Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Msuli wa Nyerere ulitumika kuiunda Mzee Sadiki waulize wanaoijua Bakwata KE S I y a r u f a a inayomkabili Katibu wa Shura ya Maimam, Sheikh Ponda Issa NAOMBA tutazame kwa undani, laiti Maalim Hamad, angeliyakataa matokeo na kupuuza ushauri wa Mzee Moyo na Edi Riyami, leo hii tungekuwa wapi? Ku i me z a n d o a n a ya wahafidhina hii leo, ni kuwapa naf asi ya kuturejesha nyuma zaidi wakiwa na lengo lile lile Mzee Moyo, Karume Riami waliona mbali la wagawe na uwatawale zaidi. Sisi si wa kulalamika na kuwatusi waliojiri kugeuza hasad kuwa kheri, bali wa kuwapi gi a makofi kwa j itihada zao huku tukijiimarisha zaidi na kwa nguvu zote kuhakikisha kwamba hatutegeki katika madema ya shari zao. (Soma uk.4) Sheikh Ponda kupangiwa siku ya hukumu Jumatatu Na Seif Msengakamba Ponda imeahirishwa jana na itatajwa tena siku ya Jumatatu ijayo kwa ajili ya kupangwa tarehe ya hukumu. M s a j i l i w a Ma h a k a ma Ku u aliwaeleza mawakili wa u p a n d e wa Inaendelea Uk. 6 Vita isiyo na mwisho Huu ni Mfano wa Yemen haimaliziki Mashabiki watawapeleka Yahya Peponi Wanaibuka Abu Dawood wengine SHEIKH Ponda Issa Ponda (mwenye kanzu) akipanda Basi la Magereza jana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam. MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiki (kulia). Katikati ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM, Suleiman Kova. Soma Uk. 13 Watuhumiwa ugaidi bado walia maumivu makali Uk. 3 Uk. 8 2 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam Tahariri/Habari MAAFISA wa afya wa Marekani wamet oa mwongozo mpya juu ya kuwashughulikia matabibu na wauguzi wanaorudi nchini humo baada ya kuwahudumia wagonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi. Tangazo la mwongo huo nchini Marekani l i n a k uj a k uf ua t i a mu u g u z i mmo j a kul al ami ka kuhusu kutengwa katika jimbo la New Jersy, baada ya kurudi nyumbani. Mwo n g o z o h u o unapendekeza kuwa, wanaotiliwa mashaka ya kuwa katika hatari ya kuwa a mbuki z a wengine, watazuiliwa n y u mb a n i k wa o ingawa majimbo tofauti yatakuwa na uhuru wa kutoa mwongozo thabiti zaidi. Ga va na wa Ne w Jerzy, Chris Christie, alitetea mahitaji hayo ya karantini aliyowekewa Kaci Hickox, wakati alipowasili kutoka Sierra Leone na kuongezea kuwa wat ae nde l e a kuchukua hatua kama hizo. Mwishoni mwa juma lililopita, muuguzi Kaci Hickox, atishia kwenda ma h a k a ma n i k wa kutengwa. Muuguzi huyo raia wa Marekani, aliwekwa kar ant i ni baada ya kufanya kazi nchi ni Sierra Leone. Muuguzi huyo alisema kuwa baada ya kurejea nyumbani, al i kuwa aki tendewa kama mhalifu na kudai k u wa a t a k we n d a Unyanyapaa wauguzi wa Ebola Marekani mahakamni kushtaki kwa alichotendewa. Maafisa wenzake wa af ya wanadai kuwa huenda muuguzi huyo akaruhusiwa kurej ea uraiani siku za karibuni. Kuf uat i a kui buka na kuwekwa utaratibu wa kuwanyanyapaa wauguzi wa ebol a wanaorejea Marekani kutoka nchi za Afrika Magharibi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Kin Moon, amepinga hatua hizo za kuwaweka karantini wauguzi. B a n K i Mo o n , a m e z i t a k a n c h i duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zi l i zoat hi r i wa na ugonjwa wa Ebola na kuwa l a z i mi s ha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani. Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adi s Ababa, Moon aliwaelezea wafanyakazi hao kuwa ni wa kipekee mn o n a ma r a f i k i wazuri hivyo si vyema kuwatenga. Moon awali alisema kuwa wale wanaotaka k u t o a m s a a d a , wasiwekewe vikwazo ambavyo haviambatani na sayansi. A i d h a a l i s e ma kwamba na wauguzi waliopata maambukizi wanafaa kusaidiwa na sio kutengwa. Kauli hiyo imekuja baada ya mratibu wa ugonjwa wa Ebola Afrika Maghari bi Ant hony Banbur y, kuzi t aka serikali kutofanya lolote ili kuepusha maelfu ya wafanyakazi wa afya ambao wanataraj iwa kujiunga katika kutoa huduma, wasikate tamaa kabla hawajaanza kazi yenyewe. Madakt ar i 5000 wanahitajika kupambana na Ebola Mkuu wa Benki ya Dunia (WB) Bw. Jim Yong, amesema kuwa nc hi za maghar i bi mwa Afrika zinahitaji madaktari na wauguzi 5 0 0 0 kwa a j i l i ya kukabiliana na homa ya virusi hatari vya Ebola. B w. J i n Yo n g , alisema hayo wakati aki zungumza mj i ni Addi s Ababa nchi ni Ethiopia na kuashiria hofu iliyosababishwa na ugonjwa huo, huku akionyesha wasiwasi wake j uu ya nj i a za kupatikana wahudumu wa afya katika nchi za Magharibi mwa Afrika. Kwa upande wake Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Nkosazana Dlamini- Zuma, amesema kuwa nchi wanachama wa umoja huo zimeahidi k u t u ma z a i di wa wat aal amu 2000 wa afya na matibabu katika nchi za Magharibi mwa Afrika. Hat a hi vyo Zuma h a k u a s h i r i a l i n i w a h u d u m u h a o wat at umwa kat i ka nchi zilizoathiriwa na ugonjwa huo. Mlipuko wa ugonjwa wa e b o l a Af r i k a Magharibi umewaathiri zaidi ya watu 10,000 hadi sasa na kuua takriban watu 5,000. (BBC) NI suala lililozoeleka na la kawaida kwa wazazi na walezi nchini kwamba, kila anapozaliwa mtoto, basi ni lazima wataalam wetu wa afya katika vituo vyetu wampatie mtoto aliyezaliwa chanjo kwa ajili ya kumpatia kinga ya maradhi mbalimbali. Wat aal am wa af ya huwa wanafuatilia afya ya mtoto na kumpatia huduma muhi mu za kinga kwa awamu na kwa nyakati tofauti tangu wa mtoto anapozaliwa hadi anapofkia umri wa mwaka mmoja na nusu. Tuna e l e z wa kuwa kinga hizo hutolewa kwa ajili ya kuepuka maradhi yanayoweza kuwasumbua zai di watoto, ambayo baadhi yake ni surua, degedege, pepopunda, pol i o na ma gonj wa mengine ya kuzuka. Hata hivyo, pamoja na kwamba ni wajibu watoto kupatiwa huduma hizo za kinga, lakini pia mara kwa mara serikali imekuwa ikija na mazoezi ya chanjo kwa watoto nchi nzima, hususan mashuleni na katika vituo mbalimbali vya afya. Mfano mzuri ni zoezi lililomalizika mwezi huu, ambapo wataalam wa afya wamezunguka mashuleni kuwapa chanj o watoto kuanzia miaka mitano kwenda juu. Zoezi hilo tumeelezwa kuwa ni kwa ajili ya kinga ya maradhi ya surua na Ri bel a. Laki ni chanj o hi yo pi a i mej umui sha wat u wazi ma, ambao tumeelezwa kuwa chanjo kwao ni kwa ajili ya kinga na maradhi ya mabusha na matende. Pamoja na hatua hiyo ya serikali ya kugawa kinga ya maradhi yaliyotajwa kwa watu wake, lakini kwa Watanzania tunaona kuwa maradhi yanayowatesa zaidi na kupoteza maisha yao zaidi, si kwa watoto wala watu wazima, ni ugonjwa wa malaria. Ugonjwa huu umekuwa Tunahitaji chanjo kinga ya maleria mahiri na tatizo sugu kwa Watanzania. Wataala wa takwimu za afya wanaeleza kuwa hakuna ugonj wa unaoteketeza maisha ya Wat anzani a unaozi di Malaria. Hata si si tunaami ni kabisa kwamba, hakuna f ami l i a kat i ka kaya i n a y o we z a k u p i ma ugonjwa huo, akakosekana mwenye malaria moj a, mbili, au tatu. Tumeshuhudia miradi mingi sana ya kupambana na malaria nchini, miradi ya ut af i t i , mi radi ya kut okomeza mal ari a, miradi ya vyandarua nk. Achilia mbali miradi hii, kumekuwa na aina nyingi sana za dawa za malaria, hata wakati fulani t ukaambi wa nyi ngi ne hazi wezi t ena kut i bu malaria na zikazalisha dawa nyingine kuchukua nafasi za zile za awali. Kwa mfano tuliambiwa chl oroqui ne hazi wezi tena kutibu ugonjwa huo na zikapigwa marufuku. Zikaletwa dawa za jamii ya SP. Ambazo ni pamoja na metacelphine, fansida, orodar nk. Hizo zikaleta madhara kwa baadhi ya watu. Zikaletwa zile za jamii ya mseto, ambazo tunaendelea nazo mpaka sasa. Zaidi ya dawa hizo, Watanzania wamekuwa wakihimizwa kutumia z a i di vya nda r ua i l i kujikinga na mbu waenezao ugonjwa huo wa Malaria. Ni aghalabu kukuta familia haina vyandarua katika vitanda vyao, hususan katika miji yenye joto na mbu wengi kama Zanzibar, Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara na mikoa mingine nchini. V i k a l e t wa h a d i vyandar ua vya bur e ( vyandarua vya Rai s Bush) kutoka Marekani, ili kuwawezesha Watanzania kumudu kujikinga na mbu waletao malaria. Tunachoweza kusema ni kwamba, kimsingi serikali ingestahili kuhangaika zaidi na kinga za ugonjwa wa malaria, ambao ndio tishio zaidi kwa watu wetu kuliko huo wa mabusha na matende. Hatuna maana kwamba tunadharau ugonjwa wa mabusha na matende, la hasha, tunachozungumzia hapa ni ki wango cha athari cha ugonjwa wa malaria na kiwango cha hatua zinazochukuliwa kukabiliana na ugonjwa huo, i ki l i ngani s hwa na magonjwa mengine ambayo yanaonekana hatari zaidi na kufanyiwa mazoezi ya kinga zake. Katika hali hii, ndio maana wengi wanaamini kuwa, malaria ni ugonjwa ambao umesababi sha wengi kujali zaidi maslahi makubwa ya ujira na ajira kuliko athari za ugonjwa wenyewe. We ngi wa na a mi ni kuwa i wapo i t al et wa kinga ya malaria, mbu wa k a t e k e t e z wa a u wakakosa vimelea vya malaria, utakuwa ndio mwi s ho wa s oko l a mseto, quinine, orodar na vyandarua. Pia miradi ya maradhi hayo itakoma na huo ndio utakuwa mwisho wa ujira na ajira katika ugonjwa wa malaria. Bado hatuamini kwamba serikali imeshindwa kuja na kinga ya malaria au imeshindwa kutokomeza mbu wenye vimelea vya malaria, ugonjwa unaotesa mamilioni ya Watanzania kwa miaka mingi sasa. Watanzania wanahitaji k i n g a y a ma l a r i a . Wamechoka vi f o kwa sababu ya mbu, imetosha kuwawekea mazingira ya kudumu ya kuwalazimu kupel eka vi pato vyao haba kununua vyandarua na dawa mseto kwenye maduka ya dawa (si o hospitalini). Tungeanza na kinga ya malaria, baadae ndio muwal et ee ki nga za mabusha. 3 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Habari Watuhumiwa ugaidi bado walia maumivu makali WAISLAMU waliopo katika gereza la Segerea Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za ugaidi, wamesema wanahitaji uchunguzi wa kina wa afya zao. Wa i s l a m u h a o wamet oa wi t o huo kutokana na maumivu wa n a y o h i s i k u wa nayo kati ka sehemu mbalimbali za viungo vya miili yao kufuatia mateso na vipigo kutoka kwa Polisi waliowakamata na wakati wakiwahoji kabla ya kupelekwa gerezani. Walisema, pamoja na uongozi wa Magereza kuj itahidi kuwapatia madaktari na kuwapa matibabu ya awali, lakini tiba hiyo imekuwa kama ya kupoza tu na kwamba, kikubwa kinachohitaji kwao ni matibabu ya kina baada ya kupatiwa vipimo. Wakij ieleza mmoj a mmo j a mb e l e y a uongozi wa gereza hilo walipotembelewa na Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu, wamesema wanashukuru kuwa n d a n i y a g e r e z a hi l o hakuna mat eso wanayoyapata kama walipokuwa mikononi mwa jeshi la Polisi. Mmoja wa mahabusu hao, alisema hata kilio chao cha kupatiwa hati ya mati babu kutoka polisi (PF3) kwa ajili ya matibabu ya kina ni suala la Polisi, lakini wamekuwa wagumu k u t o a f o mu h i z o kwa kuwa wanaj ua walichowafanyia. Wamedai kuwa mpaka sasa ni miezi mitatu lakini hakuna matibabu kamili waliyopata, huku maumi vu yaki zi di , jambo ambalo linawatia hofu maajaliwa ya afya zao hapo baadaye. Kwa upande wa humu gerezani ukiondoa hilo tunalosubiria la mat i babu ya ki na, tunashukuru hakuna mateso kama ya Polisi, hata hilo suala la PF3 si jukumu la Magereza, kuna utaratibu wake. Alisema muumini huyo. Akielezea hali yake, mt u h u mi wa S a i d Amour, alisema alipata mateso kabla ya kuingia Na Bakari Mwakangwale gerezani ambapo baada ya kusulubiwa sana, hivi sasa anahisi maumivu makali katika Korodani yake ambayo imevimba. Mi mi ni me pa t a ma t e s o ma k u b wa ya polisi, mpaka sasa korodani yangu moja imevimba, hii yote ni kwa kuwa walikuwa wa k i n i mi n y a n a kunibana. Laki ni ni na i mani na uongozi wa gereza, utatumi a kanuni na taratibu zake, Inshaallah naweza kupata tiba ya uchunguzi wa kina wa afya na viungo vyangu kwa ujumla, ili niweze kupata tiba. Alisema Amour. Naye Mt uhumi wa Sal um Al l y Ahmad, amesema ametendewa vitendo vibaya sana na askari Polisi, hata kuvirudia kuhadithia a n a j i s i k i a v i b a ya kibinadamu. Alisema kwa mujibu wa d a k t a r i wa k e anayempatia tiba humo gerezani, amemweleza kuwa tiba yake inahitaji upasuaji (Operation) na matibabu zaidi ya kina ya afya yake. K w a k w e l i t umet es wa, mpaka tunaingia humu gerezani hali zetu zilikuwa ni mbaya sana. Tatizo lilipo kwa sasa ni kupatiwa fomu ya matibabu (PF3), kutoka Polisi. Alisema na kubainisha Ahmad. Mtuhumiwa Hassan Bakari Selemani, alisema alipata kipigo kutoka kwa Polisi hadi kutapika damu kabla ya kuingia Gerezani. Alisema, kutokana na mat at i zo hayo, a me s h a t i b i wa n a madakt ari wapat ao wanne na aliye naye sasa ni wa tano lakini hali yake bado sio nzuri. Kibaya zaidi wakati wa mawingu, kifua na magoti vinauma sana lakini pia mara kwa mara huwa nasi ki a harufu ya damu kutoka ndani ya mwili, nahitaji uchunguzi wa kina wa mwi l i kwa uj uml a. Alisema. Kassim Salum Nassoro, yeye alilalamikia mkono wa ke wa kus ho t o akieleza kwamba una matatizo ya ganzi akidai yametokana na kipigo cha Pol i si wal i ofi ka kumkamata. Pi a al i sema nyayo zake nazo zina maumivu hasa wakati wa usiku, hat a hi vyo al i sema pamoj a na kutopata tiba ya kina, baada ya kuingia gerezani nafuu ilipatikana ukilinganisha na wakati walipokuwa mikononi mwa Polisi, ambao wamewafanyia mambo mabaya. M t u h u m i w a mwingine Saidi Shehe Sharif, alisema kilio chake ni kupata uchunguzi wa kina wa afya yake kwani kabla ya kufika huko gerezani, Polisi walimpiga na virungu miguuni na anaj ihisi maumivu makali sana hivi sasa. M a t i b a b u tunayoyapata yanasaidia kiasi, nimepigwa sana virungu vya miguuni, lakini tatizo ninaloliona ni kupata matibabu, tunayoyapata humu gerezani ni bila kupata vi pi mo vya ki na. Alibainisha Sharif. Kwa upande wake Salum Amour, alisema kwamba wengi miongoni mwao ni wagonj wa kutokana na kupigwa na Polisi kabla hawajaingia gerezani. M i m i d a w a nilizoandikiwa na daktari nimezitumia lakini bado hali yangu sio nzuri. Si unaona hapa mguuni nikibonyeza panabonyea na maumivu ni makali mno, kinachohitajika ni uchunguzi wa kina wa afya na si kutuliza maumi vu. Al i sema Amour. Uc h u n g u z i wa ki t at i bu wa ki na ni ufumbuzi wa afya zetu, Inshaallah. Alisema, mtuhumi wa Rashi di Ally Nyange. Ak i j i e l e z a z a i di alisema, tatizo kubwa al i l onal o kwa s as a n i k i z u n g u z u n g u kut okana na Pol i si kumpi ga ki c hwani walipomkamata. Nya n g e a l i s e ma kutokana na tatizo hilo, hivi sasa hujikuta wakati mwingine anaanguka, ma r a d h i a mb a y o anasema kuwa kabla ya kipigo hakuwa nayo. Wa i s l a m u n a wapenda haki matatizo haya sijayapata humu gerezani, bali ni kutoka kwa Polisi wetu. Pia nimekuwa na tatizo la nyayo kuwaka moto, mifupa na magoti hali kadharika na shingo vina maumivu makali. Alisema. Al l y Khami s Al l y, pamoj a na matati zo ya kiafya aliyonayo, al i i omba Kamat i ya Maafa kufanya juhudi ya kumtafuta baba yake mzazi na kumpa taarifa kuwa yupo gereza la Segerea, akikabiliwa na maswahibu hayo. Mkuu wa gereza hilo Bw. Kiyangi Abdallah, alisema pamoja na kutoa matibabu ya awali kwa mahabusu wao wakiwa humo gerezani, lakini kumekuwa na dhana kwamba t i ba pekee i napat i kana kat i ka Hospitali ya Muhimbli. Mahabusu wengi wanajua tiba inapatikana Muhi mb i l i t u, na mtazamo huo upo pia kwa watu wa nje. Lakini kwa utaratibu ulivyo, hat a wewe huwezi ukaugua hapo ulipo urai ani , ki sha moj a kwa moj a ukaenda Muhimbili. K wa k a wa i d a , kuna pakuanzia kisha hapo watakuandikia kwenda Muhimbili au kwingineko kulingana na tatizo la maradhi uliyonayo. Alisema Bw. Kiyangi. Alisema kuwa hapo gerezani kuna madaktari wao katika kuhakikisha mahabusu wao wote wanapata matibabu na endapo daktari akisaini k wa mb a mg o nj wa anahi t aj i ka kwenda Muhi mbi l i , har aka uongozi unampeleka kwa kuzingatia utaratibu wa Kimagereza. Kwa kwe l i s i s i ni binadamu, hatuna u n y a m a k a m a unavyoripotiwa katika baadhi ya vyombo vya habari, bali ifahamike kuwa kila mahali pana utaratibu wake na ni l a z i ma u f u a t we . Alisema. WATUHUMIWA wa kesi ya ugaidi wakiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hivi karibuni. 4 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala Aliyozungumza Mzee Moyo WIKI hii gumzo kubwa l i ko kwa hadi t hi ya Mzee Moyo na namna ya matokeo ya uchaguzi yalivyotolewa akiwa yeye shuhuda wa aliyoyaona na kuyaf anyi a kazi . Wengi wetu tuna pupa ya kuhukumu na kutotazama mazi ngi r a hal i si na mapambano ya kifikra yaliopo na yaliodumu kwa t akri ban mi aka 20 ya uhai wa siasa za vyama vingi. Ninaamini k wa d h a t i y a n g u kwamba Mzee Moyo si wa kutupiwa lawama kwa a l i c hoki f a nya , bal i wa kupongezwa kwa kuepusha mauaji makubwa na vurugu kubwa visiwani wakati tayari tukishafungua k u r a s a mp y a z a maelewano. Wengi wetu ni kizazi kisichojuwa hasa athari ya mapinduzi na nini hasa kilitokea katika kipindi hicho. Uzee wa Babu yetu Mzee Moyo umempa hekima na busara kubwa kwa kuwa miongoni mwa wachache waliosukuma gurudumu la kuwepo kwa mazingira ya mafahamiano baina yetu hata tukaweza kuj i vuni a seri kal i ya u mo j a we t u . Kwa wapenda amani ushindi wa mgombea mmoj a ambao unas ukumwa ma k us udi k uwa ni chanzo cha vurugu mpya, haikuwa ni mwanzo mzuri baada ya makubaliano yaliohakikisha kila chama kitashiriki katika uundwaji wa serikali ya umoja wetu. N a w a t a z a m a wanaombeza Dr Karume kwa kuzuia fujo na mauaji ambayo kiukweli amri yake huwa mbali na uwezo wa nafasi ya Rais wa Zanzibar. Hata haya ya mwaka 2000 mamlaka yaliohusika na mauaji ya raia hayakuwa kutoka Zanzibar, mengine yaliotokea hata aliekuwa Makamo wa Rais wa wakati ule hakuwa na taarifa nayo wala mamlaka nayo zaidi ya shuhuda alieumizwa na makubwa yaliotokea. Kwangu kwa hili pekee Dr Ka r ume a na z i di heshi ma anayost ahi l i kwa kuweza kwanza kutuvusha katika siasa za uhasama baina yetu kwa kukubali mashirikiano na kuzika tafauti zetu zilizoturejesha na kuwa chanzo cha kudumaa kwa maendeleo yetu. Pili kwa kuwa na vision ya kuona mbali zaidi na kuegemea katika nusra Na Farrell Foum #TeamZanzibar badala ya hamasa ambayo ni changa na iliohitaj i zaidi kuimarishwa kwa misingi ya kushirikiana bai na ya vyama na kulifanya suala la mshindi kutokuwa zito kwa vile sote kwa pamoja tuwe washindi wa kukataa fujo iliokuwa ikipandikizwa na kuvunja legacy yake ya kuliegemeza jahazi katika bandari kwa salama. Naomba t ut azame kwa undani laiti Maalim Hamad, angeliyakataa mat okeo na kupuuza ushauri wa Mzee Moyo na Edi Ri yami , l e o hi i t ungekuwa wapi ? Tusi geuke samaki na tukawa rahisi wa kusahau kwanza l es s on ya Mapinduzi na maisha ya watu yalivyotoweka kwa nguvu na chuki za kupandikizana. Fikirini laiti kama serikali wakati ul e baada ya uhur u ingewezekana kuundwa kwa kushirikiana na ASP na kuepusha Mapinduzi tungel i kuwa wapi hi i leo? Fikirini hizi chuki zilizochangia umwagaji wa damu wa wananchi wasio na hatia kupitia mikono i l i o nj e ya uwezo wa mamlaka zetu zingeliweza kuzuiliwa kwa Hizbu na ASP kushirikiana katika uundwaj i wa seri kal i tungelikuwa wapi hii leo? Historia ya nchi yetu na mazingira tulionayo hadi hii leo ni vyema kutumia akili zaidi badala ya ubishi ambao hatima yake ni vifo kwa wasio na hatia na mbaya zaidi hata yale makubaliano ya mashirikiano baina y e t u y a s i n g e k u wa yakisimama hasa kwa vile wenye itikadi kali ndio wangeliweza kubadili na kubeba mwelekeo wa siasa za kukomoana zaidi na kuturudisha nyuma. Nguvu zilizotumika kupi nga wahafi dhi na wal i okuwa hawasi ki i wala hawaoni kuyakubali maelewano zilihitajika ili kuhakikisha j ahazi linasonga mbele na serikali ya umoj a i naundwa. Tunaweza kudharau nafasi ya serikali hii ya umoja na hali ya sasa ilivyo, lakini t ukumbuke kwamba huko nyuma tulipotoka hakukuwa na alternative nyengine yoyote na kama t ungel i kuwa vi pof u wa kutoona mbele leo hii tungelikuwa pabaya zai di . Ni nachoki ona mi mi n i k wa mb a Maalim Hamad alipewa heshima tu ya kuambiwa uk we l i n a k upe wa naf asi ya kusukuma zaidi mbele struggle ya wanamageuzi katika mazingira ya amani zaidi huku akijijenga zaidi akiwa ndani ya system ya uongozi kuliko nje katika barabara huku akibeba mgongoni l awama za kukataa sulhu ya kudumu yenye faida kubwa zaidi. N i w a k u m b u s h e h a s a wa n a ma g e uz i waliomeza hii ndoana ya wahafdhina kwamba ushindi wa 2010 haukuwa us hi ndi wa yo yo t e zai di ya Wazanzi bari wote. Kuimeza ndoana ya wahafidhina hii leo ni kuwapa naf asi ya kuturejesha nyuma zaidi wakiwa na lengo lile lile la wagawe na uwatawale zaidi. Sisi si wa kulalamika na kuwatusi wal i oj i ri kugeuza hasad kuwa kheri bali wa kuwapigia makof kwa jitihada zao huku tukijiimarisha zaidi na kwa nguvu zote kuhakikisha kwanza hatutegeki katika madema ya shari zao na pi l i tunasoma kutoka miaka 20 ya struggle zetu kuhakikisha ushindi wa wa n a ma g e u z i unakuwa mkubwa zaidi na kuwafanya wasio tutakia kher i kukosa nguvu za hujuma baina yetu. Hili litafanyika pale tu tutapokuwa tayari kusonga mbele na kujiimarisha kwa mikakati ya umoja, amani na utulivu kwa thamani yoyote tutayoiona. Kwa nini vita vikubwa viwekweze kwa serikali ya umoja? Sababu kubwa ni moja kuu, hii ndio silaha nzito ya umoja wetu na ndi o nguzo i mara ya mabadiliko tuyatakayo. Tazama wanaowekeza fitna miongoni mwetu kwa kushadidia ubaya kwa walioiokoa Zanzibar katika machafuko lakini wakasahau lililo na uzito zaidi kwamba hivi lipi kosa kubwa baina ya alieshinda akaepusha machafuko na yule alieshindwa na kuvaa joho kwa nguvu zote bila ya kujali athari na uhalali wa kinachotokea? T u n g e w a u l i z a wa z e e wa Hi z b u waliofikiri mapinduzi yasingewezekana laiti wangelikuwa na nafasi kama i l i vyokuwa ya mwaka 2010 wangelirudi nyuma kuepusha janga la mauaji makubwa na kukosa ki l a ki tu kwa takriban miaka hamsini? Tuwapongeze wot e waliowezesha kuepusha ma dh a r a ma k ub wa kwa wananchi visiwani n a k uwa we k a k a t i wahafidhina waliofikiri matangazo ya ushindi ni ndoana ya kuwamaliza w a n a m a g e u z i . T u w a p o n g e z e waliothubutu kukataa ushindi kwa khofu ya madhara kwa wananchi wake na kurudisha nyuma gurumu la maendeleo tunal ol i ona l i ki songa mbel e ki l a pembe ya visiwa hivi. Tuwapigie makof na kuwapa moyo wal e wot e wal i oona mbali kwa kuuweka utu na ubinadaamu kwanza kuliko hamasa ya ushindi wa kutangazwa ambao u s i n g e we z a k u t o a mafanikio ya uongozi tuutakao. Tuwadharau wale wote wanaofkiri ftna zao zitaweza kuturudisha nyuma katika azma ya mabadiliko yatayoleta haki, usawa na heshima katika safu za uongozi wetu na katika mabadiliko ya mfumo wa muungano tuutakao. Masimulizi ya Mzee Moyo ni wakati muafaka k uya we k a wa z i i l i wananchi wawajuwe walio na uchu wa madaraka na wal i o t ayari kwa lolote kuzima nuru ya mabadiliko na demokrasia inayohitajika nchini. Ni uzinduo kwa wale wenye hi si a kwamba ahadi mulizoziweka muzitimize na kuwat endea haki wananchi na viongozi walioweka maslahi ya wananchi kwanza badala ya matumbo na kibri cha matumizi ya nguvu. Ni uzinduo kwa wananchi juu ya jitihada kubwa zilizozaa matunda tunayoyaona leo na utulivu mkubwa uliowajenga mara dufu wanamageuzi kwa kutoa ki dogo i l i kus hi nda kikubwa zaidi katika jina la amani na utulivu. Na uzinduo kwa wanaofkiri wataendelea kuwaftinisha wananchi wakati ongezeko la umma ni kubwa mara dufu ya mwaka 2010, na umoja wetu, upendo wa nchi yetu pamoja azma ya mabadiliko ya kweli ndio yatayotuwezesha kushi nda ghi l ba zote mwaka 2010. Kumbukeni tul i po sasa na umma ul i oj i t okeza kuunga mk o n o ma b a di l i k o tuyatakayo tusingeweza bila ya kukubali matokeo yal i ot uams ha wengi na kuona ukweli ulipo. Umoja wetu ndio nguzo pekee ya kutuvusha katika mabadiliko ya utulivu. MZEE Nassor Moyo (wa tatu kushoto) akiwa na Rais mstaafu SMZ Aman Karume(katikati) na wajumbe wengine wa Tume ya Maridhiano Zanzibar. 5 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Habari Madrasa Hijjatul Wadaa. Iliyopo Nangurukuru, Kilwa. Inaomba msaada wa ujenzi wa Jengo la Madrasa. Kwa sasa madrasa hiyo yenye watoto wa Kiislamu 75, inaendeshwa nje ya nyumba ya Muislamu na kushindwa kuendelea na masomo katika kipindi cha mvua au cha jua kali. Msaada unaohitajika ni pesa au vifaa vya ujenzi. Toa kwa ajili ya Allah (sw). Ka maelezo zaidi piga namba:- 0682 40 65 75. Waislamu wa Kata ya Mzenga, Wilayani Kisarawe, wanatoa wito kwa Taasisi za Kiislamu na Waislamu kujitokeza kwao ili wawauzie eneo/Ardhi yenye heka 200, kwa ajili ya maendeleo ya Uislamu na Waislamu. Ardhi inafaa kwa Kilimo na ujenzi wa Shule. Ardhi ipo Km 35, Kutoka Mlandizi, Barabara ya Morogoro (Highway). Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namaba:- 0787/0767 40 81 10 au 0714 111 669. Msaada wa ujenzi wa Madrasa Kiwanja kinauzwa Kiongozi wa upinzani nchini Malaysia, Anwar Ibrahim, amefka mahakamani kukata rufaa dhi di ya hukumu inayomkabili ya kufanya mapenzi ya jinsia moja. Naibu Waziri Mkuu huyo wa zamani alishitakiwa kwa kufanya mapenzi na mshirika wake mmoja wa kisiasa na alihukumiwa kwenda jela kwa kipindi cha miaka mitano. Bw. Anwar anadai kuwa mashitaka hayo yalichochewa na maadui wake wa kisiasa. Mamia ya wafuasi wake walisongamana mahakamani kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake. Wengine wanaendelea kuuza ti sheti zi l i zoandi kwa kuwa wanataka haki ya Bwana Anwar. Ushoga ni haramu katika taifa la Malaysia lenye idadi kubwa ya Waislamu, lakini ikiwa ni vigumu sana kupata watu wameshitakiwa kwa uhalifu hasa kama huo wa sodoma. Mawaki l i wa Bw. Anwar wanat ar aj i wa kuwas i l i s ha mahakamani uchunguzi wa DNA uliotumiwa na mahakama, ambao wanadai ulivurugwa zikiwa ni juhudi za kumharibia sifa kiongozi huyo wa zamani wa serikali, zinazofanywa na maadui zake kisiasa. Ma a f i s a wa S e r i k a l i wamekanusha kuhusika katika kesi hiyo na wanasema kuwa kesi ya Bw. Anwar imeshughulikiwa na Mahakama huru. Mwanasiasa huyo mkongwe ameshtakiwa kuwa alifanya tendo la ngono na mshirika wake wa kisiasa mwanamume. Hili ni shtaka la pili la ushoga linalomkabili Bwana Anwar, tangu atimuliwe serikalini mwaka 1998. (BBC). Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga MAMIA ya wakazi wa Kaunti ya Lamu nchini Kenya Jumanne wiki hii wameanzisha migomo na maandamano kulalamikia sheria ya kutotoka nje wakati wa usiku, iliyowekwa na serikali katika kaunti hiyo. Wakazi hao waliandamana barabarani kupinga uamuzi wa Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo, David Kimaiyo, kuongeza muda wa kutotoka nje katika kaunti hiyo, kufuatia muda wa amri iliyowekwa awali kumalizika, Capital FM ya Kenya iliripoti. Inspekta Kimaiyo alitangaza ongezeko la muda wa kubakia ndani ya nyumba kwa wakazi wa Lamu hususani usiku, muda ambao ulianza Julai mwaka huu, akaweka tarehe mpya ya mwisho wa kuendelea kubakia majumbani kuwa ni hadi Novemba 23. Wiki iliyopita serikali ya Kenya iliongeza muda wa mwezi moja wa amri hiyo ya kutotoka nje, kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa kumi na mbili asubuhi. S h e r i a h i y o i me k u wa i ki tekel ezwa kwa muda wa miezi minne sasa na iliwekwa ili kukabiliana na wimbi la hujuma za kigaidi zilizosababisha watu zaidi ya 100 kuuawa katika eneo hilo. Serikali ya Kenya inasema sheria hiyo inalenga kudumisha hali ya usalama wa eneo hilo. Hata hivyo wakazi wa Lamu wanasema sheria hiyo ya kutotoka nje imeharibu biashara na hasa uvuvi na utalii. Gavana wa Lamu, I s s a Timamy, alisema marufuku hiyo imewapotezea kazi zaidi ya watu 2,000 na hivyo kuongeza umaskini katika eneo hilo la Lamu. Timamy ameitaka serikali kubatilisha amri hiyo ya kutotoka Lamu waandamana kupinga amri ya kutotoka nje usiku Wamezuiwa majumbani miezi minne sasa INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo. nje usiku. Inspekta huyo alikwenda Lamu kwa ndege Jumanne kukabiliana na wapi ngaj i wa amri yake na vikosi vya ziada vya polisi vilisambazwa kuimarisha utulivu katika eneo hilo. Chama cha Wanasheria cha Kenya (LSK), kilifafanua ongezeko hilo la muda wa kuwa kuzuizini majumbani kuwa ni jambo lisilo la kikatiba na kusema kwamba, kitaingiliaji kati kisheria iwapo muda huo wa kubakia ndani ya nyumba hususani usiku, hautabadilishwa katika kipindi cha siku kumi na nne. Kipindi hicho cha wiki mbili kimeisha Alhamisi hii. "Kwetu sisi, miezi minne ni kipindi cha kutosha kwa kikosi chochote cha usalama kuweza kudhibiti hali hiyo na tunaangalia upande mwingine wa kuendela kuongezwa amri ya kutotembea usiku. "Tunaangalia katika utalii, utafutaji riziki wa raia na muda ambao umepita tangu kuwekwa kwa amri ya kutotembea usiku." Alisema Mwenyekiti wa LSK Eric Mutua. Kimaiyo kwa upande wake ametetea amri ya kutotembea usiku, akisema ripoti za ki- intelijensia zinaendelea kujitokeza na zi ki endel ea kusababi sha kukamatwa kwa washukiwa wanaoaminika kuhusika katika mashambulio ya Julai ambapo watu zaidi ya mia waliuawa. "Eneo hilo linahitaji kuendelea kuongeza amri ya kutotembea usiku, ili mradi baadhi taarifa bado zinatoka kwa kasi kwamba tuna tahadhari ya kutokuwa na usalama sehemu kadhaa. "Hakuna anayeweza kudharau tahadhari yoyote ya usalama ambayo ipo na kuielekeza kaunti kufanya shughuli kama kawaida." alisema inspekta Kimaiyo. Hata hivyo, Mutua alisema kutumika kwa amri ya kutotembea usiku kulishamalizika na ulikuwa ni muda wa kuondoa vikwazo kwa watu kutembea. "Madhumuni ya kuwekwa amri ya kutotembea usiku hayapo tena," alisema. (Sabahi) MAMIA ya Waislamu wa mji wa Quimper, Kaskazini Magharibi mwa Ufaransa wamefanya maandamano, wakiitaka serikali ya nchi hiyo iruhusu ujenzi wa Msikiti katika mji huo. M a a n d a m a n o h a y o yaliyofanyika katika moja ya viunga vya katikati vya mji huo, yamelaani kusuasua kwa serikali kuruhusu ujenzi wa msikiti huo. Mkuu wa Kituo cha Haki za Wahamiaji katika mji huo wa Quimper, Marie-Madeleine Le Bihan, aliwambia waandishi wa habari kwamba maandamano hayo yanaf anyi ka kupi nga ubaguzi, ufashisti, na kukosekana usawa dhidi ya jamii ya Waislamu. Marie aliongeza kuwa, raia Waislamu Ufaransa wataka iruhusiwe Misikiti kujengwa wote wa Ufaransa wana haki sawa ya kufanya ibada zao za kidini na kimadhehebu kwa uhuru. Ufaransa ni miongoni mwa nchi za Ulaya zinazoongoza kwa ubaguzi wa kidini dhidi ya Waislamu. Ripoti zinaonyesha kwamba vitendo vya ubaguzi dhidi ya dini ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla vimeongezeka zaidi nchini humo. Kwa mujibu wa ripoti hiyo vitendo hivyo viliongezeka na kukaribia asilimia 50 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, huku matukio ya ubaguzi dhidi ya Waislamu yakizidi kushika kasi siku hadi siku nchini humo. (irib.ir). 6 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala NI huzuni na vilio vilivyotanda katika darasa. Kila mmoja anal i a anapoona k i t i c h a Or wa Hammad kimekosa mtu ila ni shada la maua lililowekwa kwa niaba yake. Ni mtoto wa miaka 14 ambaye uhai wake ume po t e z wa na Askari za Kiisrael. Or wa Ha ma d s i p e k e y a k e , i l a wapo wengi ambao wamepoteza maisha na wa na e nde l e a kupot eza mai sha yao kwa dhulama wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni. K w a m u j i b u wa mt a nda o wa Mondows, unasema kuwa mtoto huyo wa Kipalestina raia wa Marekani alipigwa risasi iliyoingia kupitia shingo na kutokea katika kichwa, katika mji wa Silwa karibu na Ramallah. Kwa mujibu wa Hospitali ya Ramallah mtoto huyo aliaga dunia wakati anat i bi wa kat i ka hospitali hiyo. Mauaji hayo yanafuatiwa na yale ya kuuwawa kwa mtoto wa miaka 13 wiki mbili zilizopita, yaliyotekelezwa na Wanajeshi wa utawala wa Israel. H a y o n d i y o y a n a y o e n d e l e a kufanyi wa watoto wa Kipalestina na KATIKATI ni Mohammed-Ali- mtoto wa miaka 8 akikamatwa na askari wa utawala wa Israel katika kituo cha ukaguzi cha Qalandiya. Hawa ndio Mazayuni! Na Rashid Abdallah, MUM ukweli ni kuwa dunia imewasahau kwa kuwa anayefanya hivi ni mtoto wa adui kubwa Marekani. Hakuna mtu wa nje ambaye atainua mkono wake kuzuiaya dhulma hii ambayo i medumu kwa miaka mingi sasa. Press Tv inatueleza kuwa Ser i kal i ya Palestina imesema kuwa Utawal a wa I srael umewapi ga na kuwadhal i l sha watoto wa Kipalestina wakati wakiwa chini ya ulinzi wa Israel. Taarifa zinaema kuwa Wapalestina wapatao 7,000 na watoto 250 wanashikiliwa katika magereza ya Israel. I nasi ki t i sha zai di ukipata wakati wa kuiyona hali ya mambo i n a v y o k w e n d a kupi t i a r uni nga. Zipo picha na video za kusikitisha mno, ambazo utashuhudia wa t u wa ki pi gwa na kuumi zwa pi a wanawake wanapigwa mitama na mateke. Wat u wanapi gwa ri sasi . Wanapi gwa kabari na kuburuzwa barabarani. Mi ongoni mwa w a t o t o w e n g i wanaoshilkiliwa ni Muhammed Khaleed Sharief 16, ambaye alisema kumwambia mwanasherai wake kuwa, alikamatwa na Askari wa Israel July 17 katika Msikiti wa Al aqswa alipigwa kwa nguvu sana katika us o wake wakat i anapelekwa katika ki t uo cha ki zui zi katika eneo la Salah al-Din. Wakati The Popular Commitee for Facing the Siege on Gaza inasema kuwa 90% ya raia wa Ghaza wanaishi kat i ka umas i ki ni wa k u p i n d u k i a lakini bado Waisrael wanaedeleza ubabe wao, kuuwa, kuharibu makazi na unyama mwengine wa kutisha. W a m e t i w a umas i ki ni ambao unahitaji muda mwingi h a di k u o n do k a . Mi j i i m e k u wa kama maeneo ya kihistoria (Historical si t es) . Ni magof u ya l i yoba ki huku Wazayuni wakiandaa pesa za kutosha ili waendeleze upanuzi wao wakujenga katika ardhi ya Wapalestina. Wa p a l e s t i n a wapatao 2,000, watoto 500 na waliojeruhiwa ni zai di ya 11, 000 katika mauaji wa siku hamsini na moja kule Ghaza. Yot e hayo hayaj ampa i mani Muisrael na kuona japo huruma kuwa wale ni binadaamu. Ila bado wanaendelea kuwatia katika dhiki. Siku hizi kumekuwa na mf umo mpya wa usafi ri kati ya Wa p a l e s t i n a n a Wa i s r a e l h a b a r i z i na s e ma k uwa , Moshe Ya'alon, Waziri wa Vi ta wa Israel amesisitiza marufuku kwa Wapal es t i na kutumia mabasi ya abiria ya umma ya Israel na hasa katika eneo la Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan. K w a h i y o W a p a l e s t i n a w a m e k a t a z w a kutumia usafiri wa umma kwenda kazini na maeneo mengine. Wa n a p a t a t a b u kut embea masaf a marefu kwa miguu kurudi nyumbani ama kweda kazini. Na wanaojaribu kupanda katika mabasi hayo basi hushushwa kwa nguvu na vipigo. Kwa sasa wapo mamia ya watoto wa Kipalestina ambao ni walemavu moj a kwa moja kutokana na mauaji ya kipindi cha kiangazi, kama usemavyo mtandao wa I sl ami c News Daily. Zipo simulizi nyigi zinazoumiza tumbo katika mauaji ya siku 51. Mfano wa hizo ni ile ya Louay 9 and Odai 13. July 21 Louay na Odai walikuwa katika nyumba ya Shangazi yao wakijitayarisha na futari. Ghafa kombora likapiga nyumba yao na kumuua Mama yao, Bibi yao na Shangazi yao ambaye alikuwa ni mjamzito pamoja na watoto wake sita. Odai amepot eza Mama, Bibi, Shangazi na tayari ni mlemavu asiyeweza kwenda. Ha ya ha ya umi z i uki ya s i ka ? Na ni anasema yamepita, bado yanakumbukwa n a y a t a e d e e l a kukubukwa. Na ipo siku kila mtu atalipwa kwa alilolitenda. Ikiwa huami ni kuwepo Mungu basi unajipa- tu matumaini lakini hufkirii kuwa unyama unanao ufanya kuwa hautokuwa na malipo wala masuali? Tumeuwacha msikiti wa tatu kwa utukufu duniani, Mayahudi wanataka kuuvunja kupanua ujenzi wao. Huenda tunadhani Wa p a l e s t i n a t u ndi o unawahus u sisi hatumo. Kuna marufuku ya kutoswali ama hata mukiswali munaweza kumaliza na vipigo na mabomu mengi ya machozi. 7 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala MASWAHABA wa l i wa hi kumuuliza Mtume Muhammad (s.a.w), Ni nani mwenye akili miongoni mwetu?, akawajibu, Mwe nye a ki l i ni y ul e anayekumbuka mauti mara kwa mara. Ilikuwa ni majira ya saa 12:00 jioni tulipokea ujumbe mfupi ukisema, Innalillahi wainna ilaihir rajiuun, Mansoor Mussa Bi l al i wa Ubungo I sl ami c amefariki dunia. Mansoor Mustapha Mussa alifariki tarehe 10/10/2014 majira ya saa sita mchana katika Msikiti wa Masjid Yaseen, uliopo Sinza Kumekucha jijini Dar es Salaam. Baada ya kumaliza rakaa mbili za tahiyatul masjid, alikaa kikao kidogo cha kusubiri khutba ya kwanza, na hapo ndipo maneno ya Allah (s.w) kila nafsi itaonja umaut yalipotimia. Mansoor aliitikia wito wa Allah (s.w) na kuianza safari ya kuelekea maisha ya Barzakh na kukutana na Allah (s.w) katikati ya siku tukufu ya Ijumaa. Akielezea tukio hilo, Imamu wa Msikiti aliofa Mansoor Mustapha, Imam Mustapha Akida, alisema kifo chake kilitokea Msikitini kwao Masjid Yaseen Adhuhur, ambapo Mansoor alianguka ghafa. Alisema, waumini walichukua uamuzi wa kumtoa nje ili aweze kupata upepo wakiamini kuwa kama ni maradhi na amepoteza fahamu, basi anaweza akaamka na kuharakishwa hospitalini. Lakini wakati wakijishauri Ma ns o o r a l i kuwa t a ya r i amekwishafariki. Kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Ubungo na Waislamu kwa ujumla, msiba wa Mansoor ni darsa hasa kwa vijana wa kike na wa kiume, wajitahidi kuishi mahala ambapo Allah Tanzia Innalillah wainna ilaihir Rajiuun (s.w) amepahalalisha na si katika maeneo hatari kufanya maasi na Allah (s.w) atujaalie mwisho mwema. Maiti yake ilisaliwa Jumamosi Sinza Kumekucha majira ya saa 7:00 mchana katika mjumuiko wa waumini pamoja na walimu na wanafunzi wa Ubungo Islamic, wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Shule yao Ustadh Khudhaifa Khouf kabla ya kusafirishwa kuelekea Bukoba. Mansoor alizaliwa mkoani Kagera, wilayani Bukoba Kijiji cha Katerero Mei 25, 1995. Alifariki Oktoba 10, 2014 akiwa na umri wa miaka 20. Kabla ya kujiunga na shule ya sekondari ya Kiislamu ya Ubungo, alimaliza darasa la saba katika shule ya msingi Nyakondo Bukoba. Alihitimu kidato cha nne katika shule ye sekondari Kashozi Bukoba, ambako akiwa shuleni hapo, aliwahi kuwa Amir wa Daawah na Nidhamu. Mansour alifariki akiwa kidato cha sita mchepuo wa CBG katika shule ya sekondari Ubungo Islamic high School, ambako al i kuwa mt unza wakat i na kupewa jukumu la kutoa adhana shuleni wakati wa swala. Pia amewahi kutumia muda wake mwingi kutoka pamoja na makundi ya Tabligh na alikuwa mwana Tabligh maarufu kijijini kwao. Mansoor alizikwa tarehe 12 /10/2014 siku ya Jumapili mtaa wa Katerero huko Bukoba vijijini mkoani Kagera. Mansoor ameacha wadogo zake na kaka zake na baba yake mzazi ambaye alikuwa Imam wa BUDHAGANJANA. Allah (s.w) amtakabalie amali zake na amghufurie madhambi yake na alifanye kaburi lake liwe ni bustani katika mabustani ya pepo. ALLAHUMMA GHFIRL LAHU WARHAMHU WASKANAHU FYL JANNAH. Amin TAAZIA HII IMEANDALIWA NA KASSIM I. CHUBWA, KATIBU MKUU MSTAAFU WA SERIKALI YA WANAFUNZI UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL. Sheikh Ponda kupangiwa siku ya hukumu Jumatatu Inatoka Uk. 1 mashitaka na ule wa utetezi mahakamani hapo (chamber) kuwa, Jaj i anayesikiliza rufaa hiyo Mhe. Augustino Shangwa, hakuweza kufka mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo kwa kuwa anaumwa. Kufuatia hali hiyo, kesi ya rufaa hiyo iliahirishwa hadi Jumatatu ya Novemba 3, ambapo itakuja kwa ajili ya kupangwa tarehe ya hukumu. Ul i nzi ul i kuwa mkal i zaidi kuliko siku za nyuma wakimwemo mbwa wa polisi, magari ya maji ya kuwacha, vifaa maalum vya kuhisi hatari Unakumbuka mara ya mwisho tulipangiwa rufaa hi i kusi ki l i zwa kwa nj i a ya maandi shi , hoj a zet u zimeshapangwa mahakamani na hoja za upande wa serikali pia, sasa ilipangwa siku ya leo kuja kupanga tarehe ya hukumu. Lakini leo (jana) Jaji amempigia simu Msajili wa Mahakama Kuu kuwambia kwamba anaumwa hatoweza kufka hapa makahamani na ameelekeza kwamba kesi hii ije siku ya Jumatatu mbele yake. Alisema wakili wa utetezi Yahya Njama. Alisema anavyoona, kwa sababu wametoa hoja zao, na kuamini kwamba hoja zao ni nzuri na zinatosheleza kumfanya mteja wao aachiwe au afutiwe hukumu ya awali aliyokuwa ametiwa hatiani na Hakimu wa Mahakama ya Kisutu. Aliongeza kuwa upande wa serikali nao umetoa hoja zao hivyo ni juu ya Jaji kuhukumu baina ya pande hizi mbili. SHEIKH Ponda Issa Ponda. MAREHEMU Mansoor Mustapha Mussa. 8 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala Inaendelea Uk. 9 MFAMO wa Yemen' ni ule wa utumiaji nguvu za kijeshi na mapigano muda wote. Mipaka ya kile kinachoweza kufanyika kwa jina la 'kuzuia ugaidi' mara nyingi inakuwa haionekani. Hebu tuanze uchambuzi wetu wa leo kwa kukariri yal e yal i yosemwa na mwandishi Iona Craig katika makala yake War Without End: 12 Years of US Drone Strikes in Yemen. Nanukuu: Macho makubwa ya kahawia ya Salem Al-Tarsi yaliniangalia na kupenya ndani yangu. Nilikuwa naj ar i bu kumwul i za kuhusu baba yake, ambaye alikuwa ameuawa siku sita kwa bomu la droni ambalo lilitikisa mlima huu usio na mimea katikati ya Yemen, eneo ambalo ni vigumu kufka. Lakini Salem hakusema neno lolote. Mvulana huyu, aliyeonekana kuwa na umri wa mi aka kumi hivi, alibaki kuangalia kwa undani umbal i wa kati, huku wadogo z a ke wa ki j i kus a nya kumzunguka. Ni vigumu kusahau macho ya Salem. Kila mara Ikulu ya Marekani i l i po da i kuwa r a i a 12, ikiwa ni pamoja na baba yake, waliouawa k a t i k a mk us a ny i k o wa har usi wal i kuwa wapiganaji wa Al Qaeda, nilikuwa namkumbuka. Nawakumbuka kaka zake na dada zake na watoto wengine 17 niliokutana nao siku hiyo ambao walikuwa wamepoteza baba zao. Vita isiyo na mwisho Huu ni Mfano wa Yemen haimaliziki Mashabiki watawapeleka Yahya Peponi Wanaibuka Abu Dawood wengine "VITA yote ya Marekani ni mwendelezo tu wa ubeberu. Hii inaweza kuja kama mshtuko kwa Wamarekani, ambao hawataki kuifkiria nchi yao kama himaya. Lakini unawezaje kuita makundi makubwa yasiyohesabika ya askari wa Marekani, majasusi na vikosi maalum vilivyotawanywa duniani kote?" (Michael lgnatief, katika gazeti la New York Times, Julai 28, 2002) Na Omar Msangi Nawafikiria wakazi wa kijiji hicho, wakiishi bila msaada wowote kutoka serikalini, bila umeme au maji ya bomba, ambao walikuwa wamempoteza mtafutaji riziki wao mkuu. Hii ndiyo hali halisi ya kusikitisha ya 'mfano wa Yemen' ambao majuzi ulisifiwa na Rais Barack Obama, akielezea mikakati yake ya kukabiliana na hatari ya dola ya Kiislamu ya Irak na Syria. Ni mi aka 12 t angu makombora ya kwanza yalipoipiga Yemen. 'Mfano wa Yemen' ni wa kupiga mabomu muda wote, vita isiyoisha. Ni mtafaruku gi za ambako hakuna anayejua nini kinamfanya mtu awe mlengwa wa droni za Marekani, wa ndege za kivita za Yemen, Saudia au Marekani, au mlengwa wa vikundi maalum vya wapambanaji na ugaidi vya Yemen vilivyofunzwa na Marekani. Mipaka ya nini kinaweza kufanyika kwa jina la 'kupambana na ugaidi' mara nyingi ni kama haipo. Ma r e k a n i h u wa haitangazi kuhusika pale inapofanya shambulio la angani au baharini. Chini ya Rais Ali Abdullah Saleh, wanasi asa wa Yemen walikuwa hata wanasema uwongo mbele ya Bunge lao kwa kuikingia kifua Ma r e ka ni na kuda i walifanya mashambulio hayo ya Marekani. Ikijishughulisha zaidi na kupi ga mabomu ya dr o ni na k ut o a mafunzo kwa askari wa kupambana na ugaidi, Marekani imeshindwa kukabiliana na vyanzo vya msingi vya kukua kwa Al Qaeda na Ansar al Sharia (AQAP) ambao waungaji mkono na wapi ganaj i wameongezeka. Inaendelea Uk. 9 THESE gentl emen are the moral equivalents of Americas founding fathers. Ronald Regan while introducing the Mujahideen leaders to media on the White house lawns (1985). Hi i n i k a u l i y a a l i ye kuwa Ra i s wa Marekani Ronald Regan wakati akiwakaribisha na kuwa t a mbul i s ha wapiganaji wa Taleban katika Ikulu ya Marekani na kwa waandishi wa habari mwaka 1985. Kukar i bi shwa kwa Taleban Ikulu ya White House na kupewa sifa kwamba wao ni sawa na Founding Fathers wa Marekani kimaadili, i l i k u wa n i k a t i k a mkakati wa kutekeleza Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house yal e yal i yomo kat i ka Operation Cyclone. Huu ulikuwa ni mkakati mkubwa wa kuandaa muj ahi di na ambao watapigana kwa niaba na kwa masilahi ya Marekani kumtoa mvamizi Urusi nda ni ya a r dhi ya Afghanistan. Fedha nyingi zilitumika ikiwa ni pamoja na kufanya utafti juu ya mambo ya Jihad katika Chuo Kikuu cha Nebraska, Omaha. Ukifadhiliwa kwa mamilioni ya Dola kupitia Shirika la USAID, mradi huo uliandaa vitabu na machapisho mbalimbali ya kuwatia uchizi wa Jihad vijana wa Kiislamu duniani kote, ukianzia na Afghanistan. Ki l i chof uat i a hapo ni kuandaa kambi za mafunzo kwa wapiganaji hao, zi ki t umi ka nchi za Paki stan na Saudi Arabia. Ni makambi hayo yaliyokuwa yakisimamiwa na Idara za Uslama za Marekani na Pakistan, kutoa mafunzo kwa al- Qaida na Taliban, ndio hayo baadae baada ya kutimiza malengo yaliyokusudiwa, yakabatizwa na kuitwa kambi za magaidi. Li ki si mul i a j uu ya mkakati huu wa Marekani wa kuandaa magaidi gazeti la Washington Post liliwahi kuandika likisema: The United States spent millions of dollars to supply Afghan schoolchildren with textbooks flled with violent images and militant Islamic teachings.The primers, which were flled with talk of jihad and featured drawings of guns, bullets, soldiers and mines, have served since then as the Afghan school systems core curriculum. Even the Taliban used the American-produced books,.., (Washington Post, 23 March 2002) Naye Ahmed Rashid anasema, likifanya kazi kwa ni aba ya Shi ri ka la Ujasusi la Marekani, CIA, Idara ya Usalama ya Pakistan, ISI, ilifanya kazi ya kuandaa kambi za mafunzo (Guerilla training camps) na kutoa mafunzo k wa Mu j a h i d e e n a . Mafunzo hayo ya CIA na ISI kwa mujahidina yanatajwa kuhusisha pia utengenezaj i mabomu na kuf anya mauwaj i pamoja na kulipua magari (assassinations and car bomb attacksTazama: Ahmed Ras hi d, The Taliban). Naye Pr of esa Pr of Michel Chossudovsky, katika makala yake: 9/11 ANALYSIS: From Ronald Reagan and the Soviet- Afghan War to George W Bush and September 11, 2001, anatuambia kuwa Osama bin Laden, Americas bogyman, was recruited by the CIA in 1979 at the very outset of the US sponsored jihad. He was 22 years old and was trained in a CIA sponsored guerilla training camp. Kwamba Osama akiwa REAGAN (mwenye suti) akiwa na Makamanda wa Taliban White House mwaka 1985. 9 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala Vita isiyo na mwisho Inatoka Uk. 8 Hi s i a za kui pi nga Mar ekani zi mekuwa juu katika miaka minne iliyopita tangu nimefika Ye me n k wa ma r a ya kwanza. I dadi ya wapiganaji wa Al Qaeda imeongezeka. Wanaenea kote nchini na ukubwa wa mashambulio yao pia kuongezeka. Bado hakuna mwisho unaoonekana wa 'mfano wa Yemen.' Kwa Obama, tamati inafkiwa pale akiondoka madarakani mapema 2017. Lakini tamati itafkiwa lini nchini Yemen? ( I me t a f s i r i wa n a kuhari ri wa kutoka War Without End: 12 Years of US Drone Strikes in Yemen, by Iona Craig) Wiki iliyopita tuligusia j uu ya kuuliwa kij ana Yahya Hassan Omar Hela (31), maarufu kwa jina la Yahya Sensei, mkazi wa Mianzini jijini Arusha. Kupitia kwa Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas, ilikuwa imearifwa kuwa Yahya Sensei alikuwa mtuhumiwa wa ugaidi na kwamba , aliuwawa kwa kupigwa risasi mguuni na makalioni alipokuwa aki j ari bu kuwatoroka polisi. Hata hivyo, picha za mai t i ya mt uhumi wa zi l i zowahi kupi gwa na ba a dhi ya wa t u wa l i o mwo na a ki wa chumba cha kuhifadhia maiti hospitalini, zinaeleza habari tofauti kabisa. Hata hivyo, hilo tuliache kwanza. Yapo mambo kadhaa yanajitokeza katika makala ya Craig niliyoinukuu kwa uref u hapo j uu. Moja, ni kuwa akitolea mfano wa Yemen, hakuna mahal i ambapo nchi yoyote imetumbukizwa na Marekani katika vita dhidi ya ugaidi ambapo kumekuwa na salama. Vita hiyo huwa haiishi. Kwa ni ni ? Swal i hi l i linatuleta katika nukta ya pi l i , kwamba vi t a hii ina mambo mawili makubwa. Moja wakati unapambana na unaowaita magaidi, wakati huo huo unatengeneza magaidi wengine, tena wengi zaidi. Na hii hufanyika kwa makusudi, sio kwa bahati mbaya, ili kuhakikisha kuwa vita hii haimaliziki. Swali tena hapa ni kwa nini? Hii inatupeleka katika lile lililosemwa na Michael lgnatief, katika gazeti la New York Times, Julai 28, 2002 pale aliposema kuwa: " Vi t a yot e ya Marekani ni mwendelezo tu wa ubeberu. K i s h a a k a u l i z a , unawezaje kuita makundi makubwa yasiyohesabika ya askari wa Marekani, majasusi na vikosi maalum vilivyotawanywa duniani kote?". Nukta ya tatu muhimu inayoelezwa na Craig ni kuwa kwa bahati mbaya, k a t i k a k uf a ni k i s ha ubeberu wake, Marekani i mef ani ki wa kupat a viongozi vibaraka katika nchi mbalimbali ambao wapo tayari hata kuuwa watu wao na kuangamiza nchi zao, ili kufanikisha malengo ya mabeberu. An a t a j a mf a n o wa aliyekuwa Rais wa Yemen Ali Abdullah Saleh na mawaziri wake ambao walikuwa wakiiruhusu Marekani kushambulia raia wake kwa kisingizio cha kupiga magaidi kisha Rais huyo na wanasiasa wenzake wanaliongopea Bunge na wananchi wa Yemen kuwa ni polisi au wanajeshi wa Yemen waliofanya mashambulizi ha yo kwa l e ngo l a kupambana na magaidi! Unaweza mtu kujiuliza, nani mbaya zaidi hapa: hawa watuhumiwa wa ugaidi ambao mara nyingi wanakuwa wajinga tu, wasiojitambua au hawa vi ongozi wa seri kal i mfano wa Ali Saleh na wasimamizi wao wa vikosi maalum wanaouwa watu wao huku wakijua kuwa wanatumikia maslahi ya beberu! Lipo j ambo moj a la kuweka sawa hapa. Wakati Ka ma nda Li be r a t us akimtangaza Yahya Sensi kuwa ni gaidi hatari na hivyo alistahiki kuuliwa, zipo taarifa katika baadhi ya mi t andao ambazo zilimpongeza na kumtaja kama mfa dini, Shaheed Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house Inatoka Uk. 8 ki f aa cha Mar ekani , a l i p e wa ma f u n z o katika kambi za kijeshi (guerilla training camp) zikiongozwa, kusimamiwa na kufadhiliwa na CIA. Zipo kanda za video zilikuwa zikionyeshwa katika taarifa za habari wakati wa Usama Bin Laden na Mullah Omar, zikionyesha mujahidina wakiwa katika mazoezi makali ya kijeshi. Baadhi ya vijana wa Kiislamu walikuwa wakizipenda na kuzi s habi ki a, na hata sasa wakiendelea kuzishabikia kanda hizo zikionyeshwa katika BBC, CNN, Aljazeera na akina Fox News. Na wengine wamezi-download na kuziweka katika CD/DVD. Ushabi ki wenyewe ulikuwa kufurahia na kuona kuwa kweli hao wal i kuwa muj ahi di na wa kwe l i kwa vi l e wanavosoma Aya na Hadithi katika mazoezi yao. Lakini kwa upande mwi ngi ne , we ngi ne waki yasi fu mashi ri ka ya kij asusi na yale ya habari ya Marekani na Uingereza (CNN, BBC, Al j azeera, Sky News) kuwa ni mahiri kwamba yameweza kupenya na kupiga picha kambi za siri za magaidi al Qaida na Taliban. Wasichokuwa wakijua ni kuwa kambi hi zo huendeshwa na kufadhiliwa na mabeberu, watu wao wakiwa ndio wakufunzi na watoa silaha/ fedha, na ndio walikuwa wakipiga picha na sasa ndio hao hao wanaozitoa picha hizo kwa vyombo vya habari. Kama ilivyotangulia kuelezwa, awali ilikuwa ni kuwaandaa mujahidina kupigana na Mrusi. Baada ya Mrusi kungoka, ilizuka vita ya wenyewe kwa wenyewe hatimaye Taliban ikashika madaraka. Ni hawa Taliban walioshika nchi ambao wanatokana na al Qaida na mujahidina walewale, walifanywa rafki vipenzi wa Marekani hata kukaribishwa Ikulu na Re a ga n. Wa ka t i huo Marekani ilikuwa na mpango wake wa kuwa t umi a Ta l e ba n katika mipango yake ya mafuta na gesi. Lakini hawakufikia maelewano na Taleban. Hapo ndio balaa likazuka. Ghafa wale watu wema walio sawa na Founding Fathers wa Washington, wakageuzwa kuwa mazimwi hatari. Propaganda ikapigwa sana kuwaonyesha kuwa ni magaidi katili, wauwaji wa watoto na wanawake, wasiotaka watoto wa kike wasome na mambo kama hayo. Katika kipindi hicho, kile kile Chuo Kikuu cha Nebraska kilichotumika kuandaa Mujahidina, sasa ki katumi ka tena kuandaa na kupi ga pr opa ga nda . I ka wa baadhi ya wanawake wa A f g h a n i s t a n , wanapelekwa katika Chuo Kikuu hicho na kuandaliwa program mbalimbali ikiwa ni pamoja na wao kutoa ushahidi j insi Taleban walivyokatili. K a t i k a mo j a y a p r o p a g a n d a h i z o , kuliandaliwa igizo ambapo wanafunzi wasichana wa Kimarekani katika Chuo hi cho, wal i andal i wa kufanya usanii wakijifanya kuwa ni wanawake wa Afghanistan, waliovaa Hijabu, huku wametia rangi za mdomoni, lakini wamezifunika na nikabu. Kwa upande mwingine, wanaandaliwa wavulana a mb a o wa t a c h e z a kama Tal i ban. Wal e wa s i c ha na wa l i pi t a katika korido za majengo ya Chuo waki t embea kuigiza wanawake wa Afghansitan, kwa maana sio kutembea kibabe kama Wamarekani. Wa k i w a n j i a n i wanakutana na wavulana wa n a o i g i z a k a ma Tal eban kwa mavazi . Wa n a wa s i ma mi s h a wa l e wa s i c h a n a , wanawafunua nyuso na kuona rangi za mdomoni, w a n a w a s u k a s u k a na kuwaburuza hadi k we n y e mp i r a wa ma j i ul i oc home kwa kwenye bomba (mfereji) wanayaf ungul i a kwa nguvu na kuwavurumishia wasi chana wal e hadi wanal owa maj i chapa chapa na rangi zao za mdomoni zinatoka. Wengine wanaonyesha Inaendelea Uk. 14 Inaendelea Uk. 14 MELI ya kivita ya Marekani USS Cole. 10 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala Huyu ndiye Ustadh Yahya Torres wa Cuba Hija ni Nguzo ya Tano katika zile nguzo tano za Uislamu ambazo kila aliye Muislamu ni lazima azifahamu na kuzitekeleza. Zi ko hi zi mbi l i ambazo hutekelezwa tu na wale wenye uwezo; nazo ni kutoa zaka na kwenda kuhiji huko Makkah. Ni Makkah ndiko alikozaliwa Rasu- ul - Ll ah Muhammad S.A.W, lakini kufuatana na Kuran Hija haitokani na sababu kuwa hapo ndipo alipozaliwa Mt ume wet u Muahammad S.A.W. Hasa ni kushuhudia kazi kubwa aliyoifanya Nabii Ibrahim A. S. W na matokeo yake. Haya yanafahamika kwa Waislamu wote. Kuna rafiki zangu wasio Waislamu ambao wao wanalofaham la Hija ni kule kumpiga mawe shetani tu. Ni v i g u mu k u s a h a u mafundisho ya mwanzo kabisa wakati kijana anapoanza madrasa na hata shule ya kawaida. Hii huwa ni historia inayobaki katika kumbukumbu milele na huelezwa kwa fakhri kwa vizazi vijavyo, watoto na hasa wajukuu. Siku ya kwanza kushika mkusu na kuuelekeza pale anapoanza kusoma alif bee tee thee na kuendelea, ni muhimu sana. Kadri anavyoendelea ndiyo huja mafundisho mengine kama yale arkanul Islam khamsatun. Linalofuata ni kukariri hizo nguzo tano za Uislamu. Keshoye yule kaka anayekufundisha la kwanza ni kutaka kujua na kuhakikisha kama bado unakumbuka somo hilo la jana. Ni katika kusoma huko ndio huyo mwanafunzi anaelezwa kidogo kidogo, kwa mfano, Nguzo ya Tano maana yake nini, kama vile inabidi kusafiri masafa marefu sana mpaka kufka Makkah. Hakika hapa mwanafunzi hana ramani hivyo kuanza kutambua hayo masafa marefu maana yake nini ni kazi ngumu sana. Mawazo tu yanabaki yanahangaika kama kweli watu hufika huko, nami i nshaal l ah si ku moj a l abda nitafka. Inabakia kuwa ndoto. I kumbukwe kuwa haya yanayozungumziwa hapa ni yale ya takriban miaka zaidi ya sitini iliyopita. Wakati huo anayesafri kwenda Dar es Salaam kutoka Kigoma, kwa mfano, atapanda gari moshi inayovutwa na kichwa (locomotive) kinachotumia mvuke unaopatikana kwa kuchoma kuni. Bahati nzuri hizo gari moshi za wakati huo zilikuwa haziharibiki nj iani mara kwa mara kama ilivyo sasa. Dereva akiwa Singha Singha (Kala Singha). Kwa hiyo Na Khalid S Mtwangi Safari yangu ya Hajj kwa Waislamu wengi wa nchi hii wa wakati huo, kule kutimiza ile nguzo ya tano ya kuhij i Makkah ilikuwa ni ndoto. Lakini bila shaka Subhana Wa Taala mwenyewe alijuwa kuwa iko siku, na aliwezesha siku hiyo ifke safari hiyo itakuwa rahisi hivyo waja wake wengi wataweza kutimiza Nguzo Hiyo ya Tano. Wakati wenyewe ni huu; mamilioni ya waumini siku hizi wanatiririka Makkah, Saudi Arabia, kutimiza Nguzi Hiyo ya Tano. Hapa Tanzani a hi vi sasa kuna mashirika mengi ambayo yanajishughulisha na kuandaa safari za kwenda huko Makkah na jinsi ofisi hizo zinavyozuka kuwa nyingi bila shaka biashara hiyo nayo inaleta faida kwa wale wanaozisimamia. Labda nazo zimesaidia kuleta unafuu katika kupunguza gharama za usafri, malazi na mahitaji mengine. Katika makala mbali mbali huko nyuma nimewahi kuzungumzia uwezekano wa mas hi r i ka haya kutoa nafasi za kwenda Makkah kuhiji kwa wale ambao wamerejea, yaani wameukubali Uislamu. Inafahamika kuwa baadhi ya hawa wanaoandaa safari za Hijja hupata tiketi za ziada (complimentary) ambazo huwawezesha baadhi yao kwenda huko Makkah ki l a mwaka. Hili ni jambo la kawaida kwa viongozi wengi wa BAKWATA, HIJA kwao ni ibada ya kawaida tu ya kila mwaka. Sasa badala ya wao kwenda huko ilihali wamekwisha timiza ile nguzo ya tano, ni afadhali kuwasaidia hawa waliosilimu. Hakika huwa ni faraja kubwa kwao na wengi waliobahatika kupata nafasi hizo huko nyuma walirudi imani yao imekuwa thabiti zaidi. Kuna mama mmoja aliyepelekwa na kikundi kilichokuwa kikisimamiwa na Babu Isale Muhammed miaka kadhaa huko nyuma. Mama huyu alisema kuwa katika kutekeleza na kutimiza zile ibada za huko Makkah alij isikia kama vile kakurubiana na Allah. Mama huyu huko nyuma alikuwa ni mtawa katika kanisa Katoliki. Baada ya kukutana na kijana nadhifu wa Kigoma mama huyu aliacha huo utawa na kuwa Muislamu. Kijana huyo sasa ni marhum mama anaendelea na ibada zake. Mfalme Abdullah bin Abdul- Aziz al-Saud na Serekali yake ya Saudi Arabia wametambua umuhimu na faida za kutoa nafasi kwa waumini na wale waliosilimu kwenda huko HIJJA. Kwa mfano mwandishi huyu alipokuwa huko amekutana na Muislamu kutoka Cuba. Huyu sasa anaitwa YAHYA PEDRO LAZO TORRES. Simulizi yake inaweza kumfariji yeyote aliye Muislamu. Anasema kuwa siku moja akiwa anatembea nje kidogo ya Havana, mji mkuu wa Cuba, aliokota kitu kama kitabu kilichokuwa kimetupwa. Alipofungua aliona kina maandishi ya Kiarabu na Ki-Hispania. Ilikuwa ni Kurani. Alikichukuwa kile kitabu mpaka nyumbani kwake na kuanza kusoma yale maandishi ya Ki-Hispania ambayo yalikuwa ni tafsiri ya Kuran. Huo ulikuwa mwanzo wa safari ndefu kulinganisha aliyokuwa akiyafahamu ya Biblia na haya aliyoyapata sasa ya Kuran. Haikupita muda alitambua ukweli uko wapi na alitafuta pahali pa kwenda kusilimu. Alikwenda Trinidad kuliko na Waislamu wengi wenye asili ya Kihindi. Amekuwa mstari wa mbel e kueneza Uislamu na anasema kuwa wako mbioni kuj enga msikiti mkubwa na madrasa hapo Havana. Safari yake ya Makkah akiwa mgeni wa Mfalme imezidi kumpanua mawazo. Anaamini kwamba kapata njia iliyonyooka, kwa maneno yake mwenyewe. Inawezekana kabisa kuwa kuna wasomaji wengine wasiweza kufahamu nchi iitwayo ICELAND iko wapi hivyo wakashindwa kuionyesha kwenye ramani. Ni l i s t aaj abu kukut ana na mwenyeji wa nchi hiyo aliye Muislamu, lakini alinihakikishia kuwa ingawa ni kweli wao wako wachache hivi sasa, idadi yao inaongezeka kwa kasi na si muda mrefu hata serekali yao itawatambua. Nchi hii ni kisiwa chenye watu takriban 313 000 tu (2014) na huwa chini ya theluji na barafu kwa muda wa miezi tisa kwa mwaka. Pia nilikutana na Waislamu kutoka visiwa vya Cape Verde vilivyo Pwani ya Afrika Magharibi. Nilistaajabu kuambiwa na kijana mmoja kutoka huko kuwa mwana mapinduzi shupavu Amical Cabral wa chama cha kupigania uhuru cha P I G C alikuwa ni Muislamu. Nilidhani kuwa kama hilo ni kweli, basi hiyo inawezekana kuwa hilo limetokana na ushawishi wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Guinea, Ahmed Sekou Toure. Pamoja na kuwa mwanamapi nduzi , Ahmed Sekou Toure hakusahau kabisa kuwa yeye alikuwa ni Muislamu, j ambo ambal o l i l i waudhi baadhi ya viongozi rafiki zake wa Afri ka i ngawa wao nao walikuwa wanamapinduzi lakini hawakusahau kuwa wao walikuwa WaKristu na waliutumikia Ukristu wao kwa nguvu zao zote. Walitaka tu viongozi Waislamu wasiwe Waislamu. Dr Abdul Hay wa Madina Mosque, Houston, Texas huko Marekani (tel: 281 488 3191, a6h@ yahoo.com) anatabiri kuwa ifkapo mwaka 2016 idadi ya Waislamu duniani itakuwa kubwa kushinda dini zingine zote. Hakuna haja ya kurudiarudia kuwa HIJJA ni Nguzo ya Tano ya Uislamu na iliyo na faida sana kwa Muislamu anayeitekeleza. Nakumbuka wakati miaka ya nyuma wafanya kazi wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki walipolipwa mafao yao, Sheikh BaSaleh aliwasihi sana watumie mapesa haki yao hiyo kwenda kuhiji. Sijui wangapi walimsikiliza na kutekel eza nasaha zake. Labda si wengi na katika hao mimi nilikuwa ni mmoja wao nikifkiri kuwa kwa vile bado nina nguvu nitakwenda mwaka ujao. Haikuwa hivyo, nikabaki najuta. Kwa sababu tu ya pilika pilika za huko muumini anashauriwa kwenda HIJA wakati akiwa na nguvu zake pengine za ujana. Kwa wazee kama mimi, ni kazi kubwa zaidi ingawa ile furaha ya kufanikiwa kutimiza ibada hii haina kifani. Waislamu wa dunia nzima wanastahili kutoa shukurani kwa Serekali ya Saudi Arabia hivi sasa ikiongozwa na Mfalme Abdullah bin Abdul-Aziz al- Saud. Wametumia yale mapesa wanayoyapat a kut oka kwa rasilimali mafuta kurahisisha hii ibada ya HIJA. Kutengeneza yale yote yaliyomo Masjid Harami kwa mfano inahitaj i mapesa mengi. Nakote anakokwenda HUJAJ ujenzi umetengenezwa kurahisisha utekelezaji wa ibada hii muhimu. Masjid Nabawi, yaani Msikiti wa Mtume pale Madina, ni jengo la ajabu kwa watu kama sisi tuliotoka vijijini. Wasanifu wa majengo na wahandisi walitumia ujuzi wao kweli kweli na mapesa mengi yalitumika. Kama Saudi Arabia ingekuwa nchi masikini, sijui ingekuwaje. Labda Waislamu duni a nzi ma wanget aki wa kuchangia kujenga na kutunza sehamu zote zile muhima za HIJA na ZIARA. Muislamu lazima akubali KUDRA iliyo nguzo muhimu ya IMAAN. Kijitabu chao Kanisa Katoliki kiitwacho DINI MBALIMBALI NA UTUME WETU ( p 22) kilichoandikwa na Fr Fridolin Portman na kupigwa chapa huko Peramiho, kinazungumzia KUDRA kwa Waislamu. Yeye kwa kutokujua kaiita TAQDIR (FATE AU PREDESTINATION kwa Kiingereza). Kwa sababu anazozijua mwandishi maelezo yake juu ya imani hii ni kashfa tupu juu ya Uislamu na Waislamu. Siku moja nilisikia Sheikh Hamid Jongo akielezea kwa kirefu IMANI hii pale Msikiti wa Manyema mjini Dar es Salaam. Hayo ya huyu Sheikh Mmanyema na haya ya huyu Padri Fridolin Portmann ni mbali mbali kabisa. Huyu Padre haja yake ilikuwa ni kuukashifu tu Uislamu na Waislamu. Mungu amsamehe na amuongoze katika njia iliyo nyooka. 11 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala ya Mtangazaji BETHLEHEM ( Ma' an) - - Palestinian officials strongly condemned Israel on Monday after it announced plans for 1,000 new setler homes in East Jerusalem. Jibril Rajoub, a senior member of Fatah, warned of violent consequences likely to follow the latest setlement plans. "Such unilateral acts will lead to an explosion," he told a gathering of foreign journalists in the West Bank city of Ramallah. "If he wants to keep pushing us all into a vicious circle of bloodshed and killing he must draw the right conclusion from what happened in Gaza," Rajoub added. Senior PLO negotiator Saeb Erekat said the decision "amounts to evidence of an intent to further commit crimes defined by and punishable under international Offcial: Unilateral Israeli actions will lead to 'explosion' A general view of Har Homa setlement in East Jerusalem. law." "The announcement by Israel's housing minister, Uri Ariel, who is already a setler, of his intent to occupy a seized Palestinian home in Silwan is just another shocking reminder of Israel's accelerating efforts t o forci bl y di spl ace Palestinians from Jerusalem and turn the Holy City of three faiths into an exclusive Jewish city." The offi ci al sai d that the international community must take action to save the two- state solution from "colonial expansionism" and support the PLO' s efforts at the Security Council to set a deadline for ending the 47-year Israeli occupation. Erekat also urged divestment f rom al l compani es l i nked directly or indirectly to the "Israeli occupation, colonization, and Apartheid policies." HEBRON (Ma'an) -- Israeli forces on Monday demolished several buildings in the village of Umm al-Kheir in the Hebron district, locals said. Israeli forces demolish homes, steel structures near Hebron Local resident Mustasem al- Hathalin told Ma'an that Israeli forces and bulldozers demolished four houses, steel structures, and a public bakery in the village. A spokeswoman for COGAT, the Israeli defense ministry unit responsible for civil administration in the Palestinian Territories, did not answer calls seeking further details. Some 27, 000 Pal est i ni an homes and structures have been demolished by Israel since it occupied the West Bank in 1967. RAMALLAH (WAFA) - Ministry of Foreign Affairs Monday said that the current Israeli government is working in accordance to the Israeli setlers priorities in the West Bank, contradicting claims of its willingness to end the Palestinian- Israeli conflict through peace negotiations. In a press release issued by the Foreign Ministrys ofce, the ministry stated that the last agreement between Prime Minister Benjamin Netanyahu and the setlements representatives to expand setlement activities aims to protect the coalition. It said that Netanyahu gives what he does not own, and denies Palestinians their rights in favor of the illegal Israeli setlements and their expansion. EU decries Israel plans for East al-Quds settlement construction THE European Union has censured Israels plans to construct more set t l ement s on t he occupi ed Palestinian land. EU foreign policy spokeswoman, Maja Kocijancic, made the remarks in a statement on Monday after Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu ordered plans for the construction of 1,060 new setler units in East al-Quds (Jerusalem). Kocijancic said if such a decision is confrmed "it will call once again into serious question Israel's commitment to a negotiated solution with the Palestinians. She went on to say that the only thing the EU could do was to condemn such an ill-judged and ill-timed decision. The EU official noted that the future development of relations between the EU and Israel would depend on the Israeli regimes engagement towards a lasting peace based on the so-called two- state solution. Kocijancics remarks came amid widespread global condemnation of Israels land grab policies, which have been among the major reasons behind the failure of US-led talks between Israelis and Palestinians. More than half a million Israelis live in over 120 illegal settlements built since Israels occupation of the Palestinian territories of the West Bank and East al-Quds. The UN and most countries regard the Israeli settlements as illegal because the territories were captured by Israel in the 1967 war and are hence subject to the Geneva Conventions, which forbids construction on the occupied lands. Khudari: Recognizing Palestine started to gain int'l momentum GAZA -- MP Jamal Al-Khudari, head of the popular committee against the siege, said the recognition of Palestine as a state started lately to gain more political momentum in the international and European arenas. In a press release, MP Khudari hailed that the new international and European political positions and moves towards Palestine and its national cause as important steps towards restoring the Palestinian legitimate rights. He underlined that the Irish senate's vote in favor of a motion calling on the Dublin government to recognize the state of Palestine was an important step following a similar move by the British house of commons and Sweden's recognition of Palestine, pointing to other international and European parliamentary positions towards the Palestinian cause. The lawmaker called for necessarily investing the international solidarity with the Palestinian cause and intensifying the Palestinian ofcial, parliamentary, and popular eforts to turn the symbolic votes for Palestine into action adopted by governments. He also stressed the need for real international moves to end Israel's illegal occupation of Palestine. Netanyahu Orders Construction of 1060 Settlement Units in East Jerusalem RAMALLAH (WAFA) Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu Monday gave orders to advance plans for the construction of 1060 new illegal housing units in East Jerusalem. New housing units are set to be constructed in two setlements in East Jerusalem; 660 new units in Ramot Shlomo, and 400 in Har Homa, in addition to an infrastructure project of opening 12 new setlement roads in the West Bank. Earlier this month, the Israeli government approved the building of 2600 new setlement units in East Jerusalem, a move that was criticized by the US which stated that the plan will poison the atmosphere. The US criticism was rejected by Netanyahu who said that it is against American values. Meanwhi l e, PLO Execut i ve Commi t t e e me mbe r , Hanan Ashrawi, condemned Netanyahus announcement, saying it exposes the true nature of this blatantly racist and extremist Israeli coalition. Netanyahu is interested in forging ties with extremist and violent settlers at the expense of the two- state solution and Palestinian human rights, Ashrawi concluded. Illegal Settlers Priorities Guide Israeli Government, says 12 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 12 Barua/Mashair KATIKA ulimwengu wa leo bila shaka hakuna mtu anayeweza kusema kuwa, hataki maendeleo. Na kama akitokea mtu wa aina hiyo basi atakuwa kituko na kioja kwa watu na wanajamii anaoishi nao. Kwani ili aende na wakati hana budi kuyakubali na kuyapokea maendeleo. Kwa maana kwamba, kama atatokea mtu katika zama zetu hizi na atake kuishi kwa mujibu wa miaka 100 iliyopita, bila shaka ataonekana kituko na kioja. Kwani kwa mfano vyombo vya usafri zamani vilikuwa punda na farasi kwa wenye uwezo. Hii leo kuna kuna gari, treni, meli na ndege. Safari ambayo zamani mtu akitumia miezi adhaa kufka, leo anaweza kukata masafa yake kwa masaa kadhaa t u kwa kutumia usafiri wa anga. Hivyo, kiujumla maendeleo ni jambo linalofurahiwa na kupokewa kwa mikono miwili na kila mtu mwenye akili timamu. Ta b a n i k i l a mt u anayapokea maendel eo kul i ngana na haj a na mat umi zi yake. Has a kama maendeleo yenyewe yatakuwa ni ya teknolojia na mawasiliano. Hii leo sote tunaishi katika ulimwengu ambao t umezungukwa na anuwai kwa anuwai ya vyombo vya habari na vya mawasiliano. Redio, t el evi s heni , s at al ai t i , intaneti, simu ya mkononi na kadhalika. Zamani, tena hata sio zamani sana, mtu alikuwa akiandika barua mathalani Dar es Salaam na kuituma kwa posta, kufka kwake ilikuwa ikichukua wiki moja na hata zaidi. Simu wakati huo ilikuwa ni taabu mno. Nyumba zilizokuwa na simu za mezani (landline) zilikuwa zikihesabika kama pale mtaani au pengine baadhi ya wengine walikuwa wakilazimika kwenda kwa jirani mtaa wa pili kusubiria simu ya mtoto wake aliyeko Arabuni aliyeahidi kwamba angepiga simu majira ya jioni. S i k u z i k a p i t a n a kusonga mbele, ambapo taratibu simu za mkononi zikaanza kuingia na adha ya mtoto kutumwa kila siku kwenda kumuita jirani aje kuzungumza na simu yake ikaanza kupungua. Hii leo pengine ni watu wachache ambao katika Matumizi ya simu yanatupeleka wapi? Na Salum Bendera maisha yao ya kila siku hawatumii masaa kadhaa wakiwa wanashughulishwa na simu, kuanzia facebook, twiter, whatsapp, viber, tango, line, talkbox, talkray na huduma nyingine nyingi za mawasiliano zinazopatikana katika hizi simu za kisasa z i na z o j ul i k a na k a ma smartphone, ambapo baadhi wanapenda kuziita Simu za Tachi na nyinginezo. Bila shaka kutumia suhula na nyenzo za kisasa kwa ajili ya mawasiliano baina ya watu, ni jambo lenye taathira kubwa kwa familia na jamii na hata kubadilisha mtindo wa maisha (life style) wa mtu. Hii leo ukipanda basi, ni mara chache kusikia mijadala ya kisiasa kama zamani, au ubishi wa Simba na Yanga au mambo ya siasa ya CUF na CCM; kwani kila mtu ameshughulishwa na simu yake. Hata wengine wanasema, s i mu hi z i z i me s a i di a kums hughul i s ha mt u anapokuwa katika fulani na hivyo kumpunguzia presha na maumivu ya foleni hasa katika jiji la Dar es Salaam. Baadhi ya nyumba baba, mama, na watoto kila mmoja ana simu yake au tablet hivyo ameshughulishwa na kuchati. Wanaf ami l i a hawana tena muda wa kuongea kwa muda mrefu kama zamani. La kusikitisha ni kwamba, baadhi wanaghafilika na hata kusahau majukumu yao ndani ya nyumba kwa sababu ya simu. Katika hili sio akina mama tu, bali hata akina baba nao pia wamo. Karibuni hivi nilikuwa nikizungumza na swahiba wangu mmoja kuhusiana na hili, akaniambia lakini unajua bora hivyo kuliko zamani watu walikuwa wakikaa na kusengenya. Kushibana kwetu hakukuwa sababu ya mimi kutopinga hoja yake hiyo. Nilimwambia kwamba, hilo kwa upande mmoj a yawezekana kul i tazama hivyo lakini katika upande wa pili, usisahahu kwamba, watu siku hizi wanasengenya pia kwa simu. Si hayo tu, mko kwenye chombo cha usafri mtu anapigiwa simu utamsikia anasema Niko Muhi mbi l i i l hal i mko Kimara mnaelekea Mbezi. Uongo wa wazi tena mbele ya kadamnasi, bila ya haya wala soni. Kwa hakika simu kama ilivyo satalaiti, ina mambo mengi mazuri na mabaya. Unaweza kupata programu nzuri za Kiislamu, Qurani kwa maandishi, sauti za wasomaji Qurani mashuhuri na t of aut i duni ani na mengineyo. Hivyo inategemea na jinsi mwenyewe unavyoitumia simu yako. Kwenye vikao na hata mihadhara ya kidini nje na ndani ya misikiti, baadhi ya watu hushughulishwa na s i mu zai di kul i ko kinachozungumzwa pale. Au wengine unazungumza naye huku anachati. Kasi na ongezeko la simu pamoja na mat umi zi yake kwa namna fulani ni tishio kwa mfungano na hali ya ukaribu baina ya wanafamilia. Jarida moja liliandika hivi karibuni kwamba, hii leo kuna simu za mkononi bilioni 1. 35 hivi. Katika baadhi ya nchi, zaidi ya nusu ya wakaazi wake wana simu za mkononi. Jarida The Bulletin la Australia linaripoti hivi: Idadi ya simu za mkononi zinazotumiwa inakaribia jumla ya idadi ya televisheni na kompyuta. Katika nchi zaidi ya 20, idadi ya simu za mkononi inapita idadi ya simu za waya (Landline). Mtaalamu mmoja amesema kwamba zaidi ya kuwa hatua kubwa ya kiteknolojia, simu za mkononi zimebadili jamii. Tukiachana na faida na madhara ya matumizi ya simu kijamii, kwa upande wa kiuchumi na kurahisisha mi amal a, t eknol oj i a ya simu imekuwa na nafasi muhi mu s ana na hat a baadhi ya nchi zimekuza uchumi kupitia teknolojia hii. Wafanyabiashara wengi wanafaidika kwa kuwa simu nyingi za mkononi zinauzwa. Shi r i ka moj a kubwa l i l i sema hi vi : Si mu ya mkononi ndicho kifaa cha elektroniki kinachouzwa kwa wi ngi zai di . Basi , leo watu wanatumia pesa nyingi zaidi kununua simu za mkononi ikilinganishwa na pesa walizotumia zamani kununua kifaa chochote kile cha elektroniki. Hivyo basi, teknolojia hii ya mawasiliano ina faida nyingi na mambo mabaya pia isipokuwa la msingi ni kuwa makini juu ya namna tunavyoitumia. Tutumie simu kwa mujibu wa mahitaji na kwa njia sahihi kulingana na mafundisho ya dini yetu. Wazazi jukumu lao hapa ni zito kwani hiki kizazi kinachoinukia kizazi cha teknoloj ia na mitandao ki napaswa kuandal i wa mazingira mazuri na ramani ya njia ya namna ya kutumia nyenzo hizi za mawasiliano. Njia bora kabisa ni malezi bora kwa misingi ya Uislamu. Wazazi watakiwa kuwaendeleza vijana kielimu, sio kuwatafutia kazi Inatoka Uk. 16 omba ushauri kwa wazazi au walimu wako angalia njia nyingine ya kuweza kufikia malengo yako, kwa sasa njia zipo nyingi za kukuwezesha kufika ulipo kusudia. Alisema Ust. Shemtoi. Ai d h a a l i wa s i h i vijana hao wa Kiislamu kut oj i i ngi z a ka t i ka propaganda ya kufanya zinaa salama kwa kutumia kondomu, bal i wawe mstari wa mbele kupinga hilo huku wakijiandaa kuwa wanafamilia bora kwa kufuata taratibu na misingi ya Kiislamu ya kuchagua mwenza atakaye faa kwa ajili ya kujenga familia bora. Alisema, hakuna zinaa salama na kwamba uchafu ni uchafu tu. Kwamba si sahihi kwa kijana wa Ki i sl amu akaj i i ngi za katika kampeni hizo kwani atakuwa anamchukiza Mwenyezi Mungu badala yake, anatakiwa kupiga vita propaganda hizo. Akizungumzia suala l a uhaba wa wal i mu wa somo la maarifa ya Ui sl amu mashul eni , Shemtoi alitoa wito kwa viongozi wa taasisi za Kiislamu kuandaa au kuratibu semina wezeshi za uendeshaji wa somo hilo (EDK) kwa Walimu wa l i opo ma s hul e ni pamoj a na wal e wa madrasa. Katika mahafali hayo, wahi t i mu wal i gai wa vyeti pamoja na zawadi ya tafsiri ya Juzuu tatu za mwisho katika Qur an tukufu, kwa lengo la kuwapatia vijana marejeo ya kuj ua mwenyezi Mungu anataka waishi vipi. Ust. Shemtoi, aliyekuwa mgonj wa kwa muda mrefu baada ya kupata ajali ya pikipiki akiwa katika shughuli za Daawa na kuvunj i ka mguu, alitumia fursa hiyo kutoa shukrani kwa wadau wa taasisi mbalimbali za Kiislamu zilizokuwa naye bega kwa bega wakati akijiuguza kwa kuanzia kwa madaktari wa Hospitali ya teule na Kibiboni, mkoani Tanga. Al i zi taj a baadhi ya Taasi si hi zo kuwa ni Munazamat , Daar ul Hadiith, IDF, TAMPRO, IPC na Waislamu wote kwa ujumla, kwa michango yao na dua zao pamoja na gazeti la An nuur, kwa kuuf ahami sha umma kufuatia ajali aliyoipata. Masjid Kadiria Mwasiti uliopo kijiji cha Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani wanaomba msaada wa kuchimbiwa kisima katika Msikiti huo. Gharama za uchimbaji wa kisima hicho ni shilingi milioni tano mpaka sasa zimepatikana milioni moja hivyo basi bado milioni nne (4). Shime Waislamu kutoa ni moyo, unaombwa kuchangia chochote ulichojaaliwa na Muumba wako kwa ajili ya kuweka akiba ya Akhera yako. Unaweza kuchangia kupitia Akaunti ya benki na namba za simu kwa tigo pesa: 0656 092 436 au A/c No 001340085740001 Amana Bank Wabillah Tawfq Msaada Ustadhat Mwasiti (kulia) akiwa na wanafunzi 13 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 MAKALA NIKIJARIBU kuyapima mambo wakati mwengine huj i t i a ma t uma i ni kuhusiana na mwenendo na matukio ya hapa kwetu Zanzibar. Mitaani na watu wangu wa tafakuri hunichagiza kwa kelele na kwa ufupi wa maneno huniambia, wewe jipe mat umai ni t u. Kuna wakati nikajisemea na nafsi yangu kuwa labda ni ki pi ndi mwi s ho mambo yataenda vizuri. Sasa naanza kupat a wasiwasi na nashindwa kumuelewa. Kwamba ni kwa kiasi gani kiongozi wa Zanzibar aliyeapa kuilinda katiba ya Zanzibar PAMOJA NA MAMBO MENGINE I NAMPA KI ONGOZI MAMLAKA YA KIINCHI na kuipa Zanzibar hadhi ya nchi sawa na mshirika mwe z a k e k we n y e muungano hal afu l eo inatengenezwa KATIBA INAYOKUJA KUFUTA NGUVU HIYO na bado ikatokea kuiunga mkono tena kwa hali na mali? Hili la kuondoshwa c h e o mwa n a s h e r i a Othman, inasemwa kuwa ni baada ya Waziri Mkuu Nashindwa kumuelewa Rais Dr. Shein Na Mwandishi Maalum na mwanasheria wa SMT kushindwa kumshawishi O t h m a n k w e n d a Dodoma. Kulikuwa na busara gani hapo wakati kwanza mazingira ya kule Dodoma yalikuwa hatari kwa mwanasheria huyu, pili alikuwa hakubaliani na kile kilichokuweko kul e na haki yake ya kikatiba na kidemokrasia t at u Seri kal i ya SMZ haikukwa na msimamo wowote juu ya jambo hili nini kilimsukuma Dr Shein kufanya hivyo? Kwamba basi, kiongozi wa nchi anashindwa hata ile kujipa fursa ya kumsikilza mwanasheria wa SMZ kwa mambo makubwa ya nchi kama haya. Hivi ni kuwa serikali yetu haijui nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali? Suala hili limenivunj a moyo sana na kwa kweli kumbe bado sana. Amefurahisha watu kwa kuiadabisha mamlaka ya kisheria yote maana huyu ndie alikuwa na j ukumu l a kut oa mwongozo wa kisheria juu ya SMZ? Lile sakata la UAMSHO nalo limekuwa donda sugu. kuanzi a hat ua ya mwanzo kuwekwa ki z ui z i ni Ma s he i kh wale, na zile danadana za mahkama wakati ule. Taswita inayojitokeza ni kuwa haya mambo ya kisiasa, wala sio uhalifu au ya kisheria. Na Masheikh hawa kupelekwa Kisutu ba da l a ya Vuga ni mwendelezo tu wa mchezo huu, ninaoweza kuuita kuwa ni mchafu. Iko wapi mamlaka ya Zanzibar licha ya kuwa na Mahkama zake? Yuko wapi mlezi wa mamlaka hii ya Zanzibar? Tuna bahati mbaya sana. Serikali yetu utafikiri haiyajuwi yanayoendelea huku nje na mitaani, kile kilio cha raia wake wala haisikii na bado zile nyimbo za wachezea a ma ni z i na one ka na kama burudani fulani tu, yakiwemo yale matusi ya pale Kisonge ya ubaguzi na mat usi yasi yof aa. Inasikitisha kuwa kuna ml ezi wa seri kal i ya SMZ/GNU na yeye ndiye Makamo Mwenyekiti wa Chama anachokiongoza hal af u mt ot o wake mwenyewe, Ki songe, anafanya haya na yeye mlezi kimya. Nashindwa kuelewa. UKO WAPI WAJIBU WA DHAMANA WA KIONGOZI WA NCHI KWA RAI A ZAKE? , UKO WAPI WAJIBU WA KUI LI NDA KATI BA YA Zanzibar? Uko wapi wajibu wa kulinda maslahi ya Zanzibar? Nashindwa kuelewa. Mungu Ibariki Zanzibar RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein. Msuli wa Nyerere ulitumika kuiunda Mzee Sadiki waulize wanaoijua Bakwata Na Bakari Mwakangwale WAPO wazee wetu ambao wametangulia mbele za haki, lakini wakituachia usia mzito. Kwa mba vye o na kupenda s t ar ehe za kidunia, kusitupumbaze, hadi tukaiuza Akhera yetu kwa namna mbaya. Na wakatufafanulia hi yo na mna mba ya y e n y e we k u wa n i Mui s l amu kut umi ka kuhujumu Uislamu na kuwahujumu Waislamu wenzake ili kulinda cheo na masilahi yake serikalini na ya kidunia kwa ujumla. Miongoni mwa wazee hao ni marhum Mzee wetu Rashid Mfaume Kawawa na Rashi d Kayugwa. Hawa kwa nyakati tifaudi, walieleza masikitiko yao j i nsi wal i vyot umi wa na Nyerere kuhuj umu Wai sl amu, zi ki wemo zile harakati za kuuwa Jumuiya ya Waislamu ya EAMWS na kuwaundia Bakwata. KUNA us e mi wa Kiingereza usemao No Research no Ri ght to Speak. Usemi huu umekuwa ukitafsiriwa na wengi kuwa kama huj afanya utafi ti hauna haki ya kusema, au hakuna haja ya kulisema jambo ikiwa hujalifanyia uchunguzi. Hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam, Mzee Said Meck Sadiki, alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari, akikanusha madai ya wanaosema kwamba BAKWATA, ni chombo cha Serikali. Kabla ya kukanusha hilo, Mzee Sadiki, angelijaribu kwanza kujiuliza kwa nini madai hayo yaelekezwe kwa BAKWATA na si Taasisi nyingine yoyote, iwe ya Kiislamu au ya Kikristo. B a a d a y a h a p o , angefanya utafiti madai hayo kama yana ukweli wowote au ni uzushi tu kama alivyodai, kisha sasa ndipo angekuwa na haki ya kuisemea BAKWATA, kulingana na majibu ya utafti wake. Wa i s l a mu a u ha o w a n a o d a i k u w a BAKWATA, ni sehemu ya Serikali wanadiriki kusema hivyo kulingana na mwenendo wa wazi wa Baraza hilo dhidi ya Waislamu, ambao hauhitaji utafti wa kina na mgumu sana. Kuna matukio mengi ambayo uki yarej ea ni dhahiri utajiuliza Baraza hi l i l i po kwa aj i l i ya Waislamu au dhidi ya Waislamu? Lakini wapo walioshiriki kuundwa kwake walisema hadharani kabla ya umauti wao kuwafika na wapo wal i ofanya utafi ti wa kina na kuweka katika machapisho mbalimbali hat ua kwa hat ua ya uundwaji wa BAKWATA. Mfano wa waliosema baada ya kuundwa kwake, ni Mzee Rashid Mfaume Kawawa, al i ye kuwa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa Serikalini. Mzee Kawawa al i onye s ha kuj uti a ushi ri ki wake katika hila za kumngoa Mufti wa Tanganyika na Zanzibar, Sheikh Hassan bin Amir. Pia yupo Bw. Rashidi Kayugwa, al i yekuwa Afisa Usalama wa Taifa Dar es Salaam, kabla ya umauti wake al i el eza mchango wake katika kuwahujumu Waislamu na Uislamu akiwa Serikalini, katika harakati hizo za kuwaundi a Wai sl amu BAKWATA. Lakini yupo Mzee Bilali Rehani Waikela, ambaye mpaka sasa yupo hai pale Mjini Tabora na hivi karibuni aliizungumzia BAKWATA mbel e ya Mahakama ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam, katika kesi iliyowakabili Waislamu ya uvamizi wa kiwanja cha Markazi Chongombe, ambaye alisema Baraza hi l o hal i na ri dhaa ya Waislamu katika kuundwa kwake. K w a u p a n d e w a m a c h a p i s h o , mwanahistoria na mtafti Inaendelea Uk. 15 14 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Habari Vita isiyo na mwisho Inatoka Uk. 9 na kwamba huko aliko ashapat a J aza nj ema kutoka kwa Mola wake. Uk i s o ma t a a r i f a h i z i u t a o n a k u wa zinafanya kazi mbili kwa wakat i mmoj a. Moj a, zinapandikiza chuki kwa wale wote waliohusika na kifo cha Yahya pamoja na waliowatuma. Hapa unaweza kusema kuwa ni polisi wetu, serikali na wenye vita yao ya ugaidi Marekani. Pili, i nahamasi sha vi j ana wengine kuwa kama Yahya. Wanaoendesha mitandao hii wanaweza kuwa hao hao mawakala (agents) wa mabeberu, sawa na wale wanaoendesha mitandao ambayo kila wakati hudai kuwa ni ya al-Qaidah au al-Shabab. Na lengo hapa ni kuwanasa vijana wengi wa Kiislamu wadhani kuwa akina Yahya wapo katika Jihad na wamekufa mashaheed kwa hi yo nao watamani u-Shaheed huo. Sasa hapa kuna kosa linafanyika katika uf ahamu. Waandi shi wengi wanapoi l aumu Marekani kuwa vita yake dhidi ya ugaidi haijazaa matunda bali imeongeza magaidi, wanadhani hili ni jambo la bahati mbaya tu au matokeo ya lazima ambayo hayakupangwa toka awali. Sio. Ukisoma na kuchambua yal e yat okanayo na NSDD (National Security Decision Directives Reagan Administration. ... NSDD 166: US Policy, Programs, and Strategy in Afghanistan 27 Mar 85 NSDD 167) na yale ya Op e r a t i o n Cy c l o ne kwa uj uml a, na yot e yaliyofanyika katika utafti uliofanyika katika Chuo Kikuu cha Nebraska kabla ya kuwatengeneza akina Osamah Bin Laden na New York na New Jersey. Ukipitia makala hizi na nyingine nyingi chini ya mada Black Propaganda, pengine unaweza kupata picha nini kilikuwa nyuma ya shambulio la USS Cole, ambapo ilidaiwa kuwa ni Waislamu akina Jamal al - Badawi , Maamoun Msouh, Fahd al-Quso, Ali Mohamed Saleh na Murad al-Sirouri. Abd al Rahim al-Nashiri Wengine wakatajwa kuwa ni Ibrahim al-Thawr, Abdullah al- Misawa na hata akina Fazul waliovuma sana huku kwetu. Hi l i n d i l o t u k i o kubwa ambalo hatimaye lilipelekea viongozi wa nchi hiyo kutiwa kitanzi na kujikuta wakiwa vibaraka wasal i t i wa nchi zao wenyewe na watu wao. Tunaambiwa: Chini ya Rais Ali Abdullah Saleh, wanasi asa wa Yemen walikuwa hata wanasema uwongo mbele ya Bunge lao kwa kuikingia kifua Ma r e ka ni na kuda i walifanya mashambulio hayo ya Marekani. Kama leo tumefikia mahali pa kudai kuwa wa t u h u mi wa we t u walikufa kwa kupigwa risasi mguuni, lakini maiti zao zinatoa picha tofauti kabisa, je, hii haiwezi kuwa ishara kuwa tunakoelekea ni kule kule walikofika akina Ali Saleh? Tujue tu kuwa kadiri tunavyoj ifanya mahiri sana wa kupambana na watuhumiwa wa ugaidi kwa mbi nu zi l e zi l e tunazopewa ndani ya vikosi mfano wa ATPU, t uj ue kuwa ndi vyo tunavyosaidia kuboresha na kuendeleza ubeberu wa wanaofadhili vikosi vyetu maalum. Tu n a wa f u n g u l i a milango na kuwasafshia nj i a ya k ut a wa nya makachero wao na vikosi vyao katika nchi zetu. Na bila shaka tunajua nini maana yake. Sasa, tuna hiyari, kukaa kitako na kutafakari upya juu ya vita hii dhidi ya magaidi na kujua namna ya kwenda nayo, l a sivyo tujiingize katika hii Yemen model, ambayo kwa hakika ni nj ia ya uhaki ka ya kuel ekea maangamizi. Uc haguzi ni wet u kwa s ababu Mungu k a t u p a a k i l i . Na hawakuwa hao mabeberu wanaotupelekesha kuwa wao wana nyoyo mbili. Ni moja kama tulivyo sisi. Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house Inatoka Uk. 9 j i n s i w a n a w a k e wanavyocharazwa bakora wakioonekana kwenda shule au kusoma kitabu chochote. Katika hali hiyo, wapo wanaosimulia jinsi wanavyosoma kwa taabu usiku kwa kujifcha, lakini Tal eban wanaovi nj ari mitaani usiku na mchana mara wanawakuta na kuwacharaza bakora. Igizo na usanii hufanywa kiufundi hali inayowaacha watizamaj i wakitokwa na machozi. Mwisho wa mchezo huu uliopewa jina The Afghan Women, mu a n d a a j i Ta mmy Meneghini husema: These women went through this every day. Akimaanisha kuwa hiyo ndiyo hali wanayoishi nayo wanawake wa Afghanistan kila siku. Li ngani sha mchezo huu na ile kauli ya Rais Reagan kuwa Taliban/Al Qaida, kimaadili ni sawa na Founding Fathers wa Marekani! Hawa ndio wenye vita yao ya ugaidi ambayo tumejikuta tukijiingiza au tukiingizwa bila kupenda. al-Qaida, utaj ua kuwa hayo yote yalijulikana na ki l a l i nal of anywa linafanywa kwa makusudi ikijulikana matokeo yake, na hayo matokeo ndiyo yanayotakiwa. Kwamba katika utafti ule mambo kadhaa yalitakiwa. Moja ni kujua namna ya kucheza na bongo za Waislamu kwa kuwapandi ki zi a fkra za Jihad (feki) kwa kutumia Aya na Hadith, lakini nje ya maudhui na mukt adha husi ka (context). Pili, namna ya kuwaf anya Wai sl amu wenyewe waendel ee kuzalisha Muj ahidina hao feki ambao ndio wataitwa magaidi na hivyo kudumisha na kuhalalisha vita isiyokwisha inayoitwa ya ugaidi. Zipo njia tatu zinatumika kuzalisha magaidi. Moja, ni ile ya moja kwa moja. Wanafunzwa watu na kuwezeshwa kuf anya vitendo vya kigaidi (mfano ISIS, al Qaida) na hao hao wanaopigana vita dhidi ya magaidi. Pili, watu kutoka vikosi maalum, au majambazi tu wa kupewa pesa, hutumiwa kufanya vitendo vya kigaidi kisha husemwa ni akina fulani (al-Qaida, Al Shabab, Boko Haram n.k ) Njia ya tatu ya kuendeleza magaidi ndio kama hii inayofanywa na vikosi maalum vya polisi au Idara za Usalama wa Tai fa. Unakamata watuhumiwa unawatesa kupindukia na wengine unawauwa kwa mateso au kuwapiga risasi bila ya kuwafkisha mahakamani wakahukumiwa kisheria. Wanaofanya kazi hii ya kutesa na kuuwa kama wanavyofanya wale Anti- Terror Police Unit (ATPU) wa Kenya, wanaweza kujiona kuwa wanafanya kazi ya dola, kupambana na watu waovu, lakini kwa hakika wanafanya kazi ya mabeberu ambayo kwa j i ns i mabeber u walivyoipanga wanajua dhahiri kuwa itapandikiza chuki , hasi ra na kwa maana hiyo kuzalisha watu waovu zaidi. Na huo utakuwa ni mtaji wa uhakika wa kuendeleza vita, vita isiyo kwisha. Nchi i nakuwa hai na amani, kila uchao itakuwa inawahitajia mabeberu hao hao kikachero, kipolisi na kijeshi katika kupigana vita iliyopandikizwa na inayopepewa na mabeberu ha o ha o. Mt a j i kut a mki undi wa Spec i al Forces katika Jeshi na Pol i si zi nazoongozwa na mabeberu na nyi e ma k a ma n d a we n u wakibaki kuwa wabeba mikoba ya mabeberu! Wanafuata maelekezo na program wanazoletewa! Ndiyo hali ilivyo Yemen, Pakistan na kwa kiasi kikubwa hivi sasa jirani zetu Kenya wanakimbilia huko huko. K a m a tunavyoengwaengwa hivi sasa na hata kubururwa kui ngi zwa kundi ni , tukumbuke kuwa Yemen iliingizwa katika nchi washirika wa kupambana na ugai di baada ya shambulio la USS Cole ambapo ilidaiwa kuwa wahusika ni raia wa Yemen, ambapo askari wanamaji 17 wa Marekani waliuliwa na wengine 39 kujeruhiwa. Lakini hebu soma, The USS Cole bombing against the backdrop of Israeli "Black Propaganda" Operations by Michael Gillespie. Soma pia kile alichosema kachero wa CIA John ONeill aliyewahi kufanya kazi na FBI katika kile kilichoitwa FBIs Joint Terrorism Task Force kule KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas. 15 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala wa hi s t o r i a s a hi hi ya Tanganyi ka, Bw. Mohammed Saidi, yeye ndio ameweka bayana zaidi hatua kwa hatua uundwaji wa BAKWATA, katika kitabu chake cha Maisha na Nyakati za Abdul wahi d Sykes - (1924-1968). Mk uu wa ng u wa Jij i hili, Meck Sadiki, afahamu kuwa kuisafsha BAKWATA, ili ikubalike kwa umma wa Kiislamu n a k u f u t a ma d a i hayo, si kazi rahisi ya kuzungumzi a kat i ka maj ukwaa ya mialiko kama anavyodhani. Wahenga wanasema k a m w e , h u w e z i kuwadanganya watu kwa wakati wote. Ni wazi BAKWATA, i mekuwa ikinasibishwa na Serikali kwa kuzingatia uundwaji wake na jinsi ambavyo i na v y o wa y umb i s ha Waislamu katika mambo yao mbalimbali. Kwa msaada wa kitabu hicho cha Mohammed Said, nitafafanua namna Bakwata, ilivyoundwa ili kumsaidia Mzee Sadiki, na wengine wenye mtazamo wake, kama walikuwa hawajui, sasa watambue kuwa madai aliyokanusha hayana nguvu ya hoja bal i wanaoi nasi bi sha BAKWATA na Serikali wana hoja ya nguvu na ushahidi wa kutosha. Katika uundwaji wa BAKWATA, anat aj wa Adamu Nasibu, kuwa ndiye alikuwa kinara akitumiwa na Mwalimu Julius Nyerere, katika k u i u wa i l i y o k u wa Jumuiya ya Waislamu (EAMWS). Simulizi ya kitafti juu ya uundwaji wa BAKWATA, inaanza kueleza kwamba hadi kufi ki a j uma l a kwanza Desemba, 1968, ni Mikoa Mitatu kati ya Kumi na Saba ilikuwa i meshaj i tenga kutoka EAMWS. Kile kikundi cha Adam Nasibu kikaunda kamati kwa ushirikiano wa Kamati ya Maulidi ya Dar es salaam, Adamu Nasibu, akiwa Katibu na Shei kh Abdal l ah Chaurembo, Mwenyekiti. Halikadhalika kulikuwa na Waislamu waliokuwa na nafasi katika chama cha TANU, kama Sheikh Abdallah Chaurembo na Juma Sued, kiongozi wa TANU kutoka Bukoba, i l i kuwa wazi kuwa Serikali ya J.K Nyerere, ilikuwa inamtayarisha S h e i k h A b d a l l a h Mzee Sadiki waulize wanaoijua Bakwata Chaurembo, kuchukua nafasi ya mwalimu wake na mtu aliyemfkisha pale alipo, Sheikh Hassan Bin Amir. Mwalimu Nyerere, akaunda mi pango i l i Sheikh Hassan Bin Amir, aondolewe na kupelekwa Zanzibar, ili kundi la Serikali yake chini ya Adamu Nasibu, liweze k u c h u k u a u o n g o z i wa Wai sl amu bi l a ya kipingamizi chochote, kwani ilionekana Sheikh Hassan Bi n Ami r ni kikwazo kwao. Kwa amri ya Mwalimu Julius Nyerere, akiwa Rais, Sheikh Hassan Bin Amir, alikamatwa na makachero wa Usalama wa Taifa usiku wa manane na kupelekwa uwanj a wa ndege na kurudishwa Zanzibar. Katika uhai wake, baada ya miaka mingi kupita, Mzee Rashid Mfaume Kawawa, alisema kuwa anajuta kuunga mkono kukamatwa kwa Mufti wa Tanganyika na Zanzibar, Sheikh Hassan bin Amir, huku akielekeza lawama zake kwa waliomshauri kufanya hivyo. Baada ya kukamatwa kwa Sheikh Hassan Bin Ami r, Adam Nasi bu, akatangaza kufanyika kwa mkutano ambao ulikuja kujulikana kama mkutano wa Waislamu wa Taifa, uliofanyika Mkoani Iringa, Desemba 12 hadi 15, mwaka 1968. Agenda kuu ya mkutano huo ilikuwa katiba kwa ajili ya Jumuiya mpya ya Waislamu. Waislamu waliokuwa Serikalini, wakati huo wal i j i weka pembeni waki shi ndwa kusema chochot e na kubaki a kuwa kama watazamaji huku Mwl . Nyer er e, kwa taratibu akiuvunja uongozi wa Jumuiya ya Waislamu ya EAMWS. Wa k a t i h u o h u o akitayarisha watu wake wa kuwaongoza Waislamu, na Maulamaa wa Kiislamu ambao walikuwa na hadhi ya kuleta suluhu katika masuala ya Waislamu hawakuweza kufanya lolote kwa kuwa walikuwa waki j ua fi ka kwamba aliyekuwa akiivunja na kuiftini EAMWS, hakuwa Adam Nasibu, bali yeye na kundi lake walikuwa wakitumiwa tu. Kundi hilo la Adamu Nasibu, lilikuwa halitaki wal a kus i ki a l ol ot e isipo kuwa Jumuiya ya Wai s l amu ( EAMWS) ivunjwe na badala yake iundwe Jumuiya mbadala itakayo kuwa chini ya kivuli cha Serikali. Sasa, wakij ionyesha wazi kundi hilo la Adamu Nasibu, kuwa Serikali na chama chake cha TANU i l i kuwa nyuma yao, lilikutana kwa ajili ya kile walichokiita Mkutano wa Waislamu wa Taifa uliofanyika Mkoani Iringa, mwezi Desemba 13, 1968. Serikali ilifanya kazi nyuma ya pazi kwa kujitahidi kuhakikisha kuwa mkut a no ul e unafani ki wa. Seri kal i ndiyo iliyotoa fedha za kufanyia mkutano huo wa kutafuta Baraza mbadala wa EAMWS, pia ikatumia vyombo vyake vya habari kuutangaza na kuupamba vizuri mkutano huo na zaidi ilitoa ulinzi kwa wajumbe wote. K w a h a l i h i i , u t a i p a m b a n u a j e BAKWATA kuwa si o chombo cha Serikali, vipi Serikali ishiriki kuunda chombo cha Waislamu kwa shinikizo la kuuwa kile ambacho kiliundwa na Waislamu wenyewe. Ras hi di Kayugwa, al i yekuwa Af i s a wa Us a l a ma wa Ta i f a , anataj wa kuwa ndi ye a l i ye p e wa k a z i ya kudumisha mawasiliano kati ya kundi la Adamu Nasibu na Serikali. Ka y u g wa , n d i y e alikuwa akitoa mbinu za propaganda kwa Adam Nasibu na nini kifanyike na kwa wakati gani ili k uv unj a umo j a wa Waislamu uliokuwepo chini ya Jumuiya yao ya EAMWS. Bwana huyu, kama vile kutanabahi au kuomba maghuf i ra kwa Mol a wake baada ya utumishi wake Serikalini kukoma ( Kus t aaf u) , al i amua kueleza mchango wake kat i ka kuwahuj umu Waislamu na Uislamu aki wa mt umi s hi wa Serikali. Kabla ya kufa kwake, Ka y u g wa , a l i e l e z a masi ki t i ko yake kwa kukandamizwa Uislamu na Wai s l amu nchi ni huku akij itolea mfano yeye mwenyewe kwa kut opandi shwa cheo katika Idara ya Usalama wa Taifa kwa sababu ya Uislamu wake. Katika mkutano ule wa Iringa, chini ya kundi la Adam Nasibu, ulipitisha Katiba ya Jumuiya mpya ya Waislamu, Katiba ambayo haikuwa na tofauti na ile Katiba ya Chama Cha TANU. Mheshimiwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Sal aam, Mzee Mec k Sadi ki , hi vi ndi vyo BAKWATA, ilivyoundwa au ilivyoanzishwa. Baada ya hapo, walimchagua Saleh Masasi, aliyekuwa mwenyekiti wa mkutano huo kuwa mwenyekiti wa Taifa na Adam Nasibu, akawa Katibu Msaidizi. Ka ma wa s e ma vyo wahenga, Ndege wa aina moja huruka katika kundi moja ndivyo ilivyokuwa kwani nafasi zote za juu katika BAKWATA, mpya zilichukuliwa na kundi la Adam Nasibu, kundi ambal o toka mwanzo l i l i kuwa ms t a r i wa mbele katika harakati za kuvunjwa kwa EAMWS. Baada ya kufanikiwa, ungozi huo wa BAKWATA, i l i i t a k a S e r i k a l i , iwaandame waliokuwa viongozi wa Jumuiya ya Waislamu ya EAMWS, na wal a hawakut aka maelewano na Waislamu wenzao hao walikuwa katika uongozi wa jumiya hiyo. Lakini ili mambo yaende vizuri, Waziri wa Mambo ya Ndani, wa wakati huo, Bw. Said Maswanya, kwa kwa amri ya Mwalimu Nyerere alitoa taarifa fupi ya kupiga marufuku na kuharamisha EAMWS, iliyosema:- Waziri wa Mambo ya Ndani, kwa kuamriwa na Rais ( J.K. Nyerere) anatangaza kuwa tawi la Tanzania la East African Muslim Welfare Society na Baraza la Tanzania la East African Muslim Welfare Society ni jumuiya zisizotambulika kisheria chini ya kifungu 6 (i) cha sheria ya vyama. Kufuatia tangazo hilo, wal i okuwa vi ongozi wa EAMWS, waliitwa kwa Kabi dhi Was i i , ambaye ndiye alikuwa amekabidhiwa na Serikali j ukumu la kusimamia shughuli za kufunga rasmi shughuli za Jumuiya hiyo pendwa ya Wai sl amu nchini. Mzee Meck Sadi ki , wanaos ema kwamba BAKWATA ni chombo cha Serikali wanazingati hali hii achilia mbali pia chombo hicho kinavyokwenda na matakwa ya Serikali kuliko ya Waislamu. Inatoka Uk. 13 MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiki (kulia). Katikati ni Kamanda wa Kanda Maalum DSM, Kamanda Suleiman Kova. Soma Uk. 13 16 AN-NUUR MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 16 MAKALA Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.
AN-NUUR 16 MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Soma gazeti la AN-NUUR kila Ijumaa W A Z A Z I w a Kiislamu wameaswa kutowaruhusu vijana wao kujiingiza katika ajira pindi wamalizapo elimu ya darasa la saba au ya sekondari, na badala yake wawausie kujiunga na kozi mbalimbali. Wito huo umetolewa na Ustadhi Hamisi H. Shemtoi, wakati akiongea kat i ka mahaf al i ya kuwaaga wanafunzi wa Kiislamu wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Baga, Soni Mgwashi mkoani Tanga, mwishoni mwa wiki iliyopita. S he mt oi , a mba ye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, a l i s e ma h i v i s a s a kuna fursa nyingi za kuj i endel eza ki el i mu ukilinganisha na miaka y a n y u ma , h i v y o Waislamu hawana budi kuzichangamkia fursa hizo. Alisema mtindo na tabia M A K A M U w a Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Sei f Shar i f Hamad amesema kuongezeka kwa matendo maovu katika jamii yakiwemo matumizi ya dawa za kulevya kunachangiwa na kuwepo vijana wengi waliokosa elimu sahihi ya malezi na misingi ya maadili mema. Maalim Seif ameyasema hayo wakati alipokuwa akiwahutubia wazazi, walimu na wanafunzi wa Madrasa TWUWA ya Mt oni Ki gomeni , Wilaya ya Magharibi Unguja, wakati alipofka kuangalia maendeleo ya Madrasa hiyo, pamoja kusikiliza changamoto zinazowakabili. Makamu wa Kwanza wa Rais amesema iwapo jamii itatoa kipaumbele kwa elimu ya maandalizi itakayo wajenga watoto katika misingi bora ya maadi l i mema, Tai fa l i t aweza kuepukana matatizo mengi, ikiwemo balaa la vijana kuingia katika matumizi ya dawa za kulevya. Hata hivyo, Makamu wa Kwanza wa Rais amesifu juhudi zinazochukuliwa na walimu, wazazi na uongozi wa j i mbo l a Mtoni katika kusimamia elimu kwa watoto, bila ya kubagua elimu ya Dini au ya Dunia inayotolewa, kut okana na wazazi kuelewa umuhimu wa elimu hizo. Kat i ka ri sal a yao, wal i mu wa Mdr as a wamesema mi ongoni mwa changamoto kubwa zi nazo wakabi l i ni kuchakaa kwa madarasa, pamoja na kutokamilika kwa baadhi ya majengo ambayo yanahi taj i ka kwa ajili ya kufundishia watoto wengi zaidi. Akisoma risala yao, Mwa l i mu S e me n i Abda l l a h a me s e ma i po haj a kwa wazazi Maadili ya Dini muhimu-Seif Na mwandishi wetu. na wana jamii kuziona c h a n g a mn o t o h i z o zinawagusa na baadaye waweze kusaidia juhudi za kuzipatia ufumbuzi. Amesema Madrasa hiyo ni kituo muhimu cha taaluma kwa watoto na wananchi wengi wa eneo la Mtoni kwa sababu kuna wanafunzi wengi wanaonufaika, ikiwemo baadhi ya wazee ambapo pia hutumia fursa ya kuwepo kwa Madrsa hiyo kujipatia na kujiongezea elimu itakayo wasaidia hapa Duniani na Akhera. Kat i ka haf l a hi yo, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad alikabidhi jumla ya shilingi milioni 4.4 kwa Mwakilishi wa jimbo la Mtoni, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, kwa ajili ya kuendeleza shughuli za ujenzi wa Madrasa hiyo. Wazazi watakiwa kuwaendeleza vijana kielimu, sio kuwatafutia kazi Na Bakari Mwakangwale ya kuwatafutia mabinti au vijana wa kiume kazi za ndani, au kuwafanya kukimbia mijini kwa lengo la kutafuta ajira umepitwa na wakati na hauna tija katika mfumo wa maisha wa sasa. Wa z a z i , n y i n y i ndio mnatakiwa kutoa muongozo kwa vij ana wenu pindi wanapomaliza shule, iwe ni darasa la saba au kidato cha nne, pale wanapokosa nafasi za kuendelea wasikimbilie mijini katika ajira za ndani au ajira nyingine dhaifu, ambazo vi j ana wet u huzifuata mijini. Alisema Shemtoi. Al i o n g e z a k u wa wazazi wana nafasi ya kushauriana na walimu wa vijana wao baada ya matokeo yao ya sekondari au msi ngi kuhusi ana na uchaguzi wa kozi au vyuo vya kujiendeleza kielimu, kwani baada ya matokeo kuwa si o mazuri, vijana wengi huwa wanakosa muelekeo kama hawakupatiwa ushauri mzuri. Ust. Shemtoi alisema baada ya matokeo kutoka na i wapo baadhi ya wahitimu watashindwa k u p a t a n a f a s i z a kuendelea na masomo ya juu, wajengwe kisaikolojia kisha wapelekwe kujiunga katika kozi ndogo ndogo hata ualimu wa shule za awali au wajiunge na vyuo vya VETA, Kilimo, Mifugo, Jeshi, Polisi au hata Magereza. Alisema ikiwa mtoto atafaulu na kuendelea na masomo ni jambo la kheri ambalo kila mmoja ndio lengo lake, lakini ikiwa ikatokea bahati mbaya, wazazi wawashirikishe walimu katika maamuzi ya ni ni cha kuf anya baada ya matokeo yao, ikiwezekana kwa wale wa sekondari warudie masomo. S h e mt o i a l i s e ma kurudia masomo si ujinga na wala si ushamba, bali ni katika njia ya kujipanga kwani ni njia moja wapo inayotumiwa na wengi na mwishowe wanafkia malengo waliyokusudia. Hata hivyo aliwataka wazazi pia kushirikiana na walimu shuleni na kat i ka Madr as a, i l i kuwapatia vijana elimu sahihi na malezi mema. Kwa kuf anya hi vyo itasaidia kuandaa vijana ambao wataweza kuwa na nidhamu na maadili katika jamii. Kwa u p a n d e wa wanafunzi wanaohitumu, Shemt oi , al i wanasi hi kujiandaa na kupokea matokeo yao ya Mtihani wa taiafa kwa namna yatakavyo kuja, kasema ikiwa yatakuja kinyume na matarajio wasitaharuki, ba l i wa t ul i z a ne na kutafakari cha kufanya kwa lengo la kujiendeleza kwa njia mbadala. Un a po k o s a k i l e ulichokitarajia kwa wakati huo, tulizana, jipange, Inaendelea Uk. 12 MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad.