Está en la página 1de 16

Mtume(s.a.

w) amesema kuwa Mwenye


kuhiji amedhaminiwa na ni mgeni wa Allah.
Tupende sana kuwa wageni wa Mola wetu
na kupata dhamana yake. Tulishaitwa sote
tangu zama za Nabii Ibrahim(a.s), na hakuna
wito mwengine binafsi. Karibuni Ahlu Sunna
wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma
bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Njoo
ukamilishe Dini yako na uboreshe Hijja yako.
Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0655/0765/0682/0777 -462022; Zanzibar: 0777
468018/0685366141/0657606708.
(3) HIJJI UDHAMINIWE NA ALLAH!
ISSN 0856 - 3861 Na. 1124 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 9-15, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz Facebook:annuurpapers@yahoo.com
Ilunga avunja rekodi
Si umati, ni bahari ya watu wa Dar
Watu wapigania japo kugusa jeneza
Sikiliza kauli yake kabla ya sakarati
Lukuvi athibitisha
aliyosema Ilunga
Karume, Seif waliupiga chenga Mfumo
Tahadhari! Msirejee kwa Aus na Khazraj
Uk6
Uk. 7
MWENYEZI Mungu amepitisha Kadar yake usiku
wa Mei, 4, 2014, kwa kumchukua mja wake Sheikh
Ilunga Hassan Kapungu, Innalillah Wainna
illaihir Rajiun.
Kufuatia msiba huo, maelfu ya Waislamu kutoka
karibu mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani,
waliweza kuhudhuria maziko yake yaliyofanyika
Jumatatu ya Mei 5, katika Makaburi ya Mwinyimkuu
Magomeni Jijini Dar es Salaam, kwa kuwakilishwa
na wajumbe wao.
Mwili wa Sheikh Ilunga, uliswaliwa katika Msikiti
wa Kichangani, Magomeni (T.C.), na maelfu ya
Ilunga: Kadari imepita
Na Bakari Mwakangwale
AL-MARHUUM Ilunga BW. Lukuvi.
PICHANI Juu, Waislamu wakigombea kubeba jeneza la Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu. Picha chini wakielekea makaburi ya Mwinyimkuu, Magomeni, jijini Dar
es Salaam kwa ajili ya maziko.
2
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania inawatangazia waislamu
wote Kongamano la Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu litakalofanyika katika Msikiti wa Mtambani leo tarehe
09/05/2014 Ijumaa baada ya swala ya Ijumaa.
Mada mbali mbali kuhusu maisha, harakati na mchango wa
Sheikh Ilunga katika kupigania Uislamu zitatolewa na wanafunzi
wa Sheikh Ilunga.
KAMATI YA MAANDALIZI
Kongamano
Mabaharia wa Zanzibar
washikiliwa Madagasca
MABAHARIA 12 wa
meli ya mizigo MV Wete
wamezuiliwa nchini
Madagasca kwa zaidi
ya miezi mitatu, baada
ya kushindwa kulipia
gharama kufuatia meli
hiyo kuingia nchini
humo wakati ikielekea
Mauritius.
Waki zungumza na
Zenji Fm radio, baadhi
ya wazazi wa mabaharia
hao wamesema watoto
wao wameshi ki l i wa
baada ya mmiliki wa
meli hiyo kushindwa
kulipa shilingi milioni 17
wanazodaiwa mabaharia
hao.
Imeelezwa kuwa meli
hiyo ilingia Madagasca
baada ya kupata hitilafu
ya kifundi na kupewa
huduma , i ki we mo
kukwamuliwa kwenye
mc h a n g a a mb a p o
kila baharia anadaiwa
shilingi milioni moja na
laki tatu.
Ai dha wazazi hao
wamevitaka vyombo
vya usalama kulifuatilia
sual a hi l o i l i kuona
watoto wao wanarudi
nyumbani.
Kwa upande wake
Mk u r u g e n z i wa
Maml aka ya Usafi ri
Baharini Zanzibar, Bw.
Abdi Omar, amesema
mmiliki wa meli hiyo
amewasiliana na Wizara
ya Mambo ya Nje kupitia
Bal ozi wa Tanzani a
n c h i n i Ms u mb i j i ,
i l i k us h ug h ul i k i a
mabaharia hao.
Bw. Omar ameiambia
Zenji fm kuwa mabaharia
hao walikamatwa na
walinzi wa pwani, baada
ya meli yao kuingia
nchini humo kwa madai
ya kukosa kibali cha
kusafrisha mizigo.
M a b a h a r i a
wanaos hi ki l i wa ni
Nahodha Amour Ali
Juma, Revinda Jeram
Harua, Mohamed Amir
Mohammed, Khat i b
Sal um Bakar, Omar
Hassan Mwalim, Mussa
Yussuf Mussa na Ali
Amour Ali.
Wengine ni Eduward
Felis Visso, Haji Ali Haji,
Yussuf Ayoub Rashid,
Mbarouk Bakar Khamis
na S a l um Kha mi s
Hassan.
Mel i ya Mv. Wete
inayofanya shughuli za
usafirishaji wa mizigo
katika ukanda wa bahari
ya Hindi, inamililikwa
na Said Mbuzi.
Zanzibarislamicnews
JAMII ya Waislamu
na wananchi wapenda
haki nchini, hivi sasa
wapo katika simanzi
na majonzi makubwa
kuf uat i a ki f o c ha
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu, aliyefariki
Jumapili usiku tarehe 4,
Mei huko Mbezi Beach
jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi kirefu
Sheikh Ilunga alikuwa
a k i s u mb u l i wa n a
maradhi ya sukari na
f i go, ambapo mar a
kadhaa al i l azi mi ka
kupata matibabu nchini
India, ikiwa ni jitihada
za kurejesha uzima wa
afya yake.
Katika siku za mwisho
za uhai kut oweka,
Sheikh Ilunga alipatwa
na maradhi ya stroke
k a b l a Mwe n y e z i
Mungu kuti mi za i l e
ahadi yake kwa kila
kiumbe chenye uhai
hapa duniani, Innalillah
wa Innailayh Rajuun,
(Hakika sisi sote niwa
Mwenyezi Mungu na
kwake tutarejea) ambapo
Jumapili iliyopita usiku
ilitimia.
Pamoja na kwamba
S h e i k h I l u n g a
ametangulia mbele ya
haki, lakini kuna jambo
kawaachia Waislamu
na jamii kwa ujumla.
Jambo ambalo alikuwa
amelisimamia katika
ki pi ndi chake chote
cha harakati zake kama
kiongozi wa dini.
J ambo l enyewe si
jingine balo ni kutetea
haki za wanyonge dhidi
ya madhalimu, wawe ni
watu binafsi au dola.
Ka t i k a h a r a k a t i
zake zot e za ki di ni
alizokuwa akizifanya
hapa nchi ni , Shei kh
Innalillah wa Innailayhr Rajuun
Ilunga hakusita wala
kuona haya kuikemea
waziwazi dhulma na
madhalimu, bila kujali
mamlaka au ukuu wa
mtenda dhulma, ilimradi
anat et ea haki kwa
anayestahili haki.
Ujasiri aliouonyesha
Sheikh Ilunga katika
kudai haki, ni somo
tosha aliloliacha kwa
Waislamu nchini. Funzo
hili la uj asiri katika
kudai haki na kukemea
udhalimu, sasa linahitaji
kufanyiwa kazi na jamii
ya Waislamu nchini ili
kumtenda haki Sheikh
Ilunga.
Tumal i zi e t u kwa
kunukuu kauli ya Sheikh
Ali Bassaleh aliyoitoa
baada ya kufariki Sheikh
Ilunga, yeye alisema,
" Mwenyezi Mungu
atapokea juhudi zake na
atakwenda kumuweka
k a t i k a F r i d a u s i ,
kwani mazi shi yake
yameonyesha ni jinsi
gani Waislamu wenzake
wal i vyokuwa radhi
naye na walinyozikubali
juhudi zake katika dini
na jinsi alivyopambana
k uut e t e a Ui s l a mu
na Waislam. Hizi ni
dal i l i nj e ma huko
anakokwenda Ishaallah.
Sisi tunatakiwa kufuata
nyayo zake kwani
hakuna mtu anayejua
juu ya hatma ya umri
wake, kuwa ataishi muda
gani katika ulimwengu
huu. Kwa bahati mbaya
kabi sa, wat u wengi
wamekuwa wakipima
umr i k wa mi z a ni
isiyokuwa yao". Alisema
Maalim Bassaleh.
Mwenyezi Mungu
amlaze mahali Pema
Sheikh Ilunga-Amiin.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad.
3
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari
Ilunga avunja rekodi
ALHAMDULI LLAH,
ni me ba ha t i ka j a po
kuligusa jeneza. Hivyo
ndivyo alivyosema mzee
mmoja huku akihema siku
ile ya mazishi.
Watu walipoteza viatu
wakatembea pekupeku
lakini hawakujali ilimuradi
wapat e j apo f ursa ya
kuligusa jeneza ambalo
lilipitishwa juu kwa juu
umati wa watu uki wa
mbele, nyuma na pembeni.
Akielezea maziko ya
Ilunga, Sheikh Mohammed
Sai di anas ema kuwa
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu kaingia katika
historia ya Dar es Salaam
katika kifo chake.
B a h a r i y a wa t u
waliojazana Msikiti wa
Kichangani kuja kuswalia
jeneza lake na kisha kulifata
nyuma jeneza hilo hadi
Makaburi ya Mwinyimkuu,
Ma g o me n i Ma p i p a
haijapatapo kuonekana.
K i s h a Mo h a me d
anasema na kuj i ul i za,
Sheikh Ilunga ni ''mgeni''
katika mji wa Dar es Salaam
kwa maana ya kuwa
hakuzaliwa Dar es Salaam
wala hakuwahi kuishi Dar
es Salaam wala hakuweza
kujinasibu kwa lolote au
chochote katika mji wa
Dar es Salaam. Alikuwa
akija na kuondoka zamani
akirejea kwao Tabora na
baadae baada ya kuhamia
Mwanza, aki j a Dar es
Salaam na kurejea Mwanza.
Iweje leo mji mzima wa Dar
es Salaam usimame na
utoke kuja kumzika Sheikh
Ilunga Hassan Kapungu?
Anasema, Hakika hili
ni swali linalotaka majibu
ya kuridhisha. Na kwamba
Jibu ni dogo na rahisi sana:
Hivi ndivyo Waislamu
wanavyof anya duni a
nzima kila wanapofwa na
kipenzi chao.
Katika hali hiyo, ya
kuwepo bahari ya watu,
wapo wal i orej ea kwa
masi ki t i ko waki sema
kuwa hawakubahatika
kugusa jeneza wala kugusa
mchanga kufukia kwani
ha wa kuwe z a kuf i ka
kutokana na umati wa
watu.
Hata hivyo, wakawa
wanaj ifarij i kuwa j apo
wamepata swala ya jeneza
na kulisindikiza.
Laki ni wapo ambao
hawakukubali kuambulia
hayo tu, baada ya maziko na
Na Mwandishi Wetu
watu kutoka wakajikusanya
na kufka kwenye kaburi la
shekhe kushika mchanga
kulisawazisha.
Ha l i i l i y o pe l e k e a
waliokuwa wakiondoka
kudhani kuwa pengine
palikuwa na maiti nyingine
inazikwa jirani na kaburi la
Sheikh Ilunga.
Hi y o n d i y o h a l i
i l i vyokuwa s i ku ya
Jumatatu wiki hii wakati
wa masi ko ya Shei kh
Ilunga Hassan Kapungu.
Hali ambayo ilisababisha
magari katika barabara
ya Ka r u me k u p i g a
makitaima na kufanya
foleni iliyokwenda hadi
Ilala Boma.
Waliokuwa ndani ya
daladala na magari binafsi
wakawa wamepigwa na
butwaa wakijiuliza nani
huyu jeneza lake limevuta
umati huu wa watu.
Watu wakatoka katika
majumba yao, wengine
wakawa wanachungulia
juu magorofani, ilimuradi
i l i kuwa ki l a mmoj a
aki shangaa umati ul e
umetoka wapi.
K w a w e n g i
walioshuhudia maziko
yal e wanasema kuwa
ni ya kihistoria ambayo
hayajapata kuonekana kwa
miaka ya hivi karibuni.
Ak i z u n g u mz a n a
waumini kabla ya swala
ya jeneza katika msikiti
wa TI C, Ma g o me ni
Ki c ha nga ni , S he i kh
Mohammed Issa aligusia
jambo moja kwa msisitizo
mkubwa kuwa ndio sababu
ya Sheikh Ilunga kuwa
kipenzi cha Waislamu na
kifo chake kuvuta umati
ule wa watu.
Sheikh Mohammed Issa
alisema, kama ni masheikh
wa kut oa mawai dha
mi si ki ni wapo wengi
sana, mpaka wanagombea
Misikiti na uimamu.
Laki ni wa kukemea
dhul ma na maovu ni
wachache, na mmoja wapo
ni Sheikh Ilunga.
Ak a s e ma , I l u n g a
amet hubut u kukemea
ma o v u n a d h u l ma
hadhar ani , amekuwa
na ujasiri wa kumkabili
dhalimu na kumwambia
w e w e d h a l i m u
unawadhulumu Waislamu.
Na hilo tafsiri yake ni
kuwa aliyatoa maisha yake
kwa aj ili ya kupigania
haki za Waislamu, kutetea
Ui sl amu na kuondoa
dhul ma na kukat aza
mabaya katika jamii.
Ni katika kufanya hayo
al i tembea nchi nzi ma
kuelezea mfumo kristo ni
nini na nini madhara yake
kwa Waislamu na kwa
nchi.
Shughuli ilianzia katika
kongamano Di amond
Jubilee, kisha kuzunguka
nchi nzima na kumalizia
D i a mo n d J u b i l e e
a mba po a l i wa a mbi a
Waislamu kwamba, kama
kuna ambal o l i l i kuwa
halifahamiki limejulikana.
S a s a ni ka z i kwa
Waislamu kusonga mbele
kurekebisha dosari zilizopo
ili kujijengea mustakbali
mwema.
Kauli aliyozungumza
S h e i k h Mo h a mme d
I s s a ndi y o i l i k uwa
ikimuhangaisha Sheikh
Ilunga wakati wa pumzi
zake za mwisho ambapo
al i kuwa aki one kana
kufikiri na kuwaza sana
kuanzia siku ya Alhamisi.
Pamoj a na kuzidiwa
na maradhi na uchovu
wa sakarati, alipopata
ahueni ya kuweza kutoa
kauli, alisikitika akisema
anausikitikia umma wa
Waislamu.
Alisema, anaona kazi
iliyo mbeleni ni kubwa
i l i Wai sl amu waweze
kuj i kwa mua , l a ki ni
waf anyaj i hawapo i l a
wachache tu.
We ngi wa me kuwa
wat u wa kuongea t u,
lakini wamekosa ujasiri
wa kulishika kambaku
kwa ma pe mbe ya ke
halikadhalika hata ule
ujasiri wa kufanya yale
mepesi tu yaliyo katika
uwezo wao.
Naona kazi ni kubwa,
wafanyaji siwaoni, mpo
wachache tu, alisema na
kubaki akitafakari kwa
hisia za ndani kabla ya
kupoteza mawasiliano
kabisa.
Hali hiyo aliyokuwa
akiwaza Sheikh Ilunga
k a t i k a pumz i z a k e
z a mwi s h o , n d i y o
aliyoisherehesha na kuitilia
mkazo Sheikh Jabir Yusuf
Katura.
Katika nasaha zake,
siku ya Jumatano wakati
wa dua ya kumrehemu
Sheikh Ilunga iliyofanyika
nyumbani kwake Mwanza,
Sheikh Jabri alionesha
wasiwasi wake akisema
kuwa haitasaidia kama
watu watabaki wakisifia
ushuj aa na kazi nzuri
iliyofanywa na Ilunga.
Akasema, la kusaidia na
kuwanufaisha wanafunzi
wa I l unga na wot e
waliokuwa wakifanya kazi
naye, ni kufanya kazi.
Ni kuangalia majukumu
yal i yo mbel e yao na
kuyafanya kwa juhudi na
ushujaa na maarifa.
Sheikh Jabir akasema,
h a k u n a ma f a n i k i o
yatakayopatikana kwa
kukaa na kusifa ushujaa
wa Ilunga, kama ambavyo
haisaidii kukaa na kumsifa
Mt ume Muh a mma d
(s.a.w).
Bal i l i nal ot aki kana
n i k u s i ma mi a n a
kuyaendeleza yale ya Dini
aliyokuwa akiyapigania.
Na S h e i k h J a b i r
a k a w a k u m b u s h a
Waislamu kuwa Quran
i p o wa z i k wa mb a
hakuna atakayeulizwa
wa l a k u h u k u mi wa
kwa yal i yof anywa na
waliomtangulia, bali yeye
kafanya nini.
Akawarejesha Waislamu
katika historia kwamba,
kama ni msiba hakuna
msiba mzito utakaozidi
ule wa kuondoka Mtume
(s.a.w) uliofanya mpaka
baadhi ya maswahaba
wakachanganyikiwa.
L a k i n i m a r a
wakatanabahi wakasimama
imara kupigania Uislamu,
kuendeleza kazi aliyokuwa
akifanya Mtume.
Katika hali hiyo, Sheikh
Jabir akawataka Waislamu
wasiomboleze kwa kueleza
sana sifa na harakati za
Sheikh Ilunga, bali wawe
kama kina Abubakar na
Umar waliofanya Uislamu
ukasi t awi na kuenea
ulimwengu mzima baada
ya Mtume kuondoka.
Sheikh Ilunga Hassan
Inaendelea Uk. 4
WAISLAMU wakiwa wamebeba jeneza la Sheikh Ilunga kutoka Masjid Kichangani
Magomeni Mapipa kuelekea katika makaburi ya Mwinyimkuu kwa ajili ya mazishi.
4
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari
SHEIKH Ilunga Hassan
Kapungu ameacha
usia na nasaha kwa
Wa i s l a mu a mba o
waliokuwa karibu naye
wakati wa dakika za
mwisho wa uhai wake,
wanasema wana dhima
ya kuzifikisha kwa
Waislamu.
Kwanza inaelezwa
kuwa kabla hajakata
kauli siku ya Alhamisi,
aliletewa zawadi mbili,
moja ikiwa ni kitabu
alichokuwa amekiagiza
na pili ilikuwa ni rasimu
ya katiba inayojadiliwa
bungeni.
Alipoitizama katiba
akasema, si ku zote
anawaambia Waislamu
na anar e j e a t e na,
kwamba katiba hata
iwe nzuri kiasi gani,
haitawasaidia kama
ha wa t a kuwa kul e
Sidrati muntaha.
Alitumia msamiati
huo a k i ma a ni s ha
kuwa kama Waislamu
hawat api gani a na
kuhaki ki s ha kuwa
wanapata nafasi yao
stahiki katika sehemu
zote nyeti za kufanya
maamuzi na utendaji
serikalini na katika
taasisi za umma, ni bure
kwao katiba hiyo.
K w a m a n e n o
mengine ni kuwa kama
Waislamu wataruhusu
ha l i hi i i e nde l e e
a mba po Wa kr i s t o
wamehodhi takribani
nafasi zote muhimu na
nyeti, hata ije katiba ya
namna gani; Waislamu
watabaki kuwa ni watu
wa kudhul umi wa,
k u n y a n y a s w a ,
kuhujumiwa na wao
kubaki wakilalamika.
Kitakachowasaidia,
ka ma a l i vyokuwa
a k i t a f a k a r i n i
kuhakikisha kuwa watu
wanapigania kupata
haki sawa katika maeneo
y o t e , v i ng i ne v y o
haki el eweki kama
ambavyo l i nakuwa
zogo kubwa Wakristo
wanapoona kuwa kuna
sehemu kuna Waislamu
japo robo ya wote.
Ka ma Wa i s l a mu
wataendelea kupumbaa
na kuona kuwa hivi
Nasaha za Ilunga juu ya Katiba Mpya
Alizitoa siku mbili kabla ya kifo
Wafungwa wamswalia gerezani
Na Mwandishi Wetu
ilivyo ni sawa tu, wakati
wenzao hawakubali,
b a s i wa j ue k uwa
kinachofanyika bungeni
hakitawasaidia lolote
kwa sababu hata katiba
ya sasa inapiga marufuku
ubaguzi na udini, lakini
Waislamu wanalalamika
kubaguliwa.
Aidha wanalalamika
na kut oa us hahi di
kuwa kuna udi ni
a mb a po Wa k r i s t o
wanapendelewa kama
alivyoandika pia Dr.
Padiri John Sivalon.
Na s a h a z a p i l i
z a S he i kh I l unga
zi napati kana kati ka
ki t endo chake cha
kujisajili katika msikiti
mmoja uliokuwa jirani
na hospitali alikokuwa
akitibiwa India.
Katika hali ya maradhi,
Ilunga alikwenda katika
msikiti huo na kujisajili
kuwa yeye ni mmoja
wa waumini wa msikiti
huo, ni mgonjwa kutoka
Tanzania, kama itatokea
akafariki, basi ndugu zake
ni waumini wa msikiti huo
wamsitiri.
Kut oka na na ha l i
hiyo, mara alipofariki
wa t u wa l i o k u wa
wakimuuguza iliwabidi
waulize wanafamilia
waliokuwa Mwanza,
akazikwe wapi.
Lakini kwa taarifa
hizo kwamba yeye
mwenyewe al i kuwa
tayari kuzikwa hata India,
kwa maana kuwa kauli
yake azikwe popote
atakapokufa, haikuwa
tabu kuafikiana kuwa
azikwe Dar es Salaam
kwani kufanya kinyume
c ha ke i t a kuwa ni
kumdhulumu.
Hizo ni taarifa na
nasaha za Sheikh Ilunga
ambazo wafwa na hasa
waliokuwa karibu naye
wakati wa kumuuguza,
wanadhani ni muhimu
wa z i f i k i s h e k wa
Waislamu wakiamini
kuwa zina mafundisho
makubwa.
Wakat i huo huo,
t a a r i f a k u t o k a
gerezani Morogoro
zinafahamisha kuwa
wafungwa na mahabusu
wa l i o Wa i s l a mu ,
wal i mswal i a Shei kh
Ilunga swala ya ghaibu.
Swala hiyo iliongozwa
na Sheikh Ponda Issa
Ponda a mba ye ni
mahabusu katika gereza
hilo.
Ta a r i f a k u t o k a
ndani ya gereza hilo
zinafahamisha kuwa
mara baada ya kupata
taarifa za kifo cha Sheikh
Ilunga, taarifa zilitolewa
k w a w a f u n g w a
Wai s l amu ambapo
walikusanyika kwa dua
na wakaomba uongozi
wa gereza waruhusiwe
kukusanyika pamoja
kufanya swala.
Kupitia kwa mke wa
Sheikh Ponda Bi Khadija,
wafungwa na mahabusu
hao, wamesema wanatoa
pole kwa wafiwa na
kwa Waislamu wote
wakisema-Innalillahi
wainna ilaihir rajiuun.
Ilunga avunja rekodi
Inatoka Uk. 3
Kapungu alifariki saa
5 usi ku wa Jumapi l i ,
na kuzi kwa Jumatatu
kat i ka makabur i ya
Mwinyimkuu, Magomeni.
S h u g h u l i z a
k u mt a y a r i s h a n a
kumswalia zilifanyika
katika msikiti wa TIC,
Magomeni Kichangani.
Pamoja na kujitokeza
maelfu wa jiji la Dar es
Salaam, walikuwepo pia
Waislamu waliofka rasmi
kwa maziko hayo kutoka
Pemba, Unguja, Singida,
Arusha, Moshi, Tanga,
Morogoro, Dodoma na
Mwanza.
Ai dha , Wa i s l a mu
katika mikoa mbalimbali
walimswalia na mamia
kukusanyika nyumbani
kwake siku ya Jumatano
k wa a j i l i y a d u a
iliyoongozwa na Sheikh
Jabir.
Katika dua hiyo walifka
pia wawakilishi kutoka
mikoa yote ya Kanda ya
Ziwa, Kigoma, Tabora,
Katavi, Singida, Dar es
Salaam na wilaya zote za
mkoa wa Mwanza.
Mohamed Said katika
makala yake anasema kuwa
Sheikh Ilunga kaweka
historia katika historia
ya mazi shi makubwa
Dar es Salaam, historia
i nayokwenda nyuma
ki asi mi aka t akri ban
100 uki anzi a mazi shi
ya Sheikh Mwinyikheri
Akida, Sheikh aliyeasisi
Msikiti wa Mwinyikheri
Akida Kisutu. Unakuja
kwa Sheikh Idrissa bin
Saad Khalifa wa Tariqa
Askariyya, kisha Sheikh
Kaluta Amri Abeid, halafu
Abdulwahid Sykes, kisha
Sheikh Kassim bin Juma,
halafu Prof. Kighoma Ali
Malima unaishia kwenye
maziko ya Mzee Kitwana
Dau baba yake Dk.
Ramadhani Dau.
Kisha anauliza, iweje
Ilunga kijana mdogo mno
aungane na majina ya watu
maarufu kama hawa na
kupata maziko makubwa
kiasi kile?
Anajibu kuwa: Kitu
kilichompandisha daraja
Ilunga katika umma wa
Waislamu Tanzania, ni
kuwa Il unga al i kuwa
mtumishi wa Waislamu.
WAISLAMU wakiwa wamebeba jeneza la Sheikh Ilunga kutoka Masjid Kichangani
Magomeni Mapipa kuelekea katika makaburi ya Mwinyimkuu kwa ajili ya mazishi.
5
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari za Kimataifa
NAIROBI
Rais Uhuru Kenyatta
wa Kenya, amepitisha
sheria itakayowaruhusu
wanaume nchini humo
kuoa idadi waitakayo
ya wanawake licha ya
sheria hiyo kukosolewa
vi kal i na makundi
ya wa na wa ke na
Makanisa.
Taarifa kutoka Ofsi ya
Rais wa Kenya imesema
kuwa, Rais Kenyatta
ametia saini muswada
huo wa Sheria ya Ndoa
ya Mwaka 2014, ambayo
i naj umui s ha ndoa
mbalimbali zikiwemo
za Kiislamu, Kihindu na
Kikristo.
Kwa muj i bu wa
sheria hiyo, ndoa ni
baina ya mwanamke
na mwanamme ambao
wanafunga ndoa kwa
hiari.
Baraza l a Ki t ai f a
l a Makani sa Kenya
( NCCK) l i mepi nga
vikali sheria hiyo.
Aidha Jumuiya ya
Mawakili Wanawake
Kenya (FIDA) imesema
itawasilisha pingamizi
la kisheria dhidi ya
muswada huo.
Nchini Kenya, suala
la kuoa wake wengi
ni jambo la kawaida
miongoni mwa makabila
mbalimbali.
Wengi wanasema
sheria hiyo inatambua
uhakika ambao upo
tayari kwani kuna idadi
kubwa ya ndoa za wake
wengi.
Ka t i ka j a mi i z a
Waislamu, sheria ya
ndoa kwa mujibu wa
dini hiyo, inaruhusu
mwanamme kuoa mke
zaidi ya mmoja lakini
wasiozidi wanne.
Na i wapo mume
ataona hana vi gezo
(uadilifu) kisheria wa
uwezo wa kumudu na
kutimiza mke zaidi ya
mmoja, dini inaelekeza
mke mmoja.
Sheria hiyo ya ndoa
ya mwaka 2014 inatafsiri
ai na mbal i mbal i za
ndoa, zikiwemo za mke
mmoja mume mmoja, za
mume na wake wengi,
za kimila, za Kikristo,
za Ki i sl amu na za
Kihindu. Pia inatoa njia
Kenyatta asaini rasmi sheria ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja
za kutengana na talaka
na ulezi na matunzo
ya watoto inapotokea
ut engano na t al aka
baina ya wanandoa.
"Ndoa ni muungano
wa hiyari kati ya mume
na mke, ama uwe
muungano wa mke
mmoja na mume mmoja
au wa mume mmoja na
wake wengi," ilisema
taarifa ya ofsi ya Rais.
Ta a r i f a k u t o k a
kwa of i s i ya Rai s
ilithibitisha kwamba
mswaada huo, ambao
"unazi weka pamoj a
s her i a mbal i mbal i
kuhusiana na ndoa",
umeshasainiwa kuwa
sheria.
A w a l i B u n g e
lilipopitisha mswada
huo mwezi uliopita,
l i c ha ya wabunge
wanawake kutoka nje
ya mkutano wa Bunge
baada ya mjadala mkali.
Hata hivyo Shirikisho
l a Wa n a s h e r i a
Wa na wa ke nc hi ni
Kenya (FIDA) limesema
litafungua pingamizi la
kisheria dhidi ya sheria
hiyo.
Baraza la Makanisa
l a Kenya, J umui ya
inayokusanya zaidi ya
Makanisa na Mashirika
40 ya Kikristo nchini
kote, pia limezungumza
kupinga sheria hiyo.
" Tu n a j u a k u wa
wanaume wanaogopa
ulimi wa mwanamke
kuliko jambo lolote lile,"
alisema Mbunge Soipan
Tuya, wakati mswada
huo ul i popi t i shwa,
liliripoti shirika la habari
la AFP.
Baada ya Rais kusaini
shari a hi yo, wengi
wamesema kuwa sheria
hiyo inatambua tu jambo
ambalo tayari lipo na
limeshasambaa.
" U n a p o m u o a
mwanamke wa Kiafrika,
l azi ma aj uwe kuwa
mwengine anakuja, na
mke wa tatu hapa ni
Afrika," mbunge Junet
Mohammed aliliambia
Bunge wa ka t i wa
mj adala wa mswada
huo.
BANGUI
Shirika la Madaktari
Was i o na Mi paka
l i met angaza kuwa
wa me s i ma mi s h a
shughuli zao katika
Jamhuri ya Afri ka
ya Kat i , baada ya
shambulio lililofanyika
katika hospitali ya
Nanga Boguila, iliyoko
Kaskazini magharibi
wa nchi hiyo mwishoni
mwa mwezi uliopita.
Hatua hiyo imekuja
k uf ua t i a k uul i wa
ma da kt a r i wa t a t u
wasio na mipaka baada
ya wanamgambo wa
Kikristo wa Anti-Balaka,
kuwashambulia katika
eneo la Nanga Boguila
l i l i l oko umbal i wa
kilomita 450 Kaskazini
mwa Bangui, mji mkuu
wa Jamhuri ya Afrika
ya Kati.
S h a mb u l i o h i l o
l i l i f anyi ka wakat i
viongozi wa kikabila
w a l i p o k u w a
wakikutana na kufanya
ma z u n g u mz o n a
madaktari hao katika
ki t uo cha af ya cha
Nanga Boguila.
Kati ka Shambul i o
hi l o, watu wengi ne
Madaktari wasio na mipaka wauliwa
Wasitisha kazi Jamhuri ya Kati
Waziri apinga kuhamishwa Waislamu
waliuawa wakiwemo
viongozi 15 wa kikabila
na makumi ya wengine
kujeruhiwa. Idadi ya
watu wote waliouliwa
ilikuwa ni 22.
Shirika hilo la kutoa
misaada ya kibinadamu
l i me e l e z a k u wa ,
serikali ya mpito ya
Jamhuri ya Afrika ya
Kati na wawakilishi wa
makundi yanayobeba
s i l aha hayaj al aani
mauaj i ya Nanga
Bogui l a na vi t endo
vingine vya ukiukwaji
wa haki za binadamu
vinavyofanyika nchini
humo.
Shirika hilo limeeleza
kushangazwa kwake na
msimamo wa serikali ya
Bangui wa kunyamazia
kimya jinai hizo bila ya
kuchukua hatua zozote.
Madaktari hao Wasio
na Mipaka wameeleza
kuwa, takriban watu
100 wameuawa katika
mapigano katika kipindi
cha siku kumi zilizopita.
Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika hilo ameitaka
seri kal i ya J amhuri
ya Af r i ka ya Kat i
kulaani shambulio hilo
lililosababisha watu
wasio na hatia kuuawa,
wakiwemo madaktari
watatu wa shirika hilo na
viongozi 15 wa kikabila
katika eneo hilo.
K w a u p a n d e
mwi ngi ne, Wazi r i
wa Afya na masuala
ya Ki bi nadamu wa
Jamhuri ya Afrika ya
Kati, Marguerite Samba,
amepinga kuondolewa
Waislamu waliobakia
katika kitongoji kimoja
kilichoko mjini Bangui.
S a mba a me s e ma
kuwa , s e r i ka l i ya
Bangui haiafikiani na
hatua zilizochukuliwa
na Shirika la Wakimbizi
la Umoja wa Mataifa la
kuwaondoa Waislamu
mj i ni humo , k wa
lengo la kuwaepusha
n a ma s h a mb u l i o
ya na y o f a ny wa na
wa n a mg a mb o wa
Kikristo wa Anti Balaka.
S h i r i k a h i l o l a
kimataifa lilichukua
ha t ua hi yo ba a da
ya kuj i ri mapi gano
makali wiki iliyopita
kati ya wanamgambo
wa Ant i Bal aka na
wanajeshi wa Ufaransa,
yaliyosababisha watu
saba kuuawa na makumi
ya wengine kujeruhiwa.
RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya akisaini sheria mpya ya ndoa hivi karibuni.
6
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari
Lukuvi athibitisha aliyosema Ilunga
AKIZUNGUMZA katika
Bunge Maalum la Katiba,
Sheikh Mussa Y Kundecha
alisema kuwa kama wapo
wenye wasiwasi na Uislamu,
basi Waislamu nao wana
wasiwasi na Mfumo Kristo.
Mhes hi mi wa Mbunge
Kundecha aliyasema hayo
kufuatia kauli ya Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mk u u , Mh e s h i mi wa
William Lukuvi kuwa, upo
wasiwasi kwamba kukiwa
na muungano wa serikali
tatu, basi Waislamu wa
Zanzibar watapata nguvu
na kusimamisha serikali
ya Kiislamu. Katika kupiga
propaganda na kuwapaka
Wai s l amu mat ope na
kukol eza ki t i s ho c ha
Uislamu, akadai kuwa hali
hiyo ikitokea Wakristo
hawataabudu kwa amani
tena. Alitoa ujumbe huo
akiunganisha matukio ya
kuchomwa moto makanisa,
kumwagi wa t i ndi kal i
ki ongoz i wa ka ni s a ,
kujeruhiwa na kuuliwa
padiri akidai kuwa hayo
yalifanywa na Masheikh
wa Uamsho na kwamba hao
Uamsho wakiungana na
Chama cha Wananchi CUF,
ndio wanaotaka serikali tatu
ili wasimamishe Uislamu na
mambo hayo ya kuchoma
ma ka ni s a na kuuwa
viongozi wa makanisa.
Katika kutoa maoni yake
juu ya kauli hiyo ya Waziri
Lukuvi, ndio Kundecha
akasema kuwa kama wapo
watu wanadiriki kusema
kuwa wana wasiwasi juu ya
Uislamu, basi itambulike pia
kwamba Waislamu nao wana
wasiwasi na Mfumo Kristo.
Kwa kul i unga ni s ha
jambo hili na Zanzibar, na
kupiga kampeni ndani ya
kanisa, Mheshimiwa Waziri
Lukuvi akiwataka Wakristo
wasikubali muungano wa
serikali tatu, muungano
unaodaiwa kuipiga kabari
Zanzibar isiweze kufurukuta,
kinachoonekana ni kuwa
mfumo huu wa serikali
mbili unatumika kudhibiti
Usilamu Zanzibar na kwa
upande mwingine, ndio
unaofaa katika kuupa fursa
Ukristo kushamiri Zanzibar.
Haya ndio yale aliyowahi
kusema Shei kh I l unga
Hassan Kapungu katika
makongamano juu ya mfumo
kristo ambapo alihoji na
kuwat aka Wazanzi bari
wajiulize nini miafaka ya
awal i ya CCM na CUF
ilifeli, lakini Maalim na Rais
Mstaafu Mheshimiwa Amani
Abeid Karume walipokutana
kwa siri wakafanikiwa.
Katika kujibu swali hilo
Sheikh Ilunga akasema kuwa
walifanikiwa kwa sababu
waliupiga chenga Mfumo
Kristo. Mfumo ukistuka
Na Mwandishi Maalum
Wazanzibari washapatana,
ukakasi r i ka, ukapi nga
na bado unaungulia kwa
hasira.
Katika hali hiyo akasemwa
k u wa , Wa z a n z i b a r i
wa k i t a f a k a r i v ye ma ,
wataiona nguvu ya Mfumo
Kristo na kutambua kwamba
bila ya kuufyeka kwanza
hakuna salama.
Sheikh Ilunga aliyaelezwa
katika kongamano juu ya
hatari ya Mfumo Kristo
lililofanyika katika uwanja
wa Mnazi Mmoj a Wete,
Pemba mara baada swalat
Aswri Jumatatu Oktoba 3,
2011.
Katika kufafanua jambo
hilo ilikumbushwa kuwa
mara baada ya uchaguzi
wa mwanzo wa vyama
vingi mwaka 1995, uliibuka
mgogoro wa kisiasa ambapo
ilibidi pawe na mazungumzo
yaliyohusisha wapatanishi
kutoka nje ya nchi akiwemo
aliyekuwa Katibu Mkuu wa
Jumuiya ya Madola, Chifu
Emeka Anyauko.
Mwisho wa mazungumzoa
i k a f a ha mi s hwa k uwa
umefikiwa muafaka. Huo
ukawa muafaka wa kwanza.
Mt o a ma da S he i k h
Ilunga Hassan Kapungu
akasema kuwa, hata hivyo,
hadi unafi ki a uchaguzi
mkuu mwingine hakuna
kilichokuwa kimefanyika
katika muafaka huo.
Kipigo kikawa kikali zaidi
kilichowahusisha mpaka
J a nj a we e d. Wa na nc hi
wakapigwa na kuteseka sana
katika uchaguzi mkuu wa
2000 hadi kuuliwa mamia
ya watu.
Kwa ni ni ki l i t embea
ki pi go? Shei kh I l unga
aliuliza na kufafanua kuwa
kwa kupoteza nguvu ya
kisiasa, Rais waliyemtaka
Wazanzibari siye aliyetakiwa
na Dodoma, hivyo kikapita
kisago ili lile wasilolitaka
Wazanzibari liwe.
Hal i hi yo i l i pel ekea
kufanyika mazungumzo
mengine, yakiwahusisha tena
makatibu wakuu wa CCM,
Yusuf Rajab Makamba na
wa CUF, Maalim Seif Sharif
Hamad.
B a a d a y a m u d a
i k a t a n g a z w a k w a
mbwembwe kubwa kuwa
umepat i kana muaf aka.
Ukasifiwa sana kwamba
ulitokana na sisi wenyewe
bila kuhusisha mtu wa nje
na kwa hiyo kutajwa kuwa
wa maana na wa kupigiwa
mfano. Wengi ne wenye
migogoro wakatakiwa kuiga
Watanzani a wanaoweza
kutatua migogoro yao ya
kisiasa wenyewe na kwa
amani.
Hata hi vyo i l i pofi ka
wakati wa uchaguzi mkuu
2005 kipigo kikawa pale
pale. Alisema Sheikh Ilunga
na kuongeza kuwa:
Muafaka haukufanya
kazi, chuki na farka ikazidi
kujengeka miongoni mwa
Wazanzibari.
Akasema kuwa hali hiyo
ilimfanya Rais Kikwete katika
hotuba yake ya mwanzo
Bungeni baada ya kuingia
madarakani kuahidi kwamba
katika j umla ya mambo
a t akayoyas hughul i ki a
mwanzo ni pamoja na hili
l a mpasuko wa ki si asa
Zanzibar.
Ilunga akasema kuwa,
pamoja na jitihada za kisiasa
zilizofanyika baada ya kauli
na ahadi hiyo, suala hilo
lilipelekwa katika kikao cha
CCM Butiama na kujadiliwa
juu ya uwezekano wa kuwa
na serikali ya Mseto.
Hata hivyo alisema, hakuna
maafikiano yaliyofikiwa
Butiama, kikao kikavunjika
wat u wakaachana ki l a
mtu aki shi ka nj i a yake.
Wazanzi bar i wakar udi
Unguja na Pemba wakiwa
na chuki zao na siasa za
visasi. Ile agenda ya kuwa na
serikali ya mseto ikafa.
Baada ya hapo, Ilunga
alisema kuwa kilipiga kimya,
mpaka siku isiyotarajiwa
kukapambazuka wat u
wakitangaziwa kuwa tayari
CUF na CCM, Rais Karume
na Maalim Seif, walishafanya
mazungumzo na kufikia
maridhiano ya kuzika tofauti
zao na kufungua ukurasa
mpya wa amani na utulivu
Zanzibar.
Ilunga katika mawaidha
yake kwa watu wa Wete
akasema kuwa aj abu ya
mambo ni kuwa wa kwanza
kupinga maridhiano hayo
ilikuwa CCM ambapo Katibu
Mwenezi wake alisema kuwa
maridhiano hayo hayana
ridhaa ya CCM.
Katibu Mwenezi huyo
a l i pi nga kwa s a ba bu
maridhiano hayo hayakuwa
na ridhaa ya Mfumo Kristo,
miafaka ya mwanzo ilikufa
kwa sababu Mfumo Kristo
ulikuwa hautaki Wazanzibari
muelewane, Rais Mstaafu
na Maalim Seif, waliupiga
chenga Mfumo Kristo ndio
maana walifanikiwa na sasa
mpo katika amani.
Alisema Sheikh Ilunga
n a k u s i s i t i z a k u wa
Wazanzibari wanatakiwa
kuwaunga mkono viongozi
wao na kuhakikisha kuwa
wanayalinda maridhiano
yaliyofkiwa.
(Kadinali) Pengo halali
toka mmeridhiana, Mfumo
Kr i s t o una gugumi ya ,
umekasirika, unachukia
mkaridhiano haya.
Al i ongeza aki hi mi za
kuwa ni lazima Wazanzibari
wawe macho asijekutokea
kidudu mtu wa kuwarejesha
tena katika shimo la moto
walilotaka kutumbukia.
Na shikamaneni kwa
kamba (dini) ya Mwenyezi
Mu n g u n y o t e , wa l a
msiachane. Na kumbukeni
neema ya Mwenyezi Mungu
iliyo juu yenu. (Zamani)
ml i kuwa maadui , naye
akaziunganisha nyoyo zenu,
hivyo, kwa neema yake,
mkawa ndugu. Na mlikuwa
ukingoni mwa shimo la
Moto (wa Jahannam), naye
akakuokoeni nalo. Namna
hi vi Mwenyezi Mungu
anakubainishieni Aya zake
ili mpate kuongoka. (3: 103)
Al i nukuu a ya hi z o
zi nazopat i kana kat i ka
sura Al Imran akihimiza
kuwa kilichotokea ni nusra
ya Allah na hivyo inapasa
kushukuriwa na kuithamini,
lakini pia kuwa macho adui
asiihujumu.
Kauli ya mheshimiwa
Lukuvi, kama alivyosema
Profesa Ibrahim Lipumba, ni
ya uchochezi. Ni kuchochea
Wakristo dhidi ya Waislamu.
Lakini pia kwa kutolea kauli
hiyo kanisani, na kuwahimiza
Wakristo wenzake wakatae
serikali tatu akijega hoja
kuwa zi t al et a s er i kal i
ya Ki i sl amu Zanzi bar ,
inaleta picha nyingine. Ile
aliyoizungumzia Sheikh
Ilunga. Kwamba muungano
umefanywa kama kichaka
cha kuficha mfumo kristo
kwa Zanzibar.
Zanzibar wana historia
chungu, na hasa baada ya
kuanza kwa mfumo wa
vyama vingi. Wamegeuzwa
na kuwa kama Aus na
Khazr aj . Wamef anywa
wabaguane, watengane,
wanuniane, lakini baya zaidi,
wanasiasa na vikosi kutumika
kulidhalilisha kundi moja na
kuleta mateso makubwa kwa
watu. Watu wamepigwa,
wameteswa, wameporwa
vi tu vyao vya thamani ,
wanawake na mabinti wa
Kiislamu wamebakwa, watu
wameuliwa na kuacha yatima
na wajane.
Hali hii ilifikia kiwango
cha kutisha ndio Rais Mstaafu
Amani Abeid Karume na
Maalim Seif wakajiuliza,
mpaka lini? Angalau sasa
hali ni shwari.
La ki ni t uki z i nga t i a
aliyosema Bwana Lukuvi
kanisani ukiunganisha na
msimamo wa baadhi ya
wanasiasa, hasa wa chama
tawala katika Zanzibar,
ambao wanaonekana hawako
tayari kukosa kutawala hata
kama itakuwa kwa gharama
ya kuwatia Wazanzibari wote
katika mateso, tujue kwamba
hatari bado ipo.
Wapo watu wal i kuwa
wakizungumza Bungeni kwa
lugha za chuki, kibaguzi
na kejeli kiasi cha kusema
(Wapemba, CUF, mnaotaka
serikali tatu), mtakwenda
kwenu, Unguja mtapita tu.
Wanayasema haya hoja yao
ya msingi kichwani ikiwa
kwamba kama zitakuwa tatu,
watakosa rungu la kutoka
Dodoma la kuwafanya kukaa
madarakani hata kama kura
zao hazikutosha. Lakini
wanachosahau ni kuwa
wanachofanya ni kuwapa
nguvu wenye mfumo wao
kukaza kitanzi kwa Zanzibar,
na hiki hakichagui CUF,
CCM, Mt umbat u wal a
Muunguja. Laiti wangeweka
kando ubinafsi wa kijinga
wakatizama nchi, wananchi
na mustakbali wake, hapana
shaka wasingekuj a hata
na zile kauli za kuchefua
za kurejea sultan. Mbona
hat uambi wi wanaot aka
Tanganyi ka wanat aka
kumrej esha Jarumani au
Malkia wa Uingereza.
Wazanzibari watakuwa
wamemuenzi Sheikh Ilunga
Hassan Kapungu kama
watashikamana na usia wake
kwao unaopatikana katika Al
Imran.
Na shikamaneni kwa
kamba (dini) ya Mwenyezi
Mu n g u n y o t e , wa l a
msiachane. Na kumbukeni
neema ya Mwenyezi Mungu
iliyo juu yenu. (Zamani)
ml i kuwa maadui , naye
akaziunganisha nyoyo zenu,
hivyo, kwa neema yake,
mkawa ndugu. Na mlikuwa
ukingoni mwa shimo la
Moto (wa Jahannam), naye
akakuokoeni nalo. Namna
hi vi Mwenyezi Mungu
anakubainishieni Aya zake
ili mpate kuongoka. (3: 103)
Waziri wa Nchi, Ofsi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa
William Lukuvi.
7
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari/Tangazo
Mwenyekiti wa Tanzania Muslim Solidarity Fund anawatangazia vijana wa
Kiislamu ( Wavulana na Wasichana) kuwa anatarajia kupokea Scholarship
chache za Shahada ya UDAKTARI na UHANDISI (Nuclear, Oil ,Gas na
Biomedical kutoka IDB kwa mwaka wa masomo (2014/2015).
Pia anawatangazia vijana wa Kiislamu (Wavulana na Wasichana) kuwa
anatarajia kupokea Scholarship chache za Shahada ya ELIMU (Arts)
kwa mwaka wa masomo (2014/2015).
Vijana wenye sifa zifuatazo wanakaribishwa kuomba Scholarship
hizo:
Muombaji awe Muislamu Mtanzania
Awe na umri usiozidi miaka 24
Asiwe na magonjwa ya kudumu au ya kuambukiza
Awe amehitimu kidato cha VI na amefaulu kwa kiwango cha
daraja la I-II
Awe na Principle Pass kati ya A,B au C katika masomo ya fani
anayoomba.
Awe ameomba nafasi katika vyuo vikuu vya hapa nchini.
Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo:
IDB Education Trust ( Tanzania)
P.O.BOX 6166
Dar es salaam
Tanzania
Au fka ofsini kwetu Kariakoo Mtaa wa Ukami/ Mafa mkabala
na Msikiti wa Manyema
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 29/05/2014
Tanzania Muslim Solidarity Fund
Ilunga: Kadari imepita
Inatoka Uk. 1
Waislamu na baada
ya swala ya Al-aswir,
Wa i s l a mu h a o
walilibeba jeneza
la Kiongozi wao
huyo mkono kwa
mkono huku sauti
za Laaillaha Illalah,
na Takbiri. . ,
A l l a h u a k b a r ,
zi ki ri ndi ma nj i a
nzima mpaka katika
Makaburi hayo.
Ilikuwa si rahisi
k u l i s h i k a a u
kulisogelea jeneza
la Sheikh Ilunga,
kama hukutumia
nguvu kutokana
na kila Muislamu
kupigania kutaka
k u l i s h i k a a u
kulibeba kuelekea
makaburini, lakini
kati ka hal i hi yo
jeneza lilionekana
likiondoka juu kwa
juu.
U m m a h u o
wa Wa i s l a mu
ulijipanga mstari
kuanzia Msikitini
na kutoka katika
b a r a b a r a y a
K a w a w a n a
kukatisha katika
Barabara ya Mwinyi
mkuu kuel ekea
makabur i ni , na
kufanya shughuli
za kawaida katika
eneo hilo kusimama
k wa mu da n a
kusababisha foleni
kubwa ya magari.
Aki zungumza
katika msiba huo,
Amiri wa Baraza
Kuu la Jumuiya na
Taasisi za Kiislamu
(T), Sheikh Musa
Kundecha, alisema
She i kh I l unga,
ni maarufu kwa
Watanzania wote,
n a k a z i y a k e
inaj ieleza katika
tasnia mbalimbali.
Alisema, katika
uhai wake Shkh.
Ilunga amefundisha
w a n a f u n z i
wengi sana, pi a
a m e f u n d i s h a
darasa nyingi na
a me h u d h u r i a
mihadhara mingi
yote hayo inatosha
kuone s ha ka z i
alizozifanya.
Amir Kundecha,
alisema kilichopo
sasa ni kuangalia
ni namna gani ya
kuzienzi kazi za
Shkh. Ilunga, ili
kuweza kuendeleza
h a r a k a t i z a k e
husasani kat i ka
kusi kami a haki
na kuupi ga ni a
Uislamu.
Awali akielezea
sababu ya umati
w a k e , A m i r
Kindecha, alisema,
She i kh I l unga,
a m e k u wa n a
kat i ka mar adhi
kwa muda mrefu
ambayo pengine
l e o y a n a we z a
kutazamwa kuwa ni
sehemu ya sababu
ya kifo chake.
Alisema, Sheikh
Ilunga, amekuwa
a k i s u mb u l i wa
na ugonj wa wa
ki s ukar i , kama
ambavyo ugonjwa
huo umekuwa ni
tatizo kubwa kwa
watu wengi kwa
sasa t of aut i na
miaka ya nyuma.
Alisema, Ilunga
al i f anya s af ar i
mwa k a 2 0 1 3 ,
kwe nda nc hi ni
I ndi a, kwa aj i l i
y a k u f a n y i wa
ma t i b a b u y a
k u b a d i l i s h i wa
f i go, mat i babu
yaliyochukua miezi
nane, jambo ambalo
lilifanyika vizuri na
kutoa matumaini
mapya, lakini tatizo
la sukari liliendelea
kuwepo.
W a k a t i
anakwenda nchini
I ndi a, al i kuwa
a me k a mi l i s h a
mi h a d h a r a ya
Mfumokristo, huku
nyuma ( nchi ni )
v y o m b o v y a
habari vilivumisha
kwa mba Shkh.
Ilunga kakimbia,
j ambo ambalo si
kweli kwani alisafri
kwa kutumia pasi
ya Tanzania na kwa
kupitia uhamiaj i
uwanja wa ndege.
Ai dha, al i pata
v i b a l i v y a
mat i babu kama
vilivyohitajika na
kupat a usai di zi
kutoka ubalozi wa
Tanzania India.
Pamoja na hali
hiyo, alisema, Shkh.
I l unga, al i kuwa
a m e p a n g i w a
kwenda kuangaliwa
afya yake kila baada
ya muda ful ani ,
i l i kuhaki ki sha
hakuna jambo jipya
ilinaloibuka baada
ya kukamilika kwa
matibabu yake.
Amir Kundecha,
a l i s e m a
i t a k u mb u k wa
kwamba, wakati
a n a r u d i k wa
mara ya kwanza
k ut o k a n c h i n i
Indi a, al i kutana
na sekeseke l a
kutafutwa kwake
, pamoja na kuwa
kati ka hal i hi yo
alitiwa misukosuko
na kukamatwa na
Pol i s i , hat i mae
a l i f u n g u l i wa
mashtaka.
Sasa unaweza
kufkiri mwenyewe,
mtu mwenye afya
ya namna hiyo na
maradhi hayo halafu
ukimwongezea na
msukosuko kama
huo, kwa hi vyo
l i kawa ni tati zo
lingine. Alisema
Shkh. Kundecha.
Alisema, baada
ya hapo mapema
mwe z i Ma c h i ,
mwaka huu Shkh.
Ilunga, aliondoka
t e n a k we n d a
nchini India, kwa
ajili ya kuangalia
maendeleo ya afya
yake.
Alirej ea akiwa
mzima, hata hivyo
siku mbili baadae
hali ilibadilika hadi
kufkwa na umauti.
ODM yaitika Serikali ya Kenya
kuondoa Wanajeshi wake Somalia
NAIROBI
Wakati hali ya usalama
nchini Kenya ikiendelea
kuwa tete, wanasiasa
pamoja na wataalamu
mbalimbali nchini humo
wamesema kuwa hali
ya usal ama hai wezi
kurudi kama ilivyokuwa
hapo awali, hadi pale
Wanajeshi wa Kenya
waliopo nchini Somalia
watakapoondolewa.
Hayo yameelezwa na
Naibu Mkurugenzi wa
chama cha ODM, Profesa
Anyang' Nyong'o, wakati
akizungumza na vyombo
vya habari mjini Nairobi
hivi karibuni.
Prof. Nyongo amesema
kuwa mashambulizi ya
mara kwa mara katika
mi j i mi kubwa nchi ni
humo hayawezi kukoma
na sababu kubwa ya
mashambulio hayo ni
uwepo wa majeshi ya KDF
nchini Somalia.
M a k u n d i
yanayoendeleza vitendo
vya kuhatarisha usalama
nchini Kenya yataendelea
kufanya uhalifu wao hadi
hapo majeshi ya KDF
yatakapoondoka nchini
Somalia" alisema Prof.
Nyong'o.
Makundi yaliojihami
nchini Kenya, yameongeza
harakati zake katika siku
za hivi karibuni nchini
humo dhidi ya serikali
hasa katika miji mikubwa
na kuhatarisha hali ya
usalama nchini humo.
Ser i kal i ya Kenya
inategemea sana watalii
wa mataifa ya nchi za
Maghar i bi ki uchumi
na inaaminika kuwa ni
utalii ndio kitega uchumi
c ha kwa nz a nc hi ni
humo, lakini sekta hiyo
imeathirika tangu serikali
ya Kenya i l i popel eka
maj eshi yake nchi ni
Somalia.
Wakati ODM wakitoa
tamko hilo, mwishoni
mwa wiki iliyopita, watu
wawi l i wameri poti wa
kuuawa na zaidi ya 50
kuj eruhi wa baada ya
kutokea milipuko miwili
katika mabasi mawili
tofauti kwenye barabara
ya Nairobi-Thika nchini
Kenya.
Wat ot o wat ano ni
mi ongoni mwa wat u
waliojeruhiwa vibaya.
Ml i p u k o mmo j a
uliripotiwa kumetokea nje
ya hoteli ya Bluesprings na
wa pili umetokea kwenye
barabara ya Kasarani.
Mabasi hayo ni mali ya
Jeaan transporters na Mwi
Sacco. Mabasi yote mawili
yalikuwa yanatokea mjini
Gi thurai na yal i kuwa
yamejaa kiasi.
I d a d i k a mi l i y a
wat u wal i oj er uhi wa
haikujulikana mara moja
l i cha ya wat u wengi
kuwahishwa Hospitali
ya Taifa ya Kenyatta na
Hospitali ya Ruaraka Uhai
Neema.
Aki t hi bi t i sha vi f o
hivyo, Dk. Antonio Milito
wa Hospitali ya Ruaraka
Uhai Neema, alisema kuwa
watu wawili wameuawa
na zaidi ya 50 wengine
wamepat a maj er aha
mbalimbali, huku wengine
wakiwa wamepelekwa
katika Hospitali ya Taifa
ya Kenyata na Hospitali
ya Guru Nanak kwa ajili ya
matibabu maalumu.
Maafisa usalama wa
Kenya walifika katika
ma e n e o i l i k o t o k e a
mi l i p u k o h i y o n a
uchunguzi ulianza mara
moja.
8
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Makala
Inaendelea Uk. 9
Na Mohamed Said
SHEIKH Ilunga Hassan
Ka pungu ka i ngi a
katika historia ya Dar
es Salaam katika kifo
chake. Bahari ya watu
waliojazana Msikiti
wa Kichangani kuja
kuswalia jeneza lake
na ki s ha kul i f at a
nyuma j eneza hi l o
h a d i Ma k a b u r i
ya Mwi ny i mkuu,
Magomeni Mapi pa
haijapatapo kuonekana.
She i kh I l unga ni
' ' mgeni' ' katika mji
wa Dar es Sal aam
kwa maana ya kuwa
hakuzal i wa Dar es
Salaam wala hakuwahi
kuishi Dar es Salaam
wa l a h a k u we z a
kujinasibu kwa lolote au
chochote katika mji wa
Dar es Salaam. Alikuwa
aki j a na kuondoka
zamani akirejea kwao
Tabora na baadae baada
ya kuhamia Mwanza,
akija Dar es Salaam na
kurejea Mwanza. Iweje
leo mji mzima wa Dar
es Salaam usimame na
utoke kuja kumzika
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu?
Hakika hili ni swali
linalotaka maj ibu ya
kuri dhi sha. J i bu ni
dogo na rahisi sana.
Hivi ndivyo Waislamu
wanavyofanya dunia
nzima kila wanapofwa
na kipenzi chao. Labda
l i naweza kuj a swal i
jingine, ''kipenzi?''
S h e i k h I l u n g a
kawaje kuwa kipenzi
cha Waislamu? Naam
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu juu ya udogo
wake wa umri, alikuwa
kipenzi cha Waislamu
na si Waislamu wa Dar
es Salaam peke yao.
Sheikh Ilunga alikuwa
kipenzi cha Waislamu
wa Tanzania nzima.
Kibla cha kila msikiti
wa Waislamu katika
Tanzani a, ki l i kuwa
kinamkaribisha kama si
kuwaidhi, basi angalau
asimame awasalimie
nduguze Wai sl amu.
Sheikh Ilunga alipendwa
na umma ha kuwa
kati ka l i l e kundi l a
mesheikh wanaoogopa
kuswali katika baadhi
Sheikh Ilunga Hassa Kapungu (1988)
Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu ni msiba kwa vijana
ya mi si ki t i au hat a
kupita nje yake. Sheikh
Ilunga hakuwa katika
lile kundi la masheikh
wenyeji katika futari
za serikali na''misikiti
ya wakubwa' ' lakini
wageni katika misikiti
ya ndugu zao Waislamu,
Manzese au Tandale.
Kubwa Sheikh Ilunga
hakukos a us i ngi zi
wala kujiona duni kwa
kukosa kualikwa futari
I kul u au kual i kwa
katika dhifa za kitaifa
akapigwa picha kavaa
kanzu za kupendeza
kakaa na waheshimiwa
na kut okea kat i ka
runinga na magazeti
siku ya pili ukurasa wa
mbele. Sheikh Ilunga
Ha s s a n Ka p u n g u
h a k u s h u g h u l i s wa
n a h a y o . Ye y e
al i shughul i shwa na
kuliweka j uu j ina la
Allah Subhana Wataala.
Hili ndilo lililokuwa
l i k i ms h u g h u l i s h a
mpaka s i ku Al l ah
alipomuhitimisha.
Sheikh Ilunga kaweka
historia katika historia
ya mazishi makubwa
Dar es Salaam, historia
inayokwenda nyuma
kiasi miaka takriban
100 ukianzia mazishi
ya Sheikh Mwinyikheri
Akida, Sheikh aliyeasisi
Msikiti wa Mwinyikheri
Akida Kisutu. Unakuja
kwa Sheikh Idrissa bin
Saad Khalifa wa Tariqa
Askariyya, kisha Sheikh
Kal uta Amri Abei d,
hal af u Abdul wahi d
Sykes, kisha Sheikh
Kas s i m bi n J uma,
halafu Prof. Kighoma
Ali Malima unaishia
kwenye maziko ya Mzee
Kitwana Dau baba yake
Dk. Ramadhani Dau.
Iweje Ilunga kijana
mdogo mno aungane
na maj i na ya wat u
maarufu kama hawa
na kupat a mazi ko
makubwa kiasi kile? Kitu
kilichompandisha daraja
Ilunga katika umma wa
Waislamu Tanzania, ni
kuwa Ilunga alikuwa
mtumishi wa Waislamu.
Waki mt uma I l unga
kila kazi na akiifanya
kwa moyo mkunjufu,
k u a n z i a k u j e n g a
Jeneza la Sheikh Ilunga Likitolewa Msikitini
9
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Makala
Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu ni msiba kwa vijana
Nyuma Wapili Bakari Saleh Mwisho Kulia Ilunga Hassan Kapungu
Mstari wa Mbele Watatu Kutoka Kushoto Mwandishi Mohamed Said
Hawa ni Baadhi ya Vijana wa Kiislam Waliohudhuria Semina Dodoma
Chuo Cha Biashara 1988
Inatoka Uk. 8
madrasa na shule kisha
kuwasomeshea watoto.
Juu ya haya yote, kilele
cha Sheikh Ilunga katika
kuutumikia Uislamu,
ni ile siku aliposimama
Ukumbi wa Diamond
k u i t a h a d h a r i s h a
seri kal i kuwa kuna
' ' Mf u m o k r i s t o ' '
nchini unaotawala na
kudhul umu haki za
Waislamu. Hii ilikuwa
mwaka 2012. Nilikuwa
m m o j a wa p o wa
Waislamu waliokuwa
p a l e u k u m b i n i
kushuhudia kitendo
kile cha kihistoria. Kwa
nini nakiita kitendo cha
kihistoria kwa kuwa
kwa takriban miaka 40
Waislamu walikuwa
wanasemea pembeni
ha r a ka t i z i ki e nda
chini kwa chini vijana
wa k i wa t a y a r i s h a
Wa i s l a mu wa j u e
kuwa i po dhul ma.
Sheikh Hussein Malik
a l i k uwa a k i s e ma ,
' ' Wa f a h a mi s h e n i
Waislamu wajue kuwa
i po dhul ma ki s ha
wadaie haki zao. Ikiwa
utawadaia haki zao ikiwa
hawajui dhulma ipo,
wao ndiyo watakuwa
wa kwanza kukupigeni
vita kwani kama mtu
hajui anadhulumiwa
bas i hi yo dhul ma
haipo.'' Sheikh Ilunga
alikuwa katika kundi
la vij ana waliokuwa
wakihangaika kuitafuta
haki ya Wai sl amu.
Wa k a t i u l i k u wa
umef i ka kwa ni aba
ya Waislamu Sheikh
I l unga akas i mama
kuitahadharisha serikali
kuhusu kujiachia dini
moj a ikahodhi fursa
zote za nchi kwa hila.
Hot uba ya Shei kh
Ilunga ilirushwa na
Radi o Imaan na TV
yake mubashara, yaani
''live.'' Kote Radio Imaan
ilikosikika Waislamu
wal i ms i ki a Shei kh
Ilunga akieleza nini
Waislamu walifanya
kat i ka Tanganyi ka
wakati wa kupigania
u h u r u k u u o n d o a
dhulma na kuleta haki
kwa kila mwananchi
na vi pi Wai s l amu
walisalitiwa. Vyombo
WAISLAMU wakiwa katika swala ya jeneza nje ya Msikiti wa Kichangani
baada ya nafasi ndani kujaa.
vyote vya habari ukitoa
vi l e vya Ki i sl amu,
v i l i g o ma k a b i s a
kutangaza kongamano
hili la Waislamu. Ikawa
kama vile hapajapatapo
kutokea kitu chochote.
Kuanzia siku ile Sheikh
Ilunga alitembea nchi
nzi ma na kuf anya
mikutano ya hadhara
k u i t a h a d h a r i s h a
kwanza serikali kuhusu
Mfumokristo na pili
Waislamu ili wajue nini
kilikuwa kinawatafuna.
Ni l i mfahamu vi pi
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu? Ni l i anza
kuzi si ki a si f a zake
katika miaka ya 1980
kabla sijauona uso wake.
Wakati ule Sheikh Ilunga
alikuwa kijana mdogo
sana na mdogo kwangu
kwa mi aka kadhaa.
Wakati naingia kusoma
Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Ilunga alikuwa
maarufu pale chuoni
msi ki t i wa Musl i m
Students Association of
the University of Dar
es Salaam (MSAUD)
kiasi unaweza ukadhani
k uwa na ye ye ni
mwanafunzi. Ilikuwa
I l unga na wenzake
a k i n a Mo h a me d
Kassi m Lul engel ul e
n d i y o wa l i o l e t a
''Nyaraka za Waikela''
na kuzihifadhi katika
maktaba ya MSAUD.
Hizi nyaraka zilikuwa
zimefchwa Tabora kwa
karibu miaka 20. Katika
nyaraka hizi kulikuwa
na kisa kizima cha kile
kilichokuja kujulikana
kama ' ' Mgogoro wa
East African Muslim
We l f a r e S o c i e t y
(EAMWS),'' Ndani ya
jalada zilimohifadhiwa
nyaraka zililofikishwa
MSAUD kul i kuwa
na kumbukumbu za
mikutano ya EAMWS,
taarifa ya Kamati ya
Upatanishi iliyokuwa
inajaribu kupatanisha
kati ya kundi la Adam
Nasi bu na wenzake
waliokuwa wanaipiga
vita EAMWS, kulikuwa
na ' ' c ut t i ng s ' ' ya
magazeti ya ''Uhuru,''
' ' Na t i ona l i s t s ' ' na
''Tanganyika Standard,''
magazeti makubwa ya
zama zile yaliyokuwa
yakifuatilia kwa karibu
sana mgogor o ul e.
Nyaraka hizi za Mzee
Bilal Rehani Waikela
zilikuwa hazina kubwa.
Kutokana na nyaraka
hizi ndipo ukweli wa
nini na nani alikuwa
nyuma ya kuvunj wa
EAMWS na kuundwa
k w a B A K WAT A
Inaendelea Uk. 10
10
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Makala
Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu ni msiba kwa vijana
Prof. Ibrahim Lipumba (mwenye kofa) Akiswali Nje ya Msikiti baada ya
Kukosa Nafasi Ndani.
Inatoka Uk. 9
u k a f a h a m i k a .
Laki ni kubwa zai di
wa l i o k a b i d h i wa
Nyaraka za Waikela
walizileta zikiwa na
maelezo ili maelezo
yal e yaende na ki l e
k i t a k a c h o s o mwa
ndani ya jalada. Ilunga
al i kuwa ki j ana wa
Mzee Waikela. Katika
hali ya unyonge sana
walikuwa wakiendesha
shule ya Nujum katika
j uhudi za Waislamu
kujitoa katika dhulma
ya elimu. Mzee Waikela
alimsomesha vyema
Ilunga kuhusu ftna na
chuki ya Nyerere kwa
Uislamu na Waislamu
na mbinu zinazotumika
kuudhalilisha Uislamu.
Bilali Rehani Waikela
al i kuwa mmoj a wa
waas i s i wa TANU
We s t e r n Pr ovi nc e
mwaka wa 1955 na ni
yeye na wenzake ndiyo
wal i oml eta Nyerere
Nyerere na Bi . Ti t i
Mohamed kuja kuitia
nguvu TANU Tabora.
Ilunga akasomeshwa na
Mzee Waikela historia
ya kweli ya uhuru wa
Tanganyika na akaijua na
yeye akaisomesha kwa
wanafunzi wake. Mzee
Waikela vilevile alikuwa
Kat i bu wa EAMWS
Western Province. Mzee
Waikela alikuwa mfano
na kigezo kikubwa kwa
Ilunga katika maisha
yake ya kuwatumikia
Wai s l amu na kwa
upande wake Ilunga
alikuwa mwanafunzi
hodari.
Nyaraka hizi zilinifkia
na nilisoma jalada lile
tena na tena na nikaweka
azma ya kwenda Tabora
kuonana na Ilunga na
Mzee Wai kel a. Hi vi
ndivyo nilivyokutana na
Sheikh Ilunga kwa mara
ya kwanza mwaka 1987
na yeye na shemeji yake
Salum Ali Mkangwa
wakani pel eka kwa
Mzee Waikela. Msomaji
zi ngati a kuwa haya
yote ambayo Ilunga
aliyokuwa akisomeshwa
na Mz e e Wa i k e l a
kuhusu hujuma dhidi
ya Ui sl amu i l i kuwa
kabla hata John Sivalon
hajaandika kile kitabu
chake maarufu, Kanisa
Katoliki na Siasa ya
Tanzania Bara 1953 Hadi
1985 (Ndanda, 1992).
Turudi nyuma kidogo.
Baada ya kuonana na
Ilunga Tabora mwaka
1987 tukaj akuonana
t e na mwa ka 1 9 8 8
ka t i ka s e mi na ya
vi j ana wa Ki i sl amu
wa Tanzania Bara na
Visiwani iliyofanyika
Dodoma, ' ' Uni t y of
Muslim Umma.'' Mmoja
katika wahadhir katika
semi na i l e al i kuwa
Sheikh Hamid Jongo
ndiyo kwanza anatokea
masomoni Saudi Arabia.
Ilikuwa katika semina
hii ndipo kwa mara ya
kwanza nilipofahamiana
na Sheikh Issa Ponda.
Semina hii ilikuja baada
ya mambo mengi dhidi
ya Uislamu kutokea.
Kulikuwa na sakata la
Sophia Kawawa kutaka
Qur' an i badi l i shwe.
Hi i i l i t okea mwezi
Mei 1988. Baada ya
kauli hiyo palifanyika
maandamano makubwa
kumpinga na Waislamu
walishambuliwa baadhi
wakauliwa na wengine
wakapat a ul emavu
wa mai sha. Shei kh
Said Gwiji mshitakiwa
namba moja na wenzake
wa l i s h i t a k i wa n a
wakafungwa jela miezi
18. Kosa lao likiwa ni
kuihami Qur'an ya Allah
isichezewe. Kulikuwa
na vita vikipigwa dhidi
ya vazi la hijab na kesi
maarufu i l i kuwa ya
Fikira Omari mfanyakazi
wa Kiltex. Kulikuwa
na kes i ya Kur wa
Shauri aliyeshitakiwa
kwa ' ' uchochezi' ' na
mambo mengi ne ya
kutisha katika hayo
l i l i kuwa t at i zo l a
Mchungaji Christopher
Mt i ki l a al i yekuwa
a k i m b u g h u d h i
R a i s Mwi n y i n a
k u w a s h a m b u l i a
Waislamu hasa wenye
as i l i ya Ki as i a na
Ki arabu. Kul i kuwa
na pia na ' ' Christian
Lobby,'' katika vyombo
vya habari vilivyokuwa
v i k i wa p i g a v i t a
Waislamu waliokuwa
katika serikali ya Rais
Mwinyi achilia mbali
kuupiga vita Uislamu
wenyewe.
Kipindi hiki kilikuwa
ki gumu s ana kwa
Waislamu khasa kwa
kuwa rais aliyekuwa
madarakani alikuwa
Muislamu, Ali Hassan
Mwinyi. Kubwa zaidi ni
kuwa Nyerere aliwaacha
Wa i s l a mu k a t i k a
hal i mbaya sana ya
unyonge kwa kuitumia
BAKWATA. Vijana wa
Kiislamu walikuwa na
mtandao wa aina yake
wakifuatilia kila jambo
na kujitahidi kuuhami
Uislamu. Sheikh Ilunga
h a k u wa mc h e z e a
pe mbe ni , a l i kuwa
katikati ya harakati
hizi zote. Semina hii
ilipokuja ilitukutanisha
wengi tukajuana kwa
sura na majina. Uelewa
wa I l unga ka t i ka
harakati hizi ulijitokeza
wazi kati ka semi na
ile. Baada ya sala ya
Alfajir katika semina
ile Ilunga alikimbilia
uwanja wa mpira kwa
kikapu kupiga ''shots''
katika kikapu ndipo
nilipokujakujua kuwa
a l i kuwa mc he z a j i
bi ngwa wa mchezo
huu. Nilistaajabu sana
kuona jinsi alivyokuwa
mwepesi kuruka na
kukimbia achilia mbali
kuwa na umbo kubwa.
Mi a k a y a 1 9 9 0
Sheikh Ilunga alikuwa
Inaendelea Uk. 11
11
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Makala
Kifo cha Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu ni msiba kwa vijana
Inatoka Uk. 10
amehami a Mwanza
akitokea Tabora. Hii
ilikuwa baraka kubwa
kwa Mwanza kwani
mar a t u al i pof i ka
al i anza kuendes ha
darsa katika misikiti
na kutoa mihadhara.
Al i anza kufundi sha
somo l a Maari fa ya
Kiislam katika shule
na akaweka darsa la
kudumu Msikiti wa
Sheikh Alamin mbali na
darsa duara kadhaa na
kujenga shule - Nyasaka
I sl ami c Secondary.
Haikupita muda hali
ya Mwanza ikabadilika
darsa za Sheikh Ilunga
zilizaa matunda vijana
wal i j i tathmi ni upya
na taratibu umoja wa
Ki i sl am ukai mari ka
na hi i i l i angi a hadi
BAKWATA. Viongozi
wa l i o c h a g u l i wa
kuongoza BAKWATA
wa l i k u wa k we l i
viongozi na viongozi
hawa wakawa sasa
wanaf anya kazi ya
Allah. BAKWATA ya
Mwanza ikawa tofauti
na BAKWATA nyingine
nchini. Kuna siku Ilunga
alinifahamisha kuwa
BAKWATA ya Mwanza
i namt umi ki a Al l ah,
Waislam wasiwe na hofu
yoyote. Alinifahamisha
k u wa ms i ma mo
waliouweka ni kutiana
nguvu kat i ka yal e
ambayo wanakubaliana
mathalan elimu kwa
vi j ana. Haukupi t a
muda mrefu Mwanza
ukawa mji wa kupigiwa
mfano katika juhudi za
maendeleo ya Waislam.
Ilikuwa katika kipindi
hiki siku moja usiku
wa manane I l unga
akavamiwa nyumbani
kwake na ''majambazi.''
Haya ' ' maj ambazi , ' '
ya l i kuwa ma t a t u.
Mmoj a al i baki nj e
akilinda doria na wawili
walivunja mlango na
kumwi ngi l i a ndani
na mapanga. Ilunga
alikuwa mtu wa miraba
minne. Alikabiliana nao
na nyasi zilisagika hata
hivyo Ilunga aliumizwa
vibaya sana. Wakati yale
majambazi yanakimbia
Sheikh Ponda Issa Ponda
kutoka ndani Ilunga
a l i ms i k i a mmo j a
akimuuliza mwenzake,
' ' Vi pi umemmal i za?
Jibu likatoka, ''Utasikia
kesho. ' ' Ni l i pokuj a
kukutana na Il unga
ni l i muul i za ni nani
wal i ot aka kumuua.
Ilunga alinifahamisha.
A k a s e ma ' ' Wa l e
niliopigana nao wote
wa wi l i wa l i k u wa
w a m e v a a b u t i
zilizofanana na buti hizo
nazijua zinapovaliwa
lakini sina ushahidi
zaidi ila Allah ndiye
mjuzi.''
Mauaji ya Waislam
Msikiti wa Mwembechai
mwaka 1998 lilikuwa
j ambo kubwa katika
hi st ori a ya Ui sl am.
Katika kuadhimisha
mwaka mmoja tangu
mauaji yale Waislam
wal i mual i ka Shei kh
Ilunga aje azungumze
Msikiti wa Mtambani.
Kipindi hiki Sheikh
P o n d a a l i k u w a
amej ificha baada ya
kupata taarifa kuwa
anataka kukamatwa.
Dares Salaam ilikuwa
haijamsikia Ilunga. Siku
ile ndipo walipokiona
k i p a j i c h a k e c h a
kuzungumza. Hadhira
ile ilikuwa kama vile
i me mwagi wa maj i
baridi. Sauti iliyosikika
i ki ungur ma kat i ka
vipaza sauti vyenye
nguvu kubwa vya
Mtambani ilikuwa sauti
ya Ilunga ikipokewa
h a p a n a p a l e z a
vibwagizo vya ''Takbir
Allahu Akbar.'' Kamera
zilizokuwa mbele ya
kibla kuchukua tukio lile
zilikuwa hazihesabiki.
Vi d e o z a S h e i k h
Ilunga zikasambazwa
nchi nzima na athari
yake ilikuwa kubwa
sana. Wale Waislam
wal i okuwa hawaj ui
kinachotendeka nchini
walianza kujua ukweli
wa mambo. Kilio cha
Waislam kuhusu dhulma
kikawa sasa kinatambaa
nchi nzima. Serikali
nayo kwa upande wake
i l i zi di kuwaandama
masheikh na viongozi
wa Wai sl am na hi i
ikapelekea kuzinduliwa
Azimio la Tungi. Hakuna
al i ye s hangaa s i ku
viongozi wa Waislam
wa l i p o k u s a n y i k a
Ms i k t i wa Tu n g i
na kutoa ' ' Azimio la
Tungi,' ' ambako kwa
ma r a ya k wa n z a
neno ' ' Mfumokristo' '
lilitumika. Msomaji wa
Azimio la Tungi alikuwa
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu. Azimio la
Tungi lilikuwa Azimio
la vita. Vyombo vyote
vya habari havikuweza
kuandika Azimio la
Tungi limesema nini.
Maneno yaliyokuwa
ndani ya Azimio lile
ya l i kuwa ma ne no
mazito yenye ukakasi
uliokusudiwa. Ilikuwa
baada ya Azi mi o l a
Tungi ndipo Waislam
baada ya matayarisho
ya kutosha wakasimama
Ukumbi wa Diamond
kuieleza serikali kuwa
i n a e n d e s h wa n a
Mfumokristo. Yaliyobaki
ni historia. Unahitaji
kuandika kitabu kizima
kumwel eza I l unga.
Ilunga alikuwa jasiri
mtu asiye na uoga wa
kumuogopa yeyot e
yul e. Shei kh Il unga
amesomesha vi j ana
wengi s ana kat i ka
maisha yake na bila ya
yeye mwenyewe kusema
kwa dhahiri ukiangalia
maisha yake na kama
ulibahatika kuhudhuria
darsa zale utajua kuwa
Sheikh Ilunga alikuwa
anawalenga vijana na
kwa hakika niliwaona
vijana wake wengi katika
maziko yake. Baada
ya maziko nilimuona
mmoja wa vijana wake
Sheikh Chambuso Rajab
Ramadhani kut oka
Tanga na wenzake
wamel i beba j eneza
wanalirudisha msikitini.
Al l ah ams ame he
ndugu yet u Shei kh
Ilunga Hassan Kapungu
makosa yake na amjazie
pale palipopungua na
amtie katika Pepo ya
Firdaus.
Amin.
12
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Mashairi/Habari
Salamu alaykumu, jamia ya Isilamu,
Nadhani mnafahamu, dunia si ya kudumu,
Maisha yakihitimu, tutakufa kwa awamu,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

ILUNGA ameondoka, yatosha ni mawaidha,
Kifo lazima kufka, tusione ni bughudha,
Kila mtu kumfka, hilo jambo la faradhi,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Kuzaliwa pia kufa, qadari ya Maulana,
Hiyo ndiyo yake sifa, mpango wake Rabbana,
Amepanga bila ufa, kwenda yakifuatana,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Atakumbukwa ILUNGA, mengi alotuachia,
Hakuwa ni wakuringa, umma ulishuhudia,
Harakati alifunga, pale alipougua,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Alikuwa ni hodari, mweledi wa kuongea,
Na alikuwa tayari, ya Mungu kuyatetea,
Hakuihofu hatari, wala jela kuingia,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Maradhi kumuandama, miwili na nusu miaka,
Subira ikasimama, akimtaja Rabuka,
Akapata na tuhuma, polisi wakamshika,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Polisi Mwanza tokea, Tabora kufatilia,
Kisha kumsimamia, bunduki kumwelekea,
ILUNGA tunakwambia, kituoni elekea,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Hata na mahakamani, kuripoti amelala,
Mkeka kimbilieni, mnipe kitu cha kula,
Jamani sina amani, mwili naumwa jumla,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Na misukosuko tena, ya dini kufkiria,
Kuonekana bayana, roho kuzidi umia,
Mitihani ya Rabana, ILUNGA kumfkia,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Kaditamati watama, subiri ninatulia,
Kwa kweli nashika tama, macho machozi kutoa,
Namshukuru karima, na kumuombea dua,
Ameondoka ILUNGA, na sisi tujiandae.

Mwl. Zabibu Iddi Ng`onda
Mwanza
INNALILAHI WAINA ILAYHI RAJIUN
Kumbe mke wa Rais Zuma aliwahi kubakwa
Sasa mamilioni ya Rand yadaiwa
yanaimarisha 'Nkandla'
VIBWEKA VYA UCHAGUZI MKUU A. KUSINI
KUONGEZA kiwango
cha ulinzi na kuboresha
makazi ya nyumbani
kwa Rais Jacob Zuma,
ki j i j i ni Nkandl a,
l i l i k u wa j a mb o
muhimu kwasababu
wavamizi waliwahi
kuvunja nyumba hiyo
na kumbaka mkewe
muongo uliopita.
Ha yo a l i ye s e ma
Ra i s Zu ma j i j i n i
Johannesburg, Jumatatu
hii.
"Nyumbani kwangu
kuliwahi kuchomwa
mo t o ma r a mb i l i
wakati wa vurugu
wahalifu hawa walikuja,
wakambaka mke wangu
wakati huo nikiwa bado
nafanya kazi KwaZulu-
Natal's economic afairs
(MEC)," hayo ni maneno
ya Rais Jacob Zuma
wakati akizungumza
na wahariri wa vyombo
vya habari.
Bila shaka hii ilikuwa
kati ya mwaka 1994 hadi
1999 wakati ambapo
Rai s Zuma al i kuwa
akishughulika na kazi
hiyo.
Al i sema wahal i fu
hao wal i kamat wa,
walishtakiwa na kutiwa
hatiani. Lakini hakutaja
mkewe aliyebakwa ni
yupi kati ya wake zake
wanne alio nao.
Ms i ma mi z i wa
Mali za Umma, Thuli
Madonsela alimtaja Rais
Zuma na familia yake
kuwa alifaidika na Rand
milioni 246 kinyume na
matumizi kwa ajili ya
kuboresha makazi na
ulinzi katika himaya
ya nyumbani kwake
KwaZulu-Natal.
Rais Zuma alivijia
juu vyombo vya habari
na kuvi kosoa kuwa
havifanyi kazi zake kwa
weledi na kwa maadili
ya habari, na kuvilaumu
k wa k u s h i n d wa
kutimiza wajibu wao
na kwa kumchafua kwa
kumwita yeye ni fsadi.
"Kwa kweli sio haki
k a b i s a k wa mb a
ni me f uj a f e dha z a
serikali."
Rais Zuma alikuwa
akizungumzia habari ya
Madonsela na ripoti ya
serikali -Inter-ministerial
task team. Ripoti ya Tume
ya serikali (The task team)
ilibainisha kwamba Rais
Zuma al i kuwa haj ui
lolote kuhusu gharama
zilizotumika kuboresha
makazi yake.
Waziri wa Utumishi
wa Umma, Thulas Nxesi,
al i l aumu kut ofuat wa
taratibu katika kuteua
wazabuni na ununuzi wa
vifaa.
"Nilikuwa bado sijatoa
mt azamo wangu j uu
ya suala hilililikuwa
lionachunguzwa. Hakuna
ushahidi wa utendaj i
mbovu.
"Hakuna kilichokosewa
kuhusu Nkandla. Hakuna
serikali iliyojenga nyumba
ya Zuma" alisema.
A l i s e ma g a z e t i
lililochapisha picha za
himaya yake huko kijijini
( Nka ndl a ) l i l i kuwa
linapotosha watu.
Alisema picha hizo
zinawajengea watu hisia
kwamba Zuma anajenga
ki t u ki kubwa kul e
(KwaZulu Natal).
" K a t i k a p i c h a
iliyochapishwa, zahanati
ya serikali imewekwa
k a ma s e he mu ya
nyumbani kwangu."
Nimekula kiapo, na
ninaendesha nchi sio
kampuni ya ujenzi.
"Sio sawa kutoa picha
ya nyumbani kwa Zuma
na maelezo ambayo si
sahihi." Alisema Rais
Zuma.
Rais Zuma alisisitiza
kuwa naye ni rai a
anayestahili haki.
"Mimi pia ni raia.
Nahitaji ulinzi pia. Ripoti
ya Msimamizi wa mali
za Umma haikusema
Zuma amefuja fedha za
serikali. Sidhani kuwa ni
kumtendewa haki raia."
Tuhuma hi zi dhi di
ya Rais Zuma zimekuja
wakati Afrika ya Kusini
ikiwa katika harakati
za uchaguzi Mkuu
uliofanyika Jumatano
wiki hii na matokeo
yake yanat ar aj i wa
kutangazwa leo.
RAIS Jacob Zuma akikata keki na wake zake katika
sherehe yake ya kutumiza miaka 70.
INNALILAHI WAINNA ILAYHI RAJIUN
Familia ya Mzee Hassan Kapungu
wanatoa Shukrani zao Za Dhati kwa wote
waliohusika kumuuguza na Kushirikiana
kumzika Al-Mar-hum
Kipenzi Chao Sheikh ILUNGA HASSAN
KAPUNGU aliyefariki Jumapili Usiku wa
Tarehe 4/05/2014 Jijini Dar es salaam na
matayarisho ya Mazishi kufanyika katika
Msikiti wa Kichangani Magomeni Mapipa
(T.I.C) na kuzikwa katika makaburi ya
Mwinyimkuu hapo hapo Magomeni
tarehe 5/5/2014 Al-ASRI. Allah awalipe
kila la Kheri na kuwaepusha na Shari pia
Amghufrie Marehemu Madhambi yake
na kumuweka katika makazi mazuri ya
BARZAQ.
Shukrani
13
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Makala
0715-860120 / 0758-447051 / 0653-532456
NAFASI ZA MASOMO 2014-2015
Bismillahir Rahmanir Raheem
K AMBONI IG
TEACHERS
COLLEGE KIGOGO
Na
Usajili
CU 130
CU 124
B
w
e
n
i
K
u
t
w
a
n
a

WAHITIMU WOTE
WATAAJIRIWA
NA SERIKALI
NB:
Inawezekana
Kuunganisha
VYETI
RESITING PROGRAMME
DIPLOMA YA UALIMU WA SEKONDARI (Miaka 2)
Kituo No. 5089,
WALIOKOSA POINTI 34, WATARUHUSIWA
KUSOMA UALIMU HUKU WANARUDIA
MITIHANI YA KIDATO CHA NNE
CHETI UALIMU WA AWALI (Mwaka 1)
(Vigezo:Principal Pass 2, Kuanzia 2004-2013)
Ufaulu: Div I,II,III kwa masomo ya sayansi watapewa
RUZUKU na MKOPO na SERIKALI)
Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia
2004-2013 NA Awe na Credit 2 katika masomo
ya Sayansi/Hisabati na English.
Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III
kuanzia 2004-2013.
Ufaulu: Awe na Uzoefu wa Miaka 2 kazini
Kidato cha VI,na kupata Principal Pass moja
na Subsidiary moja
(Msingi)
ondari) (Sek
DIPLOMA MAALUM YA UALIMU-KIDATO CHA IV (Miaka 3)
(masomo ya Sayansi/Hisabati na English)
(Msingi na Sekondari)
DIPLOMA YA UALIMU-ELIMU YA MSINGI (Miaka 3)
DIPLOMA YA UALIMU-KAZINI (Miaka 2)
Awe amemaliza Form IV
DIPLOMA UALIMU WA AWALI

(Miaka 2)
UALIMU WA MSINGI (Grade IIIA Miaka 2)
Form 4: Div III Point 25-31, Waliomaliza 2013
Au Div III, waliomaliza 2004-2012
Na
Form 4: Div IV, Point 32-34, Waliomaliza 2013 Au Point 26 - 27,
waliomaliza 2004-2012 Au Mwenye Ufaulu wa D katika
Masomo ya Sayansi, Hisabati, English na Kiswahili
wataruhusiwa baada ya kufanya Foundation Course
Waliopata Principal Pass 1 na Subsidiary 1 au Subsidiary 2 katika masomo
yote ataruhusiwa kusoma Ualimu baada ya kufanya Foundation Course.
ASSAM
Ka b i l a l a B o d o
linalotaka kujitenga
n c h i n i I n d i a ,
l i mewas hambul i a
Wa i s l a m u w a
j i mbo l a As s a m
ambapo Wai sl amu
wa s i o p u n g u a 3 2
wameuawa.
Imeari fi wa kuwa
wa na mga mbo wa
kundi linalojulikanalo
kama Har akat i ya
Kitaifa ya Demokrasia
ya Bodoland, waliingia
kwa nguvu kat i ka
nyumba za Waislamu
katika kijiji kimoja na
kuwaua.
Mbali na kuuliwa
Waislamu hao zaidi ya
32, mamia ya wengine
wamejeruhiwa katika
hujuma hiyo ya kabila
ya Bodo.
Taari fa zi nasema
k u wa ma e l f u ya
Wai sl amu wengi ne
w a m e l a z i m i k a
kuyakimbia makazi yao
wakihofa kuongezeka
hujuma dhidi yao.
Awali iliripotiwa
kwamba fami l i a za
waliouliwa zilikataa
kuwazika jamaa zao,
ikiwa ni hatua yao ya
kulalamikia serikali
juu kukithiri mauaji
Mauaji ya Waislamu India
wanayof anyi wa na
wanamgambo wa Bado,
kwamba mauaji hayo
muendelezo vitendo
vya jinai dhidi ya walio
wachache nchini India.
Ki j i j i hi c ho c ha
Waislamu kilichopo
karibu na mlango wa
kuingia katika Mbunga
ya Kitaifa ya Manas,
ni sehemu maarufu ya
utalii nchini humo.
W a i s l a m u
wa l i o a n d a m a n a
wamemtaka Mkuu wa
Jimbo la Assam, Tarun
Gogoi, atembelee eneo
lao ili aweze kuwapa
uhakika wa usalama
wao.
M w a k a 2 0 1 2
k a t i k a J i mb o l a
Assam, l i l i kumbwa
na mauaji kama haya
yaliyoshuhudiwa hivi
karibuni.
I meel ezwa kuwa
B o d o l a n d , e n e o
wanaloishi watu wa
kabila la Bodo wanataka
kuj i t enga na I ndi a
katika jimbo la Assam.
Kabila hilo limekuwa
likidai kuwa Waislamu
wa eneo hilo waliingia
eneo hilo kinyume cha
sheria kutoka nchi jirani
ya Bangladesh, hivyo
wanapaswa kuondoka.
Hata hivyo Polisi
nchini India wamesema
wamewatia mbaroni
watu 22 waliochoma
nyumba za Waislamu
j i mb o n i As s a m.
Ai dha i me e l e z wa
k uwa Wa k uu wa
Jimbo hilo wamesema
w a n a t a f a k a r i
pendekezo la kuwapa
Wa i s l a mu s i l a h a
waweze kujihami.
Ma c h a f u k o n a
u mwa g a j i d a mu
yanajiri India katika
hali ambayo Uchaguzi
Mkuu unaoendel ea
nchi ni humo, huku
uhasama wa kikabila
na kidini katika baadhi
ya maeneo ya nchi hiyo
ukiwa mkubwa.
Ch a ma c h e n y e
misimamo mikali ya
Ki hi ndu, Bharat i ya
Jannata, maarufu kama
BJP kinaonekana kuwa
na ushawishi mkubwa
na inakadiriwa kuwa
ki t ai buka mshi ndi
katika uchaguzi, jambo
ambalo limezuoa hofu
kwamba l i naweza
kuweka hali ya usalama
kwa Waislamu kuwa
mbaya zai di nchi ni
humo.
Waislamu wa Jimbo la
Assam wanaishi karibu
na mpaka wa nchi hiyo
na Bangladesh katika
milima ya Himalaya.
Kabila la Bado ni la
watu wanaofuata dini ya
Kibudhha, ambao wana
chuki za kidini dhidi ya
Waislamu. Waislamu
wa eneo hilo wanasema
hawajadhulumu ardhi
wanayokaa hivi sasa
kwani t angu j adi
wamekuwa wakiishi
hapo.
Nar endr a Modi ,
mgombe a wa BJ P
anayewania nafasi ya
Waziri Mkuu wa India,
amekuwa aki s ema
katika kampeni zake
za uchaguzi , kuwa
atakabiliana na watu
ambao amewataja kuwa
ni wahamiaji haramu
kut oka Bangl adesh
walioko India.
Wakos oaj i wake
wa n a a mi n i k uwa
ma t a ma s h i h a y o
ni j a mbo a mba l o
litasababisha kuibuka
machafuko nchini India.
J u m u i y a y a
Waislamu India imetoa
t aar i f a ya kul aani
wa b a g u z i a mb a o
wametekeleza mauaji
na unyama dhidi ya
Waislamu, wakiwemo
watoto katika eneo hilo
la Kaskazini Mashariki.
Inasadikiwa kuwa
India ni moja ya nchi
zenye i dadi kubwa
zai di ya Wai sl amu
duniani. Kwa mujibu
wa takwi mu rasmi ,
Wai sl amu I ndi a ni
asilimia 13 ya watu
wote, ambao ni bilioni
moja na milioni 200.
Kabila la Bado lina
idadi ya watu takribani
milioni moj a. Jamii
hiyo pia inapatikana
n c h i n i N e p a l .
Waislamu wa Jimbo
la Assam wanasema
badal a ya ser i kal i
ya j imbo kutafakari
kuwatia mbaroni na
kuwafikisha mbele ya
vyombo vya sheri a
watenda jinai, imetoa
tishio kuwa Waislamu
wat asht aki wa kwa
tuhuma za kuvuruga
nidhamu ya umma.
Vyombo vya habari
India vimesema kuwa
ya na yoj i r i ka t i ka
jimbo la Assam, yana
c h i mb uk o k a t i k a
uchaguzi mkuu nchini
humo.
Pamoj a na kuwa
watu wa kabila la Bodo
we nye mi s i ma mo
mikali wanadai kuwa
Waislamu wa jimbo la
Assam wameingia India
kinyume cha sheria
kutoka Bangladesh,
ukwel i wa mambo
ni kuwa mauaj i ya
Waislamu yana sababu
nyingine.
Taarifa zameeleza
k wa mb a Wa k u u
wa kabi l a l a Bodo
wamekasirishwa na
kitendo cha Waislamu
kutomuunga mkono
mgombea wa Wabodo.
Mt azamo huu pi a
umet hi bi t i shwa na
Islam Ahmad, Kiongozi
wa Wa i s l a mu wa
Bodoland.
MAJERUHI katika shambulio dhidi ya
Waislamu jimboni Assam, India akiwa kabebwa
na wasamaria baada ya shambulio.
14
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
TANGAZO
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org
4. Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi (10,000/=) katika vituo vifuatavyo:

Arusha - Ofsi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni 0763 282 371/ 0784 406 610.
Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418
- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914
- Uongofu Bookshop: - 0784 982525/
- Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533
Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685
- Ofsi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.
Musoma - Ofsi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623
Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofsi za TRA. - 0688 479 667
Shinyanga - Masele com: Ofsi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426
- Kahama ofsi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930
Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556
- Ofsi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474.
Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380
Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086
Singida - Ofsi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039
Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575
- Ofsi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902.
Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224.
- Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860.
- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.
Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.
Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007.
Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113
- Mkuzo Islamic High School. 0716 791113
Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209
- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209
Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073
Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566
Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122
Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331
Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074-
Mafa - Ofsi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627
Ikwiriri - Masjid Aqswa: 0782 838749/0656531133
5. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa
kuzirejesha.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ
NAFASI YA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI,
2014/2015 CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC
Waislamu wote mnatangaziwa nafasi za mafunzo ya Ualimu Nganzi ya Cheti
katika chuo cha ualimu Kirinjiko Islamic. Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi,mafunzo haya yako ya aina mbili:
1. MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA CHETI, DARAJA A
Muda wa Mafunzo : Miaka 2
Mwombaji awe:
(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2013.
(b) Mwenye ufaulu wa kiwango kisichopungua daraja la III (Division III
katika mtihani uliofanyika katika kikao kimoja.
2. MAFUNZO KABILISHI (BRIDGING COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA NA
MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI DARAJA A
Muda wa Mafunzo: Mwaka 1
Mwombaji awe:
(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2012 na awe
amefaulu kwa kiwango kisichopungua Daraja la IV (Division IV) kwa alama 26
au 27 (Kwa mtihani wa mwaka 2004 hadi 2012) na alama 33 au 34 (Kwa mtihani wa
2013) kwa mitihani iliyofanyika katika kikao kimoja; na
(b) Mwenye uf aul u wa angal au ki wango cha D kat i ka masomo ya
Sayansi,Hisabati,English na Kiswahili katika mtihani wa kidato cha IV.
Tanbihi: watakaofaulu mtihani wa mafunzo kabilishi wataendelea na mwaka wa pili wa
mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti, Daraja A.
MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE
1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certifcates) vya
kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.
2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 21/06/2014 saa 2:00
asubuhi.
3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:
(a) Kirinjiko Islamic T.C SAME
(b) Ubungo Islamic T.C DSM
(c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza
15
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Habari
Usia wa Sheikh Ilunga kwa Wazanzibari
Inatoka Uk. 16
kuhakikisha kuwa kichaka
kinachoficha mfumo kristo
kinapigwa moto.
Na hiyo itafanyika kwa
kuwa na muungano wa
haki ambapo pande mbili za
muungano, Tanganyika na
Zanzibar zitakuwa na haki
sawa, sio huu wa serikali ya
Tanganyika kujivika joho la
serikali ya Tanzania.
Ilunga alimalizia kwa
kuwapa changamoto viongozi
wa serikali ya Zanzibar,
Rais Ali Mohammed Shein,
na Makamo wake wawili,
Maalim Seif Sharif Hamad
na Bal ozi Sei f Al i I ddi
kwamba wao wametoka
katika migongo ya wazee wa
Kiislamu na hivyo, hawawezi
kukwepa jukumu la kuona
hadhi ya Uislamu inarudi
kama ilivyokuwa wakati
wakilelewa na wazee wao.
Kabla ya kutoa nasaha
hizo, Sheikh Ilunga alisema
kuwa mfumo wa muungano
ul i opo umekuwa kama
kichaka unakojifcha mfumo
kristo kuiburura Zanzibar
katika idhilali kwa kuipora
nguvu zake za kisiasa na
kiuchumi na kubwa zaidi
kuhuj umu Ui sl amu na
Waislamu.
Aliyabainisha hayo katika
kongamano lililofanyika
kat i ka eneo l a Markaz
Tabligh, Ole Kianga, Pemba
Jumapili Oktoba 2, 2011.
K o n g a m a n o h i l o
lililohudhuriwa na maelfu
ya Waislamu kutoka sehemu
mbalimbali za Pemba, lilijadili
hatari ya mfumo kristo kwa
Zanzibar na Tanzania kwa
ujumla.
Awal i Shei kh I l unga
Hassan Kapungu alisema
kuwa, inaweza kuwa jambo
lisiloeleweka ukizungumzia
mf umo kri st o kwa vi l e
takriban viongozi wote wa
serikali na taasisi muhimu
ni Waislamu, Wapemba na
Waunguja.
Hata hivyo akasema kuwa,
ile kuwa inaitwa ni serikali
ya Zanzibar haina maana
kuwa serikali hiyo ni serikali
inayoongoza dola kwani
mamlaka yote ya kisiasa yapo
katika serikali ya muungano.
Aki f a f a nua a l i s e ma
kuwa yapo mambo ambayo
Wazanzi bari wangetaka
kufanya au kuamua kwa
masilahi ya nchi yao, lakini
hawawezi kuyafanya kwa
vile muungano umewapora
nguvu za kisiasia.
Na kwamba, yale mamlaka
ya ki dol a na ki si asa ya
Zanzi bar yal i zi kwa na
kusomewa talakini siku
ASP ilipoungana na TANU
ambapo CCM i l i s hi ka
hatamu na maamuzi yote
muhimu kuwa yanafanyika
Dodoma.
Maalim Basaleh, Mohamed Issa walivyomzungumzia Ustadh Ilunga
Inatoka Uk. 16
na anayakubal i kama
alivyofanya Shkh. Ilunga.
Alisema.
Maal i m Bas wal eh,
alisema msiba wa Shkh.
Ilunga, uliokusanya umma
wa Kiislamu unaonyesha
ni namna gani Waislamu
wenzake walivyo kuwa
radhi naye na kukubali
juhudi zake alizokuwa
akizifanya wakati wa uhai
wake.
Laki ni , al i sema ni
vyema Waislamu wakaiga
nyayo zake, ili kila mmoja
aweze kupata aliyoyapata
Shkh. Ilunga, na kwamba
ki l a mmoj a aangal i e
atajitahidi kwa namna
gani kwa ajili ya kupeleka
mbel e Ui sl amu wake
na kuwatetea Waislamu
wenzie.
Na hii ni ishara na
dal i l i nj ema ya huko
a na k o k we nda , k wa
sababu Mtume, anasema
maneno ya waumini vile
watakavyo sema ndio
kal amu ya kuandi ki a
haki mbele za Mweneyezi
Mu n g u . Al i s e ma
Maalimu Baswaleh.
N a y e , S h e i k h
Mo h a mme d I s s a ,
alisema leo Shkh. Ilunga,
amekwenda kwa Mola
wake, lakini kinachopaswa
kufahamika ni kwamba
kila mmoj a ana nafasi
ya kuwa Shkh. Ilunga,
k i n a c h o a t a k i wa n i
maamuzi tu.
Shei kh Il unga, l eo
hatunaye, swali la kujiuliza
ki na Il unga, wengi ne
wapo wapi? Lakini kila
mmoja anafasi ya kuwa
Shekh. Ilunga, ni nafasi
ya kuamua tu na kuomba
tawfiq ya Allah (s.w).
alisema Shkh. Issa.
Akiwafariji Waislamu
juu ya kuondokewa na
Mwanaharakati huyo,
aliyekuwa kipenzi cha
Waislamu kutokana na
kukemea dhulma dhidi
yao nchini, Shkh. Issa,
aliwataka kutokuwa na
wasiwasi, kwani alisema
Allah (s.w), anajua wapi
atapitishia ujumbe wake.
Kufiwa na viongozi
katika Uislamu ni jambo
la kawaida, miaka kadhaa
nyuma ni nani alikuwa
anamj ua na kumt aj a
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu, wal i kuwa
wanatajwa wengine tu,
lakini alisimama na umma
ukamjua na leo twamtaja
na tutaendelea kumtaja
baada ya kut ekel eza
wajibu wake. Alisema
Shkh. Issa.
Akawataka Waislamu
k u e l e wa k wa mb a ,
hakuna unabi i baada
ya Nabii Muhammad,
lakini wafikishaji wenye
kufikisha na kukemea
dhul ma Al l ah ( s. w)
atawaleta tu, na kwamba
wale wanaodhani harakati
za Kiislamu zinaweza
kwisha kwa sababu ya
kuondokewa na wakemea
dhulma dhidi ya Waislamu,
walikatie tama jambo hilo.
Akielezea maandalizi
ya umauti kwa Waislamu
, alisema yapo maandalizi
ya aina mbili, kwanza ni ya
nafsi kwamba unaiandaaje
mpaka ukakutane na Mola
wako baada ya kuvishinda
vishawishi vya duniani
katika masha yako.
Maandal i zi ya pi l i ,
alisema ni kuufikisha
Ui sl amu kwa umma,
kwakuwa Uislamu si dini
ya mtu binafsi, ukaishia
kuswal i na kuf unga,
akasema kama ingelikuwa
hi vyo basi l eo Shkh.
Ilunga, umma wa Kiislamu
usingemfahamu.
Hi l i l a kuamri sha
mema halina tatizo sana na
linafanywa na wengi, kwa
sababu halina misukosuko
kwa anayefkishiwa, lakini
kazi ipo katika kukataza
maovu na kuke me a
dhulma, mambo ambayo
mtu kaamini ndio dunia
yake, uki fanya hi vyo
wewe s as a ut ai ngi a
kwa kina Ilunga Hassan
Kapungu. Alisema Shkh.
Mohammed.
Shkh. Issa, al i sema
kuielezea dhulma dhidi
ya Waislamu ndio kazi
aliyoifanya sana Shkh
Ilunga, na leo (Jumatatu)
umma mmeshuhudi a
nini amekipata baada ya
kurejea kwa Mola wake,
kwani kapata heshima na
utukufu kwa Waislamu.
Alisema, hapana budi
kwa kila Muislamu kuwa
na hamu na alichokipata
Shkh. Ilunga, kwa kuanzia
pale alipoishia yeye katika
kazi ya kukataza dhulama
katika mambo ambayo
Uislamu unafanyiwa.
Alisema, kazi aliyokuwa
akiifanya Shkh. Ilunga,
ya kuf i ki sha uj umbe
kwa kukataza dhulma
wazi wazi kwa maadui
wa Uislamu, ni kazi ya
kukuweka katika hali ya
kuonekana ni adui kwa
wapendao dhulma na ni
jambo ambalo Masheikh
wengi hawaiwezi kazi
hiyo.
Alisema, kinyume chake
kazi ya kukaa Misikitini
na kudarasisha ndiyo
imekuwa nyepesi kwa
Masheikh wengi, lakini
kazi ya kuutoa Uislamu
nje ya kuta nne za Msikiti,
si tu kwa kuamrisha mema
bali kukataza na kukemea
dhulma ambazo Uislamu
unafanyiwa, hii ni ngumu
kwa walio wengi.
Na tati zo zai di ni
pale sisi tusio iweza kazi
hiyo tunawabeza wale
wanaoiweza, na huyo
anayebeza yupo muda
wote Msikitini na kanzu
na ki koi , muda wot e
anadarasisha tu, hajawahi
kusimama mbele ya watu
wasioupenda Uislamu
na a ka ke me a ka ma
walivyofanya Maswahaba,
l aki ni yeye anaj i ona
kuwa ni bora kuliko yule
anayekemea dhulma dhidi
ya Waislamu. alisema
Shkh. Issa.
Sheikh Ilunga Hassan
Kapungu, alifariki dunia
Usiku wa Jumapili majira
ya saa tano usiku, na
kuzikwa siku ya Jumaptatu
baada ya swala ya Al-
Aswir, katika makaburi ya
Mwinyimkuu, Magomeni
Jijini Dar es Salaam.
Aki t oa mf ano al i t aj a
uchaguzi mkuu ambapo jina
linalopitishwa kugombea
Urai s l aweza kuwa l i l e
ambalo halikupata ridhaa ya
Wazanzibari.
Na ha t a k uo ndo k a
madar akani , ki ongozi
anaweza kuondolewa bila
ya Wazanzibari wenyewe
waliompigia kura au vyombo
vyao vya uwakilishi kama
Bar aza l a Wawaki l i shi
kuhusishwa.
Akatajwa mfano wa Mzee
Aboud Jumbe aliyekwenda
mkutanoni Dodoma akiwa
Rais akarudi Urais akiwa
ameuacha Dodoma.
Sheikh Ilunga kwa kutoa
mfano huo alisema kuwa Alhaj
Aboud Jumbe, yalimfka kwa
sababu alihoji muungano na
kuhoji kwenyewe si kutaka
kuuvunja, bali kutaka uwe
wa haki.
Yalimfka. Kwa nini?
Kwa nini imefanywa kuwa
mwiko kuhoji muungano?
Alisema na kuhoji Ilunga.
Kabla ya kutoa jawabu,
Sheikh Ilunga alirejea pia
hali ilivyokuwa wakati wa
Mzee Abeid Aman Karume
ambaye alishaonesha kuwa
koti la muungano linambana,
lakini mauti yakamfka muda
mfupi kabla ya kutimiza nia
yake ya kulivua.
Aligusia pia yaliyomfka
Maalim Seif Sharif Hamad,
ha t a hi vyo ha kut a ka
kufafanua bali akawataka
Wazanzi bar i wenyewe
wamuulize Maalim nini
kilimkuta na kwa nini.
Kati ka kukami l i sha
hoja yake akasema kuwa
muungano umefanywa
jambo nyeti na mwiko
kujadiliwa kwa sababu
ndio uchochoro na kichaka
mfumo kristo unakopitia
kuiua Zanzibar na kuuwa
Uislamu.
Ka t i k a h a l i h i y o
a k a s e m a k u w a ,
Wazanzibari watakuwa
wakiwalaumu na pengine
hata kuwachukia bure
viongozi wao, lakini nao
wanashindwa kufanya
y a n a y o t a k i wa n a
Wazanzibar kwa sababu
inabidi kwanza watizame
Dodoma inasema nini.
Kwa maana kuwa jambo
kama halijapata ridhaa ya
mf umo, hal i wezi kuwa
kama ambavyo haikuweza
Zanzibar kujiunga na OIC
na hivi sasa Tanzania haiwezi
kujiunga na jumuiya hiyo kwa
sababu maaskofu hawataki,
mf umo kri st o haut aki .
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa,
Mheshimiwa Bernad Membe
aliliambia rasmi Bunge kuwa
serikali haioni tatizo Tanzania
kuj iunga na OIC, lakini
ghafa msimamo ukabadilika
baada ya kuitwa na Kardinali
Pengo.
16
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014 16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 9-15, 2014
Soma
AN-NUUR
kila Ijumaa
MAKAMO wa Kwanza wa
Rais wa Zanzibar, Maalim
Seif Sharif Hamad, alikuwa
miongoni mwa maelfu ya
Waislamu walioshiriki
faradhi kifaya ya kumzika
Shei kh Il unga Hassan
Kapungu siku ya Jumatatu
wiki hii.
Kama alivyosema Sheikh
Ki shki kat i ka nasaha
zake pale msikitini TIC,
Magomeni Ki changani ,
Maalim Seif kashiriki maziko
yal e kama Mui s l amu.
Al i s h i r i k i k u mz i k a
Muislamu mwenzake kama
Uislamu unavyohimiza.
Kishki akatumia fursa
hiyo kuwazindua viongozi
wengi ne wa ki seri kal i
na wanasi asa kwamba,
kuwa kwao madarakani
hakuwaondol ei waj i bu
wao wa kidini. Akawataka,
wasione fahari tu kujitokeza
kus hi r i ki ma z i ko ya
wa na muz i k i , Bo ng o
movies, na mambo kama
hayo, lakini vyema zaidi
waone fahari kujumuika na
Waislamu wenzao katika
maziko kama yale ya Sheikh
Ilunga.
Katika muktadha huu,
pamoj a na kuchukuliwa
kwamba Maalim kaja kama
Mui sl amu, na si kama
ki ongozi wa ki si asa au
kama Mzanzibari, lakini
pengine ingekuwa vyema
kutumia fursa hii kusema
yale ambayo Sheikh Ilunga
aliyasema mwaka 2011 kama
nasaha zake kwa Maalim
Seif na viongozi wenzake
wa Zanzibar na Wazanzibari
wote.
Katika muhadhara wake
mmoja kule Pemba, Sheikh
Ilunga alisema kuwa kabari
ya mfumo kristo imewakaba
barabara Wazanzi bari ,
hawafurukuti. Hata hivyo,
pamoj a na hal i hi yo,
Sheikh Ilunga aliwataka
Wazanzibari kutokukata
tamaa, bali watumie fursa
zilizopo kurejesha hadhi yao.
Fursa ya kwanza akasema
ni wao kuwa Waislamu.
Akawat aka wat i zame
kwanza hadhi ya Uislamu,
ndio ifuatie nchi yao na dola
yao.
A l i s e m a k u w a ,
Wazanzi bar ni l azi ma
watumie maridhiano ya
ki si asa yal i yopo kul eta
maridhiano ya Kiislamu.
Kwamba amani iliyopo
Usia wa Sheikh Ilunga kwa Wazanzibari
Na Mwandishi Maalum
i t u mi k e k u i ma r i s h a
udugu wa Kiislamu, watu
wajitambue kwamba wao
ni Waislamu kwanza kabla
ya jambo jingine lolote. Ni
Waislamu kabla ya CUF
na CCM na ni Waislamu
kabla ya kuwepo Tanzania
na muungano wake.
Akasema hilo linahitaji
Dawah ya kutosha na watu
warejee katika Quran waone
na kutafakari jinsi Mwenyezi
Mungu anavyowaonya juu
ya kuwafanya Mayahudi na
Manasara kuwa marafki na
wasiri wao.
Akawakumbusha pi a
kuwa Quran imesema wazi
kwamba chuki iliyofichwa
na Manasara ndani ya
vifua vyao ni kubwa mno
kuliko wanayoidhihirisha
na kwamba hawataridhia
mpaka wawar i t adi s he
Waislamu, japo wabakie
Waislamu wa majina lakini
makafri kwa kauli, vitendo
na maadili.
Kufuatia kauli ya Bwana
William Lukuvi kanisani
na bungeni , bi l a shaka
maneno haya ya Ilunga
yanathibitika zaidi. Kwamba
ipo chuki dhidi ya Uislamu
na Wai sl amu. Na hi yo
namna pekee ya kukabiliana
nayo, ni kujitizama kama
Waislamu, kama Lukuvi na
waliokuwa kanisani pamoja
naye walivyojitizama kama
Wakristo kutoa hofu yao
dhidi ya Waislamu walio
wengi Zanzibar.
Baada ya neema ya
Uislamu, na fursa ya kuwepo
maridhiano na serikali ya
umoja wa kitaifa, Ilunga
alitaja fursa nyingine kuwa
ni mabadiliko ya katiba
yanayokuja.
Akasema, ni l azi ma
fursa hiyo itumike vizuri
Inaendelea Uk. 15
MWANAHARAKATI
Al-Marhum Sheikh
Ilunga Hassan Kapungu,
ameel ezwa kuwa ni
mf a no wa kui gwa
kutokana na juhudi
zake za kukemea wazi
wazi dhulma dhidi ya
Waislamu enzi za uhai
wake.
Wa na ha r a ka t i na
Wahadhi r i maar uf u
nchi ni , Maal i m Al l y
Bas wal e na She i kh
Mo h a mme d I s s a ,
wa me ya s e ma ha y o
J uma t a t u wi ki hi i ,
wakihutubia maelfu ya
Maalim Basaleh, Mohamed Issa
walivyomzungumzia Ustadh Ilunga
Na Bakari Mwakangwale Waislamu waliojitokeza
k a t i k a ma z i s h i ya
Mwanaharakati huyo
k a t i k a Ms i k i t i wa
Kichangani, Magomeni,
Jijini Dar es Salaam.
Maal i m Bas wal eh,
alisema, Shkh. Ilunga,
katika uhai wake alijitolea
mai s ha yake kat i ka
kuut et ea na kupi nga
dhulma dhidi ya Uislamu
na Waislamu nchini.
Huy u mwe nz e t u
amej i tol ea nafsi yake
kuut et ea Ui sl amu na
Waislamu katika uhai
wake na amekufa kwa
hilo, tunatarajia kwamba
Mwe n y e z i Mu n g u ,
atazipokea juhudi zake
na kumweka kat i ka
j a n n a t uf i l da us , n a
si si tul i obaki hatuna
b udi k ui g a mf a n o
huo. Alisema Maalim
Baswaleh.
Kwa hakika, Maalima
Baswaleh, alisema hakuna
mtu anayejua ataishi kwa
umri gani hapa duniani, na
kwamba watu wanapima
umri kwa miaka wala si
hivyo.
Alisema, kwa kawaida
unapomuona mwenzako
amefariki akiwa na umri
wa miaka 70, na ilihali
wewe uki wa ki j ana
mwe nye mi a ka 3 0 ,
unajawa na fkra kwamba
na wewe unaweza kufa
ukiwa na umri huo.
Akasema, ifahamike
kwamba kila mtu anaishi
kulingana na makadirio
ya mapi go yake ya
moyo al i vyopangi wa
na Mwenyezi Mungu,
ambayo yatapiga katika
maisha yake ikiwa ni mara
bilioni kadhaa na huenda
ya ki pungua mpa ka
kufkia sifuri.
Sasa kama ni hivyo,
umejitayarisha vipi kwa
ajili ya kesho? Simama
uf anye kwa aj i l i ya
kesho yako, kwa yale
a mb a y o Mwe n ye z i
Mungu (s.w) anayaridhia
Inaendelea Uk. 15
AL-MARHUUM SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu wakati wa uhai wake akiwahutubia
Waislamu.

También podría gustarte

  • Ukweli Ni Huu, (Kuusuta Uwongo) - Aman Thani Fairooz
    Ukweli Ni Huu, (Kuusuta Uwongo) - Aman Thani Fairooz
    Documento76 páginas
    Ukweli Ni Huu, (Kuusuta Uwongo) - Aman Thani Fairooz
    MZALENDO.NET
    67% (6)
  • Annuur 1031
    Annuur 1031
    Documento16 páginas
    Annuur 1031
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1158
    Annuur 1158
    Documento16 páginas
    Annuur 1158
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1091
    Annuur 1091
    Documento16 páginas
    Annuur 1091
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1176b PDF
    ANNUUR 1176b PDF
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1176b PDF
    annurtanzania
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1060
    Annuur 1060
    Documento16 páginas
    Annuur 1060
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1141
    Annuur 1141
    Documento16 páginas
    Annuur 1141
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1078
    Annuur 1078
    Documento12 páginas
    Annuur 1078
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1179 PDF
    Annuur 1179 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1179 PDF
    annurtanzania
    100% (1)
  • Annuur 1143
    Annuur 1143
    Documento16 páginas
    Annuur 1143
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1119
    Annuur 1119
    Documento16 páginas
    Annuur 1119
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Documento20 páginas
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1102
    Annuur 1102
    Documento12 páginas
    Annuur 1102
    annurtanzania
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1157 PDF
    Annuur 1157 PDF
    Documento16 páginas
    Annuur 1157 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Visa Vya Wachamungu PDF
    Visa Vya Wachamungu PDF
    Documento52 páginas
    Visa Vya Wachamungu PDF
    Rujewa Talent
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1107
    Annuur 1107
    Documento16 páginas
    Annuur 1107
    annurtanzania
    Aún no hay calificaciones
  • Gazeti La ANNUR
    Gazeti La ANNUR
    Documento12 páginas
    Gazeti La ANNUR
    Hassan Mussa Khamis
    Aún no hay calificaciones
  • Hadithi 40
    Hadithi 40
    Documento16 páginas
    Hadithi 40
    Abdul Karim Mohamed
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR1004
    ANNUUR1004
    Documento16 páginas
    ANNUUR1004
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1076
    Annuur 1076
    Documento12 páginas
    Annuur 1076
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1109
    Annuur 1109
    Documento16 páginas
    Annuur 1109
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    De Everand
    Tishio la Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar
    Aún no hay calificaciones
  • Shariff Alwy (Mzeemwenye)
    Shariff Alwy (Mzeemwenye)
    Documento42 páginas
    Shariff Alwy (Mzeemwenye)
    Ali
    0% (1)
  • Annuur 1036
    Annuur 1036
    Documento16 páginas
    Annuur 1036
    Hassan Mussa Khamis
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1187 PDF
    Annuur 1187 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1187 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper Issue 4
    Documento15 páginas
    Imaan Newspaper Issue 4
    Imaan Newspaper
    Aún no hay calificaciones
  • Maulid Ya Mtume (Saw)
    Maulid Ya Mtume (Saw)
    Documento2 páginas
    Maulid Ya Mtume (Saw)
    Frankie Shija
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1138
    Annuur 1138
    Documento16 páginas
    Annuur 1138
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Imaan Newspaper Issue 2
    Imaan Newspaper Issue 2
    Documento15 páginas
    Imaan Newspaper Issue 2
    Imaan Newspaper
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1145e
    ANNUUR 1145e
    Documento16 páginas
    ANNUUR 1145e
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1155
    Annuur 1155
    Documento16 páginas
    Annuur 1155
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1061.
    Annuur 1061.
    Documento16 páginas
    Annuur 1061.
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Wazanaki Na Vitungo
    Wazanaki Na Vitungo
    Documento10 páginas
    Wazanaki Na Vitungo
    Amossy Itozya
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1168 PDF
    Annuur 1168 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1168 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Documento20 páginas
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Documento39 páginas
    Maulidi - Si Bida, Si Haramu
    Stambuli Abdillahi Nassir
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1007
    Annuur 1007
    Documento16 páginas
    Annuur 1007
    MZALENDO.NET
    Aún no hay calificaciones
  • Habari Na Matukio PDF
    Habari Na Matukio PDF
    Documento34 páginas
    Habari Na Matukio PDF
    Cathbert Angelo
    Aún no hay calificaciones
  • Ebook - Tanzania - TANZANIAN - Islam - Imân Na Uislam PDF
    Ebook - Tanzania - TANZANIAN - Islam - Imân Na Uislam PDF
    Documento112 páginas
    Ebook - Tanzania - TANZANIAN - Islam - Imân Na Uislam PDF
    bookdistributor
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1082
    Annuur 1082
    Documento16 páginas
    Annuur 1082
    MZALENDO.NET
    100% (1)
  • Imaan Newspaper Issue 81
    Imaan Newspaper Issue 81
    Documento19 páginas
    Imaan Newspaper Issue 81
    Imaan Newspaper
    100% (1)
  • Annuur 1115
    Annuur 1115
    Documento16 páginas
    Annuur 1115
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1164a
    ANNUUR 1164a
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1164a
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    Documento15 páginas
    Gaidi Mtaani (Street Terrorist) - Issue 1
    BillaoJournal
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1144
    Annuur 1144
    Documento16 páginas
    Annuur 1144
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1142
    Annuur 1142
    Documento16 páginas
    Annuur 1142
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    Documento485 páginas
    Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
    MZALENDO.NET
    100% (3)
  • Hofu
    Hofu
    De Everand
    Hofu
    Calificación: 5 de 5 estrellas
    5/5 (1)
  • Kale ya Washairi wa Pemba: Kamange na Sarahani
    Kale ya Washairi wa Pemba: Kamange na Sarahani
    De Everand
    Kale ya Washairi wa Pemba: Kamange na Sarahani
    Aún no hay calificaciones
  • Nyuma Ya Pazia
    Nyuma Ya Pazia
    De Everand
    Nyuma Ya Pazia
    Aún no hay calificaciones
  • Kikosi cha Kisasi
    Kikosi cha Kisasi
    De Everand
    Kikosi cha Kisasi
    Calificación: 2 de 5 estrellas
    2/5 (1)
  • Siri Kali
    Siri Kali
    De Everand
    Siri Kali
    Aún no hay calificaciones
  • Nyuma ya Mapazia
    Nyuma ya Mapazia
    De Everand
    Nyuma ya Mapazia
    Calificación: 5 de 5 estrellas
    5/5 (1)
  • Mtambo wa Mauti
    Mtambo wa Mauti
    De Everand
    Mtambo wa Mauti
    Calificación: 5 de 5 estrellas
    5/5 (1)
  • Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    De Everand
    Fiqhi ya ‘Ibada yenye picha zilizochorwa
    Aún no hay calificaciones
  • HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    De Everand
    HAYAAN, The Long Journey of the Nomad Boy
    Calificación: 5 de 5 estrellas
    5/5 (2)
  • Kufikirika
    Kufikirika
    De Everand
    Kufikirika
    Aún no hay calificaciones
  • Siri ya Sala
    Siri ya Sala
    De Everand
    Siri ya Sala
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Documento20 páginas
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Documento20 páginas
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Documento20 páginas
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Documento20 páginas
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Documento20 páginas
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Documento20 páginas
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Documento20 páginas
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Documento20 páginas
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Documento20 páginas
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Documento20 páginas
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Documento20 páginas
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Documento20 páginas
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Documento20 páginas
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Documento20 páginas
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Documento20 páginas
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Documento20 páginas
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Documento20 páginas
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones