Documentos de Académico
Documentos de Profesional
Documentos de Cultura
tz
Facebook:annuurpapers@yahoo.com
Sauti ya Waislamu
ISSN 0856 - 3861 Na. 1121 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 18-24, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Na Mwandishi Wetu
KAULI ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Mheshimiwa William Lukuvi, kama ilivyonukuliwa Bungeni
wa Zanzibar, na hasa taasisi ya Uamsho kwamba inahusika na mauwaji ya Maaskofu pamoja na kuchoma makanisa. Katika maelezo yake kama alivyonukuliwa bungeni, Mrema alionesha Inaendelea Uk. 2
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri
AN-NUUR
Zanzibar, wamechukua fursa ya mjadala wa katiba kuzusha hisia za kaleta siasa za chuki na za kibaguzi kwa misingi ya Upemba na Uunguja, na hapo ndipo tunaposhuhudia vijembe na mipasho vikishika kasi zaidi ndani ya mjadala wenyewe. Lakini pia kwa upande wa bara, kwa kuwa wajumbe wengi wa bunge hili kutoka bara, ni viongozi na wengine wakiwa watendaji wa ngazi za juu wa serikali iliyopo ya Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, wanaonekana kujadili hoja ya katiba mpya wakibebwa na hisia kali za kulinda nyadhifa na nafasi zao katika mfumo uliopo, hali ya kuwa mjadala ni
AN-NUUR
KWA jinsi mjadala wa Bunge Maalum la Katiba u navyoendelea mjini Dodoma, tuna mashaka kama ilikuwepo nia ya dhati ya kuandikwa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hali kadhalika, kwa namna ambavyo sehemu kubwa ya wajumbe wa n a v y o wa s i l i s h a a u kutetea hoja zao ndani ya Bunge hilo, tunapata wasiwasi mkubwa kama wajumbe hao wamekwenda Dodoma kwa lengo mahsusi la kusaka mstakabali sahihi wa mhimuli au dira ya Taifa letu kwa maslahi ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo kwa miaka hamsini au mia ijayo. Tu n a v y o o n a , k w a namna ambavyo idadi kubwa ya wajumbe wa n a v y o wa s i l i s h a a u kuchangia mswada huu wa
Katiba mpya, inathihirisha ni kwa jinsi gani wale m a g w i j i wa k u t u n g a na kuimba nyimbo za mipasho, (si taarabu), wamefanikiwa kuathiri fikra za wajumbe kiasi cha kujisahau na kuingiza hulka hizi za mipasho, vijembe na dhihaka katika mjadala nyeti na muhimu kwa Watanzania kwa sasa. Imefika mahali mjumbe wa bunge la katiba, ambaye kabeba uwakilishi wa maelfu ya watu, anasimama na kupoteza muda wa bunge kwa kuibua mjadala wake binafsi wa mahusiano ya n d o a , k u o l e wa a u kuzaa dhidi ya mjumbe mwingine. Wengine wanasimama na kupoteza muda wa mjadala kwa kuhubiri ilani za vyama vyao, itikadi za vyama vyao na hata sera za vyama vyao. Wengine, hasa kwa wajumbe kutoka
Inatoka Uk. 1 hofu kuwa yanayotokea Z a n z i b a r ya k u u l i wa maaskofu na kuchoma makanisa Zanzibar yataletwa huku Bara huku akiwanasibisha Masheikh wa Uamsho na uovu huo. Hadi sasa hakuna kesi iliyofikishwa mahakamani na kufikia hatma ikionyesha kuwa waliohusika na kuuliwa a s k o f u a u k u c h o m wa makanisa, ni Uamsho. Hata hivyo, Mheshimiwa Lukuvi alisifu kauli hiyo ya Mrema na kumalizia kwa kumwahidi kuwa atasukuma masilahi yake apate kuyapata. Hata hivyo hakufafanua ni masilahi gani. Awali imeelezwa kuwa Waziri Lukuvi ameanza kupiga kampeni kanisani akiwataka wananchi wasikubali mfumo wa muungano wa serikali tatu, ila mbili tu. Tukiacha hoja nyingi nyingine alizonukuliwa kutoa kupiga kampeni hiyo, lakini inayotatiza zaidi ni pale aliponukuliwa akidai kuwa Wazanzibari wanaotaka kuwa na nchi yao hawawezi kujitegemea, bali wanataka Serikali ili wapate nafasi ya kujitangaza kuwa ni nchi ya Kiislamu. Na kwamba kufanya hivyo ni kutaka kuleta fujo na kusababisha machafuko j a m b o l i t a l a o wa f a n ya Wakristo wasiendelee kuabudu kwa amani. Ni katika kutoa ufafanuzi bungeni, akanukuu na kuungana na Mrema kujenga hoja kuwa
kampeni kubwa ya kuwadhalilisha na kuwatesa Masheikh huku akidai kuwa atawatwanga mangumi wakati alipowarushia tuhuma nzito, akajipa uhakimu, mtoa ushahidi na askari mnyongaji. Ni katika kipindi hicho ambapo Waislamu walishuhudia Waislamu wakikamatwa na kupachikwa tuhuma za kutaka kulipua makanisa, harakati zilizoishia kwa kuvunjiliwa kwa mbali Baraza la Kuendeleza Usomaji wa Quran nchini (BALUKTA). Kwa hiyo aliyosema Mrema, ni kama kutonesha kidonda ambacho kimebakia kovu, na kitendo cha Waziri Lukuvi kumuunga mkono huku akileta madai kuwa Zanzibar inataka Serikali ya Kiislamu na akitumia hoja hiyo kuwatahadharisha Wa k r i s t o w e n z a k e (Kanisani), ni sawa na ile tahadhari iliyotolewa na Padri Charles Smith wa Marekani. Stith aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini miaka ya n y u m a , a l i s i m a m a Kanisani, Chuo Kikuu Dar es Salaam (Mlimani) na kuwataka Wakristo kuchukua tahadhari juu ya Waislamu, kwa maana n y i n g i n e a k i wa a m b i a kuwa wanaishi na maadui. Na tunajua, nini nafasi ya Marekani katika kuwapiga v i t a n a k u wa h u j u m u Waislamu duniani katika ile Crusade iliyotangazwa na George W Bush. Inaendelea Uk. 5
Habari
AN-NUUR
watu wajikite katika kupata m a r i d h i a n o , k wa n i l a u kutakuwa na kulazimishana, hata kama itakuwa ni kwa kutumia nguvu kwa kiasi gani, haitaweza kuzuiya muungano usivunjike. Kwa upande wake Mheshimiwa Ismail Jussa alisema kuwa kama kuna h o j a ya m s i n g i a m b a y o wanatakiwa kuleta watu wanaopigania mfumo wa serikali mbili, ni kueleza ni namna gani Tanganyika itavua koti la Tanzania. Akitoa mifano kadhaa akaonyesha jinsi mfumo wa serikali mbili ulivyokuwa wa kinyonyaji dhidi ya Zanzibar. Kwamba katika yale mapato yanayotajwa kuwa ni ya serikali ya mungano, ni asilimia ndogo tu inayotumika katika mambo ya muungano wakati sehemu kubwa hutumika katika mambo yasiyo ya muungano kwa upande wa Bara (Tanganyika). Kwa wanaoleta hoja ya udogo na kukosa rasilimali, akawataka watizame Singapore ilipokuwa na ilipo hivi sasa baada ya kujitenga kutoka Malaysia. Wakati huo huo, imetolewa kauli ya kumrudi Augustino Lyatonga Mrema ambaye anadaiwa kutoka kauli ya kuwakashifu Masheikh wa Uamsho. Aliposimama kabla ya kutoa mchango wake, M h e s h i m i wa B i F a t h i a alimtaka Mrema kuomba radhi kutokana na kauli ya kuwakashifu Masheikh hao akimtaka azingatie kuwa Uamsho ni taasisi ya kidini na sio ya kisiasa.
Habari
AN-NUUR
HUWEZI kuitoharisha najisi yenyewe, kinachotoharishwa ni kitu kilichonajisika. Hiyo ndiyo hoja ya msingi kwa wanaotaka muungano wa serikali tatu. K w a u p a n d e m w i n g i n e i n a s e m wa kuwa, wanaongangania uwepo wa serikali mbili wamekuwa wakija na porojo za ndekwa na propaganda za kurejea Sultan. Baadhi ya wananchi wanaofuatilia mjadala unaoendelea bungeni wanasema kuwa ni jambo la kusikitisha kuona kuwa baadhi ya wajumbe, hasa kutoka Zanzibar kuja na madai ya kurejea usultani. Madai haya ya kurejea sultan ni jambo linalochefua kwani linaonesha kufilisika kimawazo na hoja na p e n g i n e k u wa d h a n i a wasilikizaji kuwa hawana akili. Alisema msemaji mmoja wakati akiongea na mwandishi akionesha kukerwa na alichokiita porojo za baadhi ya watu wa n a o p i n g a h o j a z a msingi kwa propaganda zisizo na mashiko. Amesema msemaji huyo ambaye hakutaka jina lake kutajwa gazetini kwamba, ile kuwa nchi zilizoungana ni mbili, lakini sasa moja haionekani, kwa maana ya Tanganyika, bali Zanzibar pekee, hulifanya jambo lenyewe kuwa ni batili lisilokubalika. Ambapo tafsiri yake n i k u wa Ta n g a n y i k a imekuwa ndio Tanzania wakati Zanzibar imebakia kuwa nchi. Na kwamba batili hiyo haiwezi kuondoka kwa kuleta porojo za kurudi sultan. Kama alivyosema mjumbe mmoja katika kujadili hoja, ni kwamba iwapo ziliungana Serikali mbili na jawabu likawa serikali mbili, maana yake ni kuwa hakuna kuungana hapo. Kama kuungana kupo, basi jawabu lilitakiwa kuwa tatu au moja. Katika hali kama hiyo, maadhali jambo lenyewe limeharibikiwa, huwezi kulitwaharisha
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
IDARA ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha ujasusi ambacho huwapepeleza Waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi. Kitengo hicho kilikuwa kinatumia polisi waliokuwa wanavalia nguo za kiraia kusikiliza kisiri mawasiliano ya simu kati ya Waisilamu na hata kuzuru maeneo yanayotembelewa sana na Waislamu. Inatoka Uk. 2
mashambulizi zaidi. Hatua ya Kenya kuwarejesha Wasomali kwenye nchi yao iliyolemewa na mgogoro b i l a y a k u wa r u h u s u kuomba hifadhi itakuwa ni uvunjaji mkubwa wa wajibu wake wa kimataifa. Alisema Mtafiti Mkuu wa Wakimbizi, Gerry Simpson. Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Right Watch, lilisema kuwa limetembelea kituo cha polisi cha Pangani huko Eastleigh na kugundua mamia ya washukiwa wakiwa wamejazwa kwenye vyumba vilivyopangiwa kwa ajili ya watu 20. Taarifa ya shirika hilo ilieleza kuwa mahabusu wamekuwa hawana s e h e m u ya k u k a a n a vyumba walivyolundikwa
Hata hivyo, wakati M h e s h i m i wa L u k u v i akiwashutumu Uamsho kuwa wanatumiwa na chama cha siasa kupigania masilahi ya kisiasa, yeye pia kama alivyojieleza mwenyewe, ametumia U wa n j a wa K i k r i s t o , Kanisa, Maaskofu na waumini wao, kupigia debe serikali mbili. Pengine hapa panaweza kuulizwa swali, kama msimamo wa Uamsho ni serikali tatu, na msimamo huo huo ndio wa chama fulani cha siasa, na kama msimamo wa serikali mbili ndio msimamo wa CCM, chama cha Mheshimiwa Lukuvi, na Lukuvi anasimama Kanisani, kuwashawishi Wakristo na Maaskofu, kuunga mkono msimamo wa CCM; tatizo hapa ni watu wa dini kutumiwa na wanasiasa
au nani anawatumia? Kama suala ni taasisi za kidini kutumiwa kupigania serikali tatu, mbona Lukuvi na CCM wa n a t u m i a Wa k r i s t o na Makanisa kupigania msimamo wao? Katika hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge, Mheshimiwa wa Rais Kikwete alisema kuwa amechukua ushauri wa mtu wake wa dini anayetaka msimamo wa Serikali mbili. Na mtu wa dini aliyejitokeza wazi kupigania msimamo wa serikali mbili ni Mhashamu Polycarp Kardinali Pengo. Na hata mjumbe mmoja wakati akichangia Bungeni, alisema kuwa anapingana na Kadinali
kuwachunguza. Mageuzi haya ni hatua muhimu sana katika kuondoa hali ya wasiwasi na kutoaminiana kati ya polisi na jamii ili jamii iweze kusaidia polisi kuwashika wahalifu, ilisema taarifa kutoka katika ofisi ya Meya wa New York Bill de Blasio.
Hatua ya kusitisha mpango huo, ilifikiwa na kamishna mpya wa polisi wa kituo hicho, na inaonekana kama njia moja ya kubadili mbinu za kukusanya ujasusi ambazo wengi wanasema zilichangia mashambulizi ya Septemba 9/11 Kitengo hicho,
alimsimamisha Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donald Mtetemela, ndani ya Bunge kutetea Mfumo wa Serikali mbili, je, tuseme na hawa wanaotaka serikali mbili wanataka kusimamisha serikali ya Kikristo? Kule Arusha kulitokea mlipuko Kanisani wakafa watu. Japo zilitangulia porojo na madai kuwa mhusika alivaa kanzu na kib andik o, lakini mtuhumiwa namba moja aliyekamatwa na Polisi alikuwa na jina linaloashiria vinginevyo. Mpaka hivi leo hatujui kesi ile ya mtuhumiwa Victor imeishia wapi! Kule Zanzibar, ni kweli yaliwahi kutokea matukio ya kuchomwa
Makala
AN-NUUR
Na Rashid Abdallah, MUM KARIBU na jiji la Jalalabad, mnamo mwaka 2 0 0 1 wa k a t i u t a wa l a wa Kiislam wa Taliban ulivyokuwa hatamuni. Hata kamera zilipigwa marufuku katika utawala huo. Taliban walikuwa washatangaza vita tukufu kwa yeyote mpinzani wao. Mwandishi habari wa Kiengereza akiwa amevalia Burka huku akiendesha punda wake alikuwa tayari kuchukua jukumu zito la kisiri katika sehemu hii ya Afghanistan iliyokuwa ikitawaliwa na Taliban. Alijiingiza katika nchi kinyemela, hakuwa na kitabu cha utambulisho wakati wa kusafiri (paspoti) wala viza. Vipi ni jasusi wa Kimarekani? Hakuna ambae aliweza kusema na kugundua mpaka p a l e ya s i y o t e g e m e wa ya l i p o t o k e a . K a m e r a ambao alijitahidi kuificha kwa ustadi katika burka lake ilimdondoka na kuonekana na askari wa kitaliban ambae hakuwa mbali nae. Akatumia siku sita katika makao makuu ya usalama wa taifa kule Jalalabad kabla ya kupelekwa katika (chuo cha mafunzo) gereza la Kabul ambapo kitanda kilikuwa ndani ya selo chafu yenye kachumba kadogo kisicho na maji. Fikra zake zilimtuma k u f a n ya m a t a ya r i s h o ya mwili wake kwa ajili ya zana mbali mbali za mateso kama za umeme, bakora, na hata kupigwa mawe mpaka kufa. Labda alifikiri anawazidi ujanja wataliban! Kwani Yvonne aliahidi kuisoma Quran kama ataachiwa huru. Kule kwao Uingereza, mumewe aliangua kilio kutwa kucha pindi tu aliposikia kuwa Yvonne yuko katika mikono ya Wataliban.
YVONNE Ridley Mwandishi aliyekamatwa na Taliban kwa ujasusi kisha akasilimu. tuzungumze yatupasa yake ya awali kuhusu kuzungumza mambo ya Uislam, Ridley alisema msingi tu. Na mpaka sasa Sijui kitu kwani hata nikielezea nijuayo sidhani sikumbuki lini ilikuwa siku kama naweza jaza kile ya mwisho mtu kunitania kikaratasi cha stempu. Ila utani mchafu, napenda ningeweza kuelezea yale wa e n d e l e e h i v y o . yote yaitwayo maovu na Alisema. ubaya wa Uislam kama unyanyasaji wa kijinsia, vipi ilivyo dini chafu na Akishangazwa na ukweli mbaya iliyojaa siasa kali. w a Q u r a n , a l i s e m a , Lakini baada ya kuisoma Niliathirika sana na Quran katiba impayo nilichokuwa nakisomahaki mwanamke (magna hakuna hata kanukta carta for women) kama kalichobadilishwa (katika alivyoiita mwenyewe, Yvonne akaamua kusilimu Quran) kwa miaka zaidi ya mwaka 2003 katika majira 1400 sasa. Akilinganisha ya joto, ikiwa ni miaka h a k i z a w a n a w a k e miwili na nusu tu baada ya kutoka katika Quran na zile wanazoziita haki kukamatwa kwake. Aliacha vileo mwaka kule Magharibi, Ridley mmoja kabla ya kusilimu. alinena, Kitu cha kwanza N a k wa k w e l i h u wa kukifatilia katika Quran anajisikia fahari sana pale kilikuwa ni sheria za ndoa, asikiapo mtu wa kwanza talaka na mali. Nikashangazwa k u s i l i m u a l i k u wa n i mwanamke naye ni mke sana. Nilifikiri (Quran) wa Mtume (Khadijah bint imeandikwa na wakili wa Khuwailid) na asikiapo sheria kutoka Hollywood kuwa shahidi (aliyekufa (eneo Marekani maarufu kwa ajili ya dini) wa na mahsusi kwa ajili ya kwanza pia alikuwa ni matengenezo ya filamu). mwanamke (Sumayya). Kwa kweli, ni kutoka Yvonne anapenda kuvaa hijab. Inaieleza humu ndio wamepata dunia kuwa mimi sasa wanayoyadai. Katika ni Muislam: usinipige, k u t i m i z a a h a d i ya k e u s i n i o n g e l e s h e o v y o , aliyoitoa kule gerezani, usinialike katika vilevi i l i m b i d i a p a t e k a z i wala nyama ya nguruwe; ya k u z u n g u u k a k wa n a k a m a u k i h i t a j i wanazuoni mbali mbali
7
KILA kipindi cha historia kilichohusishwa na kumshirikisha Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na mapatina (wenza) - vitu au watu, kwa njia yoyote ile - ama kwa kuabudu masanamu na kuyapa sifa za kiungu, au kwa kuwavisha uungu wa n a d a m u we n z a o a u kuusingizia ulimwengu au vyanzo vingine vya kidunia wa kuumba - ni giza tupu. Hivi ndivyo ilivyo kwa sababu pindi imani ya Umoja au Upweke wa Mungu (s.w.t.) ikitolewa katika moyo, akili na roho huingia giza, viwango vyote hubadilika na vitu na dunia hutazamwa kwa mitizamo bandia. Hali kimaadili, kiroho, kijamii, na hata kiuchumi na kisayansi ya jamii ndiyo inayoelezewa na aya ifuatayo ya Quran kuwa ni hali ya (jahiliyya): Au ( a m a l i z a o z i l e mbaya) ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu. Giza juu ya giza. Akiutoa mtu mkono wake anakaribia asiuone (kwa kiza kilivyoshtadi). Na ambaye Mwenyezi Mungu hakumjaalia kuwa na Nuru kamwe hatakuwa na nuru. (Surat An-Nur, 24:40) Mimi sipendi kuelezea mambo ya uongo. Isitoshe, ni upotofu ulioje kwangu mimi kuuelezea uongo wakati ukweli unaweza kuelezewa? Kwa mujibu wa maneno Yake Mwenyewe Mwenyezi Mungu (s.w.t.), Amesema hivi: Basi huyo ndiye Mwenyzi Mungu, Mola mlezi wenu wa haki. Na kipo kitu gani baada ya (kuiacha) haki, isipokuwa upotovu tu? Basi huwaje mkageuzwa? (Suratu Yunus, 10:32) Hata hivyo, ili tuliweke wazi somo hili, ninaona ni lazima niseme machache kuhusu zama za ujahiliya, yaani kabla Uislamu haujaja. Mtume Muhammad (S.A.W) alikuja katika wakati ambao watu hawakujua dini ya ukweli, na kwa hiyo waliabudu masanamu ya watu hawakujua dini ya ukweli, na kwa hiyo waliabudu masanamu ya udongo, mkate na hata ya jibini kama inavyosema Qur aan: Nao, badala ya Mwenyezi Mungu, wanaabudu wasio wadhuru (wanapoacha kuwaabudu) wala kuwanufaisha (wanapowabudu), na wanasema; hawa (waungu wa d o g o , wa s h i r i k a wa Mungu! Tunaowaabudu) ndio waombezi wetu kwa Mwenyezi Mungu! Asiyo yajua ya katika mbingu wala katika ardhi? Subhanahu wa taala ametakasika na u p u n g u f u wa k u h i t a j i mshirika) na ametukuka na hao wanaowashirikisha naye (Surat Yunus 10:18)
Makala
AN-NUUR
Walichonga masanamu ya mawe, udongo, mkate, na hata jibini, nao wakasema hivi: Hao ni waombezi wetu kwa Mungu, walikuwa duni kwa fikra na maadili kiasi kwamba, kama alivyoripoti Abu Dharr AlGhafiri kuwa, wanaweza kuketi ili kula chakula, na wakayakatakata masanamu yao vipande vipande kisha wakayala. Kisingizio pekee waliochukuwa nacho kwa u j a h i l i ya ( u j i n g a ) wa o huo, walisema kwamba wa l i k u wa wa n a f a f a n u a nyanyo za mababu zao, kama inavyosema Qur aan: Na wanapoambiwa: fuateni aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, wao husema; bali tutafuata tuliyowakuta nayo baba zetu, je hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka (watawafuata vivyo hivyo kiupofu)? (Surat Al- Baqarah 2:170) Hata walifikia hali ya kuwazika watoto wao wanawake huku wkiwa wahi, kama inavyosema Quran: Na Mmoja wao anapopewa habari ya kuzaliwa kwa msichana, uso wake husawijika, naye kajaa majuto. Akawa anajificha usionekane na watu kwa ubaya wa habari alizoambiwa (kuhusu kuzaliwa mtoto wake wa kike)! Je, akae naye juu ya fedheha hiyo au amfukie udongoni (kaburini),
ilhali bado mzima, ili afie kaburini kwa kukosa hewa)? Ta z a m a u o v u wa j i n s i wanavyohukumu! (Surat An-Nahl, 16:58-59) Kabla ya kuja kwa Uislamu, wanawake walidharauliwa na kunyanyaswa, siyo katika nchi za Arabuni tu bali pia katika nchi za Kirumi na Uajemi (Watawala wa Sassan, huko Persia (Uajemi) mnamo miaka ya 211-651A.D.). Quran inatangaza wazi wazi kuwa wauaji hao wote watakuja kuulizwa juu ya haya: Na mtoto msichana aliyezikwa hali ya kuwa alikuwa hai atakapoulizwa, Kwa kosa gani aliuliwa? (Surat At-Takwiyr, 81 :8-9) S i k u m o j a , b a a d a ya k u t a n g a z wa U n a b i i wa Muhammad (s.a.w.), mmoja wa Masahaba zake alimwendea Mtume (s.a.w.), na akamhadithia alichomfanyia binti yake, kama ifuatavyo: Ewe Mjumbe wa Allah (s.w.t.)! Nilikuwa na Binti yangu. Siku moja n i k a m wa m b i a m a m a k e amvishe nguo, kwa kuwa nilikuwa nampeleka kwa mjomba wake. Masikini mama huyo alijua maana ya maneno hayo, hakuweza kufanya lolote zaidi ya kutii na kulia tu. Mke wangu akamvalisha binti huyo nguo nzuri, na binti mwenyewe alikuwa anafurahia kwenda kwa mjomba wake.
Nilimpeleka karibu ya kisima na nikamwambia atazame kisimani. Nikampiga teke kuelekea kisimani. Alipokuwa akiangukia chini alikuwa akilia (Baba, Baba! Kadiri huyo Sahaba a l i v y o k u wa a k i s i m u l i a hadithi hii, Mtume (s.a.w) alikuwa akilia kwa kwi k w i k a m a v i l e n i ye ye aliyempoteza ndugu yake wa damu wa karibu kabisa. Nyoyo zilikwisha kuwa sugu. Kila siku shimo lilichimbwa jangwani ili azikwe hai msichana asiyekuwa na hatia yoyote. Wa n a a d a m u w a l i k u w a wakatili zaidi kuliko hata fisi. Wenye nguvu walikuwa wakiwateketeza wasio nguvu na wadhoofu. Ilikuwa ni wakati ambao unduli ulikuwa kawaida ya wanadamu, ukatili ulidhihirishwa, wenye kiu ya damu walitukuzwa, kumwaga damu kulihesabika kuwa ni sifa, zinaa ya watu wenye ndoa na wasiyokuwa na ndoa ilikuwa ni kawaida zaidi kuliko ndoa ya kisheria. Miundo ya familia ilikwisha kuharibiwa. Kipindi hiki cha giza ndicho kilichofuatiwa na Uislamu. Na baki ya kuondosha maovu yote mengine, Mwenyezi Mungu (s.a.w) hakuacha kurudia k a t a z o l a k u u a wa t o t o wadogo, kama inavyosema Quran: Sema: njooni nikusomeeni
Inaendelea Uk. 12
8
Na Mwandishi Wetu VIJANA wengi nchini wamekuwa wakitumia m a d a wa ya k u l e v ya kiasi kwamba mpaka taifa linachanganyikiwa kwa uwingi wa vijana kujitumbukiza katika janga hilo. Pamoja na juhudi kubwa kuchukuliwa kudhibiti uingizaji wa dawa hizo hapa nchini, lakini bado kabisa Serikali inaonekana kuzidiwa ujanja na mtandao wa uingizaji wa madawa hayo. Tu n a o n a j u h u d i z a vyombo vyetu vya usalama kujitahidi kudhibiti kila eneo ambalo ndio njia kuu ya upitishaji wa unga, lakini inaonekana unga bado unapitishwa kwa wingi hapa nchini. Kwa nini nasema hivyo, tunawaona vijana wengi katika vituo vya mabasi wakiyumba huku wengine wakijidunga na mabomba ya sindano bila hata woga wa kukamatwa na askari. Katika Tanzania miji mikuu ambayo inaongoza kwa utumiaji wa madawa hayo ni Dar es Salaam, Tanga, Arusha na Mbeya maeneo haya yamekithiri kwa kuongoza kwa vijana wengi kutumia madawa hayo hatari ya kulevya. Mwandishi wa makala h i i a l i p a t a n a f a s i ya kufanya mahojiano na Nuru Saleh Hemed ambae ana umri wa 31 yeye alikuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya kwa kipindi cha miaka kumi na moja na sasa ameacha kabisa. Nuru amesema kuwa utumiaji wa dawa hizo alianza kutumia baada ya kuolewa na mumewe wa k i wa Tu n d u r u Mkoani Ruvuma Nuru amesema mumewe ndie alie mshawishi kutumia madawa hayo mpaka kufikia kupoteza malengo yake kibao. Amesema kuwa baada ya kumshawishi kutumia madawa hayo yalimzowea mpaka kufikia teja lililo kubuhu amesema aliwambia wazazi wake kuwa ameshachoka kuishi na mume wake huyo maana kwa sasa anataka kuacha utumiaji wa madawa. Wazazi walimsikiliza ikafikia ndoa yao ivunjwe na mumewe akatoa talaka ameeleza kuwa baada ya kuachika alikuja Jijini Dar
Makala
AN-NUUR
Nuru Salehe Hemed Mkurugenzi wa PEDDREF. es Salaam maana kule Tunduru unga ulikuwa haupatikani pamoja na kuacha bado alikuwa mtumiaji mkubwa wa dawa za kulevya. Nilipofika Dar es Salaam nilifikia Kariakoo kwa baba nikawa naendeleza uteja nimeshafungiwa ndani lakini niliruka ukuta nikaondoka vijiweni kubwia unga, amesema Nuru. Pamoja na utumiaji wa madawa hayo kuna siku alikaa akaijutia nafsi yake sasa anataka kuacha utumiaji dawa hizo maana ilifikia hatua anadharauliwa hata na watoto wadogo na mtoto wake alikuwa akicheza na wenzake wanamwambia mama yake teja. Alihangaika hospitali kupata tiba lakini ilishindikana kuacha baada yakushindikana hospitalini nilifunga safari mpaka Zanzibar kwenye kituo cha kulelea wanawake waliyo athirika na madawa ya kulevya kituo ambacho kilikuwa kinaongozwa na mama Fatma Sukwa. Amesema kuwa hiyo ilikuwa mwaka 2012 na alikaa huko kwa muda wa mwaka moja na miezi mitatu amesema kuwa wakati akiwa hapo alipata elimu mbalimbali kuhusu
Inatoka Uk. 6 Haraam kwa muda. Ghafla pakaqimiwa kuwataarifu watu wawe tayari kwa swala, kila mtu alisimama na bila zogo watu wote wakajipanga katika mistari haraka. Nikaanza kufikiria hakuna jeshi lolote duniani lenye uwezo wa kujipanga vile kwa haraka. Na hivyo nikabaki nafikiria jeshi la Allah tu na moyo wangu ukitabasamu kwa mimi kuwepo ndani yake. Macho yangu huwa yanajawa na machozi kwa kufikiri hili nililoshuhudia. Ilinifanya nifurahi kuwepo katika familia hii kubwa. Pale, kulikuwa na watu kutoka mataifa tofauti, lugha tofauti na rangi tofauti. Swala ikaanza, wote tulielewa na wote tuliungana katika muungano mzuri usio na fujo, zogo wala kelele. Ilinihuzunisha sana kugundua kuwa tutadumu
vijana wenzake zaidi ya mia moja na arobaini kati ya hao wamepata elimu pamoja na kutumia dawa na wamepona kabisa na wengine wapo mtaani wanafanya mambo yao na hawatumii tena madawa hayo. Nuru ameitaka Serikali kuwapa elimu vijana wote a m b a o wa m e a t hi r i wa na dawa hizo isiangalie k wa wa a g i z a j i t u a u kwa wauzaji mimi naishauri itoe elimu kwa vijana mwisho wa siku watabadilika tu amesema Nuru. Pia ametoa wito kwa Serikali itoe mchango kwa asasi za kiraia zilizojitolea kuisaidia katika majanga mbalimbali hasa katika kuwakomboa vijana maana vijana ni nguvu kazi ya taifa. Amesema yeye kama binti wa miaka 31 amejitahidi kuwashawishi vijana wenzake mpaka kuwabadilisha si kazi ndogo hivyo katika zoezi hilo anakabiliana na changamoto nyingi moja ya changamoto hizo ni kutokuwa na uhakika wa kulipa pango la jengo alilokodi la kuwapa elimu vijana hao pamoja na chakula cha uhakika. Amewaomba wadau mbalimbali wanaoguswa na kadhia hiyo ya kuliondolea Taifa hasara wanawea kuchangia kimoja wapo kwa nafasi yake.
televisheni kipatikanacho dunia nzima cha PRESS TV. Pia ni mwandishi katika kijarida cha kila siku chenye makao yake New York kiitwachoDaily Muslims.Kwa maneno yake mwenyewe akiongelea kuhusu kusilimu kwake, Ridley anajisifu kwa kusema Nimejiunga na familia ambayo kwangu mimi naichukulia kama ndio kubwa zaidi kwa sasa duniani bila kusahau ndio familia bora zaidi pia. Kama tukishikamana basi hakuna wa kutuzuia. Baadhi ya masomo yake yapatikanayo kutoka katika intaneti ni kamaConversion to IslamnaJourney to Islam ( Makala hii ni kwa msaada wa saidpowa.blogspot. com)
Makala
AN-NUUR
MANENO yaliyo andikwa katika Gazeti la Mwananchi la Alhamisi Machi 27, ni jukumu la Waislamu kuyapokea vizuri na kuyafikiria. Si hivyo tu, bali si dhambi wala vibaya kumpongeza aliyeyasema. Huyo ni Profesa Abdallah Safari; M j u m be wa B u n ge maalumu la katiba, a m b a ye a m e k u b a l i kuivalia njuga kadhia ya Mahakama ya Kadhi na kukusudia kurejesha hoja yake k a t i k a m j a d a l a wa rasimu ya katiba. Kwa mara nyingine tunampongeza P r o f e s a S a f a r i k wa hili na tunamuomba Mungu amlipe malipo makubwa hapa duniani na kesho akhera. Kwa sababu mara nyingi tumekwisha sema na kuandika kwamba uti wa mgongo wa katiba yetu mpya ni mfumo wa demokrasia na hakuna demokrasia duniani kote bila ya uhuru. Aidha hakuna uhuru muhimu kuliko uhuru wa kuabudu. Ni matarajio yetu kwamba kadhia ya mahakama ya kadhi, itakuwa ni sehemu ya vipengele vya katiba ya Tanganyika. Kwa hali ilivyo kipindi hiki, ni dhahiri kwamba sio jambo la kutegemewa, na hiyo ndio sababu inayo tufanya sisi tukiongozwa na watu kama Profesa Safari kuanza kilio chetu upya. Mahakama ya kadhi hapa nchini tangu mapema ilianza kukumbwa na nuhusi k u b wa k wa k u p a t a upinzani kutoka kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na miongoni mwao ni hawa hawa Waislamu wenzetu . Kabla ya kuanza kwa kampeni ya kudai
PROFESA Abdallah Saffari (katikati). Kulia ni John Mnyika. kurejeshwa kwa mahakama ya kadhi, wapo baadhi ya Waislamu waliojitokeza kuikosoa mahakama hii kwa sababu eti ni mahakama ya ndoa, talaka, mirathi na wakfu na mfano wa hayo tu. Haina uwezo wa kuhukumu kesi za jinai; wizi, kuuwa na kadhalika, kwa maana hiyo mahakama hiyo si kamili. Wengine wakadai kwamba mahakama hii haitakuwa safi katika Uislamu kwa sababu itakuwa ikiendeshwa kwa pesa za shubuha, miongoni mwa rushwa, riba na biashara ya haramu kwa mujibu wa Uislamu. Hayo yote ni mawazo yaliyokuwa yakisambazwa na baadhi ya Waislamu, ambao ni dhahiri kuwa walikuwa wakitumiwa d h i d i ya m c h a k a t o wa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi n c h i n i b i l a ya wa o wenyewe kujua kwamba wanatumiwa na wanao watumia pia hawawajui. Kubwa zaidi ni ile hujuma iliyofanywa na Bakwata kwa kuwapendekeza watu fulani na fulani kuwa makadhi maalumu wa Bakwata na ilhali watu hao wenyewe hawana uwezo wa kuhukumu mambo yao kwa sababu ya uchache wao katika e l i m u ya s h e r i a ya dini ya Kiislamu. Pia wakawa ni makadhi wasio na meno kwa kuwa hawatambuliwi na katiba ya nchi na maamuzi yao yanaweza kutenguliwa na mahakama za nchi ambazo zipo kwa mujibu wa katiba. Katiba mpya i n a t a k i wa k u wa n i katiba ya Watanzania wote bila ya kuangalia tofauti zao za itikadi au kanda. Kinyume na hivyo itakuwa ni katiba ya kundi fulani tu la raia huku ikilitupa nje kundi jingine ambalo kwa pamoja na lile lililomo ndio yanayo unda nchi inayo itwa Tanzania. Watu wa mwanzo mwanzo ambao ni wajibu wao kumpongeza Profesa Safari, ni Masheikh wetu walio beba jukumu la kutuwakilisha katika bunge hilo maalumu la katiba. Kwa sababu h i y o n d i o k a z i ya o ambayo wao wenyewe wamekubali kuifanya kwa moyo mkunjufu. Katika ulimwengu wetu huu kuna watu wenye ujasiri bungeni hadi kufikia kutetea ushoga uwe ni muhimu kiasi cha kutungiwa sheria nchini. Na wengine wanapendekeza bangi i w e n a u h a l a l i wa kulimwa, kuuzwa na kutumiwa nchini. Wala hakuna anaye weza kujitokeza na kuwapinga au kuwalaumu. Bali hao ndio wanao sifiwa kwamba ni watetezi wa haki za binaadamu na ndio wanao weza kuutetea uma na haki z a u m a . K a d h i a ya umuhimu wa katiba kutambua uwepo wa Mungu, uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni na kujieleza, kadhia ya kutetea mahakama ya kadhi kuwekewa kifungu katika katiba. Kadhia ya kuweka sheria kali ya kupinga ushoga na ndoa ya aina hiyo, kadhia ya kutetea haki za wanawake katika ndoa na kuruhusiwa wawili, watatu au wane kuolewa na mume mmoja na mengineyo yanayo fanana na haya. Yote hayo ni dhima juu ya kila sheikh aliye kubali kubeba jukumu la kuuwakilisha Uislamu na umma wa Kiislamu katika bunge maalumu la katiba. Allah (s.w.t.) awasaidie ndugu zetu, masheikh zetu na wawakilishi wetu na awape ulimi mzuri wa kuutetea Uislamu ndani na nje ya bunge. Wabillah taufiq (Sheikh Abdallah Ahmad Bawazir-0767 215 898)
Roger Waters: Kwanini lazima niseme kuhusu Israeli, Palestina na kuisusa Israeli
Mwimbaji nyota wa kundi la Pink Floyd anaelezea kwanini anaunga mkono kuisusa Israeli
Na Roger Waters
Machi 20, 2014 Mtandao wa Kupashana Habari - Salon Miaka sabini iliyopita, baba yangu - Luteni Usu Eric Fletcher Waters, alikufa nchini Italia akipigana na ma-Nazi. Alikuwa mwanaharakati wa amani, na mpinzani wa kimaadili wa vita wakati vilipoanza, lakini maovu ya Hitler yaliposambaa kote Ulaya, alibadilisha gari la wagonjwa alilokuwa akiendesha wakati London inapopigwa mabomu (na Ujerumani) akachukua kofia ya bati (helmet) na kupata kibali cha (Jeshi la Uingereza) na kujiunga na mapambano dhidi ya ufashisti. Aliuawa karibu na Aprilia katika pambano la Anzio la kivuko (muhimu kivita) hapo Februari 18, 1944. Mama yangu- Mary Duncan Waters - alibaki mwanaharakati maisha yake yote yaliyobaki, akijitahidi wakati wote kuhakikisha kuwa wanae, na wana wa wengine wote, hawakuwa na Upanga wa Damocles kupitia itikadi chukizo ziwe juu ya vichwa vyao. Mwezi uliopita, kwa hisani ya watu wa Aprilia na Anzio, niliweza kutoa shukrani kwa baba yangu ambaye sikuwahi kumfahamu kwa kuinua mnara wa kumbukumbu alipofia na kuweka shada la maua kwa heshima yake, na wengine walioanguka. Kumpoteza baba yangu kabla sijamfahamu na kulelewa na mzazi mmoja pekee, mama aliyekuwa akifanya kazi na kupigania bila kuchoka usawa na haki ilikuwa dira ya maisha yangu kwa kila njia na imekuwa msukumo wa kila nilichokifanya. Na, katika hatua hii ya safari yangu, napenda kufikiri k u wa n i n a t o a sh u k r a n i kwa wazazi wangu wote wawili kila wakati ninapozungumza kuunga mkono watu wa kundi lolote lile wanaonyimwa uhuru na hali ambavyo ninaamini sote sisi tunastahili. Baada ya kutembelea I s r a e l i m wa k a 2 0 0 5 n a Ukingo wa Magharibi mwaka uliofuatia, nilisononeka sana na kile nilichokiona na kudhamiria kuongeza sauti yangu katika wale ambao wanatafuta suluhisho la haki na kisheria kwa tatizo hilo - kwa Wapalestina na Wayahudi pia. Kutokana na malezi yangu, ya Kiyahudi na Waisraeli ambao pia wamejibu mwito huo. Katika zogo linaloendelea nchini Marekani hivi sasa kuhusu kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo, na jema au baya la kuisusa Israeli kitamaduni, ainisho kutoka mmoja wa mashujaa wangu, Mahatma Gandhi, limekuwa akilini mwangu. Alisema kinabii kuwa Kwanza wanakupuuzia, halafu wanawacheka, baadaye wanapigana nanyi, na mwisho mnashinda. M wa m k o wa k u s u s a , kuondoa raslimali na kuweka vikwazo unafikia tumaini na unaendana na alichosema Gandhi, Mkakati huo ambao kitambo kidogo ulipuuzwa kama njia muflisi ambayo kamwe isingeweza kuleta mabadiliko yoyote, sasa mkakati huo umeshika kasi katika miezi kadhaa iliyopita, na kuinua upinzani dhidi yake kama ilivyotazamiwa. Uondoaji wa raslimali za vyuo vikuu kadhaa vikubwa vya Marekani, mifuko ya pensheni ya nchi za Ulaya kuondoa fedha zao katika mabenki ya Israeli ambayo ya n a f a n ya b i a s h a r a n a makazi haramu katika eneo linalokaliwa kwa mabavu, na tukio la kimataifa la kuachana katika njia zao, k a t i ya m c h e z a s i n e m a Scarlett Johansson na shirika la kimataifa la kupambana na umaskini Oxfam, ni dalili za kuongezeka kwa ukinzani kuhusu ukandamizaji wa Israeli dhidi ya wazawa asilia wa Palestina, na pia, kwa miongo kadhaa ya ukaliaji wa ardhi ambayo Umoja wa Mataifa umeitoa kwa nchi ya baadaye ya watu wa Palestina. Na kila vichwa vya habari vinapotangaza hatua mpya ya kususa, kuondoa raslimali na kuweka vikwazo, majibu ya jazba na hasira ya wapinzani wa mwamko huo wakiwemo Netanyahu na marafiki zake wa AIPAC (mtandao wa marafiki wa Israeli nchini Marekani) wakiwa mstari wa mbele, imepanda kwa kasi. Nadhani unaweza kusema mkakati huu upo katika hatua ya halafu wanapigana nanyi. B a a d h i wa n a p o t o s h a kuhusu harakati ya kususaa, ambayo inachukua mfano wa harakati za kuisusa Afrika Kusini ya kibaguzi na kutumiwa katika vuguvugu la haki za kiraia nchini Marekani, kuwa ni shambulio dhidi ya watu wa Israeli au Wayahudi kwa jumla. Hakuna kinachoweza kuwa mbali zaidi ya ukweli
10
Makala
AN-NUUR
kuliko hapo. Harakati hizi zinatambua haki za binadamu chini ya sheria kwa watu wote, bila kujali uasili wao, dini au rangi. Sijitambulishi kama msemaji wa harakati ya kususa, ila, kama muungaji mkono wa dhati, na kwa kuwa ninaonekana katika fani ya muziki, nimekuwa nikilengwa na wale wanaopenda kuishambulia h a r a k a t i h i i , s i y o k wa kulenga hoja zake ila, badala yake, kwa kuashiria kuwa chuki na ubaguzi ndivyo vinavyosukuma wanaounga mkono harakati hii. Imesemwa, kikatili na kwa makosa, kuwa naunga mkono fikra ya Nazi na ni mbaguzi wa Wayahudi. Nilipotaja katika mahojiano hivi karibuni kuhusu mambo yanayofanana katika historia, nikisema kuwa nisingeweza kucheza sinema nafasi ya mtu wa Ufaransa ya Vichy au (utawala wa) Berlin katika vita vikuu vya pili duniani, sikuwa na nia ya kuwalinganisha Waisraeli an wa-Nazi au mauaji ya kimbari ya Wayahudi na ukandamizaji wa Wapalestina uliodumu miongo kadhaa. Hakuna mfananisho na mauaji wa kimbari, Holocaust. Wala s i k u wa h i k u l i n g a n i s h a mateso ya Wayahudi wakati huo na taabu wanayopata Wa p a l e s t i n a h i v i s a s a . Kulinganisha taabu ni jambo gumu, linalovuruga na kupunguza thamani ya heshima ya kumbukumbu ya wote walioanguka, wapendwa tuliowapoteza. Naamini kuwa mzizi wa kukosekana kwa haki na ukandamizaji wakati wote huo ni ule ule - kuukataa ubinadamu wa mwingine. Ni hisia kali ya Sisi na Wao ambayo inaweza kutupeleka, bila kujali utambulisho wetu kiasili au kidini, kuanguka shimoni. Dhima tusije kusahau kuwa ukandamizaji unazaa ukandamizaji zaidi, na kuwa mti wa woga na ubaya siku zote tunda lake ni chungu. Kumalizika kwa kukaliwa Palestina, ikiwa tutafanikiwa kufikia, itakuwa ni uhuru kwa waliokandamizwa na wanaokandamiza na uhuru kutoka katika uchungu wa miaka yote hii iliyopotea, na maisha ya watu. Na hiyo itakuwa zawadi kubwa kwa dunia. Majivu na almasi (karata) Adui na rafiki Wote sisi ni sawa Mwishowe.
11
Makala
AN-NUUR
RAIS Hugo Chavez ambaye sasa ni marehemu alilishangaza Baraza Kuu la UM (Umoja wa Mataifa) mwaka 2006 kwa hotuba yake kali ambapo alimuita R a i s G e o r g e B u s h wa Marekani kuwa ni shetani linalotenda kana kwamba dunia hii ni mali yake. Hebu tusome sehemu ya hotuba hiyo: Yesterday, the devil came here, right here. Right here. And it smells of sulfur still today, this table that I am now standing in front of. Yesterday, ladies and gentlemen, from this rostrum, the president of the United States, the gentleman to whom I refer as the devil, came here, talking as if he owned the world. Truly. As the owner of the world. I think we could call a psychiatrist to analyze yesterdays statement by the president of the United States. As the spokesman of imperialism, he came to share his nostrums, to try to preserve the current pattern of domination, exploitation and pillage of the peoples of the world. An Alfred Hitchcock movie could use it as a scenario. I would even propose a title: The Devils Recipe. Kwa ufupi katika aya ya kwanza na ya pili anakusudia kusema; Shetani alikuja jana hapa, hapa hasa. Na bado pananuka kama salfa, katika meza hii ambayo nimesimama mbele. Jana, mabibi na mabwana, kutoka jukwaa hili, raisi wa Marekani ambaye narejea kuwa ni shetani, alikuja hapa alizungumza kana kwamba dunia anaimiliki yeye. Kweli. Kama mmiliki wa dunia Hiyo ndiyo hotuba kwa ufupi ya rais aliyekuwa wa Venezuela katika Baraza l a U m o j a wa M a t a i f a . Akimzungumzia aliyekuwa k i o n g o z i wa M a r e k a n i George Bush na kumuita shetani na akizungumza kama anamiliki dunia. Kwa uwelewa wangu nahisi zaidi Chavez alikusudia kuuzungumzia u o n g o z i wa M a r e k a n i unaoongozwa na Bush kuwa ni wa kishetani, sababu za uongozi ule kuwa ni wa kishetani zipo nyingi na kila mmoja ataisema yake kulingana na pale alipoguswa au kuumizwa. Utawala wa Marekani ndio unaoongoza kwa kulaumiwa kulingana na yale ambayo
RAIS Barack Obama wa Marekani. unawafanyia wale wasio waondoshe utawala uliokuwa kuwa wanapambana na na nguvu wakiwemo mtu unafuata mifumo ya dini ya magaidi hatari kwa amani mmoja mmoja na hata mataifa Kiislamu, ambayo shetani n a u s a l a m a wa K e n ya . machanga. Tanzania kwenye anauchukia sana. Walianza Kumbe ni njama za kishetani mkumbo huo nasi tumo na ukomunist, wameuweza kuwafanya wajiangamize kwani tunaendeshwa vile kwani hauna nguvu na kwa wao wenyewe Wakenya kwa watakavyo wao, wakisema sasa wanajihusisha zaidi mikono yao! hili fanyeni hili musifanye sisi na Uislamu ili wahakikishe Wa z a z i w a C h a v e z tunabaki kutekeleza tu. nao wanaukata roho. Ni w a l i k u w a w a a l i m u Ni aina moja ya ushetani kama vile tu alivyopigwa waliowahimiza watoto wao a m b a o u n a f a n y wa k wa Saddam Hussein si kwa waikumbatie elimu kama mataifa machanga, ni hivi sababu anamiliki mabomu njia ya kupata maisha bora. karibuni tu amezuia misaada ya nyuklia ila tu kwakuwa M t o t o wa o wa k i u m e , kwa nchi ya Uganda kwa a l i k u wa n a a g e n d a ya Hugo, alijiunga na shule sababu wameweka sheria kupora mali, kuvuruga nchi ya sayansi ya jeshi, ambako ya adhabu kali kwa yule madhubuti Mashariki ya Kati alikuwa na shauku kubwa atakaye bainika anajihusisha na kuudhoofisha Uislamu na ya masuala ya siasa wakati na mahusiano ya jinsia moja wakati huo huo kuijengea wa masomo yake. Baada ya (ushoga). Israel mazingira bora ya kufuzu alijiunga na jeshi na P i a t u s i s a h a u k u w a kutamba katika eneo hilo. mwaka 1983, akiwa na umri kilichopelekea mpaka Popote alipo shetani siku wa miaka 30, yeye pamoja na Vi e t n a m i k a l a k i c h a p o zote hapana usalama na maafisa wengine wakaunda takribani miaka arobaini wala amani haitopatikana. Jeshi la Mapinduzi la Bolivia iliyopita ni zile siasa zake tu Baada ya miaka mingi ya 200 EBR - 200. Jina hilo za kikomunisti ambazo kwa kukaa bila serikali na juhudi lilikuwa likimzungumzia Marekani yeye zilikuwa ni m b a l i m b a l i k u s h i n d wa El Libertador, Simon siasa asizozitaka. kutokomeza mauwaji na Bolivar, ambaye peke yake Vi e t n a m k wa s a b a b u m a c h a f u k o , Wa s o m a l i a aliyakomboa maeneo ya hiyo ikapigika kweli kweli, we n ye we wa l i f a n i k i wa Amerika Kusni kutoka kwa kuanzia silaha za kawaida, kurejesha amani katika nchi viongozi wa kikoloni wa zikaja nzito hadi za sumu yao kwa kutumia Uislamu Uhispania na ambaye kanuni ambazo zimewaweka mamia wao. Lakini hilo halikutakiwa zake na maisha Chavez na maelfu ya Wavietnam na shetani anayejifanya aliziunga mkono. katika hali mbaya hadi leo. kuwa ni mmiliki wa dunia. Kwa kuwa hakuridhishwa Tukisema shetani yupo Akaja na kisingizio cha ugaidi na itikadi za kisiasa ambazo Afrika Mashariki sasa hatuna akaiporomosha serikali hiyo kwa uwazi zilipuuza mahitaji maana kuwa ni shetani yule Wasomalia wakarejeshwa ya umma, kundi la Chavez aliyemzungumzia aliyekuwa k a t i k a m a c h a f u k o n a lilifanya jaribio la mapinduzi raisi wa Venezuela katika mauwaji. Kwa ksingizio mnamo mwaka 1992 dhidi Baraza la Umoja wa Mataifa ila hicho hicho cha ugaidi, ya rais wa Venezuela wakati tunazungumzia ule uongozi Kenya ikatumbukizwa katika huo, Carlos Perez, ambalo alio uwacha yeye alikuwa vita isiyokuwa yake-Proxy halikufaulu. Chavez alitupwa shetani pia kaacha mashetani War, na kisha ugaidi sasa gerezani, lakini si kwa muda waongoze na uongozi wao inaumia. Imepewa bajeti mrefu. Baadaye rais Perez wa kishetani wakiendelea ya kuunda na kuendesha alishitakiwa, na mrithi wake, k u i t e s a d u n i a n a s a s a kikosi cha ATPU (Anti Terro- Rafael Caldera, akamuachia ushetani huo unaonekana Police Unit), ambao kimsingi huru Hugo Chavez mwaka kujikita Mombasa ambapo wanafanya kazi ya kishetani 1994. Chavez alifanya juhudi Mashekh wanauliwa kila ya kuitumbukiza Kenya za kuanzisha miungano ya uchao. katika machafuko, lakini kisiasa ndani ya Amerika Aliiyanza Somalia kwa wamepumbazwa pamoja Kusini na kukutana na kuwatumia Waithopia ili na serikali nzima wakijiona v i o n g o z i m b a l i m b a l i
akiwemo kiongozi wa Cuba, Fidel Castro. Mwaka 1996, Chavez alianzisha chama kilichoegemea siasa za mrengo wa shoto, The Fifth Republican Movement ili aweze kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 1998. Chavez alipata umaarufu kwa haraka, ingawa mwanzoni alichukuliwa kama mtu kutoka nje. Aliugeuza ujumbe wake wa sera za kisoshalisti kuwa lugha ya watu masikini na kuikonga mioyo yao. Kwa mara ya kwanza baada ya kujaribu mara nne, na kupata wingi mkubwa wa kura, Chavez alichaguliwa kuwa rais wa Venezuela. Bila kupoteza wakati alianza kuchapa kazi mara tu alipoingia madarakani. Serikali yake ilizitaifisha sekta muhimu za uchumi, hasa ile ya mafuta. Mapato kutokana na mauzo ya mafuta yalitumiwa k u g h a r a m i a m i r a d i ya kijamii, kuhakikisha masikini wanapata msaada wa matibabu na kulipia gharama za elimu kwa ajili ya watoto. Mwaka wa 2001 aliifanyia mageuzi sheria ya umiliki wa ardhi ili kuhakikisha a r d h i a m b a y o i l i k u wa haitumiki, inatumiwa. Hadi sasa hekta takriban milioni tano zinamilikiwa na serikali na zimetengwa kwa ajili ya wakulima masikini na wafugaji wa mifugo. Hugo Chavez wa Venezuela amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa saratani kwa miaka miwili ugonjwa ambao aliwahi kudai kuwa Marekani ndio wamempa. Juhudi za kuyaokoa maisha yake hazikufaulu, licha ya k u f a n y i wa u p a s u a j i mara kadhaa nchini Cuba. Mkomunisti wa karne ya 21 akaaga dunia. Chavez kaenda lakini alichokisema kitaendelea kubaki na si kubaki tu pia kitaendelea kufanya kazi, kama kinavyofanya kazi sasa katika mataifa mbali mbali duniani. Ushetani wa Bush haukuishia kuwa ni wa kwake yeye ila pia uongozi mzima wa Maekani umekuwa ni wa kishetani kuanzia yeye Bush hadi hawa wenziwe wa sasa. Mashekhe wa Mombasa na Wasomali wamekumbwa na shetani huyu anayekula kila anachokiona ni kikwazo kwake. Shetani aliona serikali ya Kiislamu Somalia ni kikwazo kwa yake Somalia na eneo lote la Pembe ya Afrika. Akaingilia kati jambo lililoibua kinachodaiwa k u wa n i u g a i d i wa A l Shabab, jambo ambalo sasa ndio linasababisha kuuliwa Masheikh na Wasomalia nchini Kenya. (Email rashidalmendhy@ yahoo.com 0773 526 254)
12
PASAKA SI YAKO
Shairi/Barua/Makala
Abtadi kwa yakini, kumhimidi Qudusu, Yu Muumba wa insani, na vyote vinomuhusu, Wahidu ulimwenguni, uwenza kwake nukusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Aswilani abadani, yu hana mwenza Qudusu, Kadhalika na banini, vyote kwake ni nukusu, Wenye wenza na banini, ni ajinani na nasu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Mushiriki wamebuni, wampachike nukusu, Eti mwana wa Manani, bin Mariamu Yesu, Aso mwana kulikoni, kumpachika nukusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Na Pasaka wamebuni, kuwa fufuko la Yesu, Niwombe kwa tamakuni, Injili waidurusu, Ukweli watabaini, tamamu tena si nusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Ishna sita funguni, kumi nane ni kisu, Kitowachoma mioyoni, hadi chini wajulusu, Nachombeza wasidhani, Mathayo wakadurusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Yu awagiza mjini, wanafunzi wake Yesu, Wende huko kubaini, Pasakayo kwa unasu, Hiyo ni Pasaka gani waagizwayo na Yesu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Ufufuko kulikoni, u wapi hapo wa Yesu, Yualofufuka nani, yu kingali hai Yesu, Wagala tuelezeni, Kwa hoja za kinususu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. Chondechonde dada Shani, nawe akhui Yunusu, Jitanibuni jamani, na jambo lisowahusu, Kushiriki Pasakani, ni kufuru kwa Qudusu, Si yako haikuhusu, ni haramu kushiriki. ABUU NYAMKOMOGI -SAFARINI KAGERA.
AN-NUUR
uangalifu mkubwa sana. Ibn Is-haq, miongoni mwa wanahistoria wengine na waandishi wengine wa wasifu alisimulia kuwa, aliongozana na mpwa wake hadi Syria katika ms a far a wa b i a s ha r a alipokuwa umri wa miaka 10 au 12. Walipumzika mahali karibu na Damascus, wakamwacha yeye aangalie ule msafara wao. Kutoka katika jumba la utawala lililokuwa jirani na pale mahali, mtawa mmoja wa Kikristo aitwae Bahira a l i k u wa a k i u t a z a m a ule msafara ulipokuwa unakuja taratibu. Alikuwa akiungojea ujio wa Nabii wa Mwisho; na mara nyingine alikuwa akiwachunguza wageni anaowaona. Ulivyokuwa ukija msafara wa Abu Talib, Bahira aliona kuwa wingu lilikuwa likiufuata msafara wao likitulia na kuendelea mbele kila msafara ule ulipokuwa ukisimama na kuanza kutembea tena, na saa z o t e w i n g u l i l i k u wa likimpa kivuli mtu mmoja katika msafara ule. Fikra zifuatazo zilimjia Bahira akilini mwake: Hii ni dalili maalumu
ya Manabii. Nabii anayetazamiwa lazima awe miongoni mwa msafara ule. M s a f a r a u l e uliposimama karibu sana na jumba lake la utawala, Bahira aliwaalika wasafiri wote kwenda kula. Alipoona kuwa lile wingu lilikuwa bado limebaki linaelea kule nje, akamwuuliza Abu Talib iwapo mtu mmoja wao ameachwa yuko kule nje. Abu Talib akajibu kuwa wamemwacha mvulana kule nje ili awaangalizie vitu vyao. Bahira akawataka wakamlete huyo mtu. Alipoletwa huyo mvulana (Muhammad, s.a.w.), Bahira alimvuta Abu Talib pembeni akamwuuliza kama ana nasaba yoyote na mvulana yule. Abu Talib akamwambia kwamba: Huyu ni mwanangu. Lakini Bahira akakanusha hilo, na kusema kuwa: Hawezi kuwa mwanao. Kwa mujibu wa vitabu vyetu, baba wa mvulana huyu lazima atakuwa alikufa kabla mvulana huyu hajazaliwa. Bahira akasema hivi: Nakupa ushauri kuwa umrejeshe mvulana huyu haraka sana. Mayahudi wana wivu. Wakimtambua watamdhuru. Hapo ndipo Abu Talib akatoa udhuru kwa wanamsarafa wenziwe alirejea Makka na mpwa wake. Mtume Muhammad (s.a.w.) alifanya safari ya pili kwenda Syria alipokuwa na miaka 25 akiwa na msafara wa biashara wa Khadija (r.a) mjane anayeheshimika, ambaye baadaye alikuja kumwoa. Katika safari hiyo alikutana na Bahira mara ya pili. Mtawa huyo alifurahishwa sana na kuonana huko kwa pili, ye ye n a M u h a m m a d (s.a.w.) na akamwambia kuwa: Wewe utakuja kuwa Nabii, tena Nabii wa Mwisho. Natamani Mwenyezi Mungu (s.w.t.) ataniwezesha niishi hadi nikuone wewe umepewa
Unabii nami nitakufuata wewe, nitachukua viatu vyako, na nikulinde dhidi ya maadui zako!
13
Tangazo
INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM
AN-NUUR
The College reserves the rights to change these fees at any time. Application forms are obtained from University College of Education- Website: www.ucez.ac.tz Academic Office, University College of Education Zanzibar at Chukwani P.O. Box 1933 Zanzibar Mobile: 0773774838 OR 0772912181 Email: amacez@zitec.org Application forms are also available from the following offices; Africa Muslims Agency, MabaoniChake Chake Pemba: Tel: 024-2452337 P[Africa Muslims Agency, Tabata - Dar es Salaam: Tel: 022-2807843 Application fee should be paid through the following account numbers:(i) The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450- Mwanakwerekwe, Zanzibar (ii) Barclays Bank Account No. 003 4000387 Zanzibar Branch. All completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Office, University College of Education Zanzibar. N.B: All Applicants intending to pursue Bachelor of Arts with Education in Arabic or Islamic Studies with another combination and those did not obtain at least grade D in English At o level certificate will be required to attend language profiency test on Saturday 31st May 2014 at 9.00 am at the University Campus, Africa Muslims Agency Mabaoni Chake Chake Pemba, and Africa Muslims Agency Tabata- Dar es Salaam. The deadline for receiving applications is Friday 23rd May 2014. For applicants who are waiting for Form Six results they should return the forms two weeks after the results. For further information please contact: Mobile: 0776463405 E.mail:Amacez@zitec.org Or Visit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, two kilometers from the new House of Representatives Building.
14
TANGAZO
AN-NUUR
P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org
- Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610. - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 Mandia Shop - Lushoto: 0782257533
Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770. Musoma Kagera - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667
Shinyanga - Masele com: Ofisi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474. Morogoro Dodoma Singida Manyara
- Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039 Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902.
Kigoma Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860. Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.
Lindi
- Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663. - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007. - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209 Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209
Mtwara Songea Mbeya Rukwa Tabora Iringa Pemba Unguja Mafia Ikwiriri
Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Madrastun Najah: 0714 522 122 Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331
Madrasatul Fallah: 0777125074- - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627 - Masjid Aqswa : 0782 838749/0656 531133 USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.
WABILLAH TAWFIIQ
15
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Na Dr. Emad Rabie Ahmad Mohamed SHUKURANI zote a n a s t a h i k i M we n ye z i Mungu, Mola wa ulimwengu na rehema na amani zimfikie yule aliyeletwa kuwa ni mpole kwa dunia, Nabii wetu Muhamad na jamaa zake na Sahaba zake wote. Ama baada ya utangulizi huo mfupi, tuangalie mada yetu ya leo juu ya kuondoa ugumu kwa watu kama ilivyobainishwa kwenye somo la makala. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ameondoa ugumu kwa watu wake na amewawepesishia na hakufanya kwenye dini hii taabu kwa viumbe vyake, ili waendelee katika ibada zao kwa mwenyezi Mungu mtukufu. Amesema Mwenyezi Mungu, A n a t a k a M w e n y e z i
Mwenyezi Mungu zaka kwa mtu asiye na uwezo bali ameilazimisha kwa matajiri tu. Na kwa upande wa Hija Mwenyezi Mungu amelazimisha Hija kwa mwenye uwezo tu. Amesema Mwenyezi Mungu, Na ameamrisha Mwenyezi Mungu kwenda Hija kwa mwenye uwezo, tena kwa njia zake Surat al- Imrani aya ya 97. Na kwa yule asiye na uwezo, huyo hana Hija na takayekuwa mgonjwa, basi anaweza kumwakilisha mtu akamuhijie kwa sharti kuwa ameshakwenda Hija yake. Imekuja toka kwa Mtume (SAW) kwamba alikuja mtu kwa Nabii Muhamad (SAW) akasema, ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Faradhi ya Hija imekuja na baba yangu ni mkongwe hawezi kwenda Hija je, niende nikamuhijie? Akasema Mtume, Muhijie baba yako na ufanye umra.
P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA! Wabillah Tawfiiq MKURUGENZI
16
AN-NUUR
MAKALA
16
AN-NUUR
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na Mkurugenzi wa Radio Al-Noor Sheikh Mohd Suleiman baada ya kutembelea studio za kituo hicho zilizoungua. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Al-Noor Charitable Agency Sheikh Nadir Mahfoudh, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharib Mhe. Abdallah Mwinyi. (Picha na Salmin Said, OMKR) gharofa ya pili ya wagonjwa ambaye amepata majeraha Fakih atalazimika kubakia hospitalini hapo kwa kipindi w a l i o p a t w a n a a j a l i katika miguu yake yote kisichopungua miezi miwili, mbalimbali. miwili pamoja na mkono wa lakini akielezea kuwepo Kwa mujibu wa daktari wa kulia, hali yake inaendelea matumaini makubwa ya zamu wa hospitali hiyo Dk. vizuri. kupona na kuendelea na shughuli zake. Said Omar, mgonjwa huyo Hata hivyo amesema Ust.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.