kuhiji amedhaminiwa na ni mgeni wa Allah. Tupende sana kuwa wageni wa Mola wetu na kupata dhamana yake. Tulishaitwa sote tangu zama za Nabii Ibrahim(a.s), na hakuna wito mwengine binafsi. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Njoo ukamilishe Dini yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 -462022; Zanzibar: 0777 468018/0685366141/0657606708. (3) HIJJI UDHAMINIWE NA ALLAH! ISSN 0856 - 3861 Na. 1124 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 9-15, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:annuurpapers@yahoo.com Ilunga avunja rekodi Si umati, ni bahari ya watu wa Dar Watu wapigania japo kugusa jeneza Sikiliza kauli yake kabla ya sakarati Lukuvi athibitisha aliyosema Ilunga Karume, Seif waliupiga chenga Mfumo Tahadhari! Msirejee kwa Aus na Khazraj Uk6 Uk. 7 MWENYEZI Mungu amepitisha Kadar yake usiku wa Mei, 4, 2014, kwa kumchukua mja wake Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, Innalillah Wainna illaihir Rajiun. Kufuatia msiba huo, maelfu ya Waislamu kutoka karibu mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani, waliweza kuhudhuria maziko yake yaliyofanyika Jumatatu ya Mei 5, katika Makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni Jijini Dar es Salaam, kwa kuwakilishwa na wajumbe wao. Mwili wa Sheikh Ilunga, uliswaliwa katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni (T.C.), na maelfu ya Ilunga: Kadari imepita Na Bakari Mwakangwale AL-MARHUUM Ilunga BW. Lukuvi. PICHANI Juu, Waislamu wakigombea kubeba jeneza la Sheikh Ilunga Hassan Kapungu. Picha chini wakielekea makaburi ya Mwinyimkuu, Magomeni, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maziko. 2 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam Tahariri/Habari Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania inawatangazia waislamu wote Kongamano la Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan Kapungu litakalofanyika katika Msikiti wa Mtambani leo tarehe 09/05/2014 Ijumaa baada ya swala ya Ijumaa. Mada mbali mbali kuhusu maisha, harakati na mchango wa Sheikh Ilunga katika kupigania Uislamu zitatolewa na wanafunzi wa Sheikh Ilunga. KAMATI YA MAANDALIZI Kongamano Mabaharia wa Zanzibar washikiliwa Madagasca MABAHARIA 12 wa meli ya mizigo MV Wete wamezuiliwa nchini Madagasca kwa zaidi ya miezi mitatu, baada ya kushindwa kulipia gharama kufuatia meli hiyo kuingia nchini humo wakati ikielekea Mauritius. Waki zungumza na Zenji Fm radio, baadhi ya wazazi wa mabaharia hao wamesema watoto wao wameshi ki l i wa baada ya mmiliki wa meli hiyo kushindwa kulipa shilingi milioni 17 wanazodaiwa mabaharia hao. Imeelezwa kuwa meli hiyo ilingia Madagasca baada ya kupata hitilafu ya kifundi na kupewa huduma , i ki we mo kukwamuliwa kwenye mc h a n g a a mb a p o kila baharia anadaiwa shilingi milioni moja na laki tatu. Ai dha wazazi hao wamevitaka vyombo vya usalama kulifuatilia sual a hi l o i l i kuona watoto wao wanarudi nyumbani. Kwa upande wake Mk u r u g e n z i wa Maml aka ya Usafi ri Baharini Zanzibar, Bw. Abdi Omar, amesema mmiliki wa meli hiyo amewasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje kupitia Bal ozi wa Tanzani a n c h i n i Ms u mb i j i , i l i k us h ug h ul i k i a mabaharia hao. Bw. Omar ameiambia Zenji fm kuwa mabaharia hao walikamatwa na walinzi wa pwani, baada ya meli yao kuingia nchini humo kwa madai ya kukosa kibali cha kusafrisha mizigo. M a b a h a r i a wanaos hi ki l i wa ni Nahodha Amour Ali Juma, Revinda Jeram Harua, Mohamed Amir Mohammed, Khat i b Sal um Bakar, Omar Hassan Mwalim, Mussa Yussuf Mussa na Ali Amour Ali. Wengine ni Eduward Felis Visso, Haji Ali Haji, Yussuf Ayoub Rashid, Mbarouk Bakar Khamis na S a l um Kha mi s Hassan. Mel i ya Mv. Wete inayofanya shughuli za usafirishaji wa mizigo katika ukanda wa bahari ya Hindi, inamililikwa na Said Mbuzi. Zanzibarislamicnews JAMII ya Waislamu na wananchi wapenda haki nchini, hivi sasa wapo katika simanzi na majonzi makubwa kuf uat i a ki f o c ha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, aliyefariki Jumapili usiku tarehe 4, Mei huko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Kwa kipindi kirefu Sheikh Ilunga alikuwa a k i s u mb u l i wa n a maradhi ya sukari na f i go, ambapo mar a kadhaa al i l azi mi ka kupata matibabu nchini India, ikiwa ni jitihada za kurejesha uzima wa afya yake. Katika siku za mwisho za uhai kut oweka, Sheikh Ilunga alipatwa na maradhi ya stroke k a b l a Mwe n y e z i Mungu kuti mi za i l e ahadi yake kwa kila kiumbe chenye uhai hapa duniani, Innalillah wa Innailayh Rajuun, (Hakika sisi sote niwa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea) ambapo Jumapili iliyopita usiku ilitimia. Pamoja na kwamba S h e i k h I l u n g a ametangulia mbele ya haki, lakini kuna jambo kawaachia Waislamu na jamii kwa ujumla. Jambo ambalo alikuwa amelisimamia katika ki pi ndi chake chote cha harakati zake kama kiongozi wa dini. J ambo l enyewe si jingine balo ni kutetea haki za wanyonge dhidi ya madhalimu, wawe ni watu binafsi au dola. Ka t i k a h a r a k a t i zake zot e za ki di ni alizokuwa akizifanya hapa nchi ni , Shei kh Innalillah wa Innailayhr Rajuun Ilunga hakusita wala kuona haya kuikemea waziwazi dhulma na madhalimu, bila kujali mamlaka au ukuu wa mtenda dhulma, ilimradi anat et ea haki kwa anayestahili haki. Ujasiri aliouonyesha Sheikh Ilunga katika kudai haki, ni somo tosha aliloliacha kwa Waislamu nchini. Funzo hili la uj asiri katika kudai haki na kukemea udhalimu, sasa linahitaji kufanyiwa kazi na jamii ya Waislamu nchini ili kumtenda haki Sheikh Ilunga. Tumal i zi e t u kwa kunukuu kauli ya Sheikh Ali Bassaleh aliyoitoa baada ya kufariki Sheikh Ilunga, yeye alisema, " Mwenyezi Mungu atapokea juhudi zake na atakwenda kumuweka k a t i k a F r i d a u s i , kwani mazi shi yake yameonyesha ni jinsi gani Waislamu wenzake wal i vyokuwa radhi naye na walinyozikubali juhudi zake katika dini na jinsi alivyopambana k uut e t e a Ui s l a mu na Waislam. Hizi ni dal i l i nj e ma huko anakokwenda Ishaallah. Sisi tunatakiwa kufuata nyayo zake kwani hakuna mtu anayejua juu ya hatma ya umri wake, kuwa ataishi muda gani katika ulimwengu huu. Kwa bahati mbaya kabi sa, wat u wengi wamekuwa wakipima umr i k wa mi z a ni isiyokuwa yao". Alisema Maalim Bassaleh. Mwenyezi Mungu amlaze mahali Pema Sheikh Ilunga-Amiin. MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad. 3 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari Ilunga avunja rekodi ALHAMDULI LLAH, ni me ba ha t i ka j a po kuligusa jeneza. Hivyo ndivyo alivyosema mzee mmoja huku akihema siku ile ya mazishi. Watu walipoteza viatu wakatembea pekupeku lakini hawakujali ilimuradi wapat e j apo f ursa ya kuligusa jeneza ambalo lilipitishwa juu kwa juu umati wa watu uki wa mbele, nyuma na pembeni. Akielezea maziko ya Ilunga, Sheikh Mohammed Sai di anas ema kuwa Sheikh Ilunga Hassan Kapungu kaingia katika historia ya Dar es Salaam katika kifo chake. B a h a r i y a wa t u waliojazana Msikiti wa Kichangani kuja kuswalia jeneza lake na kisha kulifata nyuma jeneza hilo hadi Makaburi ya Mwinyimkuu, Ma g o me n i Ma p i p a haijapatapo kuonekana. K i s h a Mo h a me d anasema na kuj i ul i za, Sheikh Ilunga ni ''mgeni'' katika mji wa Dar es Salaam kwa maana ya kuwa hakuzaliwa Dar es Salaam wala hakuwahi kuishi Dar es Salaam wala hakuweza kujinasibu kwa lolote au chochote katika mji wa Dar es Salaam. Alikuwa akija na kuondoka zamani akirejea kwao Tabora na baadae baada ya kuhamia Mwanza, aki j a Dar es Salaam na kurejea Mwanza. Iweje leo mji mzima wa Dar es Salaam usimame na utoke kuja kumzika Sheikh Ilunga Hassan Kapungu? Anasema, Hakika hili ni swali linalotaka majibu ya kuridhisha. Na kwamba Jibu ni dogo na rahisi sana: Hivi ndivyo Waislamu wanavyof anya duni a nzima kila wanapofwa na kipenzi chao. Katika hali hiyo, ya kuwepo bahari ya watu, wapo wal i orej ea kwa masi ki t i ko waki sema kuwa hawakubahatika kugusa jeneza wala kugusa mchanga kufukia kwani ha wa kuwe z a kuf i ka kutokana na umati wa watu. Hata hivyo, wakawa wanaj ifarij i kuwa j apo wamepata swala ya jeneza na kulisindikiza. Laki ni wapo ambao hawakukubali kuambulia hayo tu, baada ya maziko na Na Mwandishi Wetu watu kutoka wakajikusanya na kufka kwenye kaburi la shekhe kushika mchanga kulisawazisha. Ha l i i l i y o pe l e k e a waliokuwa wakiondoka kudhani kuwa pengine palikuwa na maiti nyingine inazikwa jirani na kaburi la Sheikh Ilunga. Hi y o n d i y o h a l i i l i vyokuwa s i ku ya Jumatatu wiki hii wakati wa masi ko ya Shei kh Ilunga Hassan Kapungu. Hali ambayo ilisababisha magari katika barabara ya Ka r u me k u p i g a makitaima na kufanya foleni iliyokwenda hadi Ilala Boma. Waliokuwa ndani ya daladala na magari binafsi wakawa wamepigwa na butwaa wakijiuliza nani huyu jeneza lake limevuta umati huu wa watu. Watu wakatoka katika majumba yao, wengine wakawa wanachungulia juu magorofani, ilimuradi i l i kuwa ki l a mmoj a aki shangaa umati ul e umetoka wapi. K w a w e n g i walioshuhudia maziko yal e wanasema kuwa ni ya kihistoria ambayo hayajapata kuonekana kwa miaka ya hivi karibuni. Ak i z u n g u mz a n a waumini kabla ya swala ya jeneza katika msikiti wa TI C, Ma g o me ni Ki c ha nga ni , S he i kh Mohammed Issa aligusia jambo moja kwa msisitizo mkubwa kuwa ndio sababu ya Sheikh Ilunga kuwa kipenzi cha Waislamu na kifo chake kuvuta umati ule wa watu. Sheikh Mohammed Issa alisema, kama ni masheikh wa kut oa mawai dha mi si ki ni wapo wengi sana, mpaka wanagombea Misikiti na uimamu. Laki ni wa kukemea dhul ma na maovu ni wachache, na mmoja wapo ni Sheikh Ilunga. Ak a s e ma , I l u n g a amet hubut u kukemea ma o v u n a d h u l ma hadhar ani , amekuwa na ujasiri wa kumkabili dhalimu na kumwambia w e w e d h a l i m u unawadhulumu Waislamu. Na hilo tafsiri yake ni kuwa aliyatoa maisha yake kwa aj ili ya kupigania haki za Waislamu, kutetea Ui sl amu na kuondoa dhul ma na kukat aza mabaya katika jamii. Ni katika kufanya hayo al i tembea nchi nzi ma kuelezea mfumo kristo ni nini na nini madhara yake kwa Waislamu na kwa nchi. Shughuli ilianzia katika kongamano Di amond Jubilee, kisha kuzunguka nchi nzima na kumalizia D i a mo n d J u b i l e e a mba po a l i wa a mbi a Waislamu kwamba, kama kuna ambal o l i l i kuwa halifahamiki limejulikana. S a s a ni ka z i kwa Waislamu kusonga mbele kurekebisha dosari zilizopo ili kujijengea mustakbali mwema. Kauli aliyozungumza S h e i k h Mo h a mme d I s s a ndi y o i l i k uwa ikimuhangaisha Sheikh Ilunga wakati wa pumzi zake za mwisho ambapo al i kuwa aki one kana kufikiri na kuwaza sana kuanzia siku ya Alhamisi. Pamoj a na kuzidiwa na maradhi na uchovu wa sakarati, alipopata ahueni ya kuweza kutoa kauli, alisikitika akisema anausikitikia umma wa Waislamu. Alisema, anaona kazi iliyo mbeleni ni kubwa i l i Wai sl amu waweze kuj i kwa mua , l a ki ni waf anyaj i hawapo i l a wachache tu. We ngi wa me kuwa wat u wa kuongea t u, lakini wamekosa ujasiri wa kulishika kambaku kwa ma pe mbe ya ke halikadhalika hata ule ujasiri wa kufanya yale mepesi tu yaliyo katika uwezo wao. Naona kazi ni kubwa, wafanyaji siwaoni, mpo wachache tu, alisema na kubaki akitafakari kwa hisia za ndani kabla ya kupoteza mawasiliano kabisa. Hali hiyo aliyokuwa akiwaza Sheikh Ilunga k a t i k a pumz i z a k e z a mwi s h o , n d i y o aliyoisherehesha na kuitilia mkazo Sheikh Jabir Yusuf Katura. Katika nasaha zake, siku ya Jumatano wakati wa dua ya kumrehemu Sheikh Ilunga iliyofanyika nyumbani kwake Mwanza, Sheikh Jabri alionesha wasiwasi wake akisema kuwa haitasaidia kama watu watabaki wakisifia ushuj aa na kazi nzuri iliyofanywa na Ilunga. Akasema, la kusaidia na kuwanufaisha wanafunzi wa I l unga na wot e waliokuwa wakifanya kazi naye, ni kufanya kazi. Ni kuangalia majukumu yal i yo mbel e yao na kuyafanya kwa juhudi na ushujaa na maarifa. Sheikh Jabir akasema, h a k u n a ma f a n i k i o yatakayopatikana kwa kukaa na kusifa ushujaa wa Ilunga, kama ambavyo haisaidii kukaa na kumsifa Mt ume Muh a mma d (s.a.w). Bal i l i nal ot aki kana n i k u s i ma mi a n a kuyaendeleza yale ya Dini aliyokuwa akiyapigania. Na S h e i k h J a b i r a k a w a k u m b u s h a Waislamu kuwa Quran i p o wa z i k wa mb a hakuna atakayeulizwa wa l a k u h u k u mi wa kwa yal i yof anywa na waliomtangulia, bali yeye kafanya nini. Akawarejesha Waislamu katika historia kwamba, kama ni msiba hakuna msiba mzito utakaozidi ule wa kuondoka Mtume (s.a.w) uliofanya mpaka baadhi ya maswahaba wakachanganyikiwa. L a k i n i m a r a wakatanabahi wakasimama imara kupigania Uislamu, kuendeleza kazi aliyokuwa akifanya Mtume. Katika hali hiyo, Sheikh Jabir akawataka Waislamu wasiomboleze kwa kueleza sana sifa na harakati za Sheikh Ilunga, bali wawe kama kina Abubakar na Umar waliofanya Uislamu ukasi t awi na kuenea ulimwengu mzima baada ya Mtume kuondoka. Sheikh Ilunga Hassan Inaendelea Uk. 4 WAISLAMU wakiwa wamebeba jeneza la Sheikh Ilunga kutoka Masjid Kichangani Magomeni Mapipa kuelekea katika makaburi ya Mwinyimkuu kwa ajili ya mazishi. 4 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu ameacha usia na nasaha kwa Wa i s l a mu a mba o waliokuwa karibu naye wakati wa dakika za mwisho wa uhai wake, wanasema wana dhima ya kuzifikisha kwa Waislamu. Kwanza inaelezwa kuwa kabla hajakata kauli siku ya Alhamisi, aliletewa zawadi mbili, moja ikiwa ni kitabu alichokuwa amekiagiza na pili ilikuwa ni rasimu ya katiba inayojadiliwa bungeni. Alipoitizama katiba akasema, si ku zote anawaambia Waislamu na anar e j e a t e na, kwamba katiba hata iwe nzuri kiasi gani, haitawasaidia kama ha wa t a kuwa kul e Sidrati muntaha. Alitumia msamiati huo a k i ma a ni s ha kuwa kama Waislamu hawat api gani a na kuhaki ki s ha kuwa wanapata nafasi yao stahiki katika sehemu zote nyeti za kufanya maamuzi na utendaji serikalini na katika taasisi za umma, ni bure kwao katiba hiyo. K w a m a n e n o mengine ni kuwa kama Waislamu wataruhusu ha l i hi i i e nde l e e a mba po Wa kr i s t o wamehodhi takribani nafasi zote muhimu na nyeti, hata ije katiba ya namna gani; Waislamu watabaki kuwa ni watu wa kudhul umi wa, k u n y a n y a s w a , kuhujumiwa na wao kubaki wakilalamika. Kitakachowasaidia, ka ma a l i vyokuwa a k i t a f a k a r i n i kuhakikisha kuwa watu wanapigania kupata haki sawa katika maeneo y o t e , v i ng i ne v y o haki el eweki kama ambavyo l i nakuwa zogo kubwa Wakristo wanapoona kuwa kuna sehemu kuna Waislamu japo robo ya wote. Ka ma Wa i s l a mu wataendelea kupumbaa na kuona kuwa hivi Nasaha za Ilunga juu ya Katiba Mpya Alizitoa siku mbili kabla ya kifo Wafungwa wamswalia gerezani Na Mwandishi Wetu ilivyo ni sawa tu, wakati wenzao hawakubali, b a s i wa j ue k uwa kinachofanyika bungeni hakitawasaidia lolote kwa sababu hata katiba ya sasa inapiga marufuku ubaguzi na udini, lakini Waislamu wanalalamika kubaguliwa. Aidha wanalalamika na kut oa us hahi di kuwa kuna udi ni a mb a po Wa k r i s t o wanapendelewa kama alivyoandika pia Dr. Padiri John Sivalon. Na s a h a z a p i l i z a S he i kh I l unga zi napati kana kati ka ki t endo chake cha kujisajili katika msikiti mmoja uliokuwa jirani na hospitali alikokuwa akitibiwa India. Katika hali ya maradhi, Ilunga alikwenda katika msikiti huo na kujisajili kuwa yeye ni mmoja wa waumini wa msikiti huo, ni mgonjwa kutoka Tanzania, kama itatokea akafariki, basi ndugu zake ni waumini wa msikiti huo wamsitiri. Kut oka na na ha l i hiyo, mara alipofariki wa t u wa l i o k u wa wakimuuguza iliwabidi waulize wanafamilia waliokuwa Mwanza, akazikwe wapi. Lakini kwa taarifa hizo kwamba yeye mwenyewe al i kuwa tayari kuzikwa hata India, kwa maana kuwa kauli yake azikwe popote atakapokufa, haikuwa tabu kuafikiana kuwa azikwe Dar es Salaam kwani kufanya kinyume c ha ke i t a kuwa ni kumdhulumu. Hizo ni taarifa na nasaha za Sheikh Ilunga ambazo wafwa na hasa waliokuwa karibu naye wakati wa kumuuguza, wanadhani ni muhimu wa z i f i k i s h e k wa Waislamu wakiamini kuwa zina mafundisho makubwa. Wakat i huo huo, t a a r i f a k u t o k a gerezani Morogoro zinafahamisha kuwa wafungwa na mahabusu wa l i o Wa i s l a mu , wal i mswal i a Shei kh Ilunga swala ya ghaibu. Swala hiyo iliongozwa na Sheikh Ponda Issa Ponda a mba ye ni mahabusu katika gereza hilo. Ta a r i f a k u t o k a ndani ya gereza hilo zinafahamisha kuwa mara baada ya kupata taarifa za kifo cha Sheikh Ilunga, taarifa zilitolewa k w a w a f u n g w a Wai s l amu ambapo walikusanyika kwa dua na wakaomba uongozi wa gereza waruhusiwe kukusanyika pamoja kufanya swala. Kupitia kwa mke wa Sheikh Ponda Bi Khadija, wafungwa na mahabusu hao, wamesema wanatoa pole kwa wafiwa na kwa Waislamu wote wakisema-Innalillahi wainna ilaihir rajiuun. Ilunga avunja rekodi Inatoka Uk. 3 Kapungu alifariki saa 5 usi ku wa Jumapi l i , na kuzi kwa Jumatatu kat i ka makabur i ya Mwinyimkuu, Magomeni. S h u g h u l i z a k u mt a y a r i s h a n a kumswalia zilifanyika katika msikiti wa TIC, Magomeni Kichangani. Pamoja na kujitokeza maelfu wa jiji la Dar es Salaam, walikuwepo pia Waislamu waliofka rasmi kwa maziko hayo kutoka Pemba, Unguja, Singida, Arusha, Moshi, Tanga, Morogoro, Dodoma na Mwanza. Ai dha , Wa i s l a mu katika mikoa mbalimbali walimswalia na mamia kukusanyika nyumbani kwake siku ya Jumatano k wa a j i l i y a d u a iliyoongozwa na Sheikh Jabir. Katika dua hiyo walifka pia wawakilishi kutoka mikoa yote ya Kanda ya Ziwa, Kigoma, Tabora, Katavi, Singida, Dar es Salaam na wilaya zote za mkoa wa Mwanza. Mohamed Said katika makala yake anasema kuwa Sheikh Ilunga kaweka historia katika historia ya mazi shi makubwa Dar es Salaam, historia i nayokwenda nyuma ki asi mi aka t akri ban 100 uki anzi a mazi shi ya Sheikh Mwinyikheri Akida, Sheikh aliyeasisi Msikiti wa Mwinyikheri Akida Kisutu. Unakuja kwa Sheikh Idrissa bin Saad Khalifa wa Tariqa Askariyya, kisha Sheikh Kaluta Amri Abeid, halafu Abdulwahid Sykes, kisha Sheikh Kassim bin Juma, halafu Prof. Kighoma Ali Malima unaishia kwenye maziko ya Mzee Kitwana Dau baba yake Dk. Ramadhani Dau. Kisha anauliza, iweje Ilunga kijana mdogo mno aungane na majina ya watu maarufu kama hawa na kupata maziko makubwa kiasi kile? Anajibu kuwa: Kitu kilichompandisha daraja Ilunga katika umma wa Waislamu Tanzania, ni kuwa Il unga al i kuwa mtumishi wa Waislamu. WAISLAMU wakiwa wamebeba jeneza la Sheikh Ilunga kutoka Masjid Kichangani Magomeni Mapipa kuelekea katika makaburi ya Mwinyimkuu kwa ajili ya mazishi. 5 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari za Kimataifa NAIROBI Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amepitisha sheria itakayowaruhusu wanaume nchini humo kuoa idadi waitakayo ya wanawake licha ya sheria hiyo kukosolewa vi kal i na makundi ya wa na wa ke na Makanisa. Taarifa kutoka Ofsi ya Rais wa Kenya imesema kuwa, Rais Kenyatta ametia saini muswada huo wa Sheria ya Ndoa ya Mwaka 2014, ambayo i naj umui s ha ndoa mbalimbali zikiwemo za Kiislamu, Kihindu na Kikristo. Kwa muj i bu wa sheria hiyo, ndoa ni baina ya mwanamke na mwanamme ambao wanafunga ndoa kwa hiari. Baraza l a Ki t ai f a l a Makani sa Kenya ( NCCK) l i mepi nga vikali sheria hiyo. Aidha Jumuiya ya Mawakili Wanawake Kenya (FIDA) imesema itawasilisha pingamizi la kisheria dhidi ya muswada huo. Nchini Kenya, suala la kuoa wake wengi ni jambo la kawaida miongoni mwa makabila mbalimbali. Wengi wanasema sheria hiyo inatambua uhakika ambao upo tayari kwani kuna idadi kubwa ya ndoa za wake wengi. Ka t i ka j a mi i z a Waislamu, sheria ya ndoa kwa mujibu wa dini hiyo, inaruhusu mwanamme kuoa mke zaidi ya mmoja lakini wasiozidi wanne. Na i wapo mume ataona hana vi gezo (uadilifu) kisheria wa uwezo wa kumudu na kutimiza mke zaidi ya mmoja, dini inaelekeza mke mmoja. Sheria hiyo ya ndoa ya mwaka 2014 inatafsiri ai na mbal i mbal i za ndoa, zikiwemo za mke mmoja mume mmoja, za mume na wake wengi, za kimila, za Kikristo, za Ki i sl amu na za Kihindu. Pia inatoa njia Kenyatta asaini rasmi sheria ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja za kutengana na talaka na ulezi na matunzo ya watoto inapotokea ut engano na t al aka baina ya wanandoa. "Ndoa ni muungano wa hiyari kati ya mume na mke, ama uwe muungano wa mke mmoja na mume mmoja au wa mume mmoja na wake wengi," ilisema taarifa ya ofsi ya Rais. Ta a r i f a k u t o k a kwa of i s i ya Rai s ilithibitisha kwamba mswaada huo, ambao "unazi weka pamoj a s her i a mbal i mbal i kuhusiana na ndoa", umeshasainiwa kuwa sheria. A w a l i B u n g e lilipopitisha mswada huo mwezi uliopita, l i c ha ya wabunge wanawake kutoka nje ya mkutano wa Bunge baada ya mjadala mkali. Hata hivyo Shirikisho l a Wa n a s h e r i a Wa na wa ke nc hi ni Kenya (FIDA) limesema litafungua pingamizi la kisheria dhidi ya sheria hiyo. Baraza la Makanisa l a Kenya, J umui ya inayokusanya zaidi ya Makanisa na Mashirika 40 ya Kikristo nchini kote, pia limezungumza kupinga sheria hiyo. " Tu n a j u a k u wa wanaume wanaogopa ulimi wa mwanamke kuliko jambo lolote lile," alisema Mbunge Soipan Tuya, wakati mswada huo ul i popi t i shwa, liliripoti shirika la habari la AFP. Baada ya Rais kusaini shari a hi yo, wengi wamesema kuwa sheria hiyo inatambua tu jambo ambalo tayari lipo na limeshasambaa. " U n a p o m u o a mwanamke wa Kiafrika, l azi ma aj uwe kuwa mwengine anakuja, na mke wa tatu hapa ni Afrika," mbunge Junet Mohammed aliliambia Bunge wa ka t i wa mj adala wa mswada huo. BANGUI Shirika la Madaktari Was i o na Mi paka l i met angaza kuwa wa me s i ma mi s h a shughuli zao katika Jamhuri ya Afri ka ya Kat i , baada ya shambulio lililofanyika katika hospitali ya Nanga Boguila, iliyoko Kaskazini magharibi wa nchi hiyo mwishoni mwa mwezi uliopita. Hatua hiyo imekuja k uf ua t i a k uul i wa ma da kt a r i wa t a t u wasio na mipaka baada ya wanamgambo wa Kikristo wa Anti-Balaka, kuwashambulia katika eneo la Nanga Boguila l i l i l oko umbal i wa kilomita 450 Kaskazini mwa Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. S h a mb u l i o h i l o l i l i f anyi ka wakat i viongozi wa kikabila w a l i p o k u w a wakikutana na kufanya ma z u n g u mz o n a madaktari hao katika ki t uo cha af ya cha Nanga Boguila. Kati ka Shambul i o hi l o, watu wengi ne Madaktari wasio na mipaka wauliwa Wasitisha kazi Jamhuri ya Kati Waziri apinga kuhamishwa Waislamu waliuawa wakiwemo viongozi 15 wa kikabila na makumi ya wengine kujeruhiwa. Idadi ya watu wote waliouliwa ilikuwa ni 22. Shirika hilo la kutoa misaada ya kibinadamu l i me e l e z a k u wa , serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na wawakilishi wa makundi yanayobeba s i l aha hayaj al aani mauaj i ya Nanga Bogui l a na vi t endo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanyika nchini humo. Shirika hilo limeeleza kushangazwa kwake na msimamo wa serikali ya Bangui wa kunyamazia kimya jinai hizo bila ya kuchukua hatua zozote. Madaktari hao Wasio na Mipaka wameeleza kuwa, takriban watu 100 wameuawa katika mapigano katika kipindi cha siku kumi zilizopita. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo ameitaka seri kal i ya J amhuri ya Af r i ka ya Kat i kulaani shambulio hilo lililosababisha watu wasio na hatia kuuawa, wakiwemo madaktari watatu wa shirika hilo na viongozi 15 wa kikabila katika eneo hilo. K w a u p a n d e mwi ngi ne, Wazi r i wa Afya na masuala ya Ki bi nadamu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Marguerite Samba, amepinga kuondolewa Waislamu waliobakia katika kitongoji kimoja kilichoko mjini Bangui. S a mba a me s e ma kuwa , s e r i ka l i ya Bangui haiafikiani na hatua zilizochukuliwa na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa la kuwaondoa Waislamu mj i ni humo , k wa lengo la kuwaepusha n a ma s h a mb u l i o ya na y o f a ny wa na wa n a mg a mb o wa Kikristo wa Anti Balaka. S h i r i k a h i l o l a kimataifa lilichukua ha t ua hi yo ba a da ya kuj i ri mapi gano makali wiki iliyopita kati ya wanamgambo wa Ant i Bal aka na wanajeshi wa Ufaransa, yaliyosababisha watu saba kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa. RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya akisaini sheria mpya ya ndoa hivi karibuni. 6 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari Lukuvi athibitisha aliyosema Ilunga AKIZUNGUMZA katika Bunge Maalum la Katiba, Sheikh Mussa Y Kundecha alisema kuwa kama wapo wenye wasiwasi na Uislamu, basi Waislamu nao wana wasiwasi na Mfumo Kristo. Mhes hi mi wa Mbunge Kundecha aliyasema hayo kufuatia kauli ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mk u u , Mh e s h i mi wa William Lukuvi kuwa, upo wasiwasi kwamba kukiwa na muungano wa serikali tatu, basi Waislamu wa Zanzibar watapata nguvu na kusimamisha serikali ya Kiislamu. Katika kupiga propaganda na kuwapaka Wai s l amu mat ope na kukol eza ki t i s ho c ha Uislamu, akadai kuwa hali hiyo ikitokea Wakristo hawataabudu kwa amani tena. Alitoa ujumbe huo akiunganisha matukio ya kuchomwa moto makanisa, kumwagi wa t i ndi kal i ki ongoz i wa ka ni s a , kujeruhiwa na kuuliwa padiri akidai kuwa hayo yalifanywa na Masheikh wa Uamsho na kwamba hao Uamsho wakiungana na Chama cha Wananchi CUF, ndio wanaotaka serikali tatu ili wasimamishe Uislamu na mambo hayo ya kuchoma ma ka ni s a na kuuwa viongozi wa makanisa. Katika kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya Waziri Lukuvi, ndio Kundecha akasema kuwa kama wapo watu wanadiriki kusema kuwa wana wasiwasi juu ya Uislamu, basi itambulike pia kwamba Waislamu nao wana wasiwasi na Mfumo Kristo. Kwa kul i unga ni s ha jambo hili na Zanzibar, na kupiga kampeni ndani ya kanisa, Mheshimiwa Waziri Lukuvi akiwataka Wakristo wasikubali muungano wa serikali tatu, muungano unaodaiwa kuipiga kabari Zanzibar isiweze kufurukuta, kinachoonekana ni kuwa mfumo huu wa serikali mbili unatumika kudhibiti Usilamu Zanzibar na kwa upande mwingine, ndio unaofaa katika kuupa fursa Ukristo kushamiri Zanzibar. Haya ndio yale aliyowahi kusema Shei kh I l unga Hassan Kapungu katika makongamano juu ya mfumo kristo ambapo alihoji na kuwat aka Wazanzi bari wajiulize nini miafaka ya awal i ya CCM na CUF ilifeli, lakini Maalim na Rais Mstaafu Mheshimiwa Amani Abeid Karume walipokutana kwa siri wakafanikiwa. Katika kujibu swali hilo Sheikh Ilunga akasema kuwa walifanikiwa kwa sababu waliupiga chenga Mfumo Kristo. Mfumo ukistuka Na Mwandishi Maalum Wazanzibari washapatana, ukakasi r i ka, ukapi nga na bado unaungulia kwa hasira. Katika hali hiyo akasemwa k u wa , Wa z a n z i b a r i wa k i t a f a k a r i v ye ma , wataiona nguvu ya Mfumo Kristo na kutambua kwamba bila ya kuufyeka kwanza hakuna salama. Sheikh Ilunga aliyaelezwa katika kongamano juu ya hatari ya Mfumo Kristo lililofanyika katika uwanja wa Mnazi Mmoj a Wete, Pemba mara baada swalat Aswri Jumatatu Oktoba 3, 2011. Katika kufafanua jambo hilo ilikumbushwa kuwa mara baada ya uchaguzi wa mwanzo wa vyama vingi mwaka 1995, uliibuka mgogoro wa kisiasa ambapo ilibidi pawe na mazungumzo yaliyohusisha wapatanishi kutoka nje ya nchi akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Chifu Emeka Anyauko. Mwisho wa mazungumzoa i k a f a ha mi s hwa k uwa umefikiwa muafaka. Huo ukawa muafaka wa kwanza. Mt o a ma da S he i k h Ilunga Hassan Kapungu akasema kuwa, hata hivyo, hadi unafi ki a uchaguzi mkuu mwingine hakuna kilichokuwa kimefanyika katika muafaka huo. Kipigo kikawa kikali zaidi kilichowahusisha mpaka J a nj a we e d. Wa na nc hi wakapigwa na kuteseka sana katika uchaguzi mkuu wa 2000 hadi kuuliwa mamia ya watu. Kwa ni ni ki l i t embea ki pi go? Shei kh I l unga aliuliza na kufafanua kuwa kwa kupoteza nguvu ya kisiasa, Rais waliyemtaka Wazanzibari siye aliyetakiwa na Dodoma, hivyo kikapita kisago ili lile wasilolitaka Wazanzibari liwe. Hal i hi yo i l i pel ekea kufanyika mazungumzo mengine, yakiwahusisha tena makatibu wakuu wa CCM, Yusuf Rajab Makamba na wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad. B a a d a y a m u d a i k a t a n g a z w a k w a mbwembwe kubwa kuwa umepat i kana muaf aka. Ukasifiwa sana kwamba ulitokana na sisi wenyewe bila kuhusisha mtu wa nje na kwa hiyo kutajwa kuwa wa maana na wa kupigiwa mfano. Wengi ne wenye migogoro wakatakiwa kuiga Watanzani a wanaoweza kutatua migogoro yao ya kisiasa wenyewe na kwa amani. Hata hi vyo i l i pofi ka wakati wa uchaguzi mkuu 2005 kipigo kikawa pale pale. Alisema Sheikh Ilunga na kuongeza kuwa: Muafaka haukufanya kazi, chuki na farka ikazidi kujengeka miongoni mwa Wazanzibari. Akasema kuwa hali hiyo ilimfanya Rais Kikwete katika hotuba yake ya mwanzo Bungeni baada ya kuingia madarakani kuahidi kwamba katika j umla ya mambo a t akayoyas hughul i ki a mwanzo ni pamoja na hili l a mpasuko wa ki si asa Zanzibar. Ilunga akasema kuwa, pamoja na jitihada za kisiasa zilizofanyika baada ya kauli na ahadi hiyo, suala hilo lilipelekwa katika kikao cha CCM Butiama na kujadiliwa juu ya uwezekano wa kuwa na serikali ya Mseto. Hata hivyo alisema, hakuna maafikiano yaliyofikiwa Butiama, kikao kikavunjika wat u wakaachana ki l a mtu aki shi ka nj i a yake. Wazanzi bar i wakar udi Unguja na Pemba wakiwa na chuki zao na siasa za visasi. Ile agenda ya kuwa na serikali ya mseto ikafa. Baada ya hapo, Ilunga alisema kuwa kilipiga kimya, mpaka siku isiyotarajiwa kukapambazuka wat u wakitangaziwa kuwa tayari CUF na CCM, Rais Karume na Maalim Seif, walishafanya mazungumzo na kufikia maridhiano ya kuzika tofauti zao na kufungua ukurasa mpya wa amani na utulivu Zanzibar. Ilunga katika mawaidha yake kwa watu wa Wete akasema kuwa aj abu ya mambo ni kuwa wa kwanza kupinga maridhiano hayo ilikuwa CCM ambapo Katibu Mwenezi wake alisema kuwa maridhiano hayo hayana ridhaa ya CCM. Katibu Mwenezi huyo a l i pi nga kwa s a ba bu maridhiano hayo hayakuwa na ridhaa ya Mfumo Kristo, miafaka ya mwanzo ilikufa kwa sababu Mfumo Kristo ulikuwa hautaki Wazanzibari muelewane, Rais Mstaafu na Maalim Seif, waliupiga chenga Mfumo Kristo ndio maana walifanikiwa na sasa mpo katika amani. Alisema Sheikh Ilunga n a k u s i s i t i z a k u wa Wazanzibari wanatakiwa kuwaunga mkono viongozi wao na kuhakikisha kuwa wanayalinda maridhiano yaliyofkiwa. (Kadinali) Pengo halali toka mmeridhiana, Mfumo Kr i s t o una gugumi ya , umekasirika, unachukia mkaridhiano haya. Al i ongeza aki hi mi za kuwa ni lazima Wazanzibari wawe macho asijekutokea kidudu mtu wa kuwarejesha tena katika shimo la moto walilotaka kutumbukia. Na shikamaneni kwa kamba (dini) ya Mwenyezi Mu n g u n y o t e , wa l a msiachane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu. (Zamani) ml i kuwa maadui , naye akaziunganisha nyoyo zenu, hivyo, kwa neema yake, mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto (wa Jahannam), naye akakuokoeni nalo. Namna hi vi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake ili mpate kuongoka. (3: 103) Al i nukuu a ya hi z o zi nazopat i kana kat i ka sura Al Imran akihimiza kuwa kilichotokea ni nusra ya Allah na hivyo inapasa kushukuriwa na kuithamini, lakini pia kuwa macho adui asiihujumu. Kauli ya mheshimiwa Lukuvi, kama alivyosema Profesa Ibrahim Lipumba, ni ya uchochezi. Ni kuchochea Wakristo dhidi ya Waislamu. Lakini pia kwa kutolea kauli hiyo kanisani, na kuwahimiza Wakristo wenzake wakatae serikali tatu akijega hoja kuwa zi t al et a s er i kal i ya Ki i sl amu Zanzi bar , inaleta picha nyingine. Ile aliyoizungumzia Sheikh Ilunga. Kwamba muungano umefanywa kama kichaka cha kuficha mfumo kristo kwa Zanzibar. Zanzibar wana historia chungu, na hasa baada ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi. Wamegeuzwa na kuwa kama Aus na Khazr aj . Wamef anywa wabaguane, watengane, wanuniane, lakini baya zaidi, wanasiasa na vikosi kutumika kulidhalilisha kundi moja na kuleta mateso makubwa kwa watu. Watu wamepigwa, wameteswa, wameporwa vi tu vyao vya thamani , wanawake na mabinti wa Kiislamu wamebakwa, watu wameuliwa na kuacha yatima na wajane. Hali hii ilifikia kiwango cha kutisha ndio Rais Mstaafu Amani Abeid Karume na Maalim Seif wakajiuliza, mpaka lini? Angalau sasa hali ni shwari. La ki ni t uki z i nga t i a aliyosema Bwana Lukuvi kanisani ukiunganisha na msimamo wa baadhi ya wanasiasa, hasa wa chama tawala katika Zanzibar, ambao wanaonekana hawako tayari kukosa kutawala hata kama itakuwa kwa gharama ya kuwatia Wazanzibari wote katika mateso, tujue kwamba hatari bado ipo. Wapo watu wal i kuwa wakizungumza Bungeni kwa lugha za chuki, kibaguzi na kejeli kiasi cha kusema (Wapemba, CUF, mnaotaka serikali tatu), mtakwenda kwenu, Unguja mtapita tu. Wanayasema haya hoja yao ya msingi kichwani ikiwa kwamba kama zitakuwa tatu, watakosa rungu la kutoka Dodoma la kuwafanya kukaa madarakani hata kama kura zao hazikutosha. Lakini wanachosahau ni kuwa wanachofanya ni kuwapa nguvu wenye mfumo wao kukaza kitanzi kwa Zanzibar, na hiki hakichagui CUF, CCM, Mt umbat u wal a Muunguja. Laiti wangeweka kando ubinafsi wa kijinga wakatizama nchi, wananchi na mustakbali wake, hapana shaka wasingekuj a hata na zile kauli za kuchefua za kurejea sultan. Mbona hat uambi wi wanaot aka Tanganyi ka wanat aka kumrej esha Jarumani au Malkia wa Uingereza. Wazanzibari watakuwa wamemuenzi Sheikh Ilunga Hassan Kapungu kama watashikamana na usia wake kwao unaopatikana katika Al Imran. Na shikamaneni kwa kamba (dini) ya Mwenyezi Mu n g u n y o t e , wa l a msiachane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu. (Zamani) ml i kuwa maadui , naye akaziunganisha nyoyo zenu, hivyo, kwa neema yake, mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto (wa Jahannam), naye akakuokoeni nalo. Namna hi vi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake ili mpate kuongoka. (3: 103) Waziri wa Nchi, Ofsi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa William Lukuvi. 7 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari/Tangazo Mwenyekiti wa Tanzania Muslim Solidarity Fund anawatangazia vijana wa Kiislamu ( Wavulana na Wasichana) kuwa anatarajia kupokea Scholarship chache za Shahada ya UDAKTARI na UHANDISI (Nuclear, Oil ,Gas na Biomedical kutoka IDB kwa mwaka wa masomo (2014/2015). Pia anawatangazia vijana wa Kiislamu (Wavulana na Wasichana) kuwa anatarajia kupokea Scholarship chache za Shahada ya ELIMU (Arts) kwa mwaka wa masomo (2014/2015). Vijana wenye sifa zifuatazo wanakaribishwa kuomba Scholarship hizo: Muombaji awe Muislamu Mtanzania Awe na umri usiozidi miaka 24 Asiwe na magonjwa ya kudumu au ya kuambukiza Awe amehitimu kidato cha VI na amefaulu kwa kiwango cha daraja la I-II Awe na Principle Pass kati ya A,B au C katika masomo ya fani anayoomba. Awe ameomba nafasi katika vyuo vikuu vya hapa nchini. Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo: IDB Education Trust ( Tanzania) P.O.BOX 6166 Dar es salaam Tanzania Au fka ofsini kwetu Kariakoo Mtaa wa Ukami/ Mafa mkabala na Msikiti wa Manyema Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 29/05/2014 Tanzania Muslim Solidarity Fund Ilunga: Kadari imepita Inatoka Uk. 1 Waislamu na baada ya swala ya Al-aswir, Wa i s l a mu h a o walilibeba jeneza la Kiongozi wao huyo mkono kwa mkono huku sauti za Laaillaha Illalah, na Takbiri. . , A l l a h u a k b a r , zi ki ri ndi ma nj i a nzima mpaka katika Makaburi hayo. Ilikuwa si rahisi k u l i s h i k a a u kulisogelea jeneza la Sheikh Ilunga, kama hukutumia nguvu kutokana na kila Muislamu kupigania kutaka k u l i s h i k a a u kulibeba kuelekea makaburini, lakini kati ka hal i hi yo jeneza lilionekana likiondoka juu kwa juu. U m m a h u o wa Wa i s l a mu ulijipanga mstari kuanzia Msikitini na kutoka katika b a r a b a r a y a K a w a w a n a kukatisha katika Barabara ya Mwinyi mkuu kuel ekea makabur i ni , na kufanya shughuli za kawaida katika eneo hilo kusimama k wa mu da n a kusababisha foleni kubwa ya magari. Aki zungumza katika msiba huo, Amiri wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Musa Kundecha, alisema She i kh I l unga, ni maarufu kwa Watanzania wote, n a k a z i y a k e inaj ieleza katika tasnia mbalimbali. Alisema, katika uhai wake Shkh. Ilunga amefundisha w a n a f u n z i wengi sana, pi a a m e f u n d i s h a darasa nyingi na a me h u d h u r i a mihadhara mingi yote hayo inatosha kuone s ha ka z i alizozifanya. Amir Kundecha, alisema kilichopo sasa ni kuangalia ni namna gani ya kuzienzi kazi za Shkh. Ilunga, ili kuweza kuendeleza h a r a k a t i z a k e husasani kat i ka kusi kami a haki na kuupi ga ni a Uislamu. Awali akielezea sababu ya umati w a k e , A m i r Kindecha, alisema, She i kh I l unga, a m e k u wa n a kat i ka mar adhi kwa muda mrefu ambayo pengine l e o y a n a we z a kutazamwa kuwa ni sehemu ya sababu ya kifo chake. Alisema, Sheikh Ilunga, amekuwa a k i s u mb u l i wa na ugonj wa wa ki s ukar i , kama ambavyo ugonjwa huo umekuwa ni tatizo kubwa kwa watu wengi kwa sasa t of aut i na miaka ya nyuma. Alisema, Ilunga al i f anya s af ar i mwa k a 2 0 1 3 , kwe nda nc hi ni I ndi a, kwa aj i l i y a k u f a n y i wa ma t i b a b u y a k u b a d i l i s h i wa f i go, mat i babu yaliyochukua miezi nane, jambo ambalo lilifanyika vizuri na kutoa matumaini mapya, lakini tatizo la sukari liliendelea kuwepo. W a k a t i anakwenda nchini I ndi a, al i kuwa a me k a mi l i s h a mi h a d h a r a ya Mfumokristo, huku nyuma ( nchi ni ) v y o m b o v y a habari vilivumisha kwa mba Shkh. Ilunga kakimbia, j ambo ambalo si kweli kwani alisafri kwa kutumia pasi ya Tanzania na kwa kupitia uhamiaj i uwanja wa ndege. Ai dha, al i pata v i b a l i v y a mat i babu kama vilivyohitajika na kupat a usai di zi kutoka ubalozi wa Tanzania India. Pamoja na hali hiyo, alisema, Shkh. I l unga, al i kuwa a m e p a n g i w a kwenda kuangaliwa afya yake kila baada ya muda ful ani , i l i kuhaki ki sha hakuna jambo jipya ilinaloibuka baada ya kukamilika kwa matibabu yake. Amir Kundecha, a l i s e m a i t a k u mb u k wa kwamba, wakati a n a r u d i k wa mara ya kwanza k ut o k a n c h i n i Indi a, al i kutana na sekeseke l a kutafutwa kwake , pamoja na kuwa kati ka hal i hi yo alitiwa misukosuko na kukamatwa na Pol i s i , hat i mae a l i f u n g u l i wa mashtaka. Sasa unaweza kufkiri mwenyewe, mtu mwenye afya ya namna hiyo na maradhi hayo halafu ukimwongezea na msukosuko kama huo, kwa hi vyo l i kawa ni tati zo lingine. Alisema Shkh. Kundecha. Alisema, baada ya hapo mapema mwe z i Ma c h i , mwaka huu Shkh. Ilunga, aliondoka t e n a k we n d a nchini India, kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya afya yake. Alirej ea akiwa mzima, hata hivyo siku mbili baadae hali ilibadilika hadi kufkwa na umauti. ODM yaitika Serikali ya Kenya kuondoa Wanajeshi wake Somalia NAIROBI Wakati hali ya usalama nchini Kenya ikiendelea kuwa tete, wanasiasa pamoja na wataalamu mbalimbali nchini humo wamesema kuwa hali ya usal ama hai wezi kurudi kama ilivyokuwa hapo awali, hadi pale Wanajeshi wa Kenya waliopo nchini Somalia watakapoondolewa. Hayo yameelezwa na Naibu Mkurugenzi wa chama cha ODM, Profesa Anyang' Nyong'o, wakati akizungumza na vyombo vya habari mjini Nairobi hivi karibuni. Prof. Nyongo amesema kuwa mashambulizi ya mara kwa mara katika mi j i mi kubwa nchi ni humo hayawezi kukoma na sababu kubwa ya mashambulio hayo ni uwepo wa majeshi ya KDF nchini Somalia. M a k u n d i yanayoendeleza vitendo vya kuhatarisha usalama nchini Kenya yataendelea kufanya uhalifu wao hadi hapo majeshi ya KDF yatakapoondoka nchini Somalia" alisema Prof. Nyong'o. Makundi yaliojihami nchini Kenya, yameongeza harakati zake katika siku za hivi karibuni nchini humo dhidi ya serikali hasa katika miji mikubwa na kuhatarisha hali ya usalama nchini humo. Ser i kal i ya Kenya inategemea sana watalii wa mataifa ya nchi za Maghar i bi ki uchumi na inaaminika kuwa ni utalii ndio kitega uchumi c ha kwa nz a nc hi ni humo, lakini sekta hiyo imeathirika tangu serikali ya Kenya i l i popel eka maj eshi yake nchi ni Somalia. Wakati ODM wakitoa tamko hilo, mwishoni mwa wiki iliyopita, watu wawi l i wameri poti wa kuuawa na zaidi ya 50 kuj eruhi wa baada ya kutokea milipuko miwili katika mabasi mawili tofauti kwenye barabara ya Nairobi-Thika nchini Kenya. Wat ot o wat ano ni mi ongoni mwa wat u waliojeruhiwa vibaya. Ml i p u k o mmo j a uliripotiwa kumetokea nje ya hoteli ya Bluesprings na wa pili umetokea kwenye barabara ya Kasarani. Mabasi hayo ni mali ya Jeaan transporters na Mwi Sacco. Mabasi yote mawili yalikuwa yanatokea mjini Gi thurai na yal i kuwa yamejaa kiasi. I d a d i k a mi l i y a wat u wal i oj er uhi wa haikujulikana mara moja l i cha ya wat u wengi kuwahishwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na Hospitali ya Ruaraka Uhai Neema. Aki t hi bi t i sha vi f o hivyo, Dk. Antonio Milito wa Hospitali ya Ruaraka Uhai Neema, alisema kuwa watu wawili wameuawa na zaidi ya 50 wengine wamepat a maj er aha mbalimbali, huku wengine wakiwa wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Kenyata na Hospitali ya Guru Nanak kwa ajili ya matibabu maalumu. Maafisa usalama wa Kenya walifika katika ma e n e o i l i k o t o k e a mi l i p u k o h i y o n a uchunguzi ulianza mara moja. 8 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Makala Inaendelea Uk. 9 Na Mohamed Said SHEIKH Ilunga Hassan Ka pungu ka i ngi a katika historia ya Dar es Salaam katika kifo chake. Bahari ya watu waliojazana Msikiti wa Kichangani kuja kuswalia jeneza lake na ki s ha kul i f at a nyuma j eneza hi l o h a d i Ma k a b u r i ya Mwi ny i mkuu, Magomeni Mapi pa haijapatapo kuonekana. She i kh I l unga ni ' ' mgeni' ' katika mji wa Dar es Sal aam kwa maana ya kuwa hakuzal i wa Dar es Salaam wala hakuwahi kuishi Dar es Salaam wa l a h a k u we z a kujinasibu kwa lolote au chochote katika mji wa Dar es Salaam. Alikuwa aki j a na kuondoka zamani akirejea kwao Tabora na baadae baada ya kuhamia Mwanza, akija Dar es Salaam na kurejea Mwanza. Iweje leo mji mzima wa Dar es Salaam usimame na utoke kuja kumzika Sheikh Ilunga Hassan Kapungu? Hakika hili ni swali linalotaka maj ibu ya kuri dhi sha. J i bu ni dogo na rahisi sana. Hivi ndivyo Waislamu wanavyofanya dunia nzima kila wanapofwa na kipenzi chao. Labda l i naweza kuj a swal i jingine, ''kipenzi?'' S h e i k h I l u n g a kawaje kuwa kipenzi cha Waislamu? Naam Sheikh Ilunga Hassan Kapungu juu ya udogo wake wa umri, alikuwa kipenzi cha Waislamu na si Waislamu wa Dar es Salaam peke yao. Sheikh Ilunga alikuwa kipenzi cha Waislamu wa Tanzania nzima. Kibla cha kila msikiti wa Waislamu katika Tanzani a, ki l i kuwa kinamkaribisha kama si kuwaidhi, basi angalau asimame awasalimie nduguze Wai sl amu. Sheikh Ilunga alipendwa na umma ha kuwa kati ka l i l e kundi l a mesheikh wanaoogopa kuswali katika baadhi Sheikh Ilunga Hassa Kapungu (1988) Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ni msiba kwa vijana ya mi si ki t i au hat a kupita nje yake. Sheikh Ilunga hakuwa katika lile kundi la masheikh wenyeji katika futari za serikali na''misikiti ya wakubwa' ' lakini wageni katika misikiti ya ndugu zao Waislamu, Manzese au Tandale. Kubwa Sheikh Ilunga hakukos a us i ngi zi wala kujiona duni kwa kukosa kualikwa futari I kul u au kual i kwa katika dhifa za kitaifa akapigwa picha kavaa kanzu za kupendeza kakaa na waheshimiwa na kut okea kat i ka runinga na magazeti siku ya pili ukurasa wa mbele. Sheikh Ilunga Ha s s a n Ka p u n g u h a k u s h u g h u l i s wa n a h a y o . Ye y e al i shughul i shwa na kuliweka j uu j ina la Allah Subhana Wataala. Hili ndilo lililokuwa l i k i ms h u g h u l i s h a mpaka s i ku Al l ah alipomuhitimisha. Sheikh Ilunga kaweka historia katika historia ya mazishi makubwa Dar es Salaam, historia inayokwenda nyuma kiasi miaka takriban 100 ukianzia mazishi ya Sheikh Mwinyikheri Akida, Sheikh aliyeasisi Msikiti wa Mwinyikheri Akida Kisutu. Unakuja kwa Sheikh Idrissa bin Saad Khalifa wa Tariqa Askariyya, kisha Sheikh Kal uta Amri Abei d, hal af u Abdul wahi d Sykes, kisha Sheikh Kas s i m bi n J uma, halafu Prof. Kighoma Ali Malima unaishia kwenye maziko ya Mzee Kitwana Dau baba yake Dk. Ramadhani Dau. Iweje Ilunga kijana mdogo mno aungane na maj i na ya wat u maarufu kama hawa na kupat a mazi ko makubwa kiasi kile? Kitu kilichompandisha daraja Ilunga katika umma wa Waislamu Tanzania, ni kuwa Ilunga alikuwa mtumishi wa Waislamu. Waki mt uma I l unga kila kazi na akiifanya kwa moyo mkunjufu, k u a n z i a k u j e n g a Jeneza la Sheikh Ilunga Likitolewa Msikitini 9 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Makala Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ni msiba kwa vijana Nyuma Wapili Bakari Saleh Mwisho Kulia Ilunga Hassan Kapungu Mstari wa Mbele Watatu Kutoka Kushoto Mwandishi Mohamed Said Hawa ni Baadhi ya Vijana wa Kiislam Waliohudhuria Semina Dodoma Chuo Cha Biashara 1988 Inatoka Uk. 8 madrasa na shule kisha kuwasomeshea watoto. Juu ya haya yote, kilele cha Sheikh Ilunga katika kuutumikia Uislamu, ni ile siku aliposimama Ukumbi wa Diamond k u i t a h a d h a r i s h a seri kal i kuwa kuna ' ' Mf u m o k r i s t o ' ' nchini unaotawala na kudhul umu haki za Waislamu. Hii ilikuwa mwaka 2012. Nilikuwa m m o j a wa p o wa Waislamu waliokuwa p a l e u k u m b i n i kushuhudia kitendo kile cha kihistoria. Kwa nini nakiita kitendo cha kihistoria kwa kuwa kwa takriban miaka 40 Waislamu walikuwa wanasemea pembeni ha r a ka t i z i ki e nda chini kwa chini vijana wa k i wa t a y a r i s h a Wa i s l a mu wa j u e kuwa i po dhul ma. Sheikh Hussein Malik a l i k uwa a k i s e ma , ' ' Wa f a h a mi s h e n i Waislamu wajue kuwa i po dhul ma ki s ha wadaie haki zao. Ikiwa utawadaia haki zao ikiwa hawajui dhulma ipo, wao ndiyo watakuwa wa kwanza kukupigeni vita kwani kama mtu hajui anadhulumiwa bas i hi yo dhul ma haipo.'' Sheikh Ilunga alikuwa katika kundi la vij ana waliokuwa wakihangaika kuitafuta haki ya Wai sl amu. Wa k a t i u l i k u wa umef i ka kwa ni aba ya Waislamu Sheikh I l unga akas i mama kuitahadharisha serikali kuhusu kujiachia dini moj a ikahodhi fursa zote za nchi kwa hila. Hot uba ya Shei kh Ilunga ilirushwa na Radi o Imaan na TV yake mubashara, yaani ''live.'' Kote Radio Imaan ilikosikika Waislamu wal i ms i ki a Shei kh Ilunga akieleza nini Waislamu walifanya kat i ka Tanganyi ka wakati wa kupigania u h u r u k u u o n d o a dhulma na kuleta haki kwa kila mwananchi na vi pi Wai s l amu walisalitiwa. Vyombo WAISLAMU wakiwa katika swala ya jeneza nje ya Msikiti wa Kichangani baada ya nafasi ndani kujaa. vyote vya habari ukitoa vi l e vya Ki i sl amu, v i l i g o ma k a b i s a kutangaza kongamano hili la Waislamu. Ikawa kama vile hapajapatapo kutokea kitu chochote. Kuanzia siku ile Sheikh Ilunga alitembea nchi nzi ma na kuf anya mikutano ya hadhara k u i t a h a d h a r i s h a kwanza serikali kuhusu Mfumokristo na pili Waislamu ili wajue nini kilikuwa kinawatafuna. Ni l i mfahamu vi pi Sheikh Ilunga Hassan Kapungu? Ni l i anza kuzi si ki a si f a zake katika miaka ya 1980 kabla sijauona uso wake. Wakati ule Sheikh Ilunga alikuwa kijana mdogo sana na mdogo kwangu kwa mi aka kadhaa. Wakati naingia kusoma Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Ilunga alikuwa maarufu pale chuoni msi ki t i wa Musl i m Students Association of the University of Dar es Salaam (MSAUD) kiasi unaweza ukadhani k uwa na ye ye ni mwanafunzi. Ilikuwa I l unga na wenzake a k i n a Mo h a me d Kassi m Lul engel ul e n d i y o wa l i o l e t a ''Nyaraka za Waikela'' na kuzihifadhi katika maktaba ya MSAUD. Hizi nyaraka zilikuwa zimefchwa Tabora kwa karibu miaka 20. Katika nyaraka hizi kulikuwa na kisa kizima cha kile kilichokuja kujulikana kama ' ' Mgogoro wa East African Muslim We l f a r e S o c i e t y (EAMWS),'' Ndani ya jalada zilimohifadhiwa nyaraka zililofikishwa MSAUD kul i kuwa na kumbukumbu za mikutano ya EAMWS, taarifa ya Kamati ya Upatanishi iliyokuwa inajaribu kupatanisha kati ya kundi la Adam Nasi bu na wenzake waliokuwa wanaipiga vita EAMWS, kulikuwa na ' ' c ut t i ng s ' ' ya magazeti ya ''Uhuru,'' ' ' Na t i ona l i s t s ' ' na ''Tanganyika Standard,'' magazeti makubwa ya zama zile yaliyokuwa yakifuatilia kwa karibu sana mgogor o ul e. Nyaraka hizi za Mzee Bilal Rehani Waikela zilikuwa hazina kubwa. Kutokana na nyaraka hizi ndipo ukweli wa nini na nani alikuwa nyuma ya kuvunj wa EAMWS na kuundwa k w a B A K WAT A Inaendelea Uk. 10 10 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Makala Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ni msiba kwa vijana Prof. Ibrahim Lipumba (mwenye kofa) Akiswali Nje ya Msikiti baada ya Kukosa Nafasi Ndani. Inatoka Uk. 9 u k a f a h a m i k a . Laki ni kubwa zai di wa l i o k a b i d h i wa Nyaraka za Waikela walizileta zikiwa na maelezo ili maelezo yal e yaende na ki l e k i t a k a c h o s o mwa ndani ya jalada. Ilunga al i kuwa ki j ana wa Mzee Waikela. Katika hali ya unyonge sana walikuwa wakiendesha shule ya Nujum katika j uhudi za Waislamu kujitoa katika dhulma ya elimu. Mzee Waikela alimsomesha vyema Ilunga kuhusu ftna na chuki ya Nyerere kwa Uislamu na Waislamu na mbinu zinazotumika kuudhalilisha Uislamu. Bilali Rehani Waikela al i kuwa mmoj a wa waas i s i wa TANU We s t e r n Pr ovi nc e mwaka wa 1955 na ni yeye na wenzake ndiyo wal i oml eta Nyerere Nyerere na Bi . Ti t i Mohamed kuja kuitia nguvu TANU Tabora. Ilunga akasomeshwa na Mzee Waikela historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na akaijua na yeye akaisomesha kwa wanafunzi wake. Mzee Waikela vilevile alikuwa Kat i bu wa EAMWS Western Province. Mzee Waikela alikuwa mfano na kigezo kikubwa kwa Ilunga katika maisha yake ya kuwatumikia Wai s l amu na kwa upande wake Ilunga alikuwa mwanafunzi hodari. Nyaraka hizi zilinifkia na nilisoma jalada lile tena na tena na nikaweka azma ya kwenda Tabora kuonana na Ilunga na Mzee Wai kel a. Hi vi ndivyo nilivyokutana na Sheikh Ilunga kwa mara ya kwanza mwaka 1987 na yeye na shemeji yake Salum Ali Mkangwa wakani pel eka kwa Mzee Waikela. Msomaji zi ngati a kuwa haya yote ambayo Ilunga aliyokuwa akisomeshwa na Mz e e Wa i k e l a kuhusu hujuma dhidi ya Ui sl amu i l i kuwa kabla hata John Sivalon hajaandika kile kitabu chake maarufu, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (Ndanda, 1992). Turudi nyuma kidogo. Baada ya kuonana na Ilunga Tabora mwaka 1987 tukaj akuonana t e na mwa ka 1 9 8 8 ka t i ka s e mi na ya vi j ana wa Ki i sl amu wa Tanzania Bara na Visiwani iliyofanyika Dodoma, ' ' Uni t y of Muslim Umma.'' Mmoja katika wahadhir katika semi na i l e al i kuwa Sheikh Hamid Jongo ndiyo kwanza anatokea masomoni Saudi Arabia. Ilikuwa katika semina hii ndipo kwa mara ya kwanza nilipofahamiana na Sheikh Issa Ponda. Semina hii ilikuja baada ya mambo mengi dhidi ya Uislamu kutokea. Kulikuwa na sakata la Sophia Kawawa kutaka Qur' an i badi l i shwe. Hi i i l i t okea mwezi Mei 1988. Baada ya kauli hiyo palifanyika maandamano makubwa kumpinga na Waislamu walishambuliwa baadhi wakauliwa na wengine wakapat a ul emavu wa mai sha. Shei kh Said Gwiji mshitakiwa namba moja na wenzake wa l i s h i t a k i wa n a wakafungwa jela miezi 18. Kosa lao likiwa ni kuihami Qur'an ya Allah isichezewe. Kulikuwa na vita vikipigwa dhidi ya vazi la hijab na kesi maarufu i l i kuwa ya Fikira Omari mfanyakazi wa Kiltex. Kulikuwa na kes i ya Kur wa Shauri aliyeshitakiwa kwa ' ' uchochezi' ' na mambo mengi ne ya kutisha katika hayo l i l i kuwa t at i zo l a Mchungaji Christopher Mt i ki l a al i yekuwa a k i m b u g h u d h i R a i s Mwi n y i n a k u w a s h a m b u l i a Waislamu hasa wenye as i l i ya Ki as i a na Ki arabu. Kul i kuwa na pia na ' ' Christian Lobby,'' katika vyombo vya habari vilivyokuwa v i k i wa p i g a v i t a Waislamu waliokuwa katika serikali ya Rais Mwinyi achilia mbali kuupiga vita Uislamu wenyewe. Kipindi hiki kilikuwa ki gumu s ana kwa Waislamu khasa kwa kuwa rais aliyekuwa madarakani alikuwa Muislamu, Ali Hassan Mwinyi. Kubwa zaidi ni kuwa Nyerere aliwaacha Wa i s l a mu k a t i k a hal i mbaya sana ya unyonge kwa kuitumia BAKWATA. Vijana wa Kiislamu walikuwa na mtandao wa aina yake wakifuatilia kila jambo na kujitahidi kuuhami Uislamu. Sheikh Ilunga h a k u wa mc h e z e a pe mbe ni , a l i kuwa katikati ya harakati hizi zote. Semina hii ilipokuja ilitukutanisha wengi tukajuana kwa sura na majina. Uelewa wa I l unga ka t i ka harakati hizi ulijitokeza wazi kati ka semi na ile. Baada ya sala ya Alfajir katika semina ile Ilunga alikimbilia uwanja wa mpira kwa kikapu kupiga ''shots'' katika kikapu ndipo nilipokujakujua kuwa a l i kuwa mc he z a j i bi ngwa wa mchezo huu. Nilistaajabu sana kuona jinsi alivyokuwa mwepesi kuruka na kukimbia achilia mbali kuwa na umbo kubwa. Mi a k a y a 1 9 9 0 Sheikh Ilunga alikuwa Inaendelea Uk. 11 11 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Makala Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ni msiba kwa vijana Inatoka Uk. 10 amehami a Mwanza akitokea Tabora. Hii ilikuwa baraka kubwa kwa Mwanza kwani mar a t u al i pof i ka al i anza kuendes ha darsa katika misikiti na kutoa mihadhara. Al i anza kufundi sha somo l a Maari fa ya Kiislam katika shule na akaweka darsa la kudumu Msikiti wa Sheikh Alamin mbali na darsa duara kadhaa na kujenga shule - Nyasaka I sl ami c Secondary. Haikupita muda hali ya Mwanza ikabadilika darsa za Sheikh Ilunga zilizaa matunda vijana wal i j i tathmi ni upya na taratibu umoja wa Ki i sl am ukai mari ka na hi i i l i angi a hadi BAKWATA. Viongozi wa l i o c h a g u l i wa kuongoza BAKWATA wa l i k u wa k we l i viongozi na viongozi hawa wakawa sasa wanaf anya kazi ya Allah. BAKWATA ya Mwanza ikawa tofauti na BAKWATA nyingine nchini. Kuna siku Ilunga alinifahamisha kuwa BAKWATA ya Mwanza i namt umi ki a Al l ah, Waislam wasiwe na hofu yoyote. Alinifahamisha k u wa ms i ma mo waliouweka ni kutiana nguvu kat i ka yal e ambayo wanakubaliana mathalan elimu kwa vi j ana. Haukupi t a muda mrefu Mwanza ukawa mji wa kupigiwa mfano katika juhudi za maendeleo ya Waislam. Ilikuwa katika kipindi hiki siku moja usiku wa manane I l unga akavamiwa nyumbani kwake na ''majambazi.'' Haya ' ' maj ambazi , ' ' ya l i kuwa ma t a t u. Mmoj a al i baki nj e akilinda doria na wawili walivunja mlango na kumwi ngi l i a ndani na mapanga. Ilunga alikuwa mtu wa miraba minne. Alikabiliana nao na nyasi zilisagika hata hivyo Ilunga aliumizwa vibaya sana. Wakati yale majambazi yanakimbia Sheikh Ponda Issa Ponda kutoka ndani Ilunga a l i ms i k i a mmo j a akimuuliza mwenzake, ' ' Vi pi umemmal i za? Jibu likatoka, ''Utasikia kesho. ' ' Ni l i pokuj a kukutana na Il unga ni l i muul i za ni nani wal i ot aka kumuua. Ilunga alinifahamisha. A k a s e ma ' ' Wa l e niliopigana nao wote wa wi l i wa l i k u wa w a m e v a a b u t i zilizofanana na buti hizo nazijua zinapovaliwa lakini sina ushahidi zaidi ila Allah ndiye mjuzi.'' Mauaji ya Waislam Msikiti wa Mwembechai mwaka 1998 lilikuwa j ambo kubwa katika hi st ori a ya Ui sl am. Katika kuadhimisha mwaka mmoja tangu mauaji yale Waislam wal i mual i ka Shei kh Ilunga aje azungumze Msikiti wa Mtambani. Kipindi hiki Sheikh P o n d a a l i k u w a amej ificha baada ya kupata taarifa kuwa anataka kukamatwa. Dares Salaam ilikuwa haijamsikia Ilunga. Siku ile ndipo walipokiona k i p a j i c h a k e c h a kuzungumza. Hadhira ile ilikuwa kama vile i me mwagi wa maj i baridi. Sauti iliyosikika i ki ungur ma kat i ka vipaza sauti vyenye nguvu kubwa vya Mtambani ilikuwa sauti ya Ilunga ikipokewa h a p a n a p a l e z a vibwagizo vya ''Takbir Allahu Akbar.'' Kamera zilizokuwa mbele ya kibla kuchukua tukio lile zilikuwa hazihesabiki. Vi d e o z a S h e i k h Ilunga zikasambazwa nchi nzima na athari yake ilikuwa kubwa sana. Wale Waislam wal i okuwa hawaj ui kinachotendeka nchini walianza kujua ukweli wa mambo. Kilio cha Waislam kuhusu dhulma kikawa sasa kinatambaa nchi nzima. Serikali nayo kwa upande wake i l i zi di kuwaandama masheikh na viongozi wa Wai sl am na hi i ikapelekea kuzinduliwa Azimio la Tungi. Hakuna al i ye s hangaa s i ku viongozi wa Waislam wa l i p o k u s a n y i k a Ms i k t i wa Tu n g i na kutoa ' ' Azimio la Tungi,' ' ambako kwa ma r a ya k wa n z a neno ' ' Mfumokristo' ' lilitumika. Msomaji wa Azimio la Tungi alikuwa Sheikh Ilunga Hassan Kapungu. Azimio la Tungi lilikuwa Azimio la vita. Vyombo vyote vya habari havikuweza kuandika Azimio la Tungi limesema nini. Maneno yaliyokuwa ndani ya Azimio lile ya l i kuwa ma ne no mazito yenye ukakasi uliokusudiwa. Ilikuwa baada ya Azi mi o l a Tungi ndipo Waislam baada ya matayarisho ya kutosha wakasimama Ukumbi wa Diamond kuieleza serikali kuwa i n a e n d e s h wa n a Mfumokristo. Yaliyobaki ni historia. Unahitaji kuandika kitabu kizima kumwel eza I l unga. Ilunga alikuwa jasiri mtu asiye na uoga wa kumuogopa yeyot e yul e. Shei kh Il unga amesomesha vi j ana wengi s ana kat i ka maisha yake na bila ya yeye mwenyewe kusema kwa dhahiri ukiangalia maisha yake na kama ulibahatika kuhudhuria darsa zale utajua kuwa Sheikh Ilunga alikuwa anawalenga vijana na kwa hakika niliwaona vijana wake wengi katika maziko yake. Baada ya maziko nilimuona mmoja wa vijana wake Sheikh Chambuso Rajab Ramadhani kut oka Tanga na wenzake wamel i beba j eneza wanalirudisha msikitini. Al l ah ams ame he ndugu yet u Shei kh Ilunga Hassan Kapungu makosa yake na amjazie pale palipopungua na amtie katika Pepo ya Firdaus. Amin. 12 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Mashairi/Habari Salamu alaykumu, jamia ya Isilamu, Nadhani mnafahamu, dunia si ya kudumu, Maisha yakihitimu, tutakufa kwa awamu, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
ILUNGA ameondoka, yatosha ni mawaidha, Kifo lazima kufka, tusione ni bughudha, Kila mtu kumfka, hilo jambo la faradhi, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Kuzaliwa pia kufa, qadari ya Maulana, Hiyo ndiyo yake sifa, mpango wake Rabbana, Amepanga bila ufa, kwenda yakifuatana, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Atakumbukwa ILUNGA, mengi alotuachia, Hakuwa ni wakuringa, umma ulishuhudia, Harakati alifunga, pale alipougua, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Alikuwa ni hodari, mweledi wa kuongea, Na alikuwa tayari, ya Mungu kuyatetea, Hakuihofu hatari, wala jela kuingia, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Maradhi kumuandama, miwili na nusu miaka, Subira ikasimama, akimtaja Rabuka, Akapata na tuhuma, polisi wakamshika, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Polisi Mwanza tokea, Tabora kufatilia, Kisha kumsimamia, bunduki kumwelekea, ILUNGA tunakwambia, kituoni elekea, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Hata na mahakamani, kuripoti amelala, Mkeka kimbilieni, mnipe kitu cha kula, Jamani sina amani, mwili naumwa jumla, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Na misukosuko tena, ya dini kufkiria, Kuonekana bayana, roho kuzidi umia, Mitihani ya Rabana, ILUNGA kumfkia, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Kaditamati watama, subiri ninatulia, Kwa kweli nashika tama, macho machozi kutoa, Namshukuru karima, na kumuombea dua, Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.
Mwl. Zabibu Iddi Ng`onda Mwanza INNALILAHI WAINA ILAYHI RAJIUN Kumbe mke wa Rais Zuma aliwahi kubakwa Sasa mamilioni ya Rand yadaiwa yanaimarisha 'Nkandla' VIBWEKA VYA UCHAGUZI MKUU A. KUSINI KUONGEZA kiwango cha ulinzi na kuboresha makazi ya nyumbani kwa Rais Jacob Zuma, ki j i j i ni Nkandl a, l i l i k u wa j a mb o muhimu kwasababu wavamizi waliwahi kuvunja nyumba hiyo na kumbaka mkewe muongo uliopita. Ha yo a l i ye s e ma Ra i s Zu ma j i j i n i Johannesburg, Jumatatu hii. "Nyumbani kwangu kuliwahi kuchomwa mo t o ma r a mb i l i wakati wa vurugu wahalifu hawa walikuja, wakambaka mke wangu wakati huo nikiwa bado nafanya kazi KwaZulu- Natal's economic afairs (MEC)," hayo ni maneno ya Rais Jacob Zuma wakati akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari. Bila shaka hii ilikuwa kati ya mwaka 1994 hadi 1999 wakati ambapo Rai s Zuma al i kuwa akishughulika na kazi hiyo. Al i sema wahal i fu hao wal i kamat wa, walishtakiwa na kutiwa hatiani. Lakini hakutaja mkewe aliyebakwa ni yupi kati ya wake zake wanne alio nao. Ms i ma mi z i wa Mali za Umma, Thuli Madonsela alimtaja Rais Zuma na familia yake kuwa alifaidika na Rand milioni 246 kinyume na matumizi kwa ajili ya kuboresha makazi na ulinzi katika himaya ya nyumbani kwake KwaZulu-Natal. Rais Zuma alivijia juu vyombo vya habari na kuvi kosoa kuwa havifanyi kazi zake kwa weledi na kwa maadili ya habari, na kuvilaumu k wa k u s h i n d wa kutimiza wajibu wao na kwa kumchafua kwa kumwita yeye ni fsadi. "Kwa kweli sio haki k a b i s a k wa mb a ni me f uj a f e dha z a serikali." Rais Zuma alikuwa akizungumzia habari ya Madonsela na ripoti ya serikali -Inter-ministerial task team. Ripoti ya Tume ya serikali (The task team) ilibainisha kwamba Rais Zuma al i kuwa haj ui lolote kuhusu gharama zilizotumika kuboresha makazi yake. Waziri wa Utumishi wa Umma, Thulas Nxesi, al i l aumu kut ofuat wa taratibu katika kuteua wazabuni na ununuzi wa vifaa. "Nilikuwa bado sijatoa mt azamo wangu j uu ya suala hilililikuwa lionachunguzwa. Hakuna ushahidi wa utendaj i mbovu. "Hakuna kilichokosewa kuhusu Nkandla. Hakuna serikali iliyojenga nyumba ya Zuma" alisema. A l i s e ma g a z e t i lililochapisha picha za himaya yake huko kijijini ( Nka ndl a ) l i l i kuwa linapotosha watu. Alisema picha hizo zinawajengea watu hisia kwamba Zuma anajenga ki t u ki kubwa kul e (KwaZulu Natal). " K a t i k a p i c h a iliyochapishwa, zahanati ya serikali imewekwa k a ma s e he mu ya nyumbani kwangu." Nimekula kiapo, na ninaendesha nchi sio kampuni ya ujenzi. "Sio sawa kutoa picha ya nyumbani kwa Zuma na maelezo ambayo si sahihi." Alisema Rais Zuma. Rais Zuma alisisitiza kuwa naye ni rai a anayestahili haki. "Mimi pia ni raia. Nahitaji ulinzi pia. Ripoti ya Msimamizi wa mali za Umma haikusema Zuma amefuja fedha za serikali. Sidhani kuwa ni kumtendewa haki raia." Tuhuma hi zi dhi di ya Rais Zuma zimekuja wakati Afrika ya Kusini ikiwa katika harakati za uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano wiki hii na matokeo yake yanat ar aj i wa kutangazwa leo. RAIS Jacob Zuma akikata keki na wake zake katika sherehe yake ya kutumiza miaka 70. INNALILAHI WAINNA ILAYHI RAJIUN Familia ya Mzee Hassan Kapungu wanatoa Shukrani zao Za Dhati kwa wote waliohusika kumuuguza na Kushirikiana kumzika Al-Mar-hum Kipenzi Chao Sheikh ILUNGA HASSAN KAPUNGU aliyefariki Jumapili Usiku wa Tarehe 4/05/2014 Jijini Dar es salaam na matayarisho ya Mazishi kufanyika katika Msikiti wa Kichangani Magomeni Mapipa (T.I.C) na kuzikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu hapo hapo Magomeni tarehe 5/5/2014 Al-ASRI. Allah awalipe kila la Kheri na kuwaepusha na Shari pia Amghufrie Marehemu Madhambi yake na kumuweka katika makazi mazuri ya BARZAQ. Shukrani 13 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Makala 0715-860120 / 0758-447051 / 0653-532456 NAFASI ZA MASOMO 2014-2015 Bismillahir Rahmanir Raheem K AMBONI IG TEACHERS COLLEGE KIGOGO Na Usajili CU 130 CU 124 B w e n i K u t w a n a
WAHITIMU WOTE WATAAJIRIWA NA SERIKALI NB: Inawezekana Kuunganisha VYETI RESITING PROGRAMME DIPLOMA YA UALIMU WA SEKONDARI (Miaka 2) Kituo No. 5089, WALIOKOSA POINTI 34, WATARUHUSIWA KUSOMA UALIMU HUKU WANARUDIA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE CHETI UALIMU WA AWALI (Mwaka 1) (Vigezo:Principal Pass 2, Kuanzia 2004-2013) Ufaulu: Div I,II,III kwa masomo ya sayansi watapewa RUZUKU na MKOPO na SERIKALI) Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia 2004-2013 NA Awe na Credit 2 katika masomo ya Sayansi/Hisabati na English. Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia 2004-2013. Ufaulu: Awe na Uzoefu wa Miaka 2 kazini Kidato cha VI,na kupata Principal Pass moja na Subsidiary moja (Msingi) ondari) (Sek DIPLOMA MAALUM YA UALIMU-KIDATO CHA IV (Miaka 3) (masomo ya Sayansi/Hisabati na English) (Msingi na Sekondari) DIPLOMA YA UALIMU-ELIMU YA MSINGI (Miaka 3) DIPLOMA YA UALIMU-KAZINI (Miaka 2) Awe amemaliza Form IV DIPLOMA UALIMU WA AWALI
(Miaka 2) UALIMU WA MSINGI (Grade IIIA Miaka 2) Form 4: Div III Point 25-31, Waliomaliza 2013 Au Div III, waliomaliza 2004-2012 Na Form 4: Div IV, Point 32-34, Waliomaliza 2013 Au Point 26 - 27, waliomaliza 2004-2012 Au Mwenye Ufaulu wa D katika Masomo ya Sayansi, Hisabati, English na Kiswahili wataruhusiwa baada ya kufanya Foundation Course Waliopata Principal Pass 1 na Subsidiary 1 au Subsidiary 2 katika masomo yote ataruhusiwa kusoma Ualimu baada ya kufanya Foundation Course. ASSAM Ka b i l a l a B o d o linalotaka kujitenga n c h i n i I n d i a , l i mewas hambul i a Wa i s l a m u w a j i mbo l a As s a m ambapo Wai sl amu wa s i o p u n g u a 3 2 wameuawa. Imeari fi wa kuwa wa na mga mbo wa kundi linalojulikanalo kama Har akat i ya Kitaifa ya Demokrasia ya Bodoland, waliingia kwa nguvu kat i ka nyumba za Waislamu katika kijiji kimoja na kuwaua. Mbali na kuuliwa Waislamu hao zaidi ya 32, mamia ya wengine wamejeruhiwa katika hujuma hiyo ya kabila ya Bodo. Taari fa zi nasema k u wa ma e l f u ya Wai sl amu wengi ne w a m e l a z i m i k a kuyakimbia makazi yao wakihofa kuongezeka hujuma dhidi yao. Awali iliripotiwa kwamba fami l i a za waliouliwa zilikataa kuwazika jamaa zao, ikiwa ni hatua yao ya kulalamikia serikali juu kukithiri mauaji Mauaji ya Waislamu India wanayof anyi wa na wanamgambo wa Bado, kwamba mauaji hayo muendelezo vitendo vya jinai dhidi ya walio wachache nchini India. Ki j i j i hi c ho c ha Waislamu kilichopo karibu na mlango wa kuingia katika Mbunga ya Kitaifa ya Manas, ni sehemu maarufu ya utalii nchini humo. W a i s l a m u wa l i o a n d a m a n a wamemtaka Mkuu wa Jimbo la Assam, Tarun Gogoi, atembelee eneo lao ili aweze kuwapa uhakika wa usalama wao. M w a k a 2 0 1 2 k a t i k a J i mb o l a Assam, l i l i kumbwa na mauaji kama haya yaliyoshuhudiwa hivi karibuni. I meel ezwa kuwa B o d o l a n d , e n e o wanaloishi watu wa kabila la Bodo wanataka kuj i t enga na I ndi a katika jimbo la Assam. Kabila hilo limekuwa likidai kuwa Waislamu wa eneo hilo waliingia eneo hilo kinyume cha sheria kutoka nchi jirani ya Bangladesh, hivyo wanapaswa kuondoka. Hata hivyo Polisi nchini India wamesema wamewatia mbaroni watu 22 waliochoma nyumba za Waislamu j i mb o n i As s a m. Ai dha i me e l e z wa k uwa Wa k uu wa Jimbo hilo wamesema w a n a t a f a k a r i pendekezo la kuwapa Wa i s l a mu s i l a h a waweze kujihami. Ma c h a f u k o n a u mwa g a j i d a mu yanajiri India katika hali ambayo Uchaguzi Mkuu unaoendel ea nchi ni humo, huku uhasama wa kikabila na kidini katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ukiwa mkubwa. Ch a ma c h e n y e misimamo mikali ya Ki hi ndu, Bharat i ya Jannata, maarufu kama BJP kinaonekana kuwa na ushawishi mkubwa na inakadiriwa kuwa ki t ai buka mshi ndi katika uchaguzi, jambo ambalo limezuoa hofu kwamba l i naweza kuweka hali ya usalama kwa Waislamu kuwa mbaya zai di nchi ni humo. Waislamu wa Jimbo la Assam wanaishi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh katika milima ya Himalaya. Kabila la Bado ni la watu wanaofuata dini ya Kibudhha, ambao wana chuki za kidini dhidi ya Waislamu. Waislamu wa eneo hilo wanasema hawajadhulumu ardhi wanayokaa hivi sasa kwani t angu j adi wamekuwa wakiishi hapo. Nar endr a Modi , mgombe a wa BJ P anayewania nafasi ya Waziri Mkuu wa India, amekuwa aki s ema katika kampeni zake za uchaguzi , kuwa atakabiliana na watu ambao amewataja kuwa ni wahamiaji haramu kut oka Bangl adesh walioko India. Wakos oaj i wake wa n a a mi n i k uwa ma t a ma s h i h a y o ni j a mbo a mba l o litasababisha kuibuka machafuko nchini India. J u m u i y a y a Waislamu India imetoa t aar i f a ya kul aani wa b a g u z i a mb a o wametekeleza mauaji na unyama dhidi ya Waislamu, wakiwemo watoto katika eneo hilo la Kaskazini Mashariki. Inasadikiwa kuwa India ni moja ya nchi zenye i dadi kubwa zai di ya Wai sl amu duniani. Kwa mujibu wa takwi mu rasmi , Wai sl amu I ndi a ni asilimia 13 ya watu wote, ambao ni bilioni moja na milioni 200. Kabila la Bado lina idadi ya watu takribani milioni moj a. Jamii hiyo pia inapatikana n c h i n i N e p a l . Waislamu wa Jimbo la Assam wanasema badal a ya ser i kal i ya j imbo kutafakari kuwatia mbaroni na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheri a watenda jinai, imetoa tishio kuwa Waislamu wat asht aki wa kwa tuhuma za kuvuruga nidhamu ya umma. Vyombo vya habari India vimesema kuwa ya na yoj i r i ka t i ka jimbo la Assam, yana c h i mb uk o k a t i k a uchaguzi mkuu nchini humo. Pamoj a na kuwa watu wa kabila la Bodo we nye mi s i ma mo mikali wanadai kuwa Waislamu wa jimbo la Assam wameingia India kinyume cha sheria kutoka Bangladesh, ukwel i wa mambo ni kuwa mauaj i ya Waislamu yana sababu nyingine. Taarifa zameeleza k wa mb a Wa k u u wa kabi l a l a Bodo wamekasirishwa na kitendo cha Waislamu kutomuunga mkono mgombea wa Wabodo. Mt azamo huu pi a umet hi bi t i shwa na Islam Ahmad, Kiongozi wa Wa i s l a mu wa Bodoland. MAJERUHI katika shambulio dhidi ya Waislamu jimboni Assam, India akiwa kabebwa na wasamaria baada ya shambulio. 14 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 TANGAZO ISLAMIC PROPAGATION CENTRE P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org 4. Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi (10,000/=) katika vituo vifuatavyo:
Arusha - Ofsi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni 0763 282 371/ 0784 406 610. Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533 Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 - Ofsi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770. Musoma - Ofsi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofsi za TRA. - 0688 479 667 Shinyanga - Masele com: Ofsi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama ofsi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Ofsi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474. Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380 Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086 Singida - Ofsi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039 Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Ofsi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902. Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802. Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663. Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007. Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209 - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209 Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122 Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331 Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Mafa - Ofsi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627 Ikwiriri - Masjid Aqswa: 0782 838749/0656531133 5. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha. USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA! MKURUGENZI WABILLAH TAWFIIQ NAFASI YA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI, 2014/2015 CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC Waislamu wote mnatangaziwa nafasi za mafunzo ya Ualimu Nganzi ya Cheti katika chuo cha ualimu Kirinjiko Islamic. Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,mafunzo haya yako ya aina mbili: 1. MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA CHETI, DARAJA A Muda wa Mafunzo : Miaka 2 Mwombaji awe: (a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2013. (b) Mwenye ufaulu wa kiwango kisichopungua daraja la III (Division III katika mtihani uliofanyika katika kikao kimoja. 2. MAFUNZO KABILISHI (BRIDGING COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI DARAJA A Muda wa Mafunzo: Mwaka 1 Mwombaji awe: (a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2012 na awe amefaulu kwa kiwango kisichopungua Daraja la IV (Division IV) kwa alama 26 au 27 (Kwa mtihani wa mwaka 2004 hadi 2012) na alama 33 au 34 (Kwa mtihani wa 2013) kwa mitihani iliyofanyika katika kikao kimoja; na (b) Mwenye uf aul u wa angal au ki wango cha D kat i ka masomo ya Sayansi,Hisabati,English na Kiswahili katika mtihani wa kidato cha IV. Tanbihi: watakaofaulu mtihani wa mafunzo kabilishi wataendelea na mwaka wa pili wa mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti, Daraja A. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE 1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certifcates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni. 2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 21/06/2014 saa 2:00 asubuhi. 3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo: (a) Kirinjiko Islamic T.C SAME (b) Ubungo Islamic T.C DSM (c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza 15 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Habari Usia wa Sheikh Ilunga kwa Wazanzibari Inatoka Uk. 16 kuhakikisha kuwa kichaka kinachoficha mfumo kristo kinapigwa moto. Na hiyo itafanyika kwa kuwa na muungano wa haki ambapo pande mbili za muungano, Tanganyika na Zanzibar zitakuwa na haki sawa, sio huu wa serikali ya Tanganyika kujivika joho la serikali ya Tanzania. Ilunga alimalizia kwa kuwapa changamoto viongozi wa serikali ya Zanzibar, Rais Ali Mohammed Shein, na Makamo wake wawili, Maalim Seif Sharif Hamad na Bal ozi Sei f Al i I ddi kwamba wao wametoka katika migongo ya wazee wa Kiislamu na hivyo, hawawezi kukwepa jukumu la kuona hadhi ya Uislamu inarudi kama ilivyokuwa wakati wakilelewa na wazee wao. Kabla ya kutoa nasaha hizo, Sheikh Ilunga alisema kuwa mfumo wa muungano ul i opo umekuwa kama kichaka unakojifcha mfumo kristo kuiburura Zanzibar katika idhilali kwa kuipora nguvu zake za kisiasa na kiuchumi na kubwa zaidi kuhuj umu Ui sl amu na Waislamu. Aliyabainisha hayo katika kongamano lililofanyika kat i ka eneo l a Markaz Tabligh, Ole Kianga, Pemba Jumapili Oktoba 2, 2011. K o n g a m a n o h i l o lililohudhuriwa na maelfu ya Waislamu kutoka sehemu mbalimbali za Pemba, lilijadili hatari ya mfumo kristo kwa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Awal i Shei kh I l unga Hassan Kapungu alisema kuwa, inaweza kuwa jambo lisiloeleweka ukizungumzia mf umo kri st o kwa vi l e takriban viongozi wote wa serikali na taasisi muhimu ni Waislamu, Wapemba na Waunguja. Hata hivyo akasema kuwa, ile kuwa inaitwa ni serikali ya Zanzibar haina maana kuwa serikali hiyo ni serikali inayoongoza dola kwani mamlaka yote ya kisiasa yapo katika serikali ya muungano. Aki f a f a nua a l i s e ma kuwa yapo mambo ambayo Wazanzi bari wangetaka kufanya au kuamua kwa masilahi ya nchi yao, lakini hawawezi kuyafanya kwa vile muungano umewapora nguvu za kisiasia. Na kwamba, yale mamlaka ya ki dol a na ki si asa ya Zanzi bar yal i zi kwa na kusomewa talakini siku ASP ilipoungana na TANU ambapo CCM i l i s hi ka hatamu na maamuzi yote muhimu kuwa yanafanyika Dodoma. Maalim Basaleh, Mohamed Issa walivyomzungumzia Ustadh Ilunga Inatoka Uk. 16 na anayakubal i kama alivyofanya Shkh. Ilunga. Alisema. Maal i m Bas wal eh, alisema msiba wa Shkh. Ilunga, uliokusanya umma wa Kiislamu unaonyesha ni namna gani Waislamu wenzake walivyo kuwa radhi naye na kukubali juhudi zake alizokuwa akizifanya wakati wa uhai wake. Laki ni , al i sema ni vyema Waislamu wakaiga nyayo zake, ili kila mmoja aweze kupata aliyoyapata Shkh. Ilunga, na kwamba ki l a mmoj a aangal i e atajitahidi kwa namna gani kwa ajili ya kupeleka mbel e Ui sl amu wake na kuwatetea Waislamu wenzie. Na hii ni ishara na dal i l i nj ema ya huko a na k o k we nda , k wa sababu Mtume, anasema maneno ya waumini vile watakavyo sema ndio kal amu ya kuandi ki a haki mbele za Mweneyezi Mu n g u . Al i s e ma Maalimu Baswaleh. N a y e , S h e i k h Mo h a mme d I s s a , alisema leo Shkh. Ilunga, amekwenda kwa Mola wake, lakini kinachopaswa kufahamika ni kwamba kila mmoj a ana nafasi ya kuwa Shkh. Ilunga, k i n a c h o a t a k i wa n i maamuzi tu. Shei kh Il unga, l eo hatunaye, swali la kujiuliza ki na Il unga, wengi ne wapo wapi? Lakini kila mmoja anafasi ya kuwa Shekh. Ilunga, ni nafasi ya kuamua tu na kuomba tawfiq ya Allah (s.w). alisema Shkh. Issa. Akiwafariji Waislamu juu ya kuondokewa na Mwanaharakati huyo, aliyekuwa kipenzi cha Waislamu kutokana na kukemea dhulma dhidi yao nchini, Shkh. Issa, aliwataka kutokuwa na wasiwasi, kwani alisema Allah (s.w), anajua wapi atapitishia ujumbe wake. Kufiwa na viongozi katika Uislamu ni jambo la kawaida, miaka kadhaa nyuma ni nani alikuwa anamj ua na kumt aj a Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, wal i kuwa wanatajwa wengine tu, lakini alisimama na umma ukamjua na leo twamtaja na tutaendelea kumtaja baada ya kut ekel eza wajibu wake. Alisema Shkh. Issa. Akawataka Waislamu k u e l e wa k wa mb a , hakuna unabi i baada ya Nabii Muhammad, lakini wafikishaji wenye kufikisha na kukemea dhul ma Al l ah ( s. w) atawaleta tu, na kwamba wale wanaodhani harakati za Kiislamu zinaweza kwisha kwa sababu ya kuondokewa na wakemea dhulma dhidi ya Waislamu, walikatie tama jambo hilo. Akielezea maandalizi ya umauti kwa Waislamu , alisema yapo maandalizi ya aina mbili, kwanza ni ya nafsi kwamba unaiandaaje mpaka ukakutane na Mola wako baada ya kuvishinda vishawishi vya duniani katika masha yako. Maandal i zi ya pi l i , alisema ni kuufikisha Ui sl amu kwa umma, kwakuwa Uislamu si dini ya mtu binafsi, ukaishia kuswal i na kuf unga, akasema kama ingelikuwa hi vyo basi l eo Shkh. Ilunga, umma wa Kiislamu usingemfahamu. Hi l i l a kuamri sha mema halina tatizo sana na linafanywa na wengi, kwa sababu halina misukosuko kwa anayefkishiwa, lakini kazi ipo katika kukataza maovu na kuke me a dhulma, mambo ambayo mtu kaamini ndio dunia yake, uki fanya hi vyo wewe s as a ut ai ngi a kwa kina Ilunga Hassan Kapungu. Alisema Shkh. Mohammed. Shkh. Issa, al i sema kuielezea dhulma dhidi ya Waislamu ndio kazi aliyoifanya sana Shkh Ilunga, na leo (Jumatatu) umma mmeshuhudi a nini amekipata baada ya kurejea kwa Mola wake, kwani kapata heshima na utukufu kwa Waislamu. Alisema, hapana budi kwa kila Muislamu kuwa na hamu na alichokipata Shkh. Ilunga, kwa kuanzia pale alipoishia yeye katika kazi ya kukataza dhulama katika mambo ambayo Uislamu unafanyiwa. Alisema, kazi aliyokuwa akiifanya Shkh. Ilunga, ya kuf i ki sha uj umbe kwa kukataza dhulma wazi wazi kwa maadui wa Uislamu, ni kazi ya kukuweka katika hali ya kuonekana ni adui kwa wapendao dhulma na ni jambo ambalo Masheikh wengi hawaiwezi kazi hiyo. Alisema, kinyume chake kazi ya kukaa Misikitini na kudarasisha ndiyo imekuwa nyepesi kwa Masheikh wengi, lakini kazi ya kuutoa Uislamu nje ya kuta nne za Msikiti, si tu kwa kuamrisha mema bali kukataza na kukemea dhulma ambazo Uislamu unafanyiwa, hii ni ngumu kwa walio wengi. Na tati zo zai di ni pale sisi tusio iweza kazi hiyo tunawabeza wale wanaoiweza, na huyo anayebeza yupo muda wote Msikitini na kanzu na ki koi , muda wot e anadarasisha tu, hajawahi kusimama mbele ya watu wasioupenda Uislamu na a ka ke me a ka ma walivyofanya Maswahaba, l aki ni yeye anaj i ona kuwa ni bora kuliko yule anayekemea dhulma dhidi ya Waislamu. alisema Shkh. Issa. Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, alifariki dunia Usiku wa Jumapili majira ya saa tano usiku, na kuzikwa siku ya Jumaptatu baada ya swala ya Al- Aswir, katika makaburi ya Mwinyimkuu, Magomeni Jijini Dar es Salaam. Aki t oa mf ano al i t aj a uchaguzi mkuu ambapo jina linalopitishwa kugombea Urai s l aweza kuwa l i l e ambalo halikupata ridhaa ya Wazanzibari. Na ha t a k uo ndo k a madar akani , ki ongozi anaweza kuondolewa bila ya Wazanzibari wenyewe waliompigia kura au vyombo vyao vya uwakilishi kama Bar aza l a Wawaki l i shi kuhusishwa. Akatajwa mfano wa Mzee Aboud Jumbe aliyekwenda mkutanoni Dodoma akiwa Rais akarudi Urais akiwa ameuacha Dodoma. Sheikh Ilunga kwa kutoa mfano huo alisema kuwa Alhaj Aboud Jumbe, yalimfka kwa sababu alihoji muungano na kuhoji kwenyewe si kutaka kuuvunja, bali kutaka uwe wa haki. Yalimfka. Kwa nini? Kwa nini imefanywa kuwa mwiko kuhoji muungano? Alisema na kuhoji Ilunga. Kabla ya kutoa jawabu, Sheikh Ilunga alirejea pia hali ilivyokuwa wakati wa Mzee Abeid Aman Karume ambaye alishaonesha kuwa koti la muungano linambana, lakini mauti yakamfka muda mfupi kabla ya kutimiza nia yake ya kulivua. Aligusia pia yaliyomfka Maalim Seif Sharif Hamad, ha t a hi vyo ha kut a ka kufafanua bali akawataka Wazanzi bar i wenyewe wamuulize Maalim nini kilimkuta na kwa nini. Kati ka kukami l i sha hoja yake akasema kuwa muungano umefanywa jambo nyeti na mwiko kujadiliwa kwa sababu ndio uchochoro na kichaka mfumo kristo unakopitia kuiua Zanzibar na kuuwa Uislamu. Ka t i k a h a l i h i y o a k a s e m a k u w a , Wazanzibari watakuwa wakiwalaumu na pengine hata kuwachukia bure viongozi wao, lakini nao wanashindwa kufanya y a n a y o t a k i wa n a Wazanzibar kwa sababu inabidi kwanza watizame Dodoma inasema nini. Kwa maana kuwa jambo kama halijapata ridhaa ya mf umo, hal i wezi kuwa kama ambavyo haikuweza Zanzibar kujiunga na OIC na hivi sasa Tanzania haiwezi kujiunga na jumuiya hiyo kwa sababu maaskofu hawataki, mf umo kri st o haut aki . Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernad Membe aliliambia rasmi Bunge kuwa serikali haioni tatizo Tanzania kuj iunga na OIC, lakini ghafa msimamo ukabadilika baada ya kuitwa na Kardinali Pengo. 16 AN-NUUR RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 16 MAKALA Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.
AN-NUUR 16 RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 Soma AN-NUUR kila Ijumaa MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, alikuwa miongoni mwa maelfu ya Waislamu walioshiriki faradhi kifaya ya kumzika Shei kh Il unga Hassan Kapungu siku ya Jumatatu wiki hii. Kama alivyosema Sheikh Ki shki kat i ka nasaha zake pale msikitini TIC, Magomeni Ki changani , Maalim Seif kashiriki maziko yal e kama Mui s l amu. Al i s h i r i k i k u mz i k a Muislamu mwenzake kama Uislamu unavyohimiza. Kishki akatumia fursa hiyo kuwazindua viongozi wengi ne wa ki seri kal i na wanasi asa kwamba, kuwa kwao madarakani hakuwaondol ei waj i bu wao wa kidini. Akawataka, wasione fahari tu kujitokeza kus hi r i ki ma z i ko ya wa na muz i k i , Bo ng o movies, na mambo kama hayo, lakini vyema zaidi waone fahari kujumuika na Waislamu wenzao katika maziko kama yale ya Sheikh Ilunga. Katika muktadha huu, pamoj a na kuchukuliwa kwamba Maalim kaja kama Mui sl amu, na si kama ki ongozi wa ki si asa au kama Mzanzibari, lakini pengine ingekuwa vyema kutumia fursa hii kusema yale ambayo Sheikh Ilunga aliyasema mwaka 2011 kama nasaha zake kwa Maalim Seif na viongozi wenzake wa Zanzibar na Wazanzibari wote. Katika muhadhara wake mmoja kule Pemba, Sheikh Ilunga alisema kuwa kabari ya mfumo kristo imewakaba barabara Wazanzi bari , hawafurukuti. Hata hivyo, pamoj a na hal i hi yo, Sheikh Ilunga aliwataka Wazanzibari kutokukata tamaa, bali watumie fursa zilizopo kurejesha hadhi yao. Fursa ya kwanza akasema ni wao kuwa Waislamu. Akawat aka wat i zame kwanza hadhi ya Uislamu, ndio ifuatie nchi yao na dola yao. A l i s e m a k u w a , Wazanzi bar ni l azi ma watumie maridhiano ya ki si asa yal i yopo kul eta maridhiano ya Kiislamu. Kwamba amani iliyopo Usia wa Sheikh Ilunga kwa Wazanzibari Na Mwandishi Maalum i t u mi k e k u i ma r i s h a udugu wa Kiislamu, watu wajitambue kwamba wao ni Waislamu kwanza kabla ya jambo jingine lolote. Ni Waislamu kabla ya CUF na CCM na ni Waislamu kabla ya kuwepo Tanzania na muungano wake. Akasema hilo linahitaji Dawah ya kutosha na watu warejee katika Quran waone na kutafakari jinsi Mwenyezi Mungu anavyowaonya juu ya kuwafanya Mayahudi na Manasara kuwa marafki na wasiri wao. Akawakumbusha pi a kuwa Quran imesema wazi kwamba chuki iliyofichwa na Manasara ndani ya vifua vyao ni kubwa mno kuliko wanayoidhihirisha na kwamba hawataridhia mpaka wawar i t adi s he Waislamu, japo wabakie Waislamu wa majina lakini makafri kwa kauli, vitendo na maadili. Kufuatia kauli ya Bwana William Lukuvi kanisani na bungeni , bi l a shaka maneno haya ya Ilunga yanathibitika zaidi. Kwamba ipo chuki dhidi ya Uislamu na Wai sl amu. Na hi yo namna pekee ya kukabiliana nayo, ni kujitizama kama Waislamu, kama Lukuvi na waliokuwa kanisani pamoja naye walivyojitizama kama Wakristo kutoa hofu yao dhidi ya Waislamu walio wengi Zanzibar. Baada ya neema ya Uislamu, na fursa ya kuwepo maridhiano na serikali ya umoja wa kitaifa, Ilunga alitaja fursa nyingine kuwa ni mabadiliko ya katiba yanayokuja. Akasema, ni l azi ma fursa hiyo itumike vizuri Inaendelea Uk. 15 MWANAHARAKATI Al-Marhum Sheikh Ilunga Hassan Kapungu, ameel ezwa kuwa ni mf a no wa kui gwa kutokana na juhudi zake za kukemea wazi wazi dhulma dhidi ya Waislamu enzi za uhai wake. Wa na ha r a ka t i na Wahadhi r i maar uf u nchi ni , Maal i m Al l y Bas wal e na She i kh Mo h a mme d I s s a , wa me ya s e ma ha y o J uma t a t u wi ki hi i , wakihutubia maelfu ya Maalim Basaleh, Mohamed Issa walivyomzungumzia Ustadh Ilunga Na Bakari Mwakangwale Waislamu waliojitokeza k a t i k a ma z i s h i ya Mwanaharakati huyo k a t i k a Ms i k i t i wa Kichangani, Magomeni, Jijini Dar es Salaam. Maal i m Bas wal eh, alisema, Shkh. Ilunga, katika uhai wake alijitolea mai s ha yake kat i ka kuut et ea na kupi nga dhulma dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini. Huy u mwe nz e t u amej i tol ea nafsi yake kuut et ea Ui sl amu na Waislamu katika uhai wake na amekufa kwa hilo, tunatarajia kwamba Mwe n y e z i Mu n g u , atazipokea juhudi zake na kumweka kat i ka j a n n a t uf i l da us , n a si si tul i obaki hatuna b udi k ui g a mf a n o huo. Alisema Maalim Baswaleh. Kwa hakika, Maalima Baswaleh, alisema hakuna mtu anayejua ataishi kwa umri gani hapa duniani, na kwamba watu wanapima umri kwa miaka wala si hivyo. Alisema, kwa kawaida unapomuona mwenzako amefariki akiwa na umri wa miaka 70, na ilihali wewe uki wa ki j ana mwe nye mi a ka 3 0 , unajawa na fkra kwamba na wewe unaweza kufa ukiwa na umri huo. Akasema, ifahamike kwamba kila mtu anaishi kulingana na makadirio ya mapi go yake ya moyo al i vyopangi wa na Mwenyezi Mungu, ambayo yatapiga katika maisha yake ikiwa ni mara bilioni kadhaa na huenda ya ki pungua mpa ka kufkia sifuri. Sasa kama ni hivyo, umejitayarisha vipi kwa ajili ya kesho? Simama uf anye kwa aj i l i ya kesho yako, kwa yale a mb a y o Mwe n ye z i Mungu (s.w) anayaridhia Inaendelea Uk. 15 AL-MARHUUM SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu wakati wa uhai wake akiwahutubia Waislamu.