Documentos de Académico
Documentos de Profesional
Documentos de Cultura
www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1194 DHULQAAD 1436, IJUMAA , SEPTEMBA 11-17, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Tanganyika si Guantanamo
ya kutesa Masheikh
Maalim kumrejesha Sheikh Msellem
Apokewa kwa Tala' al Badru 'Alayna, Pemba
Msiwape kura wasiotaka maelewano - Moyo
MAELFU ya wakazi wa Zanzibar waliohudhuria mkutanao wa uzinduzi wa kampeni za Urais, Ubunge na Uwakilishi wa UKAWA ulifanyika
juzi Jumatano katika Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar.
Makala
AN-NUUR
Fethullah-Gulen
N A
p o p o t e
utakapokwenda
u e l e k e z e u s o wa k o
upande wa Msikiti mtukufu
na popote mtakapokuwa
elekezeni nyuso zenu
upande wake tumefanya
hivyo ili watu wasiwe na hoja
juu yenu, isipokuwa wale
ambao wamefanya dhulma
miongoni mwao kwa hiyo
msiwaogope na niogopeni
mimi, na ili niitimize neema
yangu juu yenu na ili mpate
kuongoka. [Al-Baqarah
150].
Baada ya kufika Mtume
(s.a.w.) Madina na kuitukuza
alipitisha muda wa miezi
16 au 17 na hali ya kuwa
anaelekea katika swala zake
upande wa Msikiti wa mbali.
Ilikuwa Al-Kaaba wakati huo
imejazwa masanamu (kama
kawaida ya washirikina).
Alipokuwa Mtume (s.a.w.)
amepelekwa kwa dini ya
kumpwekesha Mwenyezi
Mungu na kutoonyesha
umuhimu wowote upande
ANGANYIKA sio
Guantanamo ya
kutesea Masheikh na
watuhumiwa wa ugaidi.
Amesema hayo
mgombea urais kupitia
CUF, Mheshimiwa Maalim
Seif Shariff Hamad.
Na kwa maana hiyo,
atahakikisha kuwa
kanuni za Utawala Bora
zinatumika kukomesha
Guantanamo hizo za
kidhalimu.
Maalim Seif Shariff
Hamad amesisitiza jambo
hilo, ambalo limekuwa
likisemwa na kukaririwa
na mgombea urais kupitia
CHADEMA, Edward
Lowassa.
Akasema kuwa, viongozi
wa sasa wa serikali ya
CCM wameiuza Zanzibar
kwa Bara hali inayopelekea
hata kudharauliwa kwa
Mahakama Kuu ya
Zanzibar.
Mgombea huyo
wa Urais, Zanzibar,
wanadhalilishwa ndani ya
nchi yao. Alisema.
Kwa upande wake Mzee
Hassan Nassor Moyo
amewataka Wazanzibar
wasifanye kosa kuwapa
k u r a wa t u wa s i o t a k a
maelewano.
N a w a o m b a
Wazanzibari mnaopenda
amani, kura mtilieni
Maalim Seif.
Viongozi wote Zanzibar
wasiotaka maelewano
msiwape kura zenu.
Alisema na kusisitiza
Mzee Moyo huku
akishangiliwa kwa nguvu.
Akiwa Kada mkongwe
wa CCM, Mzee Moyo
amekuwa akisisitiza
kuwa huu ni wakati kwa
Wa z a n z i b a r i k u s a h a u
yaliyopita, wafute siasa
z a c h u k i , b a l i wa l e t e
maelewano ili kujenga
Zanzibar yenye mamlaka
kamili na maendeleo ya
kweli.
K wa m t i z a m o h u o ,
alifanya kazi kubwa
Inaendelea Uk. 3
Habari
AN-NUUR
AMA ni mabadiliko,
wanayahitajia zaidi
Waislamu.
Na muda wenyewe wa
kuyaleta ni huu katika
uchaguzi mkuu.
Hayo yamesemwa na
Masheikh waliopo katika
Gereza la Segerea, Jijini
Dar es Salaam, wakiwataka
Wa i s l a m u k u z i n g a t i a
mustakabali wao kisiasa
wakati huu wakielekea
katika uchaguzi Mkuu wa
Oktoba 25.
Masheikh na Waislamu
hao wanaotuhumiwa kwa
ugaidi, wametuma salamu
hizo kupitia mpasha habari
wa gazeti hili wakisisitiza
k u wa , j a p o h i v i s a s a
kuna kibwagizo kuwa
Watanzania wanahitaji
mabadiliko, lakini
Waislamu wanayahitajia
zaidi.
Bali na kama alivyosema
Mwalimu Nyerere,
haielekei kuwa mabadiliko
hayo watayapata ndani ya
CCM.
Kwa hiyo, ni wakati
kwa Waislamu kupima na
kuona kama mabadiliko
hayana dalili kuja kupitia
chama hicho kikongwe,
wayatafute nje ya CCM.
Na mabadiliko yenyewe
ni kuona kuwa nchi
inaongozwa kwa misingi
ya haki na uadilifu ambapo
dhulma na uonevu dhidi ya
Waislamu unakomeshwa.
Masheikh
hao
wamesema, kwa kuzingatia
h a l i h i y o Wa i s l a m u
wanatakiwa kuwa makini
zaidi kwa kuangalia
Chama na viongozi
wa t a k a o wa c h a g u a n a
kwamba katika uchaguzi
wa mwaka huu, mbele
yao hakuna chaguo zaidi
y a C C M n a U K AWA
kwa ngazi zote kuanzia
Udiwani, Ubunge pamoja
na Uraisi.
Wakizielezea pande hizo
mbili (CCM na UKAWA)
wamesema, kwa upande
wa Chama Tawala (CCM)
hakuna Muislamu asiyejua
madhila ya Chama hicho
kwao, kwani utawala wa
sheria umekuwa kipofu
na kiziwi usio sikia wala
kuona hujuma na dhulma
wanayofanyiwa Waislamu.
Nyinyi mnajua zaidi
yaliyotufika chini ya CCM,
Waislamu tumedhalilishwa
vya kutosha na kunyimwa
haki zetu za msingi katika
awamu zote za utawala wa
chama hicho.
L a k i n i
p i a
tumejidhulumu nafsi zetu
wenyewe kwa kukiuka
maagizo ya Mtume (s.a.w)
kuwa Muislamu wa kweli
haumwi na nyoka mara
mbili katika shimo moja.
Mfumo wa Serikali ya
CCM, uliopo madarakani
ndio unaoendeleza
dhulma na ubaguzi
dhidi ya Waislamu kama
ulivyowanyima OIC na
Mahakama ya Kadhi.
Hakuna kiongozi
mwenye ubavu wa kuzuia
linalotakiwa na mfumo
uliopo ndani ya Serikali
ya CCM, suluhisho sahihi
ni kuondoa mfumo na
kuleta mfumo mbadala
utakaotenda haki sawa kwa
makundi ya wapiga kura
wote, bila kujali itikadi zao
kama ilivyo sasa.
Tusiposhiriki kuleta
mabadiliko, tutaendelea
kubaki kuwa ni raia wa
daraja la pili na idhilali
haitokoma.
Kimesema chanzo
hicho, kikinukuu salam za
Masheikh kwa Waislamu.
Masheikh hao kupitia
chanzo hicho, kikawataka
Masheikh Mussa
Kundecha, Mohammed
Issa pamoja na Ramadhani
Sanze, kusimama na
kuunganisha nguvu za
Waislamu katika kuelekea
katika uchaguzi Mkuu
pamoja na kulingania zaidi
suala la umoja na amani.
Tuna waomba sana
nyie viongozi, unganisheni
nguvu za Waislamu, si
s a h i h i k u wa a c h a n j i a
panda katika kipindi hiki.
Kimesema chanzo hicho
kikifikisha salamu hizo
kupitia An nuur.
makoti wakimzunguka
Maalim huku Masheikh
wakitangulia kuomba Dua.
Katika Dua hiyo
ya kuomba ushindi na
kuiombea Zanzibar baraka
na ustawi, waliombewa
pia wale wahafidhina
waliodaiwa kutoitakia
mema Zanzibar kwamba
Mungu awazindue waione
haki na waweze kuifuata.
Na Alghaithiyya, Zanzibar
AT U w a l i p i g a
kimyaa, wengine
wakibubujikwa na
machozi.
H i y o i l i k u wa wa k a t i
Mansour Himid akielezea
uovu na udhalilishaji
waliofanyiwa Masheikh huku
baadhi ya viongozi wa CCM
na SMZ wakishangilia.
Akasema, kuirejesha
CCM madarakani, ni sawa
na Wazanzibari kukubali
kuendelea kudhalilishwa na
kufanyiwa vitendo vya utovu
wa adabu.
Akizungumza katika
mkutano wa ufunguzi wa
kampeni za CUF, Mansoor
Yussuf Himid ambaye ni
Mshauri wa Katibu Mkuu wa
Inaendelea Uk. 5
Tahariri/Tangazo
AN-NUUR
AN-NUUR
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
HARAMA za kifedha
zitakazotumika
kuwahudumia watu
wanaotafuta hifadhi nchini
Ujerumani, zinaweza
kufikia Euro zisizopungua
bilioni kumi ifikapo
mwishoni mwa mwaka huu,
kiwango ambacho ni mara
nne ya kile kilichotumiwa
na serikali ya Berlin mwaka
jana kwa ajili ya wakimbizi.
Ofisi ya takwimu ya
Ujerumani imeripoti kuwa
Euro bilioni 2.4 zimetumika
kuwahudumia wakimbizi
wapya 203,000 waliongia
nchini humo mwaka jana.
Mkutano kuhusu
Wa k i m b i z i u l i o f a n y i k a
mwezi Julai kwa
kusimamiwa na Bunge la
Ujerumani ulikadiria bajeti
ya Euro bilioni 5.6 kwa ajili
ya kuwapokea wakimbizi
450,000, huku wimbi la
hivi karibuni la wakimbizi
kutoka eneo la Mashariki
ya Kati na Afrika likipita
makadirio ya awali.
Wakimbizi wasiopungua
laki nane wanatazamiwa
kuwasili Ujerumani hadi
kufikia mwishoni mwa
mwaka huu. Katika siku
za hivi karibuni maelfu ya
wakimbizi kutoka Syria
wamefanikiwa kuondoka
Hungary baada ya kukwama
nchini humo kwa siku
kadhaa na sasa wanaelekea
Austria na Ujerumani nchi
ambazo zimetangaza kuwa
tayari kuwapokea.
Wakati hali ikiwa hivyo,
Shirika la Kuhudumia
Wa k i m b i z i D u n i a n i
UNHCR, limezitaka nchi za
Ulaya zichukue wakimbizi
laki mbili.
Nchi za Umoja wa Ulaya
lazima zikubali kuwapa
hifadhi wakimbizi laki mbili
kama sehemu ya Mkakati
wa pamoja wa kukabiliana
na mgogoro wa wakimbizi
duniani.
Hiyo ni kauli ya Mkuu wa
Shirika la Umoja wa Mataifa
la Kuhudumia Wakimbizi
(UNHCR) Antonia Guterres,
ambaye amezitaka nchi za
Umoja wa Ulaya kutumia
nguvu zao zote kutatua
mgogoro uliopo.
Hayo yamejiri wakati
ambapo mwishoni mwa
wiki maelfu ya wakimbizi
kutoka Hungary wameingia
nchi jirani ya Austria.
Sehemu kubwa ya
wakimbizi hao ambao ni
kutoka Syria, wanatazamiwa
kuelekea Ujerumani.
Austria imesema wakimbizi
6,000 wameingia nchini
humo na wengine wengi
Qatar, Saudia
zilikubaliana
kuibomoa SyriAssange
wanzilishi wa tovuti
ya whistleblower
Julian Paul
Assange, ametoa siri ya
makubaliano yaliyofanywa
na nchi za Qatar, Uturuki na
Saudi Arabia ya kuiangusha
serikali ya Syria.
Assange alifichua siri hiyo
katika televishen ya Urusi
akisema kuwa, makubaliano
hayo yalipitishwa na
kusainiwa kwa siri mwaka
2012 na nchi hizo tatu, huku
nchi za Magharibi kama
vile Ufaransa, Uingereza na
Marekani wakiunga mkuno
makubaliano hayo.
Aidha alisema washirika
wa Marekani katika nchi za
Mashariki ya Kati walisaini
makubaliano hayo kwa
ajili ya kukuza uhasama
dhidi ya serikali ya Syria,
kiasi kwamba serikali ya
Saudi Arabia ili kuonyesha
uhasama wake, ilifikia
hatua ya kukiuka hata
mapendekezo ya waanzilishi
wa fikra hiyo ambao ni
serikali ya Marekani katika
suala hilo.
Uthibitisho wa kuwepo
makubaliano hayo ni
miungoni mwa nyaraka
nyingi za siri, ambazo
z i m e o n ye s h a u o v u wa
b a a d h i ya m a t a i f a n a
serikali za Mashariki ya
Kati zinazotafuta nguvu
kibabe ikiwemo msimamizi
wao mkuu (utawala Saudi
Arabia).
kile walichofanyiwa
Masheikh wetu hivi nani
hajui kama Masheikh wetu
wamedhalilishwa na ku
amesema huku akionesha
uchungu.
Wa k a t i M a n s o o r
akiyasema hayo, uwanja
ulikuwa kimya watu
wametulia wakimsikiliza kwa
makini namna anavyojenga
hoja na kuonesha kwamba
alichokuwa akikizungumza
kikiingia akilini mwao.
Mansoor amehoji
watu wenye kujiita
wana Mapinduzi, lakini
wakashindwa kuyatekeleza
m a l e n g o ya M a p i n d u z i
ambayo yameasisiwa na
aliyekuwa Rais wa Kwanza
wa Zanzibar Marehemu
Mzee Abeid Amani Karume
ambapo alitaka wananchi
wote kuishi bila ya ubaguzi.
Ni jambo la kushangaza
ndugu zangu, vikosi vya
ulinzi na usalama ambao
wamepoteza roho zao
kwa ajili ya Mapinduzi na
Inatoka Uk. 3
Chama Cha Wananchi (CUF)
Maalim Seif Sharif Hamad
a l i wa t a k a Wa z a n z i b a r i
kutokubali kuendelea
kuwaunga mkono watu
a m b a o wa n a h u s i k a n a
udhalilishaji wa Masheikh.
Mansoor alisema ni
jambo la kusikitisha
k u o n a wa p o b a a d h i ya
viongozi wanapanda
majukwaani na kufurahia
kile kinachotendeka dhidi
ya Masheikh wa Jumuiya
ya Uamsho ambao kesi
ya o i m e k u wa i k i p i g wa
kalenda kila siku badala
ya kusikilizwa na kupewa
hukumu kwa mujibu wa
makosa yao.
Ndugu
zangu
Wazanzibari, msije kukubali
hata siku moja kuwarejesha
madarakani viongozi wote
wanaochangia au kufurahia
udhalilishaji wanaofanyiwa
Masheikh zetu, leo hii
anasimama kiongozi
j u k wa a n i n a k u f u r a h i a
Makala
IANZE kwa
kumshukuru
Allah (S.W.) kwa
kukumbuka kuanzishwa
k wa s h u l e ya a wa l i
katika Msikiti Mkuu wa
zamani wa Same mjini.
Uanzishwaji wa shule hii
ulitokana na Ijitimai ya
kitaifa iliyofanywa Mkoa
wa Kilimanjaro Wilayani
Mwanga chini ya uongozi
wa Tablighi ya kituo cha
Gongolamboto jijini Dar
es salaam. Niliteuliwa
na Amiri wa Mkoa
wa K i l i m a n j a r o B w .
Atumani, kuhamasisha
Waislamu wa Wilaya ya
Same, na kusambaza kadi
za mualiko.
Tulifanikiwa katika
Msikiti wa Same kukodisha
basi lililojulikana kwa jina
Sirori la Bw. Habibu
Mndeme (marehemu).
Tulijaza gari tukiwa na
viongozi wa Bakwata wa
Wilaya, akina mama, kina
baba na vijana. Ijitimai
hiyo ilifanyiwa katika
eneo ambalo ni kiwanja
m a a n a wa l i y o ya s i k i a
katika Ijitimai yanatosha,
kwani kumbe kuwapeleka
watoto wa Kiislamu katika
chekechea za Kanisa ni
kuwaritadisha. Palitokea
msuguano na uongozi
wa Msikiti kwa upande
mmoja na Mtaa na Wilaya
kwa upande mwingine,
Bakwata, wakisema
kuwa wao hawako
tayari kendesha shule.
Hawana pesa, hawana
uwezo. Hata hivyo
kina mama wakasema
k u wa wa t a j i t e g e m e a
wao kama kina mama
katika kuendesha shule
hiyo, kama kina baba
AN-NUUR
HARAKATI ZA MARKAZ
yaliyofanywa na Viongozi
wa Bakwata Mwanga.
Innalillahi wa innailaihir
rajiuun. Hakuna kitu.
Nikajiuliza, kwa nini
wa l i wa p o r a e n e o l i l e
Tabligh mpaka kupeleka
kesi mahakamani?
Katika eneo lile,
nilikuta kimebaki kile
kisehemu kilichojengwa
kwa ajili ya kuweka jiwe
la msingi, kwa kuwa
kijengwa kwa matofali ya
sementi, nacho kimechoka
hata lile jiwe la msingi
limeanza kubomoka kama
linavyoonena katika picha
na mandhari yake. Na
yale majengo yaliyokuwa
yamejengwa kwa matofali
ya kuchoma na Matablighi,
yamebomolewa yote
kiasi kwamba hata
misingi yake haionekani,
ambapo Matablighi
walishapeleka mbao za
kupaulia, na baadhi ya
majengo walishaweka
fremu na kuezeka kama
inavyoonekana kwenye
picha.
Na eneo limekuwa ni
makorongo, na sehemu
ya eneo na jiwe la msingi
ni uwanja wanachezea
mpira watoto wa shule.
Nilipouliza kwa robo
karine sasa, Bakwata wana
mpango gani na eneo
lile walilowanyanganya
Tabligh, sikupata jibu.
Labda tu niwakumbushe
viongozi wa Bakwata wa
Wilaya ya Mwanga kuwa,
kila kitu tulichofanya
na wanachofanya
kinarekodiwa, na mwenye
sifa ya kujua kila kitu-Allah
Subhana wa Taaallah. Na
siku ya Qiyama sio picha
nilizopiga katika ile Jitimai
wala hizi nilizopiga kwa
mara ya pili na ya tatu
zitakazoonyesha kama
ushahidi wa kilichotendeka
na kinachotendeka mahali
pale; bali ni kila aliye
kwamisha mradi ule wa
kituo cha Tablighi atajibu.
Kama ni kwa Qibri chake,
ukubwa wa cheo chake,
ukubwa wa elimu yake,
umaarufu wake kwenye
dola na uwezo wa
kuwachangisha Waislamu
pesa za kuendeshea
kesi zilizokwamisha
maendeleo yao kama haya
ya robo karine, yote hayo
yatawekwa wazi siku ya
hukumu.
Nimalizie kwa kusema
kuwa, 1992 ilianza
kutafutwa Ardhi ya
kujenga Kituo cha Kiislamu
Same Kirinjiko, 1994,
eneo likapatikana. Kazi
ya kufeka eneo ilianza,
na ujenzi ikaanza 1996
na Shule ikaanza 2000.
Sasa ni kituo kikubwa cha
Kiislamu kikiwa na shule
ya msingi, sekondari na
chuo cha ualimu. Vijana
wa Kiislamu wanahitimu
kila mwaka katika ngazi
mbalimbali.
Maktaba yangu
inanisuta! Kuwa, katika
Wilaya ya Mwanga juhudi
z i l e z i m e k wa m i s h wa
na Bakwata. Wasiwasi
wangu mkubwa ni
pale niliposhiriki futari
M wa n g a m wa k a j a n a
na kiongozi aliyetualika
futari hiyo akatoa ahadi
k u wa i t a f u t we A r d h i
yenye wasaa ya kujengwa
shule na chuo cha
Kiislamu, ataleta marafiki
zake wasaidie kujenga
chuo hicho lakini hadi
sasa sijasikia chochote.
Sijui kuwa katika futari
ya mwaka huu kulikuwa
na mrejesho gani. Allah
S.W. atuzindue katika kiza
hiki totoro cha kiuongozi
wilayani Mwanga
Inshaallah.
(Khatibu Juma Mziray.
0757 01 33 44. 31/08/2015)
MAKALA
AN-NUUR
I A N Z E t u k wa
kusema Innaa
Lillah Wa-Innaa
Ilayh Rajiun. Hivi ndivyo
alivyotufundisha Allah
(swt) katika Suratul
Baqara [02:156] aliposema,
Wale ambao ukiwasibu
msiba husema: Hakika
sisi ni wa Mwenyezi
Mungu, na kwake Yeye
hakika tutarejea. Aya
hii imewalenga wale
wenye kusubiri pindi
wanapopatwa na msiba.
Kumradhi kwa msemo
nilioanza nao.
Waislamu tumeingia
katika mtihani mzito wa
kulazimishwa kupenda
jambo moja kubwa
ambalo Allah Mtukufu
ametuwekea kama njia ya
kuingia katika maisha ya
milele. Nasema hivi kwa
sababu jambo lenyewe lipo
lakini tunaliogopa mno,
nalo ni kifo. Hali inatisha,
inasikitisha, inaumiza,
inachosha, inamaliza upeo
wote wa kufikiri!!? Kifo ni
njia pekee ambayo Allah
(swt) ameiweka ili iwe
njia pekee ya kukutana
naye na kumuona ikiwa
t u t a f a n i k i wa k u p a t a
mwisho mwema. Siyo
wote watakaofanikiwa
kumuona Allah (swt).
Allah Mtukufu
anasema, AMETUKUKA
ambaye mkononi mwake
umo Ufalme wote; na
Yeye ni Mwenye uweza
juu ya kila kitu. Ambaye
ameumba mauti na uhai
ili kukujaribuni ni nani
miongoni mwenu mwenye
vitendo vizuri zaidi. Na
Yeye ni Mwenye nguvu na
Mwenye msamaha. (QurAn 67:01-02).
Ndugu zanguni, kwa
hali iliyopo, hatuna sababu
ya kuipenda dunia. Mimi
sikusuii kupenda dunia
lakini nikuulize swali
moja wewe unayetamani
kuishi sana. Ukane imani
yako uishi, au udhihirishe
imani yako uuwawe?
Kumbe mavazi, ndevu,
na majina yetu sasa ni
tiketi ya kifo, kuteswa,
kudhalilishwa!!? Kupigwa,
kuteswa, kudungwa
sindano tunaona ni jambo
dogo siyo? Hizo sindano
wanazodungwa ndugu
zetu hatujiulizi zina nini?
Tusubiri nasi yatukute.
Vyombo vyetu leo
vinavyojiita vya usalama
havina haja tena ya kufanya
WENYEZI Mungu
hawaadhibu watu
m p a k a a wa l e t e e
mjumbe. Hivyo ndivyo
Quran inavyotwambia.
Kwa upande mwingine,
katika mazingira ya dharura,
jambo lililo haram, laweza
kuruhusiwa, lakini kwa
k i wa n g o c h a k u o n d o a
dharura ila isiwe ni jambo la
kufurahiwa na kuachwa liwe
la kawaida na kuzoeleka.
Kwa kipindi kirefu hapa
n c h i n i , Wa i s l a m u , h a s a
wafanyabiashara, walikuwa
katika kilio cha kuendesha
biashara zao kupitia benki
ambazo ni za mfumo wa
riba. Hata hivyo, jitihada
zilizofanywa na baadhi ya
Waislamu, kwa rehema za
Allah (SWT), imepatikana
Benki ya Amana ambayo
imeondoa dharura hiyo.
Hivi sasa mfanyabiashara
Muislamu akifanya biashara
zake kupitia benki za mifumo
ya riba, itakuwa ni kwa
kutaka mwenyewe na hivyo
ajiandae kumjibu Mola wake
juu ya dhambi hiyo.
Ili kujua ni kwa namna gani
Benki za Kiislamu zinafanya
kazi, na zinawasaidia
vipi na kuwawezesha
wafanyabiashara, fuatilia
mahojiano haya na
Mkurugenzi Mtendaji
wa Amana Benki upate
kuelimika.
Asalaam aleikum Dr.
Muhsin; ni mara yetu ya
kwanza kukutana na
ningependa nichukuwe nafasi
kukupongeza kwa kuteuliwa
na bodi ya Amana Benki
katika uongozi na usimamizi
wa Benki hii ya Kiislam
Tanzania. Tunashukuru kwa
kutupa muda wako kwa
ajili ya kuongea nasi. Lengo
letu ni kutaka kuwasaidia
watanzania walio wengi
waelewe nini Amana Benki
na uendeshaji wake katika
kuzingatia Sharia za Kiislamu
na mchango wake katika
mfumo wote wa kibenki
nchini.
Jibu: Waleikumsalaam,
Ahsante sana, na karibu sana
Amana Benki.
Kwanza kabisa napenda
nianze kwa kuchukua fursa
hii adhimu kuwashukuru
kwa dhati kabisa wadau
wetu wote kwa muitikio wao
ambao wamechangia katika
ukuaji wa Amana Bank tokea
kuanzishwa kwake mwezi
November 2011 mpaka hivi
sasa tunapokaribia miaka
mi nne.
Natoa shukrani za dhati
kwa wateja wetu ambao
wametupa muitikio mzuri
kwa kutumia huduma zetu.
Pia nawashukuru wanahisa
wetu kwa uwekezaji wao
na uvumilivu wao katika
kipindi cha mwanzo wa Benki
Makala
AN-NUUR
Biashara
ya
riba
sasa
basi
Amana Benki yatoa ufumbuzi
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
mfano mteja anapokwenda
benki na mahijati ya mkopo
kwa ajili ya ununuzi wa
malori kwa ajili ya biashara
zake, benki za Kiislamu
hazitampatia fedha taslim,
bali zitanunua yale magari
na kumuuzia mteja yule kwa
faida pamoja na kumpa fursa
ya kufanya malipo kidogo
kidogo.
Swali: Amana Bank
inaithibitishiaje jamii
kwamba inafuata misingi ya
Sharia za Kiislamu kikamilifu
katika shughuli zake?
Jibu: Benki za Kiislamu
zina mfumo wa usimamizi
wa mambo ya Sharia ambao
upo katika ngazi mbili, ngazi
ya juu na ngazi ya chini.
Katika ngazi ya juu, kuna
bodi maalum ya usimamizi
wa Sharia inayoundwa na
wataalam waliobobea na
wenye weledi wa Sharia
katika miamala (Fiqh al
muamalat). Bodi hii ndiyo
inayotoa miongozo juu ya
utayarishaji wa huduma
na mikataba, kuthibitisha
taratibu za uendeshaji, bidhaa
na huduma zinazotolewa,
mikataba na maadili ya
kushughulika na mteja.
Lakini bodi hii pia huendesha
mapitio na ukaguzi wa Sharia
(Sharia Compliance Reviews)
na kutoa maamuzi kufuatia
ukaguzi huo. Katika ngazi
ya chini na ya ndani ya
benki, kunakuwa na kitengo
maalum kinachohusika
na usimamizi wa Sharia
katika shughuli za kila siku
ikiwa ni pamoja na kufanya
ukaguzi wa miamala yote na
kuwasilisha ripoti kwa bodi
ya Sharia kwa maamuzi.
Swali: Ni yapi mafanikio na
changamoto zinazozikabili
benki za kiislam Tanzania?
Mkurugenzi mtendaji
Jibu:
Mafanikio yaliyopo ni
pamoja na;Kwanza kabisa ni Benki
Kuu ya Tanzania (BOT) kutoa
leseni ya uendeshaji wa
benki za Kiislamu Tanzania.
Baada ya kuona umuhimu wa
kuwepo benki za Kiislamu
hapa nchini, Benki Kuu ya
Tanzania haikusita kutoa
ruhusa licha ya kutokuwepo
kwa Sheria wala kanuni
mahsusi zinazotoa miongozo
ya uendeshaji wa benki za
Kiislamu hapa nchini.
Pili, Mchakato wa
u t a ya r i s h a j i wa k a n u n i
mahsusi (regulatory
framework) za uendeshaji wa
benki za Kiislamu Tanzania
unaendelea. Benki Kuu
tayari imechukua hatua za
matayarisho ya kanuni hizo
mahsusi katika kunyanyua
mfumo huu na kurahisisha
uendeshaji wake kwa
manufaa ya watumiaji na taifa
kwa jumla. Mchakato huu
10
Na Omar Msangi
IKI iliyopita
kulifanyika Dua
ya kuiombea
Zanzibar amani na
utulivu katika kipindi cha
uchaguzi. Waislamu mbali
mbali wakiongozwa na
Makamu wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar
Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad, walikusanyika
katika viwanja vya
Maisara mjini Zanzibar
kwa ajili ya kuomba dua
ya kuiombea Zanzibar
amani na utulivu, hasa
katika uchaguzi mkuu
ujao.
Akizungumza katika
hafla hiyo, Katibu Mtendaji
wa Kamisheni ya Wakfu na
Mali ya Amana Zanzibar
Sheikh Abdallah Talib,
alisema mara nyingi amani
ya Zanzibar hutoweka
kutokana na sababu za
kisiasa hasa inapofika
wakati wa uchaguzi mkuu,
hivyo juhudi za makusudi
zinapaswa kuchukuliwa
katika kuendeleza amani
ya nchi wakati wote.
Akasisitiza kuwa suala
la kudumisha amani
na utulivu ni mchakato
unaopaswa kuendelezwa,
ili kuinusuru nchi kuingia
katika machafuko
yasiyokuwa ya lazima, na
kwamba kila mwananchi
ana jukumu la kuhakikisha
k u wa a m a n i ya n c h i
haichezewi.
Naye Amir wa Taasisi za
Kiislamu Zanzibar Sheikh
Ali Abdallah akasema
dua hiyo ya kitaifa
imefanyika nchi nzima
katika viwanja mbali mbali
Unguja na Pemba. Dua
hiyo iliyotanguliwa na
sala ya Alasiri viwanjani
hapo, ilihudhuriwa na
viongozi mbali mbali
wa dini ya Kiislamu,
serikali na vyama vya
siasa wakiwemo Mufti
Mkuu wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi, Katibu
wa Mufti Sheikh Fadhil
Soraga, Mkuu wa Mkoa
wa Mjini Magharibi Mhe.
Abdallah Mwinyi Khamis
na Mgombea Urais wa
Zanzibar kupitia Chama
Cha ADC Mhe. Hamad
Rashid Mohammed.
Kuomba dua ni jambo
jema sana na kwa hakika
ni ibada. Na kila mja
anavyoomba Dua kwa
Mola wake, ndivyo Allah
anavyomridhia. Kinyume
na mwanadamu ambaye,
hata kama atakuwa
mkarimu vipi, lakini
ombaomba ikizidi, hata
kama anayemuomba ana
shida kweli, hufika mahali
Makala
AN-NUUR
Zanzibar
ilete
toba
Sio kuomba amani, baraka, neema
Mufti Kabi awasaidie viongozi SMZ
MAKAMU wa Kwanza Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na Katibu
wa Muft, Sheikh Soraga wakitoka katika dua iliyofanyikia katika viwanja vya
Maisara Zanzibar hivi karibuni.
akakereka.
uharamia huo wa kupiga hapana shaka inahatarisha
H ata h i v y o p a moja watu na kuvuruga amani amani na utulivu, halafu
na ukweli huo, lazima ya Zanzibar. Sasa hili la viongozi hao hao wa
tuwe wa wazi na tuseme kuomba dua kumtaka serikali wanakusanyika
u k w e l i k wa m b a d u a Mungu alete amani au Maisara kumwomba Allah
h i i y a Z a n z i b a r i n a la k u a mbia n a u k we li (SWT) alete Amani katika
walakini, tena mkubwa. wanasiasa kuwa waache nchi!
Nitafafanua. Kwanza hii uharamia huo? Mahali
Ambacho tungetaka
imeitwa kuwa ni dua ya pengine Sheikh Talib kusikia, ni Serikali ya
kuiombea Zanzibar amani anasema kuwa suala la U m o j a wa K i t a i f a ya
na utulivu katika uchaguzi ulinzi wa amani ni la kila Zanzibar kuja na kauli
mkuu ujao. Pili, Katibu Mzanzibar. Sawa kabisa. thabiti kwamba yaliyopita
Mtendaji wa Kamisheni ya Lakini katika mazingira yamepita, hakutakuwa
Wakfu na Mali ya Amana haya ya Janjaweed na tena na visa vya vikosi
Zanzibar Sheikh Abdallah vikosi, mwananchi wa kupiga watu au kuja na
Talib, amesema amani kawaida afanye nini? Kwa njama za magoli ya
ya Zanzibar hutoweka nini hamuwaambii ukweli mkono katika uchaguzi
kutokana na sababu za wanasiasa?
huu, mambo ambayo
kisiasa inapofika wakati
Turudi nyuma mauwaji ndiyo huvuruga amani.
wa uchaguzi mkuu.
y a 2 0 0 1 . Wa t u w a l e Serikali ikisha hakikisha
Sasa turudi nyuma toka waliouliwa kosa lao nini? hayo, ndio sasa iwatake
zimeanza siasa za vyama Ile kutumia haki yao ya wananchi, kila mmoja kwa
vyingi, tujiulize, nani kikatiba na kidemokrasia nafasi yake kuhakikisha
walikuwa wakiwavamia kuonyesha kutokuridhika kwamba amani inadumu.
w a t u n a k u w a p i g a k w a o n a u c h a g u z i Na Dua, Itqaaf zifanyike.
o v y o k u a n z i a z o e z i ulivyoendeshwa, ndio
Wakati Masheikh wale
la kuandikisha wapiga hukumu yao kupigwa akiwemo Mufti Mkuu wa
kura, wakati wa kupiga risasi na kufanyiwa kila Zanzibar Sheikh Saleh
kura na hata baada. Nani aina ya udhalimu?
Omar Kabi, Katibu wa
wa l i k u wa wa k i va m i a
Pa m o j a n a k u we p o M u f t i S h e i k h F a d h i l
akina mama majumbani Serikali ya Umoja wa Soraga, wananyanyua
m wa o k u wa i b i a v i t o Kitaifa, bado juzi hapa mikono na Maalim Seif
vyao vya dhahabu na wakati wa uandikishaji k u o m b a A l l a h ( S W T )
kuwabaka? Nani walikuwa wapiga kura, ya Janjaweed aimiminie neema, amani,
wakiwatuma watu hawa na yalijitokeza tena ambapo utulifu na Baraka Zanzibar,
kuwalinda wasifikishwe watu walipigwa sana Masheikh wenzao wapo
katika vyombo vya sheria? katika baadhi ya maeneo gerezani Bara kwa zaidi
K w a b a h a t i n z u r i na ushahidi ukitolewa ya miaka miwili sasa.
M a k a m o wa K wa n z a kuwa watu waliofanya Masheikh wale wamesema
wa Rais, Maalim Seif uovu huo ni katika wale m e n g i y a l i w e m o y a
Shariff Hamad na Hamad wale vikosi. Unaposema kudhalilishwa na hata
R a s h i d w a l i k u w e p o . v i k o s i m a a n a y a k e kunajisiwa.
Wote hawa walipokuwa unasema serikali. Sasa
S h e r i a ya K i i s l a m u
pamoja katika upinzani, kama huku sikumfanyia a m b a y o M u f t i w a
wanajua na wakisema stizai na kumcheza shere Zanzibar anaijua vyema,
h a d h a r a n i h a b a r i ya Allah Subhana Wataallah inasema kuwa lau watu
vikosi na janjaweed nini! Kwamba serikali wangesikilizwa tu kwa
waliokuwa wakitumiwa i t oe v i k osi v i h u ju mu madai yao, kuna watu
na SMZ (CCM) kufanya wananchi, hali ambao wangedai damu na mali za
11
Makala
AN-NUUR
UNAENDELEA
kushuhudia mengi
katika kampeni hizi
za uchaguzi unaotarajiwa
kufanyika Oktoba 25,
2015. Ni vioja, ni uwongo,
unafiki, na mfano wa
hayo kwa namna ya ajabu
kabisa ambayo haijawahi
kutokea. Kinachofanyika
sasa, pengine tukiite
mipasho kama ile ya
wa s a n i i wa t a a r a b u .
Kuna watu wanaonekana
kuwa na vipaji hivyo
vya uimbaji wa taarabu,
lakini wamejikuta wapo
kwenye siasa labda kwa
ajili tu ya kupata unga.
Bila shaka kwa
wafuatiliaji wazuri wa
v y o m b o v ya h a b a r i ,
watakuwa wamemsikia
vema kabisa, kiungo mpya
wa yanga aliyesajiliwa
kupitia dirisha dogo.
Mchezaji huyu ambaye
alifanyiwa rasmi majaribio
kwenye mechi ya kirafiki
iliyorushwa moja kwa moja
kupitia vituo vitatu vya
matangazo, TBC 1, Star Tv
na Azam Tv, anaonekana
hana kiwango licha ya
kusajiliwa kwa gharama
kubwa kuziba pengo
la mchezaji aliyehamia
i l i y o k u wa t i m u ya k e
ya zamani. Hakuweza
kuonesha kiwango
kilichotarajiwa na wengi
wanaomfahamu, hususan
wafadhili jambo ambalo
l i n a we z a k u wa v u n j a
moyo mashabiki wa timu
hii ambayo imekuwa
kinara kwa takriban miaka
hamsini sasa.
A k i wa k a t i k a t i m u
yake ya zamani, mchezaji
h u y u n d i ye a l i k u wa
team captain na
aliongoza vizuri kabisa
japo hawakufanikiwa
kuchukua kombe hata
moja. Alikuwa mchezaji
mzuri, mwenye nguvu
na stamina barabara
ikizingatiwa kwamba
ni Padri, hivyo yeye
na wanawake ni kama
mashariki na magharibi.
Siyo kama wachezaji
wengine ambao mara
nyingi hujichanganya na
wanawake na kupoteza
viwango vyao.
Kwa watu weledi wa
mambo ya propaganda,
wanatambua vyema
kwamba, aliyecheza pale
siyo Willy, bali katumika
kama mdoli tu. Ni kama
mtu anapopandwa na
mashetani husema vitu vya
ajabu, vya kuchanganya
na mara nyingine anaweza
kujipigiza, kukimbia
ovyo na mfano wa hayo.
Hayo yote, anafanya yule
aliyejificha ndani ya mwili
12
MAKALA
AN-NUUR
n j i a i s i y o ya k a wa i d a .
Mabadiliko hasi ya moja
kwa moja yanaanza na uasi,
kwa mfano ule uasi wa
Katiba Mpya ulioongozwa
na Kanisa Katoliki kuelekea
mwisho wa 2010, baada
ya mgombea wao, kasisi
muasi Dk. Wilibrod Slaa
Inaendelea Uk. 16
OJA ya sifa
za kizazi cha
I b r a h i m u
hadi wakati wanatoka
Kanaani na kuingia
Misri, ni utajiri mkubwa
hasa wa mifugo, ishara
ambao inaonekana pia
kwa baadhi ya watu
wenye sifa ya kuwa
karibu kabisa na Mungu,
Inaendelea Uk. 16
13
Na Rashid Abdallah
Mahakama Kuu
inaelekea kuhalalisha
uongo katika
kampeni za kisiasa.
Hivyo ndiyo lilivyonadi
gazeti la mtandaoni
kutoka Marekani la
The Huffington Post la
tarehe 16/06/2014. Nalo
gazet i l a Kienger eza
la the Guardian la
April 2014 likaandika;
Mahakama kuu kuamua
ikiwa kampeni za uongo
ni halali.
Hii ilikuwa ni kesi
iliyozua mjadala
mkubwa na kuteka watu
wengi mno, mahakama
kuu nchini Marekani
(Supreme Court) ndio
waliokuwa wanasikiliza
kesi hii, kubwa zaidi ni
kuwa mahakama hiyo
i a m u e i k i wa k u s e m a
uongo kuruhusiwe kaika
kampeni.
Kwani sheria ya Ohio
An Ohio law inakataza
wagombea kusema uongo
wakati wa kampeni, lakini
shirika la SBA-List (The
Susan B. Anthony List)
linalojishughulisha na
kampeni za kupinga utoaji
mimba nchini Marekani
na linawaunga mkono
wanasiasa wanaounga
mkono kampeni hiyo,
mwaka 2010 lilipeleka kesi
mahakama kuu kupinga
sheria hiyo ya Ohio.
Nianze kwa kunukuu
maneno ya mchangiaji
mmoja wa mada hii katika
mtandao kuwa ; Marekani
inaenda mbali zaidi
kwani baada ya uhuru
wa kuzungumza, sasa
wanaelekea kuruhusu na
uhuru wa kusema uongo.
Nami niseme kwamba
hii ni hasara ya uhuru
uliopindukia. Naamini
uhuru ukipindukia
mipaka, basi unaleta balaa.
Hata Rais Barack Obama
aliwahi kusema kuwa;
Hatuwezi kuwa na uhuru
wa asilimia mia moja
kisha tukajihakikishia
usalama wa asilimia mia
moja.Hata mimi nasema
kuwa uhuru kwangu una
mipaka.
Tu y a a c h e h a y o y a
Marekani turudi nyumbani
k i s h a t u ya l i n g a n i s h e
hayo na haya ya kwetu
sisi, hasa ukizingatia
kuwa tayari kampeni
za uchaguzi wa October
25, zimeanza. Wasikiliza
kampeni yatupasa tuwe
makini kwani kuna watu
ni wachanganyaji wazuri
wa n z i m a n a m b o v u
b i l a ya k u g u n d u l i k a .
Wanachanganya ukweli na
uongo na wanachanganya
MAKALA
AN-NUUR
wanaochanganya tui na
maziwa, mbovu na nzima,
ukweli na uwongo kwa
wa k a t i m m o j a , wa p o
hata hapa kwetu. Kama
k a m p e n i wa n g e k u wa
wanazifanya kwa uongo
mtupu, ingekuwa rahisi
sana kwa wananchi
kugundua na mwisho
kuachana nao. Lakini
mara nyingi wananchi
t u n a d a n g a n y wa k wa
sababu kampeni
zinaendeshwa kwa
propaganda, yaani
uwongo hapo hapo na
14
Inatoka Uk. 13
kinyume na matakwa
yao. Mwanasiasa huyo
ni yupi? Wewe unamjua
zaidi. Ukiwa mpiga kura
u t a k u wa u n a m j u a n i
yupi anayekujali na yupi
anayejali tu kinachosemwa
kutoka makao makuu
yake.
Kila jimbo linajua kuwa
mbunge wetu alikuwa
ni mtu wa kuishi Dar es
Salaam tu au alikuwa na
ushirikiano na sisi. Wale
wa kuishi Dar halafu
akichomoza sura yake
wakati wa uteuzi na chama
chake kikampitsha sasa
anataka apitishwe na
wananchi, hukumu ya
mtu kama huyu munaijua
nyinyi hata akaja na
maneno ya namna gani
yatakuwa tu ni sehemu ya
propaganda za kisiasa la
wala si ukweli.
Wale wanaosema siasa
ni mchezo mchafu wanazo
sababu. Moja ni kuwa
wanasiasa wana tabia
ya kuchanganya ukweli
na uongo. Anaweza
kuwaahidi mambo mengi
yaliyompita kichwa au
asiyoweza kuyatekeleza
ilimradi tu achaguliwe
kisha ndio imepita hiyo.
Kampeni zimeanza
MAKALA
AN-NUUR
BAADHI ya wajumbe waliopo katika timu ya kampeni ya mgombea Urais kwa tiketi
ya CCM wakiwa katika picha ya pamoja. Kulia ni Dk. Harrison Mwakyembe na
katikati ni Makongoro Nyerere siku ya uzinduzi wa kampeni wa hicho hivi karibuni.
lakini nyinyi ni mashahidi w a n a t o a a h a d i k i l a na watu wao wanaahidi,
kuwa viongozi waonataka wapitapo kila wanapo ahadi kumi hadi ishirini.
r i d h a a y a k u o n g o z a simama na kuzungumza Hivi ni kweli wanaweza
k u z i t e k e l e z a ? Au n i
sehemu ya mchezo
wao mchafu ili kuingia
madarakani? Yatupasa
tufikiri na tutulize akili
zetu ili kumpata kiongozi
bora.
Nimalizie kwa
kuwatakia kampeni za
a m a n i v ya m a v y o t e .
Jeshi la polisi liwepo
kulinda watu na wala si
kuendeshwa na vyama.
Amani ni jambo muhimu
katika nchi yetu, nchi kama
hii na ilivyo na watu wengi
mambo yakiharibika basi
yanaharibika kweli kweli.
Hivyo kila chama
kiheshimu chama
chengine, matusi yasiwepo
na wala kusiwepo
na kampeni za uongo,
waeleze wanachi ambalo
utaweza kulitekeleza na
wala usitie chumvi kwa
ambalo una uhakika liko
nje ya uwezo wako.
Wananchi tuzidi kuwa
makini na wagombea
waongo wanaojazia
yasiyowezekana, wasio
na akili na uwezo wa
kuongoza. Umakini
unahitajika kumpata
kiongozi bora, vinginevyo,
kupiga kura itabakia
mchezo wa kuwapa watu
kula kila baada ya miaka
mitano.
HUKURANI zote
anastahiki Mwenyezi
Mungu, Mola mlezi
wa ulimwengu na rehema
na amani zimfikie mbora
wa Manabii na Mitume
Muhamad (saw) na jamaa
zake na shahaba zake wote.
Ama baada ya utangulizi
h u u m f u p i k wa ya k i n i
Mwenyezi Mungu mtukufu
amemuumba mwanamke
akiwa ni binadamu mwenye
haki zote kuanzia utukufu,
uhuru na kumiliki na pia
kufikiri, kufanya kazi na
mengineyo.
Amesema Mwenyezi
15
MAKALA
AN-NUUR
Na Abdallah A. Bawazir
sababu ifuatayo:
Hadithi yenye kauli ya
Bi. Aysha inakanusha na
Hadithi tunayo itegemea sisi
hapa inathibitisha na katika
kaida {kanuni za fani ya
Hadithi} zetu sisi ni kwamba
katika mgongano wa aina
hii, Hadithi inayopewa
umuhimu wa kwanza na
kufanyiwa kazi ni ile Hadithi
inayothibitisha na wala siyo
ile inayo kanusha.
Sasa inaonekana kuwa
ni kawaida hapa nchini
kwetu kila unapo karibia
m we z i wa D h u l - H i j j a h
kama hivi, Masheikh
wetu wakubwa kubishana
kuhusu funga ya Arafa.
Wengine wanasema siku ya
Inatoka Uk. 14
Amesema Mwenyezi
Mungu mtukufu,
Mwanamume ana fungu
lake katika mali ya wazazi
na ndugu wa karibu na
mwanamke ana fungu lake
katika mali za wazazi na
ndugu wa karibu, ikiwa
mali ni kidogo au nyingi,
ni fungu maalum Nisai 7.
N a
U i s l a m u
ameheshimu umiliki
huu na kuutukuza kwa
kumpa uhuru mwanamke
wa kutumia. Amesema
Mwenyezi Mungu
wapeni wanawake
mahari zao za wajibu na
wakitamani wenyewe kwa
nafsi zao, basi kuleni kwa
vizuri kabisa Nisai 4.
Na Qurani imemuweka
sawa mwanamke na
mwanamume mbele ya
16
MAKALA
AN-NUUR
Inatoka Uk. 12
Inatoka Uk. 12
17
MAKALA
NDOA
KUOMBA DUA
AN-NUUR
Inatoka Uk. 16
amekufa, au uongozi
wa chama tawala
k a m a wa l i n z i wa
fikra hiyo. Lowassa
amekuwa kiongozi
huru mjasiriamali,
mfanyabiashara
aliyefaulu; wengine
hudunduliza kidogo
wakichota serikalini.
Kuna uwezekano
mkubwa wa Mungu
kukamilisha kazi ya
kupangua kabisa
dhana potofu za
Azimio la Arusha za
kuitenga Tanzania
na mitaji duniani, na
kuwabana viongozi
wategemee ajira ili
wawe watiifu kwa
chama na serikali,
yaani Nyerere na
warithi wake. Ndiyo
msingi wa ubadhirifu,
wizi uliokithiri na
huku viongozi wote
wanajiamini ni
wasafi, kwani wizi wa
kudokoa hatma yake
ni maisha bora katika
n g a z i ya f a m i l i a .
Akili za walioenda
s h u l e k wa j u m l a
zinajielekeza katika
udundulizaji na
kupinga uwezekaji,
ubinafsishaji.
Endapo hali hiyo
itafikiwa, utakuwa
muujiza wa Mungu
kumwinua mtu
mmoja awe na nguvu,
alete mafuriko
ya wafuasi akiwa
CCM apangue hila
za mwenyekiti wa
chama kuhusu nani
awe mgombea, aweke
aliyefaa zaidi, na yeye
aende kugombea
upinzani. Ni aina
ya mnara wa Babeli
kisiasa, na chanzo
chake ni u-Yakobo
wa Lowassa, kama ile
hadithi ya Uyunani
ya mtu akigusa kitu
huwa dhabahu. Ni
kuanza na ng'ombe
uuze wachache
uweke hizo fedha
benki, ukope nyingine
uunde kampuni ianze
kujilipa, kila wakati.
Kuna uwezekano
pia wa kuunda
kampuni za madini
hasa kutokana na
hali ya kutapakaa
kwa madini mkoani
Arusha na Manyara,
nje ya ushiriki katika
maeneo mengine
ya biashara, kama
kununua mashamba
na kukata viwanja
vya bei mbaya baada
ya miaka kumi, n.k.
Au kununua viwanja
sehemu za mijini na
kujenga maghorofa
baadaye, iwe ni mtu
binafsi au kwa ubia na
wengine, n.k. Ni vitu
ambavyo ukivifikiria
vinawezekana, lakini
baraka za Mungu ni
kumwezesha mtu
mmoja afanye hivyo,
ili aipangue milki ya
CCM.
Mungu aliitingisha
Misri akitumia silaha
ndogo, ya Sara
mke wa Ibrahimu
ambaye Ibrahimu
alimwambia kokote
wa t a k a p o k we n d a
aseme ni ndugu
yake Ibrahimu, ili
watoe posa kwake,
na siyo kumwua
na kumchukua
Sara. Ila alijua kwa
uficho Mungu
angejitambulishwa
kwao
hima,
wamrudishe Sara.
U t a j i r i wa m t u
mmoja unampa
nguvu, mradi kuna
kitu kama utawala
wa sheria na siyo
udhalimu wa moja
k wa m o j a , k u wa
huru na utawala, na
kwa kushiriki kwake
kisiasa, kuweza
kuweka tofauti kati
ya itikadi iliyopo,
na inayotakiwa.
Lowassa anaogopwa
na watu wa CCM
kuwa anaweza
kurudia sera za
awamu ya pili za Rais
Ali Hassan Mwinyi
ambazo Waziri wa
Fedha Saada Mkuya
Salum anajizuia tu
kuzitamka waziwazi,
kuondoa mizigo ya
mashirika ya umma
begani mwa serikali.
Nje ya baraka ya
utajiri, kazi hiyo
isingefanyika,
na kwa maana
hiyo upo kabisa
u we z e k a n o k u wa
inaweza kufikisha
mabadiliko, au iwe
ni mchango muhimu
wa mabadiliko
makubwa kwa idadi
ya wabunge, kupooza
utukufu wa CCM.
Kibri cha CCM
n i k u k a t a a wa t u
wengine kuwa huru
kukaa kwetu na
kununua mali, pamoja
na kushirikiana na
wageni kununua mali
kutoka kwa wenyeji,
wa m p e m we n ye j i
mtaji wa kufanya
biashara, kilimo
bora, siyo kuishi
katika umaskini,
na wao wafanye
biashara wastawi.
Ndiyo huu mfumo
jadi wa ardhi kuwa
mali ya serikali ili
watumwa wa serilali,
wakulima, wabaki
katika ardhi hiyo
wasiwe na uwezo
wa kumwuzia mgeni
kwa bei ya soko, na
akinunua ana haki tu
ya kutumia, huweza
kunyang'anywa
na kina Magufuli
wakati wowote
kama alivyotangaza
majuzi. Mungu
anachokitaka hapa
nchini ni unyeyekevu
wa kukubali kuwa
wengine wana haki
wakitaka kuishi
hapa nchini, ambayo
inategemea mfumo
wa mali binafsi ili
wanunue bila hatari
ya kunyang'anywa
na warithi wa Farao
na Abimeleki. Mungu
akiwa mmoja, hiyo
inawezekana.
U b a g u z i wa k i n a
unatokana na ibada
ya sanamu, ya kila
taifa na mzimu wake.
Suala ni kama
Mungu atafanikisha
mabadiliko ya
mfumo kwa kuingia
mali binafsi, na siyo
tu mabaliko ya Baraza
la Mawaziri waingie
U K AWA , h a l a f u
wa e n d e l e z e f i t n a
ile ile, wakatae mali
binafsi, waendeleze
umaskini. Kwa
upande fulani
baraka ya Mungu
kwa Lowassa
kufikia madarakani
inategemea dhamira
hiyo. Kama ana nia ya
mabadiliko ya kweli,
kupangua mfumo
huu wa jadi, na kuacha
kibri cha kufukuza
makampuni ya nje,
wawe na haki sawa
hapa nchini kama
raia wengine. Endapo
atabania dhamira
yake atake kufuata
mfumo uliopo licha
ya baraka za Mungu
kwake, kuwa mtu
huru kuupangua
mfumo kwani
haitegemei CCM,
kuna hatari ya utabiri
mbaya kwake ambao
ulitajwa mwezi
Januari na mtabiri
Hassan Yahya pamoja
na Sheikh Sharrif
Mwitongo kutimia.
Ni kuambiwa
'kahubiri Ninawi.'
wewe useme 'sitaki....'
TA A S I S I YA E L I M U YA W E C
Inawatangazia nafasi za masomo ya
Kidato cha kwanza na masomo ya
awali PRE-Form One Course itaanza
01/10/2015 hadi 1/12/2015. Tarehe ya
kuripoti ni 27/9/2015. Katika shule zake
zilizopo Kibaha Pwani.
Masomo yatakayofundishwa
(Pre form One):
Hisabati
Kiingereza
Kompyuta
Sayansi
Biashara
Shule zina mandhari nzuri ya
kusomeshea na Maabara za kisasa.
ADA (Pre-form one course ) Bweni
shs.150,000/= Kutwa shs 80,000/=
Madaftari na kalamu zitatolewa
bure shuleni.
Kwa mawasiliano: 0754-395186,
0656-313889, 0659-573004, 0786-959522,
0789-887799, 0784-489476, 0765-198360,
0719-904904, 0768-904904.
18
Na Mwadini Ali
ILA ninapomuangalia
Samia Suluhu Hassan,
ninapata shida
kufikiria ni kwa namna gani
atafanikiwa kushawishi
u m m a wa Wa z a n z i b a r i
kumpigia kura Daktari John
Pombe Magufuli itakapofika
tarehe 25 mwezi ujao wa
Oktoba. Siku hiyo ndiyo
siku ya upigaji kura katika
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania. Kutakuwa na
kura ya kumchagua Rais wa
Jamhuri, Mbunge wa kuingia
Bunge la Jamhuri na Diwani
wa kufanya maamuzi kwenye
Baraza la Madiwani katika
Halmashauri mbalimbali.
Lakini katika siku hiyo, pia
Watanzania wa upande wa
Zanzibar, ambao unapokuja
uchaguzi mkuu wa Jamhuri
huwa wanakuwa na kura
mbili Rais na Mbunge
watapata haki ya kupiga kura
nyingine tatu za uchaguzi
mkuu wa Zanzibar. Kura
hizo ni ya kumchagua Rais
wa Zanzibar, Mjumbe wa
Baraza la Wawakilishi, ambalo
ndilo Bunge kwa wao kwa
ajili ya kuyaamua masuala
yanayoihusu Zanzibar peke
yake, pamoja na kura ya
Diwani, ambaye huingia
katika mabaraza ya madiwani
yakiwa nje ya mfumo wa
Muungano.
Sasa wakati Samia, mwenye
asili ya Makunduchi, Wilaya
ya Kusini, Mkoa wa Kusini
Unguja, anazunguka mikoa ya
Tanganyika kumuombea kura
Dk. Magufuli, atawajibika
kurudi kwao Zanzibar
kufanya kazi hiyo hiyo.
Samia ambaye elimu yake ni
ya kiwango cha Shahada ya
Uzamili (Masters Degree)
aliyoipatia nchini Marekani,
katika masuala ya uongozi
wa fedha, baada ya kuanza
kusomea takwimu kiwango
cha cheti, ameteuliwa na
Chama Cha Mapinduzi (CCM)
kuwa mgombea mwenza.
K wa k u wa m g o m b e a
mwenza, jukumu lake ni
kusimama sambamba na Dk.
Magufuli anayegombea urais.
Magufuli akichaguliwa, moja
kwa moja atakuwa amteua
Samia kuwa ndiye makamu
wa k e wa R a i s . K u f i k i a
hatua hiyo, Samia atakuwa
na wajibu wa kujipa muda
kuzunguka kwenye majimbo
ya Zanzibar kumpigia chapuo
Dk. Magufuli ambaye sio
tu ni mgeni machoni pa
Wazanzibari, bali kwa hakika
hafahamiki kisiasa.
Kweli anasikilikana
akisema hili na lile akiwa
katika majukumu yake ya
k i k a z i k wa wa d h i f a wa
uwaziri, tangu alipoteuliwa
kwa mara ya kwanza naibu
waziri wa ujenzi baada ya
kuingia serikali ya awamu ya
tatu chini ya Benjamin Mkapa
na baadaye kupandishwa
kuwa waziri kamili, lakini
hakujisumbua kuwa karibu
na Wazanzibari.
Inawezekana kwa kujua
mazingira ya Zanzibar na
ugeni wa Dk. Magufuli, ndipo
C C M wa k a mt e u a S a m i a
kushika ugombea mwenza
wakitarajia kwa uanajike
wake, atamudu kuuvuta
umma umkubali daktari huyo
na kushuhudisha mapenzi
yao kwake kwenye sanduku
la kura. Ni utabiri uliokwenda
MAKALA
AN-NUUR
na wanawake kuyatambua
m a t a t i z o ya k i j a m i i n a
kushiriki kupanga mikakati
ya namna ya kuyashughulikia.
Kwa wakati wote, alikuwa
bega kwa bega na wanawake.
Hichi kilikuwa ni kipindi
cha miaka ya 1990 wakati
hajagusa ulingo wa siasa
kabisa. Ingawa alikuwa
serikalini, lakini kazi zake
akiwa Shirika la Umoja
wa Mataifa la Mpango wa
Chakula Duniani (WFP)
zilimuweka karibu zaidi
na jamii. Alipata bahati ya
kuwa Meneja Msimamizi
wa mradi katika shirika
hilo kati ya mwaka 1985
na 1987. Akarudi serikalini
na kuwa Ofisa Mipango
katika Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar. Baadaye akachupa
na kushiriki kwa kasi safari
hii shughuli za kijamii. Ni
h a p a a l i p e wa d h a m a n a
ya kuongoza Mtandao wa
Mashirika ya Hiyari (NGOs)
alikofanya kazi kwa miaka
kadhaa kama Mkurugenzi
Mtendaji (1988/1999).
Wanaomjua wanasema leo
kuwa Samia alipokuwa kule
chini, alikuwa mwanamke
shupavu kwa hoja na
mipango. Akijishirikisha na
alikuwa mwenye huruma
na maono ya mbali katika
kupigania haki za wanawake
na mafukara. Ni mtizamo
huo uliwachochea wanawake
wenzake kumshawishi
kuingia kwenye siasa wakati
miaka hiyo ya 1990 inafikia
ukingoni. Taarifa zinasema
alianza kujisogeza kwa
wanasiasa wa kiutawala na
Alhamdulillah, alionekana
wakati wa kuelekea uchaguzi
m k u u wa Z a n z i b a r wa
mwaka 2000.
Mwanamke mmoja
ambaye yungali kwenye asasi
19
Na Mwandishi Wetu
limu ni maarifa
anayopata mtu ambayo
kwayo, humuwezesha
kuvitazama na kuvijua vitu
kwa uhalisia wake. Elimu
ndiyo imekuwa nyenzo
pekee ambayo athari yake
inaonekana katika nyanja
zote za kimaisha; kiuchumi,
kijamii, kisiasa, kiteknolojia
na nyingine nyingi.
Maendeleo yanayotajwa na
kuonekanwa leo, msingi
wake mkuu ni elimu. Ndiyo
maana Allah (swt), kitu cha
mwanzo kabisa kumpa
Adam (as) ni elimu. [Quran: 02:31]. Vile vile, mtume
Muhammad (saw) wakati
anapewa wahyi, aliambiwa
soma. [Qur-an: 96:01].
Kwa mujibu wa ayah
hizo mbili, tunapata picha
k wa m b a e l i m u n i k i t u
muhimu kuliko vitu vingine
vyote. Elimu humtofautisha
kati ya mwenye nayo na
asiyekuwa nayo. Wawili
hawa, kamwe hawawezi
kufanana. Allah Mtukufu
ameuliza swali ndani ya
Qur-an, kwamba; Sema: Ati
watakuwa sawa wale wanao
jua na wale wasio jua? [Quran: 39:09].
Uhalisia unakataa
kwamba, anayejua na
asiyejua watakuwa sawa.
Ndiyo maana hata Malaika
walipoulizwa majina ya vitu
walisemaje?, Wakasema:
S u b h a n a k a , We we
umetakasika! Hatuna ujuzi
isipokuwa kwa uliyo tufunza
Wewe. Hakika Wewe ndiye
Mjuzi Mwenye hikima [
Qur-an 02:32]. Lakini Adam
(as), kwa kuwa alishapewa
elimu ya vile vitu, kwake
jawabu lilikuwa jepesi pale
alipotakiwa kutaja majina ya
hivyo vitu.
Wanadamu kwa utashi
wao wamezigawa elimu
katika makundi mawili
makuu, ambayo ni elimu ya
dini na elimu ya mazingira/
muongozo. Nadiriki
kusema hivyo kwa sababu,
Mtume Muhammad (saw)
alipoamrishwa kusoma,
hakuambiwa asome dini
au elimu ya mazingira, bali
aliambiwa soma kwa jina la
Mola wako. Haya makundi
mawili tuliyoyatengeneza
sisi, ni kitu kimoja. Ni
k a m a wa l e wa n a o s e m a
tusichanganye siasa na dini!
Kwa kutambua hilo, nami
nimeipa makala hii anuani,
Elimu Zetu Zinatusaidiaje,
kwa maana ya elimu
zote mbili. Kwa kiwango
kikubwa kabisa elimu hizi
mbili kama tulivyozigawa
sisi, zinaishi maisha
ya kutegemeana. Lakini
pamoja na kutegemeana
huko, moja ina umuhimu
zaidi kuliko nyingine, nayo
ni elimu ya muongozo. Elimu
ya kumjua Allah Mtukufu ni
ya muhimu zaidi kwa kuwa
ndiyo inayoweka nidhamu
ya namna mwenye elimu
inayoitwa ya mazingira,
aweze kuishi kwa maelekezo
MAKALA
AN-NUUR
Baadhi ya wanafunzi Waislamu wa shule za msingi Wilaya ya Temeke waliofanya mtihani wa kuhitimu elimu ya
msingi, wakiwa katika dua maalumu iliyoandaliwa na Baraza la Wazee wa Buza, iliyoongozwa na kusimamiwa
na Mzee Mikidadi Khalfan na kufanyika Masjid Lillah jijini Dar es Salaam mwisho wa wiki iliyopita.
yake Allah (swt).
Elimu hii ya muongozo
ni kama tumbo/fuko la
uzazi (womb), ambalo
humtengenezea mtoto
mazingira sadifu kwa
kuruhusu maingiliano ya
kimfumo ambayo hayana
athari kwa mtoto. Vile vile,
tumbo hili la uzazi hufanya
kazi ya kuzuia muingiliano
ambao una madhara kwa
kiumbe (mtoto). Kwa sura
hii, unaweza kuona ni jinsi
gani elimu ya muongozo
i l i v y o k u wa n a n g u v u ,
ukilinganisha na elimu ya
mazingira.
Kwa upande mwingine,
elimu ya mazingira nayo
ina mchango mkubwa sana
endapo itatumiwa vema,
ikiwa chini ya ulinzi wa
elimu ya dini. Masuala
yote yahusuyo teknolojia
na mengine mengi, ni zao
la elimu hii inayoitwa ya
mazingira. Lakini pia,
ifahamike kwamba,
ugunduzi wa hizi teknolojia
tunazojivunia leo, ni matokeo
ya tafiti mbali mbali za
k i s a ya n s i z i l i z o f a n y wa
kwa kutumia vitabu vya
elimu ya dini, hususan
Q u r - a n . Wa l i c h o f a n y a
watafiti ni kuoanisha yale
yaliyoandikwa kwenye Quran na kuyaingiza kwenye
utendaji kwa majina yao.
Tutaona kwa kina kwenye
makala zingine inshaallah,
m i f a n o h a i ya m a m b o
ambayo tunayaita elimu
ya mazingira, kumbe yapo
ndani ya Qur-an.
Hata hivyo, pamoja na
ukweli kwamba hawafanani
wanaojua na wasiojua, wenye
elimu na wasio na elimu
kuna nukta ya msingi hapa
ningependa tuiangalie kwa
makini sana. Mwenye kujua
anayekusudiwa hapa, ni yule
ambaye amelijua jambo na
akafuatisha kwa vitendo
kwa kukatazika na kuamrika
(kutekeleza maamrisho).
Elimu haishii kujua tu, bali
utendaji ndio utakaotoa
tafsiri sahihi kwamba wewe
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
(25) MWENYE UWEZO AHIJI KILA MIAKA MITANO
DHULQAAD
1436,
IJUMAA
SEPTEMBA
11-17,
2015
Kwa
muislamu
Hijja
ni wajib
mara moja
katika
umri wake isipokuwa aliyepewa afya njema
na mali. Huyu ananyimwa Rehma za Allah
akipitisha miaka mitano bila kurudia Hijja.
Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni
Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300.
Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania
Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.
Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.
SERIKALI inaonekana
kuelemewa na hoja za
upande wa utetezi katika
kesi ya Sheikh Ponda Issa
Ponda, baada ya kukwama
SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiteta jambo na Wakili wake Juma Nassoro/
Viongozi wa dunia
wanatarajiwa kukutana
katika kikao cha kila mwaka
cha Baraza Kuu la Umoja
wa Mataifa kuanzia mwezi
ujao na iwapo pendekezo
la Palestina likapigiwa
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.