Está en la página 1de 16

ISSN 0856 - 3861 Na. 1140 DHULQAAD, IJUMAA , AGOSTI 29-SEPT.

4, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=


Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Mh. Rais Kikwete...
Watuhumiwa wa ugaidi
wanafanyiwa 'ugaidi'
Ni zaidi ya ukatili, ukhabithi wa kaum Lut
Shein mchunga wa Wazanzibar, ataulizwa...
TOLEO la gazeti hili wiki iliyopita, habari iliyoongoza
ilizungumzia juu ya nafasi zilizotolewa na serikali ya
China kusomesha wataalamu wa gesi na mafuta.
Japo maudhui ya habari ilikuwa kutahadharisha
na kuonyesha hatari inayoweza kutokezea iwapo
Kumradhi
Al Shabab ibadili mbinu
Zama na mambo yamebadilika sana
Mwelekeo wa zamani kwa sasa ni...
Maafa kwa Waislam Somalia, Afrika
Inaendelea Uk. 2
MAOMBI yametolewa
kutaka iundwe Tume huru
ya Mahakama kuchunguza
kadhia ya kuwakamata
wat u na kuwashi t aki
Tanzania Bara kinyume
na sheria na Katiba ya
Zanzibar.
Hayo yamebainishwa
na Rais wa Chama cha
Wanasheri a Zanzi bar
(Zanzibar Law Society-
ZLS), Awadhi Ali Said katika
mkutano na waandishi
wa habari uliofanyika juzi
katika ukumbi wa watu
wenye ulemavu (Zainab),
Kikwajuni wareles.
Awa d h a me s e ma ,
kitendo cha kuwakamata
watu usiku na kuwasafrisha
Bara na baadae kuwashitaki
Katiba ya Zanzibar
imevunjwa - ZLS
Na Mwandishi Wetu
Inaendelea Uk. 2
JUU: IGP Tanzania, Magu. Chini IGP Kenya Kimaiyo.
IGP Rwanda Gasana. IGP Uganda Kayihura.
Jaji Mkusa Sepetu apinga
Wajibu wa kwenda Hijja unamhusu
mwenye uwezo na WENYE UWEZO
(Qurani, 3:97). Inawezekana tukaenda sote
Hijja kwa kuchanga tukapelekana mmoja
mmoja kila mwaka katika familia, mtaa,
msikiti, na kadhalika. Bila shaka Allah
Atalifurahia hili na Atamimina neema kubwa
juu yetu. Waislamu, tusisubiri, tuchukuwe
hatua! Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa
mipango mizuri na huduma bora. Gharama
zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana
nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777
- 462022; Zanzibar: 0777468018/068536614
1/0657606708.
(16) USHIRIKA WA HIJJA!
2
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
Kumradhi
Inatoka Uk. 1
ya t a f a nyi ka ma mbo
yanayol et a t af si ri ya
kuwepo ubaguzi; lakini
matumizi ya baadhi na
maneno na misamiati,
i me o n e k a n a k u l e t a
usumbufu kwa baadhi
ya watu na kutoa tafsiri
tofauti na makusudio ya
habari.
Ai dha, matumi zi ya
pi cha zi ki ungani shwa
na kadhia ya kuuliwa
kwa kijana Mweusi wa
Kimarekani, kule Fegurson,
inaonekana kutoa mwanya
kwa baadhi ya watu kuleta
t af si ri kuhi mi za yal e
yanayofanyika Missour
badala ya makusudio ya
kutoa tahadhari.
Kutokana na yote hayo,
tungependa kuchukua
nafasi hii kuomba radhi
kwa usumbufu wowote
ul i oj i tokeza kutokana
na matumizi ya lugha
na misamiati inayotoa
mwanya kwa wasomaji
kuchukua tafsiri tofauti
na makusudio ya habari
i ki s omwa yot e kwa
ukamilifu wake.
Mhariri
NDOA ni tendo jema
na la msingi sana katika
maisha ya mwanadamu
m w a n a m m e n a
mwanamke.
Ni mkataba maalum
wa kuishi pamoja kati ya
mume na mke na panapo
maajaliwa, ndoa inakuwa
ndio zao sahihi la familia
na hatimaye ikapatikana
jamii kwa ujumla.
N d o a i m e k u w a
chimbuko la kuunganisha
watu wa nasaba mbalimbali
na kuwafanya kuwa ndugu
wakaribu.
Katika Uislamu ndoa ni
ibada, kwa mwanamme
kuoa ni ibada, kadhalika
na mwanamke kuolewa ni
ibada pia.
Ndoa hujenga heshima
na adabu kwa jinsia zote
katika jamii.
Enyi vijana! Mwenye
uwezo wa kuisimamia
ndoa na aoe kwani huko ni
kuweza kuinamisha macho
na kuweza kuzikinga tupu
na kama hamna uwezo
basi ni juu yenu kufunga
kwani huko ndiko kwenye
kinga. (Al-Bukhar)
Pia ndoa ni miongoni
mwa Sunnah zangu na
mwenye kutenda kinyume
na Sunnah zangu hatokuwa
pamoja na mimi. (Ibn
Maajah).
Oeni mnaowapenda
katika wanawake, wawili
au watatu au wanne. Na
mkiogopa kuwa hamwezi
kufanya uadilifu, basi
mmoja tu, au wale ambao
mikono yenu ya kulia
imewamiliki. (Quran
Surat Nisaa:3)
Hata kwa wasiokuwa
Wa i s l a mu h u s u s a n
Manasara, kwao pia kwa
muj ibu wa taratibu za
imani yao, ndoa imekuwa
ni jambo la msingi kwa
mujibu wa imani yao na
imepewa nafasi yake katika
maisha.
Pamoja na kwamba tendo
la kufunga ndoa kimantiki
ni suala nyeti na muhimu
kimahusiano katika maisha
ya binadamu, bado sehemu
kubwa ya j ami i yet u
imeshindwa kuyatekeleza
kwa uadilifu matukio la
kufunga ndoa na kufanya
sherehe ya harusi katika
jamii yetu.
Tumeshazoea kuona
katika jamii yetu, watu
Michango ya harusi isilazimishwe
wanapojiandaa kufunga
ndoa huwa wanasaidiana
kwa hali na mali. Wapo
wanaotoa michango ya
fedha kwa moyo na kwa
hiari kwa ajili ya kumsaidia
muoaj i au muol ewaj i
kufanikisha tukio lake la
kufunga ndoa na kufanya
sher ehe kwa aj i l i ya
kufurahia ibada hiyo.
Lakini pia wapo ambao
hawana uwezo wa kifedha,
lakini kwa kuwa ni ndugu,
j amaa au raf i ki , basi
husaidia kwa nguvu zao
kutimiza azma ya maharusi
kufanikisha shughuli yao
ya ndoa na harusi.
Hat a hi vyo kadi r i
muda unavyokwenda,
u l e u t a ma d u n i wa
uchangiaji kwa ajili ya
kusai di a kuf ani ki sha
zoezi la kufungwa ndoa
na kuf anyi ka harusi ,
uki badi l i ka kwa kasi
kufanywa kuwa wa lazima.
Siku hizi ule mchango wa
hali haupo. Michango ya
kifedha kwa ajili ya harusi
umekuwa ni utaratibu wa
lazima na umeshazoeleka.
Familia zimegeuza ibada
ya kufunga ndoa kama
fursa ya kulazimisha watu
kutoa michango japokuwa
hawasemi moja kwa moja
kuwa ni lazima.
Un a we z a k u s i k i a
kuwa uki t oa shi l i ngi
elfu tano, kumi, ishirini
utashukuriwa kwa ahsante
( hupat i mwal i ko wa
shughuli).
Hi i ni kwa kuwa
wanaohi t aj i mchango
walishaweka kiwango chao
wanachokitaka kutoka kwa
kila mchangiaji japo suala
lenyewe ni la hiari.
Kwa upande mwingine
wa mt oaj i , si ku hi zi
imezoeleka tabia kwamba
naye anakuwa t ayari
kutoa chake iwapo tu,
katika harusi atakuta kile
anachikitaka yeye.
Kwa ujumla tunaweza
kusema dhana nzima ya
uchangiaji au utoaji kwa
ajili ya kufunga ndoa au
harusi imepotoshwa na
kupoteza maana yake
halisi.
Kwa j insi hali ilivyo
sasa, ili kuonyesha kuwa
unamtakia mtu kila la heri
katika harusi au ndoa yake
ni lazima utoe pesa.
Mi chango i mekuwa
kama ni malipo ya lazima
na si o ki t u cha hi ari
cha kumtakia mtu heri.
Tunaona sasa imefikia
kiwango cha kuwa kero
kwa mchangiaji na wala
si mchango wa hi ari
kwa kuwa umewekewa
vi wango na mi paka.
Umekuwa ambo la lazima
na sharti usiwe mdogo.
Tuna j i ul i z a , ka ma
sehemu kubwa ya ndoa
zetu zinazingatia imani
zetu, hivi kumchangia mtu
pesa anapooa au kuolewa
ni lazima?
Kuoa a u kuol e wa
ni mipango binafsi na
zaidi ni kwa maslahi ya
wanandoa na familia zao.
Kwanini wanaowatakia
he r i , wanaoponge za
na kuwaunga mkono
wa n a o f u n g a n d o a
wawekewe viwango vya
lazima vya kusaidia?
Tunapenda kuisihi jamii
kwamba kufunga ndoa
au kufanya harusi sio
jambo la kibiashara au
shughuli ya kiuchumi
kama inavyofanywa sasa.
Tufke mahali tutambue
kuwa si jambo la lazima
kuingia kwenye ndoa kwa
kutegemea msaada ya
lazima kwa wengine.
Michango ya ndoa au
harusi sio suala la dharura
kama msiba, ni hiari na
ni vizuri tukiendelea na
utamaduni wa kufanya
hi vyo maana hi ari si
utumwa.
Sot e t unaj ua kuwa
hakuna ubaya kuchangia
harusi au kutoa kadi za
michango au za kualika
harusi.
Laki ni kut okana na
kukidhiri tamaa katika jamii
yetu, kiasi cha kutumbukia
katika hulka za ufisadi
na ulaji wa pesa kwa njia
za haramu, imewalazimu
watu kuwa na utaratibu wa
kudhibiti amana za watu
zilizokusudiwa kusaidia
jambo fulani la heri.
Pia husadia kudhibiti
wasioalikwa kuingia katika
karamu ya ndoa.
I mepokewa na I bn
Umar kuwa Mt ume
(Saw) amesema: Yeyote
as i yekubal i mwal i ko
amemuasi Allah na Mtume
wake, na mwenye kuingia
bila kualikwa anaingia
kama mwizi na kutoka
katika sehemu hiyo kama
mvamizi (Abu Daud).
Anapoalikwa mmoja
wenu katika karamu, basi
ahudhurie, ikiwa ni karamu
ya harusi au nyingineyo.
Na yeyot e asi yei t i ki a
(asiyekubali) mwaliko
basi atakuwa amemuasi
Allah na Mtume wake) (Al-
Bukhar, Muslim).
Hat a hi vyo, wakat i
mwi ngi ne kwasababu
ya vur ugu au maasi
yanayokuwemo katika
baadhi ya sherehe za
ndoa, ndizo zinazoweza
kumfanya mtu asiitikie
mwaliko, na anapofanya
hivyo mtu katika hali hiyo,
huwa hatumbukii katika
hukumu za Hadith hizo
zilizotaj wa hapo awali
kwa sababu Mui sl am
haruhusi wi kushi ri ki
shughuli zenye maasi.
Wakati mwingine kwa
kupitia michango mikubwa
tunayolazimishwa kutoa
kwa aj ili ya harusi au
sherehe za ndoa, baadhi ya
watu hufanya israf katika
sherehe, jambo ambalo
limekuwa likivuka mipaka
na kupotosha maana halisi
ya mambo haya.
Kuchangia harusi au
karamu ya ndoa, kualika
kwa kadi si tatizo, lakini
matamanio ya wanadamu
T u n a w a s h a u r i ,
wanaokwenda kinyume
na falsafa ya kuchangia
k a r a mu ya h a r u s i ,
au sher ehe ya ndoa,
wanaolazimisha michango
mi kubwa, wanaoweka
viwango vya michango,
wanaobagua mi al i ko
kwa kigezo cha kiwango
cha mtu aliichochangia,
wa na pa s wa kumc ha
Mwenyezi Mungu na
kuacha tabia hizo ambazo
haziendani na uzuri wa
Uislam.
Kisheria, hakuna tatizo
lolote kwa watu kutoa kadi
kwa ajili ya michango au
sherehe mradi taratibu za
kisheria zimefuatwa na
hayajakiukwa mafunzo ya
Mtume (Saw).
Katiba ya Zanzibar imevunjwa - ZLS
Inatoka Uk. 1
katika mahakama ya huko
T a n z a n i a B a r a ,
ki meki uka Kat i ba ya
Zanzibar, na kwa hiyo
kufanya mashitaka hayo
kukosa uhalali.
Amesema, hawajawahi
kuona mtu aliyekamatwa
na kosa Tanzania Bara
akashitakiwa Zanzibar.
Na hiyo ni kwa sababu
ki l a upande wa nchi
mbili hizi unasheria zake
zinazosimamia makosa ya
jinai.
Ak i f a f a n u a z a i d i
akasema kuwa, kitendo
hicho kimevunja sheria
na kuidhalilisha Katiba ya
Zanzibar.
Ak a o n g e z a k u wa
ut a r a t i bu ul i opo ni
kuunganisha sheria husika
na mahakama za nchi
mbili (Tanzania Bara na
Zanzibar) katika ngazi na
Mahakama ya Rufaa tu.
Na kwa maana hiyo,
hakukuwa na haj a ya
kuwashitaki watuhumiwa
kat i ka Mahakama ya
Hakimu Mkaazi, Kisutu.
Ai d h a a me s e ma ,
Ka t i ba ya Za nz i ba r
inakataza kumdhalilisha
mt uh umi wa , l a k i n i
wa t u h u mi wa h a o
wa me e l e z a mb e l e
ya Ma ha k a ma j i ns i
wanavyodhalilishwa kwa
kufanyiwa vitendo viovu.
Naye Katibu wa jumuia
hi yo Bw. Omar Sai d
Shabaan alisema kuwa
sheria No. 21 Sheria ya
Jamuhuri ya Muungano
iliyotumika kuwakamata
watuhumiwa, inagongana
na Sheria ya Zanzibar.
Ame s e ma , s h e r i a
hi yo i me z ungumz i a
kuzuia ugaidi lakini mtu
anapofanya ugaidi kuna
sheria na hukumu zake.
Hi v y o , u t a r a t i b u
umekiukwa jambo ambalo
Inaendelea Uk. 3
3
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Habari
Watuhumiwa wa ugaidi wanafanyiwa ugaidi
MAMBO mengine, haiwezekani
kabisa kuyastahamilia.
Na hiyo ni ili isije ikasemwa
watu hawakusema. Wala kuja
na ul e ms emo wa War us i
kuwa usipolisema la mwenzio,
hakutakuwa na wa kukusemea
likufkapo wewe.
Falsafa hiyo ndiyo iliyopelekea
watu wengi kuandika na kutoa
maoni yao kwa namna mbalimbali
wakiwasilisha nasaha zao na kilio
chao kwa Mheshimiwa Rais Jakaya
Mrisho Kikwete mintarafu ya
madai ya kuteswa watuhumiwa
wa ugaidi.
Kwa upande mwingine, nasaha
zi meel ekezwa kwa Rai s wa
Zanzibar katika kumkumbusha
kuwa yeye ni mchunga wa
Wazanzi bar i na at aul i zwa
mbele ya Mahakama ya Malik
yaumiddiin, alikuwa wapi watan
wake wakitiwa majiti sehemu zao
za siri na kufanyiwa matendo ya
ukatili na kudhalilisha.
Roho yangu hai ngeweza
kabisa kulistahamilia hili. Kama
i l i vyot okea huko Urusi ya
Kikomunisti kulikozuka msemo
kuwa usipolisema la mwenzio,
hakutakuwa na wa kukusemea
likufkapo wewe.
Ndivyo anavyosema Ali Saleh
katika barua yake ya wazi kwa
Rais Kikwete baada ya kusimulia
madai ya watuhumiwa hao.
Washitakiwa hao wamesema
Mahakamani kuwa wanateswa
kwa njia ya kupigwa, wanafanyiwa
vitendo vya kinyama kama vile
kutiwa chupa na majiti sehemu
zao za siri. Pia wamedai kuwa
hawapati matibabu.
Kwa kuwa madai hayo
yamet ol ewa Mahakamani ,
niruhusu Mheshimiwa niseme
kwamba hayawezi kabi s a
kupuuzwa na itakuwa ni kosa
kubwa kwako kuyapuuza.
Anasema mwandishi wa barua
ya wazi akiomba mamlaka ya
Rais kuingilia kati suala hili ili
hata kama watu ni watuhumiwa
wa makosa mazito kama hayo ya
ugaidi, lakini utu wao na haki zao
kama binadamu zilindwe.
Mf umo wet u wa sher i a
Mheshimiwa Rais unaelekea
kufikia kiasi cha kuzama kama
hivyo? Hivi inastahili kufanyiana
kama hivyo?
Anauliza Ali Saleh na kuongeza:
Jee, huku ndio kutimiza wajibu
wetu? Huku ndio kujenga imani
kuwa haki za binaadamu na haki
za wafungwa zinalindwa?
Kwa fkra zangu Mheshimiwa
Rais, hili si neno la kupuuzwa.
Haya yamelalamikiwa hadharani
na washitakiwa lakini wasaidizi
wako wote hawajatoa kauli yoyote
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete. RAIS Ali Mohamed Shein
ile. Si Mkuu wa Polisi, si Mkuu
wa Idara ya Usalama, si Mkuu wa
Idara ya Magereza.
Ni kutokana na hali hiyo kwamba
hata Waziri wa Katiba na Sheria,
Mwanasheri Mkuu na Muendesha
Mashitaka, wote wamekaa kimya,
mwandishi anaomba mamlaka ya
Rais kuingilia kati ili kulinda haki
za watuhumiwa hao lakini pia
kulinda heshma ya nchi, serikali
pamoja na vyombo vyake vya
dola.
Ni katika muktadha huo huo,
baadhi ya watu wengine, baada
ya kukariri madai ya watuhumiwa
hao, wamemkumbusha Rai s
wa Zanzibar Mheshimiwa Ali
Mohammed Shein kwamba yeye
ni mchunga wa watu wa Zanzibar
na hivyo ataulizwa juu ya yale yote
yanayowafka.
As k a r i a me ni . . . k i s ha
akaniingiza jiti (sehemu za siri)
mpaka likakatika, kungekuwa
na sehemu ningekuonyesha,
Jeshi la Polisi la kwanza kuvunja
sheria, waliofanya madhila haya
wanawatukanisha Watanganyika
na kufanya waonekane wabaya.
Hayo ni malalamiko na madai
ya mtuhumiwa namba 12 Salim Ali
Salim, katika kesi ya ugaidi mbele
ya Hakimu Mkazi Mahakama
ya Kisutu, Hellen Riwa juu ya
kutendewa uovu na Jeshi La Polisi,
kama alivyonukuliwa na vyombo
vya habari Agosti 22, 2014.
Rai s Shei n umej i t wi ka
majukumu ya kuwa mchunga
wa Wazanzibari wooote, hili
halipingiki na hata ukikataa ndio
litabaki hivyo.
Wat u wako umer uhusu
waondoshwe nchini mwako, sasa
wanafanyiwa idhilali kama hiyo
ya kuigiliwa na wanaume wenzi
wao! Mambo mengine yaonekana
mepesi katika dunia hii, lakini
majibu yake kwa Allah hapo kesho
yatakuwa mazito. Nini tutajibu
kwa kuruhusu uovu kama huu
kufanyiwa binadamu wenzetu,
halafu unafanywa na baadhi ya
watumishi wa vyombo rasmi vya
serikali?
Tukumbuke, kila mmoja wetu
ni mchunga na ataulizwa kwa
alichokichunga. Kama tumelisahau
hili tukumbushane.
Ni mwananchi mwi ngi ne
aliyejitaja kwa jina la Rashid
Abdallah akitoa maoni na nasaha
zake.
Wa ka t i huo huo, wa t u
wamekuwa wakihoji ni kwa nini
watuhumiwa hao wa Zanzibar
wamepel ekwa kuhoj i wa na
kushitakiwa Dar es Salaam badala
ya Zanzibar.
Haya ni makosa ya viongozi
wa Zanzibar. Kama kweli Zanzibar
ni nchi, ina Rais ina Mwanasheria
Mkuu i na Mkur ugenzi wa
Mashitaka na Mahakama zake,
i nakuwaj e aj e kuchukul i wa
mwananchi kupelekwa nchi ya pili
na huku kuna amri ya Mahakama
kuwa asitoke nje ya Zanzibar
bila ruhusa ya Mahakama! Leo
anachukuliwa kwa kisingizio cha
Muungano, ipo wapi hadhi ya
Mahakama Kuu ya Zanzibar?
Anauliza mwananchi mmoja.
Kwa upande wa wanasheria mjini
Zanzibar wakiwemo mawakili
wanaowatetea watuhumiwa hao
wamesema kuwa kitendo hicho
ni ukiukaji wa sheria na katiba ya
Zanzibar.
Mawakili hao wakiongozwa na
Abdallah Juma wamesema kuwa
kuwapeleka watuhumiwa hao
Bara ni kuwanyima uhuru wao wa
kikatiba kwa mujibu wa katiba ya
Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu
cha 14 (1) (2) na kifungu cha 16 (1).
Na k wa mb a k i t e n d o
kilichofanywa na Jeshi la Polisi
cha kuwaweka kizuizini wateja
wao kwa mienzi miwili nje ya
Zanzibar wakati Zanzibar ni
nchi, ni kinyume cha sheria ya
makosa ya jinai kifungu cha 28
sheria namba 7 ya mwaka 2004 ya
Zanzibar.
Zanzibar ni nchi tena ina
mahakama yake kwa nini wateja
wet u wakamat we Zanzi bar
wakawekwe kat i ka ki zui zi
kisicho halali Tanzania bara,
hivyo jaji huoni kitendo hicho ni
kuidhalilisha mahakama yako
tukufu, alidai Abdallah Juma
kama alivyonukuliwa na baadhi
ya vyombo vya habari.
Alisema kwa mujibu wa sheria
za Zanzibar tukio limefanyika
Zanzi bar , hi vyo wat u hao
wangepaswa kuhukumiwa katika
mahakama za Zanzibar na siyo
Dar es Salaam.
Watuhumiwa hao waliokamatwa
miezi miwili iliyopita kutokana
na tuhuma za ugaidi ni Nassor
Hamad Abdallah, Mohammed
Ishaq Yussuf, Said Kassim Ali,
Hassan Bakari Suleiman, Rashid
Ali Nyange, Antar Humoud,
Khamis Salum Amour na Salum
Ali Salum.
Katiba ya Zanzibar
Inatoka Uk. 2
ni kui dhal i l i sha Kati ba ya
Zanzibar.
Wakat i huo huo, habar i
zilizotufkia tukienda mitamboni
zimefahamisha kuwa Mahakama
Kuu Zanzibar imelitupia mbali
ombi la watuhumiwa wa ugaidi
kutoka Zanzibar kwa maelezo
kuwa limepitwa na wakati.
Akitoa uamuzi kuhusiana na
ombi la watuhumiwa hao, Jaji wa
Mahakama Kuu Zanzibar, Mkusa
Isac Sepetu amesema mahakama
yake haiwezi kuingilia uhuru
wa mahakama za Tanzania Bara
na haiwezi kuvunja Katiba ya
Tanzania.
Katika ufafanuzi wake amesema
kuwa kutokana na watu hao
kutuhumiwa kwa kosa la ugaidi,
Katiba ya Tanzania kifungu cha 28
sheria ya mwaka 2002 kinatoa fursa
kosa la ugaidi kuhukumiwa pahala
popote iwe Bara au Zanzibar.
Alisema, kwa kuwa watuhumiwa
hao tayari wameshafikishwa
katika mahakama ya Kisutu,
Dar-es-Salaam, mahakama ya
Zanzibar haiwezi kuingilia uhuru
wa mahakama hiyo.
Na kwamba, waombaj i
wa na pa s wa ma o mb i ya o
kuwasi l i sha mahakama za
Tanzania Bara kwani mahakama
ya Zanzibar haina mamlaka ya
kuchukuwa hatua kwa kuwa
watuhumiwa hao wapo rumande.
Akizungumza na waandishi
wa habari, wakili wa walalamikaji,
Abdallah Juma alisema hajaridhika
na uwamuzi wa mahakama hiyo
na watashauriana na wateja wao
ili kuamuwa nini watafanya.
4
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Habari
Maalim Seif ahimiza wana CUF kuwa na vitambuilisho vya kura
Na Mwandishi Maalum
MAKAMU wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif
Hamad, amesema jambo muhimu
litakalo zingatiwa na Zanzibar
wakati itakapoanza shughuli
za utafutaji na uchimbaji wa
mafuta na gesi asilia ni kuona
zi nanufai sha wananchi na
haziwi chanzo cha uharibifu wa
mazingira.
Maalim Seif alisema hayo
mwishoni mwa wiki iliyopita
ofsini kwake Migombani mjini
Zanzibar, wakati alipokuwa
na mazungumzo na Balozi wa
Uholanzi nchini Tanzania, Bw.
Jaap Frederiks.
Al i sema kuwa anaami ni
kikwazo cha Kikatiba ambacho
kinazuia shughuli za utafutaji
na uchimbaji wa mafuta na gesi
asilia kwa upande wa Zanzibar,
kitapatiwa ufumbuzi muda si
mrefu ujao na baadaye Zanzibar
itaanza kukaribisha wawekezaji
mbalimbali kufanya shughuli
hizo.
Makamu huyo wa Kwanza wa
Rais Zbar, alimweleza Balozi
huyo kuwa tayari Zanzi bar
imeshaamua mafuta na gesi asilia
yaondolewe katika orodha ya
mambo ya Muungano, hivyo
kinachosubiriwa hivi sasa ni
kukamilishwa taratibu za kisheria
ambazo anaami ni zi naweza
kukamilishwa katika muda sio
mrefu.
Hat a hi vyo Maal i m Sei f ,
alisema suala la uwezo na uzoefu
litapewa umuhimu wa kipekee
kwa kampuni zitakazo karibishwa
kuwekeza katika sekta hiyo,
ili kuhakikisha inakuwa sekta
yenye maf ani ki o makubwa
itakayoweza kuwasaidia ipasavyo,
wananchi wa Zanzibar katika
kuondokana na hali za umasikini
na sio kusababisha majanga ya
kimazingira.
Maalim Seif alimwambia Balozi
huyo kuwa, Serikali ya Zanzibar
Vikwazo vya kutafuta mafuta Zbar kupatiwa ufumbuzi
Na Mwandishi Maalum
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Jaap
Frediriks, walipokutana ofsini kwake Migombani mjini Zanzibar.
(Picha na Salmin Said).
imejipanga vizuri kuhakikisha
neema hiyo ya mafuta na gesi
asilia haiwi chanzo cha uharibifu
wa mazingira na asili ya Zanzibar,
ambayo ina mandhari ya kuvutia
katika maeneo ya baharini na nchi
kavu.
Akizungumzia maendeleo ya
mchakato wa utafutaji Katiba
Mpya, Maal i m Sei f al i sema
kutokana na hali iliyojitokeza hivi
sasa, suala la maridhiano baina
ya pande zinazotafautiana ndilo
pekee litakalowezesha kupatikana
Katiba iliyo bora.
Mimi binafsi ni muumini wa
maridhiano, kwenye maridhiano
kati ya pande zinazozozana,
hakuna kitu kisichowezekana,
alisisitiza Makamu huyo wa
Kwanza wa Rais.
Katika mazungumzo hayo,
Maal i m Sei f al i wakari bi sha
wawekezaj i vi t egauchumi
kutoka Uholanzi kuja kufungua
miradi yao Zanzibar katika sekta
mbalimbali, ikiwemo kilimo cha
maua, Utalii na ufugaji, ambapo
nchi hiyo ina uzoefu mkubwa
katika nyanja hiyo.
Alisema sekta hizo mbali na
kuwanufaisha wawekezaji pamoja
na nchi mbili hizo, lakini pia
zitaweza kutoa fursa nyingi za
ajira kwa wananchi, hasa vijana
na kuwawezesha kumudu maisha
yao.
Naye Balozi wa Uholanzi
nchini, Jaap Frediriks, alisema
nchi yake itaendelea kushirikiana
na Zanzibar katika nyanja tafauti
na kuendeleza miradi iliyokwisha
anzishwa, ikiwemo matengenezo
ya hospitali, utafiti wa bandari
mpya, uhifadhi wa mazingira na
uhifadhi wa asili ya Mji Mkongwe
wa Zanzibar.
Balozi Frediriks alihimiza
Zanzibar kuwa na uwakilishi
katika mkutano mkubwa wa
uwekezaji unaotarajiwa kufanyika
nchini Uholanzi hivi karibuni,
ili kuweza kujitangaza yenyewe
kiuwekezaji hasa Utalii, sekta
ambayo ina nafasi kubwa ya
kuinua uchumi na maendeleo ya
Zanzibar.
KATIBU Mkuu wa Chama cha
Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif
Hamad, amewataka wanachama na
wafuasi wa chama hicho kuanzisha
mitandao ya kupeana taarifa,
kuhamasishana na kusaidiana
kutafuta vitambulisho vya kupigia
kura kwa wasiokuwa navyo, kama
hatua ya maandalizi kwa ajili ya
ushindi kwa chama hicho katika
uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Maalim Seif, alisema kuwa iwapo
wanachama watahakikisha kila moja
ameandikishwa kuwa mpiga kura,
basi ushindi wa CUF utakuwa wa
kishindo na hakuna atakayeweza
kuwaibia kura au kuchezea matokeo
ya uchaguzi hapo mwakani.
Alisema hayo wakati alipokuwa
akizungumza na wanachama wa
Baraza la CUF la Msumbiji, lililopo
Magogoni Wilaya ya Mgharibi
Unguja.
Katibu Mkuu huyo alisema CUF
kimezidi kukubalika miongoni mwa
wananchi walio wengi Zanzibar
na kwamba, kinachohitaj ika ni
kuhakikisha wanachama na wote
wanaokiunga mkono chama hicho,
wanamiliki vitambulisho vya kupigia
kura vitakavyo wawezesha kupiga
kura mwakani.
Kama CUF ni shamba, basi miti
yake kila siku inazidi kunawiri,
sina wasiwasi ushindi upo, kama
2010 tulishindwa kwa kura 3,000
kwa hesabu za Tume, tujipange
vizuri tupate ushindi mkubwa
ambao hauwezi kuchezewa au
kubadilishwa, alihimiza.
Alisema utaratibu wa kuanzisha
Ma b a r a z a y a Wa n a c h a ma
unatoa mchango mkubwa katika
kuki i mari sha chama hi cho na
umekuwa ukikisaidia sana chama
kueneza taarifa zake kwa wanachama
kwa urahisi na kwa haraka, hivyo
chama kitahakikisha unaendelezwa.
Aliongeza kuwa Mabaraza hayo
ni njia moja wapo ya kuwawezesha
wanachama kujuana na kusaidiana,
ikiwemo katika suala la kupata
vitambulisho vya ukaazi Zanzibar
( ZAN I D) , ambapo hadi sasa
kuna idadi kubwa ya wanachama
wakiwemo vijana, ambao hawana
vitambulisho hivyo.
Maal i m Sei f, ambaye pi a ni
Makamu wa Kwanza wa Rai s
Zanzibar, aliwataka wanachama
na wananchi wote wa Zanzibar
wasidharau kutafuta vitambulisho
vya ZAN ID kutokana na umuhimu
wake katika maisha ya kila siku, licha
ya kuwawezesha kupata haki zao za
kupiga kura.
Naye, Naibu Katibu Mkuu CUF
Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui,
alisema chama kitapita kila Wilaya
kuhamasisha wanachama wasiokuwa
na ZAN ID kuvitafuta, ili viweze
kuwasaidia katika shughuli zao za
kijamii na kimaendeleo, pamoja
na kuwawezesha kupata fursa za
kuchagua viongozi.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif
Hamad, ametoa wito kwa Jeshi
la Polisi Zanzibar kutekeleza
majukumu yake kwa kuzingatia
maadili ya kazi na kuhakikisha
askari hawafanyi kazi kwa misingi
ya upendeleo, chuki, rushwa, wala
ubaguzi wa aina yoyote.
Maal i m Sei f al i yasema hayo
alipotembelea Makao Makuu wa
Polisi Zanzibar Ziwani hivi karibuni
na kuzungumza na Kamishna wa
Polisi Zanzibar, Hamdan Makame,
pamoja na maafsa wengine wa Jeshi
hilo.
Makamu huyo wa Kwanza Rais
alisema kuwa, kwa kiasi kikubwa Jeshi
la Polisi Zanzibar limepata mafanikio
makubwa kat i ka kus i mami a
majukumu yake, hasa ya kupunguza
matendo ya uhalifu lakini wapo
miongoni mwa askari hujihusisha na
matendo yaliyo kinyume cha maadili
yanayolitia doa jeshi hilo.
Alisema zipo taarifa kwamba
baadhi ya maaf i sa wa pol i si
wamekuwa wakivujisha taarifa na
kuwapa watuhumiwa wa dawa za
kulevya, pale jeshi hilo linapojiandaa
kuwakamata na kuwafkisha mbele
ya sheria.
Maalim Seif alisema tabia hiyo
haina budi kukomeshwa kwa nguvu
zote kwa sababu hudhorotesha
mikakati ya kukomesha uingizwaji
na biashara ya dawa za kulevya katika
visiwa hivyo.
Al i s ema dawa za kul evya
zinasababisha madhara makubwa
kwa wananchi hasa vijana na Polisi
wanatakiwa kuwa mstari wa mbele
katika kudhibiti uingizwaji wake kwa
kushirikiana na taasisi za Kitaifa na
Kimataifa.
Nasikia wakati fulani taarifa za
uhalifu huvujishwa na maafsa wa
Polisi. Kitengo cha Polisi cha Dawa
za Kulevya lazima kiwe na watu
waaminifu sana, Kamishna hili ni
tatizo kubwa na lazima tulikomeshe,
alibainisha Maalim Seif.
Hata hivyo alilipongeza Jeshi hilo
kwa juhudi kubwa linazozichukua
kuwakamata watuhumiwa wa dawa
za kulevya na kuwafikisha mbele
ya sheria, lakini akasema bado
juhudi zaidi zinahitajika kuwamata
wafanyabiashara wakubwa ambao
mara nyingi hawapatikani.
'Polisi msifanye
kazi kwa chuki'
Na Mwandishi Wetu
5
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Habari
POLISI nchi ni Ui ngereza
imemuhoji Mbunge maarufu
nchi ni humo Bw. Goerge
Galloway, kufuatia matamshi
yake yaliyokosoa utawala wa
Kizayuni wa Israel.
Hayo yamejiri Jumanne wiki
hii baada ya Bw. Galloway
kusema Agosti 2 kwamba, watalii,
bidhaa, vipodozi na huduma za
Israel hazitopokelewa katika
mji wa kaskazini wa Bradford
na kwamba mji huo ni 'eneo
marufuku kwa Israel'.
Hasira za Mbunge huyo dhidi
ya Israel zimetokana na mauaji
yanayofanywa na jeshi la utawala
huo huko Pal esti na kati ka
Ukanda wa Gaza unaozingirwa
na Israel , ambapo Mbunge
huyo wa Uingereza alitoa wito
kwa wajumbe wa chama chake
kususia bidhaa za Israel, huduma
na hata wasomi wa utawala huo
haramu.
Ka t i ka kuj i bu t uhuma
hizo, msemaj i wa Galloway
Idara Kuu ya Mawasiliano ya
Umma ya Jeshi la Walinzi wa
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
(SEPAH) imetangaza kuwa
kikosi cha anga cha jeshi hilo
kimeitungua ndege ya kijasusi
ya utawala wa Kizayuni.
SEPAH ilitangaza mwishoni
mwa wiki iliyopita kuwa, ndege
JUMATATU wiki hii serikali ya
Marekani ilitoa zaidi ya tani 5,000
za dawa kwa vikosi vya Uganda
vya Misheni ya Umoja wa Afrika
nchini Somalia (AMISOM),
kama sehemu ya msaada wake
katika mpango wa kudumisha
amani Somalia.
Akiongea na vyombo vya
habari baada ya kupokea mzigo
huo wa dawa huko Mogadishu,
Kamanda wa AMISOM wa Sekta
1 na Kamanda wa Kikosi cha
Uganda nchini Somalia, Brigedia
Dick Olum, akisema dawa hizo
zitatumika kuokoa maisha nchini
Somalia na kupunguza taabu
inayowakumba watu.
"Unachokiona nyuma yangu
ni mchanganyi ko wa dawa
ambazo zimetolewa na washirika
wa AMISOM kwa AMISOM
na mshirika huyu maalumu ni
serikali ya Marekani," alinukuliwa
akisema Bw. Olum, mbele ya
maboksi ya vifaa tiba.
Aliongeza kwamba vikosi
vitatumia dawa kuwatibu raia
katika maeneo yaliyochukuliwa
kutoka kwa al-Shabaab.
Taari f a ya AMI SOM kwa
vyombo vya habari i l i el eza
kuwa, kutokana na mapigano ya
wenyewe kwa wenyewe ya miaka
mingi, sekta ya afya ya Somalia iko
katika hali mbaya na Wasomali
wengi wanaendelea kufa kwa
magonjwa yanayozuilika, hasa
kutokana na ukosefu wa huduma
za afya zenye ubora na upataji wa
huduma za afya.
Kamanda Ol um, al i sema
ilikuwa ni sehemu ya kawaida ya
jitihada za kudumisha amani kwa
AMISOM kuwatibu raia katika
maeneo waliyoyakomboa na
kwamba, matibabu ya bure kama
hayo yamewezeshwa na mchango
wa hivi karibuni wa Marekani.
Alisema AMISOM pia inatoa
maji saf ya kunywa na inapanga
kuanza kusai di a ukarabat i
wa barabara zilizoharibika ili
kuboresha ufikiaj i kwa raia.
(sabahi online)
SHIRIKA la Msalaba Mwekundu
Kenya (KRCS) limesimamisha
shuguli zake katika kijiji cha
Rhamu Kaunti ya Mandera baada
ya magari yake mawili ya kubebea
wagonjwa kushambuliwa katika
mapigano yaliyoanza tena kati ya
koo za Degodia na Garre, Capital
FM ya Kenya iliripoti Jumatatu
wiki hii.
Watu wenye silaha walivamia gari
hilo la kubebea wagonjwa Jumapili
Polisi Uingereza wamhoji Galloway kuikosoa Israel
Bw. Goerge Galloway.
ameeleza kuwa, matamshi hayo
ni ya kimantiki na kwamba,
yametolewa kutokana na mauaji
yanayofanywa na Israel katika
Ukanda wa Gaza.
Wengi wamet af si ri kuwa
maneno aliyoyatoa Bw. Galloway,
ni kurejea msimamo wa aliyekuwa
Rais wa Iran Dkt. Mahmoud
Ahmednejad, ambaye aliutangazia
uliushawishi ulimwengu kususa
bidhaa za Israel kutokana na
mauaji yake dhidi ya raia waso na
hatia wa Palestina. (irib.ir)
Iran yatungua ndege ya kijasusi ya Israel
moja ya kijasusi isiyo na rubani
ya utawala wa Kizayuni ilipigwa
na kombora na kutunguliwa
baada ya kugunduliwa na kikosi
cha anga cha jeshi la walinzi wa
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
Kwa muj i bu wa t aar i f a
hiyo, ndege hiyo ya kijasusi
iliyotunguliwa ilikuwa ni aina ya
ndege zenye uwezo wa kujifcha
na kukwepa kuonekana na rada na
ilikuwa imekusudia kujipenyeza
katika anga ya eneo la kituo cha
nyuklia cha Natanz, kilichoko
katikati mwa Iran.
Hata hivyo ndege hiyo ya
ujasusi ya utawala wa Kizayuni
ilitunguliwa kabla ya kulifikia
eneo hilo baada ya kulengwa na
kombora kutoka nchi kavu, hali
inayoelezwa kuwa ni matokeo
ya umakini wa kitengo cha
makombora ya kutungulia ndege
cha jeshi la SEPAH.
Taarifa ya Jeshi la Walinzi wa
Mapinduzi ya Kiislamu la Iran
imeongeza kuwa, hatua hiyo ya
imedhihirisha kwa mara nyingine
tena, halisi wa wa utawala wa
Kizayuni kupenda uchokozi
na kuongeza kuwa, hiyo ni
kumbukumbu nyingine katika
faili jeusi la jinai za utawala huo.
Hata hivyo serikali ya Israel
mpaka sasa haijaeleza lolote
kuhusiana tukio hilo. (irib.iri).
Mabaki ya ndege ya kijasusi ya Israel iliyoangushwa Iran hivi karibuni.
Marekani
yamwaga tani
5,000 za dawa
AMISOM
Msalaba Mwekundu lasimamisha shughuli Mandera
usiku, wakampiga risasi mmoja kati
ya wahudumu wake mguuni lakini
mhudumu wa pili hakudhurika na
wote walibakia porini hadi polisi
walipowaokoa Jumatatu asubuhi.
Gari la pili la kubebea wagonjwa
lililokuwa likitokea katika kaunti
ya jirani, halikufanya kazi Jumatatu
mchana baada ya magurudumu yake
matatu kupata pancha kutokana na
misumari iliyokuwa imechomekwa
barabarani.
Katibu Mkuu wa KRCS Abbas
Gullet alisema taasisi yake haitarejea
kazini huko Rhamu hadi vikosi vya
usalama vya Kenya vitakapohakikisha
usalama kwa wafanyakazi wake.
"Siwezi, sitaweza na sitahatarisha
maisha ya wanaume na wanawake
ambao ni wafanyakazi wa KRCS.
Jumatatu lilikuwa ni onyo; mchana
huu ni onyo la pili. msisubiri risasi
za tatu kupigwa kwenu ili mtambue
tuna tatizo hapa." alisema Gullet
katika mkutano na vyombo vya
habari huko Nairobi.
Takriban watu watatu wameuawa
tangu vurugu za koo zilipozuka
mwishoni mwa wiki, kwa mujibu wa
KRCS, ijapokuwa wakazi wanaeleza
kwamba watu wengi kama 20 hivi
wamekufa, kwa mujibu wa gazeti la
Daily Nation la Kenya.
6
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Barua
Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,
Rai s wa J amhur i ya
Muungano wa Tanzania,
Dar es salaam.
K UHUS U: MA DA I YA
K U T E S WA MA H A B U S U
W A N A O T U H U M I W A
KWA MAKOSA YA UGAIDI
Ndugu Rais,
N i s a me h e s a n a
nakuandikia barua ya
wazi, lakini mimi raia
wako sijui njia nyepesi
ya kuweza kukufikishia
waraka huu, maana sizijui
taratibu zilizotandikwa na
za wazi za kufanya hivyo.
Mhes hi mi wa Rai s ,
waraka huu unahusu
madai ambayo wi ki
mbi l i hi zi yamekuwa
yaki andi kwa kat i ka
vyombo vya habar i
kuhusiana na watu kadhaa
ambao wako mahabusu
kukabili makosa ya ugaidi.
Mimi ni katika raia
wako wanaopenda mfumo
wa sheria ufanye kazi, na
ndio maana barua hii si
kulalamikia kushitakiwa
k wa wa t u k a d h a a
Barua ya wazi kwa Rais Kikwete
M H E S H I M I WA
tunalazimishwa kutoa
maelezo wanayoyataka
wao, wanat ui ngi l i a
kinyume cha maumbile,
wanaingiza majiti, chupa,
we ng i ne wa na v uj a
nyuma, kama unaweza
hakimu twende faragha
nikakuonyeshe
Askari ameni... kisha
akaniingiza jiti mpaka
likakatika, kungekuwa na
sehemu ningekuonyesha,
J e s h i l a P o l i s i l a
kwanza kuvunja sheria,
wal i of anya madhi l a
haya wanawatukanisha
Watanganyika na kufanya
waonekane wabaya.
Assalaam Alaykum,
mpenzi msomaji. Nadhani
nilichokiweka si matusi
na wa l a s i kupa s wa
kupunguza ukali wa neno
hata moja nami sijafanya
hivyo, kwani kufanya
hi vyo kunge po t e z a
Inaendelea Uk. 7
wakiwemo wengi kutoka
Zanzibar kwa makosa ya
kigaidi.
Vitendo vya kigaidi
havi kubal i ki na kwa
hakika havichagui wala
havi bagui na yeyot e
mwe nye kuvi f a nya ,
kuviendeleza au kusaidia
ni lazima akabili sheria.
Mheshimiwa Rais, najua
una wajibu wa kulinda
usalama wa nchi ikiwa
ni pamoja na raia na mali
zao na kwa hivyo wewe
ndie muangalizi mkuu wa
sheria za nchi na kuona
haki inapatikana kwa kila
raia.
Lakini katika kusimamia
huko kila mtu atashitakiwa
na kukabili kesi yake kwa
ki wango cha j uu cha
heshima na pia kupewa
haki ya kuyajua na kujitetea
kwa mashitaka ambayo
atakuwa anakabiliana
nayo.
Nchi yetu ina vyombo
kadhaa vya usimamizi wa
haki kama ambavyo kuna
vyombo kadhaa vya ulinzi
wa haki zetu na vyote kwa RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.
mujibu wa Katiba yetu
viko chini yako wewe.
Mhes hi mi wa Rai s ,
naami ni si na haj a ya
kunukuu vifungu vya haki
za binaadamu ambavyo
v i n a mp a mf u n g wa
haki hizo na hata kama
itathibitika kosa lake,
bado chi ni ya Kati ba
yetu mfungwa hapaswi
kuf anyi shwa kazi za
kutwezwa na za kitumwa.
Naamini kabisa unajua
kuwa kumekuwa kuna
madai ambayo yametoka
kwenye vyombo vya
habari yanayowahusu
washitakiwa katika kesi
ya ugaidi ambayo ipo
Mahakamani mjini Dar es
Salaam hivi sasa.
Wa s h i t a k i wa h a o
wamesema Mahakamani
kuwa wanateswa kwa njia
ya kupigwa, wanafanyiwa
vitendo vya kinyama kama
vile kutiwa chupa na majiti
sehemu zao za siri. Pia
wamedai kuwa hawapati
matibabu.
Kwa kuwa ma da i
Mh. Rais Shein:
Wanayofanyiwa raia wako ni zaidi ya unyama, ushenzi
Kumbuka we ni mchunga na utaulizwa
maana ya kile ambacho
bi naadamu wenzet u
wanatendewa.
Ikiwa umelipitia gazeti
la Mtanzania la Ijumaa,
Agosti 22, 2014, basi
utakutana na habari yenye
anuani: Watuhumiwa wa
Ugaidi wachafua hali ya
hewa kortini.
Ndani ya habari hiyo
ndio utakuta mengi ya
kuhuzunisha na kuumiza
na baadhi yao ndio hayo
niliyoyanukuu katika aya
ya mwanzo na ya pili.
Ni mal al ami ko ya
mshitakiwa wa 12 Salim
Ali Salim, akiwa naye ni
mtuhumiwa wa ugaidi
a k i l a l a mi k a k a t i k a
mahakama ya hakimu
mkazi Kisutu mbele ya
Hakimu Mkazi, Hellen
Riwa juu ya kutendewa
uovu na Jeshi La Polisi.
Kuna mambo ya msingi
tuwe tunayasema ikiwa
ni nj i a moj a wapo ya
kulainisha nyoyo za hawa
wanaowatendea uovu
wanaume wenzi wao.
Napenda sana kusema
kuwa, ukitaka kumfanyia
mtu uovu, hebu jiulize
mi mi n i k i f a n y i wa
nitaridhika? Ama Mama
yangu na Dada yangu na
Baba yangu akifanyiwa
kama hi vi , j ee mi mi
nitakuwa radhi?
Baba wa mtu, Kaka wa
mtu, unamfanyia unyama.
Sababu una uwezo wa
kuf anya hayo, si t aki
kuami ni kuwa sheri a
inawaruhusu kuyatenda
hayo wayatendayo. Ila
wanajiona na nguvu kwa
viumbe wenziwao ndio
wanaamua kufanya.
Si suali dogo endapo
mwenye akili ataliweka
k i c h w a n i k i s h a
akalizingatia pia ni kipimo
kizuri cha kumtendea
RAIS wa SMZ, Ali Mohamed Shein.
Inaendelea Uk. 7
7
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014 Barua
Barua ya wazi kwa Rais Kikwete
Inatoka Uk. 6
hayo yametolewa Mahakamani,
niruhusu Mheshimiwa niseme
kwamba hayawezi kabi s a
kupuuzwa na itakuwa ni kosa
kubwa kwako kuyapuuza.
Ingekuwa vitendo hivyo ni
sehemu ya mfumo wa upatikanaji
haki, nisingekuwa na sababu ya
kuandika barua hii, lakini kwa
sababu vitendo hivyo ni uvunjaji
wa haki ya watu waliozuliwa na
pia ni uvunjaji mkubwa wa haki
za binaadamu, ndio imenilazimu
kukuandikia.
Wananchi wako na duni a
nzima wanafuatilia juu ya kesi
hii. Na habari tunazopata ni hizo
za maafisa wetu wa kutulinda
kujihusisha na matendo kama
hayo kwa watu ambao wana
heshima kubwa katika jamii. Haya
tumekuwa tukiyasikia kwengine
lakini sasa yapo kwetu.
Le o wapo Mahakamani
wanakabili shitaka na kesho
wanaweza kuwa wapo nje kwa
kut oonekana hawana kosa,
jee, heshima yao kwa kudaiwa
kufanyiwa vitendo kama hivyo
itakuwa wapi mbele ya macho ya
umma?
Lakini mfumo wetu wa sheria
Mheshimiwa Rais unaelekea
kufkia kiasi cha kuzama kama
hivyo? Hivi inastahili kufanyiana
kama hivyo?
Nchi yako Mheshimiwa Rais ni
mwanachama wa jumuia zote za
kusimamia haki za binaadamu
baada ya kutia saini na kuridhia
mikataba yote katika eneo hilo.
Jee, huku ndio kutimiza wajibu
wetu? Huku ndio kujenga imani
kuwa haki za binaadamu na haki
za wafungwa zinalindwa?
Kwa fkra zangu Mheshimiwa
Rais, hili si neno la kupuuzwa.
Haya yamelalamikiwa hadharani
na washitakiwa lakini wasaidizi
wako wote hawajatoa kauli yoyote
ile. Si Mkuu wa Polisi, si Mkuu
wa Idara ya Usalama, si Mkuu wa
Idara ya Magereza.
Pia wasaidizi wako Waziri wa
Katiba na Sheria, Mwanasheri
Mkuu, Muendesha Mashitaka,
walipaswa kutoa kauli juu ya
kinachoendelea katika magereza
dhi di ya washi t aki wa hao
kwa kuwa ki mel al ami ki wa
Mahakamani na kwa hivyo kipo
hadharani na mbele ya macho ya
umma.
Kwa kuwa madai ya kuteswa
na kudhalilishwa ni makubwa,
ni ushauri wangu Mheshimiwa
Rais kuona kuwa unachukua
hatua ya kuchunguzwa matendo
hayo halan, yaani kwa Kiswahili
cha kwet u ni kwa har aka
inavyowezekana.
Naamini utakuwa na njia zako
za kuchukua kwa kufanyiwa
uchunguzi na kuchukuliwa hatua,
ila, la kwangu lilikuwa ni kukuarifu
kama ulikuwa hujui, kukuzindua
kama ilikuwa umeghafilika na
kubwa zaidi ni kulisema ili kesho
na kesho kutwa iwe angalau sauti
moja ilinyanyuka kueleza juu ya
madhila hayo.
Khof u yangu j ambo hi l i
l i si pochukul i wa hatua kwa
kuchunguzwa na wahusi ka
kuadhibiwa, ina maana itakuwa
tunalilea, na mbali ya kukosa
heshima kwa macho ya kimataifa,
basi pia itakuwa ni dua kubwa
kwa Serikali.
Naomba t ena uni samehe
Rais wangu lakini roho yangu
haingeweza kabisa kulistahamilia
hili. Kama ilivyotokea huko
Urusi ya Kikomunisti kulikozuka
msemo kuwa usipolisema la
mwenzio hakutakuwa na wa
kukusemea likufikapo wewe.
A l l y S a l e h
Zanzibar
SHEIKH Farid Hadd.
Wanayofanyiwa raia wako ni zaidi ya unyama, ushenzi
Inatoka Uk. 6
wema au uovu bi naadamu
mwenzako. Nikifanyiwa mimi?
Mama, Kaka, Dada itaumizaje?
Ikiwa ni wenye kufkiri!
Nilipokuwa naisoma habari
hii, ukweli nimeumia sana sana.
Munaingizana chupa na majiti
sehemu za siri? Kwa lipi hata
umfanyie binaadamu mwenzako
yote hayo? Ukweli inasikitisha
lakini kuna siku kila mchunga
ataulizwa juu ya alichokichunga.
Wakongwe wa hii tasnia ya
habari, walishawahi kuuliza;Wako
wapi watesa na wateswaji? Jeuri
ya binaadamu ni hii Oxygen
kutoka kwenye miti, ambayo
Mungu kai weka huru kwa
wababe na wanyonge, ila siku
Oxygen ikikatishwa kwako,
hapo ndi o utael ewa. Ubora
na ubaya wa ul i yoyatenda.
Unapomsikia mtu mzima anaomba
daktari wa kungalia afya yake,
au akakubali kuangaliwa jinsi
alivyoharibiwa na mwanaume
mwenzake. Hii inatoa tafsiri
ya kuwa huyu mtu kafikwa
na yaliyomfika si madogo, ni
makubwa mno.
Wakat i napi t i a maoni ya
wasomaji wa taarifa hii kupitia
mitandao ya kijamiii, wengi wao
walionekana kukata tamaa na
kushindwa hata kutoa maoni
nini kifanyike. Ila walichokuwa
wakikisema zaidi ni kumuachia
Mungu, yaani wanaonekana
dhaahiri wamekosa la kufanya,
ila mmoja wao aliandika hivi:
Haya ni makosa ya viongozi
wa Zanzibar. Wanawadhalilisha
watu wasio na hatia yoyote.
Kama kweli Zanzibar ni nchi
ina Rais ina Mwanasheria Mkuu
ina Mkurugenzi wa Mashitaka
na Mahakama zake, inakuwaje
aje kuchukuliwa mwananchi
kupelekwa nchi ya pili na huku
kuna amri ya Mahakama kuwa
asitoke nje ya Zanzibar bila ruhusa
ya Mahakama, leo anachukuliwa
kwa kisingizio cha Muungano, ipo
wapi hadhi ya Mahakama Kuu ya
Zanzibar?
Nirudie kusema kuwa kila
mtu ni mchunga na ataulizwa
kwa alichokichunga. Ni ukweli
usiopingika kuwa Rais Shein
umejitwika majukumu ya kuwa
mchunga wa Wazanzibari wooote,
hili halipingiki na hata ukikataa
ndio litabaki hivyo.
Wat u wako ume r uhus u
waondoshwe nchini mwako,
sasa wanafanyiwa idhilali kama
hiyo ya kuingiliwa na wanaume
wenzi wao! Mambo mengine
yaonekana mepesi katika dunia
hii, lakini majibu yake kwa Allah
hapo kesho yatakuwa mazito.
Nini tutajibu kwa kuruhusu uovu
kama huu wa makhabithi wa
Kaumu Lut kufanyiwa binadamu
wenzetu, halafu unafanywa na
baadhi ya watumishi wa vyombo
rasmi vya serikali?
Tukumbuke, ki l a mmoj a
wetu ni mchunga na ataulizwa
kwa al i choki chunga. Kama
tumelisahau hili tukumbushane.
Mimi nipo kuwakumbusha
akhera zaidi kwani kule ndio
kuzito na maandalizi mazuri ya
kule huwa yapo hapa duniani.
Msikilize Sheikh Faridi kwa
huzuni kubwa, anasema:
Mheshimiwa wametuomba
kwenda kutuhoj i tena, mara
ya kwanza tulipohojiwa, polisi
hawakutumia ustaarabu wala
ubinadamu, ni ushenzi na ukatili,
walituhoji uchi wa mnyama na
kutupiga. Watu wameumizwa
vibaya, mengine hayasemeki,
wanajisaidia haja ndogo damu
wiki moja hadi mbili, tunaomba
tufanyiwe uchunguzi wa afya
zetu, i po si ku mahakamani
italetwa maiti
Hata wakiwa na tuhuma za
Ugaidi, lakini si haki kufanyiwa
hayo. Ni kukiuka haki zao na wala
mtu hahojiwi kwa njia hizo. Wala
ukweli hautafutwi kwa kuvunja
haki zao. Haki zao ziko wapi?
Ndio watu wanavyohojiwa hivi?
Hizi ndio faida za Muungano ee!!
Wat u wanachukul i wa t u
kinyemele nyemela, kisha mambo
wanayoenda kufanyiwa hata
hayasemeki. Serekali yetu ipo,
imekaa tu ndio Muungano huo?
Siku zote sisi tutafanya uwezo
wetu na tutakapo shindwa basi
tutamuachia mwenyewe Allah
(SWT).
Na Rashid Abdallah, Zanzibar
Markaz Arrahman Islamic Centre pamoja na Ibn Kathir
Masjid Irshard Mtaa wa Morogoro na Pangani DSM.
Inawatangazia Waislamu kuwa itaanza kutoa masomo ya
Dini kwa wanafunzi wenye upeo wa kusoma na kuandika
lugha ya Kiarabu, kufka kujiendeleza kimasomo kwa
mujibu wa Quran na Sunnah.
Markaz itachukua wanafunzi wa kutwa na kulala.
Usaili utaanza tarehe 30-30 Agosti, 2014 na tarehe 6-7,
Septemba, 2014 saa 2 asubuhi.
Kwa mawasiliano zaidi piga:
0715 526053
MUDIR
MASOMO YA DINI
8
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Makala
Na Omar Msangi
Wasomali kujitawala wenyewe
bila kuingiliwa na watu wa
nje, lakini kwa sasa maadui
wa Somal i a na kwakwel i
maadui wa wapinzani wote wa
ubeberu, wamebadili mambo
kupitia propaganda na ugaidi
wa kupanga. Hivi sasa al-
Shabab, wanaonekana kuwa
magaidi hatari kwa Afrika na
Al Shabab ibadili mbinu
Zama na mambo yamebadilika sana
Mwelekeo wa zamani kwa sasa ni...
Maafa kwa Waislam Somalia, Afrika
WIKI hii wakuu wa Polisi
kutoka nchi kadhaa za Afrika
walikuwa na kikao chao
Mombasa, Kenya kujadili
namna ya kushi r i ki ana
kukabi l i ana na ugai di ,
madawa ya kul evya na
ujangili.
Kwa mujibu wa taarifa ya
Mkuu wa Jeshi la Polisi Kenya,
(IGP), David Kimaiyo, mkutano
huo wa si ku tano ambao
ulikuwa uanze Jumatatu,
unawakutanisha makamanda
wa polisi pamoja na wakuu
wa vitengo vya upelelezi
kujadili namna ya kushirikiana
na kubadilishana taarifa za
kiintelijesia juu ya uhalifu na
namna ya kukabiliana nao.
Uki andal i wa chi ni ya
East African Police Chiefs
As s oc i at i on, na ambao
huf anyi ka ki l a mwaka,
mkutano huo kwa mwaka
huu ulitarajiwa kuhudhuriwa
na nchi za Burundi, Djibouti,
Ethiopia, Rwanda, Somalia,
Sudan, Uganda, Comoros,
Eritrea, Seychelles, South
Sudan na Tanzania.
Unapotajwa ugaidi kwa eneo
hili, kinachokusudiwa ni al-
Shabab na mifano inayotolewa
ni mashambulizi ya hivi karibuni
mjini Mombasa likiwemo lile
baya kabisa la Mpeketoni, Julai
mwaka huu ambapo takribani
watu 95 waliuliwa na wengi
kujeruhiwa.
Linatajwa pia lile tukio la
Septemba mwaka jana ambapo
ilidaiwa kuwa magaidi kutoka
Somalia wakiwa na bunduki
aina ya AK-47 na mabomu
(grenades) walivamia Westgate
Shopping Mall, Nairobi na
kuuwa watu 67.
Wakati tukikubaliana kuwa
awali al-Shabab ilianza kama
kundi la kupigania haki ya
kutumiwa kama kifmbocheza
cha kuleta machafuko Afrika
Mashariki na Pembe ya Afrika.
Kama wachambuzi wengi wa
mambo wanavyosema, hiyo
hufanywa makusudi kujenga
mazingira, sababu na mlango
wa AFRICOM kuingia na
kusambaza makucha yake
katika eneo hili.
Kama ni l i vyot angul i a
kusema, ni kweli al-Shabab
waliibuka kama wapiganaji
dhidi ya wavamizi Ethiopia
wa l i o t umi k a k ui n g o a
madarakani serikali ya Umoja
wa Mahakama za Kiislamu
na walikuwa na haki hiyo.
Baada ya wavamizi Ethiopia
kuondoka, hivi sasa al-Shabab
inapambana na jeshi la serikali.
Kwa hiyo hapa ni vita ya
Wasomali kwa Wasomali. Kwa
upande mwingine, serikali
ya Somalia, ambayo unaweza
kuiita kuwa ni kibaraka wa
mabeberu, i nasai di wa na
AMISOM ikijumuisha askari
kut oka Kenya, Burundi ,
Uganda n. k. Kwa upande
mwingine, Marekani nao wamo
wakivurumisha makombora
kutoka katika drones zao.
Mamia kwa maelfu ya raia
wasio na hatia wamekuwa
waki ul i wa kut okana na
mashambulizi haya ya drone.
Uk i a c h a h a y o , k un a
vita baina ya al Shabab na
makundi mengine ya Kiislamu
kama Hizbu Islam na Ahlu
Sunnah Wal Jamaa. Vyovyote
WANAWAKE Somalia wakiuza Mirungi.
ILIKUWA ni mwaka wa 6
baada ya Hijrah, Mtume (s.a.w)
na mswahaba wake walitoka
Madina kwenda Makkah
kufanya ibada ya Umra.
Mtume (s.a.w) alipofka katika
kijiji cha Dhi Hulaifa, alituma
mjumbe akatafiti hali ikoje
Makkah akurudi na taarifa
kuwa makafri wamekusanya
jeshi kubwa kukabiliana na
Waislamu watakaothubutu
kuingia Makkah. Pamoja
na taarifa hizo, Waislamu
wal i s onga mbel e hadi
Hudaibiyah ambapo makafri
walituma wajumbe kukutana
na Waislamu.
Baada ya mazungumzo
ya muda mrefu na makafiri
kushikilia msimamo wao kuwa
hawatawaruhusu Waislamu
kuingia Makkah, ilifkia hatua
ya kuwekeana mkataba. Suhail
Ibn Amr akawa mwakilishi wa
makafri katika kujadili vifungu
vya mkataba na Waislamu.
Kwa upande wa Waislamu,
Mtume (s.a.w) akamchagua
Sayi di na Al i kutayari sha
mus wa da wa mka t a ba
ambapo alianza kuandika kwa
Al-Shabab na Mkataba
wa Hudaibiyah Somalia
Bismillahir Rahmanir Rahiim.
Hata hivyo, Suhail akapinga
kuandika Rahmaan, akisema
kuwa wao hawamtambui huyo
Rahmani, iandikwe Bismika
Allahumma, kama ilivyokuwa
kawai da ya Makaf i ri wa
Makkah.
Ilipofka mahali pa kuandikwa
kuwa huu ni mkataba baina ya
Makuraishi wa Makkah na
Mtume Muhammad (s.a.w)
Suhail alikataa tena akisema
kuwa wao hawamtambui
Muhammad kuwa ni Mtume
wa Mungu. Kwa hiyo iandikwe
Muhammad Ibn Abdullah.
Japo Ali aliambiwa na Mtume
afute, lakini aliona ugumu na
kigugumizi kufuta Rasullullah,
akaona ni kama anamkataa
Mtume. Hata hivyo Mtume
akafuta.
Mambo ya msingi katika
mkataba huo ilikuwa kuwa
Waislamu warudi Madina bila
kufanya Umra mpaka mwakani
na wakati huo wakija wasibebe
silaha. Ila kuanzia wakati huo
pawe na amani baina yao.
Na kwamba akisilimu Mtu
Makkah na akataka kutoroka
kukimbilia Madina arejeshwe,
ila Muislamu atakuwa huru
kuingia Makkah kama ataritadi
na kutaka kurudi Makkah.
Muda mfupi tu baada ya
kukubal i ana vi fungu vya
mkataba huo, akaja Muislamu
aliyekuwa akiteswa Makkah
akitaka hifadhi na nusra kwa
Waislamu wenzake. Alijaa
makovu na vidonda vibichi
vya kuteswa baada ya kusilimu
huku a ki wa ka f ungwa
minyororo. Huyu alikuwa Abu
Jandal mtoto wa Suhal. Mtume
akamwambia arudi huko huko
Makkah kwa makafri kutokana
na kipengele cha mkataba
walichokwisha kubaliana.
Wai s l amu hawakuel ewa
kabisa alichokuwa akifanya
Mtume Muhammad (s.a.w).
Muislamu anarejeshwaje kwa
makafri akaendelee kuteswa?
Kwa upande wa Abu Jandal
naye alikuwa akipaza sauti na
kilio kwamba atarejeshwaje
kwa makafri na washirikina
akaendelee kuteswa wakati
ashaf i ka mi kononi mwa
Waislamu wenzake, tena mbele
ya Mtume wa Allah!
Ha t a h i v y o Mt u me
alimtaka arejee kwa kuwa
walishakamilisha mkataba
ambao ni muhimu kwa ajili
ya kupatikana amani baina
ya Waislamu na Makafiri.
Alimfariji kuwa awe na subra,
Mungu atampa namna nyingne
ya kusalimika na atapata jaza
iliyo bora.
Pamoja na vipengele vingine,
lakini kipengele muhimu kabisa
kwa Waislamu kilichofanya
Mtume asijali kutajwa jina
la Mungu katika ukamilifu
Inaendelea Uk. 9
Inaendelea Uk. 9
9
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Makala
Inatoka Uk. 8
Al Shabab ibadili mbinu
utakavyoyaita makundi haya,
hata kama utasema kuwa
watu walio sahihi pekee ni al-
Shabab, na wengine hawa ni
wanafki, bado vita yao itakuwa
ni ya kupigana Wasomali kwa
Wasomali/ Waislamu kwa
Waislamu na wanaoangamia
ni watoto wa Kisomali, watoto
wa Kiislamu. Wanaokufa kwa
risasi na kwa njaa, sio watoto
na wanawake wa Kenya wala
Uganda. Hii ni namna moja
jinsi hesabu zilivyobadilika
Somalia baada ya Ethiopia
kuondoka.
S e r i ka l i na AMI S OM
wanapewa silaha na kusaidiwa
kifedha na Marekani/NATO.
Rasmi al-Shabab hawapewi
si l aha na seri kal i yoyote
duniani, wala hawaruhusiwi
kupelekewa silaha. Swali
ni j e, hadi sasa wanapata
wapi silaha? Ni wazi kuwa
itakuwa inapata silaha kwa
siri kutoka katika nchi hizo
hizo za Marekani/NATO. Ni
mwaka juzi tu ambapo baadhi
ya makamanda wa AMISOM
walingolewa katika nafasi
zao baada ya kuvuja habari
kuwa walikuwa wakiwauzia al
Shabab silaha.
Kamanda wa j es hi l a
Somalia, Gen Dahir Aden Elmi
Indhaqarshe, alinukuliwa
mapema Februari mwaka huu
WANAWAKE Somalia wakila mirungi.
akihoji, al Shabab wanapata
wapi silaha?
Al Shabab does not face any
arms shortage. Al Shabab does not
get arms from the sky.
Wanazi pat a wapi ? Gen
Indhaqarshe aliuliza akiongea
na redio moja ya Somalia.
Kwamba inakuwaje al-Shabab
hawaishiwi na silaha?
Kabla ya kuja na nadharia
ya Kadar, uwezo na msaada
wa Mwenyezi Mungu kwa
Mujahidina hawa, ni vyema
kutizama kwanza yale yaliyo
wazi kibinadamu.
Ilikuwa ni katika kipindi
hicho hicho alipolalamika
general i , I ndhaqarshe,
kundi la kufuatilia mambo
katika Somalia la Umoja wa
Mat ai f a, UN Moni t ori ng
Group, iliwasilisha taarifa yake
katika Baraza la Usalama la
Umoja wa Mataifa (United
Nations Security Council)
iliyoeleza kuwa nyingi ya silaha
zilizokusudiwa kupelekewa
serikali ya Somalia na AMISOM,
zilikuwa zikipelekwa pia kwa
al Shabab.
Taarifa kama hizi lazima
ikupelekee kudhani kuwa
kuna mchezo wanachezewa
Was omal i / Wai s l amu wa
Somalia. Wanapewa silaha
waendelee kuuwana wenyewe
kwa wenyewe. Hakuna
anayeruhusiwa kushinda.
Iliwachukua muda mfupi
sana al Shabab kuwangoa
Ethiopia, lakini kwa Jihad
hii ya kuuwana wenyewe kwa
wenyewe, hakuna dalili za
kupatikana mshindi kati ya
serikali na al Shabab. Hii ni
namna ya pili inayoonyesha
hali ilivyobadilika toka vita
baina ya al Shabab na wavamizi
Ethiopia na sasa Wasomali kwa
Wasomali.
Kwa upande mwingine, al
Shabab badala ya kubaki kuwa
ni Mujahidina wa kupigania
Somalia yao, wamebatizwa
na kuitwa magaidi wa Afrika.
Propaganda imepigwa mpaka
sasa tunaambiwa kuwa al
Shabab ni tishio kwa Tanzania,
Kenya, Uganda na Afrika ya
Inaendelea Uk. 10
Al-Shabab na Mkataba
wa Hudaibiyah Somalia
Inatoka Uk. 8
wake au yeye kutajwa kuwa
ni Muhammad bin Abdullah
badala ya Rasululaah, ni kile
kinachosema kuwa kutakuwa
na amani kwa miaka 10 ambapo
ndani ya miaka hiyo 10, asitoke
Muislamu au kafri kumshikia
mwenzake silaha.
Mkataba wa Hudaibiyah
unatajwa katika Quran na
kufafanuliwa na wafasiri wengi
kuwa ulikuwa ushindi mkubwa
kwa Wai sl amu. Na fai da
yenyewe ni kule kupatikana
kwa amani Waislamu wakapata
fursa ya kwenda huku na huko
kufanya Dawah kuwaita watu
katika Uislamu, kiasi kwamba
baada ya mwaka mmoja tu,
badala ya wale Waislamu 1400
waliokuwa katika Hudaibiyah,
Mtume (s.a.w) aliingia Makkah
na jeshi (Mahujaji) 10,000
na kuiteka Makkah bila ya
kumwaga tone la damu.
Laiti Waislamu wangekomaa
na ms i mamo mkal i wa
kutaka Jina la Allah lisifutwe
au wakangangania kuwa
lazima Mtume atajwe kuwa
ni Rasullullah, hapana shaka
amani iliyowapa fursa ya
kufanya dawah isingekuwepo
na wasingeweza kufikisha
ujumbe wa Uislamu kwa wale
ambao ulikuwa haujawafkia.
U k i a c h a v i t a
vilivyosababishwa na makafri,
Somalia kuna tatizo la kiitikadi.
Wapo Salaf al Shabab, ambao
walipoanza tu harakati zao
kabla hata ya vita, walianza
kwa kuvunja makaburi na
kuwashambulia Waislamu
wengine wa Twariqa (Kadiria
na wengine). Na hawa ndio
hufanya sehemu kubwa ya
jamii ya Wasomali. Bila kuwa
na amani, hakuna namna ya
kufanya Dawah ujumbe sahihi
ukawafi ki a Wai sl amu wa
Somalia wakiwemo hawa Ahlu
Sunnah Wal Jamaa, ambao
unaweza kudai kuwa hawana
mtizamo sahihi. Bila amani,
kama ile aliyoitafuta Mtume,
kuwa pawepo amani baina ya
makafri na Waislamu Makkah
na Madinah, huna namna ya
kuwapa Dawah akinamama
wa Kisomali, ambao kimavazi
ni Waislamu jina na hijabu zao,
lakini wanakula na kuuza miraa
(mirungi). Kila kukicha akina
mama wa Kiislamu na akina
baba wapo mbio wakikimbia
vita, huo muda wa kupata
elimu ya kuujua Uislamu sahihi
wataupata wapi?
Ka ma Mt ume ( s . a . w)
al i kubal i vi pengel e vya
kudhalilisha katika mkataba
wa Hudaibiyah ili ipatikane
amani baina yake na Makafri,
kipi kinashindikana leo kuleta
amani Somalia ili kuwapa
nafuu akina mama na watoto
wa Somal i a kutokana na
machafuko ambayo yamedumu
kwa zaidi ya miaka 20 sasa
toka Siad Bare alipoondolewa
madarakani?
Na ifahamike hapa kuwa
ile Mtume kukubali vipengele
a mb a v y o k wa upa nde
mwingine ni vya kumdunisha
na kumdhalilisha, sio kwa
sababu ya woga au udhaifu,
bal i huo ndi o us huj aa
wenyewe. Ujasiri ni pamoja
na kuwa na uwezo wa kupima
uwezo ulio nao na ule wa
adui na kuchukua maamuzi
stahiki. Ushujaa na ujasiri ni
kujua unachotafuta na namna
ya kukipata, sio kushikilia
msimamo bila ya kupima kuwa
msimamo huo unakusaidia
vipi kufkia lengo au pengine
unakuwa ni msimamo tu bila
hata ya kuwa na lengo. Ushujaa
sio kujitosa katika kujihilikisha.
Ushujaa ni kujua unatafuta nini
na ukajua namna ya kupata
unachokitaka hata kama ni kwa
njia ya mzunguko na ndefu.
Kurudi Makkah na kujizuiya
kufanya Umra, kumeza hasira
na kumtizama Abu Jandal
akiteswa, ndio kulikopelekea
kupatikana Waislamu 10,000
kutoka idadi ya 1,400 kuiteka
Makkah. Kama katika mj i
au nchi mpo Waislamu wa
Kitabu na Sunnah 5,000,000
huku wengine mnaoitakidi
kuwa hawapo sahihi ni milioni
80,000,000, njia ya kusimamisha
Kitabu hapa sio kuwashikia
silaha. Hata kama mtashinda,
maadhali hawa sio jeshi la
uvamizi, hawataondoka. Ni
wananchi, watatafuta namna
ya kujiimarisha kuwapiga.
I t akuwa vi t a na vurugu
Inaendelea Uk. 10
10
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Makala
Al Shabab ibadili mbinu
Inatoka Uk. 9
Mashariki na Kati kwa ujumla.
Ugaidi wa kupangwa unaweza
kufanywa na watu wengine,
kisha inatangazwa kuwa hao
ni al-Shabab. Rejea tukio la
Westgate, Nairobi. Hakuna
mwenye akili yake timamu
anayeweza kuamini kuwa al
Shabab walitoka Mogadishu au
kokote walikokuwa wakaingia
na magari ya silaha Nairobi
wakashambulia na kuuwa
watu kisha wakatoweka bila
ya kukamatwa. Hakuna nchi
duniani yenye polisi, jeshi,
usalama wa taifa, inayoweza
kufanyiwa jambo kama hilo.
Hayo yakitokea, basi ni mambo
ya kupangwa. Serikali inajua.
Na hao wanaodaiwa kufanya
ugadi huo, sio. Yamefanywa na
watu wengine wanaojulikana,
waliotumwa, lakini anatafutwa
mtu wa kusingiziwa.
Momba s a na s e he mu
nyingine za Kenya yamefanywa
mashambulizi ya kigadi watu
wakauliwa kikatili, inasemwa
kuwa hao ni al Shabab.
Na ikifanyika hivyo, hiyo
inafanywa kama ushahidi wa
kuwekwa mikakati na njama za
kuwahujumu zaidi Waislamu.
Matukio hupangwa kama
zile Northwood Operations,
halafu matukio hayo hayo
ya kupangwa, hut umi ka
kuwapakazia ugaidi Waislamu
ili wapate kuhujumiwa zaidi.
Kwa kipindi sasa zimekuwa
zikisambaa habari nchini za
kujenga kitisho kuwa nchini
kuna al Shabab. Baadhi ya
vi j ana nao wakal i pokea
na huongea kama kitu cha
kawaida, bila kujua kuwa kama
ilivyokuwa kwa Boko Haram
kule Nigeria, kinachotafutwa
ni kujenga tu mazingira ya
kukubalika kuwa al Shababu
wapo nchini na hao ni magaidi.
Likishapigiwa propaganda
hilo likakubalika, watu wa
kufanya yale ya Westgate,
Na i r o b i wa t a p a t i k a n a
ki sha wat asi ngi zi a kuwa
ni Wai sl amu, al Shabab.
Hili nalo litawaumiza sana
Waislamu wa kanda hii, kama
tunavyoona Kenya. Huu ni
ukweli na mahesabu mengine
ya kulitizama suala hili kwa
sasa. Isiwe tu ushabiki kuwa
al Shabab, wapo sahihi kwa
sababu walitokana na Umoja
wa Mahakama za Kiislamu.
Lakini kama nilivyokwisha
andika mara kadhaa, ugaidi
huu wa al Shabab, ambao
hivi sasa unatumika kama
propaganda ya kusi mi ka
kitisho cha ugaidi Afrika
Mashariki, upo katika mkakati
wa kupandikiza machafuko
katika kanda hii na kufungulia
mlango Africom. Tunaj ua
uki sema Af ri com maana
yake nini na nini gharama
yake kwa nchi zetu. Sasa
hawa Africom wangeweza na
wanaweza kuingia hata kama
pasingekuwepo al Shabab.
Ingetafutwa namna nyingine.
Lakini kwa nini Waislamu
tusilione hili tutumike kirahisi
hivi na kwa maangamzi yetu
wenyewe na wenzetu katika
nchi zetu?
Hi i ni namna nyi ngi ne
ambavyo he s abu za al
Shabab na Jihad yake Somalia
zimebadilika. Katika mazingira
ka ma ha ya , pa na hi t a j i
kutafakari upya namna ya
kwenda. Na mimi naona hakuna
namna ya kuisalimisha Somalia
katika janga linaloikabili hivi
sasa zaidi ya kujitizama kama
Waislamu na kama Wasomali
na kutambua kuwa adui yao
ni mmoja. Adui ambaye hana
rafki wala adui wa kudumu
i l a masi l ahi yake tu. Na
katika hili, kwa sasa hivi, al
Shabab, serikali ya Somalia
na AMISOM, WOTE, pigia
msitari WOTE; wanatumiwa
kila mmoja kwa namna yake.
Manufaa ya jumla na kutimia
malengo, ni beberu ananufaika
kwa gharama ndogo, sio kama
ile ya Vietnam.
Kinachotakiwa hivi sasa ni
kuja na mkakati utakaomnyima
adui wa Wasomali kisingizio
cha kuwapiganisha Wasomali,
lakini pia kumnyima kisingizio
cha kutanua vita hiyo na
kuifanya kuwa ni vita dhidi
ya Waislamu Afrika Mashariki
chini ya mwavuli wa Vita Dhidi
ya Ugaidi.
Kamatakamata inayoendelea
hivi sasa kule Arusha, Mwanza,
Dar es Salaam na Zanzibar,
chimbuko lake ni hii inayoitwa
vita dhidi ya magaidi, al Shabab.
Leo kij ana wa Kitanzania
akishabikia msamiati huu al
Shabab, inatakiwa ajiulize,
itasaidia nini kuwanusuru
Waislamu wa Somalia na hali
mbaya inayowakabili? Je,
inasaidia kwa namna yoyote
katika hicho kinachotakiwa
na al Shabab kule Somalia?
Je, inasaidia nini kupeleka
mbele Uislamu Tanzania na
ulimwengu kwa ujumla na nini
madhara yake kwake binafsi,
kwa Waislamu na kwa nchi
yake?
Laki ni hat a Pol i s i na
vyombo vya dola vinavyofaya
operesheni hizi, vijiulize very
critically. Wasiwasi isije navyo
vikatumika kupepea agenda ya
mabeberu. Yasije yakawa yale
ya aliyekuwa Rais wa Yemen,
Ali Saleh, aliyewaruhusu askari
wa Marekani washambulie
wananchi wake halafu yeye
atatangaza kuwa ni Polisi
wa Yemen wanapambana na
magaidi!!!
K wa j i n s i m a m b o
yalivyokuwa yakienda katika
operesheni ya kukabiliana na
waliodaiwa kuwa magadi wa
al-Shabab walioingia Nakumati
(Westgate), na yaliyojiri baada
ya hapo, ilibidi mwandishi
mmoja ahoji: Nini alikuwa
akijua zaidi mkuu wa jeshi (la
Kenya) zaidi ya wenzake?
Almuhimu kuna mambo
yasiyokuwa ya kawaida yalijiri
ambayo yalionyesha wazi kuwa
kulikuwa na mchezo mchafu
katika tukio lile, hali iliyojenga
tuhuma kuwa baadhi ya wakuu
wa vyombo vya dola walikuwa
wanajua kinachoendelea ila
pale walikuwa wakizuga tu.
Sasa kama wakuu wetu
wa Polisi na Vyombo vya
Usal ama watakuwa kuna
mambo wanayajua zaidi, na
wakahiyari kuweka uzalendo
wao kando, hapana shaka
vikao vyao vya Mombasa na
operesheni zao zitafanikisha tu
malengo ya mabeberu kuliko
kusaidia nchi.
Hadharani watanadi kuwa
wanapambana na magaidi,
lakini mikakati yao, kama
itakuwa ni ile ya kupewa
kama aliyopewa Ali Saleh,
itakuwa ya kuchochea na
kul et a machaf uko kama
ambavyo Yemen inaendelea
kuchafuka, magaidi hawaishi
wala kupungukiwa silaha na
dhamira ya kuvuruga amani
ya nchi.
Al-Shabab na Mkataba
wa Hudaibiyah Somalia
Inatoka Uk. 9
isiyokwisha na hilo sio lengo
la Uislamu. Hawa wanahitaji
elimu sahihi kama walivyohitaji
Dawah wale makafiri wa
Madi nah na Makkah. Na
elimu nayo ina namna yake.
Ukimwendea mtu kwa mtizamo
wa kumwona hana maana,
kapotea, kafri japo katamka
Shahada, bila shaka naye
atajihami. Badala ya kusikiliza
unachomwambia na kukiweka
katika mizani, atakutizama
kama adui na kujiweka mkao
wa mapambano.
Msomaji mmoja anasema
kuwa haya yanayotokea
Waislamu kuuliwa na makafri
tunafurahi kwa sababu ni
nusratutashinda Inshaallah.
Nusura hii hata Mtume
aliahidiwa, lakini kutokana
na mazingira yaliyokuwepo
a k a f a n ya mk a t a b a wa
Hudaibiyah na Allah akamsifu
kwa uamuzi huo na kumuahidi
ushindi.
Kwa hali ilivyo, inawezekana
mazingira ya Al-Shabab kufkia
makubaliano na serikali ya
Somalia, yakawa magumu kwa
sababu ya mkono wa nje (kama
ilivyokuwa ile miafaka ya CCM
na CUF kupitia CCM Taifa na
Serikali ya Muungano).
Lakini j aaliya al-Shabab
wanatangaza kuwa wanaweka
silaha chini na kuunga mkono
serikali yao. Waingie mitaani,
watulie na hilo jina la al Shabab
walitupe kabisa. Wafanye kazi
ya Dawah na huduma za
kijamii!
RAIA wa Somalia akila mirungi.
11
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Makala
ALLAH ( s w) a me muumba
mwanadamu kat i ka umbi l e
bor a z a i di , a me mpa a ki l i
inayomtofautisha na mnyama na
akampa maarifa ya kutengeneza
mavazi.
Allah (sw) anasema.
Enyi wanadamu, haki ka
tumekuteremshieni nguo zifchazo
tupu zenu na nguo za mapambo, na
nguo za utawa ndizo bora. Hayo ni
ishara za Allah (sw) ili watu wapate
kukumbuka.
Enyi Wanadamu, shetani (Ibilisi)
asikutieni katika matatizo kama
alivyowatoa wazee wenu katika pepo,
akawavua nguo zao ili kuwaonyesha
tupu zao. Hakika yeye pamoja na
kabila lake wanakuoneni, hali ya
kuwa wao hamuwaoni. Bila shaka
sisi tumewajaalia mashetani kuwa
marafiki wa wasioamini. (Aaraf:
26-27).
Watukufu Waislamu, watu wengi
wataingizwa motoni kwa kumfuata
kwao Ibilisi na kufuata matamanio
ya nafsi zao. Ibilisi amekula njama
kuwapot eza wanadamu kwa
kuwashawishi wavue nguo zao na
waende uchi, ili wachukiwe na Allah
(sw), kama yeye alivyochukiwa
na waingizwe motoni pamoja na
yeye. Na ni njia hiyo aliyoitumia
kuwapoteza wazee wetu Adam na
Hawa.
Basi Al l ah (SW), anatuonya
tusimfanye shetani ndiyo kipenzi
chetu tukapotea. Allah (sw) anasema,
(Hali ya kuwa Allah sw) ameliongoa
kundi moj a na kundi j i ngi ne
limethibitikiwa na upotofu. Kwa
hakika waliwafanya mashetani kuwa
walinzi wao badala ya Allah (sw) na
wanadhani kuwa wameongoka.
(Aaraf: 30).
Muislamu asije akadhani kwamba
yeye bado hajajaaliwa kufanya mema,
au Allah (sw) ndiye alivyomtaka
apotee, ila kila aliyepotea amejitakia
mwenyewe upotofu kwa kumfuata
shetani na amepotoka kwa hiari
yake, kwani amepewa akili na
uhuru wa kuchagua haki au batili.
Na mtu akifanya maasi mwisho
wake atajiona yuko sawa, ndiyo leo
wanawake wanaokwenda uchi, wote
hao wanajiona wameendelea sana na
wanakwenda na wakati, hasara yao
duniani na akhera.
Makureishi walikuwa wanatufu
Alkaaba uchi na walijiona wako
sahihi. Allah (sw) akasema, Sema
ni nani aliyeharamisha mapambo
ya Allah (sw), ambayo amewatolea
waja wake. Na (nani aliyeharamisha)
vitu vizuri katika vyakula? Sema vitu
hivyo amewahalalishia Waislamu
(hapa) katika maisha ya dunia, (na)
vitakuwa vyao peke yao siku ya
kiama. Namna hivi, tunazieleza aya
kwa watu wajuao. (Aaraf:32).
Al l ah ( sw) , amesema ( Na
Allah sw) amekufanyieni nguo
zinazokukingeni na joto na (baridi
na amekufanyieni) nguo za chuma
zinazokukingeni katika vita vyenu.
Namna hivi anakutimizieni neema
zake ili mpate kutii. (Nahl: 81).
Tunapata mafunzo kwamba
Allah (sw) ndiye aliyetupa elimu
ya kutengeneza nguo, magari,
computer nk. ili tupate kuzidi kuwa
watiifu kwake, kinyume chake kila
tunaponeemeshwa, sisi ndio tunazidi
kukufuru!
Mavazi ya wanawake.
Al l ah ( sw) anasema, Ewe
Mtume! waambie wake zako na
mabinti (watoto) wako na wanawake
Stara ya mwanamke Muislamu
wa Ki i s l amu, waj i t er ems hi e
vizuri "Jalaabab", kufanya hivyo
kutawapelekea upesi wajulikane
(kuwa ni watu wa heshima ili)
wasiudhiwe. Na Allah (sw) ni mwingi
wa kusamehe na mwingi wa rehema.
(Ahzab: 59).
Aya hii imekuj a kulazimisha
wanawake wa Kiislamu wote kuvaa
hijaab, ni wajibu kama ilivyo swala.
La kushangaza ni kuona wanawake
wengi wa Kiislamu wanapuuza
fardhi hii kwa makusudi, halafu
wanategemea kupata pepo kwa
kumuudhi huyo anayemiliki pepo
hiyo.
Allah (sw) anasema tena, "Na
waambi e waumi ni wanawake
wainamishe macho yao na wazilinde
tupu zao, wala wasionyeshe uzuri
wao isipo kuwa unao dhihirika. Na
waangushe shungi zao juu ya vifua
vyao, wala wasionyeshe mapambo
yao, ila kwa waume zao, au baba zao,
au baba wa waume zao, au watoto
wao, au watoto wa waume zao, au
kaka zao, au wana wa kaka zao, au
wana wa dada zao, au wanawake
wenzao, au iliyowamiliki mikono
yao ya kuume, au wafuasi wanaume
wasio na matamanio, au watoto
ambao hawajajua mambo yaliyohusu
uke. Wala wasipige chini miguu yao ili
yajulikane mapambo waliyoyafcha.
Na tubuni nyote kwa Allah (sw)
enyi waumini, ili mpate kufanikiwa.
(Nuur: 31)
. Aya zi mekuj a kul azi mi sha
wanawake wa Kiislamu kuvaa buibui
na shungi, na anasema Jabir (ra)
kwamba aya hizi ziliteremshwa kwa
wanawake waliokuwa wakienda kifua
wazi, na miguu wazi wakionesha
mapambo yao kwa watu, ambao si
maharimu wao. Basi aya zinakataza
kwa mwanamke kuonekana mwili
wake ila uso na viganja vya mikono.
Na wamekatazwa kujipamba na
kutoka nje kuonesha mapambo yao
kwa watu wa mbali, ila kwa watu
waliotajwa kwenye aya. (Nuur:31).
Wanac huoni wa Ki i s l amu
wameorodhesha sharti za hijaab
kama ifuatavyo: Nguo iwe ya halali
Muislamu anatakiwa chumo lake liwe
la halali lisitokane na zinaa, ulevi,
kamari, wizi, riba, udanganyifu,
kuuza vinyago, muziki na biashara
za haramu. Allah (sw) amewahimiza
Mitume pamoja na waumini wao kula
rizki za halali na kuchuma halali,
na Muislamu anayechuma chumo
la haramu, basi dua na ibada zake
nyingine hazitokubaliwa, kwani
Allah (sw) ni mtakatifu, hakubali ila
halali.
Allah (sw) anasema, Enyi Mitume!
Kuleni vyakula vizuri na fanyeni
mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa
mnayoyatenda. (Muuminuun:51).
Akasema tena Enyi mlioamini!
Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni,
na mumshukuru Allah (sw), ikiwa
kwel i mnamuabudu Yeye tu.
(Baqarah:172).
Amesimulia Abuu Hurayra (ra),
kuwa Mtume (saw) amesema Allah
(sw) ni mzuri hakubali ila vitu
vizuri, na Allah (sw) amewaamrisha
waumini mambo aliyowaamrisha
Mitume, aliposema Enyi Mitume!
Kuleni vyakula vizuri na fanyeni
mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa
mnayo yatenda.
Akasema tena Enyi Mlioamini!
Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni
na mumshukuru Allah (sw) ikiwa
kweli mnamuabudu Yeye tu kisha
akataj a mtu aliyesafiri masafa
marefu mwenye manywele timtimu,
aliyejaa vumbi anainua mikono yake
mbinguni, akisema ewe Bwana ewe
Bwana, na chakula chake ni haramu
na nguo zake ni haramu na amekulia
kwenye haramu vipi atakubaliwa?.
(Muslim na Tirmidhy).
Hadithi inahimiza kula halali na
kuvaa nguo za halali na anayekula
haramu na kuvaa nguo za haramu
hatokubaliwa ibada zake.
Nguo isitiri mwili mzima: Sharti
jingine ni kwamba nguo yenyewe
iwe ni Jalaabab, yaani guo zito, pana
lenye kusitiri mwili mzima isipokuwa
uso na viganja vya mikono. Hijaab ina
sehemu mbili ukiacha nguo za ndani
(sketi na blauzi n.k.), nje avae buibui
pana lisilombana wala kuonyesha
mikatiko ya mwili wala lisipasuliwe,
halafu avae shungi litakalofunika
uso na kuteremka mpaka kifuani
chini ya matiti yake. Tofauti na vile
vitambaa vinavyofunika kichwa
tu na vikaitwa hijaab. Vitambaa
hivi vivaliwe ndani kabla ya kuvaa
shungi, Mtume (saw) alimwambia
Bibi Asmaa (ra), Ewe Asmaa! Hakika
mwanamke akishafikia kuwa na
hedhi (akibaleghe) haisihi kwake
aonekane (na mwanamme ajnabi) ila
hapa na hapa, akaashiria uso wake na
viganja vya mikono.(D4104 hadithi
hii imedhaifshwa na Ghuthaymin na
ikasahihishwa na Albany)
Katika hadithi hii pia tunajifunza
kwamba Bibi Asmaa (ra) alivaa nguo
inayoonesha ndani, kwa hivyo haifai
kuvaa nguo hiyo. Pia kuna hadithi
nyingi zaidi zenye kuonesha kuwa
wanawake wakati wa Mtume (saw)
walijifunika mwili mzima ila macho
tu kama alivyosimulia Ibn Abbas (ra)
na kupokelewa na Bukhari (SB 4759).
Ai sha (ra) anasema kwenye
Hi j a, wanawake wal i j i f uni ka
uso walipopitiwa na misafara ya
wanaume. (Mj 1833).
Wamehitilafiana Ulamaa katika
suala la kuonekana uso, baadhi yao
wanaona si lazima kufunika uso, na
wengine wanaona ni lazima. Ama
wanawake watakaonekana nywele,
kwa kusukana nje, au kichwa au
sehemu yoyote ya mwili ukiacha
uso na viganja vya mkono, hao wako
uchi kisheria na wanapata dhambi ya
kukaa uchi.
Amesimulia Abii Hurayra (ra)
kuwa amesema Mtume (saw),
makundi mawili ya watu ni watu
wa motoni, sijawaona (katika wakati
huu), watu wenye mijeledi kama
mikia ya ngombe wanawapigia
watu, na wanawake waliovaa nguo
lakini wako uchi, wamejipamba
na kujitakisha kwa wanaume, nao
wanaume wanawafuata kwa machafu,
katika vichwa vyao mna kama nundu
ya ngamia iliyolala, hawatoingia
peponi wala hawatonusa harufu
yake, pamoja na kuenea harufu yake
masafa kadha wa kadhaa (masafa ya
meli hamsini elfu) (SM 2124).
Hadi t hi i naonesha mi uj i za
mikubwa ya Mtume (saw) kuwajua
wale askari wanaopiga raia kwa
marungu bila makosa. Na kuwajua
wa na wa ke a mba o wa na va a
nguo zenye kubana na kuonesha
maumbile ya mwili, na wanaotoka
nje wamejipamba kwa lipstick,
piko, hina na nguo walizovaa ni za
marembo marembo, na katika vichwa
vyao, wana nundu ya ngamia, yaani
nywele zilofungwa na kuwekwa help
me, na kumfanya mwanamke awe na
vichwa viwili kimoja cha kimaumbile
na cha pili kama nundu ya ngamia,
na hiyo ni dalili moja ya watu wa
motoni. Nyengine ni kule kutoka nje
wamejipamba na kuonesha mapambo
yao kwa wanaume na kwenda kwa
maringo, wakitikisha viuno vyao ili
watakiwe na wanaume, wanaingia
pia wanawake wanaokata viuno
katika dufu na ngoma na miziki
mbele ya wanaume, kwa hivyo
wanenguaji wote ni watu wa motoni.
Mtume wetu Muhammad (saw)
alioneshwa watu hao wa motoni na
Mola wake, kabla yeye kuwaona
kwa macho, kwani wakati wake
kulikuwa hakuna askari wapigao
watu marungu bila kosa, wala
wanawake wenye nundu za ngamia
vichwani mwao, ndiyo kwanza sasa
yanaenea hayo mahelp me, ila yeye
aliyaeleza haya zaidi ya miaka elfu
moja nyuma.
12
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
12
MAKALA/Mashairi
ADUI YANGU KAFIRI
Wallahi Mungu Mmoja, Allahu nawaambia
Ya haqi dini ni moja, hakika islamiya
Qur-ani yake hoja, aloibeba nabiya
Wallahi mpinga haya, bila shaka ni kafri
Wallahi asokubali, kuishi kwa qur-ani
Anomkana jalali, na kutunga yake dini
Akajituma kwa hali, kuftini fur-qani
Wallahi huyo kafri, haitajii fatua
Nalitazameni hili, pitisheni sikioni
Kisha nipeni akili, kama ninyi waumini
Kipikwangu kisawili, nikipe penzi moyoni
Kisha Allah anikiri, kwamba kwake ni mkweli
Isawili qur-ani, au sura ya kafri
Kipi niweke moyani, kwa mapenzi kishamiri
Nimpende Rahamani, au aje kadinari
Wallahi semeni kweli, ya penzi la muumini
hebu semeni yaqini, na inishike akili
Nampendaje kafri, asompenda Jalali
Anosema qur-ani, sio kitabu cha kweli
Na kwangu iwe amani, kwa Allah niwe mkweli
Wallahi tena wallahi, na inikwepe kichwani
Na wallahi ni siwahi, kuthubutu akilini
Hata kwa yao sabahi, inikwepe sikioni
Kafri kwangu aduni, anochukiza moyoni
Anokichukia Allah, vipi mimi nikipende
Alokilaani Allah, vipi nikikumbatie
Champiga vita Allah, nikiachie kishinde
Wallahi katu salama, Amani ni kusilimu
Sikieni makafri, ninyi ni adui zetu
wallahi twawakariri, ninyi ni wabaya wetu
Chuki imesha dhihiri, katu hatufchi kitu
Wallahi salama yenu, Aminini qur-ani
Huu ni wajibu wetu, kukuchukieni hasa
Ninyi kwetu sio watu, sisemi kwa kupepesa
Tumewaita kwa utu, muje mola mtakasa
Wallahi salama yenu, aminini qur-ani
yote mumedhihirisha, jinsi musivyotupenda
mazito na yakutisha, yote mumesha tutenda
bado chuki mwazidisha, vitimbi na zenu hinda
wallahi salama yenu, aminini qur-ani
hakika mukisilimu, twaweka chini siraha
tutapitisha hukumu, kwa wale wenyemzaha
kwa kila muisilamu, aabudu kwa fasaha
dola tutaitangaza, qur-ani itawale

Abu Nurain Al-tanza
SHUKURANI zot e
anastahiki mwenyezi
Mungu, Mola mlezi wa
ulimwengu na rehema
na amani zimfkie yule
ambaye ni rehema kwa
ul i mwengu Nabi i
Muhamad na jamaa
zake na Sahaba zake
wote.
Ama b a a d a ya
utangulizi huu mfupi,
kwa hakika Uislamu
umetoa zawadi kwa
bi nadamu j uu ya
misingi ya kuishi kwa
amani kati ya watu
wa mataifa na jamii.
Hii tofauti ya viumbe
ni ma pe nz i ya ke
mwenyezi Mungu kwa
viumbe wake kwa kauli
yake mwenyezi Mungu
mtukufu (na kama Mola
wako angal i penda
angaliwafanya watu
wot e kuwa umat i
mmoja, lakini amewapa
aki l i na nguvu ya
kumia akili zao hizo
watakavyo ikiwa kwa
wema au kwa ubaya,
kwa hivyo wataendelea
kuhitilafiana) Surat
Hud-Aya ya 118.
Kwa vile ametaka
mwenyezi Mungu watu
watafautiane, wawepo
Waislamu na wasio
Waislamu na wawepo
wa n a o z u n g u mz a
lugha mbalimbali na
wanaoabudu kwa
tamaduni mbalimbali,
pamoj a hawa wote
wapo kat i ka ardhi
ambayo ni pana.
Hivyo basi, hapana
budi kuwepo mpango
wa kuishi kwa amani
wot e kwa pamoj a
kwa njia ya usalama
inayohifadhi haki zote
na wajibu wote bila ya
mizozo au malumbano
au mgongano, hivyo
amani inatokana na
Uislamu nayo ndio
shina la kila mahusiano
ya watu wote.
Na Mt ume ( saw)
Kuishi kwa amani katika Uislam
alikuwa akiishi na kila
ai na ya watu wal i o
Waislamu na wale wasio
Waislamu kwa heshima
na kuthamini haki zao
na uhuru wao. Mifano
juu ya hilo ni mingi
sana, majirani katika
Msikiti wake mtukufu
Ma di na ul i pof i ka
muda wa swala yao
walisimama kuelekea
Mashariki wa swala.
Hapo walikusudia
Waislamu kuwazuia,
l a k i n i M t u m e
( saw) akawakat aza
wa s i wa z u i e n a
akawaacha waswal i
swala zao kwa utulivu,
tena kati ka Msi ki ti
wake Mtume (saw)
alikuwa Mtume (saw)
akiwatembelea majirani
zak. Toka kwa Anasi
(r.a) (kwamba kijana
wa Kiyahudi alikuwa
akimtumikia Mtume
( s a w) a l i po umwa
alimtembelea Mtume
(saw) akamshawishi
kusilimu na akasilimu)
ameipokea Bukhari.
Uislamu unahimiza
kugawana vi tu vya
ushirika na wale wasio
Waislamu, vitu ambavyo
vinatuwezesha kuishi
pamoja kwa usalama
na amani hata ikiwa
pamoja na makafiri,
tena wale wanaofanya
ujeuri na kwa kutilia
nguvu hili, kwa hakika
al i amr i s ha Mt ume
(saw) mkataba ambao
wal i uasi si maj ahi l i
na lengo lake kubwa
lilikuwa ni kuunganisha
kunusur u hal i , na
mwenye kudhulumiwa
n a k u u t h i b i t i s h a
uadilifu akasema juu
ya kuinusuru haki, na
mwenye kudhulumiwa
na kuithibitisha uadilifu
akasema juu ya hilo.
( Lai t i i ni ngeal i kwa
katika jambo kama hili
basi ningeitika).
Ameipokea Imamu
B u k h a r i h a k i k a
aliotesha Mtume (saw)
vyanzo vya serikali ya
Kiislamu nayo ndiyo
mwanzo wa kudhihiri
umma wa Kiislamu
Madi na Munawara
kwa kutungika mkataba
huo, ambao unampa
Mya hudi ha ki na
Muislamu kwa amani
na salama na uhuru wa
kuabudu na kuilinda na
kuitetea Madina kwa
kushirikiana dhidi ya
adui yeyote anayetoka
nj e. Wayahudi na
Waislamu juu ya hilo
wawe sawasawa na
miongoni mwa sharti
la makubaliano hayo ni
(wawe nayo tuliyonayo
na wao wawe na tuliyo
nayo sisi). Na ikaj a
kuthamini uhuru wa
dini (ibada), uhuru
wa dini kwa amani na
kumdhibiti kila yule
mwe nye k umt e s a
Muislamu au Myahudi.
Na hii inamaanisha
kwamba serikali ya
Kiislamu imeenea kwa
Wai sl amu na wasi o
Waislamu kwa sharti za
kushikama na vidhibiti
vya sher i a na vya
kiakili, ikiongozwa na
amani na kukosekane
uadui na hayo ndiyo
aliyoamrisha mwenyezi
Mungu kwa waumini
pale aliposema, (Enyi
mlioamini ingieni katika
hukumu za Uislamu
zote, wala msifuate
nyayo za shetani kwa
hakika yeye kwenu ni
adui dhahiri) al- Baqara
aya ya 208.
Hakika serikali ya
Kiislamu, anaweza mtu
kuishi kwa amani na
usalama chini ya dola
hiyo ikiwepo nidhamu
ya mahusiano mema
kati ya mataifa yote ya
jamii na wakashikamana
wote kwa jambo hilo.
Kwa yakini alihimiza
Mtume (saw) juu ya
kukubali suluhu ya
Hudabiya kwa pamoja
kulikuwa ndani yake
kuna mas har t i ya
kijeuri na ya dhulma
kwa Wai s l amu na
h a k uf a n ya h i v y o
isipokuwa ni kuitetea
sulhu na kuepusha vita
na kumwaga damu.
Kwa hakika dini ya
Uislamu imekuja kwa
amani na ulingano wake
umesimamia j uu ya
kuishi kwa amani kwa
viumbe vyote, mpaka
pale atakapoichukua
mwenyezi Mungu ardhi
hii na vilivyomo ndani
yake na mwenyezi
M u n g u n d i y e
muwezeshaji.
M a k a l a h i i
imeandikwa na Sheikh
Mohamed Obaidillahi
Mohd- mwalimu wa
al-Azhari Sharif Tawi
la Tanzania.
Sheikh Mohamed
Obaidillahi Mohd-
13
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
MAKALA
BINGO. Dai hili la kuwa (Waziri
Mkuu wa Iraq ni) mdini ni
utapel i . Mpango mzi ma ni
Marekani kuweka majeshi yake
pale ambako mafuta yapo. Huwa
siku zote suala linarudi katika
mafuta, au sivyo? Waziri wa
Ulinzi Chuck Hagel alielezea
suala hilo kikamilifu mwezi Julai
2007 akisema:
Watu wanasema hatupiganii
mafuta.. Bila shaka tunafanya
hivyo. Wanazungumzia maslahi
ya kitaifa ya Marekani. Hivi
unadhani wanaongelea nini?
Hatuendi pale kutafuta miti ya
Krismasi.
Hivyo ni jinsi gani Obama
kuwapiga mabomu mujahidina
wa ISIS nje ya Ebril (Iraki ya
Kaskazini) inaendana vipi na
msimamo wake wa awali kuwa
hatasaidia kuilinda Irak labda
kuwe na maendel eo kati ka
mazungumzo ya kisiasa? (Au
tuseme, hadi al-Maliki aondolewe
madarakani).
Ni kweli kwamba alibadili
wimbo haraka sana. Ila, kwanini?
Ni mafuta, ndiyo sababu. Angalia
kwa upande huu: Kuna sababu 10
kwanini Obama akapiga mabomu
vituo vya ISIS nje ya Ebril, nazo ni:
1. ExxonMobil
2. Chevron
3. Aspect Energy
4. Marathon Oil Corporation
5. Hi l wood Internati onal
Energy
6. Hunt Oil
7. Prime Oil
8. Murphy Oil
9. Hess Corporation
10. HKN Energy
Hivyo, kuna uj umbe gani
hapo? Hivi Obama anapeleka
ujunbe gani wa simu wa sera yake
kuhusu ISIS?
Ni rahisi. Mnaweza kuua
Waarabu au Wakristo idadi yoyote
mnayotaka, lakini mkitia kidole
katika kisima kimoja cha mafuta,
tutawachakaza hadi msionekane
tena. Ujumbe si huo?
Kusema kweli ujumbe ndiyo
huo. Kwa hali yoyote ile, sababu ya
Marekani kuondoka Irak haikuwa
kwa sababu Obama alikuwa
anataka kutekeleza ahadi zake za
kampeni (ya urais). Hapana! Hiyo
ilikuwa tu ni kujipendezesha kwa
wapiga kura. Sababu halisi ni
kuwa Obama alitoa usimamizi wa
shughuli zote kuhusu Irak kwa
naibu wake Biden mara alipoingia
madarakani, ambaye alivurunda.
Kuna mchunguzi mmoj a wa
gazeti la New Yorker aliliona hilo:
Nilipokuwa nawahoji watu
kuhusu Biden kuandika kitabu,
washauri wake walisema ....
hawakuwa kamwe wamemtaka
al-Maliki, ila walimuunga mkono
kwani walijiunga naye walio
wengi zaidi nchini Irak. Ila
Kwanini Obama alitaka al-Maliki aondolewe-2
Na Mike Whitney
MWISHO wa sehemu ya kwanza ya makala hii
ilimalizia kwa kusema kuwa, mwandishi wa Press
TV alikuwa akiainisha kuwa haamini kuwa Marekani
imeacha wazo la kuziweka chini ya udhibiti wake
kamili, akimnukuu mchambuzi wa kujitegemea,
Soraya Sepahpour-Ulrich, akizungumza na Pess TV
ya Iran. (Sasa endelea)
RAIS Barack Obama wa Marekani.
utashi huo kuhusu siasa za Irak
kunaonyesha anachofuatilia Biden
.... Biden alitabiri kuwa al Maliki
atatia saini makubaliano ya hadhi
ya majeshi ya Marekani nchini Irak
ambayo yangewezesha majeshi
kubakia nchini humo. Maliki
anataka tuendelee kubaki kwa
sababu haoni Irak itakavyokuwa
tukiondoka, Biden alisema,
kwa mujibu wa washauri wake.
Nina uhakika na hilo; tunaweza
kupi nga, naweka umakamu
wangu mezani Maliki ataendeleza
makubaliano ya hadhi ya majeshi
ya Marekani.
Utabiri huu haikufikiwa. Al-
Maliki hakuelekea msimamo huo
na hivyo majeshi ya Marekani
yakaondoka Irak Desemba 2011.
Mkasa ulipoingia hatua nyingine
kiangazi chepesi mwaka huu,
Ikulu ya Marekani haikumpinga
al-Maliki kwa uwazi, lakini
ikaeleza wazi kuwa iko tayari
kwa mabadi l i ko. Kwa hal i
yoyote ile, hisia hiyo ilikuwa
imechelewa sana kuelezwa, na
wiki zilizofuata, mchakato wa
kujitenga kabisa kwa Marekani
na al-Maliki ukaanza kukamilika.
Obama amerudisha ndege za
kijeshi za Marekani katika anga
za Irak, akiruhusu mashambulio
kulinda ofsi za kidiplomasia za
Marekani na vikundi vya walio
wachache katika dini na makabila,
na kuzuia wapiganaji wa ki-Sunni
wasisonge mbele kuelekea mji wa
ki-Kurdi wa Erbil.
Hivi karibuni, shimo jingine
la kuangukia kisiasa lilifunuka
Baghdad: Rais amemteua Waziri
Mkuu mpya, Haider al-Abadi,
kumbadilisha al-Maliki. Lakini
al -Mal i ki akakataa kuachi a
ma da r a k a ; a k i z ung umz a
katika televisheni alieleza azma
ya kutumia nj ia za kisheria
kupambana na uamuzi huo,
huku vikosi vya jeshi vinavyomtii
vikionekana kusimama ulinzi
katika maeneo muhimu jijini
Baghdad. (Kuachana: Maliki na
Biden, gazeti la New Yorker)
Soma aya yote hiyo upya; ndiyo
kuna gundi kopo zima, hapo. Biden
aliboronga katika makubaliano ya
kubakiza majeshi, hivyo Obama
akaamua kumwondoa Maliki.
Punde baadaye, mpango wa
kumbadilisha Maliki kwa Haider
al-Abadi ukaanza kusukumwa.
Ni vyema kukumbuka kuwa
Obama ameshambuliwa katika
vyombo vya habari kwa zaidi ya
mwaka mmoja kuwa kuondoa
askari nchini Irak. Ukitumia
Googl e kuangal i a makal a
kuhusu Makubaliano na Maliki
kuhusu majeshi utaona mamia
ya makala za kumshambulia
Obama kuwa ndiye aliyeipoteza
Irak, au aliyeitelekeza Irak, au
aliyeshapulia mkasa wa kujitoa.
Kwa wachambuzi wahafidhina
nchini Marekani, suala siyo
vita yenyewe, ila ilivyoisha.
Wanamlaumu Obama kwa kila
ki tu ki l i chokwenda mrama.
Ndiyo maana Obama akataka
kumwondoa Maliki na kurudisha
askari nchini humo. Ni juhudi za
kuwatuliza wakinzani zake wa
mrengo wa kihafdhina.
Bila shaka, hali kuwa Obama,
Bi den, Ker r y na wengi ne
katika utawala huu wameeleza
kumuunga mkono al -Abadi
ambaye kimsingi haj ulikani,
imesababisha tuhuma kuwa
mashirika ya ujasusi (na labda
hata Wizara ya Mambo ya Nje)
yamekuwa yakipanga mipango
nyuma ya pazia ya kumuondoa
al-Maliki. Lakini Obama anakataa
kabisa kuwa alihusika kwa njia
yoyote. Unaweza kutazama
makala katika gazeti la Guardian
( l a Ui nge r e za) : Maof i s a
wa Ma r e ka ni wa me kuwa
wakikanusha kushiriki katika
mpango wa kumwangusha waziri
mkuu Nouri al-Maliki wa Irak,
licha ya kuwepo simu mfululizo
za Barack Obama na Joe Biden
kuunga mkono kuteuliwa kwa
mbadilishaji wake... Utawala wa
Obama umekuwa ukiongeza ukali
katika ukinzani wake kwa Maliki
katika wiki chache zilizotanguliaa,
akidai ndiye chanzo cha fukuto
l a uasi wa Ki i sl amu nchi ni
Irak hivi sasa, kwa kushindwa
kutawala wa maslahi ya waanchi
wote wa Irak.... Obama alikuwa
amewaelekeza maofisa wake
wa diplomasia Washington na
Baghdad kutafuta mbadal a
kwa al-Maliki. ............ (Obama)
pia alininginiza uwezekano
wa msaada wa moja wa kijeshi
dhidi ya ISIS, kama waziri mkuu
mpya Haider al-Abadi akifaulu
kuunda serikali inayodumu.
Lakini maofisa (wa Obama)
walikanusha kuwa Marekani
ilikuwa inashindilia mabadiliko
ya utawala, wakisisitiza badala
yake ilikuwa inaunga tu mkono
mkakati wa kikatiba na siyo
kumuunga mkono wanasiasa
binafsi huko Baghdad. (Marekani
yakataa kuhusika na mpango wa
kumwondoa waziri mkuu Nouri
al-Maliki, gazeti la Guardian,
mapema mwezi huu)
14
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
MAKALA
UMAR Al - Khatab, Mwenyezi
Mungu amuwie radhi, katika
mwaka 636 alikuwa kiongozi wa
kwanza wa Kiislamu kuikomboa
Al - Quds (Jerusalem).
Wakati wa Ukhalifa wake,
majeshi ya Waislamu baada ya
kujipanua nje ya Rasi ya Arabuni,
yalifika kwenye milango ya
Jerusalem na kuuzingira mji huo.
Khalifa Umar Al - Khatab (r.a)
alikuwa na dhamira (mission)
ya kuikomboa Jerusalem kwa
sababu ni mji ambao ndiyo
makazi ya Masjid Al - Aqsa
(Msikiti wa tatu kwa utukufu
katika Uislamu), ambao ulikuwa
Qibla cha kwanza kwa Waislamu.
Umar mwenyewe alisafri mpaka
Jerusalem kusimamia ukombozi
wa mji huo mtukufu.
Kiongozi wa pili wa Kiislamu
kufanya hivyo alikuwa Salahuddin
Ayyubi mwaka 1187, kufuatia
mapigano makali na majeshi
ya Crusade (vita vya msalaba)
kutoka Ulaya. Wanahistoria
wenyewe wa Ulaya wanakiri
kwamba mitaa ya Jerusalem
ilijaa damu ya Waislamu, wakati
majeshi ya Crusade yalipoingia
kwenye mji huo.
Ilikuwa ni Salahuddin Ayyubi,
ambaye hatimaye aliwaunganisha
Wai sl amu kut oka maeneo
mbalimbali na kuunda jeshi
moj a l enye nguvu chi ni ya
kiongozi mmoja, ili kuyakabili
majeshi ya Crusade. Waislamu,
wakiongozwa na Salahuddin,
h a t i ma y e wa l i f a n i k i wa
kuyafurusha majeshi ya makafri
kwenye ardhi tukufu, ikiwa ni
pamoja na kuukomboa Masjid
Al - Aqsa. Kwa mara nyingine
tena, Al - Quds ikarejea kwenye
himaya ya utawala wa Kiislamu.
Lakini leo, Masjid Al - Aqsa
na ardhi tukufu uliopo Msikiti
huu, vinakaliwa na majeshi ya
makafiri. Hali hiyo imekuwa
hivyo tangu mwaka 1917, wakati
Waingereza walipodhibiti eneo
hilo kutoka kwa dola ya Kiislamu
ya Uthmaniyya, ambapo baadaye
ikafuatiwa na ukaliaji kimabavu
wa Wazayuni kuanzia mwaka
1948, wakati Israel ilipoundwa
na mataifa ya Magharibi, iwe
kama kurunzi lao (satellite state)
kwenye eneo la Mashariki ya Kati.
Ki nac hoker a zai di kwa
Waislamu, miaka mingi mno
imepita, tangu eneo hili tukufu
likaliwe kimabavu na makafri,
i ki l i ngani shwa na ki pi ndi
ambacho Makruseda walikalia
eneo hili, kabla Salahuddin
Ayyubi hajalikomboa na kuliweka
tena mikononi mwa Waislamu.
Insha Al l ah kutakuwa na
ukombozi wa tatu wa ardhi hii
tukufu chini ya amri ya Muislamu
mmoja, ambaye jina lake litakaa
katika historia pamoja na watu
Wako wapi akina Salahuddin Ayyubi?
Said Rajab wazito kama Umar Khatab (r.a)
na Salahuddin Ayyubi.
Bado haijafahamika shujaa
huyu wa Kiislamu atatokea
upande gani wa ulimwengu.
Kila Muislamu duniani lazima
afahamu kwamba Wapalestina
wanahitaji kukombolewa, siyo
kusikitikiwa na kuonewa huruma
peke yake! Na wa kuleta ukombozi
huo ni ndugu zao Waislamu, siyo
umoja wa mataifa, Marekani wala
Arab League.
Wapal es t i na wamekuwa
waki i shi mai sha ya mateso
chini ya ukaliaji kimabavu wa
Mazayuni, ambao wamepora
ardhi zao na kuwanyanganya
rasilimali zao na kuwafanya
waishi kama wako gerezani
kwenye maeneo ya Gaza na
Ukingo wa Magharibi. Kimsingi,
wanyama wanahudumiwa vizuri
zaidi kuliko Waislamu hawa wa
Palestina!
Hakuna kiasi chochote cha
hisani kinachoweza kuwanusuru
Waislamu hawa. Ni kuondoa tu
ukaliaji kimabavu wa Mazayuni
ndiyo nusura yao. Kwa madhila
makubwa yanayowapata ndugu
zetu hawa, hivi kitu gani hasa
kinachowazuia mashujaa wa
Kiislamu duniani leo, kuingilia
kati na kuikomboa ardhi tukufu
ya Al - Quds na Waislamu wake?
Kabla ya mapigano ya Hatin
ndani ya mwezi Mtukufu wa
Ramadhan, ambayo yalipelekea
ukombozi wa Al - Quds, ambapo
jeshi la Waislamu likiongozwa
na Salahuddin Ayyubi, lilipata
ushindi mkubwa. Washauri wa
Salahuddin walimtaka asubiri
mpaka mwezi wa Ramadhan
uishe, ndipo waanze kumkabili
adui. Lakini Salahuddin, baada
ya kutafakari kwa kina kuhusu
umuhimu wa jambo hili kwa
Uislam, na wajibu uliowaangukia
Wai sl amu kuchukua hatua,
alikataa na kuendelea na mipango
yake.
Majibu yake yalikuwa haya:
Maisha ya binadamu ni mafupi
sana, kifo hakina miadi, na
kuwaacha wavamizi kwenye
ardhi za Waislamu kwa zaidi
ya siku moja wakati uwezo wa
kuwafurusha tunao, ni kitendo
kisichokubalika, ambacho siwezi
kukivumilia. Kwa msingi huo,
Salahhudin Ayyubi aliingiza
askari wake vitani. Hakutoa
visingizio wala sababu hewa!
Leo hii, mashujaa wa Kiislamu
duniani, walio katika nafasi ya
kuchukua hatua, wanapaswa
kujifunza si tu kwa Salahuddin,
bali kutoka kwa Mtume wa
Mwenyezi Mungu mwenyewe.
Katika kipindi cha Salahuddin
Ayyubi, dola ya Kiislamu ilikuwa
bado ingalipo, ingawa ilikuwa
imegawika mno na Salahuddin
ndiye aliyeiunganisha kwanza,
kabla hajaanza kukabiliana na
Makruseda.
Lakini wakati wa kipindi cha
Mtume wa Mwenyezi Mungu,
yeye ndiye aliyefanya harakati
za mwanzo kusimamisha dola
hii na iliposimama tu, ndipo
vita vya Uislamu vilipoanza.
Na Mwenyezi Mungu Mtukufu
amewabainishia wazi mashujaa
wa Kiislamu duniani, kuhusu
umuhimu, uzito na mazingira ya
mapambano haya katika njia yake:
Mwenyezi Mungu amenunua
kwa Waislamu nafsi zao na
mali zao, ili na yeye awape
Pepo.Wanapigana katika njia
ya Mwenyezi Mungu, wanaua
na wanauawa. Hii ndiyo ahadi
aliyoiweka (Mwenyezi Mungu)
katika Taurati na Injili na Quran.
Na ni nani atekelezaye zaidi ahadi
yake kuliko Mwenyezi Mungu?
Basi furahini kwa biashara yenu
ml i ofanya naye (Mwenyezi
Mungu). Na huko ndiko kufuzu
kukubwa Qur (9:111).
Changamoto hizo bado ziko
mpaka leo na zinahitaji kujibiwa
na mashuj aa wa Ki i sl amu
ul i mwenguni . I l i kuweza
kujibu changamoto hizo, lazima
Waislamu waweke imani yao
kikamilifu kwa Mwenyezi Mungu,
waondokane kabisa na hofu
za kidunia na wachukue hatua
za kujinusuru, wakijuwa wazi
kwamba Mwenyezi Mungu yuko
pamoja na wale wanaopigana
kweli katika njia yake.
Na tena wale Waislamu wenye
uwezo wa kuchukua hatua
za kuwanusuru ndugu zao
wa Gaza wasisahau kwamba
kupuuzia kutekeleza jukumu hilo
kutasababisha hasira za Mwenyezi
Mungu ziwaangukie. Mwenyezi
Mungu anasema ndani ya Quran:
Je! Wakati haujafka tu kwa wale
walioamini kwamba nyoyo zao
zinyenyekee kwa kumkumbuka
Mwenyezi Mungu na kwa mambo
ya haki yaliyoteremka? Wala
wasiwe kama wale waliopewa
kitabu zamani (Mayahudi na
Manasara), na muda wao (wa
kuondokewa na Mitume); kwa
hivi nyoyo zao zikawa ngumu,
na wengi wao wakawa waasi
Qur (57:16)
Nilishawahi kuandika huko
nyuma, raia wa kawaida hawawezi
kupambana na jeshi la mayahudi
linaloangamiza ndugu zetu wa
Gaza. Raia wa kawaida duniani
kote wameshaonyesha hisia zao za
kupinga unyama wa Israel kupitia
maandamano na matamko yao.
Hawana nguvu zaidi masikini ya
kuwanusuru Wapalestina kuliko
hiyo ya kupaza sauti!
Lakini watawala wa nchi za
Kiislamu na majeshi yao wana
uwezo mkubwa wa kuchukua
hatua zinazofaa kukomesha
maangamizi hayo. Lakini, kwa
masikitiko makubwa, hawachukui
hatua za kurekebisha hali hiyo,
kutokana na sababu wanazojua
zaidi wao wenyewe! Kwa sababu
hiyo, niwakumbushe kuhusu siku
ambayo watasimama mbele ya
Mola wao, wakisubiri hukumu
ya mambo waliyoyatenda hapa
duniani, na yale waliyoacha
kuyatenda.
Mal i , umaarufu, heshi ma
na hadhi wanayotafuta hapa
duni ani hawat aenda nayo
kaburini isipokuwa amali zao.
Angalau leo wanayo fursa ya
kujiwekea amali njema, kwa
kuwanusuru ndugu zao wa Gaza,
lakini kesho Mwenyezi Mungu
anaweza kuwaondolea fursa hii
adhimu, bila wenyewe kutambua,
na kujikuta wamekula hasara
ya kudumu Akhira. Mwenyezi
Mungu anasema:
Mna nini hampigani katika
njia ya Mwenyezi Mungu na
(katika kuwaokoa) wale walio
dhaifu - katika wanaume na
wanawake na watoto - ambao
husema: Mola wetu! Tutoe
katika mji huu ambao watu wake
ni madhalimu na tujaalie tuwe
tuna mlinzi anayetoka kwako na
tujaalie tuwe na wa kutunusuru
anayetoka kwako Qur (4:75).
WAPALESTINA wakienda kuzika baadhi ya maiti waliouawa na
majeshi ya Israel, Gaza hivi karibuni.
15
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Makala/Habari
Tapeli wa kusilimu akamatwa tena Msikitini
Inatoka Uk. 16
la Donad Antony Charles na
kwamba anataka kusilimu.
Alionana na Imam wa Msikiti
huo Sheikh Alli Shaaban na
kumweleza kuwa yeye ni Mkiristo
na kwamba anataka kusilimu.
Imam huyo alimkabidhi Bw.
Donald kwa Ustadhi Mwalaa,
ambaye alimpokea na baada
ya swala ya Alaasir, alisimama
na kuwatambulisha waumini
kuwa kuna ndugu yao Donald
ameamua kutoka katika Ukristo
na kuingia katika Uislam. Kijana
Donald alishachagua jina jipya la
kusilimu na kwamba angependa
kuitwa la Mussa Antony Charles.
Kwa bahat i , t apel i huyo
al i gundul i wa mapema na
muumini mmoja aliyetambulika
kwa j i na l a Sei f , ambaye
aliswali katika msikiti huo na
ambaye alishuhudia tukio la
awali kukamatwa mhalifu huyo
siku za nyuma huko Mbagala
akijitambulia vivyo hivyo katika
msi ki t i ni kuwa ni Mkri st o
anayetaka kusilimu.
Muumini huyo alimfahamisha
Ustadhi Mwalaa kuwa kijana
huyo ni tapeli maarufu na habari
zake ziliwahi kuripotiwa katika
gazeti hili (An nuur) mwaka jana
na tahadhari ilitolewa.
Baada ya hapo, I mamu
aliamuru tapeli huyo akamatwe
na kupelekwa kituo cha Polisi
Pangani Ilala Jijini Dar es Salaam
kilichopo mbele kidogo ya Msikiti
huo.
Hapo pol i si wal i muul i za
mhalifu huyo kama yeye ni
Mkiristo au Muislamu na akajibu
kuwa yeye ni Mkristo. Alipoulizwa
kama alishawahi kupata kipa
imara, akajibu ndio.
Polisi walimtaka aeleze nini
maana ya kipa imara, hakujibu.
Waliendela kumhoji kijana huyo
kwamba ni kwanini anasilimu
mara kwa mara na kwamba, hajui
kuwa kufanya hivyo anachezea
imani za watu? Mhalifu huyo
alijibu kuwa anafanya hivyo
kwasababu ya njaa!
Walimuuliza aliposilimu mara
ya kwanza huko Tabata alipewa
nini, akajibu kuwa alipewa fedha.
Wewe kweli ni tapeli, huyu
anaweza kuwa kwao hakutoka
vizuri, kuchezea Imani za dini
nyingine ni hatari, bahati yako
ungekamatwa msikiti wa Idrisa
Kariakoo ungefikishwa kituoni
na ngeu au uko hoi, pale hawana
mchezo alisema askari mmoja
kituoni hapo.
Siku za nyuma kijana Donald
Anthony Charles, aliwahi kusilimu
katika misikiti mbalimbali jijini
Dar es Salaam zaidi ya mara nane.
Aliwahi kukamatwa mwaka
jana huko Mbagala akiwa katika
zoezi lake hilo hilo la kusilimu.
Baadhi ya waumini wanaofahamu
uhalifu wake kumgundua kuwa
ni mhalifu yule yule aliyekuwa
akitafutwa huko Tabata akidaiwa
kutaka kusilimu, lakini kabla
ya zoezi la kusilimu kufanyika,
wa umi ni wa l i gundua na
alikamatwa na kupelekwa katika
Msikiti alioanza kusilimu wa Al-
Masjid Bilal, Tabata Ugombolwa,
Kata ya Segerea Wilayani Ilala
Jijini Dar es Salaam.
Alisilimu msikitini hapo akiitwa
John Antony Charles na kuchagua
jina la Shaibu Antony Charles.
Alipofkishwa katika msikiti huo
wa Bilal, alipelekwa katika Ofsi
ya Serikali ya Mtaa Ugombolwa,
Kata ya Segerea katika Manispaa
ya Ilala na hapo akapelekwa kituo
cha polisi kilichokuwa karibu kwa
hatua zaidi za kisheria.
RAMALLAH, (WAFA) Foreign
Mi ni ster Ri ad al -Mal ki cal l ed
Wednesday to investigate the possible
involvement of foreign volunteers,
who serve in the Israeli occupation
army and took part in the latest
Israeli aggression on Gaza, in the
perpetration of war crimes.
Al-Malki wrote to UN Secretary-
General Bani Ki -moon and to
the governments of other states,
urgi ng t hem t o assume t hei r
responsibilities and reminding them
of their obligations with regard
to implementing the international
humanitarian law, human rights law,
four Geneva Conventions along with
their protocols.
In his leter, Al-Malki pointed out
that after cooperating with human
rights organizations, it has become
apparent that foreign nationals have
served in the Israeli occupation army,
participated in the recent military
aggression and commited war crimes
in Gaza Strip, urging these states to
prosecute their nationals conscripted
in the Israeli army and hold them
accountable.
Thousands of soldiers with dual
nationality are conscripted in the
Israeli occupation army under the
Machal and Sar-El programs. The
Mahal program enables young Jews
aged 18 to 24 years from around
the world who don't have Israeli
citizenship to volunteer for the Israeli
occupation army. They serve in
full combat and support roles for
one-and-a-half years in order to get
temporary residency status.
Sar- El i s a program j oi nt l y
implemented by the Jewish Agency
and the Israeli occupation army.
It enables Jewish volunteers from
around the world to volunteer on
Israeli army basis for a period of one
week to one month.
Al-Malki demanded in his leter
that foreign states identify their
nationals serving in the Israeli
occupation army, including those
serving under Machal and Sar-
El programs and notify them of
Israeli war crimes and violations of
international law commited during
the recent aggression on Gaza as well
as of criminal liability that they might
bear for that.
Al-Malki urged these states to hold
an investigation into crimes commited
by their nationals and prosecute them
within their jurisdiction and urged
them to investigate in allegations
that their nationals were involved
in the commission and abetting
of war crimes during the recent
Israeli onslaught on Gaza Strip, and
prosecuting these individuals where
appropriate
Al-Malki urged for promptly
convening the high contracting parties
to the four Geneva Conventions in
order to oblige Israel to implement
these conventions on the Occupied
Palestinian Territories and to fully
respect them.
He concluded that his ministry
would seek to prosecute all those who
participated in the last onslaught and
committed war crimes against the
Palestinian people and would press
charges and indict Israel.
Foreign Minister: Possible Involvement of Foreign Volunteers in Israeli Army War Crimes in Gaza
WFP Humanitarian Convoy Delivers
Food to Gaza through Egypts Rafah
Crossing
GAZA, August (WAFA) - For the
frst time since 2007, a humanitarian
convoy of the United Nations World
Food Programme (WFP) successfully
crossed from Egypt into the Gaza Strip
yesterday on Wednesday, carrying
enough food to feed around 150,000
people for fve days, said the World
Food Programme (WFP).
After a seven-hour drive from
Alexandria where the food was
procured across the Sinai Peninsula,
WFPs trucks arrived at the Rafah
crossing. The convoy of 18 trucks
carried 15,600 food parcels part of
a total batch of 25,000 food parcels.
The parcels include ready-to-eat food
such as canned meat, canned beans,
tea and dates. A second convoy with
the remaining parcels is expected to
cross into Gaza in the next few days.
This is the frst time that WFP has
used the Rafah crossing point since
the start of the Gaza blockade in 2007.
It is extremely important that we
have access to the Gaza Strip from
diferent routes including the Rafah
crossing to ensure a constant fow
of humanitarian supplies to meet
the growing needs of the people
afected by the recent violence. We
are grateful to the Government of
Egypt for opening the Rafah crossing
and allowing WFP to procure food in
Egypt, said Mohamed Diab, WFP
Regional Director for the Middle
East, North Africa, Central Asia and
East Europe.
To respond to the urgent need for
humanitarian aid in Gaza, the UN in
Palestine has activated the logistics
cluster. Under the leadership of WFP,
the cluster is in charge of coordinating
the movement of humanitarian
assistance into Gaza. The Egyptian
Red Crescent is coordinating all
the crossing of humanitarian goods
through Rafah.
The opening of the Rafah crossing
for humanitarian aid provides a major
opportunity to scale up aid delivery to
Gaza and needs to be sustained, says
WFP Country Director Pablo Recalde.
WFP has provided emergency relief
from the onset of the confict and will
continue its food deliveries to Gaza to
reach people afected by the confict.
Since the start of the confict at the
beginning of July, WFP has provided
daily emergency food rations to up
to 350,000 displaced people in Gaza,
while reaching more than 120,000
people with emergency vouchers.
WFP and its partners are constantly
reviewing the needs on the ground
to provide the necessary assistance.
To continue its food assistance
programmes in Palestine, WFP
requires approximately US$70 million
for its humanitarian response in Gaza
for a period of three months, said the
release.
WFP i s t he worl d' s l argest
humani tari an agency fi ghti ng
hunger worldwide, delivering food
in emergencies and working with
communities to build resilience. In
2013, WFP assisted more than 80
million people in 75 countries.
Ashrawi Stresses that Status Quo
cannot be Maintained
RAMALLAH, (WAFA) PLO
Eceutive Commitee Member Hanan
Ashrawi stressed Wednesday that the
status quo cannot be maintained
Ashrawi made t hi s remark
during a meeting with an advanced
delegation from the Elders at the PLO
Headquarters in Ramallah.
In the meeting, Ashrawi stressed,
The status quo cannot be maintained,
and we will never accept for Gaza
to be severed from the West Bank
(including occupied East Jerusalem).
Now is the time to move forward with
reconciliation, reconstruction and
independence.
Bot h part i es di scussed t he
work of The Elders and its future
projects and initiatives, national
unity, the need for reconstruction
in Gaza, future Palestinian steps
and measures to reach a binding
solution, and the need for immediate
international intervention to hold
Israel accountable and to provide an
international system of protection for
the Palestinian people.
If members of the international
community are unable to bring
Israel to abide by signed agreements,
international law and conventions,
and the global rule of law, we
will press ahead and hold Israel
accountable for its war crimes and
human rights atrocities, and resort
to the international legal system.
The real solution lies in ending the
occupation and recognizing the
independent Palestinian state on the
1967 borders with East Jerusalem as
its capital, concluded Ashrawi.
Contact us: P.O Box 20307, 612 UN
Road Upanga West, Dar es Salaam
Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257
Email: pict@pal-tz.org Website:
www.pal-t.org
16
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014
Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji
unaendelea, gharama za Safari ni $ 4400
Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi
16 na 19 Oktoba, 2014.Tunasafri na Shirika la
Ndege
Umoja wa Falme za Kiarabu EMIRATES.
Wahi kujiandikisha sasa.
Kwa Mawasiliano:
+255222181577 +255222182370
0786 383820 0717 000065
info@hajjtrusttz.org or Website: wwwhajjtrusttz.org
Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014
WAISLAMU wa kada
mbalimbali Jijini Dar es
Salaam, wamejitokeza
na kuichangia Shule ya
Mivumoni, iliyopo katika
Msikiti wa Mtambani,
fedha na vifaa vya ujenzi
kufuatia ajali ya moto
iliyoteketeza Shule hiyo.
Zoezi hilo, lilifanyika
mara baada ya Ibada ya
swala ya Ijumaa ya wiki
iliyopita Msikitini hapo,
ambapo Waislamu hao
walitoa pesa tasilimu,
ahadi ya fedha na vifaa
vya ujenzi.
Awali akiongea mbele
ya Waislamu, msimamizi
wa uc ha ngi a j i huo
Mwenyekiti wa Wamiliki
wa Shule na Vyuo Visivyo
vya Serikali Tanzania
( TAMONGSCO) Mh.
Mahamoud Mr i ngo,
a l i s e ma j ukumu l a
kuihuisha Shule hiyo ni la
Waislamu na kila mpenda
maendeleo nchini.
A l i s e m a ,
kinachoangaliwa hapo
ni elimu inayotoka hapo
kwenda kwa vi j ana
wa Ki t anzani a na si
vinginevyo kwani suala
l a kupata el i mu kwa
Mui sl amu ni faradhi
(lazima).
Al i sema, al i posi ki a
kuna zoezi la uchangiaji
wa Shule hiyo wa pamoja
Msikitini hapo Ijumaa
(iliyopita) aliwasiliana
na wadau kadhaa juu ya
suala hilo, ambapo kati
ya hao watatu wameahidi
kuchangia Sh 5milioni,
kila mmoja na ahadi ya
mifuko 100 ya smenti.
Nilipokuwa najiandaa
kuja hapa niliwasiliana
na baadhi ya wenzangu,
wa kwanza akaahi di
kuchangia Sh 5m, wa pili
tena kahidi Sh 5m, na
mwingine ni mfanyakazi
wa Serikalini kasema
atatoa Sh 5m, lakini kuna
Wazee wawili kila mmoja
kaahidi kutoa mifuko 50,
ya sment. Alisema Mh.
Mringo.
Mbali ya ahadi hizo
pia Mh. Mringo, alisema
Waislamu wachangia Masjid Mtambani
Na Bakari Mwakangwale Umoj a wa Waf anya
biashara ndogondongo
Mi di zi ni , Manze s e ,
wa me c ha ngi a ki a s i
cha Shilingi 100, 077/-
, huku aki mt aj a Bw.
Ally Mwanana, kuwa
ameagizwa na Waislamu
kutoa ahadi ya mifuko
200 ya sment, nondo
Tani mbili, pamoja na
Kompyuta.
Naye Meneja wa Shule
za Daarul Arqam, Ustadhi
Abdul Azizi Shawwal,
aki ongea kwa ni aba
ya Umoja wa Shule za
Kiislamu, alisema kila
Shul e kat i ka umoj a
huo imepewa j ukumu
la kuchangia kiasi cha
500,000/-.
Al i s e ma , mp a k a
sasa (Ijumaa iliyopita)
tayari amepokea pesa
kutoka kwa baadhi ya
Shule, ambapo alizitaja
na kiasi zilizotoa katika
mabano kuwa ni Ubungo
Islamic, (500,800/-), huku
wanafunzi wa Shule hiyo
wakiwachangia wenzao
vifaa mbalimbali kama
kalamu, sabuni, vitabu
pamoja na madaftari.
Chamanzi I sl ami c,
(500,000/-) Aljebra Islamic
( 1. 6mi l i oni ) Daar ul -
Arqam ( 1. 5mi l i oni ) ,
Chuo cha Ual i mu na
Sekondari ya Ununio
( 300, 000/ - ) akas ema
Shule zingine zimeahidi
kuwasilisha michango
yao zitakapokuwa tayari.
Ha t a h i v y o Us t .
Shawwal, alisema kwa
uchache mameneja wa
Shule za Kiislamu kwa
uj umla, wamej ipanga
k u p a t a k i a s i c h a
15milioni, kwa ajili ya
kusaidia kuihuisha Shule
ya Mtambani, ili vijana
wa Kiislamu waendelee
kupata fulsa ya kupata
elimu.
Mh. Mringo, alisema
hivi sasa Waislamu pamoja
na kuwa na Shule nyingi,
lakini hawana budi sasa
kuchangishana na kujikita
kat i ka kuj enga vyuo
vidogo vitakavyosaidi
vijana wao kujiendeleza
zaidi baada ya elimu ya
Sekondari.
Mwenyekiti huyo wa
Wamiliki wa Shule na Vyuo
Visivyo vya Serikali nchini,
alisema huko mitaani kuna
watu wanaotumia elimu
ya kuzaliwa na elimu ya
kufundi shwa ambapo
akasema ile ya kuzaliwa
ipo kwa Waislamu na ya
kufundishwa ipo nje ya
Waislamu.
Akifafanua alisema,
wanaot umi a aki l i ya
kufundishwa wao lazima
watu wao wapitie katika
elimu, kwamba hakuna
uj anj a na kama ni
mtihami watafaulishwa
tu iwe iwavyo, na mwisho
wa siku lazima watakuja
kuwa manesi, madaktari
au wataangukia katika
taaluma yoyote ile.
Al i sema, kwao hao
hakuna suala la kufeli,
kwani wanahakikisha
wanabebana kupi t i a
vyuo vyao, bali akasema,
kufeli kunaanzia kwa
Waislamu kutokana na
uhaba wa vyuo vyao na
kaigawa amri ya kwanza
ya kusoma.
Mimi ni Mwenyekiti
wa Shule na Vyuo visizvyo
vya Serikali, vikiwemo
vya kidini na vinginevyo
kwa hiyo dini zote mimi
nakut ananao ni ki wa
kama Mwenyekiti wao
na wote hao wanaongea
na kuhimizana habari za
Iqra kwa makundi yao.
Alisema Mh. Mringo,
akiwashajiisha Waislamu
kujikita katika zaidi katika
sekta ya elimu husani
Vyuo.
YULE tapeli maarufu
wa kusilimu aliyekuwa
aki i ngi a mi s i ki t i ni
na kujifanya Mkristo
anayesilimu na kujipatia
misaada ya fedha kwa
njia ya udanganyifu,
a me k a ma t wa t e n a
akifanya utapeli wake
ka t i ka Ms i ki t i wa
Morogoro, Ilala jijini Dar
es Salaam.
S a f a r i hi i k i j a na
Donald Antony Charles,
ambaye siku za nyuma
Tapeli wa kusilimu akamatwa tena Msikitini
Na Abdulkarim Msengakamba aliwahi kukamatwa na
kufikishwa na waumini
wa Kiislamu katika kituo
cha polisi Mbagala kwa
kosa la kujifanya Mkristo
anayet aka kus i l i mu
na kutaka misaada na
baadae kubainika kuwa si
Muislamu, amekamatwa
k a t i k a Ms i k i t i wa
Morogoro Ilala jijini Dar
es Salaam.
Donald alifka msikitini
hapo J umat at u wi ki
hii muda wa Alasir na
kujitambulisha kwa jina
InaendeleaUk. 15
Donald Antony Charles
Meneja wa Shule za Daarul Arqam, Ustadhi Abdul Azizi Shawwal akiwa na
Mkurugenzi wa Algebra Islamic Seminary (kushoto) Mwl. Ansar Kachwamba wakitoa
ahadi ya kuchangia Shule ya Kiislamu Mivumoni (Mtambani) Ijumaa iliyopita.

También podría gustarte