Está en la página 1de 16

ISSN 0856 - 3861 Na. 1149 MUHARRAM 1436, IJUMAA , OKT. 31-NOV.

OV. 6, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=


Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Msuli wa Nyerere ulitumika kuiunda
Mzee Sadiki waulize
wanaoijua Bakwata
KE S I y a r u f a a
inayomkabili Katibu
wa Shura ya Maimam,
Sheikh Ponda Issa
NAOMBA tutazame kwa
undani, laiti Maalim
Hamad, angeliyakataa
matokeo na kupuuza
ushauri wa Mzee Moyo
na Edi Riyami, leo hii
tungekuwa wapi?
Ku i me z a n d o a n a
ya wahafidhina hii leo,
ni kuwapa naf asi ya
kuturejesha nyuma zaidi
wakiwa na lengo lile lile
Mzee Moyo, Karume
Riami waliona mbali
la wagawe na uwatawale
zaidi.
Sisi si wa kulalamika na
kuwatusi waliojiri kugeuza
hasad kuwa kheri, bali
wa kuwapi gi a makofi
kwa j itihada zao huku
tukijiimarisha zaidi na kwa
nguvu zote kuhakikisha
kwamba hatutegeki katika
madema ya shari zao.
(Soma uk.4)
Sheikh Ponda kupangiwa
siku ya hukumu Jumatatu
Na Seif Msengakamba
Ponda imeahirishwa
jana na itatajwa tena
siku ya Jumatatu ijayo
kwa ajili ya kupangwa
tarehe ya hukumu.
M s a j i l i w a
Ma h a k a ma Ku u
aliwaeleza mawakili
wa u p a n d e wa
Inaendelea Uk. 6
Vita isiyo na mwisho
Huu ni Mfano wa Yemen haimaliziki
Mashabiki watawapeleka Yahya Peponi
Wanaibuka Abu Dawood wengine
SHEIKH Ponda Issa Ponda (mwenye kanzu) akipanda Basi la Magereza
jana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiki
(kulia). Katikati ni Kamanda wa Polisi Kanda
Maalum DSM, Suleiman Kova. Soma Uk. 13
Watuhumiwa ugaidi bado
walia maumivu makali
Uk. 3
Uk. 8
2
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
MAAFISA wa afya wa
Marekani wamet oa
mwongozo mpya juu
ya kuwashughulikia
matabibu na wauguzi
wanaorudi nchini humo
baada ya kuwahudumia
wagonjwa wa Ebola
huko Afrika Magharibi.
Tangazo la mwongo
huo nchini Marekani
l i n a k uj a k uf ua t i a
mu u g u z i mmo j a
kul al ami ka kuhusu
kutengwa katika jimbo
la New Jersy, baada ya
kurudi nyumbani.
Mwo n g o z o h u o
unapendekeza kuwa,
wanaotiliwa mashaka
ya kuwa katika hatari
ya kuwa a mbuki z a
wengine, watazuiliwa
n y u mb a n i k wa o
ingawa majimbo tofauti
yatakuwa na uhuru wa
kutoa mwongozo thabiti
zaidi.
Ga va na wa Ne w
Jerzy, Chris Christie,
alitetea mahitaji hayo ya
karantini aliyowekewa
Kaci Hickox, wakati
alipowasili kutoka Sierra
Leone na kuongezea
kuwa wat ae nde l e a
kuchukua hatua kama
hizo.
Mwishoni mwa juma
lililopita, muuguzi Kaci
Hickox, atishia kwenda
ma h a k a ma n i k wa
kutengwa.
Muuguzi huyo raia
wa Marekani, aliwekwa
kar ant i ni baada ya
kufanya kazi nchi ni
Sierra Leone. Muuguzi
huyo alisema kuwa baada
ya kurejea nyumbani,
al i kuwa aki tendewa
kama mhalifu na kudai
k u wa a t a k we n d a
Unyanyapaa wauguzi wa Ebola Marekani
mahakamni kushtaki
kwa alichotendewa.
Maafisa wenzake wa
af ya wanadai kuwa
huenda muuguzi huyo
akaruhusiwa kurej ea
uraiani siku za karibuni.
Kuf uat i a kui buka
na kuwekwa utaratibu
wa kuwanyanyapaa
wauguzi wa ebol a
wanaorejea Marekani
kutoka nchi za Afrika
Magharibi, Katibu Mkuu
wa Umoja wa Mataifa
Ban Kin Moon, amepinga
hatua hizo za kuwaweka
karantini wauguzi.
B a n K i Mo o n ,
a m e z i t a k a n c h i
duniani kuacha tabia
ya unyanyapaa kwa
madaktari na manesi
waliofanya kazi katika
nchi zi l i zoat hi r i wa
na ugonjwa wa Ebola
na kuwa l a z i mi s ha
kwenda karantini pindi
warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika
mji mkuu wa Ethiopia
Adi s Ababa, Moon
aliwaelezea wafanyakazi
hao kuwa ni wa kipekee
mn o n a ma r a f i k i
wazuri hivyo si vyema
kuwatenga.
Moon awali alisema
kuwa wale wanaotaka
k u t o a m s a a d a ,
wasiwekewe vikwazo
ambavyo haviambatani
na sayansi.
A i d h a a l i s e ma
kwamba na wauguzi
waliopata maambukizi
wanafaa kusaidiwa na
sio kutengwa.
Kauli hiyo imekuja
baada ya mratibu wa
ugonjwa wa Ebola Afrika
Maghari bi Ant hony
Banbur y, kuzi t aka
serikali kutofanya lolote
ili kuepusha maelfu ya
wafanyakazi wa afya
ambao wanataraj iwa
kujiunga katika kutoa
huduma, wasikate tamaa
kabla hawajaanza kazi
yenyewe.
Madakt ar i 5000
wanahitajika kupambana
na Ebola
Mkuu wa Benki ya
Dunia (WB) Bw. Jim
Yong, amesema kuwa
nc hi za maghar i bi
mwa Afrika zinahitaji
madaktari na wauguzi
5 0 0 0 kwa a j i l i ya
kukabiliana na homa ya
virusi hatari vya Ebola.
B w. J i n Yo n g ,
alisema hayo wakati
aki zungumza mj i ni
Addi s Ababa nchi ni
Ethiopia na kuashiria
hofu iliyosababishwa
na ugonjwa huo, huku
akionyesha wasiwasi
wake j uu ya nj i a za
kupatikana wahudumu
wa afya katika nchi za
Magharibi mwa Afrika.
Kwa upande wake
Mkuu wa Kamisheni
ya Umoja wa Afrika,
Nkosazana Dlamini-
Zuma, amesema kuwa
nchi wanachama wa
umoja huo zimeahidi
k u t u ma z a i di wa
wat aal amu 2000 wa
afya na matibabu katika
nchi za Magharibi mwa
Afrika.
Hat a hi vyo Zuma
h a k u a s h i r i a l i n i
w a h u d u m u h a o
wat at umwa kat i ka
nchi zilizoathiriwa na
ugonjwa huo.
Mlipuko wa ugonjwa
wa e b o l a Af r i k a
Magharibi umewaathiri
zaidi ya watu 10,000 hadi
sasa na kuua takriban
watu 5,000. (BBC)
NI suala lililozoeleka na
la kawaida kwa wazazi
na walezi nchini kwamba,
kila anapozaliwa mtoto,
basi ni lazima wataalam
wetu wa afya katika vituo
vyetu wampatie mtoto
aliyezaliwa chanjo kwa
ajili ya kumpatia kinga ya
maradhi mbalimbali.
Wat aal am wa af ya
huwa wanafuatilia afya
ya mtoto na kumpatia
huduma muhi mu za
kinga kwa awamu na kwa
nyakati tofauti tangu wa
mtoto anapozaliwa hadi
anapofkia umri wa mwaka
mmoja na nusu.
Tuna e l e z wa kuwa
kinga hizo hutolewa kwa
ajili ya kuepuka maradhi
yanayoweza kuwasumbua
zai di watoto, ambayo
baadhi yake ni surua,
degedege, pepopunda,
pol i o na ma gonj wa
mengine ya kuzuka.
Hata hivyo, pamoja na
kwamba ni wajibu watoto
kupatiwa huduma hizo za
kinga, lakini pia mara kwa
mara serikali imekuwa
ikija na mazoezi ya chanjo
kwa watoto nchi nzima,
hususan mashuleni na
katika vituo mbalimbali
vya afya.
Mfano mzuri ni zoezi
lililomalizika mwezi huu,
ambapo wataalam wa afya
wamezunguka mashuleni
kuwapa chanj o watoto
kuanzia miaka mitano
kwenda juu.
Zoezi hilo tumeelezwa
kuwa ni kwa ajili ya kinga
ya maradhi ya surua na
Ri bel a. Laki ni chanj o
hi yo pi a i mej umui sha
wat u wazi ma, ambao
tumeelezwa kuwa chanjo
kwao ni kwa ajili ya kinga
na maradhi ya mabusha na
matende.
Pamoja na hatua hiyo ya
serikali ya kugawa kinga
ya maradhi yaliyotajwa
kwa watu wake, lakini kwa
Watanzania tunaona kuwa
maradhi yanayowatesa
zaidi na kupoteza maisha
yao zaidi, si kwa watoto
wala watu wazima, ni
ugonjwa wa malaria.
Ugonjwa huu umekuwa
Tunahitaji chanjo
kinga ya maleria
mahiri na tatizo sugu kwa
Watanzania. Wataala wa
takwimu za afya wanaeleza
kuwa hakuna ugonj wa
unaoteketeza maisha ya
Wat anzani a unaozi di
Malaria.
Hata si si tunaami ni
kabisa kwamba, hakuna
f ami l i a kat i ka kaya
i n a y o we z a k u p i ma
ugonjwa huo, akakosekana
mwenye malaria moj a,
mbili, au tatu.
Tumeshuhudia miradi
mingi sana ya kupambana
na malaria nchini, miradi
ya ut af i t i , mi radi ya
kut okomeza mal ari a,
miradi ya vyandarua nk.
Achilia mbali miradi
hii, kumekuwa na aina
nyingi sana za dawa za
malaria, hata wakati fulani
t ukaambi wa nyi ngi ne
hazi wezi t ena kut i bu
malaria na zikazalisha
dawa nyingine kuchukua
nafasi za zile za awali.
Kwa mfano tuliambiwa
chl oroqui ne hazi wezi
tena kutibu ugonjwa huo
na zikapigwa marufuku.
Zikaletwa dawa za jamii
ya SP. Ambazo ni pamoja
na metacelphine, fansida,
orodar nk. Hizo zikaleta
madhara kwa baadhi ya
watu. Zikaletwa zile za
jamii ya mseto, ambazo
tunaendelea nazo mpaka
sasa.
Zaidi ya dawa hizo,
Watanzania wamekuwa
wakihimizwa kutumia
z a i di vya nda r ua i l i
kujikinga na mbu waenezao
ugonjwa huo wa Malaria.
Ni aghalabu kukuta familia
haina vyandarua katika
vitanda vyao, hususan
katika miji yenye joto na
mbu wengi kama Zanzibar,
Dar es Salaam, Tanga,
Pwani, Lindi, Mtwara na
mikoa mingine nchini.
V i k a l e t wa h a d i
vyandar ua vya bur e
( vyandarua vya Rai s
Bush) kutoka Marekani, ili
kuwawezesha Watanzania
kumudu kujikinga na mbu
waletao malaria.
Tunachoweza kusema ni
kwamba, kimsingi serikali
ingestahili kuhangaika
zaidi na kinga za ugonjwa
wa malaria, ambao ndio
tishio zaidi kwa watu wetu
kuliko huo wa mabusha na
matende.
Hatuna maana kwamba
tunadharau ugonjwa wa
mabusha na matende, la
hasha, tunachozungumzia
hapa ni ki wango cha
athari cha ugonjwa wa
malaria na kiwango cha
hatua zinazochukuliwa
kukabiliana na ugonjwa
huo, i ki l i ngani s hwa
na magonjwa mengine
ambayo yanaonekana
hatari zaidi na kufanyiwa
mazoezi ya kinga zake.
Katika hali hii, ndio
maana wengi wanaamini
kuwa, malaria ni ugonjwa
ambao umesababi sha
wengi kujali zaidi maslahi
makubwa ya ujira na ajira
kuliko athari za ugonjwa
wenyewe.
We ngi wa na a mi ni
kuwa i wapo i t al et wa
kinga ya malaria, mbu
wa k a t e k e t e z wa a u
wakakosa vimelea vya
malaria, utakuwa ndio
mwi s ho wa s oko l a
mseto, quinine, orodar na
vyandarua.
Pia miradi ya maradhi
hayo itakoma na huo ndio
utakuwa mwisho wa ujira
na ajira katika ugonjwa wa
malaria.
Bado hatuamini kwamba
serikali imeshindwa kuja
na kinga ya malaria au
imeshindwa kutokomeza
mbu wenye vimelea vya
malaria, ugonjwa unaotesa
mamilioni ya Watanzania
kwa miaka mingi sasa.
Watanzania wanahitaji
k i n g a y a ma l a r i a .
Wamechoka vi f o kwa
sababu ya mbu, imetosha
kuwawekea mazingira ya
kudumu ya kuwalazimu
kupel eka vi pato vyao
haba kununua vyandarua
na dawa mseto kwenye
maduka ya dawa (si o
hospitalini).
Tungeanza na kinga
ya malaria, baadae ndio
muwal et ee ki nga za
mabusha.
3
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Habari
Watuhumiwa ugaidi bado walia maumivu makali
WAISLAMU waliopo
katika gereza la Segerea
Jijini Dar es Salaam
kwa tuhuma za ugaidi,
wamesema wanahitaji
uchunguzi wa kina wa
afya zao.
Wa i s l a m u h a o
wamet oa wi t o huo
kutokana na maumivu
wa n a y o h i s i k u wa
nayo kati ka sehemu
mbalimbali za viungo vya
miili yao kufuatia mateso
na vipigo kutoka kwa
Polisi waliowakamata na
wakati wakiwahoji kabla
ya kupelekwa gerezani.
Walisema, pamoja na
uongozi wa Magereza
kuj itahidi kuwapatia
madaktari na kuwapa
matibabu ya awali, lakini
tiba hiyo imekuwa kama
ya kupoza tu na kwamba,
kikubwa kinachohitaji
kwao ni matibabu ya
kina baada ya kupatiwa
vipimo.
Wakij ieleza mmoj a
mmo j a mb e l e y a
uongozi wa gereza hilo
walipotembelewa na
Kamati ya Maafa ya Shura
ya Maimamu, wamesema
wanashukuru kuwa
n d a n i y a g e r e z a
hi l o hakuna mat eso
wanayoyapata kama
walipokuwa mikononi
mwa jeshi la Polisi.
Mmoja wa mahabusu
hao, alisema hata kilio
chao cha kupatiwa hati
ya mati babu kutoka
polisi (PF3) kwa ajili
ya matibabu ya kina ni
suala la Polisi, lakini
wamekuwa wagumu
k u t o a f o mu h i z o
kwa kuwa wanaj ua
walichowafanyia.
Wamedai kuwa mpaka
sasa ni miezi mitatu
lakini hakuna matibabu
kamili waliyopata, huku
maumi vu yaki zi di ,
jambo ambalo linawatia
hofu maajaliwa ya afya
zao hapo baadaye.
Kwa upande wa
humu gerezani ukiondoa
hilo tunalosubiria la
mat i babu ya ki na,
tunashukuru hakuna
mateso kama ya Polisi,
hata hilo suala la PF3
si jukumu la Magereza,
kuna utaratibu wake.
Alisema muumini huyo.
Akielezea hali yake,
mt u h u mi wa S a i d
Amour, alisema alipata
mateso kabla ya kuingia
Na Bakari Mwakangwale gerezani ambapo baada
ya kusulubiwa sana, hivi
sasa anahisi maumivu
makali katika Korodani
yake ambayo imevimba.
Mi mi ni me pa t a
ma t e s o ma k u b wa
ya polisi, mpaka sasa
korodani yangu moja
imevimba, hii yote ni
kwa kuwa walikuwa
wa k i n i mi n y a n a
kunibana.
Laki ni ni na i mani
na uongozi wa gereza,
utatumi a kanuni na
taratibu zake, Inshaallah
naweza kupata tiba ya
uchunguzi wa kina wa
afya na viungo vyangu
kwa ujumla, ili niweze
kupata tiba. Alisema
Amour.
Naye Mt uhumi wa
Sal um Al l y Ahmad,
amesema ametendewa
vitendo vibaya sana
na askari Polisi, hata
kuvirudia kuhadithia
a n a j i s i k i a v i b a ya
kibinadamu.
Alisema kwa mujibu
wa d a k t a r i wa k e
anayempatia tiba humo
gerezani, amemweleza
kuwa tiba yake inahitaji
upasuaji (Operation) na
matibabu zaidi ya kina
ya afya yake.
K w a k w e l i
t umet es wa, mpaka
tunaingia humu gerezani
hali zetu zilikuwa ni
mbaya sana. Tatizo lilipo
kwa sasa ni kupatiwa
fomu ya matibabu (PF3),
kutoka Polisi. Alisema
na kubainisha Ahmad.
Mtuhumiwa Hassan
Bakari Selemani, alisema
alipata kipigo kutoka
kwa Polisi hadi kutapika
damu kabla ya kuingia
Gerezani.
Alisema, kutokana
na mat at i zo hayo,
a me s h a t i b i wa n a
madakt ari wapat ao
wanne na aliye naye sasa
ni wa tano lakini hali
yake bado sio nzuri.
Kibaya zaidi wakati
wa mawingu, kifua na
magoti vinauma sana
lakini pia mara kwa
mara huwa nasi ki a
harufu ya damu kutoka
ndani ya mwili, nahitaji
uchunguzi wa kina wa
mwi l i kwa uj uml a.
Alisema.
Kassim Salum Nassoro,
yeye alilalamikia mkono
wa ke wa kus ho t o
akieleza kwamba una
matatizo ya ganzi akidai
yametokana na kipigo
cha Pol i si wal i ofi ka
kumkamata.
Pi a al i sema nyayo
zake nazo zina maumivu
hasa wakati wa usiku,
hat a hi vyo al i sema
pamoj a na kutopata
tiba ya kina, baada ya
kuingia gerezani nafuu
ilipatikana ukilinganisha
na wakati walipokuwa
mikononi mwa Polisi,
ambao wamewafanyia
mambo mabaya.
M t u h u m i w a
mwingine Saidi Shehe
Sharif, alisema kilio chake
ni kupata uchunguzi
wa kina wa afya yake
kwani kabla ya kufika
huko gerezani, Polisi
walimpiga na virungu
miguuni na anaj ihisi
maumivu makali sana
hivi sasa.
M a t i b a b u
tunayoyapata yanasaidia
kiasi, nimepigwa sana
virungu vya miguuni,
lakini tatizo ninaloliona
ni kupata matibabu,
tunayoyapata humu
gerezani ni bila kupata
vi pi mo vya ki na.
Alibainisha Sharif.
Kwa upande wake
Salum Amour, alisema
kwamba wengi miongoni
mwao ni wagonj wa
kutokana na kupigwa na
Polisi kabla hawajaingia
gerezani.
M i m i d a w a
nilizoandikiwa na daktari
nimezitumia lakini bado
hali yangu sio nzuri. Si
unaona hapa mguuni
nikibonyeza panabonyea
na maumivu ni makali
mno, kinachohitajika
ni uchunguzi wa kina
wa afya na si kutuliza
maumi vu. Al i sema
Amour.
Uc h u n g u z i wa
ki t at i bu wa ki na ni
ufumbuzi wa afya zetu,
Inshaallah. Alisema,
mtuhumi wa Rashi di
Ally Nyange.
Ak i j i e l e z a z a i di
alisema, tatizo kubwa
al i l onal o kwa s as a
n i k i z u n g u z u n g u
kut okana na Pol i si
kumpi ga ki c hwani
walipomkamata.
Nya n g e a l i s e ma
kutokana na tatizo hilo,
hivi sasa hujikuta wakati
mwingine anaanguka,
ma r a d h i a mb a y o
anasema kuwa kabla ya
kipigo hakuwa nayo.
Wa i s l a m u n a
wapenda haki matatizo
haya sijayapata humu
gerezani, bali ni kutoka
kwa Polisi wetu. Pia
nimekuwa na tatizo la
nyayo kuwaka moto,
mifupa na magoti hali
kadharika na shingo
vina maumivu makali.
Alisema.
Al l y Khami s Al l y,
pamoj a na matati zo
ya kiafya aliyonayo,
al i i omba Kamat i ya
Maafa kufanya juhudi
ya kumtafuta baba yake
mzazi na kumpa taarifa
kuwa yupo gereza la
Segerea, akikabiliwa na
maswahibu hayo.
Mkuu wa gereza hilo
Bw. Kiyangi Abdallah,
alisema pamoja na kutoa
matibabu ya awali kwa
mahabusu wao wakiwa
humo gerezani, lakini
kumekuwa na dhana
kwamba t i ba pekee
i napat i kana kat i ka
Hospitali ya Muhimbli.
Mahabusu wengi
wanajua tiba inapatikana
Muhi mb i l i t u, na
mtazamo huo upo pia
kwa watu wa nje. Lakini
kwa utaratibu ulivyo,
hat a wewe huwezi
ukaugua hapo ulipo
urai ani , ki sha moj a
kwa moj a ukaenda
Muhimbili.
K wa k a wa i d a ,
kuna pakuanzia kisha
hapo watakuandikia
kwenda Muhimbili au
kwingineko kulingana
na tatizo la maradhi
uliyonayo. Alisema Bw.
Kiyangi.
Alisema kuwa hapo
gerezani kuna madaktari
wao katika kuhakikisha
mahabusu wao wote
wanapata matibabu na
endapo daktari akisaini
k wa mb a mg o nj wa
anahi t aj i ka kwenda
Muhi mbi l i , har aka
uongozi unampeleka
kwa kuzingatia utaratibu
wa Kimagereza.
Kwa kwe l i s i s i
ni binadamu, hatuna
u n y a m a k a m a
unavyoripotiwa katika
baadhi ya vyombo vya
habari, bali ifahamike
kuwa kila mahali pana
utaratibu wake na ni
l a z i ma u f u a t we .
Alisema.
WATUHUMIWA wa kesi ya ugaidi wakiwa katika mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu hivi karibuni.
4
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
Aliyozungumza Mzee Moyo
WIKI hii gumzo kubwa
l i ko kwa hadi t hi ya
Mzee Moyo na namna
ya matokeo ya uchaguzi
yalivyotolewa akiwa yeye
shuhuda wa aliyoyaona
na kuyaf anyi a kazi .
Wengi wetu tuna pupa ya
kuhukumu na kutotazama
mazi ngi r a hal i si na
mapambano ya kifikra
yaliopo na yaliodumu
kwa t akri ban mi aka
20 ya uhai wa siasa za
vyama vingi. Ninaamini
k wa d h a t i y a n g u
kwamba Mzee Moyo si
wa kutupiwa lawama
kwa a l i c hoki f a nya ,
bal i wa kupongezwa
kwa kuepusha mauaji
makubwa na vurugu
kubwa visiwani wakati
tayari tukishafungua
k u r a s a mp y a z a
maelewano.
Wengi wetu ni kizazi
kisichojuwa hasa athari ya
mapinduzi na nini hasa
kilitokea katika kipindi
hicho. Uzee wa Babu yetu
Mzee Moyo umempa
hekima na busara kubwa
kwa kuwa miongoni mwa
wachache waliosukuma
gurudumu la kuwepo kwa
mazingira ya mafahamiano
baina yetu hata tukaweza
kuj i vuni a seri kal i ya
u mo j a we t u . Kwa
wapenda amani ushindi
wa mgombea mmoj a
ambao unas ukumwa
ma k us udi k uwa ni
chanzo cha vurugu mpya,
haikuwa ni mwanzo mzuri
baada ya makubaliano
yaliohakikisha kila chama
kitashiriki katika uundwaji
wa serikali ya umoja wetu.
N a w a t a z a m a
wanaombeza Dr Karume
kwa kuzuia fujo na mauaji
ambayo kiukweli amri yake
huwa mbali na uwezo wa
nafasi ya Rais wa Zanzibar.
Hata haya ya mwaka 2000
mamlaka yaliohusika na
mauaji ya raia hayakuwa
kutoka Zanzibar, mengine
yaliotokea hata aliekuwa
Makamo wa Rais wa wakati
ule hakuwa na taarifa nayo
wala mamlaka nayo zaidi
ya shuhuda alieumizwa
na makubwa yaliotokea.
Kwangu kwa hili pekee
Dr Ka r ume a na z i di
heshi ma anayost ahi l i
kwa kuweza kwanza
kutuvusha katika siasa za
uhasama baina yetu kwa
kukubali mashirikiano
na kuzika tafauti zetu
zilizoturejesha na kuwa
chanzo cha kudumaa
kwa maendeleo yetu. Pili
kwa kuwa na vision
ya kuona mbali zaidi na
kuegemea katika nusra
Na Farrell Foum
#TeamZanzibar
badala ya hamasa ambayo
ni changa na iliohitaj i
zaidi kuimarishwa kwa
misingi ya kushirikiana
bai na ya vyama na
kulifanya suala la mshindi
kutokuwa zito kwa vile
sote kwa pamoja tuwe
washindi wa kukataa fujo
iliokuwa ikipandikizwa na
kuvunja legacy yake ya
kuliegemeza jahazi katika
bandari kwa salama.
Naomba t ut azame
kwa undani laiti Maalim
Hamad, angeliyakataa
mat okeo na kupuuza
ushauri wa Mzee Moyo
na Edi Ri yami , l e o
hi i t ungekuwa wapi ?
Tusi geuke samaki na
tukawa rahisi wa kusahau
kwanza l es s on ya
Mapinduzi na maisha
ya watu yalivyotoweka
kwa nguvu na chuki za
kupandikizana. Fikirini
laiti kama serikali wakati
ul e baada ya uhur u
ingewezekana kuundwa
kwa kushirikiana na ASP
na kuepusha Mapinduzi
tungel i kuwa wapi hi i
leo? Fikirini hizi chuki
zilizochangia umwagaji wa
damu wa wananchi wasio
na hatia kupitia mikono
i l i o nj e ya uwezo wa
mamlaka zetu zingeliweza
kuzuiliwa kwa Hizbu na
ASP kushirikiana katika
uundwaj i wa seri kal i
tungelikuwa wapi hii leo?
Historia ya nchi yetu
na mazingira tulionayo
hadi hii leo ni vyema
kutumia akili zaidi badala
ya ubishi ambao hatima
yake ni vifo kwa wasio
na hatia na mbaya zaidi
hata yale makubaliano
ya mashirikiano baina
y e t u y a s i n g e k u wa
yakisimama hasa kwa vile
wenye itikadi kali ndio
wangeliweza kubadili na
kubeba mwelekeo wa siasa
za kukomoana zaidi na
kuturudisha nyuma.
Nguvu zilizotumika
kupi nga wahafi dhi na
wal i okuwa hawasi ki i
wala hawaoni kuyakubali
maelewano zilihitajika
ili kuhakikisha j ahazi
linasonga mbele na serikali
ya umoj a i naundwa.
Tunaweza kudharau nafasi
ya serikali hii ya umoja na
hali ya sasa ilivyo, lakini
t ukumbuke kwamba
huko nyuma tulipotoka
hakukuwa na alternative
nyengine yoyote na kama
t ungel i kuwa vi pof u
wa kutoona mbele leo
hii tungelikuwa pabaya
zai di . Ni nachoki ona
mi mi n i k wa mb a
Maalim Hamad alipewa
heshima tu ya kuambiwa
uk we l i n a k upe wa
naf asi ya kusukuma
zaidi mbele struggle
ya wanamageuzi katika
mazingira ya amani zaidi
huku akijijenga zaidi akiwa
ndani ya system ya
uongozi kuliko nje katika
barabara huku akibeba
mgongoni l awama za
kukataa sulhu ya kudumu
yenye faida kubwa zaidi.
N i w a k u m b u s h e
h a s a wa n a ma g e uz i
waliomeza hii ndoana
ya wahafdhina kwamba
ushindi wa 2010 haukuwa
us hi ndi wa yo yo t e
zai di ya Wazanzi bari
wote. Kuimeza ndoana
ya wahafidhina hii leo
ni kuwapa naf asi ya
kuturejesha nyuma zaidi
wakiwa na lengo lile lile
la wagawe na uwatawale
zaidi. Sisi si wa kulalamika
na kuwatusi wal i oj i ri
kugeuza hasad kuwa kheri
bali wa kuwapigia makof
kwa jitihada zao huku
tukijiimarisha zaidi na kwa
nguvu zote kuhakikisha
kwanza hatutegeki katika
madema ya shari zao na
pi l i tunasoma kutoka
miaka 20 ya struggle
zetu kuhakikisha ushindi
wa wa n a ma g e u z i
unakuwa mkubwa zaidi na
kuwafanya wasio tutakia
kher i kukosa nguvu
za hujuma baina yetu.
Hili litafanyika pale tu
tutapokuwa tayari kusonga
mbele na kujiimarisha kwa
mikakati ya umoja, amani
na utulivu kwa thamani
yoyote tutayoiona.
Kwa nini vita vikubwa
viwekweze kwa serikali ya
umoja? Sababu kubwa ni
moja kuu, hii ndio silaha
nzito ya umoja wetu na
ndi o nguzo i mara ya
mabadiliko tuyatakayo.
Tazama wanaowekeza
fitna miongoni mwetu
kwa kushadidia ubaya
kwa walioiokoa Zanzibar
katika machafuko lakini
wakasahau lililo na uzito
zaidi kwamba hivi lipi kosa
kubwa baina ya alieshinda
akaepusha machafuko
na yule alieshindwa na
kuvaa joho kwa nguvu
zote bila ya kujali athari na
uhalali wa kinachotokea?
T u n g e w a u l i z a
wa z e e wa Hi z b u
waliofikiri mapinduzi
yasingewezekana laiti
wangelikuwa na nafasi
kama i l i vyokuwa ya
mwaka 2010 wangelirudi
nyuma kuepusha janga
la mauaji makubwa na
kukosa ki l a ki tu kwa
takriban miaka hamsini?
Tuwapongeze wot e
waliowezesha kuepusha
ma dh a r a ma k ub wa
kwa wananchi visiwani
n a k uwa we k a k a t i
wahafidhina waliofikiri
matangazo ya ushindi ni
ndoana ya kuwamaliza
w a n a m a g e u z i .
T u w a p o n g e z e
waliothubutu kukataa
ushindi kwa khofu ya
madhara kwa wananchi
wake na kurudisha nyuma
gurumu la maendeleo
tunal ol i ona l i ki songa
mbel e ki l a pembe ya
visiwa hivi. Tuwapigie
makof na kuwapa moyo
wal e wot e wal i oona
mbali kwa kuuweka utu
na ubinadaamu kwanza
kuliko hamasa ya ushindi
wa kutangazwa ambao
u s i n g e we z a k u t o a
mafanikio ya uongozi
tuutakao. Tuwadharau
wale wote wanaofkiri ftna
zao zitaweza kuturudisha
nyuma katika azma ya
mabadiliko yatayoleta
haki, usawa na heshima
katika safu za uongozi
wetu na katika mabadiliko
ya mfumo wa muungano
tuutakao.
Masimulizi ya Mzee
Moyo ni wakati muafaka
k uya we k a wa z i i l i
wananchi wawajuwe walio
na uchu wa madaraka
na wal i o t ayari kwa
lolote kuzima nuru ya
mabadiliko na demokrasia
inayohitajika nchini. Ni
uzinduo kwa wale wenye
hi si a kwamba ahadi
mulizoziweka muzitimize
na kuwat endea haki
wananchi na viongozi
walioweka maslahi ya
wananchi kwanza badala
ya matumbo na kibri cha
matumizi ya nguvu. Ni
uzinduo kwa wananchi juu
ya jitihada kubwa zilizozaa
matunda tunayoyaona
leo na utulivu mkubwa
uliowajenga mara dufu
wanamageuzi kwa kutoa
ki dogo i l i kus hi nda
kikubwa zaidi katika jina
la amani na utulivu. Na
uzinduo kwa wanaofkiri
wataendelea kuwaftinisha
wananchi wakati ongezeko
la umma ni kubwa mara
dufu ya mwaka 2010, na
umoja wetu, upendo wa
nchi yetu pamoja azma
ya mabadiliko ya kweli
ndio yatayotuwezesha
kushi nda ghi l ba zote
mwaka 2010. Kumbukeni
tul i po sasa na umma
ul i oj i t okeza kuunga
mk o n o ma b a di l i k o
tuyatakayo tusingeweza
bila ya kukubali matokeo
yal i ot uams ha wengi
na kuona ukweli ulipo.
Umoja wetu ndio nguzo
pekee ya kutuvusha katika
mabadiliko ya utulivu.
MZEE Nassor Moyo (wa tatu kushoto) akiwa na Rais mstaafu SMZ Aman
Karume(katikati) na wajumbe wengine wa Tume ya Maridhiano Zanzibar.
5
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Habari
Madrasa Hijjatul Wadaa. Iliyopo Nangurukuru, Kilwa. Inaomba
msaada wa ujenzi wa Jengo la Madrasa. Kwa sasa madrasa hiyo yenye
watoto wa Kiislamu 75, inaendeshwa nje ya nyumba ya Muislamu
na kushindwa kuendelea na masomo katika kipindi cha mvua au
cha jua kali. Msaada unaohitajika ni pesa au vifaa vya ujenzi. Toa
kwa ajili ya Allah (sw).
Ka maelezo zaidi piga namba:- 0682 40 65 75.
Waislamu wa Kata ya Mzenga, Wilayani Kisarawe, wanatoa wito
kwa Taasisi za Kiislamu na Waislamu kujitokeza kwao ili wawauzie
eneo/Ardhi yenye heka 200, kwa ajili ya maendeleo ya Uislamu na
Waislamu. Ardhi inafaa kwa Kilimo na ujenzi wa Shule. Ardhi ipo
Km 35, Kutoka Mlandizi, Barabara ya Morogoro (Highway).
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namaba:-
0787/0767 40 81 10 au 0714 111 669.
Msaada wa ujenzi wa Madrasa
Kiwanja kinauzwa
Kiongozi wa upinzani nchini
Malaysia, Anwar Ibrahim,
amefka mahakamani kukata
rufaa dhi di ya hukumu
inayomkabili ya kufanya
mapenzi ya jinsia moja.
Naibu Waziri Mkuu huyo
wa zamani alishitakiwa kwa
kufanya mapenzi na mshirika
wake mmoja wa kisiasa na
alihukumiwa kwenda jela kwa
kipindi cha miaka mitano.
Bw. Anwar anadai kuwa
mashitaka hayo yalichochewa
na maadui wake wa kisiasa.
Mamia ya wafuasi wake
walisongamana mahakamani
kupinga hukumu iliyotolewa
dhidi yake.
Wengine wanaendelea kuuza
ti sheti zi l i zoandi kwa kuwa
wanataka haki ya Bwana Anwar.
Ushoga ni haramu katika taifa
la Malaysia lenye idadi kubwa ya
Waislamu, lakini ikiwa ni vigumu
sana kupata watu wameshitakiwa
kwa uhalifu hasa kama huo wa
sodoma.
Mawaki l i wa Bw. Anwar
wanat ar aj i wa kuwas i l i s ha
mahakamani uchunguzi wa DNA
uliotumiwa na mahakama, ambao
wanadai ulivurugwa zikiwa
ni juhudi za kumharibia sifa
kiongozi huyo wa zamani wa
serikali, zinazofanywa na maadui
zake kisiasa.
Ma a f i s a wa S e r i k a l i
wamekanusha kuhusika katika
kesi hiyo na wanasema kuwa kesi
ya Bw. Anwar imeshughulikiwa
na Mahakama huru.
Mwanasiasa huyo mkongwe
ameshtakiwa kuwa alifanya
tendo la ngono na mshirika
wake wa kisiasa mwanamume.
Hili ni shtaka la pili la ushoga
linalomkabili Bwana Anwar,
tangu atimuliwe serikalini
mwaka 1998. (BBC).
Akata rufaa dhidi ya
hukumu ya ushoga
MAMIA ya wakazi wa Kaunti
ya Lamu nchini Kenya Jumanne
wiki hii wameanzisha migomo
na maandamano kulalamikia
sheria ya kutotoka nje wakati
wa usiku, iliyowekwa na serikali
katika kaunti hiyo.
Wakazi hao waliandamana
barabarani kupinga uamuzi
wa Inspekta Jenerali wa Polisi
nchini humo, David Kimaiyo,
kuongeza muda wa kutotoka
nje katika kaunti hiyo, kufuatia
muda wa amri iliyowekwa awali
kumalizika, Capital FM ya Kenya
iliripoti.
Inspekta Kimaiyo alitangaza
ongezeko la muda wa kubakia
ndani ya nyumba kwa wakazi
wa Lamu hususani usiku, muda
ambao ulianza Julai mwaka huu,
akaweka tarehe mpya ya mwisho
wa kuendelea kubakia majumbani
kuwa ni hadi Novemba 23.
Wiki iliyopita serikali ya Kenya
iliongeza muda wa mwezi moja
wa amri hiyo ya kutotoka nje,
kuanzia saa kumi na mbili jioni
hadi saa kumi na mbili asubuhi.
S h e r i a h i y o i me k u wa
i ki tekel ezwa kwa muda wa
miezi minne sasa na iliwekwa ili
kukabiliana na wimbi la hujuma
za kigaidi zilizosababisha watu
zaidi ya 100 kuuawa katika eneo
hilo.
Serikali ya Kenya inasema
sheria hiyo inalenga kudumisha
hali ya usalama wa eneo hilo.
Hata hivyo wakazi wa Lamu
wanasema sheria hiyo ya kutotoka
nje imeharibu biashara na hasa
uvuvi na utalii.
Gavana wa Lamu, I s s a
Timamy, alisema marufuku hiyo
imewapotezea kazi zaidi ya watu
2,000 na hivyo kuongeza umaskini
katika eneo hilo la Lamu.
Timamy ameitaka serikali
kubatilisha amri hiyo ya kutotoka
Lamu waandamana kupinga amri ya kutotoka nje usiku
Wamezuiwa majumbani miezi minne sasa
INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo.
nje usiku.
Inspekta huyo alikwenda Lamu
kwa ndege Jumanne kukabiliana
na wapi ngaj i wa amri yake
na vikosi vya ziada vya polisi
vilisambazwa kuimarisha utulivu
katika eneo hilo.
Chama cha Wanasheria cha
Kenya (LSK), kilifafanua ongezeko
hilo la muda wa kuwa kuzuizini
majumbani kuwa ni jambo lisilo
la kikatiba na kusema kwamba,
kitaingiliaji kati kisheria iwapo
muda huo wa kubakia ndani
ya nyumba hususani usiku,
hautabadilishwa katika kipindi
cha siku kumi na nne. Kipindi
hicho cha wiki mbili kimeisha
Alhamisi hii.
"Kwetu sisi, miezi minne ni
kipindi cha kutosha kwa kikosi
chochote cha usalama kuweza
kudhibiti hali hiyo na tunaangalia
upande mwingine wa kuendela
kuongezwa amri ya kutotembea
usiku.
"Tunaangalia katika utalii,
utafutaji riziki wa raia na muda
ambao umepita tangu kuwekwa
kwa amri ya kutotembea usiku."
Alisema Mwenyekiti wa LSK Eric
Mutua.
Kimaiyo kwa upande wake
ametetea amri ya kutotembea
usiku, akisema ripoti za ki-
intelijensia zinaendelea kujitokeza
na zi ki endel ea kusababi sha
kukamatwa kwa washukiwa
wanaoaminika kuhusika katika
mashambulio ya Julai ambapo
watu zaidi ya mia waliuawa.
"Eneo hilo linahitaji kuendelea
kuongeza amri ya kutotembea
usiku, ili mradi baadhi taarifa
bado zinatoka kwa kasi kwamba
tuna tahadhari ya kutokuwa na
usalama sehemu kadhaa.
"Hakuna anayeweza kudharau
tahadhari yoyote ya usalama
ambayo ipo na kuielekeza kaunti
kufanya shughuli kama kawaida."
alisema inspekta Kimaiyo.
Hata hivyo, Mutua alisema
kutumika kwa amri ya kutotembea
usiku kulishamalizika na ulikuwa
ni muda wa kuondoa vikwazo
kwa watu kutembea.
"Madhumuni ya kuwekwa
amri ya kutotembea usiku hayapo
tena," alisema. (Sabahi)
MAMIA ya Waislamu wa mji wa
Quimper, Kaskazini Magharibi
mwa Ufaransa wamefanya
maandamano, wakiitaka serikali
ya nchi hiyo iruhusu ujenzi wa
Msikiti katika mji huo.
M a a n d a m a n o h a y o
yaliyofanyika katika moja ya
viunga vya katikati vya mji huo,
yamelaani kusuasua kwa serikali
kuruhusu ujenzi wa msikiti huo.
Mkuu wa Kituo cha Haki za
Wahamiaji katika mji huo wa
Quimper, Marie-Madeleine Le
Bihan, aliwambia waandishi wa
habari kwamba maandamano
hayo yanaf anyi ka kupi nga
ubaguzi, ufashisti, na kukosekana
usawa dhidi ya jamii ya Waislamu.
Marie aliongeza kuwa, raia
Waislamu Ufaransa wataka
iruhusiwe Misikiti kujengwa
wote wa Ufaransa wana haki sawa
ya kufanya ibada zao za kidini na
kimadhehebu kwa uhuru.
Ufaransa ni miongoni mwa
nchi za Ulaya zinazoongoza
kwa ubaguzi wa kidini dhidi ya
Waislamu.
Ripoti zinaonyesha kwamba
vitendo vya ubaguzi dhidi ya
dini ya Uislamu na Waislamu
kwa ujumla vimeongezeka zaidi
nchini humo.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo
vitendo hivyo viliongezeka na
kukaribia asilimia 50 katika
kipindi cha miaka mitatu iliyopita,
huku matukio ya ubaguzi dhidi
ya Waislamu yakizidi kushika
kasi siku hadi siku nchini humo.
(irib.ir).
6
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
NI huzuni na vilio
vilivyotanda katika
darasa. Kila mmoja
anal i a anapoona
k i t i c h a Or wa
Hammad kimekosa
mtu ila ni shada la
maua lililowekwa
kwa niaba yake. Ni
mtoto wa miaka 14
ambaye uhai wake
ume po t e z wa na
Askari za Kiisrael.
Or wa Ha ma d s i
p e k e y a k e , i l a
wapo wengi ambao
wamepoteza maisha
na wa na e nde l e a
kupot eza mai sha
yao kwa dhulama
wanazofanyiwa na
utawala wa Kizayuni.
K w a m u j i b u
wa mt a nda o wa
Mondows, unasema
kuwa mtoto huyo wa
Kipalestina raia wa
Marekani alipigwa
risasi iliyoingia kupitia
shingo na kutokea
katika kichwa, katika
mji wa Silwa karibu
na Ramallah. Kwa
mujibu wa Hospitali ya
Ramallah mtoto huyo
aliaga dunia wakati
anat i bi wa kat i ka
hospitali hiyo. Mauaji
hayo yanafuatiwa na
yale ya kuuwawa kwa
mtoto wa miaka 13
wiki mbili zilizopita,
yaliyotekelezwa na
Wanajeshi wa utawala
wa Israel.
H a y o n d i y o
y a n a y o e n d e l e a
kufanyi wa watoto
wa Kipalestina na
KATIKATI ni Mohammed-Ali- mtoto wa miaka 8 akikamatwa na askari wa utawala
wa Israel katika kituo cha ukaguzi cha Qalandiya.
Hawa ndio Mazayuni!
Na Rashid Abdallah, MUM
ukweli ni kuwa dunia
imewasahau kwa kuwa
anayefanya hivi ni
mtoto wa adui kubwa
Marekani. Hakuna
mtu wa nje ambaye
atainua mkono wake
kuzuiaya dhulma hii
ambayo i medumu
kwa miaka mingi sasa.
Press Tv inatueleza
kuwa Ser i kal i ya
Palestina imesema
kuwa Utawal a wa
I srael umewapi ga
na kuwadhal i l sha
watoto wa Kipalestina
wakati wakiwa chini
ya ulinzi wa Israel.
Taarifa zinaema kuwa
Wapalestina wapatao
7,000 na watoto 250
wanashikiliwa katika
magereza ya Israel.
I nasi ki t i sha zai di
ukipata wakati wa
kuiyona hali ya mambo
i n a v y o k w e n d a
kupi t i a r uni nga.
Zipo picha na video
za kusikitisha mno,
ambazo utashuhudia
wa t u wa ki pi gwa
na kuumi zwa pi a
wanawake wanapigwa
mitama na mateke.
Wat u wanapi gwa
ri sasi . Wanapi gwa
kabari na kuburuzwa
barabarani.
Mi ongoni mwa
w a t o t o w e n g i
wanaoshilkiliwa ni
Muhammed Khaleed
Sharief 16, ambaye
alisema kumwambia
mwanasherai wake
kuwa, alikamatwa na
Askari wa Israel July
17 katika Msikiti wa Al
aqswa alipigwa kwa
nguvu sana katika
us o wake wakat i
anapelekwa katika
ki t uo cha ki zui zi
katika eneo la Salah
al-Din.
Wakati The Popular
Commitee for Facing
the Siege on Gaza
inasema kuwa 90% ya
raia wa Ghaza wanaishi
kat i ka umas i ki ni
wa k u p i n d u k i a
lakini bado Waisrael
wanaedeleza ubabe
wao, kuuwa, kuharibu
makazi na unyama
mwengine wa kutisha.
W a m e t i w a
umas i ki ni ambao
unahitaji muda mwingi
h a di k u o n do k a .
Mi j i i m e k u wa
kama maeneo ya
kihistoria (Historical
si t es) . Ni magof u
ya l i yoba ki huku
Wazayuni wakiandaa
pesa za kutosha ili
waendeleze upanuzi
wao wakujenga katika
ardhi ya Wapalestina.
Wa p a l e s t i n a
wapatao 2,000, watoto
500 na waliojeruhiwa
ni zai di ya 11, 000
katika mauaji wa siku
hamsini na moja kule
Ghaza. Yot e hayo
hayaj ampa i mani
Muisrael na kuona
japo huruma kuwa
wale ni binadaamu.
Ila bado wanaendelea
kuwatia katika dhiki.
Siku hizi kumekuwa
na mf umo mpya
wa usafi ri kati ya
Wa p a l e s t i n a n a
Wa i s r a e l h a b a r i
z i na s e ma k uwa ,
Moshe Ya'alon, Waziri
wa Vi ta wa Israel
amesisitiza marufuku
kwa Wapal es t i na
kutumia mabasi ya
abiria ya umma ya
Israel na hasa katika
eneo la Ukingo wa
Magharibi mwa Mto
Jordan.
K w a h i y o
W a p a l e s t i n a
w a m e k a t a z w a
kutumia usafiri wa
umma kwenda kazini
na maeneo mengine.
Wa n a p a t a t a b u
kut embea masaf a
marefu kwa miguu
kurudi nyumbani
ama kweda kazini. Na
wanaojaribu kupanda
katika mabasi hayo
basi hushushwa kwa
nguvu na vipigo.
Kwa sasa wapo
mamia ya watoto wa
Kipalestina ambao
ni walemavu moj a
kwa moja kutokana
na mauaji ya kipindi
cha kiangazi, kama
usemavyo mtandao
wa I sl ami c News
Daily.
Zipo simulizi nyigi
zinazoumiza tumbo
katika mauaji ya siku
51. Mfano wa hizo ni ile
ya Louay 9 and Odai
13. July 21 Louay na
Odai walikuwa katika
nyumba ya Shangazi
yao wakijitayarisha na
futari. Ghafa kombora
likapiga nyumba yao
na kumuua Mama yao,
Bibi yao na Shangazi
yao ambaye alikuwa
ni mjamzito pamoja na
watoto wake sita.
Odai amepot eza
Mama, Bibi, Shangazi
na tayari ni mlemavu
asiyeweza kwenda.
Ha ya ha ya umi z i
uki ya s i ka ? Na ni
anasema yamepita,
bado yanakumbukwa
n a y a t a e d e e l a
kukubukwa. Na ipo
siku kila mtu atalipwa
kwa alilolitenda. Ikiwa
huami ni kuwepo
Mungu basi unajipa-
tu matumaini lakini
hufkirii kuwa unyama
unanao ufanya kuwa
hautokuwa na malipo
wala masuali?
Tumeuwacha msikiti
wa tatu kwa utukufu
duniani, Mayahudi
wanataka kuuvunja
kupanua ujenzi wao.
Huenda tunadhani
Wa p a l e s t i n a t u
ndi o unawahus u
sisi hatumo. Kuna
marufuku ya kutoswali
ama hata mukiswali
munaweza kumaliza
na vipigo na mabomu
mengi ya machozi.
7
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014 Makala
MASWAHABA wa l i wa hi
kumuuliza Mtume Muhammad
(s.a.w), Ni nani mwenye akili
miongoni mwetu?, akawajibu,
Mwe nye a ki l i ni y ul e
anayekumbuka mauti mara kwa
mara.
Ilikuwa ni majira ya saa 12:00
jioni tulipokea ujumbe mfupi
ukisema, Innalillahi wainna
ilaihir rajiuun, Mansoor Mussa
Bi l al i wa Ubungo I sl ami c
amefariki dunia.
Mansoor Mustapha Mussa
alifariki tarehe 10/10/2014 majira
ya saa sita mchana katika Msikiti
wa Masjid Yaseen, uliopo Sinza
Kumekucha jijini Dar es Salaam.
Baada ya kumaliza rakaa mbili
za tahiyatul masjid, alikaa kikao
kidogo cha kusubiri khutba ya
kwanza, na hapo ndipo maneno
ya Allah (s.w) kila nafsi itaonja
umaut yalipotimia.
Mansoor aliitikia wito wa
Allah (s.w) na kuianza safari ya
kuelekea maisha ya Barzakh na
kukutana na Allah (s.w) katikati
ya siku tukufu ya Ijumaa.
Akielezea tukio hilo, Imamu wa
Msikiti aliofa Mansoor Mustapha,
Imam Mustapha Akida, alisema
kifo chake kilitokea Msikitini
kwao Masjid Yaseen Adhuhur,
ambapo Mansoor alianguka
ghafa.
Alisema, waumini walichukua
uamuzi wa kumtoa nje ili aweze
kupata upepo wakiamini kuwa
kama ni maradhi na amepoteza
fahamu, basi anaweza akaamka
na kuharakishwa hospitalini.
Lakini wakati wakijishauri
Ma ns o o r a l i kuwa t a ya r i
amekwishafariki.
Kwa wanafunzi wa shule ya
sekondari Ubungo na Waislamu
kwa ujumla, msiba wa Mansoor
ni darsa hasa kwa vijana wa
kike na wa kiume, wajitahidi
kuishi mahala ambapo Allah
Tanzia
Innalillah wainna ilaihir Rajiuun
(s.w) amepahalalisha na si katika
maeneo hatari kufanya maasi
na Allah (s.w) atujaalie mwisho
mwema.
Maiti yake ilisaliwa Jumamosi
Sinza Kumekucha majira ya saa
7:00 mchana katika mjumuiko wa
waumini pamoja na walimu na
wanafunzi wa Ubungo Islamic,
wakiongozwa na Makamu Mkuu
wa Shule yao Ustadh Khudhaifa
Khouf kabla ya kusafirishwa
kuelekea Bukoba.
Mansoor alizaliwa mkoani
Kagera, wilayani Bukoba Kijiji cha
Katerero Mei 25, 1995. Alifariki
Oktoba 10, 2014 akiwa na umri
wa miaka 20.
Kabla ya kujiunga na shule
ya sekondari ya Kiislamu ya
Ubungo, alimaliza darasa la saba
katika shule ya msingi Nyakondo
Bukoba. Alihitimu kidato cha nne
katika shule ye sekondari Kashozi
Bukoba, ambako akiwa shuleni
hapo, aliwahi kuwa Amir wa
Daawah na Nidhamu.
Mansour alifariki akiwa kidato
cha sita mchepuo wa CBG katika
shule ya sekondari Ubungo
Islamic high School, ambako
al i kuwa mt unza wakat i na
kupewa jukumu la kutoa adhana
shuleni wakati wa swala.
Pia amewahi kutumia muda
wake mwingi kutoka pamoja na
makundi ya Tabligh na alikuwa
mwana Tabligh maarufu kijijini
kwao.
Mansoor alizikwa tarehe 12
/10/2014 siku ya Jumapili mtaa
wa Katerero huko Bukoba vijijini
mkoani Kagera.
Mansoor ameacha wadogo
zake na kaka zake na baba yake
mzazi ambaye alikuwa Imam wa
BUDHAGANJANA.
Allah (s.w) amtakabalie amali
zake na amghufurie madhambi
yake na alifanye kaburi lake liwe
ni bustani katika mabustani ya
pepo.
ALLAHUMMA GHFIRL LAHU
WARHAMHU WASKANAHU
FYL JANNAH.
Amin
TAAZIA HII IMEANDALIWA
NA KASSIM I. CHUBWA, KATIBU
MKUU MSTAAFU WA SERIKALI
YA WANAFUNZI UBUNGO
ISLAMIC HIGH SCHOOL.
Sheikh Ponda kupangiwa
siku ya hukumu Jumatatu
Inatoka Uk. 1
mashitaka na ule wa utetezi
mahakamani hapo (chamber)
kuwa, Jaj i anayesikiliza
rufaa hiyo Mhe. Augustino
Shangwa, hakuweza kufka
mahakamani kwa ajili ya
kusikiliza kesi hiyo kwa
kuwa anaumwa.
Kufuatia hali hiyo, kesi
ya rufaa hiyo iliahirishwa
hadi Jumatatu ya Novemba
3, ambapo itakuja kwa ajili
ya kupangwa tarehe ya
hukumu.
Ul i nzi ul i kuwa mkal i
zaidi kuliko siku za nyuma
wakimwemo mbwa wa polisi,
magari ya maji ya kuwacha,
vifaa maalum vya kuhisi hatari
Unakumbuka mara ya
mwisho tulipangiwa rufaa
hi i kusi ki l i zwa kwa nj i a
ya maandi shi , hoj a zet u
zimeshapangwa mahakamani
na hoja za upande wa serikali
pia, sasa ilipangwa siku ya
leo kuja kupanga tarehe ya
hukumu. Lakini leo (jana) Jaji
amempigia simu Msajili wa
Mahakama Kuu kuwambia
kwamba anaumwa hatoweza
kufka hapa makahamani na
ameelekeza kwamba kesi hii
ije siku ya Jumatatu mbele
yake. Alisema wakili wa
utetezi Yahya Njama.
Alisema anavyoona, kwa
sababu wametoa hoja zao,
na kuamini kwamba hoja
zao ni nzuri na zinatosheleza
kumfanya mteja wao aachiwe
au afutiwe hukumu ya awali
aliyokuwa ametiwa hatiani
na Hakimu wa Mahakama
ya Kisutu.
Aliongeza kuwa upande
wa serikali nao umetoa
hoja zao hivyo ni juu ya Jaji
kuhukumu baina ya pande
hizi mbili. SHEIKH Ponda Issa Ponda.
MAREHEMU Mansoor Mustapha Mussa.
8
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
Inaendelea Uk. 9
MFAMO wa Yemen' ni
ule wa utumiaji nguvu za
kijeshi na mapigano muda
wote. Mipaka ya kile
kinachoweza kufanyika
kwa jina la 'kuzuia ugaidi'
mara nyingi inakuwa
haionekani.
Hebu tuanze uchambuzi
wetu wa leo kwa kukariri
yal e yal i yosemwa na
mwandishi Iona Craig
katika makala yake War
Without End: 12 Years
of US Drone Strikes in
Yemen. Nanukuu:
Macho makubwa ya
kahawia ya Salem Al-Tarsi
yaliniangalia na kupenya
ndani yangu. Nilikuwa
naj ar i bu kumwul i za
kuhusu baba yake, ambaye
alikuwa ameuawa siku
sita kwa bomu la droni
ambalo lilitikisa mlima
huu usio na mimea katikati
ya Yemen, eneo ambalo
ni vigumu kufka. Lakini
Salem hakusema neno
lolote. Mvulana huyu,
aliyeonekana kuwa na
umri wa mi aka kumi
hivi, alibaki kuangalia
kwa undani umbal i
wa kati, huku wadogo
z a ke wa ki j i kus a nya
kumzunguka.
Ni vigumu kusahau
macho ya Salem. Kila
mara Ikulu ya Marekani
i l i po da i kuwa r a i a
12, ikiwa ni pamoja na
baba yake, waliouawa
k a t i k a mk us a ny i k o
wa har usi wal i kuwa
wapiganaji wa Al Qaeda,
nilikuwa namkumbuka.
Nawakumbuka kaka zake
na dada zake na watoto
wengine 17 niliokutana nao
siku hiyo ambao walikuwa
wamepoteza baba zao.
Vita isiyo na mwisho
Huu ni Mfano wa Yemen haimaliziki
Mashabiki watawapeleka Yahya Peponi
Wanaibuka Abu Dawood wengine
"VITA yote ya Marekani ni mwendelezo tu wa ubeberu.
Hii inaweza kuja kama mshtuko kwa Wamarekani,
ambao hawataki kuifkiria nchi yao kama himaya. Lakini
unawezaje kuita makundi makubwa yasiyohesabika
ya askari wa Marekani, majasusi na vikosi maalum
vilivyotawanywa duniani kote?" (Michael lgnatief,
katika gazeti la New York Times, Julai 28, 2002)
Na Omar Msangi
Nawafikiria wakazi wa
kijiji hicho, wakiishi bila
msaada wowote kutoka
serikalini, bila umeme au
maji ya bomba, ambao
walikuwa wamempoteza
mtafutaji riziki wao mkuu.
Hii ndiyo hali halisi
ya kusikitisha ya 'mfano
wa Yemen' ambao majuzi
ulisifiwa na Rais Barack
Obama, akielezea mikakati
yake ya kukabiliana na
hatari ya dola ya Kiislamu
ya Irak na Syria.
Ni mi aka 12 t angu
makombora ya kwanza
yalipoipiga Yemen. 'Mfano
wa Yemen' ni wa kupiga
mabomu muda wote, vita
isiyoisha. Ni mtafaruku
gi za ambako hakuna
anayejua nini kinamfanya
mtu awe mlengwa wa droni
za Marekani, wa ndege za
kivita za Yemen, Saudia
au Marekani, au mlengwa
wa vikundi maalum vya
wapambanaji na ugaidi
vya Yemen vilivyofunzwa
na Marekani. Mipaka ya
nini kinaweza kufanyika
kwa jina la 'kupambana
na ugaidi' mara nyingi ni
kama haipo.
Ma r e k a n i h u wa
haitangazi kuhusika pale
inapofanya shambulio la
angani au baharini. Chini
ya Rais Ali Abdullah Saleh,
wanasi asa wa Yemen
walikuwa hata wanasema
uwongo mbele ya Bunge
lao kwa kuikingia kifua
Ma r e ka ni na kuda i
walifanya mashambulio
hayo ya Marekani.
Ikijishughulisha zaidi
na kupi ga mabomu
ya dr o ni na k ut o a
mafunzo kwa askari wa
kupambana na ugaidi,
Marekani imeshindwa
kukabiliana na vyanzo vya
msingi vya kukua kwa Al
Qaeda na Ansar al Sharia
(AQAP) ambao waungaji
mkono na wapi ganaj i
wameongezeka.
Inaendelea Uk. 9
THESE gentl emen are
the moral equivalents of
Americas founding fathers.
Ronald Regan while
introducing the Mujahideen
leaders to media on the White
house lawns (1985).
Hi i n i k a u l i y a
a l i ye kuwa Ra i s wa
Marekani Ronald Regan
wakati akiwakaribisha
na kuwa t a mbul i s ha
wapiganaji wa Taleban
katika Ikulu ya Marekani
na kwa waandishi wa
habari mwaka 1985.
Kukar i bi shwa kwa
Taleban Ikulu ya White
House na kupewa sifa
kwamba wao ni sawa
na Founding Fathers
wa Marekani kimaadili,
i l i k u wa n i k a t i k a
mkakati wa kutekeleza
Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house
yal e yal i yomo kat i ka
Operation Cyclone.
Huu ulikuwa ni mkakati
mkubwa wa kuandaa
muj ahi di na ambao
watapigana kwa niaba na
kwa masilahi ya Marekani
kumtoa mvamizi Urusi
nda ni ya a r dhi ya
Afghanistan. Fedha nyingi
zilitumika ikiwa ni pamoja
na kufanya utafti juu ya
mambo ya Jihad katika
Chuo Kikuu cha Nebraska,
Omaha. Ukifadhiliwa kwa
mamilioni ya Dola kupitia
Shirika la USAID, mradi
huo uliandaa vitabu na
machapisho mbalimbali
ya kuwatia uchizi wa
Jihad vijana wa Kiislamu
duniani kote, ukianzia na
Afghanistan.
Ki l i chof uat i a hapo
ni kuandaa kambi za
mafunzo kwa wapiganaji
hao, zi ki t umi ka nchi
za Paki stan na Saudi
Arabia. Ni makambi hayo
yaliyokuwa yakisimamiwa
na Idara za Uslama za
Marekani na Pakistan,
kutoa mafunzo kwa al-
Qaida na Taliban, ndio hayo
baadae baada ya kutimiza
malengo yaliyokusudiwa,
yakabatizwa na kuitwa
kambi za magaidi.
Li ki si mul i a j uu ya
mkakati huu wa Marekani
wa kuandaa magaidi
gazeti la Washington Post
liliwahi kuandika likisema:
The United States spent
millions of dollars to supply
Afghan schoolchildren with
textbooks flled with violent
images and militant Islamic
teachings.The primers,
which were flled with talk of
jihad and featured drawings
of guns, bullets, soldiers and
mines, have served since
then as the Afghan school
systems core curriculum.
Even the Taliban used the
American-produced books,..,
(Washington Post, 23 March
2002)
Naye Ahmed Rashid
anasema, likifanya kazi
kwa ni aba ya Shi ri ka
la Ujasusi la Marekani,
CIA, Idara ya Usalama
ya Pakistan, ISI, ilifanya
kazi ya kuandaa kambi za
mafunzo (Guerilla training
camps) na kutoa mafunzo
k wa Mu j a h i d e e n a .
Mafunzo hayo ya CIA
na ISI kwa mujahidina
yanatajwa kuhusisha pia
utengenezaj i mabomu
na kuf anya mauwaj i
pamoja na kulipua magari
(assassinations and car
bomb attacksTazama:
Ahmed Ras hi d, The
Taliban).
Naye Pr of esa Pr of
Michel Chossudovsky,
katika makala yake: 9/11
ANALYSIS: From Ronald
Reagan and the Soviet-
Afghan War to George W
Bush and September 11,
2001, anatuambia kuwa
Osama bin Laden, Americas
bogyman, was recruited by
the CIA in 1979 at the very
outset of the US sponsored
jihad. He was 22 years old
and was trained in a CIA
sponsored guerilla training
camp.
Kwamba Osama akiwa
REAGAN (mwenye suti) akiwa na Makamanda wa Taliban White House mwaka 1985.
9
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
Vita isiyo na mwisho
Inatoka Uk. 8
Hi s i a za kui pi nga
Mar ekani zi mekuwa
juu katika miaka minne
iliyopita tangu nimefika
Ye me n k wa ma r a
ya kwanza. I dadi ya
wapiganaji wa Al Qaeda
imeongezeka. Wanaenea
kote nchini na ukubwa
wa mashambulio yao pia
kuongezeka. Bado hakuna
mwisho unaoonekana wa
'mfano wa Yemen.'
Kwa Obama, tamati
inafkiwa pale akiondoka
madarakani mapema 2017.
Lakini tamati itafkiwa lini
nchini Yemen?
( I me t a f s i r i wa n a
kuhari ri wa kutoka War
Without End: 12 Years of
US Drone Strikes in Yemen,
by Iona Craig)
Wiki iliyopita tuligusia
j uu ya kuuliwa kij ana
Yahya Hassan Omar Hela
(31), maarufu kwa jina la
Yahya Sensei, mkazi wa
Mianzini jijini Arusha.
Kupitia kwa Kamanda wa
Polisi Arusha, Liberatus
Sabas, ilikuwa imearifwa
kuwa Yahya Sensei alikuwa
mtuhumiwa wa ugaidi na
kwamba , aliuwawa kwa
kupigwa risasi mguuni
na makalioni alipokuwa
aki j ari bu kuwatoroka
polisi.
Hata hivyo, picha za
mai t i ya mt uhumi wa
zi l i zowahi kupi gwa
na ba a dhi ya wa t u
wa l i o mwo na a ki wa
chumba cha kuhifadhia
maiti hospitalini, zinaeleza
habari tofauti kabisa.
Hata hivyo, hilo tuliache
kwanza.
Yapo mambo kadhaa
yanajitokeza katika makala
ya Craig niliyoinukuu
kwa uref u hapo j uu.
Moja, ni kuwa akitolea
mfano wa Yemen, hakuna
mahal i ambapo nchi
yoyote imetumbukizwa
na Marekani katika vita
dhidi ya ugaidi ambapo
kumekuwa na salama.
Vita hiyo huwa haiishi.
Kwa ni ni ? Swal i hi l i
linatuleta katika nukta
ya pi l i , kwamba vi t a
hii ina mambo mawili
makubwa. Moja wakati
unapambana na unaowaita
magaidi, wakati huo huo
unatengeneza magaidi
wengine, tena wengi zaidi.
Na hii hufanyika kwa
makusudi, sio kwa bahati
mbaya, ili kuhakikisha
kuwa vita hii haimaliziki.
Swali tena hapa ni kwa
nini? Hii inatupeleka katika
lile lililosemwa na Michael
lgnatief, katika gazeti la
New York Times, Julai
28, 2002 pale aliposema
kuwa: " Vi t a yot e ya
Marekani ni mwendelezo
tu wa ubeberu.
K i s h a a k a u l i z a ,
unawezaje kuita makundi
makubwa yasiyohesabika
ya askari wa Marekani,
majasusi na vikosi maalum
vilivyotawanywa duniani
kote?".
Nukta ya tatu muhimu
inayoelezwa na Craig ni
kuwa kwa bahati mbaya,
k a t i k a k uf a ni k i s ha
ubeberu wake, Marekani
i mef ani ki wa kupat a
viongozi vibaraka katika
nchi mbalimbali ambao
wapo tayari hata kuuwa
watu wao na kuangamiza
nchi zao, ili kufanikisha
malengo ya mabeberu.
An a t a j a mf a n o wa
aliyekuwa Rais wa Yemen
Ali Abdullah Saleh na
mawaziri wake ambao
walikuwa wakiiruhusu
Marekani kushambulia
raia wake kwa kisingizio
cha kupiga magaidi kisha
Rais huyo na wanasiasa
wenzake wanaliongopea
Bunge na wananchi wa
Yemen kuwa ni polisi
au wanajeshi wa Yemen
waliofanya mashambulizi
ha yo kwa l e ngo l a
kupambana na magaidi!
Unaweza mtu kujiuliza,
nani mbaya zaidi hapa:
hawa watuhumiwa wa
ugaidi ambao mara nyingi
wanakuwa wajinga tu,
wasiojitambua au hawa
vi ongozi wa seri kal i
mfano wa Ali Saleh na
wasimamizi wao wa vikosi
maalum wanaouwa watu
wao huku wakijua kuwa
wanatumikia maslahi ya
beberu!
Lipo j ambo moj a la
kuweka sawa hapa. Wakati
Ka ma nda Li be r a t us
akimtangaza Yahya Sensi
kuwa ni gaidi hatari na
hivyo alistahiki kuuliwa,
zipo taarifa katika baadhi
ya mi t andao ambazo
zilimpongeza na kumtaja
kama mfa dini, Shaheed
Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house
Inatoka Uk. 8
ki f aa cha Mar ekani ,
a l i p e wa ma f u n z o
katika kambi za kijeshi
(guerilla training camp)
zikiongozwa, kusimamiwa
na kufadhiliwa na CIA.
Zipo kanda za video
zilikuwa zikionyeshwa
katika taarifa za habari
wakati wa Usama Bin
Laden na Mullah Omar,
zikionyesha mujahidina
wakiwa katika mazoezi
makali ya kijeshi. Baadhi
ya vijana wa Kiislamu
walikuwa wakizipenda
na kuzi s habi ki a, na
hata sasa wakiendelea
kuzishabikia kanda hizo
zikionyeshwa katika BBC,
CNN, Aljazeera na akina
Fox News. Na wengine
wamezi-download na
kuziweka katika CD/DVD.
Ushabi ki wenyewe
ulikuwa kufurahia na
kuona kuwa kweli hao
wal i kuwa muj ahi di na
wa kwe l i kwa vi l e
wanavosoma Aya na
Hadithi katika mazoezi
yao. Lakini kwa upande
mwi ngi ne , we ngi ne
waki yasi fu mashi ri ka
ya kij asusi na yale ya
habari ya Marekani na
Uingereza (CNN, BBC,
Al j azeera, Sky News)
kuwa ni mahiri kwamba
yameweza kupenya na
kupiga picha kambi za
siri za magaidi al Qaida
na Taliban. Wasichokuwa
wakijua ni kuwa kambi
hi zo huendeshwa na
kufadhiliwa na mabeberu,
watu wao wakiwa ndio
wakufunzi na watoa silaha/
fedha, na ndio walikuwa
wakipiga picha na sasa
ndio hao hao wanaozitoa
picha hizo kwa vyombo
vya habari.
Kama ilivyotangulia
kuelezwa, awali ilikuwa
ni kuwaandaa mujahidina
kupigana na Mrusi. Baada
ya Mrusi kungoka, ilizuka
vita ya wenyewe kwa
wenyewe hatimaye Taliban
ikashika madaraka. Ni
hawa Taliban walioshika
nchi ambao wanatokana
na al Qaida na mujahidina
walewale, walifanywa
rafki vipenzi wa Marekani
hata kukaribishwa Ikulu
na Re a ga n. Wa ka t i
huo Marekani ilikuwa
na mpango wake wa
kuwa t umi a Ta l e ba n
katika mipango yake ya
mafuta na gesi. Lakini
hawakufikia maelewano
na Taleban. Hapo ndio
balaa likazuka. Ghafa wale
watu wema walio sawa na
Founding Fathers wa
Washington, wakageuzwa
kuwa mazimwi hatari.
Propaganda ikapigwa
sana kuwaonyesha kuwa
ni magaidi katili, wauwaji
wa watoto na wanawake,
wasiotaka watoto wa kike
wasome na mambo kama
hayo.
Katika kipindi hicho,
kile kile Chuo Kikuu cha
Nebraska kilichotumika
kuandaa Mujahidina,
sasa ki katumi ka tena
kuandaa na kupi ga
pr opa ga nda . I ka wa
baadhi ya wanawake
wa A f g h a n i s t a n ,
wanapelekwa katika Chuo
Kikuu hicho na kuandaliwa
program mbalimbali ikiwa
ni pamoja na wao kutoa
ushahidi j insi Taleban
walivyokatili.
K a t i k a mo j a y a
p r o p a g a n d a h i z o ,
kuliandaliwa igizo ambapo
wanafunzi wasichana wa
Kimarekani katika Chuo
hi cho, wal i andal i wa
kufanya usanii wakijifanya
kuwa ni wanawake wa
Afghanistan, waliovaa
Hijabu, huku wametia
rangi za mdomoni, lakini
wamezifunika na nikabu.
Kwa upande mwingine,
wanaandaliwa wavulana
a mb a o wa t a c h e z a
kama Tal i ban. Wal e
wa s i c ha na wa l i pi t a
katika korido za majengo
ya Chuo waki t embea
kuigiza wanawake wa
Afghansitan, kwa maana
sio kutembea kibabe kama
Wamarekani.
Wa k i w a n j i a n i
wanakutana na wavulana
wa n a o i g i z a k a ma
Tal eban kwa mavazi .
Wa n a wa s i ma mi s h a
wa l e wa s i c h a n a ,
wanawafunua nyuso na
kuona rangi za mdomoni,
w a n a w a s u k a s u k a
na kuwaburuza hadi
k we n y e mp i r a wa
ma j i ul i oc home kwa
kwenye bomba (mfereji)
wanayaf ungul i a kwa
nguvu na kuwavurumishia
wasi chana wal e hadi
wanal owa maj i chapa
chapa na rangi zao za
mdomoni zinatoka.
Wengine wanaonyesha
Inaendelea Uk. 14
Inaendelea Uk. 14
MELI ya kivita ya Marekani USS Cole.
10
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
Huyu ndiye Ustadh Yahya
Torres wa Cuba
Hija ni Nguzo ya Tano katika zile
nguzo tano za Uislamu ambazo
kila aliye Muislamu ni lazima
azifahamu na kuzitekeleza.
Zi ko hi zi mbi l i ambazo
hutekelezwa tu na wale wenye
uwezo; nazo ni kutoa zaka na
kwenda kuhiji huko Makkah.
Ni Makkah ndiko alikozaliwa
Rasu- ul - Ll ah Muhammad
S.A.W, lakini kufuatana na
Kuran Hija haitokani na sababu
kuwa hapo ndipo alipozaliwa
Mt ume wet u Muahammad
S.A.W. Hasa ni kushuhudia
kazi kubwa aliyoifanya Nabii
Ibrahim A. S. W na matokeo
yake. Haya yanafahamika kwa
Waislamu wote. Kuna rafiki
zangu wasio Waislamu ambao
wao wanalofaham la Hija ni kule
kumpiga mawe shetani tu.
Ni v i g u mu k u s a h a u
mafundisho ya mwanzo kabisa
wakati kijana anapoanza madrasa
na hata shule ya kawaida. Hii
huwa ni historia inayobaki katika
kumbukumbu milele na huelezwa
kwa fakhri kwa vizazi vijavyo,
watoto na hasa wajukuu. Siku
ya kwanza kushika mkusu na
kuuelekeza pale anapoanza
kusoma alif bee tee thee
na kuendelea, ni muhimu sana.
Kadri anavyoendelea ndiyo huja
mafundisho mengine kama yale
arkanul Islam khamsatun.
Linalofuata ni kukariri hizo nguzo
tano za Uislamu. Keshoye yule
kaka anayekufundisha la kwanza
ni kutaka kujua na kuhakikisha
kama bado unakumbuka somo
hilo la jana. Ni katika kusoma
huko ndio huyo mwanafunzi
anaelezwa kidogo kidogo, kwa
mfano, Nguzo ya Tano maana
yake nini, kama vile inabidi
kusafiri masafa marefu sana
mpaka kufka Makkah. Hakika
hapa mwanafunzi hana ramani
hivyo kuanza kutambua hayo
masafa marefu maana yake nini
ni kazi ngumu sana. Mawazo tu
yanabaki yanahangaika kama
kweli watu hufika huko, nami
i nshaal l ah si ku moj a l abda
nitafka. Inabakia kuwa ndoto.
I kumbukwe kuwa haya
yanayozungumziwa hapa ni yale
ya takriban miaka zaidi ya sitini
iliyopita. Wakati huo anayesafri
kwenda Dar es Salaam kutoka
Kigoma, kwa mfano, atapanda
gari moshi inayovutwa na kichwa
(locomotive) kinachotumia mvuke
unaopatikana kwa kuchoma kuni.
Bahati nzuri hizo gari moshi za
wakati huo zilikuwa haziharibiki
nj iani mara kwa mara kama
ilivyo sasa. Dereva akiwa Singha
Singha (Kala Singha). Kwa hiyo
Na Khalid S Mtwangi
Safari yangu ya Hajj
kwa Waislamu wengi wa nchi
hii wa wakati huo, kule kutimiza
ile nguzo ya tano ya kuhij i
Makkah ilikuwa ni ndoto. Lakini
bila shaka Subhana Wa Taala
mwenyewe alijuwa kuwa iko siku,
na aliwezesha siku hiyo ifke safari
hiyo itakuwa rahisi hivyo waja
wake wengi wataweza kutimiza
Nguzo Hiyo ya Tano. Wakati
wenyewe ni huu; mamilioni ya
waumini siku hizi wanatiririka
Makkah, Saudi Arabia, kutimiza
Nguzi Hiyo ya Tano.
Hapa Tanzani a hi vi sasa
kuna mashirika mengi ambayo
yanajishughulisha na kuandaa
safari za kwenda huko Makkah
na jinsi ofisi hizo zinavyozuka
kuwa nyingi bila shaka biashara
hiyo nayo inaleta faida kwa wale
wanaozisimamia. Labda nazo
zimesaidia kuleta unafuu katika
kupunguza gharama za usafri,
malazi na mahitaji mengine.
Katika makala mbali mbali huko
nyuma nimewahi kuzungumzia
uwezekano wa mas hi r i ka
haya kutoa nafasi za kwenda
Makkah kuhiji kwa wale ambao
wamerejea, yaani wameukubali
Uislamu. Inafahamika kuwa
baadhi ya hawa wanaoandaa
safari za Hijja hupata tiketi za
ziada (complimentary) ambazo
huwawezesha baadhi yao kwenda
huko Makkah ki l a mwaka.
Hili ni jambo la kawaida kwa
viongozi wengi wa BAKWATA,
HIJA kwao ni ibada ya kawaida
tu ya kila mwaka. Sasa badala
ya wao kwenda huko ilihali
wamekwisha timiza ile nguzo
ya tano, ni afadhali kuwasaidia
hawa waliosilimu. Hakika huwa
ni faraja kubwa kwao na wengi
waliobahatika kupata nafasi hizo
huko nyuma walirudi imani yao
imekuwa thabiti zaidi. Kuna mama
mmoja aliyepelekwa na kikundi
kilichokuwa kikisimamiwa na
Babu Isale Muhammed miaka
kadhaa huko nyuma. Mama huyu
alisema kuwa katika kutekeleza
na kutimiza zile ibada za huko
Makkah alij isikia kama vile
kakurubiana na Allah. Mama huyu
huko nyuma alikuwa ni mtawa
katika kanisa Katoliki. Baada ya
kukutana na kijana nadhifu wa
Kigoma mama huyu aliacha huo
utawa na kuwa Muislamu. Kijana
huyo sasa ni marhum mama
anaendelea na ibada zake.
Mfalme Abdullah bin Abdul-
Aziz al-Saud na Serekali yake
ya Saudi Arabia wametambua
umuhimu na faida za kutoa nafasi
kwa waumini na wale waliosilimu
kwenda huko HIJJA. Kwa mfano
mwandishi huyu alipokuwa huko
amekutana na Muislamu kutoka
Cuba. Huyu sasa anaitwa YAHYA
PEDRO LAZO TORRES. Simulizi
yake inaweza kumfariji yeyote
aliye Muislamu. Anasema kuwa
siku moja akiwa anatembea nje
kidogo ya Havana, mji mkuu
wa Cuba, aliokota kitu kama
kitabu kilichokuwa kimetupwa.
Alipofungua aliona kina maandishi
ya Kiarabu na Ki-Hispania.
Ilikuwa ni Kurani. Alikichukuwa
kile kitabu mpaka nyumbani
kwake na kuanza kusoma yale
maandishi ya Ki-Hispania ambayo
yalikuwa ni tafsiri ya Kuran.
Huo ulikuwa mwanzo wa safari
ndefu kulinganisha aliyokuwa
akiyafahamu ya Biblia na haya
aliyoyapata sasa ya Kuran.
Haikupita muda alitambua ukweli
uko wapi na alitafuta pahali pa
kwenda kusilimu. Alikwenda
Trinidad kuliko na Waislamu
wengi wenye asili ya Kihindi.
Amekuwa mstari wa mbel e
kueneza Uislamu na anasema
kuwa wako mbioni kuj enga
msikiti mkubwa na madrasa hapo
Havana. Safari yake ya Makkah
akiwa mgeni wa Mfalme imezidi
kumpanua mawazo. Anaamini
kwamba kapata njia iliyonyooka,
kwa maneno yake mwenyewe.
Inawezekana kabisa kuwa kuna
wasomaji wengine wasiweza
kufahamu nchi iitwayo ICELAND
iko wapi hivyo wakashindwa
kuionyesha kwenye ramani.
Ni l i s t aaj abu kukut ana na
mwenyeji wa nchi hiyo aliye
Muislamu, lakini alinihakikishia
kuwa ingawa ni kweli wao wako
wachache hivi sasa, idadi yao
inaongezeka kwa kasi na si
muda mrefu hata serekali yao
itawatambua. Nchi hii ni kisiwa
chenye watu takriban 313 000 tu
(2014) na huwa chini ya theluji
na barafu kwa muda wa miezi
tisa kwa mwaka. Pia nilikutana
na Waislamu kutoka visiwa vya
Cape Verde vilivyo Pwani ya
Afrika Magharibi. Nilistaajabu
kuambiwa na kijana mmoja kutoka
huko kuwa mwana mapinduzi
shupavu Amical Cabral wa chama
cha kupigania uhuru cha P I G C
alikuwa ni Muislamu. Nilidhani
kuwa kama hilo ni kweli, basi hiyo
inawezekana kuwa hilo limetokana
na ushawishi wa aliyekuwa rais
wa kwanza wa Guinea, Ahmed
Sekou Toure. Pamoja na kuwa
mwanamapi nduzi , Ahmed
Sekou Toure hakusahau kabisa
kuwa yeye alikuwa ni Muislamu,
j ambo ambal o l i l i waudhi
baadhi ya viongozi rafiki zake
wa Afri ka i ngawa wao nao
walikuwa wanamapinduzi lakini
hawakusahau kuwa wao walikuwa
WaKristu na waliutumikia Ukristu
wao kwa nguvu zao zote. Walitaka
tu viongozi Waislamu wasiwe
Waislamu.
Dr Abdul Hay wa Madina
Mosque, Houston, Texas huko
Marekani (tel: 281 488 3191, a6h@
yahoo.com) anatabiri kuwa ifkapo
mwaka 2016 idadi ya Waislamu
duniani itakuwa kubwa kushinda
dini zingine zote.
Hakuna haja ya kurudiarudia
kuwa HIJJA ni Nguzo ya Tano
ya Uislamu na iliyo na faida sana
kwa Muislamu anayeitekeleza.
Nakumbuka wakati miaka ya
nyuma wafanya kazi wa iliyokuwa
Jumuia ya Afrika Mashariki
walipolipwa mafao yao, Sheikh
BaSaleh aliwasihi sana watumie
mapesa haki yao hiyo kwenda
kuhiji. Sijui wangapi walimsikiliza
na kutekel eza nasaha zake.
Labda si wengi na katika hao
mimi nilikuwa ni mmoja wao
nikifkiri kuwa kwa vile bado nina
nguvu nitakwenda mwaka ujao.
Haikuwa hivyo, nikabaki najuta.
Kwa sababu tu ya pilika pilika
za huko muumini anashauriwa
kwenda HIJA wakati akiwa na
nguvu zake pengine za ujana.
Kwa wazee kama mimi, ni kazi
kubwa zaidi ingawa ile furaha
ya kufanikiwa kutimiza ibada hii
haina kifani.
Waislamu wa dunia nzima
wanastahili kutoa shukurani
kwa Serekali ya Saudi Arabia
hivi sasa ikiongozwa na Mfalme
Abdullah bin Abdul-Aziz al-
Saud. Wametumia yale mapesa
wanayoyapat a kut oka kwa
rasilimali mafuta kurahisisha hii
ibada ya HIJA. Kutengeneza yale
yote yaliyomo Masjid Harami
kwa mfano inahitaj i mapesa
mengi. Nakote anakokwenda
HUJAJ ujenzi umetengenezwa
kurahisisha utekelezaji wa ibada
hii muhimu. Masjid Nabawi, yaani
Msikiti wa Mtume pale Madina, ni
jengo la ajabu kwa watu kama sisi
tuliotoka vijijini. Wasanifu wa
majengo na wahandisi walitumia
ujuzi wao kweli kweli na mapesa
mengi yalitumika. Kama Saudi
Arabia ingekuwa nchi masikini,
sijui ingekuwaje. Labda Waislamu
duni a nzi ma wanget aki wa
kuchangia kujenga na kutunza
sehamu zote zile muhima za HIJA
na ZIARA. Muislamu lazima
akubali KUDRA iliyo nguzo
muhimu ya IMAAN.
Kijitabu chao Kanisa Katoliki
kiitwacho DINI MBALIMBALI
NA UTUME WETU ( p 22)
kilichoandikwa na Fr Fridolin
Portman na kupigwa chapa
huko Peramiho, kinazungumzia
KUDRA kwa Waislamu. Yeye
kwa kutokujua kaiita TAQDIR
(FATE AU PREDESTINATION
kwa Kiingereza). Kwa sababu
anazozijua mwandishi maelezo
yake juu ya imani hii ni kashfa
tupu juu ya Uislamu na Waislamu.
Siku moja nilisikia Sheikh Hamid
Jongo akielezea kwa kirefu IMANI
hii pale Msikiti wa Manyema mjini
Dar es Salaam. Hayo ya huyu
Sheikh Mmanyema na haya ya
huyu Padri Fridolin Portmann ni
mbali mbali kabisa. Huyu Padre
haja yake ilikuwa ni kuukashifu
tu Uislamu na Waislamu. Mungu
amsamehe na amuongoze katika
njia iliyo nyooka.
11
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala ya Mtangazaji
BETHLEHEM ( Ma' an) - -
Palestinian officials strongly
condemned Israel on Monday
after it announced plans for
1,000 new setler homes in East
Jerusalem.
Jibril Rajoub, a senior member
of Fatah, warned of violent
consequences likely to follow the
latest setlement plans.
"Such unilateral acts will lead to
an explosion," he told a gathering
of foreign journalists in the West
Bank city of Ramallah.
"If he wants to keep pushing
us all into a vicious circle of
bloodshed and killing he must
draw the right conclusion from
what happened in Gaza," Rajoub
added.
Senior PLO negotiator Saeb
Erekat said the decision "amounts
to evidence of an intent to further
commit crimes defined by and
punishable under international
Offcial: Unilateral Israeli
actions will lead to 'explosion'
A general view of Har Homa setlement in East Jerusalem.
law."
"The announcement by Israel's
housing minister, Uri Ariel, who
is already a setler, of his intent to
occupy a seized Palestinian home
in Silwan is just another shocking
reminder of Israel's accelerating
efforts t o forci bl y di spl ace
Palestinians from Jerusalem and
turn the Holy City of three faiths
into an exclusive Jewish city."
The offi ci al sai d that the
international community must
take action to save the two-
state solution from "colonial
expansionism" and support the
PLO' s efforts at the Security
Council to set a deadline for ending
the 47-year Israeli occupation.
Erekat also urged divestment
f rom al l compani es l i nked
directly or indirectly to the "Israeli
occupation, colonization, and
Apartheid policies."
HEBRON (Ma'an) -- Israeli forces
on Monday demolished several
buildings in the village of Umm
al-Kheir in the Hebron district,
locals said.
Israeli forces demolish homes, steel structures near Hebron
Local resident Mustasem al-
Hathalin told Ma'an that Israeli
forces and bulldozers demolished
four houses, steel structures, and a
public bakery in the village.
A spokeswoman for COGAT,
the Israeli defense ministry unit
responsible for civil administration
in the Palestinian Territories, did
not answer calls seeking further
details.
Some 27, 000 Pal est i ni an
homes and structures have been
demolished by Israel since it
occupied the West Bank in 1967.
RAMALLAH (WAFA) - Ministry
of Foreign Affairs Monday said
that the current Israeli government
is working in accordance to the
Israeli setlers priorities in the West
Bank, contradicting claims of its
willingness to end the Palestinian-
Israeli conflict through peace
negotiations.
In a press release issued by the
Foreign Ministrys ofce, the ministry
stated that the last agreement between
Prime Minister Benjamin Netanyahu
and the setlements representatives
to expand setlement activities aims
to protect the coalition.
It said that Netanyahu gives
what he does not own, and denies
Palestinians their rights in favor of
the illegal Israeli setlements and their
expansion.
EU decries Israel plans for East
al-Quds settlement construction
THE European Union has censured
Israels plans to construct more
set t l ement s on t he occupi ed
Palestinian land.
EU foreign policy spokeswoman,
Maja Kocijancic, made the remarks in
a statement on Monday after Israeli
Prime Minister Benjamin Netanyahu
ordered plans for the construction of
1,060 new setler units in East al-Quds
(Jerusalem).
Kocijancic said if such a decision is
confrmed "it will call once again into
serious question Israel's commitment
to a negotiated solution with the
Palestinians.
She went on to say that the only
thing the EU could do was to condemn
such an ill-judged and ill-timed
decision.
The EU official noted that the
future development of relations
between the EU and Israel would
depend on the Israeli regimes
engagement towards a lasting
peace based on the so-called two-
state solution.
Kocijancics remarks came amid
widespread global condemnation of
Israels land grab policies, which have
been among the major reasons behind
the failure of US-led talks between
Israelis and Palestinians.
More than half a million Israelis
live in over 120 illegal settlements
built since Israels occupation of the
Palestinian territories of the West
Bank and East al-Quds.
The UN and most countries regard
the Israeli settlements as illegal
because the territories were captured
by Israel in the 1967 war and are hence
subject to the Geneva Conventions,
which forbids construction on the
occupied lands.
Khudari: Recognizing Palestine
started to gain int'l momentum
GAZA -- MP Jamal Al-Khudari, head
of the popular committee against
the siege, said the recognition of
Palestine as a state started lately
to gain more political momentum
in the international and European
arenas.
In a press release, MP Khudari
hailed that the new international
and European political positions
and moves towards Palestine and
its national cause as important steps
towards restoring the Palestinian
legitimate rights.
He underlined that the Irish senate's
vote in favor of a motion calling on the
Dublin government to recognize the
state of Palestine was an important
step following a similar move by
the British house of commons and
Sweden's recognition of Palestine,
pointing to other international and
European parliamentary positions
towards the Palestinian cause.
The lawmaker called for necessarily
investing the international solidarity
with the Palestinian cause and
intensifying the Palestinian ofcial,
parliamentary, and popular eforts to
turn the symbolic votes for Palestine
into action adopted by governments.
He also stressed the need for real
international moves to end Israel's
illegal occupation of Palestine.
Netanyahu Orders Construction of 1060
Settlement Units in East Jerusalem
RAMALLAH (WAFA) Israeli Prime
Minister Benjamin Netanyahu
Monday gave orders to advance
plans for the construction of 1060
new illegal housing units in East
Jerusalem.
New housing units are set to be
constructed in two setlements in East
Jerusalem; 660 new units in Ramot
Shlomo, and 400 in Har Homa, in
addition to an infrastructure project
of opening 12 new setlement roads
in the West Bank.
Earlier this month, the Israeli
government approved the building
of 2600 new setlement units in East
Jerusalem, a move that was criticized
by the US which stated that the plan
will poison the atmosphere.
The US criticism was rejected by
Netanyahu who said that it is against
American values.
Meanwhi l e, PLO Execut i ve
Commi t t e e me mbe r , Hanan
Ashrawi, condemned Netanyahus
announcement, saying it exposes the
true nature of this blatantly racist and
extremist Israeli coalition.
Netanyahu is interested in forging
ties with extremist and violent
settlers at the expense of the two-
state solution and Palestinian human
rights, Ashrawi concluded.
Illegal Settlers Priorities Guide
Israeli Government, says
12
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
12
Barua/Mashair
KATIKA ulimwengu wa
leo bila shaka hakuna mtu
anayeweza kusema kuwa,
hataki maendeleo. Na kama
akitokea mtu wa aina hiyo
basi atakuwa kituko na kioja
kwa watu na wanajamii
anaoishi nao. Kwani ili
aende na wakati hana budi
kuyakubali na kuyapokea
maendeleo. Kwa maana
kwamba, kama atatokea
mtu katika zama zetu hizi
na atake kuishi kwa mujibu
wa miaka 100 iliyopita, bila
shaka ataonekana kituko
na kioja. Kwani kwa mfano
vyombo vya usafri zamani
vilikuwa punda na farasi
kwa wenye uwezo. Hii leo
kuna kuna gari, treni, meli
na ndege. Safari ambayo
zamani mtu akitumia miezi
adhaa kufka, leo anaweza
kukata masafa yake kwa
masaa kadhaa t u kwa
kutumia usafiri wa anga.
Hivyo, kiujumla maendeleo
ni jambo linalofurahiwa
na kupokewa kwa mikono
miwili na kila mtu mwenye
akili timamu.
Ta b a n i k i l a mt u
anayapokea maendel eo
kul i ngana na haj a na
mat umi zi yake. Has a
kama maendeleo yenyewe
yatakuwa ni ya teknolojia
na mawasiliano. Hii leo sote
tunaishi katika ulimwengu
ambao t umezungukwa
na anuwai kwa anuwai
ya vyombo vya habari na
vya mawasiliano. Redio,
t el evi s heni , s at al ai t i ,
intaneti, simu ya mkononi
na kadhalika. Zamani, tena
hata sio zamani sana, mtu
alikuwa akiandika barua
mathalani Dar es Salaam na
kuituma kwa posta, kufka
kwake ilikuwa ikichukua
wiki moja na hata zaidi. Simu
wakati huo ilikuwa ni taabu
mno.
Nyumba zilizokuwa na
simu za mezani (landline)
zilikuwa zikihesabika kama
pale mtaani au pengine
baadhi ya wengine walikuwa
wakilazimika kwenda kwa
jirani mtaa wa pili kusubiria
simu ya mtoto wake aliyeko
Arabuni aliyeahidi kwamba
angepiga simu majira ya
jioni.
S i k u z i k a p i t a n a
kusonga mbele, ambapo
taratibu simu za mkononi
zikaanza kuingia na adha
ya mtoto kutumwa kila siku
kwenda kumuita jirani aje
kuzungumza na simu yake
ikaanza kupungua.
Hii leo pengine ni watu
wachache ambao katika
Matumizi ya simu yanatupeleka wapi?
Na Salum Bendera maisha yao ya kila siku
hawatumii masaa kadhaa
wakiwa wanashughulishwa
na simu, kuanzia facebook,
twiter, whatsapp, viber,
tango, line, talkbox, talkray na
huduma nyingine nyingi za
mawasiliano zinazopatikana
katika hizi simu za kisasa
z i na z o j ul i k a na k a ma
smartphone, ambapo baadhi
wanapenda kuziita Simu za
Tachi na nyinginezo.
Bila shaka kutumia suhula
na nyenzo za kisasa kwa ajili
ya mawasiliano baina ya
watu, ni jambo lenye taathira
kubwa kwa familia na jamii
na hata kubadilisha mtindo
wa maisha (life style) wa
mtu. Hii leo ukipanda basi, ni
mara chache kusikia mijadala
ya kisiasa kama zamani, au
ubishi wa Simba na Yanga
au mambo ya siasa ya CUF
na CCM; kwani kila mtu
ameshughulishwa na simu
yake.
Hata wengine wanasema,
s i mu hi z i z i me s a i di a
kums hughul i s ha mt u
anapokuwa katika fulani na
hivyo kumpunguzia presha
na maumivu ya foleni hasa
katika jiji la Dar es Salaam.
Baadhi ya nyumba baba,
mama, na watoto kila mmoja
ana simu yake au tablet
hivyo ameshughulishwa na
kuchati.
Wanaf ami l i a hawana
tena muda wa kuongea kwa
muda mrefu kama zamani.
La kusikitisha ni kwamba,
baadhi wanaghafilika na
hata kusahau majukumu yao
ndani ya nyumba kwa sababu
ya simu. Katika hili sio akina
mama tu, bali hata akina baba
nao pia wamo.
Karibuni hivi nilikuwa
nikizungumza na swahiba
wangu mmoja kuhusiana na
hili, akaniambia lakini unajua
bora hivyo kuliko zamani
watu walikuwa wakikaa
na kusengenya. Kushibana
kwetu hakukuwa sababu ya
mimi kutopinga hoja yake
hiyo.
Nilimwambia kwamba,
hilo kwa upande mmoj a
yawezekana kul i tazama
hivyo lakini katika upande
wa pili, usisahahu kwamba,
watu siku hizi wanasengenya
pia kwa simu. Si hayo tu,
mko kwenye chombo cha
usafri mtu anapigiwa simu
utamsikia anasema Niko
Muhi mbi l i i l hal i mko
Kimara mnaelekea Mbezi.
Uongo wa wazi tena mbele
ya kadamnasi, bila ya haya
wala soni.
Kwa hakika simu kama
ilivyo satalaiti, ina mambo
mengi mazuri na mabaya.
Unaweza kupata programu
nzuri za Kiislamu, Qurani
kwa maandishi, sauti za
wasomaji Qurani mashuhuri
na t of aut i duni ani na
mengineyo.
Hivyo inategemea na jinsi
mwenyewe unavyoitumia
simu yako. Kwenye vikao na
hata mihadhara ya kidini nje
na ndani ya misikiti, baadhi
ya watu hushughulishwa
na s i mu zai di kul i ko
kinachozungumzwa pale.
Au wengine unazungumza
naye huku anachati. Kasi na
ongezeko la simu pamoja
na mat umi zi yake kwa
namna fulani ni tishio kwa
mfungano na hali ya ukaribu
baina ya wanafamilia.
Jarida moja liliandika hivi
karibuni kwamba, hii leo
kuna simu za mkononi bilioni
1. 35 hivi. Katika baadhi
ya nchi, zaidi ya nusu ya
wakaazi wake wana simu za
mkononi. Jarida The Bulletin
la Australia linaripoti hivi:
Idadi ya simu za mkononi
zinazotumiwa inakaribia
jumla ya idadi ya televisheni
na kompyuta. Katika nchi
zaidi ya 20, idadi ya simu
za mkononi inapita idadi ya
simu za waya (Landline).
Mtaalamu mmoja amesema
kwamba zaidi ya kuwa hatua
kubwa ya kiteknolojia, simu
za mkononi zimebadili
jamii. Tukiachana na faida
na madhara ya matumizi ya
simu kijamii, kwa upande
wa kiuchumi na kurahisisha
mi amal a, t eknol oj i a ya
simu imekuwa na nafasi
muhi mu s ana na hat a
baadhi ya nchi zimekuza
uchumi kupitia teknolojia
hii. Wafanyabiashara wengi
wanafaidika kwa kuwa simu
nyingi za mkononi zinauzwa.
Shi r i ka moj a kubwa
l i l i sema hi vi : Si mu ya
mkononi ndicho kifaa cha
elektroniki kinachouzwa
kwa wi ngi zai di . Basi ,
leo watu wanatumia pesa
nyingi zaidi kununua simu
za mkononi ikilinganishwa
na pesa walizotumia zamani
kununua kifaa chochote kile
cha elektroniki.
Hivyo basi, teknolojia hii
ya mawasiliano ina faida
nyingi na mambo mabaya
pia isipokuwa la msingi ni
kuwa makini juu ya namna
tunavyoitumia. Tutumie
simu kwa mujibu wa mahitaji
na kwa njia sahihi kulingana
na mafundisho ya dini yetu.
Wazazi jukumu lao hapa
ni zito kwani hiki kizazi
kinachoinukia kizazi cha
teknoloj ia na mitandao
ki napaswa kuandal i wa
mazingira mazuri na ramani
ya njia ya namna ya kutumia
nyenzo hizi za mawasiliano.
Njia bora kabisa ni malezi
bora kwa misingi ya Uislamu.
Wazazi watakiwa kuwaendeleza
vijana kielimu, sio kuwatafutia kazi
Inatoka Uk. 16
omba ushauri kwa wazazi
au walimu wako angalia
njia nyingine ya kuweza
kufikia malengo yako,
kwa sasa njia zipo nyingi
za kukuwezesha kufika
ulipo kusudia. Alisema
Ust. Shemtoi.
Ai d h a a l i wa s i h i
vijana hao wa Kiislamu
kut oj i i ngi z a ka t i ka
propaganda ya kufanya
zinaa salama kwa kutumia
kondomu, bal i wawe
mstari wa mbele kupinga
hilo huku wakijiandaa
kuwa wanafamilia bora
kwa kufuata taratibu
na misingi ya Kiislamu
ya kuchagua mwenza
atakaye faa kwa ajili ya
kujenga familia bora.
Alisema, hakuna zinaa
salama na kwamba uchafu
ni uchafu tu. Kwamba
si sahihi kwa kijana wa
Ki i sl amu akaj i i ngi za
katika kampeni hizo kwani
atakuwa anamchukiza
Mwenyezi Mungu badala
yake, anatakiwa kupiga
vita propaganda hizo.
Akizungumzia suala
l a uhaba wa wal i mu
wa somo la maarifa ya
Ui sl amu mashul eni ,
Shemtoi alitoa wito kwa
viongozi wa taasisi za
Kiislamu kuandaa au
kuratibu semina wezeshi
za uendeshaji wa somo
hilo (EDK) kwa Walimu
wa l i opo ma s hul e ni
pamoj a na wal e wa
madrasa.
Katika mahafali hayo,
wahi t i mu wal i gai wa
vyeti pamoja na zawadi
ya tafsiri ya Juzuu tatu
za mwisho katika Qur
an tukufu, kwa lengo la
kuwapatia vijana marejeo
ya kuj ua mwenyezi
Mungu anataka waishi
vipi.
Ust. Shemtoi, aliyekuwa
mgonj wa kwa muda
mrefu baada ya kupata
ajali ya pikipiki akiwa
katika shughuli za Daawa
na kuvunj i ka mguu,
alitumia fursa hiyo kutoa
shukrani kwa wadau
wa taasisi mbalimbali
za Kiislamu zilizokuwa
naye bega kwa bega
wakati akijiuguza kwa
kuanzia kwa madaktari
wa Hospitali ya teule na
Kibiboni, mkoani Tanga.
Al i zi taj a baadhi ya
Taasi si hi zo kuwa ni
Munazamat , Daar ul
Hadiith, IDF, TAMPRO,
IPC na Waislamu wote kwa
ujumla, kwa michango
yao na dua zao pamoja
na gazeti la An nuur, kwa
kuuf ahami sha umma
kufuatia ajali aliyoipata.
Masjid Kadiria Mwasiti uliopo kijiji cha Kibuta wilayani
Kisarawe mkoani Pwani wanaomba msaada wa kuchimbiwa
kisima katika Msikiti huo.
Gharama za uchimbaji wa kisima hicho ni shilingi milioni
tano mpaka sasa zimepatikana milioni moja hivyo basi bado
milioni nne (4).
Shime Waislamu kutoa ni moyo, unaombwa kuchangia
chochote ulichojaaliwa na Muumba wako kwa ajili ya
kuweka akiba ya Akhera yako.
Unaweza kuchangia kupitia Akaunti ya benki na namba
za simu kwa tigo pesa:
0656 092 436 au A/c No 001340085740001 Amana Bank
Wabillah Tawfq
Msaada
Ustadhat Mwasiti (kulia) akiwa na wanafunzi
13
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
MAKALA
NIKIJARIBU kuyapima
mambo wakati mwengine
huj i t i a ma t uma i ni
kuhusiana na mwenendo
na matukio ya hapa kwetu
Zanzibar. Mitaani na
watu wangu wa tafakuri
hunichagiza kwa kelele
na kwa ufupi wa maneno
huniambia, wewe jipe
mat umai ni t u. Kuna
wakati nikajisemea na
nafsi yangu kuwa labda
ni ki pi ndi mwi s ho
mambo yataenda vizuri.
Sasa naanza kupat a
wasiwasi na nashindwa
kumuelewa.
Kwamba ni kwa kiasi
gani kiongozi wa Zanzibar
aliyeapa kuilinda katiba
ya Zanzibar PAMOJA
NA MAMBO MENGINE
I NAMPA KI ONGOZI
MAMLAKA YA KIINCHI
na kuipa Zanzibar hadhi
ya nchi sawa na mshirika
mwe z a k e k we n y e
muungano hal afu l eo
inatengenezwa KATIBA
INAYOKUJA KUFUTA
NGUVU HIYO na bado
ikatokea kuiunga mkono
tena kwa hali na mali?
Hili la kuondoshwa
c h e o mwa n a s h e r i a
Othman, inasemwa kuwa
ni baada ya Waziri Mkuu
Nashindwa kumuelewa Rais Dr. Shein
Na Mwandishi Maalum
na mwanasheria wa SMT
kushindwa kumshawishi
O t h m a n k w e n d a
Dodoma. Kulikuwa na
busara gani hapo wakati
kwanza mazingira ya kule
Dodoma yalikuwa hatari
kwa mwanasheria huyu,
pili alikuwa hakubaliani
na kile kilichokuweko
kul e na haki yake ya
kikatiba na kidemokrasia
t at u Seri kal i ya SMZ
haikukwa na msimamo
wowote juu ya jambo hili
nini kilimsukuma Dr Shein
kufanya hivyo?
Kwamba basi, kiongozi
wa nchi anashindwa hata ile
kujipa fursa ya kumsikilza
mwanasheria wa SMZ
kwa mambo makubwa ya
nchi kama haya. Hivi ni
kuwa serikali yetu haijui
nafasi ya Mwanasheria
Mkuu wa Serikali? Suala
hili limenivunj a moyo
sana na kwa kweli kumbe
bado sana. Amefurahisha
watu kwa kuiadabisha
mamlaka ya kisheria yote
maana huyu ndie alikuwa
na j ukumu l a kut oa
mwongozo wa kisheria
juu ya SMZ?
Lile sakata la UAMSHO
nalo limekuwa donda
sugu. kuanzi a hat ua
ya mwanzo kuwekwa
ki z ui z i ni Ma s he i kh
wale, na zile danadana
za mahkama wakati ule.
Taswita inayojitokeza ni
kuwa haya mambo ya
kisiasa, wala sio uhalifu au
ya kisheria. Na Masheikh
hawa kupelekwa Kisutu
ba da l a ya Vuga ni
mwendelezo tu wa mchezo
huu, ninaoweza kuuita
kuwa ni mchafu.
Iko wapi mamlaka ya
Zanzibar licha ya kuwa
na Mahkama zake? Yuko
wapi mlezi wa mamlaka
hii ya Zanzibar? Tuna
bahati mbaya sana. Serikali
yetu utafikiri haiyajuwi
yanayoendelea huku nje na
mitaani, kile kilio cha raia
wake wala haisikii na bado
zile nyimbo za wachezea
a ma ni z i na one ka na
kama burudani fulani tu,
yakiwemo yale matusi ya
pale Kisonge ya ubaguzi
na mat usi yasi yof aa.
Inasikitisha kuwa kuna
ml ezi wa seri kal i ya
SMZ/GNU na yeye ndiye
Makamo Mwenyekiti wa
Chama anachokiongoza
hal af u mt ot o wake
mwenyewe, Ki songe,
anafanya haya na yeye
mlezi kimya. Nashindwa
kuelewa.
UKO WAPI WAJIBU
WA DHAMANA WA
KIONGOZI WA NCHI
KWA RAI A ZAKE? ,
UKO WAPI WAJIBU WA
KUI LI NDA KATI BA
YA Zanzibar? Uko wapi
wajibu wa kulinda maslahi
ya Zanzibar? Nashindwa
kuelewa.
Mungu Ibariki Zanzibar
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.
Msuli wa Nyerere ulitumika kuiunda
Mzee Sadiki waulize wanaoijua Bakwata
Na Bakari Mwakangwale
WAPO wazee wetu ambao
wametangulia mbele za
haki, lakini wakituachia
usia mzito.
Kwa mba vye o na
kupenda s t ar ehe za
kidunia, kusitupumbaze,
hadi tukaiuza Akhera yetu
kwa namna mbaya.
Na wakatufafanulia
hi yo na mna mba ya
y e n y e we k u wa n i
Mui s l amu kut umi ka
kuhujumu Uislamu na
kuwahujumu Waislamu
wenzake ili kulinda cheo
na masilahi yake serikalini
na ya kidunia kwa ujumla.
Miongoni mwa wazee
hao ni marhum Mzee wetu
Rashid Mfaume Kawawa
na Rashi d Kayugwa.
Hawa kwa nyakati tifaudi,
walieleza masikitiko yao
j i nsi wal i vyot umi wa
na Nyerere kuhuj umu
Wai sl amu, zi ki wemo
zile harakati za kuuwa
Jumuiya ya Waislamu ya
EAMWS na kuwaundia
Bakwata.
KUNA us e mi wa
Kiingereza usemao No
Research no Ri ght to
Speak.
Usemi huu umekuwa
ukitafsiriwa na wengi
kuwa kama huj afanya
utafi ti hauna haki ya
kusema, au hakuna haja
ya kulisema jambo ikiwa
hujalifanyia uchunguzi.
Hivi karibuni, Mkuu
wa Mkoa wa Dar es
Saalam, Mzee Said Meck
Sadiki, alinukuliwa na
baadhi ya vyombo vya
habari, akikanusha madai
ya wanaosema kwamba
BAKWATA, ni chombo cha
Serikali.
Kabla ya kukanusha hilo,
Mzee Sadiki, angelijaribu
kwanza kujiuliza kwa nini
madai hayo yaelekezwe
kwa BAKWATA na si
Taasisi nyingine yoyote,
iwe ya Kiislamu au ya
Kikristo.
B a a d a y a h a p o ,
angefanya utafiti madai
hayo kama yana ukweli
wowote au ni uzushi tu
kama alivyodai, kisha sasa
ndipo angekuwa na haki
ya kuisemea BAKWATA,
kulingana na majibu ya
utafti wake.
Wa i s l a mu a u ha o
w a n a o d a i k u w a
BAKWATA, ni sehemu
ya Serikali wanadiriki
kusema hivyo kulingana
na mwenendo wa wazi
wa Baraza hilo dhidi ya
Waislamu, ambao hauhitaji
utafti wa kina na mgumu
sana.
Kuna matukio mengi
ambayo uki yarej ea ni
dhahiri utajiuliza Baraza
hi l i l i po kwa aj i l i ya
Waislamu au dhidi ya
Waislamu?
Lakini wapo walioshiriki
kuundwa kwake walisema
hadharani kabla ya umauti
wao kuwafika na wapo
wal i ofanya utafi ti wa
kina na kuweka katika
machapisho mbalimbali
hat ua kwa hat ua ya
uundwaji wa BAKWATA.
Mfano wa waliosema
baada ya kuundwa kwake,
ni Mzee Rashid Mfaume
Kawawa, al i ye kuwa
kiongozi wa ngazi ya juu
kabisa Serikalini. Mzee
Kawawa al i onye s ha
kuj uti a ushi ri ki wake
katika hila za kumngoa
Mufti wa Tanganyika na
Zanzibar, Sheikh Hassan
bin Amir.
Pia yupo Bw. Rashidi
Kayugwa, al i yekuwa
Afisa Usalama wa Taifa
Dar es Salaam, kabla ya
umauti wake al i el eza
mchango wake katika
kuwahujumu Waislamu na
Uislamu akiwa Serikalini,
katika harakati hizo za
kuwaundi a Wai sl amu
BAKWATA.
Lakini yupo Mzee Bilali
Rehani Waikela, ambaye
mpaka sasa yupo hai
pale Mjini Tabora na hivi
karibuni aliizungumzia
BAKWATA mbel e ya
Mahakama ya Kisutu, Jijini
Dar es Salaam, katika kesi
iliyowakabili Waislamu
ya uvamizi wa kiwanja
cha Markazi Chongombe,
ambaye alisema Baraza
hi l o hal i na ri dhaa ya
Waislamu katika kuundwa
kwake.
K w a u p a n d e
w a m a c h a p i s h o ,
mwanahistoria na mtafti
Inaendelea Uk. 15
14
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Habari
Vita isiyo na mwisho
Inatoka Uk. 9
na kwamba huko aliko
ashapat a J aza nj ema
kutoka kwa Mola wake.
Uk i s o ma t a a r i f a
h i z i u t a o n a k u wa
zinafanya kazi mbili kwa
wakat i mmoj a. Moj a,
zinapandikiza chuki kwa
wale wote waliohusika
na kifo cha Yahya pamoja
na waliowatuma. Hapa
unaweza kusema kuwa
ni polisi wetu, serikali
na wenye vita yao ya
ugaidi Marekani. Pili,
i nahamasi sha vi j ana
wengine kuwa kama Yahya.
Wanaoendesha mitandao
hii wanaweza kuwa hao
hao mawakala (agents) wa
mabeberu, sawa na wale
wanaoendesha mitandao
ambayo kila wakati hudai
kuwa ni ya al-Qaidah au
al-Shabab. Na lengo hapa
ni kuwanasa vijana wengi
wa Kiislamu wadhani
kuwa akina Yahya wapo
katika Jihad na wamekufa
mashaheed kwa hi yo
nao watamani u-Shaheed
huo. Sasa hapa kuna
kosa linafanyika katika
uf ahamu. Waandi shi
wengi wanapoi l aumu
Marekani kuwa vita yake
dhidi ya ugaidi haijazaa
matunda bali imeongeza
magaidi, wanadhani hili
ni jambo la bahati mbaya
tu au matokeo ya lazima
ambayo hayakupangwa
toka awali. Sio.
Ukisoma na kuchambua
yal e yat okanayo na
NSDD (National Security
Decision Directives Reagan
Administration. ... NSDD
166: US Policy, Programs,
and Strategy in Afghanistan
27 Mar 85 NSDD 167) na
yale ya
Op e r a t i o n Cy c l o ne
kwa uj uml a, na yot e
yaliyofanyika katika utafti
uliofanyika katika Chuo
Kikuu cha Nebraska kabla
ya kuwatengeneza akina
Osamah Bin Laden na
New York na New Jersey.
Ukipitia makala hizi na
nyingine nyingi chini ya
mada Black Propaganda,
pengine unaweza kupata
picha nini kilikuwa nyuma
ya shambulio la USS Cole,
ambapo ilidaiwa kuwa
ni Waislamu akina Jamal
al - Badawi , Maamoun
Msouh, Fahd al-Quso,
Ali Mohamed Saleh na
Murad al-Sirouri. Abd al
Rahim al-Nashiri Wengine
wakatajwa kuwa ni Ibrahim
al-Thawr, Abdullah al-
Misawa na hata akina
Fazul waliovuma sana
huku kwetu.
Hi l i n d i l o t u k i o
kubwa ambalo hatimaye
lilipelekea viongozi wa
nchi hiyo kutiwa kitanzi na
kujikuta wakiwa vibaraka
wasal i t i wa nchi zao
wenyewe na watu wao.
Tunaambiwa: Chini ya
Rais Ali Abdullah Saleh,
wanasi asa wa Yemen
walikuwa hata wanasema
uwongo mbele ya Bunge
lao kwa kuikingia kifua
Ma r e ka ni na kuda i
walifanya mashambulio
hayo ya Marekani.
Kama leo tumefikia
mahali pa kudai kuwa
wa t u h u mi wa we t u
walikufa kwa kupigwa
risasi mguuni, lakini maiti
zao zinatoa picha tofauti
kabisa, je, hii haiwezi kuwa
ishara kuwa tunakoelekea
ni kule kule walikofika
akina Ali Saleh?
Tujue tu kuwa kadiri
tunavyoj ifanya mahiri
sana wa kupambana na
watuhumiwa wa ugaidi
kwa mbi nu zi l e zi l e
tunazopewa ndani ya
vikosi mfano wa ATPU,
t uj ue kuwa ndi vyo
tunavyosaidia kuboresha
na kuendeleza ubeberu wa
wanaofadhili vikosi vyetu
maalum.
Tu n a wa f u n g u l i a
milango na kuwasafshia
nj i a ya k ut a wa nya
makachero wao na vikosi
vyao katika nchi zetu. Na
bila shaka tunajua nini
maana yake.
Sasa, tuna hiyari, kukaa
kitako na kutafakari upya
juu ya vita hii dhidi ya
magaidi na kujua namna
ya kwenda nayo, l a
sivyo tujiingize katika hii
Yemen model, ambayo
kwa hakika ni nj ia ya
uhaki ka ya kuel ekea
maangamizi.
Uc haguzi ni wet u
kwa s ababu Mungu
k a t u p a a k i l i . Na
hawakuwa hao mabeberu
wanaotupelekesha kuwa
wao wana nyoyo mbili.
Ni moja kama tulivyo sisi.
Taliban, Al-Qaidah ndani ya White house
Inatoka Uk. 9
j i n s i w a n a w a k e
wanavyocharazwa bakora
wakioonekana kwenda
shule au kusoma kitabu
chochote. Katika hali hiyo,
wapo wanaosimulia jinsi
wanavyosoma kwa taabu
usiku kwa kujifcha, lakini
Tal eban wanaovi nj ari
mitaani usiku na mchana
mara wanawakuta na
kuwacharaza bakora.
Igizo na usanii hufanywa
kiufundi hali inayowaacha
watizamaj i wakitokwa
na machozi. Mwisho wa
mchezo huu uliopewa jina
The Afghan Women,
mu a n d a a j i Ta mmy
Meneghini husema:
These women went
through this every day.
Akimaanisha kuwa hiyo
ndiyo hali wanayoishi
nayo wanawake wa
Afghanistan kila siku.
Li ngani sha mchezo
huu na ile kauli ya Rais
Reagan kuwa Taliban/Al
Qaida, kimaadili ni sawa
na Founding Fathers wa
Marekani!
Hawa ndio wenye vita
yao ya ugaidi ambayo
tumejikuta tukijiingiza au
tukiingizwa bila kupenda.
al-Qaida, utaj ua kuwa
hayo yote yalijulikana
na ki l a l i nal of anywa
linafanywa kwa makusudi
ikijulikana matokeo yake,
na hayo matokeo ndiyo
yanayotakiwa. Kwamba
katika utafti ule mambo
kadhaa yalitakiwa. Moja ni
kujua namna ya kucheza
na bongo za Waislamu
kwa kuwapandi ki zi a
fkra za Jihad (feki) kwa
kutumia Aya na Hadith,
lakini nje ya maudhui
na mukt adha husi ka
(context). Pili, namna ya
kuwaf anya Wai sl amu
wenyewe waendel ee
kuzalisha Muj ahidina
hao feki ambao ndio
wataitwa magaidi na hivyo
kudumisha na kuhalalisha
vita isiyokwisha inayoitwa
ya ugaidi.
Zipo njia tatu zinatumika
kuzalisha magaidi. Moja,
ni ile ya moja kwa moja.
Wanafunzwa watu na
kuwezeshwa kuf anya
vitendo vya kigaidi (mfano
ISIS, al Qaida) na hao hao
wanaopigana vita dhidi
ya magaidi. Pili, watu
kutoka vikosi maalum, au
majambazi tu wa kupewa
pesa, hutumiwa kufanya
vitendo vya kigaidi kisha
husemwa ni akina fulani
(al-Qaida, Al Shabab, Boko
Haram n.k ) Njia ya tatu ya
kuendeleza magaidi ndio
kama hii inayofanywa
na vikosi maalum vya
polisi au Idara za Usalama
wa Tai fa. Unakamata
watuhumiwa unawatesa
kupindukia na wengine
unawauwa kwa mateso
au kuwapiga risasi bila ya
kuwafkisha mahakamani
wakahukumiwa kisheria.
Wanaofanya kazi hii ya
kutesa na kuuwa kama
wanavyofanya wale Anti-
Terror Police Unit (ATPU)
wa Kenya, wanaweza
kujiona kuwa wanafanya
kazi ya dola, kupambana
na watu waovu, lakini
kwa hakika wanafanya
kazi ya mabeberu ambayo
kwa j i ns i mabeber u
walivyoipanga wanajua
dhahiri kuwa itapandikiza
chuki , hasi ra na kwa
maana hiyo kuzalisha
watu waovu zaidi. Na
huo utakuwa ni mtaji wa
uhakika wa kuendeleza
vita, vita isiyo kwisha.
Nchi i nakuwa hai na
amani, kila uchao itakuwa
inawahitajia mabeberu
hao hao kikachero, kipolisi
na kijeshi katika kupigana
vita iliyopandikizwa na
inayopepewa na mabeberu
ha o ha o. Mt a j i kut a
mki undi wa Spec i al
Forces katika Jeshi na
Pol i si zi nazoongozwa
na mabeberu na nyi e
ma k a ma n d a we n u
wakibaki kuwa wabeba
mikoba ya mabeberu!
Wanafuata maelekezo na
program wanazoletewa!
Ndiyo hali ilivyo Yemen,
Pakistan na kwa kiasi
kikubwa hivi sasa jirani
zetu Kenya wanakimbilia
huko huko.
K a m a
tunavyoengwaengwa hivi
sasa na hata kubururwa
kui ngi zwa kundi ni ,
tukumbuke kuwa Yemen
iliingizwa katika nchi
washirika wa kupambana
na ugai di baada ya
shambulio la USS Cole
ambapo ilidaiwa kuwa
wahusika ni raia wa Yemen,
ambapo askari wanamaji
17 wa Marekani waliuliwa
na wengine 39 kujeruhiwa.
Lakini hebu soma, The
USS Cole bombing against
the backdrop of Israeli "Black
Propaganda" Operations by
Michael Gillespie.
Soma pia kile alichosema
kachero wa CIA John
ONeill aliyewahi kufanya
kazi na FBI katika kile
kilichoitwa FBIs Joint
Terrorism Task Force kule
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.
15
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Makala
wa hi s t o r i a s a hi hi
ya Tanganyi ka, Bw.
Mohammed Saidi, yeye
ndio ameweka bayana
zaidi hatua kwa hatua
uundwaji wa BAKWATA,
katika kitabu chake cha
Maisha na Nyakati za
Abdul wahi d Sykes -
(1924-1968).
Mk uu wa ng u wa
Jij i hili, Meck Sadiki,
afahamu kuwa kuisafsha
BAKWATA, ili ikubalike
kwa umma wa Kiislamu
n a k u f u t a ma d a i
hayo, si kazi rahisi ya
kuzungumzi a kat i ka
maj ukwaa ya mialiko
kama anavyodhani.
Wahenga wanasema
k a m w e , h u w e z i
kuwadanganya watu kwa
wakati wote. Ni wazi
BAKWATA, i mekuwa
ikinasibishwa na Serikali
kwa kuzingatia uundwaji
wake na jinsi ambavyo
i na v y o wa y umb i s ha
Waislamu katika mambo
yao mbalimbali.
Kwa msaada wa kitabu
hicho cha Mohammed
Said, nitafafanua namna
Bakwata, ilivyoundwa ili
kumsaidia Mzee Sadiki, na
wengine wenye mtazamo
wake, kama walikuwa
hawajui, sasa watambue
kuwa madai aliyokanusha
hayana nguvu ya hoja
bal i wanaoi nasi bi sha
BAKWATA na Serikali
wana hoja ya nguvu na
ushahidi wa kutosha.
Katika uundwaji wa
BAKWATA, anat aj wa
Adamu Nasibu, kuwa
ndiye alikuwa kinara
akitumiwa na Mwalimu
Julius Nyerere, katika
k u i u wa i l i y o k u wa
Jumuiya ya Waislamu
(EAMWS).
Simulizi ya kitafti juu ya
uundwaji wa BAKWATA,
inaanza kueleza kwamba
hadi kufi ki a j uma l a
kwanza Desemba, 1968,
ni Mikoa Mitatu kati ya
Kumi na Saba ilikuwa
i meshaj i tenga kutoka
EAMWS. Kile kikundi cha
Adam Nasibu kikaunda
kamati kwa ushirikiano
wa Kamati ya Maulidi ya
Dar es salaam, Adamu
Nasibu, akiwa Katibu
na Shei kh Abdal l ah
Chaurembo, Mwenyekiti.
Halikadhalika kulikuwa
na Waislamu waliokuwa
na nafasi katika chama
cha TANU, kama Sheikh
Abdallah Chaurembo na
Juma Sued, kiongozi wa
TANU kutoka Bukoba,
i l i kuwa wazi kuwa
Serikali ya J.K Nyerere,
ilikuwa inamtayarisha
S h e i k h A b d a l l a h
Mzee Sadiki waulize
wanaoijua Bakwata
Chaurembo, kuchukua
nafasi ya mwalimu wake
na mtu aliyemfkisha pale
alipo, Sheikh Hassan Bin
Amir. Mwalimu Nyerere,
akaunda mi pango i l i
Sheikh Hassan Bin Amir,
aondolewe na kupelekwa
Zanzibar, ili kundi la
Serikali yake chini ya
Adamu Nasibu, liweze
k u c h u k u a u o n g o z i
wa Wai sl amu bi l a ya
kipingamizi chochote,
kwani ilionekana Sheikh
Hassan Bi n Ami r ni
kikwazo kwao.
Kwa amri ya Mwalimu
Julius Nyerere, akiwa Rais,
Sheikh Hassan Bin Amir,
alikamatwa na makachero
wa Usalama wa Taifa usiku
wa manane na kupelekwa
uwanj a wa ndege na
kurudishwa Zanzibar.
Katika uhai wake, baada
ya miaka mingi kupita,
Mzee Rashid Mfaume
Kawawa, alisema kuwa
anajuta kuunga mkono
kukamatwa kwa Mufti wa
Tanganyika na Zanzibar,
Sheikh Hassan bin Amir,
huku akielekeza lawama
zake kwa waliomshauri
kufanya hivyo.
Baada ya kukamatwa
kwa Sheikh Hassan Bin
Ami r, Adam Nasi bu,
akatangaza kufanyika kwa
mkutano ambao ulikuja
kujulikana kama mkutano
wa Waislamu wa Taifa,
uliofanyika Mkoani Iringa,
Desemba 12 hadi 15,
mwaka 1968. Agenda kuu
ya mkutano huo ilikuwa
katiba kwa ajili ya Jumuiya
mpya ya Waislamu.
Waislamu waliokuwa
Serikalini, wakati huo
wal i j i weka pembeni
waki shi ndwa kusema
chochot e na kubaki a
kuwa kama watazamaji
huku Mwl . Nyer er e,
kwa taratibu akiuvunja
uongozi wa Jumuiya ya
Waislamu ya EAMWS.
Wa k a t i h u o h u o
akitayarisha watu wake wa
kuwaongoza Waislamu, na
Maulamaa wa Kiislamu
ambao walikuwa na hadhi
ya kuleta suluhu katika
masuala ya Waislamu
hawakuweza kufanya
lolote kwa kuwa walikuwa
waki j ua fi ka kwamba
aliyekuwa akiivunja na
kuiftini EAMWS, hakuwa
Adam Nasibu, bali yeye
na kundi lake walikuwa
wakitumiwa tu.
Kundi hilo la Adamu
Nasibu, lilikuwa halitaki
wal a kus i ki a l ol ot e
isipo kuwa Jumuiya ya
Wai s l amu ( EAMWS)
ivunjwe na badala yake
iundwe Jumuiya mbadala
itakayo kuwa chini ya
kivuli cha Serikali.
Sasa, wakij ionyesha
wazi kundi hilo la Adamu
Nasibu, kuwa Serikali na
chama chake cha TANU
i l i kuwa nyuma yao,
lilikutana kwa ajili ya kile
walichokiita Mkutano
wa Waislamu wa Taifa
uliofanyika Mkoani Iringa,
mwezi Desemba 13, 1968.
Serikali ilifanya kazi
nyuma ya pazi kwa
kujitahidi kuhakikisha
kuwa mkut a no ul e
unafani ki wa. Seri kal i
ndiyo iliyotoa fedha za
kufanyia mkutano huo wa
kutafuta Baraza mbadala
wa EAMWS, pia ikatumia
vyombo vyake vya habari
kuutangaza na kuupamba
vizuri mkutano huo na
zaidi ilitoa ulinzi kwa
wajumbe wote.
K w a h a l i h i i ,
u t a i p a m b a n u a j e
BAKWATA kuwa si o
chombo cha Serikali, vipi
Serikali ishiriki kuunda
chombo cha Waislamu
kwa shinikizo la kuuwa
kile ambacho kiliundwa na
Waislamu wenyewe.
Ras hi di Kayugwa,
al i yekuwa Af i s a wa
Us a l a ma wa Ta i f a ,
anataj wa kuwa ndi ye
a l i ye p e wa k a z i ya
kudumisha mawasiliano
kati ya kundi la Adamu
Nasibu na Serikali.
Ka y u g wa , n d i y e
alikuwa akitoa mbinu za
propaganda kwa Adam
Nasibu na nini kifanyike
na kwa wakati gani ili
k uv unj a umo j a wa
Waislamu uliokuwepo
chini ya Jumuiya yao ya
EAMWS.
Bwana huyu, kama vile
kutanabahi au kuomba
maghuf i ra kwa Mol a
wake baada ya utumishi
wake Serikalini kukoma
( Kus t aaf u) , al i amua
kueleza mchango wake
kat i ka kuwahuj umu
Waislamu na Uislamu
aki wa mt umi s hi wa
Serikali.
Kabla ya kufa kwake,
Ka y u g wa , a l i e l e z a
masi ki t i ko yake kwa
kukandamizwa Uislamu
na Wai s l amu nchi ni
huku akij itolea mfano
yeye mwenyewe kwa
kut opandi shwa cheo
katika Idara ya Usalama
wa Taifa kwa sababu ya
Uislamu wake.
Katika mkutano ule wa
Iringa, chini ya kundi la
Adam Nasibu, ulipitisha
Katiba ya Jumuiya mpya ya
Waislamu, Katiba ambayo
haikuwa na tofauti na ile
Katiba ya Chama Cha
TANU.
Mheshimiwa, Mkuu
wa Mkoa wa Dar es
Sal aam, Mzee Mec k
Sadi ki , hi vi ndi vyo
BAKWATA, ilivyoundwa
au ilivyoanzishwa. Baada
ya hapo, walimchagua
Saleh Masasi, aliyekuwa
mwenyekiti wa mkutano
huo kuwa mwenyekiti wa
Taifa na Adam Nasibu,
akawa Katibu Msaidizi.
Ka ma wa s e ma vyo
wahenga, Ndege wa aina
moja huruka katika kundi
moja ndivyo ilivyokuwa
kwani nafasi zote za juu
katika BAKWATA, mpya
zilichukuliwa na kundi
la Adam Nasibu, kundi
ambal o toka mwanzo
l i l i kuwa ms t a r i wa
mbele katika harakati za
kuvunjwa kwa EAMWS.
Baada ya kufanikiwa,
ungozi huo wa BAKWATA,
i l i i t a k a S e r i k a l i ,
iwaandame waliokuwa
viongozi wa Jumuiya ya
Waislamu ya EAMWS,
na wal a hawakut aka
maelewano na Waislamu
wenzao hao walikuwa
katika uongozi wa jumiya
hiyo.
Lakini ili mambo yaende
vizuri, Waziri wa Mambo
ya Ndani, wa wakati huo,
Bw. Said Maswanya, kwa
kwa amri ya Mwalimu
Nyerere alitoa taarifa fupi
ya kupiga marufuku na
kuharamisha EAMWS,
iliyosema:-
Waziri wa Mambo ya
Ndani, kwa kuamriwa
na Rais ( J.K. Nyerere)
anatangaza kuwa tawi la
Tanzania la East African
Muslim Welfare Society
na Baraza la Tanzania
la East African Muslim
Welfare Society ni jumuiya
zisizotambulika kisheria
chini ya kifungu 6 (i) cha
sheria ya vyama.
Kufuatia tangazo hilo,
wal i okuwa vi ongozi
wa EAMWS, waliitwa
kwa Kabi dhi Was i i ,
ambaye ndiye alikuwa
amekabidhiwa na Serikali
j ukumu la kusimamia
shughuli za kufunga rasmi
shughuli za Jumuiya hiyo
pendwa ya Wai sl amu
nchini.
Mzee Meck Sadi ki ,
wanaos ema kwamba
BAKWATA ni chombo cha
Serikali wanazingati hali hii
achilia mbali pia chombo
hicho kinavyokwenda na
matakwa ya Serikali kuliko
ya Waislamu.
Inatoka Uk. 13
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiki (kulia). Katikati ni Kamanda wa
Kanda Maalum DSM, Kamanda Suleiman Kova. Soma Uk. 13
16
AN-NUUR
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
MUHARRAM 1436, IJUMAA OKTOBA 31-NOV. 6, 2014
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
W A Z A Z I w a
Kiislamu wameaswa
kutowaruhusu vijana
wao kujiingiza katika
ajira pindi wamalizapo
elimu ya darasa la saba au
ya sekondari, na badala
yake wawausie kujiunga
na kozi mbalimbali.
Wito huo umetolewa
na Ustadhi Hamisi H.
Shemtoi, wakati akiongea
kat i ka mahaf al i ya
kuwaaga wanafunzi wa
Kiislamu wa kidato cha
nne wa shule ya sekondari
Baga, Soni Mgwashi
mkoani Tanga, mwishoni
mwa wiki iliyopita.
S he mt oi , a mba ye
alikuwa mgeni rasmi
katika mahafali hayo,
a l i s e ma h i v i s a s a
kuna fursa nyingi za
kuj i endel eza ki el i mu
ukilinganisha na miaka
y a n y u ma , h i v y o
Waislamu hawana budi
kuzichangamkia fursa
hizo.
Alisema mtindo na tabia
M A K A M U w a
Kwanza wa Rais wa
Zanzibar, Mhe. Maalim
Sei f Shar i f Hamad
amesema kuongezeka
kwa matendo maovu
katika jamii yakiwemo
matumizi ya dawa za
kulevya kunachangiwa
na kuwepo vijana wengi
waliokosa elimu sahihi
ya malezi na misingi ya
maadili mema.
Maalim Seif ameyasema
hayo wakati alipokuwa
akiwahutubia wazazi,
walimu na wanafunzi
wa Madrasa TWUWA
ya Mt oni Ki gomeni ,
Wilaya ya Magharibi
Unguja, wakati alipofka
kuangalia maendeleo ya
Madrasa hiyo, pamoja
kusikiliza changamoto
zinazowakabili.
Makamu wa Kwanza
wa Rais amesema iwapo
jamii itatoa kipaumbele
kwa elimu ya maandalizi
itakayo wajenga watoto
katika misingi bora ya
maadi l i mema, Tai fa
l i t aweza kuepukana
matatizo mengi, ikiwemo
balaa la vijana kuingia
katika matumizi ya dawa
za kulevya.
Hata hivyo, Makamu wa
Kwanza wa Rais amesifu
juhudi zinazochukuliwa
na walimu, wazazi na
uongozi wa j i mbo l a
Mtoni katika kusimamia
elimu kwa watoto, bila
ya kubagua elimu ya Dini
au ya Dunia inayotolewa,
kut okana na wazazi
kuelewa umuhimu wa
elimu hizo.
Kat i ka ri sal a yao,
wal i mu wa Mdr as a
wamesema mi ongoni
mwa changamoto kubwa
zi nazo wakabi l i ni
kuchakaa kwa madarasa,
pamoja na kutokamilika
kwa baadhi ya majengo
ambayo yanahi taj i ka
kwa ajili ya kufundishia
watoto wengi zaidi.
Akisoma risala yao,
Mwa l i mu S e me n i
Abda l l a h a me s e ma
i po haj a kwa wazazi
Maadili ya Dini muhimu-Seif
Na mwandishi wetu. na wana jamii kuziona
c h a n g a mn o t o h i z o
zinawagusa na baadaye
waweze kusaidia juhudi
za kuzipatia ufumbuzi.
Amesema Madrasa
hiyo ni kituo muhimu
cha taaluma kwa watoto
na wananchi wengi wa
eneo la Mtoni kwa sababu
kuna wanafunzi wengi
wanaonufaika, ikiwemo
baadhi ya wazee ambapo
pia hutumia fursa ya
kuwepo kwa Madrsa hiyo
kujipatia na kujiongezea
elimu itakayo wasaidia
hapa Duniani na Akhera.
Kat i ka haf l a hi yo,
Makamu wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar,
Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad alikabidhi jumla
ya shilingi milioni 4.4
kwa Mwakilishi wa jimbo
la Mtoni, Mhe. Nassor
Ahmed Mazrui, kwa ajili
ya kuendeleza shughuli za
ujenzi wa Madrasa hiyo.
Wazazi watakiwa kuwaendeleza vijana kielimu, sio kuwatafutia kazi
Na Bakari Mwakangwale ya kuwatafutia mabinti
au vijana wa kiume kazi
za ndani, au kuwafanya
kukimbia mijini kwa lengo
la kutafuta ajira umepitwa
na wakati na hauna tija
katika mfumo wa maisha
wa sasa.
Wa z a z i , n y i n y i
ndio mnatakiwa kutoa
muongozo kwa vij ana
wenu pindi wanapomaliza
shule, iwe ni darasa la
saba au kidato cha nne,
pale wanapokosa nafasi
za kuendelea wasikimbilie
mijini katika ajira za ndani
au ajira nyingine dhaifu,
ambazo vi j ana wet u
huzifuata mijini. Alisema
Shemtoi.
Al i o n g e z a k u wa
wazazi wana nafasi ya
kushauriana na walimu
wa vijana wao baada ya
matokeo yao ya sekondari
au msi ngi kuhusi ana
na uchaguzi wa kozi au
vyuo vya kujiendeleza
kielimu, kwani baada
ya matokeo kuwa si o
mazuri, vijana wengi huwa
wanakosa muelekeo kama
hawakupatiwa ushauri
mzuri.
Ust. Shemtoi alisema
baada ya matokeo kutoka
na i wapo baadhi ya
wahitimu watashindwa
k u p a t a n a f a s i z a
kuendelea na masomo ya
juu, wajengwe kisaikolojia
kisha wapelekwe kujiunga
katika kozi ndogo ndogo
hata ualimu wa shule
za awali au wajiunge na
vyuo vya VETA, Kilimo,
Mifugo, Jeshi, Polisi au
hata Magereza.
Alisema ikiwa mtoto
atafaulu na kuendelea na
masomo ni jambo la kheri
ambalo kila mmoja ndio
lengo lake, lakini ikiwa
ikatokea bahati mbaya,
wazazi wawashirikishe
walimu katika maamuzi
ya ni ni cha kuf anya
baada ya matokeo yao,
ikiwezekana kwa wale
wa sekondari warudie
masomo.
S h e mt o i a l i s e ma
kurudia masomo si ujinga
na wala si ushamba, bali
ni katika njia ya kujipanga
kwani ni njia moja wapo
inayotumiwa na wengi
na mwishowe wanafkia
malengo waliyokusudia.
Hata hivyo aliwataka
wazazi pia kushirikiana
na walimu shuleni na
kat i ka Madr as a, i l i
kuwapatia vijana elimu
sahihi na malezi mema.
Kwa kuf anya hi vyo
itasaidia kuandaa vijana
ambao wataweza kuwa
na nidhamu na maadili
katika jamii.
Kwa u p a n d e wa
wanafunzi wanaohitumu,
Shemt oi , al i wanasi hi
kujiandaa na kupokea
matokeo yao ya Mtihani
wa taiafa kwa namna
yatakavyo kuja, kasema
ikiwa yatakuja kinyume
na matarajio wasitaharuki,
ba l i wa t ul i z a ne na
kutafakari cha kufanya
kwa lengo la kujiendeleza
kwa njia mbadala.
Un a po k o s a k i l e
ulichokitarajia kwa wakati
huo, tulizana, jipange,
Inaendelea Uk. 12
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad.

También podría gustarte