Documentos de Académico
Documentos de Profesional
Documentos de Cultura
Sauti ya Waislamu
Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 19 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 11 Novemba, 2012. Wahi kujiandikisha sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, +25 22 2182370, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: tmht@live.com, info@hajjtrusttz.org Website: wwwhajjtrusttz.org
ISSN 0856 - 3861 Na. 1029 SHAABAN 1434, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
na kuwashitaki kwa Allah wanaokula njama kuididimiza nchi hiyo. Dua hiyo iliyofanyika Masjid Shurba, Kidongo Chekundu,
Inaendelea Uk. 2
UMATI wa Wazanzibari wakiwa katika dua maalum Kidongo Chekundu Zanzibar mwezi 17 Ramadhan.
Kama Karume alivyomkabili Nyerere 1970 Moyo akumbusha ya Nyau, Twalla, Hanga Achua uhuni aliofanyiwa Salum Rashid Ilikuwa wakati nyeti wa kujadili muungano
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
AN-NUUR
AN-NUUR
MAONI YETU
wakidai haki zao kwa serikali. Sisi tunaona kuwa kuwasitisha walimu hao kushughulikia sensa, ni kama adhabu kwao kwamba, wanaochukua hatua hiyo, wanaamini kuwa walimu ni watu wa kipato haba hivyo posho za kusimamia mazoezi haya ya kitaifa, huleta ahueni kwao kimaisha. Hivyo kwa kuwazuia kutakuwa kumewakosesha posho ambayo waliitarajia na kuisubiri kwa hamu na ambayo pengine walishaipangia bajeti. Lakini pia uamuzi wa kuwaondoa walimu katika zoezi ni kuwakomoa kwa mgomo wao dhidi ya serikali. Kwamba kwa kuwa wameigomea serikali, basi hakuna haja tena ya kuwatumia katika kazi za serikali waliyoigomea. Ni mtazamo wetu kwamba pamoja na watawala kuona kwamba wamechukua hatua za busara na kuona kama ni dawa ya wale wanaowaona kuwa ni wakorofi kwa serikali, lakini hawakutathmini ni athari ganmi itatokea katika zoezi la sensa safari hii kwa kukwaruzana na kuwaadhibu watumishi ambao ndio wamekuwa msingi wa kufanikisha utekelezaji wa mazoezi ya kitaifa nchini. Wasiwasi wetu mkubwa ni kwamba, walimu kwa hasira hiyo hiyo ya watawala wa serikali hususan wakuu wa mikoa, nao wanaweza wakachukua hatua za kuhamasika kutupilia mbali kuhesabiwa wao na familia zao katika sensa kwa kuwa wanaweza kuona kuwa hawapotezi kitu. Iwapo walimu 100,000 wakichukua maamuzi ya kuzira kufuatia kadhia hii, wao na familia zao, halafu wakaungwa mkono na wenzao ambao hawakuwemo katika orodha ya kuhesabu watu, ambao watakerwa na kitendo cha kuondolewa wenzao kwa hisia zile zile kwamba, wenzao wameondolewa kwakuwa wamegoma kwenda kazini sababu ikiwa ni kudai maslahi yao, sensa hii itakuwa na kasoro. Achilia mbali jamii y a Wa i s l a m u a m b a o n a o wameazimia kugoma kuhesabiwa, nao wakiwa na madai yao kwa serikali ambayo nayo yamepuuzwa.
hivi sasa ni viongozi wao wa Kiislamu. Hali hiyo imekuja baada ya wananchi kuona kuwa Masheikh hao ndio wanaopigania haki zao katika muungano bila ya woga na kudai Zanzibar huru yenye mamlaka kamili na Dola kamili ya Zanzibar kama ilivyokuwa kabla ya muungano. Masheikh hao wamekuwa wakisema wazi kuwa wanachotaka sio kuvunja muungano, lakini kupigania haki na hadhi ya Zanzibar katika muungano na pia kupigania heshma ya Rais wa Zanzibar ambaye hivi sasa anaonekana akielea tu katika serikali ya muungano pasi na mamlaka yoyote.
vinaona na kusikia mengi kutoka kwa hawa jamaa na kwa kuwa Baraza liko kisheria na linazingatia umuhimu wa AMANI NA UTULIVU, limeamua kukukumbusha kuhusu barua ya tarehe 03/08/2011. Tunahofia kwamba wakizidi kuendelea kuwepo hapo, watazidi kujijengea imani yao ya kipuuzi ambayo ni hatari kama ile ya ndugu zao walivyofanya kule Zanzibar na kwingineko duniani. Ni mategemeo yetu kuwa utatupa ushirikiano wako, kwani watu wa dhehebu hili ni kero kwa jamii nzima ya KITANZANIA nasi hatuna uhusiano nao. (na) Ili kuweza kuepukana na kadhia iliyopo mbele yetu kutokana na kundi hili tunaomba sasa tupewe msaada kuwaondoa kwa haraka sana katika hii mali wanayoiharibu na kutumia visivyo. Inamalizia barua ya Abdallah Salim, Mwenyekiti Baraza la Mtaa la Bakwata Mtaa wa Bondeni, Kata ya Kati. Kinachoonekana hapa ni kuwa watu hao wa Bakwata wanataka kutumia hali ya viongozi wa Waislamu kupingana na serikali juu ya suala la sensa kutaka ijioneshe kuwa ni malaika wa heri wa kusaidia serikali na serikali nayo isaidie kuwaweka madarakani katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Bondeni. Ni vita ya kimasilahi ambayo kwa bahati mbaya watu hao wanaitumia kujenga fitna na farka miongoni mwa Waislamu. Barua inayofanya tna hiyo imenakiliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Asa Usalama wa Taifa (W)Arusha na OCD Arusha.
Habari
AN-NUUR
SERIKALI imedaiwa kuwadhalilisha Masheikh na kuwatukanisha mbele ya waumini wao kutokana na kuwatumia kutoa hoja lemavu za kuhamasisha sensa kinyume na madai ya Waislamu. Aidha, imedaiwa kuwa serikali yenyewe imekuwa ikikiri ki-aina kwamba imekuwa ikighushi idadi ya Wakristo nchini na baada ya kuzomewa ndio imefanya suala la idadi ya watu kwa mujibu wa dini zao kuwa jambo nyeti kwa sababu kuna agenda ya kuwahujumu Wa i s l a m u k a m a a m b a v y o imechuliwa katika nyaraka na vitabu mbalimbali. Hakuna Muislamu aliyetoa hoja kuwa sensa ni haramu, hakuna Sheikh aliyetoa Hadithi ya Mtume (s.a.w) akidai kuwa inapinga sensa, sasa kuwatumia Masheikh kudai kuwa hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwanza ni kupotosha ukweli, lakini baya zaidi ni kuwatukanisha na kuwadhalilisha Masheikh mbele ya waumini wao kwa sababu wataonekana wazi kusema maneno ambayo si yao. Amesema hayo mwananchi mmoja akisema kuwa ingekuwa jambo jepesi kwa serikali kujenga hoja au kuwatumia Masheikh hao kujibu hoja zinazosemwa wazi na wapingao kushiriki sensa kuliko kuja na mambo ya kuzua. Ameyasema hayo kufuatia taarifa iliyotolewa juzi ikiwanukuu Masheikh mbalimbali wa Zanzibar akiwemo Mufti wa Zanzibar Sheikh Omar Kabi na Kadhi Mkuu pamoja na Sheikh Soraga wakihamasisha Waislamu kushiriki sensa. Mufti Zanzibar anasema Waislamu washiriki sensa kwa sababu hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwa hiyo wawapuuze wanaowakataza kuhesabiwa, Muislamu gani au Sheikh gani alimsikia akisema sensa ni haramu? Alisema mwananchi huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mzee Sha akiongea na mwandishi wa habari hizi jana. Kwa jinsi nilivyomtizama Mufti wa Zanzibar akiongea katika taarifa ya habari ITV Jumatano saa 2 usiku, unaona kabisa kwamba huyu katumwa kuyasema hayo, maana anasema mwenyewe anababaika, serikali itawadhalilisha Masheikh wetu mpaka lini? Kama ni kuwatumia kwa nini isiwatumie kistaarabu? Kwa nini isiwape zile hoja wanazotoa viongozi wa Waislamu ndio ikawaomba wasaidie kuzijibu?. Alisema Sha na kuhoji. Wa i s l a m u w a n a s e m a kuwa kumekuwa kukitolewa takwimu zenye kuonesha idadi ya Waislamu na Wakristo huku baadhi ya taasisi zinazofanya hivyo zikiwa ni za serikali, wakati hakuna sensa iliyofanyika
Baadhi ya viongozi wa Kiislamu wamekuwa wakisema kuwa wanahisi kuna ajenda ya kutengeneza takwimu za kuonesha Waislamu ni kidogo Tanzania na hatimaye kutumia hizo takwimu kuwanyima haki
kuwa ndiyo idadi ya Waislamu inayoghushiwa kila leo, haiwakilishi Waislamu katika fursa za elimu, ajira na nafasi za madaraka kiserikali nchini. Katika maeneo mbalimbali wapo chini ya asilimia 20 mpaka 10 au kutokuwepo kabisa. Sifuri. Kwa hiyo kuwepo kwa kipengele cha dini katika sensa hata kama kitaonesha kuwa Waislamu ni wengi au wapo sawa kwa sawa na Wakristo, sio kitakachoondoa wanachodai Waislamu hivi sasa kuwa ni ubaguzi katika elimu, ajira na nafasi za madaraka serikalini. Kitakachosaidia ni kujitambua, kujielewa, kukataa kupunjwa na kuthubutu kuhoji bila ya hofu na kuzomea kama alivyoonyesha mfano Mzee Edwin Mtei. Lakini kama mtizamo utakuwa huu huu finyu na potofu kama ule wa Mufti wa
Bakwata wa kusimama upande wa serikali na kumshutumu Mzee Mtei, Waislamu wataendelea kubamizwa kwa miaka mingi ijayo. Alichosema Mtei ni kuwa japo tunadai kuwa serikali haina dini na hachaguliwi mtu kwa sifa ya dini yake, lakini imani ya mtu ina mchango mkubwa katika mtizamo na maamuzi yake katika utendaji wa kila siku. Kwa mtizamo huo, wakikaa kwa mfano Wakristo watupu katika Baraza la Mitihani, huwezi kuondoa ubinadamu wao na Ukristo wao wakapendelea watoto wa Kikristo. Na ndio maana wanapokaa peke yao chini ya Mwenyekiti Padiri katika kuteuwa wanafunzi wa kwenda ama kidato cha kwanza au cha tano, hukata watoto wa Kiislamu na kuweka akina Jackson wengi. Hili lina ushahidi si jambo la kuzua na ndio maana Waislamu wamewasilisha waraka maalum serikalini wakipinga dhulma kama hizi na kutaka wahusika wachukuliwe hatua ikiwa ni pamoja na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Dr. Joyce Ndalichako aliyechakachua matokeo ya vijana wa Kiislamu. Ndalichako ambaye ameajiri Mchungaji kusimamia masilahi ya vijana wa Kikristo katika Baraza la Mitihani lakini
amekataa kuajiri Mratibu wa Somo la Maarifa ya Uislamu na Lugha ya Kiarabu. Utati usio rasmi uliofanywa na baadhi ya taasisi za Kiislamu unaonesha kuwa walimu katika Shule za Kata katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani katika maeneo yenye Waislamu wengi, wamekuwa kama wapo katika mgomo au waliopewa maelekezo maalum. Hawafundishi wala kujali hatma ya wanafunzi wao kimasomo na maadili. Utati huo unaonyesha kuwa hata akija mwalimu mgeni mwenye mtizamo tofauti na akajitahidi kusaidia watoto, hufanyiwa kejeli na kila aina ya vitimvi kukatishwa tamaa. Wa n a d a i , u t a f i t i w a o unaonyesha kuwa wengi wa walimu hao walio katika mgomo baridi wa kusomesha katika Shule za Kata ni Wakristo. Na ndio maana wanasema kuwa hata kama kipengele cha dini kitaingizwa katika dodoso la sensa, maadhali wahesabuji kwa asilimia 80 watakuwa walimu ambao ni Wakristo, takwimu zao hazitakuwa za kuaminika. Watachakachua kwa hiyo lazima uandaliwe utaratibu mpya zaidi ya ule wa kuwa na mawakala katika uchaguzi ambapo pamoja na wakala mtu anakosa kuona hata kura yake aliyopiga mwenyewe.
na sarafu yake, Polisi na kuwa na maamuzi katika kupeleka jeshi vitani, halikadhalika mambo ya nje. Kwa hiyo, anasema kama ni fujo wameanza wazee, vijana hivi sasa wanaendeleza tu na akawataka viongozi wa serikali kuwa wakweli na kuacha woga. Amesema, hivi sasa Rais wa Zanzibar hana mamlaka yoyote katika siasa na mahusiano ya kimataifa baada ya suala la Ushirikiano wa Kimataifa kufanywa ni la muungano. Mfano ushirikiano wa kimataifa, halikuwa ni jambo la Muungano katika hapa wakaliongeza la Ushirikiano wa kimataiafa, hilo limeingia kinyemela tu, kwa sababu hiyo hata Rais wetu akienda Nairobi hapo hawezi kutia hata saini kununua unga wa ngano, hawezi mpaka ruhusa ipatikane Bara. Akasema Mzee Moyo na kuongeza kuwa hata hili suala la kujadili Katiba hivi sasa limekuja kinyumenyume. Akataka jambo la mwanzo lifanywe mwanzo kwanza, kwamba watu wajadili kwanza muungano wakubaliane unatakiwa uwe wa namna gani na ndio huo uwekewe vipengele katika katiba. Katiba unamtengezea nani? Madogori? Tuzungumze muungano kwanza. Amesema Mzee Moyo na kusisitiza kuwa yeye anataka muungano wa kimkataba. (Soma maelezo kamili ya Mzee Moyo akiongea na waandishi wa habari Jumatano wiki iliyopita Uk. 10)
Habari
AN-NUUR
SIKU ya Ijumaa tarehe 3 Agost Sheikh Mohamed Idd aliulizwa maswali kuhusu kadhi wa BAKWATA na yeye akajibu maswali hayo kwa maudhui yenye kichwa cha habari: Kumpokea Kadhi ni nusu shari na kumkataa ni shari kamili. Chini ya kichwa cha habari hiki kuna maoni mengi kuhusu kadhi huyu lakini kwa bahati mbaya, yote yalikua ni ya kukurupuka tu. Bali hata hicho kichwa cha habari chenyewe ni cha kukurupuka tu kwa sababu katika Uislamu hakuna lugha hiyo. Kwamba kitu kimoja hicho hicho kukikubali ni dhambi ndogo na kukikataa ni dhambi kubwa. Istilahi ya aina hii Sheikh Mohamed Idd kaipata wapi? Hata huko TAMTA alikosoma istilahi hii haiko. Suala hili liko wazi kuwa huu ni munkar na ni wajibu juu ya Waislamu kuupinga na kuuondoa kwa nguvu zote. Serikali ilitoa ahadi nyingi ( k u p i t i a Wa z i r i M k u u )
SHEIKH Alhad Mussa. Unateuwaje Kadhi kabla mfumo wa Mahkama nchini hujaunda Mahkama yenyewe? kabla na baada ya Mufti Nini hadhi ya Kadhi wa wa Bakwata kutaja Kadhi? Bakwata katika mfumo wa Mbona tunakuwa wapofu na Sheria nchini hivi sasa? wachovu wa kujua mambo Sheria gani ya nchi imewekwa kiasi hiki? kumtambua Kadhi huyo, kazi zake na mamlaka yake? Kipi Imeandikwa na : Saidi kimezidi au kupungua katika Kesi Mbwimbwi
TANGAZO LA ITIKAF
TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK
TA A S I S I I N AY O S H U G H U L I K A N A KUSAFIRISHA MAHUJAJI. I N A WAT A N G A Z I A WA I S L A M U W O T E WA K E K WA WA U M E I T I K A F ITAKAYOFANYIKA INSHAALAH; MAHALI SIKU YA JUMAPILI MUDA ISHAI MASJID NNUR SINZA JUMAMOSI KUAMKIA
MADA - ZITATOLEWA NA MASHEKH MAHIRI MUHARAMI JUMA DOGA/ TWAHA BANE AMIRI KUNDECHA/ AMIRI HOFU/ YUSUF MACHELENGA. WABILLAH TAWFIQ
RAMADHANI KAREEM
Tangazo
AN-NUUR
The following candidates have been aproved by TCU to join various undergraduate degree programmes at the Muslim University of Morogoro for the Academic year 2012/2013. The University will open on 1st October, 2012. The selected candidates should come with their original certicates for registration. The registration fees is Tshs 30,000/=
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 1 2 3 4 5 6 7 8 9
B.BUSINESS STUDIES ABDULLAHI SULEIMAN MTONI ABDULRAHMAN OMAR KABELWA ADIA JUMA KAWAMBWA AHMED NASSOR SENKONDO AISHA ATHUMANI RAMADHANI ALLY MSUNDA ALLY AMASHA ABDALLA ATHUMANI SWAIBU DAUDA AZIZA ATHUMANI SHIMBO AZIZI SAIDI GOMBERA FADHIL JUMA KASSIM FATUMA ABASI EL-SHIRAZY HADIJA SALUM MSAFIRI HAMISI HASHIMU KADIBA HAMISI MAHAMOUD NANNIMUKA HASSANI NGOMA RAMADHANI ISSA HEMEDI HAMISI JAMAL AHMED SAAD JUMA A HUSSEIN JUMANNE MWOMBEKI MKANGWA KAUNDIME OTHMAN JUMA KHALID SAID MAMBULI KHATIB KHAMIS ALI MJAKA ALI KOMBO MOHAMED HAMAD MKULE MOHAMED SWEDI MSELEM ALLY SEIF MWAFATIMA MOHAMED MWINYIGOHA MWAJUMA FARDE ZUBERI MWANAISHA ABDI ABU NABEEL MUSSA MARUA NGUNGU HUSSEIN HHANGALI OMARI HAMISI OMARI OMARY IBRAHIM OMARY RAJABU NUHU MKWIZU RAMADHANI MOHAMED MBANDE REHEMA RAJAB KINANDE ROBERT CHARLES MBONDE RUHWANYA MRISHO RAMADHANI SAID HASSAN KAPERA SAID KHAMIS MAGANGA SALEHE UWESO SALEHE SALUM MUSTAPHA MBEGA SAUDA ADAM JAMES STALIN JAPHET KIHUNGE STUMAI ABDALLAH HUMBARO YAHAYA MUSTAFA RAMADHANI YASINI JUMANNE MAULID ZAITUNI ABDALLAH ZAITUNI MUSSA MLANGI ZULFA PONGWA BSC WITH EDUCATION ABUBAKARI MJENGA MUSTAPHA ABUBAKARI RAMADHANI NDWATA ABUBAKARY SADIKI KANYOTA ADINANI MAHAMUDU MAWAZO AISHA RASHID ABUBAKAR ALHAMDU HAJI ALLY BAKARI ALLY MUSSA BENDERA ALLY MVOI ALLY
M M F M F M M M F M M F F M M M M M M M F M M M M M M F F F M M M M M M F M M M M M M F M F M M F F F M M M M F M M M M
10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76
AMAN HUSSEIN MKWANGA AMANI SELEMANI AMANI AMRI ISSA RULAMYE ASESO HAMISI ASHURA MUSSA UHAKO AWAMI UWESU FUMU AWESO MOMBA HAMISI AZIA ADAM ABBA AZIZA SULEIMAN MOHAMED BAKARI RAMADHANI BARUTI BASHIRU ZUBERI SHEKIYAO BUMANGA SHIGAGAGTA ITENDELEBANYA ELEVAN HAJI MALIKA FADHILI KADESHA FATMA JUMA MBUKUZI FATMA MOHD KHAMIS HAJI SUBEYA HAJI SUBEYA HALIMA ABDALLAH MWANGA HALIMA HAMISI SALUM HALIMA JUMA LUVASILE HAMISI BAKARI NDIDJO HAMISI RAJABU CHAMBULI HAMZA KONDO KUNGWA HANIFA RAJABU JUMA HARID MAGAMBO RAMADHANI HARUNA IDRISA MNGARE HASHIM KASSIM ATHUMANI HASHIM RASHID MWEMISIMA HASSAN ISSA MPANDA HENRY THABIT NGELLAH HUSNA YUSUPH TELELA HUSSEIN SAMIJI ALLY IBRAHIM HAMISI MAATU IDD JUMA IDD SALUM ABDILLAH IDD SALUM ABDILLAHI JAFARI ABDALLAH KAWALE JAFARI FARAJI MMILE JAFARI OMARI NGURANGWA JAMAL MNDOLWA SHEMDOE JAMES FRANSIS JAMILA HASSAN MABOTE JAMILA JIRANI HAKIKA JAMILA JUMA JORI JUMA BAKARI MTOPWA JUMA NGWESHANI MONERO JUMA RAMADHANI LABIA JUMA YASINI BUTOKI JUMAA SALIM ABDALLAH KASIM JUMA RAMADHAN KASSIM ISSA LICHANDA KHALID HAMIS KONDO KHALID RAJABU KIKWESHA JONAS MNYINDO KINDAMBA MBWANA KINDOMITE MAJALIWA SAIDI MARIAM SALUM MANNA MARIETHA ELIAS MWENDI MARYAM ALLY SALIM MATOVU YAI ZIADI MGENI SAIDI MOHAMED JUMA RWECHAKO MOHAMED NASSORO FARAJI MOHAMED SALEHE MAVURA MSAFIRI SELEMANI JUMA MUHSIM RUSHAKA
M M M M F M M F F M M M M M F F M M F F F M M M F M M M M M M F M M M M M M M M M M F F F M M M M M M M M M M M M F F F M M M M M M M
77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 1 2 3 4
MUSA MFAUME SAANANE MUSSA AYOUB MUSSA TWALIBU RAJABU MWAJABU IBRAHIM MWAJUMA OMARI LUNGO MWAJUMA SHABANI KUNAMBI MWAKA HAJI FAKI MZEE SAIDI NASIBU ALLY NASIBU SELEMANI LUHULO NASRA ABDALLA MAKOLELA NASRA SHAMBA SHOMARI NUNI KALUGIRA ABDUNURU OMAR MOHD ABDALLA OMARI SAID OMARI OMARY ISSA IDDI PATRISIA FORTUNATUS MWENAMBURO RAJABU ALLY MWINSHEHE RAJABU MABRUKI BAKARI RAMADHANI TAMIMU JUMBE RAMADHANI A RAMADHANI RAMADHANI OMAYA NDUNGURU RAMADHANI SAID MKUMBA RAMADHANI YASSIN KAYUNGILO RAMADHANI ZILI RAMADHANI RASHID MBALAMULA SAIDI REHEMA MASHAKA RAMADHANI RICHARD JUMA MKAMBALA SADIKI HAJI KARATA SALIM OMAR HAMAD SALIMU ISSA NKWIVI SALUM HAMISI CHALEMA SHAABAN CHARLES TESHA SHABANI MASSENGA SALUM SHABANI SAID SELEMANI SHAFII SWALEHE SAIDI SHELA JUMA SALUM SHINUNA JUMA MATSAWILLY SHOMVI SHABANI SUBIRA JUMA CHIZA SUDI YUSUPH SUENA TEMEKE KIKANAN SULEIMAN MAHAMUDU MUHAMED SWAUMU FADHILI SAALUM TARIQ MOHAMED ABDULRAHMAN TAUSI SALEHE DIWANI TERESIA MCHOME BASHIRI UMMY SHABAN KAUNGA UWESU MOHAMED SUWED YUSUPH AMANI MKETO ZAINABU OMARI MAULID ZAINABU RAMADHANI CHOTILE ZAKARIA MOHAMED MSENGA ZEPHANIA MTOI JOHN ZETI SHABANI MWISHEHE ZUBEDA BAHARI ABDALLAH ZUHURA IBRAHIM KAKOOLE B.A EDUCATION ABASI SALUM DIGALU ABASS KHAMIS MSELLEM ABBASI HABIBU KABWE ABBASI SHAIBU
M M M F F F F M M M F F M M M M F M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M F M F M F M F M F F F M M F F M M F F F M M M M
6
5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77
Tangazo
ABDALLA ALI ABDALLA ABDALLA MOHD ALI ABDALLAH AHMADI ABDALLAH ALI ABDALLAH ALI BAO ABDALLAH ALI SAIDI ABDALLAH SALIM KANGAJAKA ABDALLAH SALUM NGATAWA ABDALLAH WAZIRI UNGANDO ABDI SALEH JUMA ABDILAH ALI USSI ABDILLAH SALI LYANA ABDUL KATANGA MAULID ABDUL NURUDINI NAKUMNA ABDUL SHABANI KAPATE ABDUL SHABANI KAPATE ABDUL SHAKUL ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ABDUL-KARIM MOHAMED OGA ABDULMALIKI JAFARY MKWAWA ABDULRAHIM IDI MTALI ABEID ALLY MABRUKI ABEID SALUM ABILAH MKUNGA ABOUD HUSSEIN MUSTAFA ABOUD HUSSEIN MUSTAFA AB-TWAHIL AKILIMALI ABUBAKAR ABDALLA SALUM ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKARI RASHID ABDUL ABUBAKARI RAMADHANI KIMIA ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ABUBAKARY ABDULY KATUNZI ABUTWALIB MKANGA MPEMBEE ABUUBAKAR MOSHI RAJAB ADAM ADIM PILLY ADAM ADIM PILLY ADAM OMARY ADAM ADHRA SALUM ZAHORO ADIA ABDALLAH OMARI ADINA SELEMANI BAKARI ADIRATH ADADI MSAFIRI AFISWA AMIR NGAYANA AFSA JUMA UGANGA AGNES DAUDI MUGYABUSO AHAMADI JUMBE ABDALLAH AHMAD CHANDE AHMAD RASHID MAGETE AHMAD RASHID RAMADHAN AHMAD SALUM CHOPOTI AHMADI ABDUL AHMED FADHILI RAI AHMED SAID BAKAR AINATH KASSIM MSUM AISHA AYOUB OMARY AISHA MATHIAS KISHOSHA AISHA TWAHA KILUA AJIRATH HUSSEIN MGANGA AKAMA HAMDU HAJI AKIBA MOHAMED ULEDI AKIDU DAIMU PILLI AKTARI SABIHI ISSA ALFAN HAMISI SAIDI ALFANI BAKARI ALFANI ALI ABDALLA DADI ALI ABDI ABDALLA ALI FAKI JUMA ALI MASOUD ALI ALI MOHD ISSA M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F F F F M M M M M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M
78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150
AN-NUUR
ALI MZURI KHAMIS ALI RAMADHANI KHATIB ALI RAMADHANI KHATIB ALI SAID ALI ALI SALIM ABEID ALI SALIM HAJI ALI SALUM SIYAHI ALI SALUM SIYAHI ALI SALUM SIYAHI ALI SHARIF MOHAMED ALI YUSSUF ALAWI ALLY HASHIM MUSA ALLY MUSTAFA DANGA ALLY HAMZA SAID ALLY HASSAN ISMAIL ALLY HASSAN MUCHAN ALLY HASSANI MTAWANGO ALLY HATIBU NDITI ALLY HEMEDI MWEHUTI ALLY HUMUDI NDEGE ALLY IDRISA MIKUNGE ALLY JUMA DIGONZA ALLY MANGARA ALLY MAULID MSUYA ALLY MIRAJI ALLY ALLY MIRAJI ALLY ALLY RASHID MLOPOKAGE ALLY SAID MAUYA ALLY SAIDI LICHENJELE ALLY SAIDI NASIBU ALLY SAIDI OMARY ALLY SALIMU ZAHARAN ALLY SEIF KIWANGO ALLY SHABANI LENGE ALMASI AMIRI BAKARI ALPHONCE BELAS NGAPONDA ALPHONCE NESTORY MICHAEL AMANA ABDALLA ALI AMASHA HARIDI SIMBA AMINA ALI HASSAN AMINA ALI SOUD AMINA ATHUMANI MCHOPA AMINA HABABUU MOHAMED AMINA HABABUU MOHAMED AMINA HUSSEIN NGIDO AMINA KHATIB NASSOR AMINA MAKAME HAJI AMINA MOHAMED ABDALA AMINA MOHAMED YASSIN AMINA PAULA GAO AMINA SELEMANI HOZA AMINA SHABANI HUSSEIN AMINA SULEIMAN KATUGA AMRANI IDDY MWAJASHO ARABI MAURID RAHISI ARABIA ALI HASSAN ARAFA HARUNA MABARAZA ARAFA IDDI MOHAMED ARAFA SAIDI SELEMANI ARAFAT IDDI KYEJU ASHA ABDALLAH MWINYI ASHA ABDUL MIDUMA ASHA ALI HAMAD ASHA ALI KHATIB ASHA ATHUIMANI KISEMYA ASHA HAMAD MANJA ASHA IDD KUNKI ASHA KHATIBU MAUYA ASHA KOMBO JUMA ASHA KOMBO JUMA ASHA MOHD ADAM ASHA OMAR KOMBO ASHA RAMADHANI MSONGELA
ASHA SAID AMIR ASHA SALUM MAURID ASHA TWALIBU RAJABU ASHA YAZIDU KATIMA ASHIA OMARY ABDALLAH ASHURA ABUBAKARI KIMARO ASHURA KHATIB KHAMIS ASHURA OTHMAN MUSSA ASHURA SHABANI MAULID ASIA IBRAHIM NGAKOPEYA ASIA MAULID IBRAHIM ASIA RAMADHANI MPENDU ASIYA KHAMIS HAJI ASMA ABDUL GOMA ASNA MOHAMED LACHA ASNA MOHAMED LACHA ASNATH IDRISSA RAJABU ASUMIN BAKARI ATHUMAN AHMAD KAJIRU ATHUMANI ALLY MAKAME ATHUMANI ALLY MAKAME ATHUMANI HAMISI ITAMBU ATHUMANI ISSA MWENDA ATHUMANI JUMA BAKARI ATHUMANI MUSSA MSANGI ATHUMANI SAIDI MIRABO ATHUMANI SAIDI MIRABO AWADH ATHUMANI MACHIBYA AWENA SAID JUMA AWENA SAID JUMA AYOUB HAMISI CHILEMBU AYOUB HAMISI CHILEMBU AYOUB LOTH CHACHAGE AYOUB MOHAMED MAGHIMBA AYSHA SULEIMAN MSANGI AYSHA ZAHRAN MOHD AYUBU BAKARI UGASSA AZIZA AMOUR MABROUK AZIZA HAKIM MOHD AZIZA MOHD ALI AZIZI ABDALLAH LIKATY AZIZI ALLY MFAUME AZIZI ASEDI LYANGA AZIZI KIBWANA ABDALLAH AZIZI KIBWANA ABDALLAH AZIZI MOHAMED AZIZI AZIZI ULEDI HUSSEIN AZIZIZ AYUBU MDIMBE BADRU MAULID MTAMBO BADRU MAULID MTAMBO BAHATI MAALIM ALI BAHIA TANER ABUBAKAR BAKARI ABDARAHAMANI BAKARI HAMAD SHARIF BAKARI IDDI BAKARI BAKARI JAFARI BAKARI MOHAMED LINGAMBA BAKARI RAMADHANI MUSSA BAKUME ISMAIL RAJABU BARAKA ABDUL JONGO BASHIRU DAUDA BASHIRU HASSAN DADI BATULI YAHAYA NYANGE BAWAZIRI ALLY MBUMA BAYA BAKARI BERTHA GEORGE KAPUFI BILHUDA MIRAJI SHEMBOZA BIMKUBWA ABDULLA MASOUD BIMKUBWA KHAMIS SALIM BUKURU YAHYA KIBALIZA BURHANI HAMISI HUSSEIN BURHANI UWESU AHMAD BURHANI UWESU AHMAD
F F F F F F F F F F F F F F F F F F M M M M M M M M M M F F M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M F F M M M M M M F F M M F M F F F F F M M M M
7
224 225 226 227 228 229 230 231 232 233 234 235 236 237 238 239 240 241 242 243 244 245 246 247 248 249 250 251 252 253 254 255 256 257 258 259 260 261 262 263 264 265 266 267 268 269 270 271 272 273 274 275 276 277 278 279 280 281 282 283 284 285 286 287 288 289 290 291 292 293 294 295 296
Tangazo
CATHERINE GODFREY KOBA CHAUSIKU ALLY CHIBOKO JUMA ABDALLAH CHITELA MUSSA CHITELA CHRISTOM SIMPLIS DAROUS HAMAD SHAAME DAUDI JUMA GUMBO DAWA ALI HAJI DAWA SHURURU MAKAME DIANA MARTINI KONDO DOGO SHABANI SALUM DUA YUSSUF AMEIR EDWARD ALBERT KAYOMBO EMMANUEL DANIEL MUSSA FADHILA AHMAD MKOBA FADHILA IBRAHIM SAID FADHILA MMANGA MTUMWA FADHILI MWINYI KHAMIS FADHILI SAIDI FADHILI SHAHA SALUM FAHARIA SAID HAMAD FAIDA MANYAKALUMWA KABAJU FAKI KHAMIS JUMA FAKI KHAMIS JUMA FAKI SULEIMAN OMAR FAKI SULEIMAN OMAR FARAJI OMARY NDUNGWI FARAJI RASHID MSUSA FARIDA ALLY ATHUMANI FARIDA HASSAN FARIDA HASSAN MOHAMED FARIDA MAKAME KITWANA FARIJALA ALLY MSAGATI FARIJALA ALLY MSAGATI FARSHUU KHALFAN HAFIDH FATMA ABDULLA ZAHOR FATMA HABIBU ALI FATMA HAJI BAKARI FATMA HASSAN KHATUM FATMA IDRISA MAKAME FATMA IDRISA MAKAME FATMA ISSA MOHAMED FATMA JUMA NASSOR FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA MUSTAFA ABDALLAH FATMA OMAR ZAHOR FATMA OTHMAN HAJI FATMA RASHID BAKAR FATMA SAID SALIM FATMA YUSSUF HAMAD FATUMA ABDULLA KHAMIS FATUMA AHMAD KONDO FATUMA ALLY ABDALLA FATUMA ALLY BARAZA FATUMA AMRI SELEMANI FATUMA CHIBWANA DIHONI FATUMA HAJI JUMA FATUMA HAMADI KHALFAN FATUMA JUMA GOME FATUMA LAI MASIMBA FATUMA LAI MASIMBA FATUMA MABRUK NASSOR FATUMA MOHAMED SAID FAT U M A R A M A D H A N I FATUMA SELAMNI SAID FAUDHIA YUSUPH KHAMIS FEDHA KASHUSHU FEDHA SUDI SAID FIKIRI ATHUMANI KILUMBI FULUGECE I S S AYA FUM HAJI ALI F F M M M M M F F F F F M M F F F M M M F M M M M M M M F F F F F M F M F F F M M F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F M M
297 298 299 300 301 302 303 304 305 306 307 308 309 310 311 312 313 314 315 316 317 318 319 320 321 322 323 324 325 326 327 328 329 330 331 332 333 334 335 336 337 338 339 340 341 342 343 344 345 346 347 348 349 350 351 352 353 354 355 356 357 358 359 360 361 362 363 364 365 366 367 368 369
AN-NUUR
FURAHA KASSIM WAMBONAHENI HABIBA DAFA HASSAN HABIBA JUMA ABDALLA HABIBA JUMA ABDALLA HABIBU ABDALLAH MBENA HADIA ALLY SAID HADIA MACHANO JUMA HADIJA AHAMDI ALLY HADIJA HAMAD ABDALLAH HADIJA HAMASI MZEE HADIJA HOSENI SADIKI HADIJA MOHAMED IDD HADIJA MOHAMED MBAZI HADIJA OAMRI KONDO HADIJA ZAHIR MAEDA HADIYA ABDALLA SALEH HADIYA ABDALLA SALEH HADIYA SAID ABDALLAH HADIYA SALEHE YUSUFU HAFIDH ALI ABBSI HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAFSA ABDALLA MAHMOUD HAIDARI MUHIBU MOHAMED HAJI ADAM KHAMIS HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI BAKAR HAJI ALI JUMA HAJI ALLY USSI HAJI KHAMIS HAJI HAJI MUSTAFA SADIKI HAJI NASSOR NGOMENI HAJI SHASANI OMARI HAJI SHASANI OMARI HAJJI ALLY HAJJI HALIMA ABDALLA ALI HALIMA ABDALLAH HALIMA ALI NASSOR HALIMA ALI SALEH HALIMA ALLY HALIMA HEMED MPAKI HALIMA RAJABU IBRAHIM HALIMA SHABAN ADAM HAMAD ALI HAMAD HAMAD MOHD MADAFU HAMADI JUMA BAKARI HAMADI KIMOLO HAMADI KIMOLO HAMADI KIMOLO HAMDUNI JUMA MUKHANDI HAMDUNI JUMA MUKHANDI HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA HAMISI BAKARI HAMISI HAMISI FAKI SAIDI HAMISI HEMED MATESO HAMISI MASANDA YAHAYA HAMISI MLANDALI HAMISI NURDINI MAULID HAMISI RASHID MPENJA HAMISI SAID MKELE HAMISI SAIDI LUTAVI HAMISI SAIDI MGOWO HAMISI SHABANI UZIGO HAMOUD SAID BANDIO HAMZA OMARI ISSA HANAFI KHALFAN ALI HANIFA MOHAMED HANIFA SAID IDD HANIFA SAID IDD HARUNA KHAMIS MSALALE HARUNA RASHID KATEGILE
HASHIM ISSA BWIKILA HASHIM SAID MAZENGO HASHIM SAID MBOTONI HASINA HAMAD KHAMIS HASSAN ABDALLAH RWAMBO HASSAN ABDALLAH UWESU HASSAN BASHIR NDOSSA HASSAN HAJI MUHAMAD HASSAN HUSSEIN KAPONA HASSAN JUMA NUSURA HASSAN JUMANNE MAFELE HASSAN KOMBO HASSAN HASSAN MAKAME OMAR HASSAN MBWANA ALLY HASSAN SAID MAKUMBURA HASSAN SALUM KAPALATU HASSANA SADICK LUBENGE HASSANA SADICK LUBENGE HASSANA SADICK LUBENGE HASSANI ABDALLAH SELEMANI HASSANI ISSA MNYAMILI HASSANI JUMA DOU HASSANI KAYOYO HAWA ALI KOMBO HAWA ATHUMANI NKUSA HAWA HAKIMU KIBERA HAWA MSHAMU STEPHANO HAWA SHAABAN KOMBO HELENA MACHALLA MANYANDU HEMEDI BAKARI HERI HASSAN KITOGO HERY MAULID SELEMAN HIDAYA ALI NUHU HIDAYA BAKARI SAIDI HIDAYA KHATIB ALI HIDAYA TWAHA TASLIMA HIJA SALUM ISSA HIJA WILSON MUJIGABA HIJRA JUMA MSUMBA HILALI USSI ALI HOSSEIN SHABANI KAJIA HOSSEIN TUMBO SAIDI HUBA KHATIBU SAID HUBA RAMADHANI SHEHA HUDHAIFA MSISI ABDALLAH HUMUD AHMED SALIM SEIF HUSINA ZINGA HAJI HUSNA ALLY KATETA HUSNA BASHIR KIVOJA HUSNA IBRAHIM HUSSEIN HUSNA MAULIDY ZUBERI HUSNA SAID HUSSEIN ABDALLAH MSONZO HUSSEIN ALLY THABIT HUSSEIN AYUBU MKWIZU HUSSEIN KAYOYO HUSSEIN SWARD LUGOME IBRAHIM ATHUMANI DAUD IBRAHIM ATHUMANI NKUMBI IBRAHIM HAMAD ALI IBRAHIM KOMBO YAHYA IBRAHIM MOHAMED HONELLO IBRAHIM SHAWEJI KHALID IBRAHIM WALDI SILAYO IBRAHIMA AMANI MRESA IDD ABUTWAHI IDD MANYOZA MOHAMED IDD MOHAMED AWADH IDD MOHAMED KIJAMBA IDD MUSIBA WARIOBA IDDI MUSSA MADONJI IDDI SULEIMAN MFAUME IDRIS SULEIMAN HASSA
M M M F M M M M M M M M M M M M F F F M M M M F F F F F F M M M F F F F M F F M M M F F M M F F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M
8
443 444 445 446 447 448 449 450 451 452 453 454 455 456 457 458 459 460 461 462 463 464 465 466 467 468 469 470 471 472 473 474 475 476 477 478 479 480 481 482 483 484 485 486 487 488 489 490 491 492 493 494 495 496 497 498 499 500 501 502 503 504 505 506 507 508 509 510 511 512 513 514
Makala
IDRISA MOHD NAHODA IDRISA SADIKI RUKAMATA IDRISSA ALI HASHIM IDRISSA HASSAN ISSA IFADAT HABIBU SEIF ILIASA MADAI JAFAR IL-YASA KHAMIS SAID IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI THOMAS MAPUNDA ISAYA DANIELI LUKINDO ISAYA DANIELI LUKINDO IS-HAKA OMAR SULEIMAN ISMAIL ABDULRAHMANI MKONYI ISMAIL ATHUMANI HAJI ISMAIL ATHUMANI HAJI ISSA ABDALLAH MWISHEHE ISSA ATHUMANI ISSA BAKARI ISSA HAMDANI JUMA ISSA HAMISI ISSA HAMISI BOMBO ISSA JUMA ISSA ISSA MOHAMED YUSUPH JAAFARY SADIKI MRISHO JABIRI DAUDI MGOLI JACROBA OMARY DIOFF JAFARI APILA BONOMALLY JAFARI JUMA NGONDAVI JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY JAILANI AYUBU RAJABU JALIA AHMAD KAONEKA JAMALI HAMISI LINJEMBWA JAMALI HAMISI LINJEMBWA JAMALY MOHAMED KIMBUKWA JAMILA THABIT KOMBO JAMILA THABIT KOMBO JAMILA THABIT KOMBO JAPHARY ATHUMANI MSENGI JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY YAHAYA MWANDOBO JASMIN AKWILIN MAKOY JAZIRA NAJIBU JINA SEIF JUMA JOHA OMARI JOHARI IBRAHIM JOHARY OMARI MVUNGI JOHN SIMON KANGA JUMA ABUDU MUHIJA JUMA ALLY AHAMADI JUMA ALLY MATIGA JUMA ALLY MOHAMED JUMA ATHUMANI DOSSA JUMA FAKI WAZIRI JUMA HAJI JUMA JUMA HAMAD ABDULLA JUMA HILALI SHAABANI JUMA HUSSEIN SAID JUMA IDD BIZEI JUMA IDDI ABEID JUMA ISSA MBALAULE JUMA JUMANNE NJIKU JUMA KHAMIS ALI JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KOMBO VUAI JUMA MAKAME HAJI M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F M M M F F F M M M M M F F F F M F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M
515 516 517 518 519 520 521 522 523 524 525 526 527 528 529 530 531 532 533 534 535 536 537 538 539 540 541 542 543 544 545 546 547 548 549 550 551 552 553 554 555 556 557 558 559 560 561 562 563 564 565 566 567 568 569 570 571 572 573 574 575 576 577 578 579 580 581 582 583 584 585 586
AN-NUUR
JUMA MOHAMED MADAKU JUMA MOHAMED VUMBA JUMA MWALIMU JUMA JUMA NGONYANI JUMA RAJABU MSUKA JUMA RAMADHANI NTANDU JUMA RASHID KUNDEMA JUMA RASHIDI MTUMBA JUMA SHABANI AMIR JUMA SULEIMAN YUSSUF JUMANNE MLAMBALAZI JUMANNE HAMISI KOMBENGE JUMANNE OMARY MAKALA JUMANNE OMARY MAKALA KABOGO BARUANI HEMEDI KAHEMBA YUSUPH YANDIRO KAIMU MTULIA MRISHO KARAMA KHALID MOHAMED KARIM MOHAMED MPUTA KARIM SALUM CHINDORO KARIM SELEMAN CHAMBUSO KARIM ZOO SEIF KASIMU ABUU KASIMU KASSIM HAMAD JUMA KASSIM HASSAN KASSIWA KASSIM OMAR SULEIMAN KASSIM OMAR SULEIMAN KASSIM OMAR SULEIMAN KASULA HADJI KASOGOTA KATARINA PAUL MFINANGA KAUSALI ABDUL KAUTHAR MUHAMMAD MBARUK KAUTHAR YUSUPH HANEIN KAZIJA SALEH MZEE KAZUMARI RICHARD NGUNGURU KHADIJA ALLY SALUM KHADIJA ALLY SALUM KHADIJA AMIRI KIWANGO KHADIJA DAUD MTOLELA KHADIJA KOMBO MWINYI KHADIJA MAKAME HAJI KHADIJA MUSTAPHA AMIRI KHADIJA NAHODA JUMA KHADIJA SABIHI SELEMANI KHADIJA SALUM KHAMIS KHADIJA SHARIF ALI KHADIJA SIMAI FAKI KHALFAN KHAMIS AME KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFANI YASINI BWANGALO KHALFANI YASINI BWANGALO KHALID JUMA ALI KHALID KHAMIS KAPERA KHALID WAHID BAHORERA KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ALI OTHMAN KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI VUAI KHAMIS FAKI MATI KHAMIS GHALIB HASSAN KHAMIS HAJI KHAMIS KHAMIS HAJI UJUDI KHAMIS HAJI UJUDI KHAMIS HAMAD OMAR KHAMIS JUMA ABAS KHAMIS KOMBO MOHD
KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED MKOMANGI KHAMIS OMAR ALI KHATWIBU SIRAJI MAGAYANE KHEIR ALI MAKAME KHEIR ALI MAKAME KIBABE MUHIDINI MAKAME KIGUMI SAIDI KUBANGA KIGUMI SAIDI KUBANGA KIMANDA T MWAITA KINANDA I MWAITA KIROBO SELEMANI KITWANA JUMA ABDALLAH KOMBO ALI MTENGWA KOMBO MACHANO ABDALLAH KOMBO ZUBERI KUDRA ISMAIL NKUMBI KUJIJA JAFARI KUJIJA KURUTHUMU OMARY MOHAMED LAHAMDU ABDALLAH LIKENGE LAHIU SALEHE SHEMWETA LAILA ALI RIDH-WANI LAILATI JUMA NKANYEMKA LAINI MUSSA MKAMULIKA LATIFA SULTAN SEI LAURENT JOACHIM JOACHIM LIGHTNESS AMOS NJALI LUCAS PAUL LULUA SALIM ALI MABINA MOSHI MABINA MABINA MOSHI MABINA MAFUNDA HAMAD SAID MAFUNDA ISSA HEMEID MAFUNDA ISSA HEMEID MAHAFUDHA ISSA SALEH MAHMOUD ALI HAJI MAHMOUD HASSAN ABDULRAHMAN MAIMUNA MOHAMED KILINDO MAIMUNA SHABANI MAIMUNA SHABANI MAISARA ATHUMANI SAID MAJID SHABAN MWINGE MAJIDI AMRI MNINGWANELA MALABE HAMISI RUCHELA MALEPO OMARY OTHUMAN MALICK SHABAN MANZI ALLY CHUMO MAPESA W HAMZA MARIA ZAHORO SULEIMAN MARIAM ALLY SULEIMAN MARIAM DAFFA HAMISI MARIAM FADHIL ALI MARIAM HASSAN KWELEZA MARIAM MOHAMED ALLY MARIAM MOHAMED NJUKI MARIAM MOHD RASHID MARIAM MUSSA KAWAMBWA MARIAM OMARI MSEDE MARIAM SWALEHE NCHASI MARIAMU FRUMENCE MGAYA MARIAMU RASULI ABDALLA MARICK SAID BYAMBWENU MARIJANI AHMADI MBUYU MARIJANI RAJABU MARIYAM ALI JUMA MARIYAM MFAKI YUSSUF MARYAM ALI SAID
M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F M F M F F F M F M F M F M M M F F F M M F F F F M M M M M M M F F F F F F F F F F F F F M M M F F F
9
659 660 661 662 663 664 665 666 667 668 669 670 671 672 673 674 675 676 677 678 679 680 681 682 683 684 685 686 687 688 689 690 691 692 693 694 695 696 697 698 699 700 701 702 703 704 705 706 707 708 709 710 711 712 713 714 715 716 717 718 719 720 721 722 723 724 725 726 727 728 729 730
Makala
MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM KHAMIS FEREJI MARYAM KHAMIS SALIM MARYAM MUHAJIRI MOHAMED MARYAM OMAR MOHD MARYAM YUSSUF ALI MASHA MOHD SALIM MASHAKA PAULO BUNDALA MASHAVU MSHAMARA CHUMU MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MASOUD HUSSEIN ABDALLA MASUDI RASHIDI NTIMPEMA MAUWA SHOMARI JUMA MBARAKA ALLY CHIMELA MBARAKA MOHAMED MATUTU MBARAKA NYONA HAJI MBAROUK ABDALLA OMAR MBAROUK SULEIMAN RASHID MBELU MUHAMEDI MFAUME OMARI MFAUME MGENI ABASS HAJI MGENI ABASS HAJI MIHAYO LUBAPULA MIKIDADI HAMISI MILDRED W SELULA MINIHAJI HARUN JUMA MIZA MAULID HAMADA MKASI SILIMA USSI MKIWA KIZIGINA ATHUMANI MKOMBOZI ALLY MWEGOLE MKOMBOZI KAPAYA MKOSONI HAJI HAROUN MKUBWA A HAMAD MKUBWA ALI HAMAD MNGWALI HASSAN FAKI MOHAMED ALI MOHAMED MOHAMED ATHUMAN SARAI MOHAMED HAMISI ALLY MOHAMED HAMISI LIMBOKA MOHAMED HUSSEIN SELEMANI MOHAMED ISSA OMARI MOHAMED ISSA OMARI MOHAMED JUMA OMARY MOHAMED KIASSIM MANULA MOHAMED KUZIGA MOHAMED MFAUME HIOGORA MOHAMED MKETO FADHILI MOHAMED RAJABU MOHAMED MOHAMED RASULY CHELANGWA MOHAMED SAIDI RUDIKI MOHAMED SELEMANI NGOI MOHAMED SHEHE HAMISI MOHD ALI NAIM MOHD HAJI KHATIB MOHD HAMIMU ALI MOHD R. HABIB MOHD SULEIMAN HIJA MOHD SULEIMAN HIJA MOHD SULEIMAN HIJA MOROZEN SHIRAZ MZEE MOSES SAKILA MOSES MOSHI BIKWILA OMARY MPAJI ABUBAKAR OMAR MPAJI ABUBAKAR OMAR MPAJI ABUBAKAR OMAR MRASHI MAULID KATANDE MREMA HAKIM MSEMO MRISHO NGULANGWA MPITA MRISHO ZUBERI KAMBI F F F F F F M F F M F M M M M F M M M M M F M F F M M F M F F F M M F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M M M
731 732 733 734 735 736 737 738 739 740 741 742 743 744 745 746 747 748 749 750 751 752 753 754 755 756 757 758 759 760 761 762 763 764 765 766 767 768 769 770 771 772 773 774 775 776 777 778 779 780 781 782 783 784 785 786 787 788 789 790 791 792 793 794 795 796 797 798 799 800 801 802
AN-NUUR
MSHAMATA HASSAN MSHAMATA MSHANGI MASOUD ALI MSHAURI MOHAMED BOFU MSHINDO ALI KHATIB MTAALAM MAKAKILA MTOPA SAIDI MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA SALI MOHAMED MTUPE SALUM SEIF MUHADHIRU HAKIKA NAWEMA MUHAMED MASOUD ABDULLA MUHAMMADY IDRISA MIRUKO MUHIBU ISSA AHMADI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI ABDALAH MUHIDINI MUHIDINI ABDULY GEORGE MUHIDINI MOHAMED SABUNI MUKSIN I SAID MUSSA ABDUL GOMA MUSSA ALI SOUD MUSSA ALLY ABDALLAH MUSSA HAJI JAHA MUSSA HAJI JAHA MUSSA HAJI JAHA MUSSA HASSAN CHUTI MUSSA HEMED MRUMA MUSSA HUSSEIN MUSSA JANDIBU SALUM MUSSA MOHAMED MVOGOGO MUSSA RAMADHANI MUSSA MUSSA RASHID KUNJA MUSSA SHWAIBU MUSSA MUSTAFA JUMA HAMAD MUSTAFA MUSSA SEIPH MUSTAFA P NNUNDUMA MUSTAPHA AHMAD SWALEHE MUZNA HINDU MARUA MVITA MGENI MOHD MWADHI MOHAMED MUWINO MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWAITA IBRAHIM OMARI MWAJABU IBRAHIMMNGOYA MWAJABU MOHAMED NDULI MWAJABU MOHAMED NDULI MWAJABU OMARY MNGOMA MWAJUMA HAMIS NGENJE MWAJUMA KONDO MKWAMA MWAJUMA SAID SOMA MWAKADI OMARY BAYA MWAKUMUNA SALIMU KIDOMBO MWALIM OMAR HASSAN MWALIMU MOHAMED HAMISI MWALIMU WALII MOHAMED MWAMVUA OMAR SALIM MWANABARAKA MSENGA MRISHO MWANAFELA SHEBE MWANAFELA MKUU MWANAHAMISI JUMA MWARU MWANAHAMISI MUSTAFA MCHITIKA MWANAHAMISI SWEDI ALLY MWANAHAWA R MZEE MWANAHAWA RAJABU MWANAHIJA JUMA SALUM MWANAIDI OMAR MWINYI MWANAIDI PANDU VUAI MWANAISHA JUMA MWANAISHA JUMA ALAWY
MWANAISHA SHABAN MWANAISHA SHABAN SHEMTAWA MWANAISHA YASSIN MWANAISHA YASSIN ABDALLAH MWANAKHEIR ISSA SHAABAN MWANAKOMBO HAJI MWANAKOMBO HAJI HASSAN MWANALI SAIDI ALI MWANAMKUU SAID MWANAMKUU SAID LANGIA MWANASITI SAID OMAR MWANASITI SAID OMAR MWANAVITA MTALU MWANAVITA AUGUSTINO MTALU MWANZANI IDDY MWANZANI IDDY KIBASU MWANZO ABLAHAM LULAMBO MWARAMI OMAR MAPARILO MWASHAMBA JUMA KHAMIS MWASHAMBA JUMA KHAMIS MWASHAMBA T KUWA MWASHAMBA TWALHATA KUWA MWASITI IDD MWASITI IDD MRUKE MWATATU KASSIM MWATATU KASSIM NYALUSI MWEDADI ADINANI HAMISI MWEMA S MWAMBAPA MWEMA SETH MWENCHUMU HEMED BAU MWINJUMA HEMED KIMWERI MWINYI IDD BAKARI MWINYIMKUU JABU MAARUFU MZAMILU RAMADHANI OMARI MZEE AHME MWATANDA NABILA AZIZI NABILA AZIZI SIMAI NACHIA ALI SILIMA NACHIYA OMAR NACHIYA OMAR HAJI NADHIFA A ABDALLA NADHIFA KHAMIS HAJI NADHIRA HAJI HASSAN NADHIRU HASHNI HAMISI NADHRA YUSSUF ALI NAIMA H ALI NAIMA HESABU NAIMA K NOOR NAIMA KHUZAIMA NAJMA BARAKATI SWALEHE NAJMA JUMA NAJMA JUMA MASOUD NAMANGI MAVURA NASIBU BAKARI NGEREZA NASIR SALIM KITUKU NASIRI HARUNA MOHAMED NASRA ABULAZIZI KOOSA NASRA ABULAZIZI KOOSA NASRA AZIZI SIKWANDA NASRA MUSTAPHA SHAMTE NASRA SADALA URASA NASSIR CLAUS MALIKI NASSOR AMAN VUAI NASSOR HAMAD NASSOR NASSOR KASSIM RASHID NASSOR OMAR JUMA NASSOR OMAR JUMA NASSOR OMAR JUMA NASSOR USSI OMAR NASSOR YUSHAU ALI NASSUUNA SHAMILAH NASSUUNA NAZISHI MOHAMMED MADEA
F F F F F F F F F F F F F F F F M M F F F F F F F F M F F M M M M M M F F F F F F F F M F F F F F F F F F M M M F F F F F M M M M M M M M M F F
10
NIMEFURAHI sana kwa walionitayarishia vijana wangu kukutana na Waandishi wa habari, na wasomi wengine kuzungumzia mambo ya Muungano wetu. Kwanza naomba niseme mawili matatu kabla sijaanza kusema hayo niliyokusudia. Kwanza nimeweka haya katika karatasi hii, sitaki mje kuandika hovyohovyo. La pili nataka kuweka wazi kabisa, nimefurahi sana kunitayarishia mkutano huu. Katika maisha yangu sikuwahi kupata mkusanyiko wa magazeti kama huu, nimekuwa ndani ya siasa lakini sikupata kukabiliana na kundi la magazeti kama hivi. Nimekuwa nikikutana nao mmoja mmoja tu. Furaha yangu ni kubwa sana itaniwezesha kueleza watu nakiri nini juu ya nchi yangu. Nataka niseme kwamba wengi wenzangu wananiandika mimi wanavyotaka wenyewe na kuna choyo fulani ndani yake, ndio maana wakisikia Moyo kasema, nao wanastuka kwa nini kasema, ndiyo nasema. Nasema kwa sababu mimi ni mtu wa nchi hii, mimi nimezaliwa hapa. Kwa hiyo la kwanza ni kwamba mimi sikuwa muasisi wa ASP, na wala siku moja sikuwahi kusema hilo. Mimi nimekuwa mwanachama wa ASP, kuanzia mwaka 1957, sasa kama uasisi wangu, basi nimekuwa muasisi wa ASP chama kimeundwa na mimi nimekuwa mwanachama, lakini sio miongoni mwa waliounda ASP, mimi nilikuwa mdogo. La pili mimi sikuwa mmoja katika watu wa Mapinduzi waliokwenda Bomani kupindua Serikali ya Kikoloni, sikuwa. Na nataka niseme wazi sikuwa hivyo na wala sikuwa mmoja ya watu wa fourteen. Kwangu mimi si jambo la kufurahia memba wa fourteen (14). Naelewa nini maana yake, kwangu mimi hiyo haiwezi kuwa sifa. Wala siwezi kusema nimepata hasara kwa nini sikuwa memba wa fourteen. Mimi nimekuwa muasisi wa Baraza la Mapinduzi lililoundwa kama tarehe/ 12, mimi ndio nilikuwa mmoja katika hao, kama kuna watu walikuwa 30, nilikuwa wa kwanza, wa pili au watatu. Ile Serikali ya Mapinduzi inaundwa mimi ni mmoja katika memba wa serikali ya mwanzo kabisa. Kwa hiyo sikuwa muasisi wa ASP, sikuwa wa Fourteen, lakini nimekuwa mmoja wa Baraza la Mapinduzi. Nataka watu wanielewe hivyo, wasichanganye maelezo haya. Lakini sasa nikizungumza hivyo maana yake nini? Watu wanadhani yale Mapinduzi yalitayarishwa na wale watu 14. Lile ni kundi la vijana kwa maana nyingine Umoja wa Vijana wa ASP, ndio kundi lile la watu 14, na mimi ndio nilikuwa Rais wa mwanzo wa Umoja wa Vijana wa ASP, maana yake nini, wale ni wanachama wangu, wakatae basi. Sasa unapozungumzia habari ya Mapinduzi hayakuandaliwa tarehe 11 wala 12, watu wakaenda Bomani, No. Wanasiasa kama
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Ndugu Wazanzibari, Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatu, Nchi yetu iko katika kipindi muhimu katika historia yake ndefu na ni kwa mapenzi yake Allah SW kuwa kizazi hiki kipya cha leo kakichagua yeye mwenyewe kilete salama, amani na utengamano ambao ulikuwa umepotea kwa kipindi kirefu sana. Tunanyanyua mikono yetu juu kumshukuru Mola wetu kwa neema hii kubwa aliotufadhili. Sisi Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar tumepata faraja kubwa isiyo kifani kwanza kwa kushuhudia kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu wenyewe, ndugu zetu, Wawakilishi wetu, kusimama na kutetea maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila hofu yoyote ndani ya Baraza la Wawakilishi. Pili tumezidi kufarajika pale tulipopokea tamko
Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
lilioandikwa na Vijana wa Umoja wa Kitaifa (VUK) wakiwapongeza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa kuweka mbele maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila ya kujali itikadi zilizokuwa zimejengwa katika misingi ya vyama vya siasa na mavuno ya kisiasa. J u m u i y a n a Ta a s i s i za Kiislamu Zanzibar zimesikitishwa sana na tunakemea kwa hali ya juu kabisa vitendo vya vitisho na uchochezi vinavyoendeshwa na baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya wanachama wake na wananchi wa Zanzibar. Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kwa pamoja zinaamini kabisa kwamba baadhi ya viongozi hao wachache wa CCM kuwawekea wanachama wake masharti na muungozo na kikomo juu ya nini wanachoweza kukisema ni kuwanyima uhuru, utu na
ubinadamu wao wakiwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ni kinyume na haki za binadamu kwa mujibu wa misingi iliowekwa na Umoja wa Mataifa (United Nations), na ni kinyume na Katiba ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kitendo cha baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi kujaribu kuwafunga midomo na kuwatishia kuwafukuza kutoka chama hicho Wawakilishi halali wa chama chao waliochaguliwa na wananchi wa Zanzibar ni hatari na ni aibu kubwa kwa chama hicho kikongwe. Maneno ya kashfa na kebehi yaliolengwa na viongozi hao wachache wa chama hicho kwa viongozi wastaafu wa nchi tena waliotokana na chama chao ni vya aibu kubwa na ni hatari kwa amani, utulivu, na mshikamano wa nchi yetu. Inaendelea Uk. 11
Inaendelea Uk. 11
11
Inatoka Uk. 10
Mwaka 1961 kwenda 1962, niko Urusi masomoni, delegesheni za vyama Hizib na ASP, zinakwenda London, mkutano wa mwanzo wa Katiba, vyama vimekwenda kule kuzungumza Uhuru wa Zanzibar, Mzee Karume mwenyewe akaniletea Telegram, Moyo uende Uingereza ukaungane na timu ya ASP. Nikawaambia wakubwa zangu wa Chuo wakanipa tiketi, nikaendaa kuungana na wenzangu katika mkutano wa mwanzo wa Katiba, nilikuwa mimi na Marehemu Rajabu Swaleh, yeye alitokea Ghana tulikuwa na ofisi yetu kule akiiongoza yeye (Rajab), sisi wawili tukiwa ni waangalizi katika mkutano ule wa Katiba ya mwanzo kabisa. Mwaka 1961 mimi kijana miaka 27/28 kijana mdogo why mimi. ASP ikaniteuwa nafasi ya uchaguzi nikagombee Jimbo la Mangapwani, katika Baraza la Kutunga Sheria, nataka munielewe sana vijana leo nataka hawa wajinga wasikie nasema nini. Uchaguzi mwingine wa mwaka 1963, Mzee Karume akaniteuwa tena kusimamia uchaguzi, why mimi, nasema haya waelewe kuwa nilikuwa mtumishi wa watu, sikuwa kibaraka. Kwani wakati huo hapakuwa na vijana mbona walikuwa wengi tu, mbona hawakuchukuliwa na ndio hawa hawa wanasema maneno yangu. Sifichi leo nawaambieni, baada ya kuteuliwa mimi kuwa nitasimamia jimbo la Kiboje, katika uchaguzi wa 1963, na kama mnavyojua chama chetu ni Washirazi na Waafrika, jioni yake ya siku ile ile ya kuteuliwa. Wakatoka Wazee wa Kishirazi wakamuendea Mzee Karume nyumbani kwake pale Kisima Jongoo, wakamueleza kuwa Moyo, kule asisimame, asimame Nungwi kule kwa Mahizib na wakati huo ilikuwa Nungwi asimame Athumani Sharifu. Wakataka mimi niende Nungwi nikashindwe, Athumani Sharif aende Kiboje. Mzee Karume, akawaitikia, wanaondoka tu wazee wale Mzee Karume ananipigia simu, njoo Hassan, nakupeni siri si siri tena, nikaenda jioni akanimbia sikiliza wamekuja wale Washirazi, wakinitaka nikuondoshe kule nimewaitikia tu, lakini haiwezekani lakini utasimama Kiboje, siwezi kukuacha wewe kiongozi wa wafanyakazi hapana mcheze hapa. Na kweli hakunitoa Mzee karume nikasimama, na kweli nikashinda. Why mimi, kwani hapakuwa na kijana pale, kwa sababu nilikuwa najua ninalofanya na kwa sababu mimi nilikuwa na kundi la wafanyakazi. Wafanyakazi wa nchi hii ilikuwa nikisema wananisikia na nikiita mkutano wa wafanyakazi utadhani mkutano wa siasa, makomred wanaelewa tumepigania Uhuru wa nchi
Makala
AN-NUUR
hii. Muungano Sasa tunakuja katika hili suala ambalo nadhani wote mlikuwa na hamu ya kulisikiliza. Muungano wakati ule tunaungana ilikuwa Afrika yote inagombania kuwa na Serikali moja na tunaendelea kupigana baadhi ya nchi fulani ziwe huru. Sasa mazungumzo ya kuunda Afrika Mashariki yalikuwa yanaendelea, miaka sita
Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
Inatoka Uk. 10
Baadhi ya viongozi hao wachache wa Chama Cha Mapinduzi wanaendeleza ajenda ya Tanganyika dhidi ya Wazanzibari ya kuendelea kuitawala Zanzibar chini ya sera batili. Kwa miaka 48 (takriban nusu karne) sasa, Wazanzibari wamenyimwa uhuru wa kweli wa kuamua hatma ya Muungano kwa vitisho vya sera hizo. Sasa viongozi hao wachache wa CCM wanaendeleza kiini macho dhidi ya Wazanzibari na Watanzania kwa kuwaekea mipaka kwa hiyo tunawaomba wanachama wa CCM Zanzibar kuweka uzalendo mbele na kutumia haki yao ya maamuzi na kuirejeshea Zanzibar heshima yake mbele ya jamii za kimataifa na jumuiya za madola na ndani ya muungano wa mkataba watakaouridhia wananchi wa Zanzibar kwa umoja wao. J u m u i y a n a Ta a s i s i za Kiislamu Zanzibar haikubaliani hata kidogo na Azimio la baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi kwa wanachama wake wanaotoka Zanzibar ambalo linawashurutisha kusema ati serikali mbili bila ya mamlaka kamili ya kitaifa na kimataifa ya Zanzibar ndio msimamo wao. Kitendo hiki ni hatari kwa Zanzibar yenye hadhi ya kitaifa na ya kimataifa kwani nchi yoyote huru haiwezi kupata uhalali wa katiba yake ikiwa sehemu ya jamii imeshurutishwa na kunyimwa haki za msingi za kukiri na kuamua bila ya shinikizo na kitendo hiki kinakua hatari zaidi kwani CCM ndicho chama kinachotawala sehemu zote mbili za Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania. Ikiwa viongozi hao wachache wa CCM wanawashurutisha wanachama wenziwao, sisi wengine tunaamini tutanyimwa haki zetu juu ya aina ya mfumo wa utawala tuutakao sisi wananchi wa Zanzibar. Hata huko Tanganyika kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amefuatwa na kuambiwa kuwa sera ya chama chake ni serikali tatu. Waliomuendea wanahoji mbona CUF Zanzibar inaunga mkono hoja ya Wazanzibari ya kuitaka Zanzibar yenye mamlaka kamili na kufuatiwa na mkataba? Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar zitapinga kwa msimamo mmoja chama chochote cha kisiasa kitakachoonesha dhamira/nia ya kuisaliti
Inaendelea Uk. 15
Inaendelea Uk. 15
12
875 876 877 878 879 880 881 882 883 884 885 886 887 888 889 890 891 892 893 894 895 896 897 898 899 900 901 902 903 904 905 906 907 908 909 910 911 912 913 914 915 916 917 918 919 920 921 922 923 924 925 926 927 928 929 930 931 932 933 934 935 936 937 938 939 940 941 942 943 944 945
Tangazo
NCHONO FURAHA MOHAMED NCHONO FURAHA MOHAMED NCHONO FURAHA MOHAMED NEEMA DANIEL MMBANDO NEEMA KHAMIS MAKUMPIRA NEEMA MOHAMED MAVUMBI NEEMA SHOMARI FUNGO NEMGANGA BAKARI ZUBERI NGAIGWA ADAM YAHAYA NGANGAGE HASSAN MTEGA NICHOLAUS NTINDA BALELE NURDIN MAKONO HASSAN NURDIN SIAMINI HAJI NURU HUSSEIN HADINGOKA NURU IBRAHIM KIHOMBO NURU ISSA ALLY NURU OMARI MGONDA NURU SHABAN MNUBI NURUFATKA OMARY NURUFATKA OMARY MNOSA NUSAIBA ABDALLAH HANEIN NUSAYBATH ATHUMANI NUSYABATH BURUHANI NYAMIZI SALUM KINGENGENA OMAR ALI BAKAR OMAR ALI OMAR OMAR KAISSA MAKAME OMAR SAID LIPWATA OMAR SALUM KHAMIS OMAR SEIF KILAMBO OMAR SULEIMAN OMAR OMAR SULEIMAN OTHMAN OMAR SULEIMAN OTHMAN OMARI AHMADI SAIDI OMARI BAKARI CHITEMBEDYA OMARI H SAIDI OMARI HAJI TOJO OMARI MOHAMED OMARI NURDIN SAID OMARY MUSSA HAMISI OMARY SAID NGOMA OMARY SWALEHE SHEDAFA ONESMO BERDAN KILENZA OTHMAN HAJI MKUWI OTHMAN HAMAD SALEH PANUEL HEMED PANUEL HEMED KITIA PILI ALI PILI ALI NADA PONGWA KHAMIS PONGWA PRISILA KILIAN CHIHEU RABIHU ALBAKI RABIHU ALBAKI SALIM RADHIA MUSSA RADHIA MUSSA YUSSUF RAHIKA MAKAME RAHIKA MAKAME VUAI RAHIL MUSSA HAJI RAHIM MAKIYU KATENGA RAHMA HAMAD RAHMA HAMAD ALI RAHMA RAJAB RAHMA RAJAB MOHAMED RAJAB MOHAMED RASHID RAJABU ALLY RAJABU IDDI RAMADHANI RAJABU JAMES NYAMJANA RAJABU JUMAA RAMADHANI RAJABU NASSORO BATASHI RAJABU RAMADHANI SAID RAJABU SAIDI KITAMBULIO F F F F F F F F M M M M M F F F M M F F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M F F F F F F F M M F F F F M M M M M M M M
946 947 948 949 950 951 952 953 954 955 956 957 958 959 960 961 962 963 964 965 966 967 968 969 970 971 972 973 974 975 976 977 978 979 980 981 982 983 984 985 986 987 988 989 990 991 992 993 994 995 996 997 998 999 1000 1001 1002 1003 1004 1005 1006 1007 1008 1009 1010 1011 1012 1013 1014 1015 1016 1017
AN-NUUR
RAMADHANI AMANI GELEGE RAMADHANI BAKARI KASSIM RAMADHANI HASSANI MSHANA RAMADHANI ISSA MTUNGUJA RAMADHANI JUMA MBURU RAMADHANI KAKOMBE KHALFANI RAMADHANI M SHABANI RAMADHANI MOHAMED DILUNGA RAMADHANI MUHOZYA RAMADHANI OMARY JUMA RAMADHANI SAID SEMROKI RAMADHANI SAIDI MPONDOMOKA RAMLA FAKI RAMLA FAKI YUSSUF RAMUNA ALLY MUNISSI RAMUNA ALLY MUNISSI RASHID ABDULRAHAMAN MPANDANGINDO RASHID AHMAD RASHID AMIIR ABDALLAH RASHID AUNI CHISUSE RASHID GIDION LUTAMBI RASHID HAMZA KHAMIS RASHID IDRISA TINDWA RASHID JAFARI MALINO RASHID MABROUK MARSOUK RASHID MOHAMED SULEIMAN RASHID MZAMILO RASHID RASHID SALUM RASHID RASHID SELEMAN UMELA RASHID SHAAME JUMA RASHID YAHAYA MUHENGA RASHIDI ISSA GINGO RASHIDI ALLY GUGU RASHIDI SAIDI KINYOGOLI RAYA KHAMIS RAYA KHAMIS SHAIB REGINA KEYA NJOVU REHEMA BASHIRU REHEMA BASHIRU LUBUVA REHEMA DALLU REHEMA DALLU MAGILLA REHEMA MASHAKA REHEMA MOHAMED MLANDULA REHEMA SHOKO REHEMA SHOKO BASHIRI RIDHIWANI ALLY SAID RIDHIWANI ASHIRY KOMBA RIDHIWANI SAIDI ATHUMANI RIKKO HAROUN MASAI RIZIKI HATIBU RIZIKI HATIBU RASHID RIZIKI YAHYA SHEKOLOWA RUKIA ALLY ABDULLA RUKIA ALLY ABDULLA RUKULA JUMBE RUMANYIKA TIBEDA ABDULMARIK SAADA JUMA SAADA JUMA HAJI SAADA OMAR SAADA OMAR RASHID SAADA RIYAMI ISSA SAADA RIYAMI ISSA SAADULLAH AHMADA SABAHI SALIM A SABAHI SALIM ABDALLA SADA MUSSA JUMA SADA MUSSA JUMA
SADA YUSUF ALI SADICK AYOUB SADICK SADIKI MOSHI MPABUKA SADIKI RASHID KIGUNGULI SADIQ MASSAWE TWHA SAFIA BAKAR ALI SAFIA RAJAB MASOUD SAFINA IBRAHIM KATABARO SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID ABOUD JUMA SAID ALI SAID SAID ALI SHEHE SAID ALI SULEIMAN SAID ATHUMANI SAID SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMISI MAKONGORO SAID HAMISI MAKONGORO SAID HASSAN MKANDU SAID ISSA MKUMBACHI SAID JUMA ABEID SAID JUMA MUSSA SAID KHAMIS SAID SAID MOHAMED MTAMBO SAID MRISHO HASSAN SAID RASHID KHALID SAID SAHIM KOMBO SAID SULEIMAN ABDULA SAID SULEIMAN ABDULA SAID YUSSUF ALI SAIDA ADAN CHIMA SAIDI ATHUMANI NGAGAMA SAIDI HEMEDI NJONJO SAIDI RASHID MANGENYA SAIDI RASHID NAMPONDA SAIDI TEWA ATHUMANI SAIDI YUNUSI SAKINA RASHID NYANGE SALAMA ISSA ALLI SALAMA MOHAMED RASHID SALAMA MOYO ABEID SALEH HASSAN VUAI SALEH MASOUD SALEH SALEHE MUHIDINI MTAULA SALEHE SELEMANI NGESA SALHA ABDULRAHMAN SEIF SALHA KHAMIS SEIF SALHA OTHMAN KHAMIS SALHA SAID AHMED SALHA USSI MJENGO SALHINA KEIS MMANGA SALIM FAKI SALIM SALIM FAKI SALIM SALIM FAKI SALIM SALIM HAMISI ALLY SALIM HASSAN SULTAN SALIM ISSA OTHMAN SALIM KHAMIS BAKAR SALIM KHAMIS SHARIFF SALIM OMAR AHMED SALIMU ADINANI LIARE SALIMU DAUDI SALIMU SALIMU RAMADHANI SALMA MOHAMED NASSOR SALMA ALLY JUMA SALMA HAMISI CHISASA SALMA HUSSEIN MUSTAFA SALMA LLY SEIF SALMA MUHIDINI MTAWAMBA
F M M M M F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M M M M F F F F F M M M M M M M M M M M M M F F F F F F
13
1090 1091 1092 1093 1094 1095 1096 1097 1098 1099 1100 1101 1102 1103 1104 1105 1106 1107 1108 1109 1110 1111 1112 1113 1114 1115 1116 1117 1118 1119 1120 1121 1122 1123 1124 1125 1126 1127 1128 1129 1130 1131 1132 1133 1134 1135 1136 1137 1138 1139 1140 1141 1142 1143 1144 1145 1146 1147 1148 1149 1150 1151 1152 1153 1154 1155 1156 1157 1158 1159 1160 1161
Tangazo
SALMA SADICK JUMANNE SALMA SULEIMAN HAMAD SALUM AHMAD SALUM SALUM HABIBU SALUM SALUM HASSAN MUSSA SALUM MICHAEL MNONJELA SALUM MOHAMED MGENI SALUMU BURIANI NANDALA SALUMU BURIANI NANDALA SALUMU KAVENDE SALUMU OMARI SALUMU OMARI PACHANA SAMIA KOMBO MUSSA SAMIRA CHANDE KILOLA SANGIWA SALEHE SANGIWA SALEHE KINGWAHI SAUDA HASSAN HAJI SAUDA MIKIDADI MKOMANGI SAUDA MOHAMED ALI SAUMU ABRAHAMAN ALI SAUMU AME ALI SAUMU MBWANA MNYAMISI SAUMU MOHAMED ALI SAUMU MOHAMED ISMAIL SAUMU TALIB KASSIM SAVON DARAGI EDSON SEIF ALLY SEIF ALLY NAMBA SEIF MOHD SEIF MOHD SAID SEIF MZEE SEIF MZEE OMARY SEIF OMARI SEIF SEIF OMARI SEIF SEIF OMARY SEIF OMARY SEKELA FIDELIS MWAKINGILI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ADAM SELEMANI ADAM NYENJE SELEMANI AHAMAD SELEMANI AHAMAD MLEKE SELEMANI ATHUMANI SELEMANI ATHUMANI NAMNIMUKA SELEMANI BARAKA SELEMANI BARAKA BADI SELEMANI SAIDI SELEMANI SAIDI OMARY SELEMANI TWAHA SELEMANI SELEMANI TWAHA SELEMANI SELEMNI RASHIDY SELINA UNDERSON SHAABAN JUMA SHAABAN JUMA MTINDO SHAAME MAHAMUDU SHABAN ALLI SHABAN ALLI MGANGA SHABAN HAMISI SHABAN HAMISI MNAMBA SHABAN HAMISI SAGIN SHABANI ABDALLAH LABIA SHABANI HAMISI SHABANI HAMISI SHABANI JUMA SHABANI JUMA NAHAI SHABANI JUMANNE MAKOKO SHABANI MOHAMED HARIRI SHADIA IDRISA ADAM SHADYA DHAMIR KOMBO SHADYA ISSA SALUM F F M M M M M M M M M M F F M M F F F F F F F F F M M M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M M M F F F
1162 1163 1164 1165 1166 1167 1168 1169 1170 1171 1172 1173 1174 1175 1176 1177 1178 1179 1180 1181 1182 1183 1184 1185 1186 1187 1188 1189 1190 1191 1192 1193 1194 1195 1196 1197 1198 1199 1200 1201 1202 1203 1204 1205 1206 1207 1208 1209 1210 1211 1212 1213 1214 1215 1216 1217 1218 1219 1220 1221 1222 1223 1224 1225 1226 1227 1228 1229 1230 1231 1232 1233
AN-NUUR
SHAFII MAJID SHAFII MAJID KOMBA SHAFII SAID SHAFII SAID MUONGOLA SHAHA ABDALLAH SHAHA ABDALLAH DONGWALA SHAHAME MAHAMUDU LIKWEMBE SHAIB NOOR RUGEMA SHAIB NOOR RUGEMA SHAIBU FADHILI L SHAIBU FADHILI LYANGA SHALFINA NYANZA SHAMIMU SUED ALMAS SHAMSA OMAR AMIRI SHAMSHI OMARY CHANDE SHAMSI ABDUL SHAMSI ABDUL RUSHEKE SHAMSOIN SHIRIMA SHAMSOIN EPIMAKI SHIRIMA SHANI MACHEO SHANUNU RAHIM OMAR SHARIF KHAMIS SHARIF KHAMIS SHARIF SHARIFA ALI ABDALLA SHARIFA JUMA KHATEMA SHARIFA RASHID SELEMANI SHARIFA SELEMANI SHARIFU MASOUD MACHELA SHARIPH RASHID SHARIPH RASHID MATUMBI SHEKHE ABDALLAH SHEKHE ABDALLAH ALLI SHEMSA SAID SINAN SHEMSA SALUM ABDLLAH SHUFAA ALI NASSOR SHUFAA IBRAHIM NZARO SHUFAA JUMA SHABANI SHUFAA OMARY KABELWA SHUFAA RAMADHANI SIBELA ABASI YUSUPH SILAJI ABEID MUSSA SINGLESS BAKARI MRISHO SOMOE KHATIBU SOUD MOHAMED SALYM SOUD MOHAMED SALYM STUMAI ALLY SERERI STUMAI MBARUKU ALLY SUBIRA SHABANI KABELWA SUBIRA WITNESS ULEDI SUKUMA MAYENGA MASONGA SULEIMAN ABDALLA ABDALLA SULEIMAN ABDALLAH FIA SULEIMAN HAMAD BAKAR SULEIMAN MNGANA SULEIMAN SULEIMAN MSUYA SULEIMAN OMAR ZAHARAN SULEIMAN RASHID MOHAMED SULTAN NASSOR SUNA MWALASI AKIDA SURIA BAKAR HAMAD SWAFIA RASHID OMAR SWAHIBU SAID SEMROKI SWALEHE AMRI LONKA SWALIHINA MUSSA ZUMO SWAUM SAID KINDILE SWAUMU HUSSEIN LUHOLELA SWEDI ABDALA NJOMO TABU HUSSEIN KIMBUI TABU JUMA ATHUMANI TALIB SULEIMAN ALI TALINU ABDALLAH TALIBU TAMASHA ATHUMANI KIBEGWA
TATU HAJI KHAMIS TATU HAMDU MAKAME TATU KHAMIS HAJI TATU KHAMIS MASSOUD TATU MUHIBU MANDANJE TATU SILIMA KHAMIS TAUSI JUMA KITANO THUREA RAJAB JUMA THUWEIN THABIT MZEE THUWEIN THABIT MZEE TIME HAMAD ALI TIME KHAMIS MASOUD TIME MOHD MKUBWA TIME RASHID MBAROUK TIME SIMAI BAKAR TUMAINI RAPHAEL MWASHA TWAHIL HALFAN TWAIBA KHALIFA KWEKA TWALHA MASOUD ABDALLA TWALIBU SELEMANI HUSENI UDDY AHMARD NGILANGWA UMARU IBRAHIM ILIAS UMI HAMAD SIMAI UMMI SHAIB SALIM UMMI SHAIB SALIM UMMU-AIMANA JAABIR KOOSA UMMUL-KHEIR ABASI OMAR UMMULKULTHUM FAT-HUDIN ALLY USSI ALI OTHMAN UWESU YUSUPH NGOCHELE UZERI ABDALLA MOHD VICTOR JOHN TEMU WAHIDA HAROUB ALI WASTARA JUMA MASANYIWA WAZIRI SHABANI MDOE WEMA AYUBU SEIPH WEMA BARAKA KILONGOLA WEMA BARAKA KILONGOLA YAHAYA TALIB MUSSA YAHYA ALI AMOUR YAHYA MCHA ALI YAHYA MOHAMED MWINYI YAHYA MOHAMED MWINYI YAHYA SAID BAKARI YASINI MIKIDADI KABANGA YASINI MKONO YASINI MUSA MOHAMED YUSRA SILIMA ALI YUSSUF ALI RASHID YUSSUF ALLY MACHANO YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF NUHU ADAM YUSSUF NUHU ADAM YUSSUF OMAR KHAMIS YUSSUFU SHAABAN KASSIM YUSUPH ABDULLAH MIRARO YUSUPH ISMAIL MAKWESA YUSUPH ISRAEL STEPHEN YUSUPH MBUGUNI HAMISI YUSUPH SALEHE LUDIMO ZABIBA HAMAD MBAROUK ZAINA SHAMTE SAIDI ZAINAB KOMBO HAJI ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ ZAINAB SEIF ISSA ZAINAB SULEIMAN BAKARI ZAINAB YUSUFU TAHERALY ZAINABU HAMISI LUBUVA ZAINABU SAID NZIGE ZAITUNI MDIGO
F F F F F F F F M M F F F F F F M F F M M M F F F F F F M M M M F F F F F F M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M F F F F F F F F F F F
14
1306 1307 1308 1309 1310 1311 1312 1313 1314 1315 1316 1317 1318 1319 1320 1321 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55
Tangazo
ZAITUNI ABDALLA OMAR ZAITUNI ABDUL OMARY ZAITUNI HAJI ZAITUNI HAJI MDIGO ZAITUNI HAMISI MBAMBAMBA ZALIHA ALI HAJI ZAMDA JAPHARI MTUNU ZAMZAM KHELEF KIBAO ZARAFI HAJI LUAMBANO ZENA ALLY BWAKILA ZENA IDD CHAMWAGO ZUBEDA SHABANI ZUBEIR MATISHO MSUNGWA ZUHURA ALLY HAMDUNI ZULFA RAMADHANI SHEMTAWA ZUWENA RAMADHANI OMARI B.ISLAMIC STUDIES WITH EDUCATION ABASS JUMA MAKAME ABDALLA CHUM JUMA ABISALIT ALI SEIF AISHA YAHYA SUFIAN AK-THAR ALI MOHAMED ALHAJI SAID JUMA ALI HAJI SHEHA AME MWIGA SILIMA AMINA YAHYA MWECHE ANATH ATHUMANI MOHAMED ASAJILE JOSHUA MHANDO ASHA ADAMU MISSANA FATMA ALI YASSIN FATMAH ABDUL KIRIWE FLORENCE PIUS RWAIGEMU HAFSWA MNIRU MASOUD HALIMA KOMBO ABDALLA HAMIDA KHAMIS HAJI HAMISI ATHUMANI NGOLILO HAMISI WAZIRI MAZIKU HARITH ABDALLA MOHAMED IBRAHIM ALLY IDD IDRISA AMEIR JAMILA TAJI LILAWE JUMA FAKI MAKAME JUMA MOHAMED MKWACHU JUMA MUSSA KILIMBI JUMA MUSSA SAIDI JUMAA HAMZA OMARI KAITE ABDALLA MASSOUD KEMSHA BURHANI ABUBAKARY KHAIRAT HASSAN HAJI KHAMIS BAKAR KHAMIS KHAMIS MRISHO GOBEKA KINANDA YUSUPH SHOMARI KURTHUM NASSOR MSELEM LATIFA ISSA ISSA LUTTA KHALID MABINA MOSHI MABINA MACHANO ABDALLAH KHAMIS MAIMUNA MAANGO KITWANA MARIAM MJANAKHEIR MANENGELO MARYAM HAJI KHAMIS MARYAM MAHMOUD ALI MOHD HAMDU FADHILI MTUMWA KASSIM ALI MWAJUMA PANDU MAKAME MWAMVUA MAKAME ALI MWANA ABDULLA ALI MWANAHAMISI HAMISI IDDY MWANAIDI BAKARI IBRAHIM MZEE ABDU MWINYI NACHIA OMAR SHEHA NASIBU WAZIRI NASSIBU HUSSEIN NTUNDUU F F F F F F F F M F F F M F F F M M M F F M M M F F M F F F M F F F M M M M M F M M M M M F F F M M M M F M M M F F F F M F F F F F M M F M M
56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 1 2
AN-NUUR
NUNUU OMAR MUHIDIN OMAR HAMAD OMAR RAHMA MBARAKA SHABANI RAMLA JABIR HAMAD RIZIKI KHAMIS SAID SAADA BAKAR NASSOR SADA HAMAD BAKAR SAKINA HAJJ NASSOR SALHA IDRIS RAMADHANI SALIM SULEIMAN SOKA SALUM ALI KHAMIS SHARIFA ABEID SHARIFAH SALUM AKIDA SIMNI MOHAMED NAIM SWALEHE RAJABU MKETO SWAUMU SULEYMAN NDANI TAHILA RAMADHANI KASSIM TATU MSHAMBA KUNDI TATU MUHAMDI ABASI THOMAS PETER ATHUMANI WAZIRI KHAMIS ABDALLA ZABIBU SHAMUUNI HASSAN ZAINAB ALLY TWAHA ZAINAB JUMA USSI ZAMDA SALEHE KAISI ZUWENA HAMOUD AHMED B. LLB WITH SHARIAH ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ADAM ADIM PILLY AMANA ABDALLA ALI AMINA HABABUU MOHAMED ASHA YAZIDU KATIMA ATHUMANI ALLY MAKAME AWENA SAID JUMA AZIZI KIBWANA ABDALLAH BADRU MAULID MTAMBO BURHANI UWESU AHMAD CHAUSIKU ALLY FAKI KHAMIS JUMA FATMA IDRISA MAKAME FATUMA LAI MASIMBA HADIYA ABDALLA SALEH HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAMDUNI JUMA MUKHANDI ISAYA DANIELI LUKINDO ISMAIL ATHUMANI HAJI JUMANNE OMARY MAKALA KASSIM HASSAN KASSIWA KHALFANI YASINI BWANGALO MABINA MOSHI MABINA MAFUNDA ISSA HEMEID MAIMUNA SHABANI MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MOHAMED ISSA OMARI MUZNA HINDU MARUA MWANASITI SAID OMAR MWASHAMBA JUMA KHAMIS OMARY MUSSA HAMISI PRISILA KILIAN CHIHEU RUKIA ALLY ABDULLA SAID HAMISI MAKONGORO SAID SULEIMAN ABDULA SALHA ABDULRAHMAN SEIF SEIF OMARI SEIF SHAIB NOOR RUGEMA SIBELA ABASI YUSUPH SOUD MOHAMED SALYM YAHYA MOHAMED MWINYI ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ B.LANGUAGE AND INTERPRETATION ABUBAKAR SAID MOHD ALI SALUM SIYAHI
FATMA JUMA SUILEIMAN HAJI ALI ABDALLA HAMADI KIMOLO HASSANA SADICK LUBENGE IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI JAMILA THABIT KOMBO JAPHARY ISSACK MASHULANO JUMA KHAMIS JUMA KASSIM OMAR SULEIMAN KHALFAN SULEIMAN JUMA KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ALI SAID KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MOHAMED IS-HAKA MARYAM JUMA ABDALLA MOHD SULEIMAN HIJA MPAJI ABUBAKAR OMAR MTUMWA MOSSI BAYA MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUSSA HAJI JAHA NASSOR OMAR JUMA NCHONO FURAHA MOHAMED SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SALIM FAKI SALIM SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI ZAITUNI HAJI MDIGO B.A MASS COMMUNICATION ABDALLAH ALI BAO ABDUL SHABANI KAPATE ABOUD HUSSEIN MUSTAFA ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ALI RAMADHANI KHATIB ALLY HUMUDI NDEGE ASHA KOMBO JUMA ASNA MOHAMED LACHA ATHUMANI SAIDI MIRABO AYOUB HAMISI CHILEMBU FAKI SULEIMAN OMAR HABIBA JUMA ABDALLA HAJI SHASANI OMARI HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA HANIFA SAID IDD HUSSEIN ALLY THABIT JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY JAMALI HAMISI LINJEMBWA KHADIJA ALLY SALUM KHAMIS HAJI UJUDI KHEIR ALI MAKAME MGENI ABASS HAJI MWADHI MOHAMED MUWINO MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWANAKHEIR ISSA SHAABAN NASRA ABULAZIZI KOOSA OMAR SULEIMAN OTHMAN RAMUNA ALLY MUNISSI SAFINA IBRAHIM KATABARO SALUMU BURIANI NANDALA SELEMANI TWAHA SELEMANI STANLEY FEDASTO MKUNDA THUWEIN THABIT MZEE UMMI SHAIB SALIM WEMA BARAKA KILONGOLA YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF NUHU ADAM
F M M F F F M M M M M M M M F M F F M M M F M M M M F M M M M M M F F M M M F M M F M M M F M M F M M F F M F F M M M M F F M M
15
Inatoka Uk. 11
Kiingereza cha Kisheria), baada ya wale kuondoka. Mambo yakawa mazito mle. Salimu akamwambia hili suala lazima tupate mwanasheria si jambo jepesi hili la kuunganisha nchi. Ndipo Salimu akaambiwa na Mzee Karume, usimueleze yoyote suala hili, ndio maana hata Dorado, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Selikali ya Mapinduzi hakujua. Basi tarehe 22, akaja Mwalimu (Nyerere) mwenyewe na timu yake ya kina Kambona (Osca), Swai, Paul Bomani, Lusinde, Bonka Munanka, wote hao akaja nao Mwalimu, na Mzee wetu mmoja wa Kingazija, akiitwa Tambwe, aliyekuwa mtu wa TANU. Kufika pale wakafanya mazungumzo watu wawili tu, wengine walikaa pale Ikulu, wazee wamekwenda chumbani wamepiga soga huko kutoka pale basi watu wa magazeti wapo pale saini ikatiwa ndio hao mnaona katika picha mashaidi wale, na wezetu Unguja walikuwepo Twala, Salehe Sadala na Hanga, hawa kwa sababu ya uraki wao bila shaka walijulishwa kwamba sisi tunakuja kesho huko ni maraki hawa na kina Kambona, lakini sisi wengine wote wa Baraza la Mapinduzi hatukujua suala lile. Tumekuja kujua lilipoitwa Baraza la Mapinduzi tarehe 23, kuelezwa kuhusu ule mkataba na kuelezwa kuwa tumeungana na Tanganyika, mananielewa vijana? Kwa hiyo Salum, kama Katibu Mkuu aliisoma ile karatasi kwa Kiswahili, maana iliandikwa kwa Kizungu, sasa katika kuendelea kuzungumza mwenzetu mmoja Hamisi Abdallah Ameir, yu hai akamuuliza Mzee Karume, lakini Mzee hili jambo muhimu sana mbona tunalifanya harakaharaka na halina wanasheria hili jambo, tutulie, Mzee Karume alisema kama hamtaki haya makaratasi nitamrudishia mwenyewe Nyerere. Sasa sisi tukarudia kumuuliza sasa Mzee, kuhusu mambo yetu ya elimu haya wakati ule elimu bure, afya itakuwaje, ardhi nayo itakuwaje, tunauliza kwa sauti ya chiini kabisa wakati wenyewe ushakuwa mbaya tena, ukipandisha sauti juu utapotea. Mzee akasema, hayo yatakuwa chini ya Serikali yetu maana Muungano huu utakuwa na Serikali mbili, yetu itakuwa yetu sisi na wenzetu itakuwa katika Serikali ya Muungano, kwa hiyo tutakuwa na Serikali ya Muungano na Serikali ya Zanzibar, ya wao ya Tanganyika itaingia katika Serikali ya Muungano, tukanyamaza tukamaliza. Chini ya nusu saa tumemaliza kuunganisha nchi. (Chini ya Nusu Saa Nchi imeunganishwa!!!). Hebu niambieni kweli! Lakini tumefanya lakini kilichotawala zaidi ni ule uhusiano lakini Mzee, akatueleza pamoja na yote sisi bwana nchi yetu ni ndogo na ni Kisiwa, bahari inakula Kisiwa. Sisi leo tupo laki tatu kesho na kesho kutwa tutaka milioni tatu tutawaweka wapi watu hawa, uchumi wetu ni Karafuu na
Makala
AN-NUUR
Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
Zanzibar na Wazanzibari katika kupata mamlaka yake kamili ya ndani na nje. Baada ya kusema hayo tunapenda kuwashukuru Wazanzibari wote na nchi nzima ya Zanzibar na visiwa vyake kwa mshikamano mlioonyesha na kwa kutuunga mkono toka mwanzo hadi hapa ambapo kwa kushirikiana kwa pamoja tumeweza kuufikisha umma katika mustakbal mzuri. Ndugu Wazanzibari tunakuombeni tusimame pamoja na kwa sauti moja tuwaunge mkono Wawakilishi wetu wote waliosimama ndani ya Baraza la Wawakilishi kuitetea ardhi na nchi yetu ya Zanzibar. Tunapenda kutoa shukurani za dhati na maalum kwa Mzee Mheshimiwa Hassan Nassor Moyo kwa kuendeleza msimamo wake usiotetereka katika kuitetea Zanzibar na maslahi ya Wazanzibari bila ya kujali itikadi ya chama chake. Tunahitimisha tamko hili kwa kuwahakikishia viongozi wetu wa ngazi za juu na Wawakilishi wote katika Baraza la Wawakilishi na kila anaesimamia maslahi ya Zanzibar wakae wakijua kuwa umma wa Kizanzibari pamoja na osi zote na viongozi wote
kwamba vijana warejeshwe, kweli wakarejeshwa, siku ileile Meli ishaka Chumbe, ikarejea Unguja. Mwalimu akapata habari kwamba wale Askari wako wale uliotoa kwamba waende M s umbiji w amer ejes h w a, na nani? Na Makamu (Mzee Karume). Mwalimu zikampanda kwa nini mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu, Mzee Karume akapigiwa simu hapa, kwamba Mwalimu anataka kuonana naye. Ikaletwa ndege hapa, Mzee Karume akaenda akapokelewa kule, na aliyempokea uwanja wa ndege alikuwa Songambele, (Mustafa) akiwa Mkuu wa Mkoa pale, moja kwa moja mpaka Ikulu, kufika pale anamkuta Mwalimu sharubu zinacheza na Mzee Karume naye akapandisha sharubu zake. Sheikh vipi tena mbona nasikia askari wangu umewarejesha.
Inatoka Uk. 11
watakuwa pamoja nao katika kuipigania nchi yetu. Iwapo Wawakilishi wetu wataendelea kutishwa na kufedheheshwa, basi tuko tayari kuitisha mkusanyiko wa amani (sit-in) nchi nzima utakaomalizikia Baraza la Wawakilishi kwa lengo la kuwaunga mkono na kuwalinda Wawakilishi wetu wenye kuitetea Nchi ya Zanzibar yenye hadhi zake zote za Kitaifa na Kimataifa. Tunatamka wazi kuwa tuko tayari kuwatetea Wawakilishi wetu na kulilinda Baraza letu la Wawakilishi ambalo ni chombo cha kisheria chenye kusimamia matakwa na matilaba ya wananchi wa Zanzibar bila ya kujali vyama vya kisiasa. Na tunauthibitishia ulimwengu kuwa tutalinda amani na utulivu wa nchi yetu na hatutowapa mwanya maadui wa nchi ya Zanzibar kututia ndani ya mtego wa kuvuruga neema ya amani na mfungamano baada ya Allah Subhana wa Taala kuiokoa Zanzibar baada ya nusu karne ya tina baina ya ndugu wa nchi moja. Wabillaahi Tawq. . AMIR: Farid Hadi Ahmed Msemaji Mkuu wa Umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Zanzibar. NAKALA: Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Spika na Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Waziri wa Katiba na Sheria Kamishna wa Polisi. Viongozi wa Dini na Jamii. Vijana wa Umoja wa Kitaifa (Wanafunzi wa Vyuo Vikuu). Mabalozi na Wawakilishi wa Nchi za Nje. Waandishi na Vyombo vya Habari. Viongozi wa Vyama vya Siasa.
16
Na Abu Yusuf
KUNA watu wengi duniani huwa wanaumwa na magonjwa mbali mbali isipokuwa wanajijuwa kuwa wanaumwa, na wengine kwa bahati mbaya huwa hawajijui kama wana ugonjwa. Na ubaya zaidi ni pale unapomwambia kuwa ndugu yangu una ugonjwa, basi huwa mkali kama pilipili. Anahisi kumwambia yeye ni mgonjwa kama umemdharau na kumshusha hadhi. Ama wengine unapowaambia kama wana ugonjwa, hufurahi na kukushukuru kwa kuwa umemzindua na haraka huanza kutafuta tiba. Tatizo kubwa zaidi kuliko yote ni kuwa wengi katika watu hudhania ugonjwa unakuwa ndani ya mwili tu na kusahau kuwa hata moyo (nafsi) una magonjwa yake kati ya hayo ni: Chuki, hasadi, choyo, ubaguzi n.k. Kuna mzee wetu mmoja naye tunahisi ana ugonjwa wa ubaguzi wa rangi na dini. Hayo yanadhihirika katika makala yake aliyoandika katika gazeti la RAI la Alkhamis 7-14 Juni 2012 kwenye ukurasa wa 8 yenye kichwa cha habari kinachosomeka: W A N A O V U N J A M U U N G A N O WA N A R E J E S H A USULTANI? Nashindwa kumuelewa mzee wangu anaposema maneno hayo anakusudia nini, kwani maneno kama haya na mfano wa hayo kama vibaraka, wanatumiwa, hawaitakii mema Tanzania, wanataka kurudisha ukoloni n.k. Kwa kweli maneno kama haya walikuwa wanaweza kuyatumia kwenye miaka ya mingi iliyopita lakini kwa karne hii si ya kudanganya watu kwani ni wakati wa utandawazi na ambao kila kitu kinafahamika ukiziba dirisha moja watu wasichungulie kuna madirisha 20 yapo wazi ambayo wewe huyajui na watu. Sasa kusema wanaovunja muungano wanarejesha usultani labda tumuulize mzee wetu na wale wenye fikra kama yeye, maana inaonekana amekula chumvi nyingi na anajua mengi anaweza kutusaidia kupata jawabu la suali letu. Anaposema kurudisha usultani anakusudia masultani wenyewe ni : Watoto, wake, mashemegi wa: Hayati Abeid Amani Karume, Ali Hassan Mwinyi, Khamis Darweshi, Ali Muhsin, Ibrahim Amani na Pili Khamis. Au Hassan Nassor Moyo, Amani Abeid Karume, Ali Abeid Karume, Said Bavuai, Yussuf Himid, Said Washoto, Rashid Abdallah, Hasnuu Makame na Mtoro Rehani. Au anakusudia nani? Maana hao tuliowataja shemeji zao wake zao na watoto wao ni Waarabu na
AN-NUUR
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.
watoto hao wajomba zao ni Waarabu ambao wewe unaowaita masultani. Ama kama umekusudia watoto hao ndio masultani wenyewe kwa hivyo wasipewe madaraka kwa sababu mama zao ni Waarabu bali wapewe madaraka watu waliotoka Tanganyika hilo unajisumbua kwani Wazanzibari halisi hawatizami hilo sasa hivi. Wao wanatizama maslahi ya Zanzibar bila ya kubaguana kirangi au kikabila, na inaonekana hicho ndio kinachowauma wale wenye fikra kama za Mzee Halimoja, kuona kwa nini Wazanzibari wamekuwa kitu kimoja hawakubali kugawiwa mapande ili watawaliwe!! Jambo lingine ambalo limepotoshwa kwenye historia inayoandikwa na wenye ugonjwa wa ukabila ndani ya nyoyo zao wala hawalizungumzi ni kuwa walioshiriki mapinduzi s i Wa a f r i k a w a l i o t o k a Tanganyika na Uganda na Kenya peke yake, bali Waarabu walishiriki katika mapinduzi hayo au labda mzee wetu ana ugonjwa wa macho unaoitwa color blind ambao humfanya mtu aone vitu vyote ni vyeupe au vyeusi, basi inawezekana mzee wetu huyu yeye haoni rangi nyengine isipokuwa nyeusi tu. B a a d h i y a Wa a r a b u walioshiriki mapinduzi hayo kwa namna moja au nyengine ni: Ali Mahfudh, Ali Sultan Issa, Salim Ahmed Salim, Humoud Albarwaniy, Amour Aldugheishy, Amour Aldugheishy na Salum Rashid. Wengine ni Ahmed Badawiy, Hamed Hilal, Khamis Abdallah Ameir, Biubwa Zahor, Salim Saleh, Hashil Albusaidy, Mohammed Said Mtendeni, Abdurrahman Babu, Haroub Mohammed Salum, Salim Saleh na wengine wengi waliokuwa katika chama cha UMMA PARTY. Kwa hivyo kutokea kwa watu wakaipotosha historia na kudai ni Waafrika tu ndio walioshiriki mapinduzi ni kuigeuza historia juu chini, na kudanganya watu wasioujua u k w e l i , i k i w a Wa a r a b u walishiriki mapinduzi ya kumtoa Sultani kwa nini iwe dhambi na kosa kwa Mwarabu huyo huyo akisimama na kutetea maslahi ya Zanzibar na Wazanzibari? Kwa nini iwe nongwa kwa watu wa Tanganyika pindi Wazanzibari wenye rangi nyeupe wakisimama kutetea maslahi ya nchi yao? Kwa nini iwe chuki kwa Mapadri na Maaskofu wa Tanganyika pindi wakiona Wazanzibari wanatetea maslahi yao? Hivi wamsubiri nani atakayekuja kutetea maslahi yao kutoka Tanganyika? Wakati wao ndio walioimeza Zanzibar? Hapo siku za nyuma mzee
NECTA n.k. Toka nchi hii imepata uhuru, imepata kuwa na Wakurugenzi wa Mashitaka 11 (1961 hadi 2012). Jina la Muislamu linatokea mara moja tu. Kwa upande wa Mwanasheria Mkuu, kumekuwa na wanasheria wakuu 7 na manaibu 11 toka 1961 hadi 2012 ambapo haijawahi kutokea kuwa na Muislamu katika nafasi hiyo. Asisahau pia lile suala la MoU ambao ni mkataba wa maridhiano baina ya kanisa na serikali wakati wa ambapo serikali itatoa mgao maalum wa pesa kwa ajili ya kuyapa makanisa yajiimarishe. Jee hizo pesa wanazopewa Makanisa si kodi za Watanzania wote wakiwemo Waislamu wakiwemo Wazanzibari? Inawezekana mtu akasema ndio wanapewa, lakini wanaosoma na kutibiwa katika Vyuo na Mahospitali hayo ni watu wa dini zote bila ya ubaguzi. Tunasema sawa kwanza: Nani aliyewapa
Serikali kutiliana mkataba na Wakristo ili wapewe Mgao maalum katika bajeti ya Serikali ambayo inatokana na kodi za wananchi? Ingelikuwa Waislamu ndio waliofanya hivyo Tanzania pangelikalika kutokana na makelele ya Wakristo? Pili faida inayopatikana katika Mashule na Mahospitali hayo wanaipeleka Serikalini au wanatumia Makanisa kujiendeleza mambo yao? Vi l e v i l e p e s a h i z o wanazopewa Makanisa kwa nini zisingetumika kwenye kuziboresha hospitali za serikati na kuwaongezea madaktari mishahara au kuboresha mashule na vyuo vya serikali na kuwaongezea mishahara walimu? Vile vile asisahau kuangalia pesa za kodi za wananchi zinavyotumika kupambia maofisi ya serikali katika siku za Krismas na katika sherehe za kikristo. Jee huo si udini mbona mzee wetu hauzungumzii ? Kwa kweli yapo mengi mfano wa hayo ila tutosheke na hayo kwani lengo letu si kuelezea udini katika Tanzania b a i n a y a Wa i s l a m u n a Wakristo. Jambo hilo linataka makala yake maalum.
17
AN-NUUR
Na Khalid S Mtwangi
KWA wale wanaofuatilia kwa karibu mienendo ya Waislamu kwao haitakuwa mara ya kwanza kwa swali hili kuulizwa. Yaani mpaka lini Waislamu wa nchi hii watakuwa ni watu wa kutumiwa kama chombo cha kufanikisha haja na madhumuni ya watu wengine tu? Huko nyuma Ustadh Mohamed Said hakuweza kuvumilia na aliliweka swali hili hadharani katika safu za gazeti hili; kweli imekuwa ni siku nyingi kidogo sasa tangu alipoliandikia swali hilo. Lakini inaelekea jibu na wala jawabu hayajapatikana. Hili limejitokeza zaidi na kwa kasi mwezi huu mtukufu wa Ramadhani pale inaonekana dhahiri kuna watu wanaowadanganya Waislamu kuwa wao ni ndugu zao na wako pamoja kwa kila hali. Huu ni uwongo mtupu. Itakumbukwa kuwa huko nyuma Mabalozi wa nchi za Magharibi, hasa Marekani na Uingereza, walijitoa wazi kwa kuwakaribisha baadhi ya Waislamu ati waende kufuturu kwao wakati wa swaumu ya mwezi wa Ramadhani. Wasomaji watakumbuka kuwa ni wakati huo ndio mataifa haya makubwa yalikuwa yamekazana kabisa kuwauwa Waislamu wasiokuwa na hatia yoyote huko Iraq na Afghanistan. Wale Wazungu wenzao walowezi wa Israel wakifurahia kuwauwa wananchi wa Palestine huku wakiikalia nchi yao kwa kutumia kila aina ya silaha. Miaka miwili hii ya karibuni kwa sababu zinazoweza kufahamika haya mataifa makubwa yamesitisha hadaa hiyo, labda tu wameacha kujitangaza hadharani kuwa bado wanawateka akili baadhi ya Waislamu ili wawatambue kuwa ni maraki wa Waislamu hata kama wanaendekea kuwauwa Waislamu wenzao huko Afghanistan. Labda inawezekna kuwa baadhi ya wasomaji wanaweza kuelewa vibaya pale huu uuite ukarimu wa ndugu wasio Waislamu wakati huu wa mfungo wa Ramadhani. Hakuna haja kabisa ya kuzua uhasama. Hilo litakuwa jambo geni kwa Waislamu wa nchi hii kwani tangu huko nyuma Waislamu wa nchi hii wameonyesha ukarimu wa hali ya juu kabisa katika mahusiano yao na wale wasiokuwa Waislamu. Lakini hawa wanaofika hata kuandaa futari hakika ni wanaki wa hali ya juu kabisa. Kwanza kiria ndio hao walio mstari wa mbele kupinga kabisa Waislamu wasipate nafasi ya kutekeleza ibada zao muhimu. Wanapiga vita kabisa kuwepo kwa Mahakama za Kadhi yakiwa
TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA INAWATANGANZIA WAISLAMU WOTE SAFARI YA HIJA KWA GHARAMA YA DOLA 4450 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWA AWAMU (KIDOGO KIDOGO). GHARAMA YA (KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU. MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMA ZIFUATAZO: NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI (KWA NGEGE YA EMIRATES) MALAZI MAKKA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 18 TU MPAKA MASJID HARAM. MALAZI MADINA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 5 TU MPAKA MASJID NABAWY USAFIRI WA BASI KATI YA JEDDAH MAKKA, MAKKA MADINA USAFIRI WA UHAKIKA WA BASI MASHAIR (MINA,ARAFAT, MUZDALIFA) CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA MWENYEWE (BUFFET) NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NA WANAWAKE, GALONI LA LITA 10 MAJI YA ZAMZAM KUCHINJIWA MNYAWA WA UDH-HIYA, ZIYARAH SEHEMU ZOTE MAKKA NA MADINA KHIDMAT ISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZA MAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NA MASJID NABAWY). SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZO KWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMADO) NA AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN (ZULLY) VIONGOZI WENYE UZOEFU WA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUSIMAMIA MASUALA YA USAFIRI. LENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZA IBADA YAKE INAVYOTAKIWA.DAKTARI ATAKUWEPO KATIKA MSAFARA NA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANA WAKATI WOTE WA SAFARI. KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJI WASILIANA NA: SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA NAMBA YA SIMU 0715 915 008, 0784 915 008 SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545 AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020, 0713 530 036, 0786 411 020 AL-HAJJ HAFIDH SALIM 0655 616 623, 0682 535 319 SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA 0715 985 413 AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED 0789 373 222, 0779 786 786 AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI WA QIBLATAIN - 0715 210 666 ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALA NA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBA YA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513, 0655 125 513 MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (AHMADO)- 0715 372 776, 0773 372 776 DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSU RUGEIYAMU 0754 334 400, 0786 293 901 DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H. ALLIY 0713 677 683 MOSHI: IMAM MSIKITI WA SUNNI MAULANA DOGO 0754 918 977 AU AL-HAJJ OMAR AHMED FARAJ 0784 476 220 MPANDA: AL HAJJ HEMED SALUM -0784 838 945 MWANZA&DAR: Dr. ABDULKARIM MAMBO SALEH (DAKTARI WA DAWA ZA KISUNNA) 0773 594 334 MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJ MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573 KIGOMA: AL-HAJJ ABASSI ISSA NYOTA 0688 154 004 TANGA: HAJAT ZAINAB MOHAMED 0713 416 454 HANDENI: AL HAJJ MOHAMED ADAM HAJEE 0784 705 750 KATIBU MTENDAJI MUHSIN MOHAMED HUSSEIN 0784 /0715 /0774 786 680, 0767 876 680
HIJJAH NA UMRAH
za television na magazeti kila panapokuwa na kukaribisha kula futari? Kujionyesha na kujigamba huku si katika madili ya Kiislamu! Pamoja na hayo yote ni muhimu kusisitiza kuwa pasiwepo na
uadui kati ya Waislamu na watu wa dini zingine hasa Wakristo. Waislamu wanatafuta haki tu sio upendeleo. Kuna Waislamu wengi (ikiwa pamoja na muandishi huyu) ambao wana ndugu waumini wa madhebu za Kikristo. Hakika ni khulka ya Waislamu kushirikiana na wananchi wenzao katika mambo mengi na ndio maana nchi hii ina sifa ya amani. Pengine lau kama ile dhulma wanayopitishiwa wao Waislamu ndio ingekuwa wanayodhalilika hao wasiokuwa Waislamu labda sifa ya nchi hii ingekuwa ya aina nyingine. Ta f a d h a l i n i Wa i s l a m u msikubali kutumiwa kila siku kwa manufaa ya wale wanaendeshao dhulma dhidi yenu. TUAMKE!!!
MALIPO YAFANYE KWA KHIDMAT ISLAMIYA CHARITABLE SOCIETY BENKI YA NBC (MATAWI YOTE TANZANIA) AKAUNTI NAMBA 0211 0500 3194 KWA DOLA ZA KIMAREKANI AU KATIKA OFISI YETU ILIYOPO MTAA WA MAFIA DAR ES SALAAM
OFISI YETU IPO MTAA WA MAFIA, TUNATAZAMANA NA MSIKITI WA MANYEMA Namba ya Simu 0655 409 135 (TIGO), 0684 409 135 (AIRTEL), 0713 986 671. Barua pepe (E-Mail) hajjkhidmat@gmail.com , Tovuti (Website) www.khidmatislamiya.com Peace Travel & Tours LTD, ambayo ipo chini ya Khidmat Islamiya ni kampuni inayouza tiketi za safari ya ndege kwenda sehemu yeyote duniani na pia ni kampuni iliyosajiliwa rasmi na Serikali ya Saudia kushughulikia viza za Umrah kwa mtu mmoja mmoja, familia au kikundi.
18
AN-NUUR
NI kweli kabisa kuwa Zanzibar ni visiwa kidogo lakini kuna tafauti kubwa baina ya visiwa vya Zanzibaar na visiwa vya Ukerewe katika Ziwa Victoria, au hata visiwa vya Maa au Kilwa. Zanzibar ina historia ndefu na jiograa pana sana yenye sifa ya dola yenye kujulikana duniani. Dola ya mwisho ya Zanzibar ilikuwa ni Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo na udogo wake wote ni nchi, pekee pamoja na Tanganyika, ilioshiriki katika jaribio pekee la umoja wa Waafrika barani Afrika. Suala, ni kweli Wazanzibari walipindua tarehe 12 Januari 1964 au mapinduzi yao yalianza walipokutana Rais Amani Abeid Karume na Maalim Seif Sharif Hamad Ikulu ya Zanzibar, tarehe 5 Novemba 2009? Kwa kipindi kirefu historia ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa ni ile historia rasmi ambayo imeathiri historia nyingi Afrika. Viongozi wa Afrika wanapenda ile historia itakayowakweza na kuwaonyesha wao katika mwanga wa kupendeza. Vinginevyo historia hiyo haitakiwi. Wazalendo wenyewe hawakuwa na hamu ya kuandika historia hii na watu wa nje walioandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar hawakupata kuifanyia haki historia ya Zanzibar labda kwa ugeni wao na kwa kuyaamini maelezo yaliyokuwa wazi kwa wakati ule, mfano mkubwa ukiwa ni kule kuamini kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na makomredi wa Umma Party. Hapajakuwapo udanganyifu mkubwa katika uandishi na utati kama huu. Dkt Ghassany amekiweka chano uwanjani bila kawa. Akizungumza na Abdushakur Aboud wa Sauti ya Amerika Dkt Ghassany amesema kuwa historia ya Zanzibar ni historia ya kujijuwa maisha yake akiwa mjukuu wa babu wa mababu Muomani na mabibi wa Kimanyema na Kimwera mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika. Hii kwa hakika ndiyo historia ya wananchi wa Zanzibar. Ni tabu sana kumpata huyo Muarabu Zanzibar kila umuonae Muarabu basi ana mjomba na shangazi Mwafrika. Maadui wa Zanzibar wakiweka mkazo katika ubaguzi wa rangi na kuwafitinisha Wazanzibari. Ukweli huu ndiyo chanzo cha matatizo yote yaliyoikumba Zanzibar toka vyama vya siasa vilipoanza katika miaka 1950 na matatizo yaliyosababisha mauaji ya mwisho yakiwa mwaka 2001. Mohamed Omari Mkwawa Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea urais wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba katika kampeni za uchaguzi katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako
MZEE Mohamed Omari Mkwawa walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa. Mimi kazi yangu ilikuwa kuangalia niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia historia ikijiandika. Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950. Lakini ninalotaka kusema si hili bali ni picha ambayo niliipiga ndani ya nyumba ya Mama Ummie. Picha hii ilikuwa inamuonyesha mzee mmoja wa makamo aliyevaa fulana ya CUF mbele ikiwa na picha ya Prof. Lipumba. Mzee huyu alikuwa amekaa nyuma ya Prof. Lipumba. Kwa wakati ule picha hii haikuwa na maana yoyote kwangu na hata nilipokuwa naitazama mara kwa mara sura yake si iliyokuwa inanivutia bali ile fulana ya CUF aliyovaa ambayo ilikuwa na picha ya raki yangu Prof. Lipumba. Mungu ana mipango yake. Mihangaiko ya kutafuta riziki yakanihamishia Tanga na nikawa karibu sana na baadhi ya viongozi wa CUF na wanachama wake. Sasa hapa ndipo nilipokuja kuonana uso kwa uso na mzee yule kwenye picha yangu niliyoipiga hata kwa wakati ule ilikuwa miaka mingi iliyopita. Jina la huyu mzee wangu ni Mohamed Omar Mkwawa. Ilikuwa katika barza yetu ya kawaida ya kunywa kahawa na kula pweza huku tukijadili historia ya Tanzania ambako s iku moja M zee Mkwawa alinambia, Mohamed nataka nikuambie kitu. Unajua mimi nimehusika sana katika mapinduzi ya Zanzibar? Nilimuangalia Mzee Mkwawa kwa makini. Fikra yangu ya utafiti na uandishi ishashtuka haipo tena usingizini. Mzee Mkwawa aliendelea, Mimi ndiye niliyekuwa nikiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP na wakati wa mapinduzi mie ndiye niliyewavusha Wamakonde kwenda kuipindua serikali ya Jamshid. Sasa moyo wangu ukaanza kudunda kwa nguvu. Naisemesha nafsi yangu, Huyu mzee anajua uzito wa maneno haya? Tuishie hapa. Kuanzia siku ile nikawa sasa namtazama Mzee Mkwawa kwa jicho jingine na heshima yangu kwake ikawa imepanda maradufu. Nilikuwa nimeshatambua kuwa Mzee Mohamed Omari Mkwawa alikuwa mmoja wa wanahistoria waliosahaulika katika historia ya Tanganyika na Zanzibar. Juu ya hayo nilishangazwa na kitu kimoja. Iweje leo huyu mwanamapinduzi wa ASP ambae Abeid Amani Karume alimpa jina la Tindo kwa ujasiri wake amekuwa mstari wa mbele CUF chama ambacho kinanasibishwa na Hizbu hasimu mkubwa wa ASP? Dr. Harith Ghassany Nilikutana na Dr Harith Ghassany mwaka 1999 nyumbani kwake Maskati, Oman. Naikumbuka siku ile kama jana vile. Kanipeleka kwake mwenyeji wangu Farouk Abdulla lakini kabla ya kunipeleka nilikuwa nimeshalisikia jina lake mara nyingi sana pale Maskati kila nikikutana na jamaa wenye asili ya Tanzania jina lake litaibuka. Katika fikra yangu ikanijia kuwa Dkt Ghassany atakuwa ni mtu mzima. Sielewi kwa nini nilipata picha hii. Tulipopiga hodi na akatokea Dkt Ghassany kuja kutufungulia mlango nikapata mshangao mkubwa. Aliyekuwa mbele yangu alikuwa ni kijana mdogo sana tofauti na nilivyodhani. Kwa njia ya utani hata kabla sijatoa salamu. Nikamgeukia Farouk nikasema, Ah! Dkt Ghassany, Dkt Ghassany, Dkt mwenyewe ndiye huyu? Mila na tamaduni za watu wa Pwani wakikutana hazipishani. Maskhara ni dalili ya mapenzi. Dkt Ghassany pale pale alipokea yale maskhara na akajibu,Bwana wangu we wanakutisha bure kwani we ulidhani litakuwa jitu kubwa? Urafiki na udugu wetu umedumu hadi leo na ndipo katika mazungumzo aliponifahamisha kuwa anataka kuandika historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar. Hapo ndipo nilipomjuvya kuhusu Mzee Mkwawa na nikamuomba aje Tanga amuhoji. Kitu kimoja mashuhuri kwa mashujaa wa harakati za siasa katika Tanzania ni kuwa takriban wote wana hali ngumu sana za maisha. Sikujua vyema hali ya Mzee Mkwawa hadi nilipoka nyu mbani kw ake na D kt Ghassany. Utu uzima na udhaifu wa maisha ulikuwa umempiga barabara. Nilimjulisha Dkt Ghassany kwa Mzee Mkwawa na kuwaacha waendelee na maongezi yao. Niliporudi mchana kumchukua Dkt Ghassany raki yangu alinambia nimuache nije jioni kumfuata. Niliporudi jioni nilimkuta Dkt Ghassany amechoka na uso umesawijika. Tukiwa ndani ya gari yangu tunaondoka nikamuuliza kulikoni. Dkt Ghassany akanambia maneno ambayo hadi leo yamebaki kichwani mwangu, Mohamed ufunguo wa kitabu changu anao Mzee Mkwakwa na kama nisingeonana naye utati wangu wote wa kabla ungelikuwa hauna maana yoyote. Dkt Ghassany alikuwa amechukuliwa na Mzee Mkwawa katika safari ya zaidi ya nusu karne. Mzee Mkwawa akimshika mkono kwanza kumpeleka Pemba ambako akiwa kijana wa kiasi cha miaka 25 akifanya kazi ya uashi. Huo ndio ulikuwa wakati wa siasa za ASP na Hizbu zimepamba moto. Mzee Mkwawa alikuwa mmoja wa wachezaji wa ngoma ile hata kama alikuwa anatoka Tanganyika. Dkt Harith akavushwa na kuletwa Pwani ya Kipumbwi na Sakura ambako Mzee Mkwawa alikuwa akisimamia kambi ya mafunzo iliyokuwa msituni ya wakata mkonge wengi wao wakiwa Wamakonde, kambi ambayo ilitoa askari waliotumika kuipindua serikali ya Mohamed Shamte 12 Aprili 1964. Dkt Ghassany hakuwa amejitayarisha kwa haya. Alishangazwa na uwezo wa kumbukumbu wa Mzee Mkwawa, akitaja majina na mahali na akirudia mazungumzo
neno kwa neno kati yake na maofisa wa serikali ya Tanganyika kutoka vyombo vya usalama waliomtia katika operesheni maalum ya kuipindua Zanzibar kutoka Tanganyika. Majina ya Abdulla Kassim Hanga, Jumanne Abdallah, Ali Mwinyi Tambwe, Victor Mkello, Oscar Kambona na wengine yakawa yanadondoka moja baada ya lingine. Taarifa hizi ndizo zilizommaliza Dkt Ghassany na kumsawajisha uso. Mimi binafsi nilipigwa na butwaa. Nilibaini kama alivyobaini Dkt Ghassany kuwa Mzee Mkwawa alikuwa hazina na tulikuwa tumevumbua mgodi wa dhahabu. Kazi yetu sasa ilikuwa kuchimba tu. Kumekuwa na uvumi kwa miaka mingi katika duru za wanasiasa wapya na wa zamani na katika wanafunzi wa historia ya Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Ali Mwinyi Tambwe alihusika sana katika kupinduliwa kwa serikali ya Zanzibar lakini hakuna aliyejuwa ni kwa kiwango gani na alihusika vipi. Lakini zito ni kuwa yeye mwenyewe akiudhika sana mtu akimuuliza habari zile. Kwa nini ilikuwa hivyo? Kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru cha Dkt Ghassany kilikuja kutoa majibu. Hakuna binadamu apendae historia yake ihusishwe na mauaji na dhulma na kufutwa kwa nchi yake. Kwa kipindi cha takriban miaka saba Dkt Ghassany alikuwa akija Tanga kwa mahojiano na Mzee Mkwawa na katika kipindi hicho Mzee Mkwawa alitupeleka Kipumbwi na Sakura na kutuonyesha sehemu zile ambazo walikuwa na kambi na wakifanya mazoezi ya kivita na matumizi ya silaha. Mkahawa ambao wale wakata mkonge walikuwa wakila chakula cha usiku kabla ya kuvushwa kwa vyombo vya bahari kwenda Unguja bado upo hadi leo ingawa kwa sasa kijumba kile hakitumiki tena kama mkawaha. Endapo itakuja siku serikali ya Zanzibar itataka kuhifadhi historia ya Mapinduzi ya Zanzibar bila shaka moja ya vitu vitakavyokuwa katika makumbusho ni picha ya hicho kibanda. Victor Mkello Kipumbwi haijabadilika iko kama vilevile iliyokuwa miaka ya 1960. Kipumbwi imebaki vilevile kama kijiji cha uvuvi. Mzee Mkwawa alitupeleka hadi sehemu ambapo bahari imeingia katika kijiji lakini sehemu hiyo imefunikwa na mikoko mingi na vichaka. Tuliingia ndani na kuangalia mandhari ya pale mahali. Hakika pale palikuwa sehemu nzuri ya kujificha. Leo imekuwa sehemu hii ni maarufu kwa watu wa magendo. Mzee Mkwawa alitueleza kuwa hapo ndipo walipojificha na ndipo walipopandia vyombo vyao kwa usiri mkubwa wakati wote wakiwa wamevaa nguo matambara na koa za makuti kama wavuvi. Tanga ilikuwa kituo muhimu cha kufanikisha m a p i n d u z i y a Z a n z i b a r. Haikuwa bure kuwa Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah na Victor Mkello walikuwa Inaendelea Uk. 19
19
AN-NUUR
Inatoka Uk. 18 hapo na wala haistaajabishi kwa Dkt Ghassany kutueleza kuwa vinara wa mapinduzi kwa upande wa bara, Mkello na wenzake, walisubiri taarifa za mapinduzi katika mkesha ndani ya osi ya TANU Tanga. Napenda kukiri kuwa sikupata kushiriki kama msikilizaji wa mahojiano wakati wa utati wa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Kazi yangu kubwa sana ilikuwa kufungua milango na kumwendesha daktari. Kwa ufupi kazi yangu ilikuwa kumwekea mwandishi mazingira mazuri ili kazi yake iwe nyepesi. Kwa hakika ilikuwa kazi ambayo na mimi vilevile nilisoma, kujifunza mengi na kupata faida kubwa. Katika haya nakumbuka sakata la kumtafuta Victor Mkello. Leo si wengi wanaomjua Victor Mkello au hata kupata kusikia jina lake likitajwa. Lakini kwa sisi tuliokuwa wadogo tukiwa shule katika miaka ya 1960 Mkello alikuwa hapungui katika magazeti ya Ngurumo na Mwafrika. Mzee Mkwawa ndiye aliyetusaidia kumtafuta alipo. Victor Mkello ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa lile jeshi la Wamakonde lililokuwa na makao yake makuu katika mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi. Bila ya kupata kauli ya Mkello kitabu kisingeweza kuandikika. Ilichukua muda kuweza kumpata. Kwanza tulikwenda Muheza ambako ndiko kwao. Huko tukaambiwa kuwa hakuwapo hapo bali kwa muda mrefu alikuwa Tanga. Mwishowe tulimkuta nyumbani kwake Nguvu Mali. Mkello alikuwa katika kitanda cha mauti. Kisukari kilikuwa kikimla kiwiliwili chake. Hakuwa anaweza kunyanyuka kitandani wala kukaa. Kwa hakika alikuwa anasikitisha. Huyu hakuwa Victor Mkello niliyekuwa namsoma katika magazeti wala yule ambae Mzee Mkwawa alikuwa akituelezea. Mtu mjanja aliepambana na Magiriki wamiliki wa mashamba ya mkonge akitetea haki za Waafrika katika miaka ya 1960. Huyu kwa kweli hakuwa yule Victor Mkello aliyekuwa akisaidiana na TANU na Mwalimu Julius Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika. Hiki mbele yetu kilikuwa kivuli chake. Hapakuwa na wasiwasi wowote Victor Mkello alikuwa akisubiri malaika wa mauti amtembelee na yeye hilo alikuwa akilijua ka. Victor Mkello na Mzee M k w aw a w an amap in d u zi waliofutwa katika historia walitazamana na wakasalimiana kama vile hawakupata kujuana. Jicho la Mkello lilikwenda kwa Dkt Ghassany kisha likaangukia kwangu kisha likarudi kwa mwanamapinduzi mwenzake Mzee Mkwawa. Baada ya utambulisho uliofanywa na Mzee Mkwawa nilihisi woga na wasiwasi kwenye sura ya Victor Mkello. Hakuwa anaamini kuwa Dkt Ghassany katoka Maskati kwa ajili ya utati wa historia na hili lilijidhihirisha alipofunua kinywa kuzungumza. Victor Mkello alikuwa na hisia kuwa alifuatwa kukamatwa kwa vifo vya Waarabu vilivyotokea Zanzibar wakati wa mapinduzi
kuzisikia hadithi za paukwa pakawa za Katiba au kero za Muungano. Wakitakacho ni nchi mbili, serikali mbili, na baada ya hapo ndipo wataamua aina ya Muungano wautakao. Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! kimeliamsha Taifa lililolazwa na kwa hivi sasa Wazanzibari wanadai Mapinduzi ya Muungano ambayo yalianza Zanzibar tarehe 5 Novemba, 2009. Suala, ni jee, duma wa Kitanganyika au wa Kitanzania Bara na yeye atadai Mapinduzi ya Muungano na kuanzisha mchakato mpya wa mashirikiano baina nchi mbili huru ya Zanzibar na ya Tanganyika/ Tanzania? Au kiboko cha Tanganyika/Tanzania Bara na wafuasi wao walioko Zanzibar wataendelea kuyalinda mapinduzi yao ya Zanzibar ili kuulinda muungano wenye kutawaliwa na Tanganyika/ Tanzania Bara? Watengenezaji wa filamu Hollywood wana mtindo wa kumaliza senema zao za matokeo ya kweli kwa kueleza katika maandishi yale yaliyowafika wahusika wa kisa kilichotengenezwa hiyo senema. Huonyesha majina na mwisho wa hao wahusika, kama wahai, wako wapi, wamekufa na kama wamekufa ni kwa kuuliwa au kwa amri ya Mungu nk. Katika Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru majina ya wahusika machache ambayo yametajwa katika makala haya yako kama hivi: 1.Mohamed Omar Mkwawa: Yu hai na anaishi Makorola Tanga 2.Abeid Amani Karume: Ameuawa 1972 3. Abdallah Kassim Hanga: Ameuawa 1967/68 4. Mustafa Songambele: Yuhai anaishi Songea. 5. Victor Mkello: Amekufa kifo cha kawaida 6. Ali Mwinyi Tambwe: Baada ya mapinduzi alikuja kuhusika katika mchakato wa kuunda muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Amekufa kifo cha kawaida. 7. Jumanne Abdallah: Alitumikia serikali kwa muda mrefu hadi alipofariki kifo cha kawaida 8. Oscar Kambona: Aligombana na Nyerere na akakimbia nchi mwaka 1967 na kwenda kuishi uhamishoni Uingereza 9. Kuna vigogo kadhaa ambavyo viko hai na kwa sasa wameomba majina yao yahifadhiwe. 10. Kizazi kipya cha duma kitakachokuja kuliunganisha Bara la Afrika kwa kuufuata mfumo wa Umoja wa Ulaya (EU) badala ya kuwangangania mapacha wa Mapinduzi na Muungano ambao wameunganishwa na kutengwa na kitabu cha Dkt. Ghassany, Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
20
AN-NUUR
20
badala ya kuunga mkono wale wanaotekeleza agizo hilo la Mungu, wewe unalaumu. Ni lazima Waislamu tuwe makini maana hao badala ya kusimamia haki wao wanadhirisha chuki dhidi ya Uislamu. Amesema. Akifafanua zaidi kauli ya
Gazeti la An-nuur na watendaji wake wanawatakia Waislamu wote Ramadhani Kareem, Ramadhani Mubaraka.
AN-NUUR
Msigwa, ambaye alilazimika kumuuliza Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda, katika maswali ya papo kwa papo, akikosoa amri hiyo.
Mchungaji Msigwa, dhidi ya amri ile ya kulinda Ibada ya Kiislamu Visiwani Zanzibar, Maalima Bassaleh alisema, Mbunge huyo wa CHADEMA alidai amri ile iliyotolewa na mamlaka isiyopaswa, kwa sababu siyo ya kidini bali ingetolewa na mamlaka ya Mufti wa Zanzibar. Alisema, kumbe Mchungaji huyo inaonyesha anaelewa kuna mamlaka ya Mufti na mamlaka ya kadhi, pamoja na kujua hivyo lakini wao (wachungaji) wamekuwa wapingaji wakubwa wa Mahakama ya Kadhi ambayo Waislamu wanaitaka katika njia ambayo ikija itakuwa ni Mahakama kwa ajili ya kuwashughilikia Waislamu tu. Alisema, huo ndio udini kwa kukataa na kuhoji kila jambo linalowahusu Waislamu hata kama linafaida kwao na jamii kwa ujumla. Alisema, hali hiyo pia ya chuki za kidini kwa wachungaji na Wabunge kama hao huwa mstari wa mbele kukataa Tanzania kujiunga na OIC, wakati huo huo wao wanauhusianao wa Vatican na Ubalozi wao umo humu nchini. Lakini, alisema OIC ikifunguliwa milango itanufaisha kiuchumi taifa kwa ujumla bila kujali dini zao, tatizo alidai wao (Wachungaji) wametanguliza chuki na choyo zaidi kuliko maslahi ya Taifa. Mwanzoni mwa mwezi wa Ramadhani, Waziri wa Sheria na Katiba wa Zanzibar, alitangaza kuwa ni marufuku mtu kuonekana anakula mchana wa Mwezi wa Ramadhani hadharani pia alipiga marufuku kufungua hoteli mchana wa mwezi huu sambamba na kupiga marufuku kuvaa vimini kwa wanawake. Hali hiyo ilimgusa Mbunge wa Chadema, Mchungaji Peter
Na Bakari Mwakangwale
VIJANA wa Kiislamu wanaojibidiisha katika kuhifadhi na kusoma Qur an nchini, wameelezwa kuwa ni hazina kubwa ya Taifa hivyo hawana budi kuendelezwa kielimu ili kupata viongozi waadilifu. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ally Hassani Mwinyi, akiongea na Waislamu mara baada ya kuwakabidhi zawadi washindi wa kuhifadhi Qur an katika mashidano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika viwanja vya Sabasaba, Jijini Dar es Salaam. Mzee Mwinyi alisema, vijana hao ni hazina kubwa hivyo ni matarajio ya Umma wa Kiislamu kuwa vijana hao wataendelezwa kitaaluma zaidi hadi kukia ngazi ya elimu ya juu kwa faida ya Uislamu na Taifa kwa ujumla. Hii ni hazina kubwa, tunatarajia wafike mbali kitaaluma wasipotelee njiani, waendelezwe zaidi hata kukia elimu ya juu katika masomo yao, watasaidia kupatikana vijana wenye maadili kiutawala. Alisema Alhaji Mwinyi. Alisema, moja ya faida ya hili lengo la kuhifadhisha Qur ana vijana wetu iwe pia ni kuandaa na kupata viongozi wa umma wanaomuogopa Mwenyezi
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.