Está en la página 1de 16

www.annuurpapers.co.

tz

Facebook:annuurpapers@yahoo.com

Sauti ya Waislamu

Mufti Simba, Pengo wamekwenda kombo


Uk. 2

Watakiwa kuritadi ili kuwa wananchi


Kumbe tatizo ni Uislamu, kuvaa hijabu Kisingizio cha ugaidi kuendelea kutumika Magazeti yazidi kuchochea chuki, uhasama
MAMA wa Kiislamu akionyesha uso wa huzuni kutokana na madhila yanayowapata Waislamu Nairobi, Kenya.

ISSN 0856 - 3861 Na. 1121 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 18-24, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Lipumba, Lissu, Jussa


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi. (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba.

Lukuvi atonesha kidonda


Apaza Sauti Kanisani kama Stith Ampongeza Mrema dhidi ya Uamsho
na magazetini, inaleta utata unaoibua maswali mengi. Utata huo umezidi kuleta utata zaidi, pale alipoungana na kumsifu Au g u s t i n o L y a t o n g a Mrema katika kauli yake ya kuwapakazia Waislamu

Mama Fathia kasema kweli Zitto kabwe atoa kauli nzito

Na Mwandishi Wetu
KAULI ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Mheshimiwa William Lukuvi, kama ilivyonukuliwa Bungeni

wa Zanzibar, na hasa taasisi ya Uamsho kwamba inahusika na mauwaji ya Maaskofu pamoja na kuchoma makanisa. Katika maelezo yake kama alivyonukuliwa bungeni, Mrema alionesha Inaendelea Uk. 2

BWANA Ismail Jussa.

BWANA Tundu Lissu.

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri
AN-NUUR
Zanzibar, wamechukua fursa ya mjadala wa katiba kuzusha hisia za kaleta siasa za chuki na za kibaguzi kwa misingi ya Upemba na Uunguja, na hapo ndipo tunaposhuhudia vijembe na mipasho vikishika kasi zaidi ndani ya mjadala wenyewe. Lakini pia kwa upande wa bara, kwa kuwa wajumbe wengi wa bunge hili kutoka bara, ni viongozi na wengine wakiwa watendaji wa ngazi za juu wa serikali iliyopo ya Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, wanaonekana kujadili hoja ya katiba mpya wakibebwa na hisia kali za kulinda nyadhifa na nafasi zao katika mfumo uliopo, hali ya kuwa mjadala ni

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014


wa katiba kwa maslahi ya Watanzania wote. Kwa kifupi tunaweza kusema kuwa, hisia na matamanio ya kimaslahi yanayoonyeshwa na wa j u m b e wa n a o j a d i l i mjadala wa Katiba mpya, ndio tatizo kubwa katika mjada mzima unaoendelea. Tu s e m e t u k wa m b a muelekeo uliojionyesha katika hoja hizi zilizojaa matamanio ya maslahi binafsi, mipasho ya mitaani, kejeli, vijembe, porojo na kina namna ya masihara, ni kero kubwa n a k i c h e f u c h e f u k wa Watanzania ambao ndio wenye katiba yao. Haya sio yanayohitajiwa au yaliyokusudiwa na wananchi waliotoa maoni yao katika Tume. Kwa msingi huo, tunaona kwamba hata baadhi ya wajumbe wanaojinasibu kuwa wanatoa maoni na hoja zao katika Bunge hilo kwa niaba ya wananchi, ya n a t i a m u s h k e l i wa kutoaminika. Ha t uf i k i r i i k wa m b a mipasho inayoendeleo katika bunge hilo inayoweka pembeni makusudio ya mjumbe kuwepo Bungeni, inatoka kwa wananachi. Tunachotaka ni mjadala wa hoja makini kuhusu katiba tunayoihangaikia. Watanzania hawakumtuma mtu kutoa mipasho au kuleta masihara kwenye mjadala wa katiba yao.

AN-NUUR

Mufti Simba, Pengo wamekwendakombo


MUFTI kazi yake ni kutoa fatwa za kidini, sio katika masuala ya kisiasa. Hii ni kwa sababu siasa za nchi hii hazifuati Kitabu na Sunna. Hazifuati Shariah. Ila kwa upande mwingine, Mufti katika nafasi yake kama Shaaban Issa Simba, ana haki ya k u t o a m a o n i ya k e n a kuwa na msimamo katika masuala yanayohusu siasa za nchi. Hata hivyo hawezi kufanya msimamo huo kuwa ndio msimamo wa Bakwata anayoongoza wala kuwa msimamo wa Waislamu. Anachoweza kufanya kama kiongozi wa kidini ni kutoa miongozo ya kiujumla hasa ile ya kuwataka watu wajadiliane kiungwana huku wakizingatia amani ya nchi. Kwa hiyo, katika suala linaloendelea la Katiba mpya, Bakwata au Mufti wake, hawezi kutoa msimamo, iwe ni serikali mbili au tatu na kudai kuwa ni wa Waislamu au kuwataka Waislamu waufuate. Kama alivyosema mjumbe mmoja wa Bunge la Katiba, viongozi wa kidini watatiiwa pale tu wanapopatia katika masuala ya kidini, lakini sio katika masuala haya ya kisiasa. Mjumbe huyo aligusia kauli ya msimamo wa Muadhama Kadinali Polycarp Pengo wa serikali mbili. Mjumbe huyo akasema kuwa inapokuja masuala ya kisiasa, miongozo ya viongozi wa kidini haiwezi kufuatwa bila ya kuhojiwa kwa sababu wapo waliofikia hata hatua ya kuwa na misimamo iliyounga mkono mauwaji ya kimbari Rwanda. Na hata wao wenyewe kufanya kazi ya kuchochea na kushiriki mauwaji.

KWA jinsi mjadala wa Bunge Maalum la Katiba u navyoendelea mjini Dodoma, tuna mashaka kama ilikuwepo nia ya dhati ya kuandikwa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hali kadhalika, kwa namna ambavyo sehemu kubwa ya wajumbe wa n a v y o wa s i l i s h a a u kutetea hoja zao ndani ya Bunge hilo, tunapata wasiwasi mkubwa kama wajumbe hao wamekwenda Dodoma kwa lengo mahsusi la kusaka mstakabali sahihi wa mhimuli au dira ya Taifa letu kwa maslahi ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo kwa miaka hamsini au mia ijayo. Tu n a v y o o n a , k w a namna ambavyo idadi kubwa ya wajumbe wa n a v y o wa s i l i s h a a u kuchangia mswada huu wa

Hamkutumwa kutunga katiba ya mipasho vijembe

Katiba mpya, inathihirisha ni kwa jinsi gani wale m a g w i j i wa k u t u n g a na kuimba nyimbo za mipasho, (si taarabu), wamefanikiwa kuathiri fikra za wajumbe kiasi cha kujisahau na kuingiza hulka hizi za mipasho, vijembe na dhihaka katika mjadala nyeti na muhimu kwa Watanzania kwa sasa. Imefika mahali mjumbe wa bunge la katiba, ambaye kabeba uwakilishi wa maelfu ya watu, anasimama na kupoteza muda wa bunge kwa kuibua mjadala wake binafsi wa mahusiano ya n d o a , k u o l e wa a u kuzaa dhidi ya mjumbe mwingine. Wengine wanasimama na kupoteza muda wa mjadala kwa kuhubiri ilani za vyama vyao, itikadi za vyama vyao na hata sera za vyama vyao. Wengine, hasa kwa wajumbe kutoka

Inatoka Uk. 1 hofu kuwa yanayotokea Z a n z i b a r ya k u u l i wa maaskofu na kuchoma makanisa Zanzibar yataletwa huku Bara huku akiwanasibisha Masheikh wa Uamsho na uovu huo. Hadi sasa hakuna kesi iliyofikishwa mahakamani na kufikia hatma ikionyesha kuwa waliohusika na kuuliwa a s k o f u a u k u c h o m wa makanisa, ni Uamsho. Hata hivyo, Mheshimiwa Lukuvi alisifu kauli hiyo ya Mrema na kumalizia kwa kumwahidi kuwa atasukuma masilahi yake apate kuyapata. Hata hivyo hakufafanua ni masilahi gani. Awali imeelezwa kuwa Waziri Lukuvi ameanza kupiga kampeni kanisani akiwataka wananchi wasikubali mfumo wa muungano wa serikali tatu, ila mbili tu. Tukiacha hoja nyingi nyingine alizonukuliwa kutoa kupiga kampeni hiyo, lakini inayotatiza zaidi ni pale aliponukuliwa akidai kuwa Wazanzibari wanaotaka kuwa na nchi yao hawawezi kujitegemea, bali wanataka Serikali ili wapate nafasi ya kujitangaza kuwa ni nchi ya Kiislamu. Na kwamba kufanya hivyo ni kutaka kuleta fujo na kusababisha machafuko j a m b o l i t a l a o wa f a n ya Wakristo wasiendelee kuabudu kwa amani. Ni katika kutoa ufafanuzi bungeni, akanukuu na kuungana na Mrema kujenga hoja kuwa

Lukuvi atonesha kidonda


kuna hofu juu ya Uamsho kwamba watahatarisha amani ya nchi. Kwamba hatari yenyewe i p o ya n a m n a m b i l i : moja ni suala la Uamsho wanaotuhumiwa kuhusika na uchomaji makanisa. Na pili Uamsho huo huo kutumiwa na Chama Cha Wananchi, CUF, katika kuipigania masilahi ya kisiasa, na hasa hili la Serikali tatu. Baadhi ya watu wakitoa maoni yao wamesema kuwa ni matarajio yao kwamba watasikia Masheikh wa Uamsho wakitoa ufafanuzi juu ya tuhuma hizo. Wa m e s e m a , wa o wanachojua Uamsho ni taasisi ya Kiislamu inayotoa Dawah ya kuwaamsha Waislamu, h iv y o k uhus i s hwa na vitendo vya kigaidi kama vilivyotajwa na Mrema na kutiliwa mkazo na Mheshimiwa Lukuvi, ni jambo linalochafua taasisi hiyo na Waislamu kwa ujumla. Japo Waislamu kwa ujumla, hasa, kupitia taasisi zao, wanatakiwa kuhoji juu ya kashfa hiyo, lakini Masheikh wa Uamsho wana dhima kubwa zaidi katika kuliweka sawa jambo hili. Maoni ya ujumla ya Waislamu ni kuwa, maneno ya Mrema yamewatonesha Waislamu kwa sababu ni Mrema huyu huyu wakati akiwa madarakani alikuja na madai kuwa Waislamu wanataka kulipua baa na guest houses pamoja na kutia sumu katika ulevi. Aidha, ni Mrema huyu ambaye aliendesha

kampeni kubwa ya kuwadhalilisha na kuwatesa Masheikh huku akidai kuwa atawatwanga mangumi wakati alipowarushia tuhuma nzito, akajipa uhakimu, mtoa ushahidi na askari mnyongaji. Ni katika kipindi hicho ambapo Waislamu walishuhudia Waislamu wakikamatwa na kupachikwa tuhuma za kutaka kulipua makanisa, harakati zilizoishia kwa kuvunjiliwa kwa mbali Baraza la Kuendeleza Usomaji wa Quran nchini (BALUKTA). Kwa hiyo aliyosema Mrema, ni kama kutonesha kidonda ambacho kimebakia kovu, na kitendo cha Waziri Lukuvi kumuunga mkono huku akileta madai kuwa Zanzibar inataka Serikali ya Kiislamu na akitumia hoja hiyo kuwatahadharisha Wa k r i s t o w e n z a k e (Kanisani), ni sawa na ile tahadhari iliyotolewa na Padri Charles Smith wa Marekani. Stith aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini miaka ya n y u m a , a l i s i m a m a Kanisani, Chuo Kikuu Dar es Salaam (Mlimani) na kuwataka Wakristo kuchukua tahadhari juu ya Waislamu, kwa maana n y i n g i n e a k i wa a m b i a kuwa wanaishi na maadui. Na tunajua, nini nafasi ya Marekani katika kuwapiga v i t a n a k u wa h u j u m u Waislamu duniani katika ile Crusade iliyotangazwa na George W Bush. Inaendelea Uk. 5

Watakiwa kuritadi ili kuwa wananchi


Na Mwandishi Wetu KUMBE tatizo ni U i s l a m u . H a ya ya ugaidi, Al Shabab ni kisingizio tu. Ni katika ule ule mtindo wa kikafiri wa kumpa mbwa jina baya ili upate kumuuwa. Hayo ndiyo ya n a y o d h i h i r i s h wa na baadhi ya vyombo vya habari baada ya k u s h i n d wa k u f i c h a chuki zao dhidi ya Waislamu. Katika kudhihirisha chuki hiyo na kuchochea uhasama baina ya Waislamu na Wakristo, b a a d h i ya v y o m b o hivyo vinasema kuwa tatizo kubwa kwa jamii ya Waislamu wa asili ya Somalia ni kuwa hawataki kuritadi. Akadai kuwa katika kukataa huko kuritadi na kubaki na mavazi ya o ya h i j a b u k wa wanawake na kanzu kwa wanaume, Waislamu hao wanakuwa bado hawajawa Wakenya kamili. Katika makala m o j a i l i y o a n d i k wa hivi karibuni katika gazeti la Daily Nation linalochapishwa nchini Kenya, imedaiwa kuwa vitendo wanavyofanyiwa jamii ya Wasomali Kenya, n i s t a h i k i ya o k wa maslahi ya usalama wa Wakenya. Ikafafanuliwa kuwa pamoja na madai ya ugaidi hivi sasa ambapo msimamo wa gazeti hilo ni kuwa Waislamu h a o wa m e d h a m i r i a k u wa f a n y i a u g a i d i Wa k r i s t o , l a k i n i inaelezwa kuwa msingi wa tatizo ni Wasomali kuwa wagumu kuritadi na kubadili mavazi yao. Mwandishi anasema k u wa Wa s o m a l i wanaishi kwa kuvaa mavazi yao ya Kiislamu kama vile makanzu na hijabu, huku wakiwa hawajulikani wanachokificha kwenye mavazi hayo makubwa. Makala hiyo kimsingi inaonekana kujaa chuki dhidi ya Waislamu na Wasomali, na mwandishi anahitimisha kwa kutoa wito kwa utawala wa S o m a l i a k u a c h a kulalamika juu ya vitendo wanavyofanyiwa jamii ya Wasomali, Nairobi, bali iwahimize Wasomali kubadili Dini zao na kuwa Wakristo kama walivyo Wakenya, na wakaacha kuvaa nguo inayowaficha, yaani h i j a b u n a h a t i m a ye w a k a w a Wa k e n y a kamili. (Soma zaidi Uk. 4)

Habari

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Lipumba, Lissu, Jussa


Na Mwandishi Wetu
TUNDU Lissu ameendelea kuwa mtoa hoja changamoto katika Bunge la Katiba ambapo amekosoa hoja za wanaompa Mwalimu Nyerere sifa za kiungu. Kwa upande mwingine, Profesa Ibrahim Lipumba ametibua mambo akisema kuwa bunge linakwenda kombo hali ambayo haitaleta k a t i b a i n a y o t a k i wa n a wananchi. Amesema, kumekuwa na siasa na kauli za kiInterahamwe ambapo watu wanabaguliwa kwa kabila zao na kuchochea chuki na uhasama. Akasema, hali hiyo inatokea bila ya kukemewa badala yake viongozi wakuu wa serikali waliopo bungeni hapo wanashangilia. Katika hali hiyo akasema, wao kama watetezi wa katiba ya wananchi, hawaoni haja ya kushiriki kujadili jambo linaloonekana kubeba agenda ya CCM wasiotaka kujali matakwa ya wananchi, lakini kubwa zaidi wasingependa k u wa s e h e m u ya wa t u wanaopandikiza chuki na hasama. Kwa sababu hiyo akaongoza wajumbe wa kundi la kutetea katiba ya wananchi kutoka nje ya bunge. Kwa upande wake, mheshimiwa Zitto Kabwe ametoa kauli ya kuliweka sawa bunge ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za chuki na matusi badala ya kutoa hoja za msingi. Japo hakutaja mtu lakini jambo hilo limejitokeza kutokana na baadhi ya watu kutajana kwa majina na kukejeliana na hata kutupiana kauli za chuki na kubaguana kimajimbo (Pemba Vs Unguja) na kabila. Kabla ya kusimama Zitto, alizungumza mjumbe mmoja kutoka Zanzibar ambaye alimalizia hoja zake kwa kusema kuwa ukivunjika m u u n g a n o , wa p o wa t u wataenda kwao. Mtaenda kwenu, mtaenda , alisema mheshimiwa huyo huku akikariri kauli hiyo na kuonyesha kukasirika. Kwa upande wake M h e s h i m i wa B i F a t h i a alisema kuwa wanadau wa serikali mbili wanaodai kuwa wanawakilisha wananchi wa Zanzibar, hawasemi kweli kwa sababu ndio hao hao waliokuwa wakipinga serikali ya umoja wa kitaifa. Akasema, kama kuna watu wanaoweza kudai kuwa wanawasemea na kuwawakilisha wananchi wa Zanzibar ni wale waliopigania serikali ya umoja wa kitaifa ambao kwa zaidi ya asilimia 60 walipiga kura kutaka serikali ya umoja wa kitaifa huku wana-CCM wakipita mitaani kuipinga na kusambaza propaganda chafu. Katika hoja zake Tundu Lissu alisema kuwa yeye h a j a m t u k a n a M wa l i m u Nyerere bali wanaomkosea ni wale wanaompaisha na kumpa sifa za kiungu. Alisema, Mwalimu Nyerere sio Mungu, sio malaika wala hajakuwa mtakatifu, ndio maana aliunga mkono hatua ya Jimbo la Biafra kutaka kujitenga kutoka Nigeria. N a a k a s i s i t i z a k u wa kumkosoa katika jambo kama hilo, sio kumkejeli au kumtukana, bali kumpa sifa yake ya ubinadamu. Alisema, kama alivyosema Dr. Harrison Mwakyembe miaka 20 iliyopita, hakuna namna ya kuwa na muungano ulio imara na usio na kero; zaidi ya kuwa na muundo wa serikali tatu. Alisema, kukataa kuona ukweli leo kuwa zilizoungana ni nchi mbili Tanganyika na Zanzibar, na zote zinatakiwa kuonekana zipo katika muungano, ni kukataa ukweli ambao unasababisha huko mbele kuwa giza tupu. Akiongelea suala hilo, Mheshimiwa Zitto Kabwe amesema kuwa msingi wa muungano ni maridhiano. Na kwamba kama hakuna maridhiano, mfumo wowote, iwe wa ni serikali moja, mbili au tatu unaweza kuvunja muungano. Kwa hiyo hoja ya msingi ya kudumisha muungano sio idadi ya serikali, bali kiwango cha maridhiano kilichokuwepo. Kwa maana hiyo akataka

watu wajikite katika kupata m a r i d h i a n o , k wa n i l a u kutakuwa na kulazimishana, hata kama itakuwa ni kwa kutumia nguvu kwa kiasi gani, haitaweza kuzuiya muungano usivunjike. Kwa upande wake Mheshimiwa Ismail Jussa alisema kuwa kama kuna h o j a ya m s i n g i a m b a y o wanatakiwa kuleta watu wanaopigania mfumo wa serikali mbili, ni kueleza ni namna gani Tanganyika itavua koti la Tanzania. Akitoa mifano kadhaa akaonyesha jinsi mfumo wa serikali mbili ulivyokuwa wa kinyonyaji dhidi ya Zanzibar. Kwamba katika yale mapato yanayotajwa kuwa ni ya serikali ya mungano, ni asilimia ndogo tu inayotumika katika mambo ya muungano wakati sehemu kubwa hutumika katika mambo yasiyo ya muungano kwa upande wa Bara (Tanganyika). Kwa wanaoleta hoja ya udogo na kukosa rasilimali, akawataka watizame Singapore ilipokuwa na ilipo hivi sasa baada ya kujitenga kutoka Malaysia. Wakati huo huo, imetolewa kauli ya kumrudi Augustino Lyatonga Mrema ambaye anadaiwa kutoka kauli ya kuwakashifu Masheikh wa Uamsho. Aliposimama kabla ya kutoa mchango wake, M h e s h i m i wa B i F a t h i a alimtaka Mrema kuomba radhi kutokana na kauli ya kuwakashifu Masheikh hao akimtaka azingatie kuwa Uamsho ni taasisi ya kidini na sio ya kisiasa.

Habari

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Serikali mbili zilizoboreshwa jitihada ya kutoharisha najis


Na Mwandishi Wetu
kwa kuongelea kuondoa kero kwa sababu huo muundo wenyewe ni kero inayotakiwa kuondolewa. Katika msingi huo, wakati baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba wakichangia mjadala walisema kuwa katika mambo ambayo ni muhimu ni kwa pazia lililoificha Tanganyika kuondolewa ili Tanganyika ionekane. Akichangia hoja hiyo, Wa z i r i wa S h e r i a wa Zanzibar, Mheshimiwa Abubakar Khamis Bakari amesema kuwa hati yenyewe ya muungano katika kifungu cha 4 na sita inaelekeza kuwa na mamlaka tatu. Kwa maana ya mamlaka ya Tanganyika, mamlaka ya Zanzibar na mamlaka ya Jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa upande mwingine Mheshimiwa Abubakar akas ema k u wa ta tiz o jingine kubwa la msingi ni kuwa maamuzi yamekuwa yakifanywa na upande mmoja wa muungano. Akifafanua akasema kuwa sheria zimekuwa zikipitishwa na Bunge la Jamhuri na hutajwa kuwa likishapitishwa hufanywa litekelezwe Zanzibar pia. Akagusia pia suala la fursa ambapo alitoa mfano kuwa katika Wizara za mambo ya muung ano mfano wa Wizara ya Mambo ya Nje, waliohodhi nafasi ni watu wa Tanganyika. Akagusia pia suala la Afrika Mashariki ambapo Waziri wa masuala ya A f r i k a M a s h a r i k i wa Tanzania katika jumuiya huwakilisha hata yale mambo yasiyo ya muungano kama kilimo. K wa u p a n d e wa k e Mheshimiwa Mohamed Sanya akichangia hoja hiyo akasema kuwa hali ilivyo hivi sasa ni kwa Zanzibar kukaliwa na kuporwa mamlaka yake na Tanganyika iliyojivika Utanzania. Akitoa mfano akasema hata inavyoelezwa hivi leo kuwa baadhi ya kero zimeondolewa inasemwa k u w a Wa z a n z i b a r i tumeruhusiwa, akasema huko ni kudhalilishwa. Kwa maana kuwa Wa z a n z i b a r h a w a n a uwezo wala mamlaka ya kuamua juu ya mambo yao mpaka waruhusiwe.
Akasema, katika kulinda mfumo uliopo wa muungano ambao kimsingi unawadhalilisha Wazanzibari, kumekuwa kukitumika njama za kuwagawa Wazanzibari ambao kwa sasa badala ya kutoa hoja katika Bunge wa m e k u wa wa k i p i g a n a vijembe jambo linalowafanya wajidhalilishe na kujiabisha mbele ya wabunge wenzao. Akasisitiza kuwa, wanadai kuwa Wazanzibari wanataka serikali mbili hawasemi ukweli na wakitaka kujua ukweli waende wakafanye utafiti Zanzibar hapo ndio watajua kuwa Wazanzibari wamechoka na mfumo huu na hawautaki kabisa. Alisema, hali mbaya ya uchumi iliyopo Zanzibar hivi sasa ni kutokana na kuzibwa pumzi na lau itapewa fursa ya kuwa na mamlaka kamili, itachukua muda mfupi kabisa kuigeuza Zanzibar kuwa nchi ya neema, mwenyewe akisema Hong Kong ya Afrika Mashariki. Na kwamba ikifika hapo wataweza hata kuisaidia Tanganyika nayo iondokane na matatizo yake.

HUWEZI kuitoharisha najisi yenyewe, kinachotoharishwa ni kitu kilichonajisika. Hiyo ndiyo hoja ya msingi kwa wanaotaka muungano wa serikali tatu. K w a u p a n d e m w i n g i n e i n a s e m wa kuwa, wanaongangania uwepo wa serikali mbili wamekuwa wakija na porojo za ndekwa na propaganda za kurejea Sultan. Baadhi ya wananchi wanaofuatilia mjadala unaoendelea bungeni wanasema kuwa ni jambo la kusikitisha kuona kuwa baadhi ya wajumbe, hasa kutoka Zanzibar kuja na madai ya kurejea usultani. Madai haya ya kurejea sultan ni jambo linalochefua kwani linaonesha kufilisika kimawazo na hoja na p e n g i n e k u wa d h a n i a wasilikizaji kuwa hawana akili. Alisema msemaji mmoja wakati akiongea na mwandishi akionesha kukerwa na alichokiita porojo za baadhi ya watu wa n a o p i n g a h o j a z a msingi kwa propaganda zisizo na mashiko. Amesema msemaji huyo ambaye hakutaka jina lake kutajwa gazetini kwamba, ile kuwa nchi zilizoungana ni mbili, lakini sasa moja haionekani, kwa maana ya Tanganyika, bali Zanzibar pekee, hulifanya jambo lenyewe kuwa ni batili lisilokubalika. Ambapo tafsiri yake n i k u wa Ta n g a n y i k a imekuwa ndio Tanzania wakati Zanzibar imebakia kuwa nchi. Na kwamba batili hiyo haiwezi kuondoka kwa kuleta porojo za kurudi sultan. Kama alivyosema mjumbe mmoja katika kujadili hoja, ni kwamba iwapo ziliungana Serikali mbili na jawabu likawa serikali mbili, maana yake ni kuwa hakuna kuungana hapo. Kama kuungana kupo, basi jawabu lilitakiwa kuwa tatu au moja. Katika hali kama hiyo, maadhali jambo lenyewe limeharibikiwa, huwezi kulitwaharisha

Vyombo vya habari na chuki za Usomali, Uislamu


Na Abuu Badriya
Written in Kiswahili on 13 April 2014. Makala moja iliyoandikwa hivi karibuni katika gazeti la Daily Nation linalochapishwa nchini Kenya, imezungumzia k u s h a m b u l i w a , kunyanyaswa, kukamatwa na kushikiliwa Jamii ya Wasomali waishio mjini N a i r o b i n c h i n i K e n ya . Makala imeonyesha kwamba vitendo wanavyofanyiwa jamii ya Wasomali Kenya, ni stahiki yao kwa maslahi ya usalama wa Wakenya. Kwa ujumla makala hiyo inawanasibisha watu wa jamii ya Kisomali na magaidi hususan al Shaabab huku ikiwatia chuki Wakristo na watu wa Kenya dhidi ya watu wa jamii ya Wasomali wanaoishi nchini humo. Kama ni chuki, ni chuki, t a n g u a wa l i i m e we k wa wazi hadharani kama alivyotuambia Allah (SWT) katika Qur'an, kuwa chuki waliodhihirisha ni kubwa kuliko ile wanayoyaficha. H a t a k a t i k a l u g h a ya Kiingereza, linatumia neno "Inciting Hatred". Mwandaaji wa makala hiyo aliyejitambulisha kwa jina la Kwamchetsi Mokokha, ametaja mashambulio yaliofanyika nchini Kenya na kusema kuwa tangu Kenya ilipoishambulia Somalia, yamefanyika mashambulio ya mabomu 84 katika maeneo ya Bar na kuwaua Wakenya Wakristo, Sehemu za Migahawa, Makanisani, katika magari ya matatu na katika masoko. Mwandishi anaona kwamba kukamatwa, kushikiliwa na kunyanyaswa jamii ya Kisomali mjini Nairobi umefika wakati ambapo Wakenya wanatakiwa kulipiza Kisasi. K i m s i n g i , m wa n d i s h i anasema kwamba ihsani waliyowafanyiwa jamii ya Kisomali tangu kuanguka kwa utawala wa Siad Barre, Kenya iliwakaribisha wakimbizi wa Kisomali, ikawapa vyakula maelfu Wasomali, ikawapa vitambulisho na hati za kuwa Wakenya kamili huku jamii hiyo ya Kisomali ikiifanya Kenya kuwa kituo cha kupita kwenda nchi za nje au mataifa mengine, yaani Transit Point. Mwandishi huyo ameendelea kueleza katika gazeti hilo kuwa wengi wa jamii hiyo ya Kisomali wamesoma na kuchukua shahada zao katika vyuo vikuu vya Kenya, lakini pamoja na kufanyiwa fadhila zote hizo, Wasomali wamekuwa si watu walio na moyo mzuri kwa taifa la Kenya na kwamba, tangu miaka ya 1962 Wasomali hao walikuwa wakitaka kujitenga na Kenya na kujiunga na Somalia. Mwandishi alieleza kuwa kwa muda mwingi Wasomali wakiwa na pesa zao, wakiwa si watu wa kulima mashamba na kutokuwa na majumba K e n ya . L a k i n i wa k i wa ni watu wa kujaza fedha mifukoni mwao na isijulikane wanakozitoa. Lakini mwandishi aliloliona kuwa ni kero kubwa zaidi kwa Kenya, ni kuona jamii ya Wasomali nchini Kenya hawabadilishi Dini zao na hivyo kutokuwa Wakenya halisi. "Their Cushitic features have not Kenyanised, their Religion remains unchanged ". liliripoti gazeti hilo. A l i s e m a Wa s o m a l i wamekuwa dhaifu sana k u b a d i l i d i n i n a k u wa Wakristo kama walivyo Wakenya, ambao wengi wao ni Wakristo! Anasema kuwa wanaishi kwa kuvaa mavazi yao ya Kiislamu kama vile makanzu na hijabu, huku wakiwa hawajulikani wanachokificha kwenye mavazi hayo makubwa. Mwandishi pia analalamika kwamba jamii ya Wasomali Kenya hawakubali kuolewa na Wakenya na haijawahi kutokea kuripoti au kuwaarifu Polisi jaribio la mashambulio yeyote inayofanyika, hivyo kutafsiriwa kitendo hicho kimesababisha Polisi kushtuka linapofanyika shambulio. H i v y o Wa s o m a l i wakisumbuliwa kama inavyofanyika sasa na kwamba huo ni ujumbe tosha kwa Al-Shabab na mashambulio yatapungua Kenya. Katika makala yake ambayo kimsingi inaonekana kujaa chuki dhidi ya Waislamu na Wasomali, Mwandishi amehitimisha kwa kusema kuwa, "haipaswi Wasomali kulalamikia hatua zinayochukuliwa na maofisa wa usalama, lakini utawala wa Somalia kwa upande wake inatakiwa kuwahimiza watu wake kubadili Dini zao na kuwa Wakristo kama walivyo Wa k e n ya , n a wa k a a c h a kuvaa nguo inayowaficha, yaani hijabu na hatimaye wakawa Wakenya kamili. Anahitimisha kwamba hiyo ni sehemu au hatua pekee inatakayowafanya kuwa Wakenya. Y a w e z e k a n a yaliyoandikwa na mwandishi ni maoni ya mtu, lakini yatosha kuwa jibu kwa yanayofanywa na Serikali ya Kenya katika Uwanja wa Kasarani mjini Nairobi. Ripota wa Al Jazeera Mkenya mwenye asili ya Kisomali, aliwahi kunukuliwa akisema we are not yet Kenyan huku akibubujikwa na machozi. H a t a h i v y o kinachodhihirika sasa kwa Wakenya wenye asili ya Kisomali na hata Wasomali wakimbizi waliopo Kenya, n i k w a m b a Wa s o m a l i wengi walioacha fikra pevu watakuwa wanajua kuwa Makafiri siyo Adui wa AlShabab pekee.

Somalia, HRW zatoa wito kukomeshwa msako dhidi ya Wasomali


MOGADISHU SERIKALI ya Somalia imetoa wito kuitaka serikali ya Kenya kusitisha operesheni tata ya usalama dhidi jamii ya Kisomali huko Eastleigh, imeripoti Redio RBC ya Somalia. Wito huo umetolewa wiki iliyopita kufuatia taarifa iliyotolewa katika mkutano wa Baraza la Mawaziri, ambapo Naibu Waziri Mkuu, Ridwan Hirsi Mohamed, alisema serikali ilishatuma barua ya malalamiko kwa serikali ya Kenya. Serikali ya shirikisho ya Somalia inatiwa wasiwasi sana juu ya msako wa polisi wa Kenya dhidi ya watu wenye asili ya Kisomali mjini Nairobi. Somalia imeiomba Kenya kubadilisha dhumuni la operesheni yake jijini Nairobi na kujiepusha na hatua yoyote ya chuki dhidi ya raia wa Somalia wanaoishi nchini Kenya. Alibainisha Bw. Mohamed Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) pia ilitoa taarifa siku ya Ijumaa ikiakisi wito kwa vikosi vya Kenya kusimamisha msako wake dhidi ya Wasomali. Taarifa hiyo imetoa wito mahsusi wa kusitishwa ukamataji watu hovyo na kuwaweka ndani, pamoja na vitendo vya udhalilishaji na kurejeshwa watu kwao kwa nguvu na unyanyasaji mwingine. Watafiti wa wakimbizi wanasema kuwa kitendo cha serikali ya Kenya kuwadhalilisha watu wa jamii ya Kisomali kwa kuwafanyia mashambulizi ya kinyama, huku ikielezwa kuwa mashambulizi h a y o ya n a f a n y wa n a watu wasiojulikana, hakitawalinda Wakenya, Wa s o m a l i a u y e y o t e mwingine dhidi ya

Habari za Kimataifa

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014


vilikuwa vinanuka mikojo na kinyesi. Taarifa hiyo ya HRW iliongeza kuwa Polisi walikuwa pia wanawashikilia mahabusu nje ya muda wa saa 24 unaoelezewa na sheria za Kenya bila ya kuwafikisha mahakamani. Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alitetea operesheni hiyo ya usalama akisema kwamba lengo lake ni kuwangoa wahalifu. Alisema kitendo cha kuwauliza watu wao ni nani, wanatoka wapi na kwa nini wapo Kenya si uhalifu. Waziri wa Mambo ya Ndani, Joseph Ole Lenku, alisema zaidi ya watu 4,000 wameshakamatwa hadi sasa kwenye operesheni hiyo. Alisema wengi wao wameshaachiwa na 82 walirejeshwa Mogadishu na kwamba, mamia ya wengine bado walikuwa wanachunguzwa utambulisho wao. kilichoanzishwa mwaka 2003, na baadaye kuitwa, Zone Assessment Unit kilipeleleza Waisilamu hasa maeneo walikofanya kazi, kuswali, kununua madukani na hata mikahawa walikokuwa wanakulia. Wakuu wa kitengo hicho wanasema kuwa kazi yao iliathiri sana uhusiano kati ya jamii na polisi. moto makanisa na hata kuuliwa Padiri. Mpaka leo hakuna ushahidi uliwahi kutolewa na kujulikana nani walihusika! Lakini pia kuliwahi kutokea matukio ya utata ambapo ilidaiwa kuwa kanisa limechomwa moto kule Kianga, lakini uchunguzi wa kipolisi ukaja na mambo ya utata. Katika mazingira haya ya utata, ukianzia na lile la Arusha ambapo hatuambiwi kesi ya mtuhumiwa Victor au uchunguzi wa Polisi, ambapo serikali iliahidi kuwa itafanya kila liwezekanalo kujua kilichotokea; imeishia wapi, lakini tunaletewa tuhuma zile zile za kuwapiga madongo Waislamu, hii inaleta utata mwingi. Waislamu wanatakiwa kuwa makini na kuyatizama mambo haya kwa undani na kwa jicho pevu.

AN-NUUR

IDARA ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha ujasusi ambacho huwapepeleza Waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi. Kitengo hicho kilikuwa kinatumia polisi waliokuwa wanavalia nguo za kiraia kusikiliza kisiri mawasiliano ya simu kati ya Waisilamu na hata kuzuru maeneo yanayotembelewa sana na Waislamu. Inatoka Uk. 2

Waisilamu hawatapelelezwa tena New York


Vyombo vya habari nchini Marekani vinasema kuwa kitengo hicho kiliwahi kushitakiwa mara mbili kwa mbinu zao za ujasusi na pia kulaaniwa na makundi ya wanaharakati wa haki za binadamu. Pia kiliwaghadhabisha Wa i s i l a m u h a s a k w a

mashambulizi zaidi. Hatua ya Kenya kuwarejesha Wasomali kwenye nchi yao iliyolemewa na mgogoro b i l a y a k u wa r u h u s u kuomba hifadhi itakuwa ni uvunjaji mkubwa wa wajibu wake wa kimataifa. Alisema Mtafiti Mkuu wa Wakimbizi, Gerry Simpson. Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Right Watch, lilisema kuwa limetembelea kituo cha polisi cha Pangani huko Eastleigh na kugundua mamia ya washukiwa wakiwa wamejazwa kwenye vyumba vilivyopangiwa kwa ajili ya watu 20. Taarifa ya shirika hilo ilieleza kuwa mahabusu wamekuwa hawana s e h e m u ya k u k a a n a vyumba walivyolundikwa

Hata hivyo, wakati M h e s h i m i wa L u k u v i akiwashutumu Uamsho kuwa wanatumiwa na chama cha siasa kupigania masilahi ya kisiasa, yeye pia kama alivyojieleza mwenyewe, ametumia U wa n j a wa K i k r i s t o , Kanisa, Maaskofu na waumini wao, kupigia debe serikali mbili. Pengine hapa panaweza kuulizwa swali, kama msimamo wa Uamsho ni serikali tatu, na msimamo huo huo ndio wa chama fulani cha siasa, na kama msimamo wa serikali mbili ndio msimamo wa CCM, chama cha Mheshimiwa Lukuvi, na Lukuvi anasimama Kanisani, kuwashawishi Wakristo na Maaskofu, kuunga mkono msimamo wa CCM; tatizo hapa ni watu wa dini kutumiwa na wanasiasa

au nani anawatumia? Kama suala ni taasisi za kidini kutumiwa kupigania serikali tatu, mbona Lukuvi na CCM wa n a t u m i a Wa k r i s t o na Makanisa kupigania msimamo wao? Katika hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge, Mheshimiwa wa Rais Kikwete alisema kuwa amechukua ushauri wa mtu wake wa dini anayetaka msimamo wa Serikali mbili. Na mtu wa dini aliyejitokeza wazi kupigania msimamo wa serikali mbili ni Mhashamu Polycarp Kardinali Pengo. Na hata mjumbe mmoja wakati akichangia Bungeni, alisema kuwa anapingana na Kadinali

Lukuvi atonesha kidonda


Pengo kwa sababu kama ni kufuatwa cha kufuatwa ni masuala ya kidini, lakini katika masuala ya kisiasa hata kule Rwanda wapo Maaskofu Katoliki walipotoka wakaingia katika kundi la wauwaji na akataja baadhi yao kwa majina. Sasa watu wanajiuliza, kama tatizo ni watu wa dini au taasisi za kidini kutumiwa na wanasiasa katika masuala la kisiasa, m b o n a h i l i l a Pe n g o halisemwi? Lakini wakati Lukuvi akiwatahadharisha Wa t a n z a n i a k u wa wajiepushe na wanaotaka serikali tatu akidai kuwa wanataka utawala wa Kiislamu, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba

kuwachunguza. Mageuzi haya ni hatua muhimu sana katika kuondoa hali ya wasiwasi na kutoaminiana kati ya polisi na jamii ili jamii iweze kusaidia polisi kuwashika wahalifu, ilisema taarifa kutoka katika ofisi ya Meya wa New York Bill de Blasio.

Hatua ya kusitisha mpango huo, ilifikiwa na kamishna mpya wa polisi wa kituo hicho, na inaonekana kama njia moja ya kubadili mbinu za kukusanya ujasusi ambazo wengi wanasema zilichangia mashambulizi ya Septemba 9/11 Kitengo hicho,

alimsimamisha Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donald Mtetemela, ndani ya Bunge kutetea Mfumo wa Serikali mbili, je, tuseme na hawa wanaotaka serikali mbili wanataka kusimamisha serikali ya Kikristo? Kule Arusha kulitokea mlipuko Kanisani wakafa watu. Japo zilitangulia porojo na madai kuwa mhusika alivaa kanzu na kib andik o, lakini mtuhumiwa namba moja aliyekamatwa na Polisi alikuwa na jina linaloashiria vinginevyo. Mpaka hivi leo hatujui kesi ile ya mtuhumiwa Victor imeishia wapi! Kule Zanzibar, ni kweli yaliwahi kutokea matukio ya kuchomwa

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014


waaminikio wa Kiislam kwa ajili ya utafiti zaidi wa Uislam. Alikwenda kwa dokta Zaki Badawi kwa ajili ya ushauri na ufafanuzi; akagaiwa vitabu vingi vya Sheikh maarufu Abu Hamza Al-Masri ambae alionana nae baada ya wote kuhutubia katika majadiliano (debate) ya pamoja kule Oxford. Pia ameweza kumsikiliza na kuonana nae Dkt. Muhammad Al-Massari, kumuelezea masuala kadhaa ya Uislam. Kuusoma kwake Uislam kulipelekea kuja kusema haya: Hii Quran imeweza kuandikwa jana kwa ajili ya leo. Inaweza kukaa pamoja na mwanaharakati yeyote wa mazingira, ni rafiki mzuri wa mazingira na ni wazo kuu kwa ajili ya karne hii ya 21,chakushangaza haijabadilika hata neno moja tangu iandikwesio kama haya matabu mengine makubwa na mazito yanayotazamiwa kuja kuleta tija. Badiliko lake lilikumbana na mitihani na vikwazo vigumu, yote ni tu kwa kuwa ameamua kuwa muumini mzuri wa Uislam avaaye hijab. Kulikuwa na dereva wa taxi aliyesema, Usiache bomu katika siti ya nyuma na kuuliza, Wapi ambapo Bin Laden amejificha? Ridley ameandika kitabu kilichobeba jina laIn the Hands of Taliban(Mikononi M wa Wa t a l i b a n ) k i l i c h o c h a p i s h wa n a Robson Books huko Uingereza. Kitabu kingine alichotunga niTicket to Paradise (Tiketi Kuelekea Peponi). Baada ya kusilimu tu Ridley alienda kuhiji. akieleza yaliomsibu akiwa anahiji, Ridley alisema: Hija ni zoezi zuri na la kushangaza. Kwa yeyote ambaye bado hajabahatika kuhiji namuusia afanye hivyo upesi. Inakuonesha mizizi ya Uislam. Kwangu mimi jambo hili si la kusahaulika kamwe. Siku moja nilikuwa naharakisha kuwahi jamaa (swala kwa pamoja na waumini wengine) ya swala. Nikiwa napita katika mitaa yenye kona nyingi kuelekea Haraam (msikiti mtukufu wa Makkah). Walikuwa malaki kama mie tukiwahi kuielekea swala. Ikawa vurugu njiani kwa kwelikwani kila mtu alikuwa akisukuma sukuma ili aharakishe kufika katika Inaendelea Uk. 8

AN-NUUR

Mikononi mwa Taliban


Aliachiwa baada ya kuahidi kuusoma Uislamu
Taliban ni utawala wa siasa kali, nadhani watafikiri ameenda kule kwa ajili ya kupeleleza. Alisema mumewe. Yvonne Ridley alizaliwa mwaka 1968 huko Stanley, County Durham, Uingereza. Alikulia makuzi ya Kiprotestanti katika kanisa la Uingereza. Alikuwa mwimbaji mzuri tu kanisani na pia mwalimu wa mafundisho kwa watoto kanisani katika kijiji chao hicho kilichopo kaskazini mwa nchi hiyo. Baadae, akawa mwandishi wa habari katika gazeti laSunday E x p r e s s . K wa m i a k a ipatayo kumi Yvonne amekuwa akifanya kazi katika magazeti mbalimbali yenye hadhi kama vile The Sunday Times, The Observer, Daily Mirror na Independent. Mwanahabari huyo ambaye alishawahi kupata tuzo, pia amefanya kazi kama mrusha matangazo, mtayarishaji vipindi na pia mtangazaji katika vipindi na mashirika tofauti kama BBC TV na redio, CNN, ITN na Chalton TV akisafiri sana Afghanistan, Iraq na Palestina. Tukirudi katika tukio lake akiwa mikononi mwa Wataliban, Yvonne Ridley akaanza kuwa mkaidi. N i k a wa m b a ya k wa walioniteka, niliwatemea mate, mkaidi na nikagoma kula. KuSema kweli sikuvutiwa na Uislam hata kidogo mpaka pale nilipokuwa huru kutoka katika mikono hii. Alisema. Mmoja kati ya wale waliomteka alimuomba awe Muislam akakataa, lakini hata hivyo akaahidi kama akiachwa huru ataisoma Quran. Nilitoa ahadi kwa Sheikh Wakitaliban kuwa nitausoma Uislam kama n i k i a c h i wa . N i l i s e m a hayo baada ya kuulizwa kuhusu utayari wangu katika kuukubali Uislam na nikahofia kutoa jibu la ndio au la hapana kwani iliwezekana majibu yote yakaeleweka vibaya na kutafutiwa sababu tu ya kupigwa mawe na kufa. Siku kadhaa baadae Yvonne aliachwa huru bila kuumizwa kwa amri ya Mullah Omar, kiongozi wa kiimani wa Taliban ambaye ni mwenye jicho moja. Kuhusu elimu na imani

Na Rashid Abdallah, MUM KARIBU na jiji la Jalalabad, mnamo mwaka 2 0 0 1 wa k a t i u t a wa l a wa Kiislam wa Taliban ulivyokuwa hatamuni. Hata kamera zilipigwa marufuku katika utawala huo. Taliban walikuwa washatangaza vita tukufu kwa yeyote mpinzani wao. Mwandishi habari wa Kiengereza akiwa amevalia Burka huku akiendesha punda wake alikuwa tayari kuchukua jukumu zito la kisiri katika sehemu hii ya Afghanistan iliyokuwa ikitawaliwa na Taliban. Alijiingiza katika nchi kinyemela, hakuwa na kitabu cha utambulisho wakati wa kusafiri (paspoti) wala viza. Vipi ni jasusi wa Kimarekani? Hakuna ambae aliweza kusema na kugundua mpaka p a l e ya s i y o t e g e m e wa ya l i p o t o k e a . K a m e r a ambao alijitahidi kuificha kwa ustadi katika burka lake ilimdondoka na kuonekana na askari wa kitaliban ambae hakuwa mbali nae. Akatumia siku sita katika makao makuu ya usalama wa taifa kule Jalalabad kabla ya kupelekwa katika (chuo cha mafunzo) gereza la Kabul ambapo kitanda kilikuwa ndani ya selo chafu yenye kachumba kadogo kisicho na maji. Fikra zake zilimtuma k u f a n ya m a t a ya r i s h o ya mwili wake kwa ajili ya zana mbali mbali za mateso kama za umeme, bakora, na hata kupigwa mawe mpaka kufa. Labda alifikiri anawazidi ujanja wataliban! Kwani Yvonne aliahidi kuisoma Quran kama ataachiwa huru. Kule kwao Uingereza, mumewe aliangua kilio kutwa kucha pindi tu aliposikia kuwa Yvonne yuko katika mikono ya Wataliban.

YVONNE Ridley Mwandishi aliyekamatwa na Taliban kwa ujasusi kisha akasilimu. tuzungumze yatupasa yake ya awali kuhusu kuzungumza mambo ya Uislam, Ridley alisema msingi tu. Na mpaka sasa Sijui kitu kwani hata nikielezea nijuayo sidhani sikumbuki lini ilikuwa siku kama naweza jaza kile ya mwisho mtu kunitania kikaratasi cha stempu. Ila utani mchafu, napenda ningeweza kuelezea yale wa e n d e l e e h i v y o . yote yaitwayo maovu na Alisema. ubaya wa Uislam kama unyanyasaji wa kijinsia, vipi ilivyo dini chafu na Akishangazwa na ukweli mbaya iliyojaa siasa kali. w a Q u r a n , a l i s e m a , Lakini baada ya kuisoma Niliathirika sana na Quran katiba impayo nilichokuwa nakisomahaki mwanamke (magna hakuna hata kanukta carta for women) kama kalichobadilishwa (katika alivyoiita mwenyewe, Yvonne akaamua kusilimu Quran) kwa miaka zaidi ya mwaka 2003 katika majira 1400 sasa. Akilinganisha ya joto, ikiwa ni miaka h a k i z a w a n a w a k e miwili na nusu tu baada ya kutoka katika Quran na zile wanazoziita haki kukamatwa kwake. Aliacha vileo mwaka kule Magharibi, Ridley mmoja kabla ya kusilimu. alinena, Kitu cha kwanza N a k wa k w e l i h u wa kukifatilia katika Quran anajisikia fahari sana pale kilikuwa ni sheria za ndoa, asikiapo mtu wa kwanza talaka na mali. Nikashangazwa k u s i l i m u a l i k u wa n i mwanamke naye ni mke sana. Nilifikiri (Quran) wa Mtume (Khadijah bint imeandikwa na wakili wa Khuwailid) na asikiapo sheria kutoka Hollywood kuwa shahidi (aliyekufa (eneo Marekani maarufu kwa ajili ya dini) wa na mahsusi kwa ajili ya kwanza pia alikuwa ni matengenezo ya filamu). mwanamke (Sumayya). Kwa kweli, ni kutoka Yvonne anapenda kuvaa hijab. Inaieleza humu ndio wamepata dunia kuwa mimi sasa wanayoyadai. Katika ni Muislam: usinipige, k u t i m i z a a h a d i ya k e u s i n i o n g e l e s h e o v y o , aliyoitoa kule gerezani, usinialike katika vilevi i l i m b i d i a p a t e k a z i wala nyama ya nguruwe; ya k u z u n g u u k a k wa n a k a m a u k i h i t a j i wanazuoni mbali mbali

7
KILA kipindi cha historia kilichohusishwa na kumshirikisha Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na mapatina (wenza) - vitu au watu, kwa njia yoyote ile - ama kwa kuabudu masanamu na kuyapa sifa za kiungu, au kwa kuwavisha uungu wa n a d a m u we n z a o a u kuusingizia ulimwengu au vyanzo vingine vya kidunia wa kuumba - ni giza tupu. Hivi ndivyo ilivyo kwa sababu pindi imani ya Umoja au Upweke wa Mungu (s.w.t.) ikitolewa katika moyo, akili na roho huingia giza, viwango vyote hubadilika na vitu na dunia hutazamwa kwa mitizamo bandia. Hali kimaadili, kiroho, kijamii, na hata kiuchumi na kisayansi ya jamii ndiyo inayoelezewa na aya ifuatayo ya Quran kuwa ni hali ya (jahiliyya): Au ( a m a l i z a o z i l e mbaya) ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu. Giza juu ya giza. Akiutoa mtu mkono wake anakaribia asiuone (kwa kiza kilivyoshtadi). Na ambaye Mwenyezi Mungu hakumjaalia kuwa na Nuru kamwe hatakuwa na nuru. (Surat An-Nur, 24:40) Mimi sipendi kuelezea mambo ya uongo. Isitoshe, ni upotofu ulioje kwangu mimi kuuelezea uongo wakati ukweli unaweza kuelezewa? Kwa mujibu wa maneno Yake Mwenyewe Mwenyezi Mungu (s.w.t.), Amesema hivi: Basi huyo ndiye Mwenyzi Mungu, Mola mlezi wenu wa haki. Na kipo kitu gani baada ya (kuiacha) haki, isipokuwa upotovu tu? Basi huwaje mkageuzwa? (Suratu Yunus, 10:32) Hata hivyo, ili tuliweke wazi somo hili, ninaona ni lazima niseme machache kuhusu zama za ujahiliya, yaani kabla Uislamu haujaja. Mtume Muhammad (S.A.W) alikuja katika wakati ambao watu hawakujua dini ya ukweli, na kwa hiyo waliabudu masanamu ya watu hawakujua dini ya ukweli, na kwa hiyo waliabudu masanamu ya udongo, mkate na hata ya jibini kama inavyosema Qur aan: Nao, badala ya Mwenyezi Mungu, wanaabudu wasio wadhuru (wanapoacha kuwaabudu) wala kuwanufaisha (wanapowabudu), na wanasema; hawa (waungu wa d o g o , wa s h i r i k a wa Mungu! Tunaowaabudu) ndio waombezi wetu kwa Mwenyezi Mungu! Asiyo yajua ya katika mbingu wala katika ardhi? Subhanahu wa taala ametakasika na u p u n g u f u wa k u h i t a j i mshirika) na ametukuka na hao wanaowashirikisha naye (Surat Yunus 10:18)

Muhammad(S.A.W.)alitumwaajekuwa Rehma kipindi cha giza cha Ujahiliya

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014


aliyo kuharamishieni Mola wenu mlezi. Nayo ni kuwa, msimshirikishe yeye na chochote. Na wazazi wenu wafanyieni wema. Wala msiwauwe watoto wenu kwa sababu ya umasikini. Sisi tunakuruzukuni nyinyi na wao. Wala msikaribie mambo machafu, yanayoonekana, na yanayofichikikana. Wa l a m s i u w e n a f s i ambayo Mwenyezi Mungu a m e h a r a m i s h a k u i u wa , ila ikiwa kwa haki, hayo amekuusieni ili myatie akilini. ( surat Al-An`aam, 6:151) MAISHA YA MTUME (S.A.W). KABLA HAJAPATA UNABII. Mtume (s.a.w.) alilelewa chini ya macho ya Mwenyezi Mungu (s.w.t) na uangalizi Wake. Baba yake, Abd Allah Ibn` Abd al Muttalib alikufa kabla ya Mtume (s.a.w.) hajazaliwa, ambayo ilimaanisha kuwa aliiweka imani yake yote kwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na akajisalimisha kwake kikmailifu. Alilizuru kaburi la baba yake kule Madini miaka mingi baadae, akalia sana na aliporejea alisema. Nilimlilia babangu na nikamwomba Allah (s.w.t) amsamehe. Baada ya kufa baba yake, Allah (s.w.t) akawa amemwondoshea msaada wote wa kibinaadamu, na akamwongoza atambue kuwa hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu ( s.w.t) ambaye hana mshirika hata mmoja. Babu yake, Abdu al Muttalib, na ami yake abu Talib Ibn Abd` al Muttalib walimlinda kwa kiasi fulani, lakini yeye mwenyewe alikuja kutambua kuwa mlinzi wake halisi ni Mwenyezi Mungu (s.w.t) nyuma ya kila tukio na kila chanzo na athari, yeye aliweza kutambua kuna mkono wa muumba mmoja tu, (s.w.t) wa ulimwengu na wa vyanzo. Upweke wa Mwenyezi Mungu (s.w.t) ilidhihirishwa kwake kwa njia ya umoja kiungu. Yaani, atajaribiwa katika dunia hii kwa busara, ambamo vyanzo na njia vina mchango katika kila fanikio, na kwa hivyo mtu sharti atumie vyanzo na njia za kidunia na achukue tahadhari zote muhimu ili apate kufanikisha kitu chochote. Lazima itabidi amtegemee kikamilifu Mola wake (s.w.t.) na amuombe Yeye msaada wowote, na kwa njia hiyo aonyeshe wazi kuwa ni Allah (s.w.t.) peke Yake Ndiye huumba matokeo na hutoa mafanikio. Baada ya kufariki babake, alianza kuitwa Lulu Yatima Isiyo, Mfano (Matchless Orphan Pearl). Kuhusu hili, Allah (s.w.t.) baadaye. Alisema hivi: Na Mola wako Mlezi Atakupa mpaka uridhike. Kwani hakukukuta yatima Akakupa makazi? Akakukuta mhitaji Akakutosheleza?

AN-NUUR

Walichonga masanamu ya mawe, udongo, mkate, na hata jibini, nao wakasema hivi: Hao ni waombezi wetu kwa Mungu, walikuwa duni kwa fikra na maadili kiasi kwamba, kama alivyoripoti Abu Dharr AlGhafiri kuwa, wanaweza kuketi ili kula chakula, na wakayakatakata masanamu yao vipande vipande kisha wakayala. Kisingizio pekee waliochukuwa nacho kwa u j a h i l i ya ( u j i n g a ) wa o huo, walisema kwamba wa l i k u wa wa n a f a f a n u a nyanyo za mababu zao, kama inavyosema Qur aan: Na wanapoambiwa: fuateni aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, wao husema; bali tutafuata tuliyowakuta nayo baba zetu, je hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka (watawafuata vivyo hivyo kiupofu)? (Surat Al- Baqarah 2:170) Hata walifikia hali ya kuwazika watoto wao wanawake huku wkiwa wahi, kama inavyosema Quran: Na Mmoja wao anapopewa habari ya kuzaliwa kwa msichana, uso wake husawijika, naye kajaa majuto. Akawa anajificha usionekane na watu kwa ubaya wa habari alizoambiwa (kuhusu kuzaliwa mtoto wake wa kike)! Je, akae naye juu ya fedheha hiyo au amfukie udongoni (kaburini),

ilhali bado mzima, ili afie kaburini kwa kukosa hewa)? Ta z a m a u o v u wa j i n s i wanavyohukumu! (Surat An-Nahl, 16:58-59) Kabla ya kuja kwa Uislamu, wanawake walidharauliwa na kunyanyaswa, siyo katika nchi za Arabuni tu bali pia katika nchi za Kirumi na Uajemi (Watawala wa Sassan, huko Persia (Uajemi) mnamo miaka ya 211-651A.D.). Quran inatangaza wazi wazi kuwa wauaji hao wote watakuja kuulizwa juu ya haya: Na mtoto msichana aliyezikwa hali ya kuwa alikuwa hai atakapoulizwa, Kwa kosa gani aliuliwa? (Surat At-Takwiyr, 81 :8-9) S i k u m o j a , b a a d a ya k u t a n g a z wa U n a b i i wa Muhammad (s.a.w.), mmoja wa Masahaba zake alimwendea Mtume (s.a.w.), na akamhadithia alichomfanyia binti yake, kama ifuatavyo: Ewe Mjumbe wa Allah (s.w.t.)! Nilikuwa na Binti yangu. Siku moja n i k a m wa m b i a m a m a k e amvishe nguo, kwa kuwa nilikuwa nampeleka kwa mjomba wake. Masikini mama huyo alijua maana ya maneno hayo, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kutii na kulia tu. Mke wangu akamvalisha binti huyo nguo nzuri, na binti mwenyewe alikuwa anafurahia kwenda kwa mjomba wake.

Nilimpeleka karibu ya kisima na nikamwambia atazame kisimani. Nikampiga teke kuelekea kisimani. Alipokuwa akiangukia chini alikuwa akilia (Baba, Baba! Kadiri huyo Sahaba a l i v y o k u wa a k i s i m u l i a hadithi hii, Mtume (s.a.w) alikuwa akilia kwa kwi k w i k a m a v i l e n i ye ye aliyempoteza ndugu yake wa damu wa karibu kabisa. Nyoyo zilikwisha kuwa sugu. Kila siku shimo lilichimbwa jangwani ili azikwe hai msichana asiyekuwa na hatia yoyote. Wa n a a d a m u w a l i k u w a wakatili zaidi kuliko hata fisi. Wenye nguvu walikuwa wakiwateketeza wasio nguvu na wadhoofu. Ilikuwa ni wakati ambao unduli ulikuwa kawaida ya wanadamu, ukatili ulidhihirishwa, wenye kiu ya damu walitukuzwa, kumwaga damu kulihesabika kuwa ni sifa, zinaa ya watu wenye ndoa na wasiyokuwa na ndoa ilikuwa ni kawaida zaidi kuliko ndoa ya kisheria. Miundo ya familia ilikwisha kuharibiwa. Kipindi hiki cha giza ndicho kilichofuatiwa na Uislamu. Na baki ya kuondosha maovu yote mengine, Mwenyezi Mungu (s.a.w) hakuacha kurudia k a t a z o l a k u u a wa t o t o wadogo, kama inavyosema Quran: Sema: njooni nikusomeeni

Inaendelea Uk. 12

8
Na Mwandishi Wetu VIJANA wengi nchini wamekuwa wakitumia m a d a wa ya k u l e v ya kiasi kwamba mpaka taifa linachanganyikiwa kwa uwingi wa vijana kujitumbukiza katika janga hilo. Pamoja na juhudi kubwa kuchukuliwa kudhibiti uingizaji wa dawa hizo hapa nchini, lakini bado kabisa Serikali inaonekana kuzidiwa ujanja na mtandao wa uingizaji wa madawa hayo. Tu n a o n a j u h u d i z a vyombo vyetu vya usalama kujitahidi kudhibiti kila eneo ambalo ndio njia kuu ya upitishaji wa unga, lakini inaonekana unga bado unapitishwa kwa wingi hapa nchini. Kwa nini nasema hivyo, tunawaona vijana wengi katika vituo vya mabasi wakiyumba huku wengine wakijidunga na mabomba ya sindano bila hata woga wa kukamatwa na askari. Katika Tanzania miji mikuu ambayo inaongoza kwa utumiaji wa madawa hayo ni Dar es Salaam, Tanga, Arusha na Mbeya maeneo haya yamekithiri kwa kuongoza kwa vijana wengi kutumia madawa hayo hatari ya kulevya. Mwandishi wa makala h i i a l i p a t a n a f a s i ya kufanya mahojiano na Nuru Saleh Hemed ambae ana umri wa 31 yeye alikuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya kwa kipindi cha miaka kumi na moja na sasa ameacha kabisa. Nuru amesema kuwa utumiaji wa dawa hizo alianza kutumia baada ya kuolewa na mumewe wa k i wa Tu n d u r u Mkoani Ruvuma Nuru amesema mumewe ndie alie mshawishi kutumia madawa hayo mpaka kufikia kupoteza malengo yake kibao. Amesema kuwa baada ya kumshawishi kutumia madawa hayo yalimzowea mpaka kufikia teja lililo kubuhu amesema aliwambia wazazi wake kuwa ameshachoka kuishi na mume wake huyo maana kwa sasa anataka kuacha utumiaji wa madawa. Wazazi walimsikiliza ikafikia ndoa yao ivunjwe na mumewe akatoa talaka ameeleza kuwa baada ya kuachika alikuja Jijini Dar

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Nuru Saleh atoa somo kwa mateja


athari zitokanazo na dawa za kulevya. Ameeleza kuwa wakati akiwa huko alijifunza m a m b o m e n g i i k i wa pamoja na kujifunza mambo ya ujasiriamali. Amesema baada ya muda mwingi kuwepo Zanzibar katika kituo hicho ambacho kinajulikana kwa jina la Soba House amesema baada ya kupona alirudi jijini Dar es Saalam ambapo amesema alijikuta ana dhima kubwa ya kuwakomboa vijana wenzake ambao bado wapo katika janga hilo. Amesema kuwa aliwaeleza wazazi wake kuwa anataka kuwa balozi kuwakombowa vijana wenzake wazazi wake walimsikiliza alianza kufungua kituo cha kutoa elimu kwa vijana waliyo katika janga hilo. Nuru amemwambia mwandishi wa makala hii kuwa kituo hicho ambacho kipo Vijibweni wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam kinajulikana kwa jina la People with Drug Dependence Relief Foundation (PEDDERF) amesema k u wa a m e wa k u s a n ya

Nuru Salehe Hemed Mkurugenzi wa PEDDREF. es Salaam maana kule Tunduru unga ulikuwa haupatikani pamoja na kuacha bado alikuwa mtumiaji mkubwa wa dawa za kulevya. Nilipofika Dar es Salaam nilifikia Kariakoo kwa baba nikawa naendeleza uteja nimeshafungiwa ndani lakini niliruka ukuta nikaondoka vijiweni kubwia unga, amesema Nuru. Pamoja na utumiaji wa madawa hayo kuna siku alikaa akaijutia nafsi yake sasa anataka kuacha utumiaji dawa hizo maana ilifikia hatua anadharauliwa hata na watoto wadogo na mtoto wake alikuwa akicheza na wenzake wanamwambia mama yake teja. Alihangaika hospitali kupata tiba lakini ilishindikana kuacha baada yakushindikana hospitalini nilifunga safari mpaka Zanzibar kwenye kituo cha kulelea wanawake waliyo athirika na madawa ya kulevya kituo ambacho kilikuwa kinaongozwa na mama Fatma Sukwa. Amesema kuwa hiyo ilikuwa mwaka 2012 na alikaa huko kwa muda wa mwaka moja na miezi mitatu amesema kuwa wakati akiwa hapo alipata elimu mbalimbali kuhusu

Inatoka Uk. 6 Haraam kwa muda. Ghafla pakaqimiwa kuwataarifu watu wawe tayari kwa swala, kila mtu alisimama na bila zogo watu wote wakajipanga katika mistari haraka. Nikaanza kufikiria hakuna jeshi lolote duniani lenye uwezo wa kujipanga vile kwa haraka. Na hivyo nikabaki nafikiria jeshi la Allah tu na moyo wangu ukitabasamu kwa mimi kuwepo ndani yake. Macho yangu huwa yanajawa na machozi kwa kufikiri hili nililoshuhudia. Ilinifanya nifurahi kuwepo katika familia hii kubwa. Pale, kulikuwa na watu kutoka mataifa tofauti, lugha tofauti na rangi tofauti. Swala ikaanza, wote tulielewa na wote tuliungana katika muungano mzuri usio na fujo, zogo wala kelele. Ilinihuzunisha sana kugundua kuwa tutadumu

Mikononi mwa Taliban


vile kwa sekunde kadhaa tu, nikajiuliza kwanini tusiendelee Waislamu kuwa hivyo baada ya swala pia! Yvonne ni mwanzilishi waWomen in Journalism(Wanawake Wana-habari), promota wa haki za wanawake na pia ni mwanzilishi waStop the War Coalition(Muungano wa Vyama Kupinga Vita) na chama cha siasa cha RESPECT. Pia ni mjumbe katika umoja wa wanahabari wa taifaThe National Union of Journalists, The Internatinal Federation of Journalists(Shirikisho l a Wa n a h a b a r i l a Kimataifa) naThe Society of Authors(Umoja wa Waandishi, Watunzi). Kwa sasa, anafanya kazi kama mtangazaji katika kituo cha

vijana wenzake zaidi ya mia moja na arobaini kati ya hao wamepata elimu pamoja na kutumia dawa na wamepona kabisa na wengine wapo mtaani wanafanya mambo yao na hawatumii tena madawa hayo. Nuru ameitaka Serikali kuwapa elimu vijana wote a m b a o wa m e a t hi r i wa na dawa hizo isiangalie k wa wa a g i z a j i t u a u kwa wauzaji mimi naishauri itoe elimu kwa vijana mwisho wa siku watabadilika tu amesema Nuru. Pia ametoa wito kwa Serikali itoe mchango kwa asasi za kiraia zilizojitolea kuisaidia katika majanga mbalimbali hasa katika kuwakomboa vijana maana vijana ni nguvu kazi ya taifa. Amesema yeye kama binti wa miaka 31 amejitahidi kuwashawishi vijana wenzake mpaka kuwabadilisha si kazi ndogo hivyo katika zoezi hilo anakabiliana na changamoto nyingi moja ya changamoto hizo ni kutokuwa na uhakika wa kulipa pango la jengo alilokodi la kuwapa elimu vijana hao pamoja na chakula cha uhakika. Amewaomba wadau mbalimbali wanaoguswa na kadhia hiyo ya kuliondolea Taifa hasara wanawea kuchangia kimoja wapo kwa nafasi yake.

televisheni kipatikanacho dunia nzima cha PRESS TV. Pia ni mwandishi katika kijarida cha kila siku chenye makao yake New York kiitwachoDaily Muslims.Kwa maneno yake mwenyewe akiongelea kuhusu kusilimu kwake, Ridley anajisifu kwa kusema Nimejiunga na familia ambayo kwangu mimi naichukulia kama ndio kubwa zaidi kwa sasa duniani bila kusahau ndio familia bora zaidi pia. Kama tukishikamana basi hakuna wa kutuzuia. Baadhi ya masomo yake yapatikanayo kutoka katika intaneti ni kamaConversion to IslamnaJourney to Islam ( Makala hii ni kwa msaada wa saidpowa.blogspot. com)

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Profesa Abdallah Safari anastahiki kupongezwa


N a Shei kh Abdallah Ahmad Bawazir.

MANENO yaliyo andikwa katika Gazeti la Mwananchi la Alhamisi Machi 27, ni jukumu la Waislamu kuyapokea vizuri na kuyafikiria. Si hivyo tu, bali si dhambi wala vibaya kumpongeza aliyeyasema. Huyo ni Profesa Abdallah Safari; M j u m be wa B u n ge maalumu la katiba, a m b a ye a m e k u b a l i kuivalia njuga kadhia ya Mahakama ya Kadhi na kukusudia kurejesha hoja yake k a t i k a m j a d a l a wa rasimu ya katiba. Kwa mara nyingine tunampongeza P r o f e s a S a f a r i k wa hili na tunamuomba Mungu amlipe malipo makubwa hapa duniani na kesho akhera. Kwa sababu mara nyingi tumekwisha sema na kuandika kwamba uti wa mgongo wa katiba yetu mpya ni mfumo wa demokrasia na hakuna demokrasia duniani kote bila ya uhuru. Aidha hakuna uhuru muhimu kuliko uhuru wa kuabudu. Ni matarajio yetu kwamba kadhia ya mahakama ya kadhi, itakuwa ni sehemu ya vipengele vya katiba ya Tanganyika. Kwa hali ilivyo kipindi hiki, ni dhahiri kwamba sio jambo la kutegemewa, na hiyo ndio sababu inayo tufanya sisi tukiongozwa na watu kama Profesa Safari kuanza kilio chetu upya. Mahakama ya kadhi hapa nchini tangu mapema ilianza kukumbwa na nuhusi k u b wa k wa k u p a t a upinzani kutoka kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na miongoni mwao ni hawa hawa Waislamu wenzetu . Kabla ya kuanza kwa kampeni ya kudai

PROFESA Abdallah Saffari (katikati). Kulia ni John Mnyika. kurejeshwa kwa mahakama ya kadhi, wapo baadhi ya Waislamu waliojitokeza kuikosoa mahakama hii kwa sababu eti ni mahakama ya ndoa, talaka, mirathi na wakfu na mfano wa hayo tu. Haina uwezo wa kuhukumu kesi za jinai; wizi, kuuwa na kadhalika, kwa maana hiyo mahakama hiyo si kamili. Wengine wakadai kwamba mahakama hii haitakuwa safi katika Uislamu kwa sababu itakuwa ikiendeshwa kwa pesa za shubuha, miongoni mwa rushwa, riba na biashara ya haramu kwa mujibu wa Uislamu. Hayo yote ni mawazo yaliyokuwa yakisambazwa na baadhi ya Waislamu, ambao ni dhahiri kuwa walikuwa wakitumiwa d h i d i ya m c h a k a t o wa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi n c h i n i b i l a ya wa o wenyewe kujua kwamba wanatumiwa na wanao watumia pia hawawajui. Kubwa zaidi ni ile hujuma iliyofanywa na Bakwata kwa kuwapendekeza watu fulani na fulani kuwa makadhi maalumu wa Bakwata na ilhali watu hao wenyewe hawana uwezo wa kuhukumu mambo yao kwa sababu ya uchache wao katika e l i m u ya s h e r i a ya dini ya Kiislamu. Pia wakawa ni makadhi wasio na meno kwa kuwa hawatambuliwi na katiba ya nchi na maamuzi yao yanaweza kutenguliwa na mahakama za nchi ambazo zipo kwa mujibu wa katiba. Katiba mpya i n a t a k i wa k u wa n i katiba ya Watanzania wote bila ya kuangalia tofauti zao za itikadi au kanda. Kinyume na hivyo itakuwa ni katiba ya kundi fulani tu la raia huku ikilitupa nje kundi jingine ambalo kwa pamoja na lile lililomo ndio yanayo unda nchi inayo itwa Tanzania. Watu wa mwanzo mwanzo ambao ni wajibu wao kumpongeza Profesa Safari, ni Masheikh wetu walio beba jukumu la kutuwakilisha katika bunge hilo maalumu la katiba. Kwa sababu h i y o n d i o k a z i ya o ambayo wao wenyewe wamekubali kuifanya kwa moyo mkunjufu. Katika ulimwengu wetu huu kuna watu wenye ujasiri bungeni hadi kufikia kutetea ushoga uwe ni muhimu kiasi cha kutungiwa sheria nchini. Na wengine wanapendekeza bangi i w e n a u h a l a l i wa kulimwa, kuuzwa na kutumiwa nchini. Wala hakuna anaye weza kujitokeza na kuwapinga au kuwalaumu. Bali hao ndio wanao sifiwa kwamba ni watetezi wa haki za binaadamu na ndio wanao weza kuutetea uma na haki z a u m a . K a d h i a ya umuhimu wa katiba kutambua uwepo wa Mungu, uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni na kujieleza, kadhia ya kutetea mahakama ya kadhi kuwekewa kifungu katika katiba. Kadhia ya kuweka sheria kali ya kupinga ushoga na ndoa ya aina hiyo, kadhia ya kutetea haki za wanawake katika ndoa na kuruhusiwa wawili, watatu au wane kuolewa na mume mmoja na mengineyo yanayo fanana na haya. Yote hayo ni dhima juu ya kila sheikh aliye kubali kubeba jukumu la kuuwakilisha Uislamu na umma wa Kiislamu katika bunge maalumu la katiba. Allah (s.w.t.) awasaidie ndugu zetu, masheikh zetu na wawakilishi wetu na awape ulimi mzuri wa kuutetea Uislamu ndani na nje ya bunge. Wabillah taufiq (Sheikh Abdallah Ahmad Bawazir-0767 215 898)

Roger Waters: Kwanini lazima niseme kuhusu Israeli, Palestina na kuisusa Israeli
Mwimbaji nyota wa kundi la Pink Floyd anaelezea kwanini anaunga mkono kuisusa Israeli
Na Roger Waters
Machi 20, 2014 Mtandao wa Kupashana Habari - Salon Miaka sabini iliyopita, baba yangu - Luteni Usu Eric Fletcher Waters, alikufa nchini Italia akipigana na ma-Nazi. Alikuwa mwanaharakati wa amani, na mpinzani wa kimaadili wa vita wakati vilipoanza, lakini maovu ya Hitler yaliposambaa kote Ulaya, alibadilisha gari la wagonjwa alilokuwa akiendesha wakati London inapopigwa mabomu (na Ujerumani) akachukua kofia ya bati (helmet) na kupata kibali cha (Jeshi la Uingereza) na kujiunga na mapambano dhidi ya ufashisti. Aliuawa karibu na Aprilia katika pambano la Anzio la kivuko (muhimu kivita) hapo Februari 18, 1944. Mama yangu- Mary Duncan Waters - alibaki mwanaharakati maisha yake yote yaliyobaki, akijitahidi wakati wote kuhakikisha kuwa wanae, na wana wa wengine wote, hawakuwa na Upanga wa Damocles kupitia itikadi chukizo ziwe juu ya vichwa vyao. Mwezi uliopita, kwa hisani ya watu wa Aprilia na Anzio, niliweza kutoa shukrani kwa baba yangu ambaye sikuwahi kumfahamu kwa kuinua mnara wa kumbukumbu alipofia na kuweka shada la maua kwa heshima yake, na wengine walioanguka. Kumpoteza baba yangu kabla sijamfahamu na kulelewa na mzazi mmoja pekee, mama aliyekuwa akifanya kazi na kupigania bila kuchoka usawa na haki ilikuwa dira ya maisha yangu kwa kila njia na imekuwa msukumo wa kila nilichokifanya. Na, katika hatua hii ya safari yangu, napenda kufikiri k u wa n i n a t o a sh u k r a n i kwa wazazi wangu wote wawili kila wakati ninapozungumza kuunga mkono watu wa kundi lolote lile wanaonyimwa uhuru na hali ambavyo ninaamini sote sisi tunastahili. Baada ya kutembelea I s r a e l i m wa k a 2 0 0 5 n a Ukingo wa Magharibi mwaka uliofuatia, nilisononeka sana na kile nilichokiona na kudhamiria kuongeza sauti yangu katika wale ambao wanatafuta suluhisho la haki na kisheria kwa tatizo hilo - kwa Wapalestina na Wayahudi pia. Kutokana na malezi yangu, ya Kiyahudi na Waisraeli ambao pia wamejibu mwito huo. Katika zogo linaloendelea nchini Marekani hivi sasa kuhusu kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo, na jema au baya la kuisusa Israeli kitamaduni, ainisho kutoka mmoja wa mashujaa wangu, Mahatma Gandhi, limekuwa akilini mwangu. Alisema kinabii kuwa Kwanza wanakupuuzia, halafu wanawacheka, baadaye wanapigana nanyi, na mwisho mnashinda. M wa m k o wa k u s u s a , kuondoa raslimali na kuweka vikwazo unafikia tumaini na unaendana na alichosema Gandhi, Mkakati huo ambao kitambo kidogo ulipuuzwa kama njia muflisi ambayo kamwe isingeweza kuleta mabadiliko yoyote, sasa mkakati huo umeshika kasi katika miezi kadhaa iliyopita, na kuinua upinzani dhidi yake kama ilivyotazamiwa. Uondoaji wa raslimali za vyuo vikuu kadhaa vikubwa vya Marekani, mifuko ya pensheni ya nchi za Ulaya kuondoa fedha zao katika mabenki ya Israeli ambayo ya n a f a n ya b i a s h a r a n a makazi haramu katika eneo linalokaliwa kwa mabavu, na tukio la kimataifa la kuachana katika njia zao, k a t i ya m c h e z a s i n e m a Scarlett Johansson na shirika la kimataifa la kupambana na umaskini Oxfam, ni dalili za kuongezeka kwa ukinzani kuhusu ukandamizaji wa Israeli dhidi ya wazawa asilia wa Palestina, na pia, kwa miongo kadhaa ya ukaliaji wa ardhi ambayo Umoja wa Mataifa umeitoa kwa nchi ya baadaye ya watu wa Palestina. Na kila vichwa vya habari vinapotangaza hatua mpya ya kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo, majibu ya jazba na hasira ya wapinzani wa mwamko huo wakiwemo Netanyahu na marafiki zake wa AIPAC (mtandao wa marafiki wa Israeli nchini Marekani) wakiwa mstari wa mbele, imepanda kwa kasi. Nadhani unaweza kusema mkakati huu upo katika hatua ya halafu wanapigana nanyi. B a a d h i wa n a p o t o s h a kuhusu harakati ya kususaa, ambayo inachukua mfano wa harakati za kuisusa Afrika Kusini ya kibaguzi na kutumiwa katika vuguvugu la haki za kiraia nchini Marekani, kuwa ni shambulio dhidi ya watu wa Israeli au Wayahudi kwa jumla. Hakuna kinachoweza kuwa mbali zaidi ya ukweli

10

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau


kwa kweli sikuwa na chaguo. Mwaka 2005, makundi ya kiraia ya Palestina yalitoa mwito kwa wale wote wenye hisia njema duniani kote kuchukua hatua pale ambapo serikali zimeshindwa. Wa l i t u t a k a t u j i u n g e n a vuguvugu lao la amani - la kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo - lenye nia ya kumaliza ukaliaji kwa mabavu maeneo ya Wapalestina, kupata haki sawa kwa wananchi wa Palestina nchini Israeli, na kutetea haki ya wakimbizi wa Palestina kurudi katika miji na vijiji walivyoondolewa kwa nguvu mwaka 1948 na 1967. Baada ya zaidi ya miongo miwili ya mazungumzo, jamii dhaifu ya Wapalestina bado inaishi chini ya wavamizi, huku ardhi zaidi ikichukuliwa, makazi zaidi yasiyo halali yakijengwa, na Wapalestina zaidi wanatupwa jela, wanaumizwa au wa n a u a wa wa k i p i g a n i a haki ya kuishi katika hali ya heshima na amani, kuinua familia zao, kulima ardhi, kupania malengo yote na ya kawaida ya binadamu, kama tulivyo sisi wengine. Kutokuwa na nchi kwa Wa p a l e s t i n a a m b a k o kumeendelea kwa muda mrefu kumewafanya wawe dhaifu mbele ya mataifa yote, hasa katika maeneo waliyohamia nje ya nchi yao, kama sasa nchini Syria, a m b a k o wa n a s u l u b i wa , kama watu wasio na nchi, wakimbizi wasio na uwezo, kulengwa katika utumiaji nguvu, kutoka pande zote za mzozo huo uliokithiri umwagaji damu, wakiwa wanajikuta katika hali ya taabu bila mfano na kukosa karibu kila kitu, na katika matukio mengi, hasa kwa watoto wasio na nguvu, kufa kwa njaa. Tunaweza kufanya nini sisi sote kupeleka mbele haki za Wapalestina katika maeneo yanayokaliwa na Israeli, nchini Israeli na walikohamia? Kwa njia hiyo, kususa, kuondoa raslimali n a k u we k a v i k wa z o n i mwamko usiotumia nguvu unaoongozwa na raia umejikita katika kanuni za kimataifa za haki za binadamu kwa watu wote. Watu wote! Kwa hali hiyo, nimedhamiria kuwa mwelekeo wa kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo ni uelekeo ninaoweza kuunga mkono kikamilifu. Najisikia kupewa heshima kusimama katika mshikamano na baba yangu na mama yangu, na pamoja na ndugu zangu na dada zangu wa Palestina, na wengi wengine wa rangi zote, imani na mazingira kote duniani - ikiwa ni pamoja na idadi inayozidi kuongezeka ya Wamaerekani wenye asili

kuliko hapo. Harakati hizi zinatambua haki za binadamu chini ya sheria kwa watu wote, bila kujali uasili wao, dini au rangi. Sijitambulishi kama msemaji wa harakati ya kususa, ila, kama muungaji mkono wa dhati, na kwa kuwa ninaonekana katika fani ya muziki, nimekuwa nikilengwa na wale wanaopenda kuishambulia h a r a k a t i h i i , s i y o k wa kulenga hoja zake ila, badala yake, kwa kuashiria kuwa chuki na ubaguzi ndivyo vinavyosukuma wanaounga mkono harakati hii. Imesemwa, kikatili na kwa makosa, kuwa naunga mkono fikra ya Nazi na ni mbaguzi wa Wayahudi. Nilipotaja katika mahojiano hivi karibuni kuhusu mambo yanayofanana katika historia, nikisema kuwa nisingeweza kucheza sinema nafasi ya mtu wa Ufaransa ya Vichy au (utawala wa) Berlin katika vita vikuu vya pili duniani, sikuwa na nia ya kuwalinganisha Waisraeli an wa-Nazi au mauaji ya kimbari ya Wayahudi na ukandamizaji wa Wapalestina uliodumu miongo kadhaa. Hakuna mfananisho na mauaji wa kimbari, Holocaust. Wala s i k u wa h i k u l i n g a n i s h a mateso ya Wayahudi wakati huo na taabu wanayopata Wa p a l e s t i n a h i v i s a s a . Kulinganisha taabu ni jambo gumu, linalovuruga na kupunguza thamani ya heshima ya kumbukumbu ya wote walioanguka, wapendwa tuliowapoteza. Naamini kuwa mzizi wa kukosekana kwa haki na ukandamizaji wakati wote huo ni ule ule - kuukataa ubinadamu wa mwingine. Ni hisia kali ya Sisi na Wao ambayo inaweza kutupeleka, bila kujali utambulisho wetu kiasili au kidini, kuanguka shimoni. Dhima tusije kusahau kuwa ukandamizaji unazaa ukandamizaji zaidi, na kuwa mti wa woga na ubaya siku zote tunda lake ni chungu. Kumalizika kwa kukaliwa Palestina, ikiwa tutafanikiwa kufikia, itakuwa ni uhuru kwa waliokandamizwa na wanaokandamiza na uhuru kutoka katika uchungu wa miaka yote hii iliyopotea, na maisha ya watu. Na hiyo itakuwa zawadi kubwa kwa dunia. Majivu na almasi (karata) Adui na rafiki Wote sisi ni sawa Mwishowe.

11

Shetani yupo Afrika Mashariki


Na Rashid Abdallah, MUM

Makala

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Ni yule aliyefichuliwa na Chavez ndani ya UN

RAIS Hugo Chavez ambaye sasa ni marehemu alilishangaza Baraza Kuu la UM (Umoja wa Mataifa) mwaka 2006 kwa hotuba yake kali ambapo alimuita R a i s G e o r g e B u s h wa Marekani kuwa ni shetani linalotenda kana kwamba dunia hii ni mali yake. Hebu tusome sehemu ya hotuba hiyo: Yesterday, the devil came here, right here. Right here. And it smells of sulfur still today, this table that I am now standing in front of. Yesterday, ladies and gentlemen, from this rostrum, the president of the United States, the gentleman to whom I refer as the devil, came here, talking as if he owned the world. Truly. As the owner of the world. I think we could call a psychiatrist to analyze yesterdays statement by the president of the United States. As the spokesman of imperialism, he came to share his nostrums, to try to preserve the current pattern of domination, exploitation and pillage of the peoples of the world. An Alfred Hitchcock movie could use it as a scenario. I would even propose a title: The Devils Recipe. Kwa ufupi katika aya ya kwanza na ya pili anakusudia kusema; Shetani alikuja jana hapa, hapa hasa. Na bado pananuka kama salfa, katika meza hii ambayo nimesimama mbele. Jana, mabibi na mabwana, kutoka jukwaa hili, raisi wa Marekani ambaye narejea kuwa ni shetani, alikuja hapa alizungumza kana kwamba dunia anaimiliki yeye. Kweli. Kama mmiliki wa dunia Hiyo ndiyo hotuba kwa ufupi ya rais aliyekuwa wa Venezuela katika Baraza l a U m o j a wa M a t a i f a . Akimzungumzia aliyekuwa k i o n g o z i wa M a r e k a n i George Bush na kumuita shetani na akizungumza kama anamiliki dunia. Kwa uwelewa wangu nahisi zaidi Chavez alikusudia kuuzungumzia u o n g o z i wa M a r e k a n i unaoongozwa na Bush kuwa ni wa kishetani, sababu za uongozi ule kuwa ni wa kishetani zipo nyingi na kila mmoja ataisema yake kulingana na pale alipoguswa au kuumizwa. Utawala wa Marekani ndio unaoongoza kwa kulaumiwa kulingana na yale ambayo

RAIS Barack Obama wa Marekani. unawafanyia wale wasio waondoshe utawala uliokuwa kuwa wanapambana na na nguvu wakiwemo mtu unafuata mifumo ya dini ya magaidi hatari kwa amani mmoja mmoja na hata mataifa Kiislamu, ambayo shetani n a u s a l a m a wa K e n ya . machanga. Tanzania kwenye anauchukia sana. Walianza Kumbe ni njama za kishetani mkumbo huo nasi tumo na ukomunist, wameuweza kuwafanya wajiangamize kwani tunaendeshwa vile kwani hauna nguvu na kwa wao wenyewe Wakenya kwa watakavyo wao, wakisema sasa wanajihusisha zaidi mikono yao! hili fanyeni hili musifanye sisi na Uislamu ili wahakikishe Wa z a z i w a C h a v e z tunabaki kutekeleza tu. nao wanaukata roho. Ni w a l i k u w a w a a l i m u Ni aina moja ya ushetani kama vile tu alivyopigwa waliowahimiza watoto wao a m b a o u n a f a n y wa k wa Saddam Hussein si kwa waikumbatie elimu kama mataifa machanga, ni hivi sababu anamiliki mabomu njia ya kupata maisha bora. karibuni tu amezuia misaada ya nyuklia ila tu kwakuwa M t o t o wa o wa k i u m e , kwa nchi ya Uganda kwa a l i k u wa n a a g e n d a ya Hugo, alijiunga na shule sababu wameweka sheria kupora mali, kuvuruga nchi ya sayansi ya jeshi, ambako ya adhabu kali kwa yule madhubuti Mashariki ya Kati alikuwa na shauku kubwa atakaye bainika anajihusisha na kuudhoofisha Uislamu na ya masuala ya siasa wakati na mahusiano ya jinsia moja wakati huo huo kuijengea wa masomo yake. Baada ya (ushoga). Israel mazingira bora ya kufuzu alijiunga na jeshi na P i a t u s i s a h a u k u w a kutamba katika eneo hilo. mwaka 1983, akiwa na umri kilichopelekea mpaka Popote alipo shetani siku wa miaka 30, yeye pamoja na Vi e t n a m i k a l a k i c h a p o zote hapana usalama na maafisa wengine wakaunda takribani miaka arobaini wala amani haitopatikana. Jeshi la Mapinduzi la Bolivia iliyopita ni zile siasa zake tu Baada ya miaka mingi ya 200 EBR - 200. Jina hilo za kikomunisti ambazo kwa kukaa bila serikali na juhudi lilikuwa likimzungumzia Marekani yeye zilikuwa ni m b a l i m b a l i k u s h i n d wa El Libertador, Simon siasa asizozitaka. kutokomeza mauwaji na Bolivar, ambaye peke yake Vi e t n a m k wa s a b a b u m a c h a f u k o , Wa s o m a l i a aliyakomboa maeneo ya hiyo ikapigika kweli kweli, we n ye we wa l i f a n i k i wa Amerika Kusni kutoka kwa kuanzia silaha za kawaida, kurejesha amani katika nchi viongozi wa kikoloni wa zikaja nzito hadi za sumu yao kwa kutumia Uislamu Uhispania na ambaye kanuni ambazo zimewaweka mamia wao. Lakini hilo halikutakiwa zake na maisha Chavez na maelfu ya Wavietnam na shetani anayejifanya aliziunga mkono. katika hali mbaya hadi leo. kuwa ni mmiliki wa dunia. Kwa kuwa hakuridhishwa Tukisema shetani yupo Akaja na kisingizio cha ugaidi na itikadi za kisiasa ambazo Afrika Mashariki sasa hatuna akaiporomosha serikali hiyo kwa uwazi zilipuuza mahitaji maana kuwa ni shetani yule Wasomalia wakarejeshwa ya umma, kundi la Chavez aliyemzungumzia aliyekuwa k a t i k a m a c h a f u k o n a lilifanya jaribio la mapinduzi raisi wa Venezuela katika mauwaji. Kwa ksingizio mnamo mwaka 1992 dhidi Baraza la Umoja wa Mataifa ila hicho hicho cha ugaidi, ya rais wa Venezuela wakati tunazungumzia ule uongozi Kenya ikatumbukizwa katika huo, Carlos Perez, ambalo alio uwacha yeye alikuwa vita isiyokuwa yake-Proxy halikufaulu. Chavez alitupwa shetani pia kaacha mashetani War, na kisha ugaidi sasa gerezani, lakini si kwa muda waongoze na uongozi wao inaumia. Imepewa bajeti mrefu. Baadaye rais Perez wa kishetani wakiendelea ya kuunda na kuendesha alishitakiwa, na mrithi wake, k u i t e s a d u n i a n a s a s a kikosi cha ATPU (Anti Terro- Rafael Caldera, akamuachia ushetani huo unaonekana Police Unit), ambao kimsingi huru Hugo Chavez mwaka kujikita Mombasa ambapo wanafanya kazi ya kishetani 1994. Chavez alifanya juhudi Mashekh wanauliwa kila ya kuitumbukiza Kenya za kuanzisha miungano ya uchao. katika machafuko, lakini kisiasa ndani ya Amerika Aliiyanza Somalia kwa wamepumbazwa pamoja Kusini na kukutana na kuwatumia Waithopia ili na serikali nzima wakijiona v i o n g o z i m b a l i m b a l i

akiwemo kiongozi wa Cuba, Fidel Castro. Mwaka 1996, Chavez alianzisha chama kilichoegemea siasa za mrengo wa shoto, The Fifth Republican Movement ili aweze kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 1998. Chavez alipata umaarufu kwa haraka, ingawa mwanzoni alichukuliwa kama mtu kutoka nje. Aliugeuza ujumbe wake wa sera za kisoshalisti kuwa lugha ya watu masikini na kuikonga mioyo yao. Kwa mara ya kwanza baada ya kujaribu mara nne, na kupata wingi mkubwa wa kura, Chavez alichaguliwa kuwa rais wa Venezuela. Bila kupoteza wakati alianza kuchapa kazi mara tu alipoingia madarakani. Serikali yake ilizitaifisha sekta muhimu za uchumi, hasa ile ya mafuta. Mapato kutokana na mauzo ya mafuta yalitumiwa k u g h a r a m i a m i r a d i ya kijamii, kuhakikisha masikini wanapata msaada wa matibabu na kulipia gharama za elimu kwa ajili ya watoto. Mwaka wa 2001 aliifanyia mageuzi sheria ya umiliki wa ardhi ili kuhakikisha a r d h i a m b a y o i l i k u wa haitumiki, inatumiwa. Hadi sasa hekta takriban milioni tano zinamilikiwa na serikali na zimetengwa kwa ajili ya wakulima masikini na wafugaji wa mifugo. Hugo Chavez wa Venezuela amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa saratani kwa miaka miwili ugonjwa ambao aliwahi kudai kuwa Marekani ndio wamempa. Juhudi za kuyaokoa maisha yake hazikufaulu, licha ya k u f a n y i wa u p a s u a j i mara kadhaa nchini Cuba. Mkomunisti wa karne ya 21 akaaga dunia. Chavez kaenda lakini alichokisema kitaendelea kubaki na si kubaki tu pia kitaendelea kufanya kazi, kama kinavyofanya kazi sasa katika mataifa mbali mbali duniani. Ushetani wa Bush haukuishia kuwa ni wa kwake yeye ila pia uongozi mzima wa Maekani umekuwa ni wa kishetani kuanzia yeye Bush hadi hawa wenziwe wa sasa. Mashekhe wa Mombasa na Wasomali wamekumbwa na shetani huyu anayekula kila anachokiona ni kikwazo kwake. Shetani aliona serikali ya Kiislamu Somalia ni kikwazo kwa yake Somalia na eneo lote la Pembe ya Afrika. Akaingilia kati jambo lililoibua kinachodaiwa k u wa n i u g a i d i wa A l Shabab, jambo ambalo sasa ndio linasababisha kuuliwa Masheikh na Wasomalia nchini Kenya. (Email rashidalmendhy@ yahoo.com 0773 526 254)

12
PASAKA SI YAKO

Shairi/Barua/Makala

Abtadi kwa yakini, kumhimidi Qudusu, Yu Muumba wa insani, na vyote vinomuhusu, Wahidu ulimwenguni, uwenza kwake nukusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Aswilani abadani, yu hana mwenza Qudusu, Kadhalika na banini, vyote kwake ni nukusu, Wenye wenza na banini, ni ajinani na nasu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Mushiriki wamebuni, wampachike nukusu, Eti mwana wa Manani, bin Mariamu Yesu, Aso mwana kulikoni, kumpachika nukusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Na Pasaka wamebuni, kuwa fufuko la Yesu, Niwombe kwa tamakuni, Injili waidurusu, Ukweli watabaini, tamamu tena si nusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Ishna sita funguni, kumi nane ni kisu, Kitowachoma mioyoni, hadi chini wajulusu, Nachombeza wasidhani, Mathayo wakadurusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Yu awagiza mjini, wanafunzi wake Yesu, Wende huko kubaini, Pasakayo kwa unasu, Hiyo ni Pasaka gani waagizwayo na Yesu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Ufufuko kulikoni, u wapi hapo wa Yesu, Yualofufuka nani, yu kingali hai Yesu, Wagala tuelezeni, Kwa hoja za kinususu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Chondechonde dada Shani, nawe akhui Yunusu, Jitanibuni jamani, na jambo lisowahusu, Kushiriki Pasakani, ni kufuru kwa Qudusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. ABUU NYAMKOMOGI -SAFARINI KAGERA.

Muhammad(S.A.W.)alitumwaajekuwa Rehma kipindi cha giza cha Ujahiliya


Inatoka Uk. 7 Basi yatima usimwonee! Na anaye omba au kuuliza usimkaripie! (Surat AdhDhuhaa, 93:5-9) Huyo Lulu Yatima Isiyo Mfano akaja kumpoteza mamake pia, katika umri mchanga. Bibi Amina alipokufa kule Abwa akiwa na umri wa miaka 25 au 26, wakati akirejea kutoka Madina kuzuru kaburi la mumewe, mwanawe Muhammad (s.a.w.) alikuwa na umri miaka 6 tu. Kwa hivyo, alionja mapema uchungu wa kuwa yatima, wa kutokuwa na mama wala baba. Naam, alionja na kujifunza kila machungu, kwani ili kuja kuwafundisha watu kila kitu, na kuwa mfano wa kila aina. B a b u ya k e , A b d A l Muttalib, mkongwe wa Makka aliyeheshimika sana, akaanza kumlinda. Kwa sababu hii, Allah (s.w.t.) Alimkinga Abd Muttalib dhidi ya bahati mbaya. Alimkumbatia mjukuu wake mpendwa, na mara nyingi alikuwa akimpa kiti cha heshima nyumbani mwake. Alihisi kuwa Muhammad (s.a.w.) atakuja kuokoa wanadamu. Muhammad (s.a.w.) alikuwa muadilifu na mwenye tabia nzuri sana, Hata babu yake alitazamia kuwa ataupata Unabii. Naye hakuwa wa kwanza katika wahenga wake (mababu zake wa zamani) kuwa hivyo. Ka`ab Ibn Luayy, ambaye wengine wanamhesabu kuwa alikuwa ni Nabii, alitabiri kuwa Mjumbe wa Mwisho wa Allah (s.w.t.) atatokana na kizazi chake. Alimtaja kwa jina hasa: Ghafla Nabii Muhammad atakuja kujitokeza Atatoa habari, naye ni mkweli katika habari zake. B a b u ya k e , A b d a l M u t t a l i b , a m b a ye h a t a Abraha (Mhabeshi kutoka Ye m e n i a l i y e a z i m i a kuivunja Al-Kaaba kwa kutumia jeshi lake la tembo) hakuweza kumliza, alilia sana alipokuwa kitandani kwake akikaribia kufa. Mwanae, Abu Talib ibn Abd al-Muttalib, alipomwuuliza kwa nini analia sana, vile, Abd al-Muttalib akajibu kuwa: Ninalia kwa kuwa siwezi tena kumkumbatia mjukuu wangu Muhammad (s.a.w.). Nina hofu ya usalama wa Lulu yangu Isiyo Mfano. Ninamkabidhi kwako. Abu Talib aliupokea ulinzi wa Muhammad (s.a.w.), na mwanae, Ali ibn Abu Talib (r.a.) akaja kubarikiwa kuwa ni baba wa kizazi cha Nabii Muhammad (s.a.w.). Alivyokuja kuupata Unabii, Mtume Muhammad (s.a.w.) alimwambia binamu yake, Ali (r.a.) hivi: Kizazi cha kila Nabii hutokana na Nabii Yule yule mwenyewe, lakini kizazi changu kitatokana na wewe.) Ali ibn Abu Talib (r.a.) akaja kweli kuwa baba na mtakatifu hadi Siku ya Mwisho, kama mwakilishi wa utakatifu wa Nabii Muhammad (s.a.w.). Hii ndiyo hidaya ya Abu Talib kwa kumsaidia Muhammad (s.a.w.). Abu Talib alimlinda Muhammad (s.a.w.)

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

UJIRANI WA KUFRU !!!


Ni ala ala jirani, msemo wetu wa ada, Dhamira kuithamini, ya ujirani ibada, Si kwa mseto wa dini, na mambo ya kiaqida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. Kuthamini ujirani, japo kwetu ni ibada, Katu si kwa kufrani, na kukiuka aqida, Bali kwa kuuthamini, kwa kupwekesha aqida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. Kushiriki Pasakani, ni kukiuka aqida, Kama hoja ujirani, kwalo bora ukadoda, kuliko kuirehani ya tauhidi aqida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. Ange tutahadharini, kushiriki ushuhuda, Wa fufuko la kubuni, mithili ya maburuda, Kwalo tujitanibuni, 'tusinajisi' aqida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. Twageza sira ya nani, kwa ya ujahili ada, Ya kuhuluti imani, utatu na tauhida, Jumapili Pasakani, ebu tukae baida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. Ya ala ala jirani, yaendane na aqida, Yasiwe ya ujirani, dhidi ya yetu aqida, Tungamo la Pasakani, ni hilaki kwa aqida, Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani. ABUU NYAMKOMOGI -SAFARINI KAGERA.

uangalifu mkubwa sana. Ibn Is-haq, miongoni mwa wanahistoria wengine na waandishi wengine wa wasifu alisimulia kuwa, aliongozana na mpwa wake hadi Syria katika ms a far a wa b i a s ha r a alipokuwa umri wa miaka 10 au 12. Walipumzika mahali karibu na Damascus, wakamwacha yeye aangalie ule msafara wao. Kutoka katika jumba la utawala lililokuwa jirani na pale mahali, mtawa mmoja wa Kikristo aitwae Bahira a l i k u wa a k i u t a z a m a ule msafara ulipokuwa unakuja taratibu. Alikuwa akiungojea ujio wa Nabii wa Mwisho; na mara nyingine alikuwa akiwachunguza wageni anaowaona. Ulivyokuwa ukija msafara wa Abu Talib, Bahira aliona kuwa wingu lilikuwa likiufuata msafara wao likitulia na kuendelea mbele kila msafara ule ulipokuwa ukisimama na kuanza kutembea tena, na saa z o t e w i n g u l i l i k u wa likimpa kivuli mtu mmoja katika msafara ule. Fikra zifuatazo zilimjia Bahira akilini mwake: Hii ni dalili maalumu

ya Manabii. Nabii anayetazamiwa lazima awe miongoni mwa msafara ule. M s a f a r a u l e uliposimama karibu sana na jumba lake la utawala, Bahira aliwaalika wasafiri wote kwenda kula. Alipoona kuwa lile wingu lilikuwa bado limebaki linaelea kule nje, akamwuuliza Abu Talib iwapo mtu mmoja wao ameachwa yuko kule nje. Abu Talib akajibu kuwa wamemwacha mvulana kule nje ili awaangalizie vitu vyao. Bahira akawataka wakamlete huyo mtu. Alipoletwa huyo mvulana (Muhammad, s.a.w.), Bahira alimvuta Abu Talib pembeni akamwuuliza kama ana nasaba yoyote na mvulana yule. Abu Talib akamwambia kwamba: Huyu ni mwanangu. Lakini Bahira akakanusha hilo, na kusema kuwa: Hawezi kuwa mwanao. Kwa mujibu wa vitabu vyetu, baba wa mvulana huyu lazima atakuwa alikufa kabla mvulana huyu hajazaliwa. Bahira akasema hivi: Nakupa ushauri kuwa umrejeshe mvulana huyu haraka sana. Mayahudi wana wivu. Wakimtambua watamdhuru. Hapo ndipo Abu Talib akatoa udhuru kwa wanamsarafa wenziwe alirejea Makka na mpwa wake. Mtume Muhammad (s.a.w.) alifanya safari ya pili kwenda Syria alipokuwa na miaka 25 akiwa na msafara wa biashara wa Khadija (r.a) mjane anayeheshimika, ambaye baadaye alikuja kumwoa. Katika safari hiyo alikutana na Bahira mara ya pili. Mtawa huyo alifurahishwa sana na kuonana huko kwa pili, ye ye n a M u h a m m a d (s.a.w.) na akamwambia kuwa: Wewe utakuja kuwa Nabii, tena Nabii wa Mwisho. Natamani Mwenyezi Mungu (s.w.t.) ataniwezesha niishi hadi nikuone wewe umepewa
Unabii nami nitakufuata wewe, nitachukua viatu vyako, na nikulinde dhidi ya maadui zako!

13

Tangazo
INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBAR

STUDENTS ADMISSION 2014/2015


The University College of Education invites qualified applicants to apply for first degree courses in the following specializations: Bachelor of Science with Education 1. Physics & Mathematics 2. Chemistry & Biology 3. Physics & Chemistry 4. Computer Science & Mathematic 5.Chemistry & Mathematics 6. Biology & Geography 7. ICT Bachelor of Arts with Education 1. English & Kiswahili 2. English & Geography 3. English & History 4. English & Islamic Studies 5. Arabic & Kiswahili 6. Arabic & English 7.Arabic & Geography 8.Arabic & History 9. Arabic & Islamic Studies 10. Kiswahili & Geography 11. Kiswahili & History 12. Kiswahili & Islamic Studies 13. Islamic Studies & Geography 14. Islamic Studies & History 15. History & Geography 16. Counseling and Psychology. ADMISSION REQUIREMENTS: Applicants should:1. have at least, a minimum of two principal passes at Tanzania Advanced Certificate of Secondary Education (ACSE) in the appropriate subjects or equivalent qualifications; 2. be a full time student. FEES Physics & Mathematics Chemistry & Biology 1,800,000/= (1200 US $) per annum Physics & Chemistry Chemistry & Mathematics Biology & Geography Computer Science & Mathematics ICT English & Geography 1,500,000/= (1000 US $) Kiswahili & Geography Arabic & Geography Arabic & History Tuition Kiswahili & History Islamic Studies & History English & History Islamic Studies & Geography History & Geography Counseling and Psychology. Arabic & Kiswahili Arabic & English Arabic & Islamic Studies 1,300,000/= (870 US $) per annum English & Islamic Studies English & Kiswahili Kiswahili & Islamic Studies Accommodation 180,000/= (120 US $) per annum Graduation Students Union Computer services Registration Medical Care Application Form Meals Stationeries 30,000/= (20 US $) 10,000/= ( 7 US $) 40,000/= (27 US $) per annum 40,000/= (27 US $) 30,000/= (20 US $) 25,000/= (17 US $) 1800,000/= (1200US $) Optional 200,000/= (134 US $) Optional

The College reserves the rights to change these fees at any time. Application forms are obtained from University College of Education- Website: www.ucez.ac.tz Academic Office, University College of Education Zanzibar at Chukwani P.O. Box 1933 Zanzibar Mobile: 0773774838 OR 0772912181 Email: amacez@zitec.org Application forms are also available from the following offices; Africa Muslims Agency, MabaoniChake Chake Pemba: Tel: 024-2452337 P[Africa Muslims Agency, Tabata - Dar es Salaam: Tel: 022-2807843 Application fee should be paid through the following account numbers:(i) The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450- Mwanakwerekwe, Zanzibar (ii) Barclays Bank Account No. 003 4000387 Zanzibar Branch. All completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Office, University College of Education Zanzibar. N.B: All Applicants intending to pursue Bachelor of Arts with Education in Arabic or Islamic Studies with another combination and those did not obtain at least grade D in English At o level certificate will be required to attend language profiency test on Saturday 31st May 2014 at 9.00 am at the University Campus, Africa Muslims Agency Mabaoni Chake Chake Pemba, and Africa Muslims Agency Tabata- Dar es Salaam. The deadline for receiving applications is Friday 23rd May 2014. For applicants who are waiting for Form Six results they should return the forms two weeks after the results. For further information please contact: Mobile: 0776463405 E.mail:Amacez@zitec.org Or Visit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, two kilometers from the new House of Representatives Building.

14

TANGAZO

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:
SAME KILIMANJARO MWANZA DAR ES SALAAM

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2014/2015


1. 2. 3. 4. KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana . Zipo CombinationszaSAYANSI,ARTSnaBIASHARA. Piawanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na Compyuta.. SIFA:Muombaji awe na ufaulu wa masomo matatu(3) kwa kiwango cha Credit (yaani A,B+,B au C) katika masomo saba(7) kwenye matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne.; na Jumla ya alama za ufaulu zisizidi 31; na jumla ya alama kwenye masomo ya tahasusi(combination) ziwe 3 hadi 15 (yaani AAA-DDD) AU Ufaulu wa masomo matatu(3) ya tahasusi kwa kiwango cha Credit bila kujali jumla ya alama katika masomo saba(7) . kwenye matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne.. 5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha Kilimanjaro Tanga


- Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610. - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770. Musoma Kagera - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667

Shinyanga - Masele com: Ofisi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474. Morogoro Dodoma Singida Manyara

Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039 Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902.

Kigoma Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860. Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.

Lindi

- Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663. - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007. - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209 Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

Mtwara Songea Mbeya Rukwa Tabora Iringa Pemba Unguja Mafia Ikwiriri

Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Madrastun Najah: 0714 522 122 Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

- Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

Madrasatul Fallah: 0777125074- - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627 - Masjid Aqswa : 0782 838749/0656 531133 USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI

6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

WABILLAH TAWFIIQ

15

Kuondoa ugumu kwa watu


Mungu kwenu wepesi na wala hataki kwenu uzito ugumu (Surat AL BAQARAT aya ya 185). Na amesema tena hataki Mwenyezi Mungu kufanya kwenu ugumu Surat Alamaidati aya ya 6. Kisha akasema, Na hakufanya kwenu katika dini miongoni mwa ugumu (Surat Al-Haji aya ya 78). Na yule ambaye anazingatia juu ya sheria ya Kiislamu, ataikuta ni nyepesi kwa watu na imeondolewa taabu na ugumu kwa mfano, Katika suala la usafi, Uislamu umeamrisha tujisafishe kwa maji katika udhu na kuoga, lakini ikiwa umekosa maji au yakawa ni machache kwa ajili ya kunywa wewe au mnyama wako au kama unayahitaji kwa ajili ya gari yako au u n a s h i n d wa k u t u m i a maji kwa ugonjwa au kwa dharura yoyote hapo Uislamu umeruhusu watu kujisafisha kwa kutumia mchanga. Amesema Mwenyezi Mungu Mtakapokuwa wagonjwa au mpo safarini au amekuja mmoja wenu toka chooni au mmekutana na wanawake hamkupata maji, basi jisafisheni kwa amchanga ulio safi, panguseni nyuso zenu na mikono yenu, hataki Mwenyezi Mungu kukufanyieni ugumu lakini anakutakeni mjisafishe na atimize Neema yake kwenu ili mpate kushukuru, (Surat al Maida aya ya 6). Kwa upande wa swala, Mwenyezi Mungu amelazimisha kuswali kwa kusimama katika swala ya faradhi. Amesema Mwenyezi Mungu, Na simameni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu (Surat alBaqarat aya ya 238). Na kwa yule asiyeweza kuswali wima kwa ugonjwa, ataswali akiwa amekaa na kama hakuweza, basi ataswali akiwa amelala ubavu na kama hakuweza, basi ataswali kichalichali kama ilivyokuja katika hadithi ya Mtume (SAW). Na kwa upenda wa funga, amelazimisha Mwenyezi Mungu kufunga mwezi wa Ramadhani kwa waja wake, akasema Mwenyezi Mungu Enyi ambao mlioamini imelazimishawa kwenu kufunga kama tulivyo walazimisha waliopita kabla yetu ili mpate ucha Mungu, (Surat Al Baqarat aya ya 183). Na atakayekuwa mgonjwa au yupo safarini atafungua na atalipa baada ya hapo na amesema tena, Na atakapokuwa miongoni mwenu ni mgonjwa au yupo safarini, basi atakula mchana kisha aje alipe pale dharura yake itakapoondoka au kwisha. Anakutakieni Mwenyezi Mungu kwenu wepesi na wala hakutakeni uzito, (yaani ugumu), Sura alBaqarat aya ya 185. Na kwa kikongwe mtu mzima atakula mchana na kulipa fidia ya kulisha maskini kila siku maskini mmoja. Kwa upande wa zaka, hakulazimisha

Makala/Tangazo

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

AN-NUUR

Na Dr. Emad Rabie Ahmad Mohamed SHUKURANI zote a n a s t a h i k i M we n ye z i Mungu, Mola wa ulimwengu na rehema na amani zimfikie yule aliyeletwa kuwa ni mpole kwa dunia, Nabii wetu Muhamad na jamaa zake na Sahaba zake wote. Ama baada ya utangulizi huo mfupi, tuangalie mada yetu ya leo juu ya kuondoa ugumu kwa watu kama ilivyobainishwa kwenye somo la makala. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ameondoa ugumu kwa watu wake na amewawepesishia na hakufanya kwenye dini hii taabu kwa viumbe vyake, ili waendelee katika ibada zao kwa mwenyezi Mungu mtukufu. Amesema Mwenyezi Mungu, A n a t a k a M w e n y e z i

Mwenyezi Mungu zaka kwa mtu asiye na uwezo bali ameilazimisha kwa matajiri tu. Na kwa upande wa Hija Mwenyezi Mungu amelazimisha Hija kwa mwenye uwezo tu. Amesema Mwenyezi Mungu, Na ameamrisha Mwenyezi Mungu kwenda Hija kwa mwenye uwezo, tena kwa njia zake Surat al- Imrani aya ya 97. Na kwa yule asiye na uwezo, huyo hana Hija na takayekuwa mgonjwa, basi anaweza kumwakilisha mtu akamuhijie kwa sharti kuwa ameshakwenda Hija yake. Imekuja toka kwa Mtume (SAW) kwamba alikuja mtu kwa Nabii Muhamad (SAW) akasema, ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Faradhi ya Hija imekuja na baba yangu ni mkongwe hawezi kwenda Hija je, niende nikamuhijie? Akasema Mtume, Muhijie baba yako na ufanye umra.

P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU WA KIARABU JULAI,2014


Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Diploma ya Ualimu wa Lugha ya Kiarabu katika chuo cha Ualimu Kirinjikokilichopo Same mkoani Kilimanjaro Lengo la kozi hii ni kuwandaa walimu mahiri wa kufundisha somo la lugha ya Kiarabu katika shule za sekondari na shule za msingi. Muda wa kozi hii ya aina yake ni miaka miwili na itaanza Julai ,2014. Muombaji anatakiwa awe na sifa zifuatazo: (a) Awe amehitimu katika chuo cha mafunzo ya Dini na Kiarabukwa angalau kiwango cha IIdad au zaidi (b) Awe amemaliza kidato cha nne na kupata crediti katika somo la Lugha ya Kiarabu au (c) Awe anayeweza kusoma ,kuandika ,kusikiliza na kuzungumza lugha ya Kiarabu kwa ufasaha hata kama hana sifa (a) na (b). Waombaji wote watafanyiwa usaili tarehe 10-11,Mei 2014 katika chuo cha Ualimu Ubungo Islamic-Dar Es Salaam . Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi ELFU TANO katika vituo vilivyoorodheshwa katika Tangazo la kujiunga na Kidato cha Tano lililopo katika ukurasa wa 14 wa gazeti hili. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA! Wabillah Tawfiiq MKURUGENZI

16

AN-NUUR
MAKALA

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

16

JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 18-24, 2014

Soma AN-NUUR kila Ijumaa

AN-NUUR

Maalim Seif ataka Radio Noor isaidiwe


Achangia milioni tano
Na Mwandishi Maalum
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuungua kwa studio za Radio Al-Noor Fm, ni pigo kwa Waislamu wa Zanzibar na Taifa kwa ujumla. Alisema kituo hicho ni muhimu katika kutoa taaluma mbalimbali zikiwemo zile zinazohusiana na maadili ya Kiislamu, jambo ambalo pia linaisaidia serikali katika kurejesha maadili mema kwa jamii. Mhe. Maalim Seif ametoa kauli hiyo wakati alipotembelea studio hizo zilizopo katika jengo la msikiti wa Masjid Sahaba, Mtoni Kidatu Zanzibar. Amesema Radio hiyo imekuwa ikitoa fursa kwa Masheikh na wanataaluma kusambaza taaluma hizo kwa jamii na kwamba, wananchi wamekuwa wakijifunza na kunufaika kutokana na matangazo yake. Kufuatia kuungua studio hizo na hatimaye kukosekana kwa matangazo yake, Makamu huyo wa Rais ametoa pole kwa uongozi wa Radio hiyo na wasikilizaji wake wote. Kufuatia hali hiyo, Maalim Seif ametoa wito kwa Waislamu wenye uwezo kuichangia radio hiyo ili iweze kurejesha matangazo yake kwa haraka, ambapo ye ye b i n a f s i a m e a h i d i kuchangia shilingi milioni tano kwa ajili ya kusaidia kurejeshwa kwa huduma hiyo ya matangazo. Akizungumzia kuhusu tukio la kutokuungua Misahafu mitatu iliyokuwa ndani ya studio namba tatu, ambayo takriban vifaa vyote vilivyokuwemo viliungua na kuharibika vibaya, Maalim Seif alisema kitendo hicho ni cha miujiza na kwamba, ni katika uwezo wa Mwenyezi Mungu kuendelea kukilinda kitabu chake cha Quran. Naye Mkurugenzi wa Radio hiyo Sheikh Mohamed Suleiman, amesema tukio hilo ni mfululizo wa matukio kadhaa ya aina hiyo yaliyowahi kukikumba kituo hicho tangu kilipoanzishwa miaka mitano iliyopita. Inasikitisha kwamba matukio ya aina hii yamekuwa yakijirejea katika kituo chetu, kwani siku za nyuma iliwahi kuungua studio nambari moja, baadae ikaungua studio nambari mbili na sasa imeungua studio nambari tatu na nyengine zote, ingawa shoti safari hii imekuwa kubwa zaidi kuliko zote zilizowahi kutokea katika kituo chetu, alifahamisha Mkurugenzi huyo. Alisema tukio hilo lililotokea usiku wa Aprili 9 mwaka huu, limesababisha kuungua kwa studio nne za kurushia matangazo pamoja na vifaa vyake vinavyokisiwa kugharimu shilingi milioni themanini (80), ambapo studio namba tatu pekee inafikia gharama ya shilingi milioni 52. Chanzo cha kuungua kwa studio hizo kinasadikiwa kuwa ni hitilafu za umeme, ambapo Mkurugenzi huyo alisema mlipuko ulitokea mara baada ya kuwashwa kwa umeme ambao ulikuwa umezimwa. Kituo cha Radio AlNoor ni miongoni mwa taasisi kadhaa za Kiislamu zinazoendeshwa na jumuiya ya Al-Noor Charitable Agency, chini ya Mkurugenzi Mkuu Sheikh Nadir Mahfoudh. Akizungumzia tukio hilo Sheikh Mahfoudh amesema ni tukio la kusikitisha, lakini wana matarajio ya kurejea kwa huduma za matangazo katika siku chache zijazo. Hata hivyo aliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwapunguzia gharama za umeme, ikizingatiwa kuwa Radio hiyo haijiendeshi kibiashara. Wakati huo huo Maalim Seif amemtembelea mtangazaji wa Radio hiyo aliyelazwa katika hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Ust. Aboubakar Fakih, ambaye alijeruhiwa baada ya kujitupa kutoka kwenye ghorofa baada ya kutokea mlipuko mkubwa kwenye jengo hilo. Aidha aliwatembelea na kuwajuilia hali wagonjwa wengine waliolazwa katika wodi hiyo nambari nne

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Mkurugenzi wa Radio Al-Noor Sheikh Mohd Suleiman baada ya kutembelea studio za kituo hicho zilizoungua. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Al-Noor Charitable Agency Sheikh Nadir Mahfoudh, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Mhe. Abdallah Mwinyi. (Picha na Salmin Said, OMKR) gharofa ya pili ya wagonjwa ambaye amepata majeraha Fakih atalazimika kubakia hospitalini hapo kwa kipindi w a l i o p a t w a n a a j a l i katika miguu yake yote kisichopungua miezi miwili, mbalimbali. miwili pamoja na mkono wa lakini akielezea kuwepo Kwa mujibu wa daktari wa kulia, hali yake inaendelea matumaini makubwa ya zamu wa hospitali hiyo Dk. vizuri. kupona na kuendelea na shughuli zake. Said Omar, mgonjwa huyo Hata hivyo amesema Ust.

Wachina kujenga bandari ya kisasa Zanzibar


Na Mwandishi Maalum
KAMPUNI ya Ujenzi wa Bandari kutoka Jamhuri ya Watu wa China (CHEC) imeonyesha nia ya kutaka kujenga Bandari kubwa Zanzibar, kwa lengo la kuiingiza Zanzibar katika ramani ya dunia kwa kutoa huduma za Kimataifa za usafiri wa Baharini. Kauli hiyo imetolewa na mwakilishi wa Kampuni hiyo yenye Ofisi yake nchini B w . X u X i n p e i , wa k a t i akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Bw. Xu Xinpei amesema Zanzibar imebarikiwa kuwa na eneo zuri la uwekezaji katika masuala ya usafiri wa Bandari pamoja na Utalii, jambo ambalo kampuni yake imevutiwa kutaka kuwekeza katika sekta hizo. Alisema mradi huo ambao kitaalamu umekisiwa kugharimu zaidi ya dola za Kimarekani milion 40, unaweza kutoa fursa kwa meli kubwa za makontena kutia nanga katika bandari hiyo pamoja na kuvutia watalii kutoka bara la Asia kuitumia bandari hiyo. Aliongeza kuwa mbali na kuimarisha uhusiano wa muda mrefu uliopo kati ya Jamhuri ya Watu wa China na Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, hatua hiyo pia itaongeza kasi ya kibiashara katika mwambao wa Afrika Mashariki. Tumekuwa tukishuhudia ongezeko kubwa la uwekezaji ndani ya Visiwa v ya Z a n z i b a r , a m b a l o linaonekana kutawaliza zaidi na wawekezaji wa bara la Ulaya wakati uwezo kama huo unawezekana pia kufanywa na wawekezaji wa bara la Asia hasa China. Alibainisha Bw. Xu Xinpei. Akizungumzia suala la uwekezaji katika sekta ya

Waomba na kiwanja wajenge hoteli


utalii, Bw. Xu Xinpei aliiomba serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuipatia Kampuni yake eneo maalum kwa ajili ya ujenzi wa hoteli kubwa ya kitalii visiwani humo. Alisema ujenzi wa hoteli hiyo unaweza kuamsha ari kwa wageni na watalii kutoka kisiwa cha Hainan nchini China kutembelea Zanzibar, kitendo ambacho kitaongeza kasi ya ushirikiano wa pande hizo mbili. Akitoa shukrani zake, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, aliutaka uongozi wa kampuni hiyo kufanya mawasiliano na Mamlaka ya Uwekezaji Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA) na ile ya Ardhi ili kuona malengo waliyoyapanga yanafanikiwa na kuleta ustawi wa pande zote mbili. (Habari kwa hisani ya Othman Khamis Ame Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar 5/4/2014.)

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

También podría gustarte

  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Documento20 páginas
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Documento20 páginas
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Documento20 páginas
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Documento20 páginas
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Documento20 páginas
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Documento20 páginas
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Documento20 páginas
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Documento20 páginas
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Documento20 páginas
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Documento20 páginas
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Documento20 páginas
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Documento20 páginas
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Documento20 páginas
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Documento20 páginas
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Documento20 páginas
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Documento20 páginas
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Documento20 páginas
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Documento20 páginas
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Documento20 páginas
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    Aún no hay calificaciones