matukio hayo
ilikuja kubainishwa
kuwa yalikuwa mambo
ya kupanga, lakini tayari
yalikuwa yashafanikisha
kilichokusudiwa.
Hivi sasa Nigeria hali
ni mbaya. Na sumu
ya tna inaendelea
kupandikizwa. Mafatani
hawajachoka mpaka
yao yatimie. Mwezi
Machi mwaka huu
wakati wa siku kuu ya
Pasaka walitoa taarifa
wakiichagiza Marekani
kwamba kwa nini bado
haijawashugulikia
Waislamu vya kutosha.
Barack Obama anakulaje
siku kuu ya Pasaka huku
Wakristo wakimalizwa
Nigeria? Iliandikwa hivi:
U.S. at Easter: When
Christians Are Slaughtered,
Look the Other Way.
Kwamba, wanashangaa
Marekani, White
House na Pentagon,
wanasherehekea
vipi Pasaka huku
Waislamu wakichinja
Wakristo Nigeria?
Ikashereheshwa kuwa
tayari zaidi ya Wakristo
10,000 washachinjwa
na makanisa 13,000
kulipuliwa (Muslims
Slaughter Over 10,000
Christians and Destroy
13,000 Churches in
Nigeria.). Anaandika
habari hiyo Raymond
Ibrahim (March 27, 2016.)
Picha tunayopewa
katika tukio la
Mwanza, ni Waislamu
wanachinja Waislamu,
kama ilivyo Somalia,
Syria na Libya. Katika
sura hii, yawezekana
mitaani wakawepo
watu ambao wanaweza
kudhaniwa kuwa ni
katika kundi la hao
wanaodaiwa kuvamia
msikiti na kuuwa watu.
Tujue hiyo ni tna
inapandikizwa. Tuwe
makini. Na kisingizio
kitakuwa chepesi kabisa:
Kulipiza kisasi. Watu
watauliwa mahali halafu
inatangazwa kuwa ni
kulipiza kisasi dhidi
ya kundi lililohusika
kuuwa Masjid Rahman.
Ikishatokea hivyo,
utasikia tena wengine
wameuliwa na hao hao
AN-NUUR
ngombe na mbuzi.
Balaa la namna hii
likishaingia katika nchi,
hakuna wa kusalimika.
Tazama Nigeria, Kenya,
Somalia, Libya, Syria n.k.
Kwa hiyo isijedhaniwa
kuwa hili ni tatizo la
Waislamu na IS. Huu
ni ubeberu. IS ni njia
ya kupita tu. Ni mbinu
mkakati. Mkisha nasa
katika mtego huu,
matukio ya hapa na
pale ya kuuliwa watu,
Waislamu kwa Wakristo,
yatakuwa ni yenye
kuendelea, wala hamtajua
anayewafanyizia ni nani.
Mtabaki mkiimba tu BH,
Al Shabaab!
Huu ndio uzoefu
unaoonekana popote pale
walipo kumbwa na balaa
hili. (Soma uchambuzi
zaidi uk. 10)
na Mudir wa Shamsul
Maarif ya Tanga Sheikh
Samir Sadiq.
Wengine ni Sheikh Said
Ali Hassan kutoka Kenya,
Sheikh Muhmoud Mustafa
Al Shiraz kutoka Mombasa
Kenya, Sheikh Hilal
Kipozeo, Sheikh Shaaban
Mbwera, Imam Msaidizi wa
Masjid Jumuia Kisumu Dar
es Salaam.
Masheikh wengine
waliokuwepo katika sherehe
hizo ni Sheikh Hassan
kutoka Mombo, Sheikh wa
Wilaya ya Longido, Sheikh
Abdallah Jamzuri kutoka
Lukozi, Maalim Adam
kutoka Bakwata. ahbaabur.
blogspot.
USTADH Yufuph Kidau (watatu kulia) akiwa na Masheikh kutoka mikoa mbalimbali
na nje ya nchi wakiongoza Zafa mjini Hedaru hivi karubuni.
Makala ya Kimataifa
AN-NUUR
AN-NUUR
7
Na Bakari Mwakangwale
Makala
AN-NUUR
8
KAMA msomaji ulivyoweza
kuona, makala niliyonukuu
katika toleo lililopita
hayaongelei lolote kuhusu dini
ya mtu, lakini yamesababisha
shutuma kwa mwandishi wake,
waumini wa dini inayodhaniwa
kuwa ni ya mwandishi na
dini yenyewe. Hali hii ni
mapambano dhidi ya udini,
au ni dhihirisho la uwepo wa
udini nchini mwetu?
Kiongozi mmoja wa dini
nchini Tanzania, Mwadhama
Polycarp Kadinali Pengo,
aliwahi kusikika akisema:
Kama wanaokemea usadi
wangekuwa wanaukemea kwa
dhati wenyewe wakiwa sio
masadi, nchi hii isingekuwa na
usadi.
Katika hali inayofanana na
hiyo, tunaweza kusema: Kama
wanaokemea udini wangekuwa
wanaukemea kwa dhati wao
wenyewe wakiwa sio wadini,
nchi hii isingekuwa na udini.
Nukuu ya pili: Raisi Mstaafu
wa awamu ya pili wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Alhaji
Ali Hassan Mwinyi, aliwahi
kusikika akisema:
Sura ya mtu ni kioo cha
mwingine. Usemi huu aliusema
alipokuwa akiwajibu waliokuwa
wakimtuhumu bila uthibitisho
kuwa alikuwa na upendeleo.
Alisema hivyo akiwa na maana
kuwa huenda bila kujijua, hao
wanaomtuhumu wanajitangaza
wenyewe kuwa endapo
wangekuwa kwenye nafasi
yake (Mwinyi), wangekuwa na
upendeleo.
Kuna mambo anayoyaona
mtu kikira kwa wengine
kwa sababu tu yapo kwake
mwenyewe, na sio kwa sababu
yapo kihalisia kwa huyo
anayetazamwa. Kwa kawaida
mtu muaminifu sio mwepesi
kuwatilia shaka watu wengine
kama ambavyo asiye muaminifu
huwatilia shaka. Ni rahisi,
kwa mfano, mwizi kumdhania
mtu mwingine kuwa ni mwizi
kuliko asiye mwizi anavyoweza
kudhania. Katika hali kama
hiyo, kuna wanaowatuhumu
wengine kwa udini kwa
sababu tu wao wenyewe ni
wadini wanaodhamiria kucha
udini wao lakini wakajikuta
wakiutangaza bila kujijua.
Kuna usemi kuwa,
unapomnyooshea mtu kidole,
vitatu huelekea kwako. Mara
kwa mara tunawashutumu
watu kwa shutuma ambazo
sisi wenyewe tunazo kwa
kiwango kikubwa kuliko hao
tunaowashutumu.
Aidha, katika Injili ya Luka
6.41 hadi 6.42, imeandikwa:
Unawezaje kukiona kibanzi
kilicho katika jicho la mwenzio,
usione boriti iliyo katika jicho
lako mwenyewe? Au, unawezaje
kumwambia mwenzako, Ndugu,
ngoja nikuondoe kibanzi katika
jicho lako, na huku huioni
boriti iliyoko katika jicho lako
AN-NUUR
Makala
Udini- 6
Makala
AN-NUUR
ikiwa imetulia.
Baada ya kumpigia simu yule
Sheikh akasema kwamba yupo
darasani lakini nikamkatisha
kwa kumtaka radhi kwa swali
fupi tu. Akawa amenikubalia
nikamuuliza. Jibu nililopata ni
fasaha na fupi sana. Kwamba
hiyo ni dhulma, hakuna adhabu
ya namna hiyo katika Uislamu.
Nilipokea jibu hili kwa mikono
miwili nafsi ikiwa imetulia
kabisa kwa sababu hata mimi
nilikuwa natarajia kupata majibu
kama hayo.
Kilichonisukuma kuandika
makala hii ni ule ukweli
ninaoujua katika jamii
yetu. Tumekuwa wepesi
wa kuchangamkia mambo
bila kutumia mizani sahihi.
Dhulma hii tusiifanye
kuwa fursa. Hatujui sababu
zilizopelekea wafanyabiashara
hawa kuchukua maamuzi
waliyochukua. Hata kama wana
makosa, bado hukumu hiyo siyo
sahihi. Huwezi kuwafananisha
na wezi au majambazi.
Wanazuia chao.
Pengine tunaweza kusema
kwamba hii ni dharura watu
wamekosa sukari watafanyaje?
Hii siyo hoja ya msingi. Kama
hawataki kuuza waachwe wakae
na sukari yao, itafutwe namna
nyingine ya kuagiza sukari nje
ya nchi. Tambua kwamba huo
unaokula ni moto, na itakuwa ni
majuto kuanzia kaburini mpaka
siku ya qiyaama.
Ikiwa ni suala la kucha
sukari ili ipande bei, basi
oparesheni hii itagusa maeneo
karibu yote ya bidhaa za msimu.
Wafanyabiashara wengi wana
kawaida ya kununua nafaka
mapema ambapo inakuwa ni
nafuu sana na kuweka kwenye
maghala. Bei wanazokuja kuuza
ni karibu mara mbili ya bei
walizonunulia.
Sisi Waislamu, Allah
aliyetukuka ametukataza
kudhulumu wala kudhulumiwa.
Ametukataza kula mali kwa
dhulma. Enyi mlio amini!
Msiliane mali yenu kwa dhulma,
isipo kuwa iwe biashara kwa
kuridhiana wenyewe..
[4:29] .Ametukataza kula kama
walavyo wanyama. Tusifurahie
kupewa sukari ya bure. Hiyo
bure unayoona wewe, kesho
itakutokea puani. Kweli
wamekosea lakini bora tuikose
hiyo sukari kuliko kula haramu.
Bora adha hii ya duniani siyo ya
akhera.
Juma Jumanne (0659 789 468)
10
Makala
AN-NUUR
Sura tusiyoijua
tukio la Mwanza
Three Massacred in Suspected
Terror Attack in a Tanzania
Mosque, ndivyo ilivyoripotiwa
katika mtandao wa kijamii
uliopewa jina la Shmuel Yosef
Agnon juu ya tukio la Masjid
Rahmani Mwanza. Lakini kabla
ya kusema lolote, ikawekwa
picha inayoonesha vijana watatu
wakiwa wamecha nyuso zao
wameshika AK-47, nje ya pango
ambalo inadaiwa kuwa ni
moja ya mapango ya Tanzania.
Kisha ikaelezwa kuwa mauwaji
ya Mwanza yamefanyika
baada ya kusambazwa video
ikitahadharisha uwepo
wa magaidi wa IS katika
mapango ya Tanzania na
kwamba duru za ki-intelijensia
zilishatoa tahadhari. Lakini
pia ikaambatanishwa na picha
ya polisi wetu kama kusema
kwamba wanapambana na IS
lakini hawawezi. Shmuel Yosef
Agnon, alikuwa mwandishi
wa Kiyahudi (1888-1970). Ni
kwanini mtandao huo ukaitwa
kwa jina lake, ni swali la
kutafakari. (Soma: Strategic
intelligence had warned of an
imminent threat citing a video
shot by Islamic State in Tanzanian
caves.)
Mwandishi Ludovica
Inaendelea Uk. 11
11
MAKALA
AN-NUUR
Inatoka Uk. 10
12
MAKALA
AN-NUUR
Inatoka Uk. 10
From Pg. 11
13
MAKALA
Na Azza Ally Ahmed
Karibu Ramadhan
Kuna funzo la kujenga moyo
wa huruma si kwa matajiri wala
masikini, kujenga moyo wa
kusaidia hasa masikni na mafukara,
kujenga moyo wa kutoa, moyo wa
upendo, umoja, kujenga afya na
subra kushinda njaa sio suala rahisi
inahitaji subra ya hali ya juu na
mengine mengi.
Pamoja na kueleza hayo
machache yaliyobainishwa, lakini
zaidi ni kwamba fadhila za kufunga
Ramadhani ni kubwa kiasi kwamba
Mwenyezi Mungu ndiye anayejua
na kukadiria kiwango cha malipo
yake, kwani Mola amewahakikishia
kwamba ni Yeye tu ndiye
atayekwenda kuilipa kwa haki
inayotakiwa kulipwa.
Hekma ya ahadi hii ya
Mwenyezi Mungu ni kwamba
ameifanya funga kuwa ibaada
ya siri kabisa baina ya mja na
Mola wake, hakuna mwanadamu
anayeweza kuthibitisha kwamba
fulani amefunga na funga yake
imepokelewa au kukataliwa au
fulani hajafunga wala funga yake
haijapokelewa kwa kuwa kakosa
hiki au kile.
Amesema Mtume (s.a.w),
AN-NUUR
14
AN-NUUR
MAKALA/MASHAIRI
JICHO MOJA
Bismilahi awali , shairi ninaanzia
Namshukuru jalali , wasaa kunipatia
Sasa niko afadhali , tungo ninarudia
Jicho Moja Kwenye Dini , Ni Kusahau Akhera.
Sio mashihi Dajali , usije ikadhania
Yeye bado kuwasili , muda haujatimia
Hebu tumia akili, mwishowe utang`amua
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Maana ya jicho moja , kuangalia dunia
Akhera hauna haja , jicho umejifumbia
Jambo hili ni kiroja , akili zimefubaa
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Mungu katupa mawili , macho ya kuangalia
Akhera jicho awali , la pili ni la dunia
Yote yaone kwa mbali , mambo kushughulikia
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Ni mtume Muhamadi , mafunzo katupatia
Dunia hauna budi , nawe kushughulikia
Na Allah umhimidi , kama kesho wajia
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Wenye jicho moja wale , wanatambia dunia
Haramu, halali wale, matumbo kujishibia
Wanadhaia milele , duniani kubakia
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Dunia wameipenda , mola wamemkataa
Sheria wanaziponda , Allah alowatungia
Za kwao wameziunda , wayapate manufaa
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Macho mawili hakika , hao wamejitambua
Dunia wanaitaka , na akhera yao pia
Wanaishi kwa mashaka , wasimuudhi jalia
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Vipi unajicho moja , mtu akikuambia
Nawe ukaleta hoja , kwamba hakuangalia
Ndugu yangu kuna haja , haraka kujikagua
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Wale wenye moja jicho , warudi kwake Nabia
Kulifumba lao jicho , wajue wajisumbua
Kilema chao cha jicho , wenyewe watajutia
Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera
Kalamu naweka chini , nami kujikiria
Hivi kweli nitawini , mawili kuyatumia
Yailahi ya manani , ndiye wa kusaidi
JICHO MOJA KWENYE DINI NI KUSAHAU
AKHERA
ZABIBU IDDI NG`ONDA
MWANZA
atachukiwa na hata
kutafutiwa namna ya
kumdhibiti.
Kushindwa huku
katika hoja za kujifunza
mtu, humfanya mhusika
kupata hamaki na
kuchukia na kujenga
uadui. Mtu mwenye
moyo dhaifu na mwepesi
wa kuhamaki havumilii
kusikia akikosolewa
au akichambuliwa hata
kidogo.
Hamaki ni matokeo ya
chuki iliyojengeka kiasi
cha kuwa kama moto
uliofunikwa chini ya
majivu, ambao unaweza
kutoa cheche za uadui
zitakazounguza na
kuteketeza ufanisi na
utulivu wa nafsi.
Bila shaka kutozijali
hisia za watu huleta
matokeo mabaya ya
kudharauliwa na wengine
na kuonekana ni mtu
duni usiyefaa katika jamii
za watu wastaarabu na
wasomi.
Kama vile ambavyo
kusamehe kunaonyesha
utukufu na umakini wa
nafsi ya mtu pia kunaleta
usalama na umoja na
utulivu wa nafsi, vivyo
hivyo, uadui na uhasama
kunapelekea kuwa na,
chuki ambayo huzaa
mfarakano na ugomvi.
Ingawa uhasama hufanywa
ili kutuliza misukosuko
ya ndani ya nafsi, lakini
madhara anayopata mtu
kwa kulipiza ubaya kwa
ubaya huwa ni makubwa
zaidi kuliko madhara
anayopata kwa njia
nyingine, kwani maudhi
licha ya kuwa ni shida
kuvumilia, mwisho wake
huondoka, lakini uhasama
unapoota mizizi huchoma
TAREHE
DHUHRI
07.06.2016
ISTIQAMA KAWE
TAQWA - MWANANYAMALA
L-ASRI
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
08.06.2016
09.06.2016
10.06.2016
11.06.2016
12.06.2016
13.06.2016
14.06.2016
15.06.2016
16.06.2016
17.06.2016
18.06.2016
19.06.2016
20.06.2016
21.06.2016
22.06.2016
23.06.2016
24.06.2016
25.06.2016
26.06.2016
HAQ ILALA
TUNGI TEMEKE
MUHLISINA KIGAMBONI
LILAH MKURANGA
TAQWA CHALINZE
ISLAMIA KISARAWE
MWANALUGALI KIBAHA
NUR MLANDIZI
MOZA BAGAMOYO
MSIKITI MKUU KIBITI
TAQWA RUFIJI
TAQWA KIGAMBONI
KEKO FENICHA TEMEKE
KIBAMBA CCM KINONDONI
MAKUTI(RAHIIM) TANDALE
IKHWAN ILALA
KWA GUDE-KIWLNI/ILALA
NGUVU KAZI CHANIKA
MSIKITI MKUU MAFIA
HIJRA - TEMEKE
CHIHOTA TEMEKE
MJIMWEMA KIGAMBONI
MUHAMMAD MKURANGA
ASADI CHALINZE
FARAJI KISARAWE
MSIKITI WA MKOA KIBAHA
QADRIYA - MLANDIZI
FIRDAUS BAGAMOYO
MSIKITI WA SOKONI - KIBITI
JAMAA RUFIJI
SAKINA KIGAMBONI
BADRI TEMEKE
AL AMIN MANZESE/KINONDONI
NUR - KIGAMBONI
ISTIQAMA ILALA
MASHINE YA MAJI GMBOTO/ILALA
HIJRA - TEMEKE
KIGAMBONI - MAFIA
Waislamu wote mnaombwa kuhudhuria katika program hii ili kuelewa kwa upana Nini kamati ya
kuendeleza uislamu na Inafanyaje kazi zake.
Mnaomba kuhudhuria bila kukosa.
Wabillahi Tawfiq
Kaimu Amir - Rajabu Ngalongela
15
AN-NUUR
Na Ben Rijal
KATIKA makala haya yatamurika
juu ya mbwa ajulikanavyo katika
uga wa sayansi na vijana waliolala
katika pango na ushuhuda wa
kisayansi. Kila lugha humwita
mbwa kwa jina lake. Kiengereza
humwita dog, Albania qen,
Africana hond, Kiarabu kalbu,
Bemba wao humwita Imbwa,
Wabengali Kukur, Bosnia
anajulikana kwa jina la Pas,
Cambodia Jakay, Wachima Gou,
Wadenish Hund, Watu wa Fiji
humwita kolil, Wayunani Kyon,
Gujarati kutto, Hausa kare
(http://www.dogbreedinfo.com/
languages.htm).
Mbwa katika kila kona ya dunia
ana majina yake na katika lugha
nyengine wameenda mbali zaidi
kwani mbwa wa kiume ana jina
lake na wa kike ana jina lake,
anapokuwa mdogo ana jina lake
anapokuwa na mimba ana jina lake,
ila kwetu Kiswahili mbwa ni mbwa
tu, mtoto wa mbwa, mbwa jike,
mbwa ana mimba, hana jina jengine.
Kwa kitaalamu katika uga
wa sayansi jina la mbwa huitwa
Canis lupus familiaris au Canis
familiaris wakiwa katika familia
ya Canidae. Tuliposoma katika
Inaendelea Uk. 16
Inaendelea Uk. 16
MSANII akishangiliwa na
kivazi cha Kata K
16
AN-NUUR
Inatoka Uk. 15
17
Na Khatib Juma Mziray
WIKI iliyopita nilimalizia kwa
kusema kuwa kuna msomaji
amesoma makala ya Ugaidi ni
nini nani gaidi? akaniandikia
ujumbe mreefu, akilaumu
kuwa, tumekuwa tukishusha
hadhi ya gazeti letu kwa
kuandika makala za kusimama
upande mmoja wa imani ya
dini; na kushambulia upande
wa pili wa dini ya wasiokuwa
Waislamu.
Anasema kuwa, pamoja na
kuwa naye ni Muislamu, lakini
haaki mwenendo wa makala
zangu.
Nilitafuta jina lake katika
mtandao nikakuta anaitwa
Kalindula Huseni.
Hata hivyo kwa maneno
aliyoandika ninatilia mashaka
jina hilo na Uislamu wake.
Lakini makala ninazo
andika, ninaandika na rejea
za nukuu za vitabu au gazeti;
nilidhani angenikanusha kuwa
nimeandika nukuu za uwongo;
lakini haikuwa hivyo.
Niseme tu kuwa,
mimi siandiki makala za
malumbano; naandika
makala za kuhabarishana na
kufahamishana; ila kuna watu
wana mtazamo wao siwakatazi
mtazamo wao. Kwa mfano hebu
soma maneno haya:
Kunyongwa Sadam Hussein
ni sehemu ya historia ya Biblia
*Ni zao la Babeli lililolainiwa.
Hilo ni gazeti la Kikristo la
Msema kweli toleo Na. 488. La
tarehe ya Januari 7-13,2007. uk.1.
Si nia yangu kwa leo kuandika
jinsi mwandishi wa gazeti hilo
alivyo furahia na kushadidia
kufa kwa Sadam Hussein wa
Iraq, la; ninachofanya hapa ni
kuunganisha kisehemu kidogo
na makala yangu hii:Imebainika kuwa
kunyongwa hadi kufa kwa Rais
wa zamani wa Iraq, Dikteta
Sadam Hussein kunaendelea
kukamilisha historia ya Biblia
Takatifu, juu ya wafalme wa
Babeli waliolidhihaki Taifa la
Israeli na baadaye kukumbana
na laana ya Mungu. Uk.1.
Kwa bahati mbaya mwandishi
hakutwambia kuwa hawa
wafalme wanao wadhihaki
wanadamu hapa duniani na
kuwaanzishia vita na kuwaua,
kuwatesa kuwafanya vilema,
kuwafanya masikini kwa
kupora mali zao na kuwafanya
wakimbizi; laana ya Mungu ikoje
katika Biblia? Au hawa ni kwa
sababu si wana wa Mungu wa
Israeli?
Bw. Sadam alinyongwa
Jumamosi, Desemba 30, 2006
baada ya Mahakama Kuu nchini
Iraq kumtia hatiani kwa mauaji
ya wanavijiji 148 wa dhehebu
la Shia kutoka Dujail, baada ya
jaribio lililoshindwa la kumuua
la mwaka 1982. Uk.1.
Mwandishu huyu
anachotwambia hapo, ni
kuwa, kesi ya Rais Sadam
Hussein si ya kuwa na silaha
za maangamizi; ambayo ndiyo
ilikuwa kauli mbiu ya Rais Bush
na washirika wake 32. Ila ni ya
mauaji ya Mashia 148 waliotaka
kumuua na kumpindua mwaka
Makala
Wakimbizi Ulaya -2
wa 1982.
Kwa maana hiyo, mwandishi
anatwambia kuwa Mashia
hao walikuwa ni wa haini wa
serikali ya Iraq; na hukumu
ya wahaini tunajua kuwa ni
nini. Sina maana ya kufurahia
kuuliwa kwa watu hao; ila kwa
mwandishi huyu kufurahia
kuuawa kwa Rais Sadam Husein
kwa kuwaua washia wahaini
148, sijui kuwa anafurahia nini
kwa malaki kama si mamilioni
ya wa Iraq waliouawa na
wanaoendelea kuuawa na
kulemazwa, kufanywa mayatima
na masikini bila ya kosa; kutokana
na uvamizi wa majeshi ya nchi 32
washirika wa Marekani; ambao
wamewatinisha kwa kuwaachia
kirusi cha Ushia na Usunni.
Lakini mwandishi hakutwambia
kuwa toka mwaka wa 1982 mpaka
kuvamiwa kijeshi Iraq ni wakimbizi
wangapi waliokuwa walikimbilia
nchi za Ulaya Magharibi.
AN-NUUR
18
MAKALA
Na Abuu Zahrah
Hofu ya IS Amboni
AN-NUUR
KUMRADHI
19
Ukurasa wa Watoto
AN-NUUR
WIKI iliyopita
tulijifunza juu ya usa
wa meno na kinywa.
Katika somo letu,
watoto walihimizwa
kupiga mswaki mara
kwa mara. Hasa
wanapoamka asubuhi
na kila baada ya kula.
Leo tunaangalia usa
wa nguo.
Watoto wanatakiwa
kuvaa nguo sa.
Kama hawajaweza
kufua wenyewe wazazi
na dada zao wawafulie.
Ali hajaweza kufua
nguo vizuri lakini ni
msa.
Ali hachafui nguo
zake ovyo.
Mama yake humfulia
vizuri nguo zake na
kuzipiga pasi.
Ali akivaa nguo sa
hupendeza.
Ali akienda haja huwa
mwangalifu asichafue
nguo zake kwa najisi.
SHINIKIZO LA DAMU
(HYPERTENSION/HIGH BLOOD
PRESSURE)
UGONJWA WA MOYO
KIHARUSI
JONGO (GOUT)
MAUMIVU YA VIUNGO (RHEUMATISM)
MAUMIVU SUGU YA KICHWA
BAWASIR (PILES/HEMORRHOIDS)
MAGONJWA YA INI
SARATANI MBALIMBALI
UOTO/UVIMBE MBALIMBALI KATIKA
VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE
(FIBROIDS, POLYPS NA CYSTS)
KUSHINDWA KUZUIA MKOJO (URINARY
INCONTINENCE)
ATHARI ZA KISUKARI CHA UKUBWANI
PUMU
UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI
KASI YA KUZEEKA
MATATIZO YA MFUMO WA MZUNGUKO
WA DAMU
MKAKAMO WA NGOZI;
UDHAIFU WA MACHO
KUPOTEZA KUMBUKUMBU
KASI NDOGO YA KUPONA MAJERAHA
MAKOVU KWENYE MAPAFU
UGONJWA WA NGOZI KUCHUJA RANGI,
YAANI, VITILIGO
AN-NUUR
20
MAKALA
20
Soma gazeti la
AN-NUUR
KWA TSH 800/=
kila Ijumaa
AN-NUUR
MCHAKATO wa kujenga
Madrassa zilizo bora na za
kisasa nchini kwa ajili ya
mafunzo ya Qur an na kozi
maalum kwa Walimu wake,
umeanza katika Wilaya ya
Ruji, Mkoani Pwani.
Madrassa hiyo itakayojulikana
kwa jina la Imamu Kassim Ally
Integrated Academy ni moja kati
ya Madrassa zipatazo 50, zilizo
katika mchakato wa kujengwa
katika Vijiji mbalimbali nchini
chini ya Taasisi ya Kiislamu ya
Kalam Education ya Jijini Dar es
Salaam.
Ustadhi Juma Nchia,
amebainisha hayo, akieleza
mipango mikakati ya kumaliza
tatizo la vijana wengi wa
Kiislamu waliopitia Madrassa na
kubahatika kusoma na kuhifadhi
Qur an, lakini wanashindwa
kuishi kitauhiid.
Alisema, ndoto za Kalamu
Education kwa mwaka 2016-
Somesheni Quran
Na Bakari Mwakangwale
kuisomesha na kuhifadhisha
Qur an pale ambapo Mashule
yetu tumeyaita ni ya Kiislamu,
kwa maana hiyo kuna umuhimu
na ulazima kuhakikisha somo la
Qur an linasimamiwa ipasavyo
ili kuwaandaa vijana wa
Kiislamu kuweza kuishi kwa
mujibu wa Qur an na Sunnah.
Amesema Ust. Asaa.
Alisema, umuhimu wa
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.