Está en la página 1de 20

Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha MUM - Ndani

Sauti ya Waislamu

Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 19 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 11 Novemba, 2012. Wahi kujiandikisha sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, +25 22 2182370, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: tmht@live.com, info@hajjtrusttz.org Website: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1433

Serikali yakiri kukoroga sensa


Yamtukanisha Mufti Zanzibar, Masheikh Hakuna aliyetoa hoja ya Quran, Hadithi

ISSN 0856 - 3861 Na. 1029 SHAABAN 1434, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Zanzibar wasoma Dua siku ya Badri


Na Mwandishi Wetu
U M AT I w a k i h i s t o r i a umekusanyika na kusoma Dua siku ya mwezi 17 Ramadhani kuiombea salama Zanzibar

na kuwashitaki kwa Allah wanaokula njama kuididimiza nchi hiyo. Dua hiyo iliyofanyika Masjid Shurba, Kidongo Chekundu,

Mawakala mfumokristo Arusha atumia Alshabab

Inaendelea Uk. 2

Katika jitihada za kunusuru sensa Atini Waislam kwa Usalama Taifa

Rais JK atakiwa kuuliza wanaume

UMATI wa Wazanzibari wakiwa katika dua maalum Kidongo Chekundu Zanzibar mwezi 17 Ramadhan.

Kama Karume alivyomkabili Nyerere 1970 Moyo akumbusha ya Nyau, Twalla, Hanga Achua uhuni aliofanyiwa Salum Rashid Ilikuwa wakati nyeti wa kujadili muungano

MZEE Hassan Nassoro Moyo

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari
AN-NUUR

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Zanzibar wasoma Dua siku ya Badri


Inatoka Uk. 1
ilihusisha uchinjaji wa ngombe na mbuzi kadhaa pamoja na kuku kama sadaka kwa yatima na wenye shida ibada ambayo ni kubwa katika kusindikiza dua. Kufanyika Dua hiyo siku iliyo munasibu na siku ya Vita vya Badri ambapo Waislamu wachache wenye silaha duni walipambana na jeshi kubwa la makari lenye zana madhubuti kwa vita, imetajwa kuwa ishara kuwa Wazanzibari sasa wapo tayari kujitoa muhanga kupigania haki zao katika muungano kama walivyojitoa muhanga wale Waislamu katika Badri. Aidha, uamuzi wa kutoa sadaka iliyoandamana na kumwaga damu, imetajwa pia kuwa somo kwamba katika kupigania haki, kitisho cha kuteswa na kumwaga damu, si kikwazo kwa watu walioamua kukataa kudhulumiwa, watu ambao hawaoni mbele yao ila haki wanayoitaka. Wachunguzi wa mambo wanasema kuwa kinachotisha ni ule ummati wa watu waliofurika katika Dua hiyo, ummati ambao haujapata kuonekana katika siku za hivi karibuni, iwe ni katika uwanja wa siasa au mikusanyiko ya kijamii na kidini. Duru za kiusalama zinasema kuwa kinachoendelea Zanzibar ni kuwa watu wamehama kusikiliza viongozi wao katika vyama vya siasa (CCM na CUF) na hata wa serikali wanasema nini. Badala yake wanaowasikiliza

MAONI YETU

Msizidi kuwakera walimu Hala hala zoezi la Sensa


ZIKIWA zimesalia wiki mbili kuingia katika zoezi la senss ya Makazi na watu inayotarajiwa kuanza Agosti 26 mwaka huu, kuna taarifa kwamba walimu 100,000 waliokuwa wameandikishwa kwa ajili ya kufanya kazi ya kuhesabu watu wameondolewa katika kazi hiyo. Tumezoea na imekuwa ni kawaida kwamba kwa kipindi kirefu, serikali imekuwa ikiwatumia walimu mara kwa mara kama watekelezaji muhimu wa mazoezi ya kitaifa yanayohusiana na wananchi moja kwa moja. Baadhi ya mazoezi hayo ni sensa, uandikishaji wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura, kusimamia chaguzi, michezo na halaiki za sherehe mbalimbali za kitaifa nk. Aidha walimu na wakati mwingine wanafunzi wao wamekuwa ndio tegemeo la serikali katika kunogesha sherehe au hafla ama maadhimisho mbalimbali ya kiserikali au kitaifa nchini. Na kama itatokea shughuli hizo za kitaifa zikakosa ushiriki wa walimu na wanafunzi wao, kwa namna moja au nyingine sherehe husika itapwaya kwa kukosekana huduma ya wadau hao. Walimu ndio wamekuwa wakiandaa kwaya zao na za wanafunzi wao kwa ajili ya kutoa ujumbe wenye maudhui iliyokusudiwa mbele ya hadhira inayohudhuria katika sherehe au maadhimisho mbalimbali. Wao ndio wahusika wakubwa katika kuawaandaa wanafunzi kwa ajili ya kutoa burudani za nyimbo, ngoma, na maigizo mbele ya wakubwa meza kuu na wananchi. Si hivyo tu, walimu wamekuwa wakitumiwa katika hafla za mbio za mwenge, kuhudumia itifaki za kiserikali n.k. Walimu hao hao ndio wanaotegemewa kutekeleza zoezi la sensa mwaka huu. Lakini sasa tunaambiwa takriban 100,000 wameondolewa katika dakika hizi za mwisho. Bila shaka hatua hiyo imechukuliwa kama kuwakomoa au kuwashikisha adabu kufuatia kitendo chao cha kugoma kwenda kazini

wakidai haki zao kwa serikali. Sisi tunaona kuwa kuwasitisha walimu hao kushughulikia sensa, ni kama adhabu kwao kwamba, wanaochukua hatua hiyo, wanaamini kuwa walimu ni watu wa kipato haba hivyo posho za kusimamia mazoezi haya ya kitaifa, huleta ahueni kwao kimaisha. Hivyo kwa kuwazuia kutakuwa kumewakosesha posho ambayo waliitarajia na kuisubiri kwa hamu na ambayo pengine walishaipangia bajeti. Lakini pia uamuzi wa kuwaondoa walimu katika zoezi ni kuwakomoa kwa mgomo wao dhidi ya serikali. Kwamba kwa kuwa wameigomea serikali, basi hakuna haja tena ya kuwatumia katika kazi za serikali waliyoigomea. Ni mtazamo wetu kwamba pamoja na watawala kuona kwamba wamechukua hatua za busara na kuona kama ni dawa ya wale wanaowaona kuwa ni wakorofi kwa serikali, lakini hawakutathmini ni athari ganmi itatokea katika zoezi la sensa safari hii kwa kukwaruzana na kuwaadhibu watumishi ambao ndio wamekuwa msingi wa kufanikisha utekelezaji wa mazoezi ya kitaifa nchini. Wasiwasi wetu mkubwa ni kwamba, walimu kwa hasira hiyo hiyo ya watawala wa serikali hususan wakuu wa mikoa, nao wanaweza wakachukua hatua za kuhamasika kutupilia mbali kuhesabiwa wao na familia zao katika sensa kwa kuwa wanaweza kuona kuwa hawapotezi kitu. Iwapo walimu 100,000 wakichukua maamuzi ya kuzira kufuatia kadhia hii, wao na familia zao, halafu wakaungwa mkono na wenzao ambao hawakuwemo katika orodha ya kuhesabu watu, ambao watakerwa na kitendo cha kuondolewa wenzao kwa hisia zile zile kwamba, wenzao wameondolewa kwakuwa wamegoma kwenda kazini sababu ikiwa ni kudai maslahi yao, sensa hii itakuwa na kasoro. Achilia mbali jamii y a Wa i s l a m u a m b a o n a o wameazimia kugoma kuhesabiwa, nao wakiwa na madai yao kwa serikali ambayo nayo yamepuuzwa.

Mawakala mfumokristo Arusha atumia Alshabab


Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya watu wanaotumiwa kama wakala wa mfumokristo, wametakiwa kuacha kijidhalilisha na wakome kuleta farka na tna katika jamii ya Waislamu na Watanzania kwa ujumla. Wametakiwa kusoma alama za nyakati kama wana akili timamu na kutambua kuwa huu si wakati wa kuwadanganya Waislamu kwani wana fahamu zao na wameamuka na kuondokana na bangi walilokuwa wamevutishwa na Nyerere. Wi t o n a n a s a h a h i z o zimetolewa na baadhi ya Masheikh jijini Arusha kufuatia barua iliyoandikwa na watu waliojiita Bakwata kwenda kwa Mkuu wa Wilaya wakiwatinisha Waislamu wa Arusha kwa mamlaka za serikali. Hata DC (Mkuu wa Wilaya) anawaona wajinga, maadhura wasiojijua wala kujua walifanyalo, hivi nani kawaambia DC anategemea taarifa za kiusalama kutoka Bakwata, nani kawaambia wakiibuka na uzushi wa Al Shabaab serikali itawaona wa maana sana, serikali ina watu wake mpaka ndani ya Misikiti na inajua kuwa madai yao ya Al Shabaab ni uwongo mtupu bali wanataka kuitumia serikali iwahami na kuwasaidia katika masilahi yao, kama ni Al Shabaab serikali itajua mwanzo, haisubiri ukachero usio rasmi wa Masheikh, ina watu wake wanalipwa mishahara, ndio kazi yao kila saa kila dakika. Anasema, Sheikh mmoja na Imamu wa Msikiti mmoja jijini hapa ambaye hata hivyo hakutaka jina lake kutajwa gazetini. Sheikh huyo akimuonyesha mwandishi nakala ya barua iliyoandikwa na watu hao wa Bakwata alisema kuwa ni jambo la kusikitisha kuona kuwa baadhi ya viongozi wa Bakwata hawajui hata serikali inavyofanya kazi. Nani kawaambia serikali inategemea ukachero na tna zao kufanya kazi, masikini hawajijui, wanajitukanisha na kuitukanisha Bakwata yote kuwa ni wasio tambua mambo na watu wa kujikomba. Anasema. Barua anayoizungumzia Imam huyo ni ile iliyoandikwa na BAKWATA Mtaa wa Bondeni, Kata ya Kati mnamo Julai 30, 2012 na kusainiwa na Abdallah Salim kama Mwenyekiti. Baada ya uongozi huo (Msikiti Mkuu wa Ijumaa Arusha) kukiuka katiba ya B A K WATA , k w a k u f a n y a ubadhirifu mkubwa wa fedha za msikiti, msikiti kutokuwa na akaunti na badala yake fedha kuwekwa nyumbani kwa mweka hazina, uongozi huo kuleta na kuandaa vijana wenye itikadi za siasa kali kama AL SHABAAB lililopelekea kujeruhiwa viongozi wa BARAZA na waumini kadhaa (na) wa kuwa uongozi huo uliosimamishwa uko kinyume na BAKWATA, hata wamekia kumkashifu na kumkejeli MUFTI ukizingatia maadili yao ya kufuata siasa kali za itikadi ya AL SHABAAB na kuubadilisha msikiti kuwa na kituo chao cha ANSWAR SUNNA au WAHABBI jambo ambalo siyo siri kwa yeyote a n a y e s h u h u d i a kinachoendelea pale. Hayo ni madai ya Bakwata hao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha ambaye wamemtaka achukue hatua kabla hali ya amani na usalama kuchafuka Arusha. Mheshimiwa (Mkuu wa Wilaya), Baraza ngazi ya mtaa sasa limechoka kuvumilia hujuma zote hizi zikiendelea na tuna uhakika hata vyombo vya usalama

hivi sasa ni viongozi wao wa Kiislamu. Hali hiyo imekuja baada ya wananchi kuona kuwa Masheikh hao ndio wanaopigania haki zao katika muungano bila ya woga na kudai Zanzibar huru yenye mamlaka kamili na Dola kamili ya Zanzibar kama ilivyokuwa kabla ya muungano. Masheikh hao wamekuwa wakisema wazi kuwa wanachotaka sio kuvunja muungano, lakini kupigania haki na hadhi ya Zanzibar katika muungano na pia kupigania heshma ya Rais wa Zanzibar ambaye hivi sasa anaonekana akielea tu katika serikali ya muungano pasi na mamlaka yoyote.

vinaona na kusikia mengi kutoka kwa hawa jamaa na kwa kuwa Baraza liko kisheria na linazingatia umuhimu wa AMANI NA UTULIVU, limeamua kukukumbusha kuhusu barua ya tarehe 03/08/2011. Tunahofia kwamba wakizidi kuendelea kuwepo hapo, watazidi kujijengea imani yao ya kipuuzi ambayo ni hatari kama ile ya ndugu zao walivyofanya kule Zanzibar na kwingineko duniani. Ni mategemeo yetu kuwa utatupa ushirikiano wako, kwani watu wa dhehebu hili ni kero kwa jamii nzima ya KITANZANIA nasi hatuna uhusiano nao. (na) Ili kuweza kuepukana na kadhia iliyopo mbele yetu kutokana na kundi hili tunaomba sasa tupewe msaada kuwaondoa kwa haraka sana katika hii mali wanayoiharibu na kutumia visivyo. Inamalizia barua ya Abdallah Salim, Mwenyekiti Baraza la Mtaa la Bakwata Mtaa wa Bondeni, Kata ya Kati. Kinachoonekana hapa ni kuwa watu hao wa Bakwata wanataka kutumia hali ya viongozi wa Waislamu kupingana na serikali juu ya suala la sensa kutaka ijioneshe kuwa ni malaika wa heri wa kusaidia serikali na serikali nayo isaidie kuwaweka madarakani katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Bondeni. Ni vita ya kimasilahi ambayo kwa bahati mbaya watu hao wanaitumia kujenga fitna na farka miongoni mwa Waislamu. Barua inayofanya tna hiyo imenakiliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Asa Usalama wa Taifa (W)Arusha na OCD Arusha.

Habari

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Serikali yakiri kukoroga sensa


Na Mwandishi Wetu
hivi karibuni iliyotoa takwimu hizo. Anasema Mzee Shafi na kuongeza kuwa wanachohoji Waislamu, takwimu hizo zimetoka wapi? Na kusema kuwa kama serikali inaona takwimu hizo ni muhimu, basi sasa ni wakati muafaka kuzipata katika njia hii ya sensa au vinginevyo ipige marufuku takwimu hizo na kutoa onyo kwa wanaozisambaza. Kwa hiyo, suala hapa ni ama serikali iingize kipengele cha dini ili jambo hili lifahamike wazi kuliko hizi data za kinyemela au itangaze hadharani kupiga marufuku data zilizopo na kuonya zisitolewe tena mpaka serikali yenyewe itakapoona mantiki ya kuhesabu watu kwa dini zao katika sensa zijazo. Akamalizia Mzee Shafi aliyejitambulisha kuwa ni mwananchi tu wa kawaida, sio mwanasiasa wala Sheikh, akisema kuwa angalau serikali ingewatendea haki na kuwaheshimu Masheikh wa Bakwata na Mufti wa Zanzibar kwa kuwapa hoja hizi za Waislamu na ndio ikawaomba kuzitolea majibu na ufafanuzi kama yenyewe imeshindwa. Kinyume na hivyo anasema, ni kuwatukanisha Masheikh hao kwa kuwafanya kusema mambo ambayo hayapo na hivyo kuonekana kama vipaza sauti vya serikali jambo ambalo linawavunjia heshma Masheikh hao mbele ya jamii na kuwafanya wasiaminike na hata serikali itakapotaka kuwatumia tena haitasaidia maana inatumia watu ambao hawasikilizwi na kutiiwa. Kauli kama hiyo ya Mufti wa Zanzibar imewahi pia kutolewa na baadhi ya Masheikh wa Bakwata pamoja na jopo la Masheikh ambao mmoja wa viongozi wake ni Sheikh Khamisi Mataka. Kwa upande mwingine imedaiwa kuwa kitendo cha Idara ya Takwimu nchini kusema kuwa sensa yenye takwimu ya Watanzania kwa mujibu wa dini zao ni ile ya mwaka 1957 na kwamba baada ya hapo hakuna sensa nyingine iliyohoji dini, ni sawa na serikali kukiri kuwa ilighushi matokeo ya sensa ya mwaka 1967. Katika sensa hiyo kipengele cha dini kilikuwepo, lakini data hizo hivi sasa zikitafutwa hazipatikani na serikali yenyewe haitaki kabisa kuzungumzia sensa hiyo baada ya kushindwa kujibu hoja kuwa ilipataje idadi ya Wakristo kuwa wengi zaidi ya Waislamu. Hapa kuna kutokuaminiana, Waislamu wanaituhumu serikali kwamba inawahujumu mpaka kwenye sensa kwa hiyo suala hapa halitakuwa tu kuweka kipengele cha dini, bali na kukubaliana taratibu zenyewe katika hatua zote ili kuhakikisha kuwa hakuna uchakachuaji wa matokeo. Anasema Ustadh Ponda alipokuwa katika moja ya makongamano ya kuhamasisha Waislamu kushiriki kutoa maoni ya katiba.
mbalimbali, kama za elimu na nafasi za kazi katika serikali na taasisi za umma. Hata hivyo, hali halisi inaonesha kuwa hata hiyo inayodaiwa

SERIKALI imedaiwa kuwadhalilisha Masheikh na kuwatukanisha mbele ya waumini wao kutokana na kuwatumia kutoa hoja lemavu za kuhamasisha sensa kinyume na madai ya Waislamu. Aidha, imedaiwa kuwa serikali yenyewe imekuwa ikikiri ki-aina kwamba imekuwa ikighushi idadi ya Wakristo nchini na baada ya kuzomewa ndio imefanya suala la idadi ya watu kwa mujibu wa dini zao kuwa jambo nyeti kwa sababu kuna agenda ya kuwahujumu Wa i s l a m u k a m a a m b a v y o imechuliwa katika nyaraka na vitabu mbalimbali. Hakuna Muislamu aliyetoa hoja kuwa sensa ni haramu, hakuna Sheikh aliyetoa Hadithi ya Mtume (s.a.w) akidai kuwa inapinga sensa, sasa kuwatumia Masheikh kudai kuwa hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwanza ni kupotosha ukweli, lakini baya zaidi ni kuwatukanisha na kuwadhalilisha Masheikh mbele ya waumini wao kwa sababu wataonekana wazi kusema maneno ambayo si yao. Amesema hayo mwananchi mmoja akisema kuwa ingekuwa jambo jepesi kwa serikali kujenga hoja au kuwatumia Masheikh hao kujibu hoja zinazosemwa wazi na wapingao kushiriki sensa kuliko kuja na mambo ya kuzua. Ameyasema hayo kufuatia taarifa iliyotolewa juzi ikiwanukuu Masheikh mbalimbali wa Zanzibar akiwemo Mufti wa Zanzibar Sheikh Omar Kabi na Kadhi Mkuu pamoja na Sheikh Soraga wakihamasisha Waislamu kushiriki sensa. Mufti Zanzibar anasema Waislamu washiriki sensa kwa sababu hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwa hiyo wawapuuze wanaowakataza kuhesabiwa, Muislamu gani au Sheikh gani alimsikia akisema sensa ni haramu? Alisema mwananchi huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mzee Sha akiongea na mwandishi wa habari hizi jana. Kwa jinsi nilivyomtizama Mufti wa Zanzibar akiongea katika taarifa ya habari ITV Jumatano saa 2 usiku, unaona kabisa kwamba huyu katumwa kuyasema hayo, maana anasema mwenyewe anababaika, serikali itawadhalilisha Masheikh wetu mpaka lini? Kama ni kuwatumia kwa nini isiwatumie kistaarabu? Kwa nini isiwape zile hoja wanazotoa viongozi wa Waislamu ndio ikawaomba wasaidie kuzijibu?. Alisema Sha na kuhoji. Wa i s l a m u w a n a s e m a kuwa kumekuwa kukitolewa takwimu zenye kuonesha idadi ya Waislamu na Wakristo huku baadhi ya taasisi zinazofanya hivyo zikiwa ni za serikali, wakati hakuna sensa iliyofanyika

Baadhi ya viongozi wa Kiislamu wamekuwa wakisema kuwa wanahisi kuna ajenda ya kutengeneza takwimu za kuonesha Waislamu ni kidogo Tanzania na hatimaye kutumia hizo takwimu kuwanyima haki

Rais JK atakiwa kuuliza wanaume


Na Mwandishi Wetu
MZEE Hassan Nassoro Moyo amemtengenezea njia ya kupita Rais Jakaya Mrisho Kikwete juu ya hatma ya muungano. Aw a u l i z e Wa n a u m e wanataka nini kama Mzee Karume alivyomwambia Nyerere mwaka 1970. Hayo ni maoni ya baadhi ya wananchi waliosikiliza maelezo ya Mzee Hassan Nassoro Moyo wiki iliyopita. Katika maelezo yake Mzee Moyo alisema kuwa mwaka 1970 Mzee Karume akiongozana na wajumbe wa Baraza la Mapinduzi waliitwa Ikulu Dar es Salaam ambapo Mzee Karume aliwasilisha mambo manne waliyokuwa wakitaka Wazanzibari. Mambo hayo ni Zanzibar kuwa na Sarafu yake, Jeshi lake la Polisi, Rais wa Zanzibar kuwa na mamlaka ya kuulizwa inapotaka kutangazwa hali ya hatari. Kwa maana kuwa Mamlaka ya Uamiri Jeshi Mkuu isibakie pekee kwa Rais wa Tanzania. Na la nne likiwa ni kuwa na uwezo na uamuzi juu ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa. Kwamba katika masuala ya kuingia mikataba na mashirikiano na nchi nyingine, Zanzibar isingoje ruhusa ya Bara kama ilivyo hivi sasa. Mzee Moyo anasema kuwa, baada ya Mzee Aboud Jumbe kuwasilisha madai na msimamo huo wa Wazanzibari, Nyerere alimuuliza Karume, je huo ndio msimamo wa Wazanzibari? Karume akamjibu: Waulize wanaume hao. Na alipouliza, Wajumbe wote wa Baraza la Mapinduzi waliokuwepo wakasema ndio. Ni kwa maelezo hayo, baadhi ya wananchi wanasema kuwa mjadala wa hali na mfumo wa muungano utakuwa mwepesi kama viongozi wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar watamwambia Rais Kikwete awaulize wanaume wanataka mfumo gani. Ni kwa muktadha huo, Mzee Moyo anasema kuwa haya wanayodai vijana, hawakuanza wao bali kama ni fujo walianza wazee wao wakiongozwa na Mzee Karume ambaye mwaka 1970 aliwarudisha vijana wa Kizanzibari waliokuwa wakipelekwa vitani Msumbiji. Mwaka huo, bila kumwambia Karume, Rais Julius Kambarage Nyerere alitoa amri wachukuliwe vijana wa Kizanzibari kwenda vitani Msumbiji. Mzee Moyo anasema, meli iliyowachukua vijana hao ilipoka Chumbe, Mzee Karume akaamuru warudi. Anasema Nyerere alipouliza kulikoni, Mzee Karume alimrushia maswali ambayo hakuweza kuyatolea majibu. Akaomba radhi. Ufupi wa maneno anasema Moyo kuwa Mzee Karume alimwambia Nyerere kuwa Rais wa Zanzibar ndiye dhamana ya vijana wa Wazanzibari na lolote litakalotokea huko vitani ndiye atakayeulizwa na wazazi wao. Kwa hiyo hawezi kuruhusu vijana hao kwenda vitani bila yeye kujua au kuridhia tena wakati ni Makamo wa Rais. Ilikuwa baada ya mkasa huo, anasema Mzee Moyo kuwa ndio serikali ya Zanzibar ilitaka kuwa

kuwa ndiyo idadi ya Waislamu inayoghushiwa kila leo, haiwakilishi Waislamu katika fursa za elimu, ajira na nafasi za madaraka kiserikali nchini. Katika maeneo mbalimbali wapo chini ya asilimia 20 mpaka 10 au kutokuwepo kabisa. Sifuri. Kwa hiyo kuwepo kwa kipengele cha dini katika sensa hata kama kitaonesha kuwa Waislamu ni wengi au wapo sawa kwa sawa na Wakristo, sio kitakachoondoa wanachodai Waislamu hivi sasa kuwa ni ubaguzi katika elimu, ajira na nafasi za madaraka serikalini. Kitakachosaidia ni kujitambua, kujielewa, kukataa kupunjwa na kuthubutu kuhoji bila ya hofu na kuzomea kama alivyoonyesha mfano Mzee Edwin Mtei. Lakini kama mtizamo utakuwa huu huu finyu na potofu kama ule wa Mufti wa

Bakwata wa kusimama upande wa serikali na kumshutumu Mzee Mtei, Waislamu wataendelea kubamizwa kwa miaka mingi ijayo. Alichosema Mtei ni kuwa japo tunadai kuwa serikali haina dini na hachaguliwi mtu kwa sifa ya dini yake, lakini imani ya mtu ina mchango mkubwa katika mtizamo na maamuzi yake katika utendaji wa kila siku. Kwa mtizamo huo, wakikaa kwa mfano Wakristo watupu katika Baraza la Mitihani, huwezi kuondoa ubinadamu wao na Ukristo wao wakapendelea watoto wa Kikristo. Na ndio maana wanapokaa peke yao chini ya Mwenyekiti Padiri katika kuteuwa wanafunzi wa kwenda ama kidato cha kwanza au cha tano, hukata watoto wa Kiislamu na kuweka akina Jackson wengi. Hili lina ushahidi si jambo la kuzua na ndio maana Waislamu wamewasilisha waraka maalum serikalini wakipinga dhulma kama hizi na kutaka wahusika wachukuliwe hatua ikiwa ni pamoja na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Dr. Joyce Ndalichako aliyechakachua matokeo ya vijana wa Kiislamu. Ndalichako ambaye ameajiri Mchungaji kusimamia masilahi ya vijana wa Kikristo katika Baraza la Mitihani lakini

amekataa kuajiri Mratibu wa Somo la Maarifa ya Uislamu na Lugha ya Kiarabu. Utati usio rasmi uliofanywa na baadhi ya taasisi za Kiislamu unaonesha kuwa walimu katika Shule za Kata katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani katika maeneo yenye Waislamu wengi, wamekuwa kama wapo katika mgomo au waliopewa maelekezo maalum. Hawafundishi wala kujali hatma ya wanafunzi wao kimasomo na maadili. Utati huo unaonyesha kuwa hata akija mwalimu mgeni mwenye mtizamo tofauti na akajitahidi kusaidia watoto, hufanyiwa kejeli na kila aina ya vitimvi kukatishwa tamaa. Wa n a d a i , u t a f i t i w a o unaonyesha kuwa wengi wa walimu hao walio katika mgomo baridi wa kusomesha katika Shule za Kata ni Wakristo. Na ndio maana wanasema kuwa hata kama kipengele cha dini kitaingizwa katika dodoso la sensa, maadhali wahesabuji kwa asilimia 80 watakuwa walimu ambao ni Wakristo, takwimu zao hazitakuwa za kuaminika. Watachakachua kwa hiyo lazima uandaliwe utaratibu mpya zaidi ya ule wa kuwa na mawakala katika uchaguzi ambapo pamoja na wakala mtu anakosa kuona hata kura yake aliyopiga mwenyewe.

na sarafu yake, Polisi na kuwa na maamuzi katika kupeleka jeshi vitani, halikadhalika mambo ya nje. Kwa hiyo, anasema kama ni fujo wameanza wazee, vijana hivi sasa wanaendeleza tu na akawataka viongozi wa serikali kuwa wakweli na kuacha woga. Amesema, hivi sasa Rais wa Zanzibar hana mamlaka yoyote katika siasa na mahusiano ya kimataifa baada ya suala la Ushirikiano wa Kimataifa kufanywa ni la muungano. Mfano ushirikiano wa kimataifa, halikuwa ni jambo la Muungano katika hapa wakaliongeza la Ushirikiano wa kimataiafa, hilo limeingia kinyemela tu, kwa sababu hiyo hata Rais wetu akienda Nairobi hapo hawezi kutia hata saini kununua unga wa ngano, hawezi mpaka ruhusa ipatikane Bara. Akasema Mzee Moyo na kuongeza kuwa hata hili suala la kujadili Katiba hivi sasa limekuja kinyumenyume. Akataka jambo la mwanzo lifanywe mwanzo kwanza, kwamba watu wajadili kwanza muungano wakubaliane unatakiwa uwe wa namna gani na ndio huo uwekewe vipengele katika katiba. Katiba unamtengezea nani? Madogori? Tuzungumze muungano kwanza. Amesema Mzee Moyo na kusisitiza kuwa yeye anataka muungano wa kimkataba. (Soma maelezo kamili ya Mzee Moyo akiongea na waandishi wa habari Jumatano wiki iliyopita Uk. 10)

Habari

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

SIKU ya Ijumaa tarehe 3 Agost Sheikh Mohamed Idd aliulizwa maswali kuhusu kadhi wa BAKWATA na yeye akajibu maswali hayo kwa maudhui yenye kichwa cha habari: Kumpokea Kadhi ni nusu shari na kumkataa ni shari kamili. Chini ya kichwa cha habari hiki kuna maoni mengi kuhusu kadhi huyu lakini kwa bahati mbaya, yote yalikua ni ya kukurupuka tu. Bali hata hicho kichwa cha habari chenyewe ni cha kukurupuka tu kwa sababu katika Uislamu hakuna lugha hiyo. Kwamba kitu kimoja hicho hicho kukikubali ni dhambi ndogo na kukikataa ni dhambi kubwa. Istilahi ya aina hii Sheikh Mohamed Idd kaipata wapi? Hata huko TAMTA alikosoma istilahi hii haiko. Suala hili liko wazi kuwa huu ni munkar na ni wajibu juu ya Waislamu kuupinga na kuuondoa kwa nguvu zote. Serikali ilitoa ahadi nyingi ( k u p i t i a Wa z i r i M k u u )

Kumkataa Kadhi huyu wa Bakwata ni wajibu


kwamba Mahakama ya Kadhi itarejeshwa kwa utaratibu mzuri ambao utaweza kuwaridhisha Watanzania na mchakato wake bado ulikua unaendelea. Mara Mufti wa Bakwata anakurupuka na makadhi wake ni vipi? Hivi Sheikh Mohamed Idd hili halioni kuwa ni munkar na ni khiyana kubwa ambayo Mufti Simba kawafanyia Waislamu? Kukurupuka huku ni dalili kwamba Mufti mwenyewe ni dhaifu na kwa sababu ya udhaifu wake, watu wenye tamaa ya ulimwengu wanapata nafasi ya kumtumia. Hatua hii ya Mufti wa Bakwata kukurupuka haikua ni ya bahati mbaya kama Sheikh Mohamed Idd anavyodhani, ilikua na malengo maalumu na baadhi yake ni haya yafuatayo: Ni kutaka kutetea ushabiki kwa lengo la kuendelea kuwagawa Waislamu kwa matakwa ya kanisa. Pili, Mufti wa Bakwata anafanya hivyo ili kuwahi kulinda nafasi yake mapema. Kwa sababu Mufti alikua anajua kwamba wale mashekh wa taasisi nyengine ni wanazuoni wenye elimu ya juu kuliko yeye, kama ukadhi utapatikana katika mchakato ule, yeye Mufti wa Bakwata ataambulia sifuri. Hali kadhalika Sheikh Alhadi Musa hilo alikua analijua. Tatu, hili ndilo la umuhimu zaidi na ndilo linalobainisha faida kubwa waliyoipata Maaskofu. Ni wazi kwamba Maaskofu hawaridhiki sisi Waislamu tuwe na uhuru wa kuabudu hapa nchini, na katika huo uhuru wa kuabudu ni kuwa na Mahakama ya Kadhi. Wanafurahi Mufti akiteuwa makadhi kwa sababu wana hakika kwamba atateua watu dhaifu (wachovu) ili Mahakama ya Kadhi nayo iwe dhaifu. Na hiyo ndiyo sera ya BAKWATA tangu siku Mwalimu Nyerere alipoianzisha. Sera ya kuudhoosha Uislamu kwa kuwateulia viongozi dhaifu. Hebu Sheikh Mohammed Idd kiria wewe mwenyewe kama hiki si kichekesho.

SHEIKH Alhad Mussa. Unateuwaje Kadhi kabla mfumo wa Mahkama nchini hujaunda Mahkama yenyewe? kabla na baada ya Mufti Nini hadhi ya Kadhi wa wa Bakwata kutaja Kadhi? Bakwata katika mfumo wa Mbona tunakuwa wapofu na Sheria nchini hivi sasa? wachovu wa kujua mambo Sheria gani ya nchi imewekwa kiasi hiki? kumtambua Kadhi huyo, kazi zake na mamlaka yake? Kipi Imeandikwa na : Saidi kimezidi au kupungua katika Kesi Mbwimbwi

TANGAZO LA ITIKAF
TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK

UNUNIO TEACHERS' COLLEGE Mafunzo ya Ualimu 2012 2013


Stashada ( DIPLOMA) awe amemaliza kidato cha Sita na kupata Principle ( E) 1 na Subsidary - ( S) .1 Grade iii A ( Cheti) Sifa za muombaji Awe amemaliza kidato cha nne na awe amepata Alama zisizozidi Div iv 27- aliyerudia ( Resiting) Awe na C -4 WANANDOA KWA NGAZI ZOTE WANAKUBALIWA. Chuo ni cha Bweni kwa waschana na Wavulana huduma zetu zote ni za Kiwango cha Juu. Ada zetu ni nafuu sana kuliko popote. Laki Tisa tu kwa kila kitu. Wahi sasa nafasi ni chache. Fomu zinapatikana kwa mawakala wetu mikoani. Kwa mawasiliano ya moja kwa moja ya kujiunga na Chuo:Mkuu wa Chuo , 0777 008 507/0713 022 178. Msajili/Mwadili, 0715 822 332/0756 822 332/0784 822 332. Mtaalamu, 0654 083 940/0688 910 548. Nafasi za kuhamia kwa Kunduchi F5 tu zipo,Simu-0713 465 437. Na Ununio F1 na F3 Tu-0717 008 860

TA A S I S I I N AY O S H U G H U L I K A N A KUSAFIRISHA MAHUJAJI. I N A WAT A N G A Z I A WA I S L A M U W O T E WA K E K WA WA U M E I T I K A F ITAKAYOFANYIKA INSHAALAH; MAHALI SIKU YA JUMAPILI MUDA ISHAI MASJID NNUR SINZA JUMAMOSI KUAMKIA

Usajili Na: CU- 112

TAREHE - 11/8/2012 KUAMKIA 12/8/2012 KUANZIA BAADA YA SWALAT

MADA - ZITATOLEWA NA MASHEKH MAHIRI MUHARAMI JUMA DOGA/ TWAHA BANE AMIRI KUNDECHA/ AMIRI HOFU/ YUSUF MACHELENGA. WABILLAH TAWFIQ

RAMADHANI KAREEM

Tangazo

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO


P.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania Tel: +255 23 2600256 Fax: +255 23 2600286 E-mail address:mum@mum.ac.tz Website: www.mum.ac.tz

The following candidates have been aproved by TCU to join various undergraduate degree programmes at the Muslim University of Morogoro for the Academic year 2012/2013. The University will open on 1st October, 2012. The selected candidates should come with their original certicates for registration. The registration fees is Tshs 30,000/=
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 1 2 3 4 5 6 7 8 9

ADMISSIONS FOR THE 2012/2013 ACADEMIC YEAR

B.BUSINESS STUDIES ABDULLAHI SULEIMAN MTONI ABDULRAHMAN OMAR KABELWA ADIA JUMA KAWAMBWA AHMED NASSOR SENKONDO AISHA ATHUMANI RAMADHANI ALLY MSUNDA ALLY AMASHA ABDALLA ATHUMANI SWAIBU DAUDA AZIZA ATHUMANI SHIMBO AZIZI SAIDI GOMBERA FADHIL JUMA KASSIM FATUMA ABASI EL-SHIRAZY HADIJA SALUM MSAFIRI HAMISI HASHIMU KADIBA HAMISI MAHAMOUD NANNIMUKA HASSANI NGOMA RAMADHANI ISSA HEMEDI HAMISI JAMAL AHMED SAAD JUMA A HUSSEIN JUMANNE MWOMBEKI MKANGWA KAUNDIME OTHMAN JUMA KHALID SAID MAMBULI KHATIB KHAMIS ALI MJAKA ALI KOMBO MOHAMED HAMAD MKULE MOHAMED SWEDI MSELEM ALLY SEIF MWAFATIMA MOHAMED MWINYIGOHA MWAJUMA FARDE ZUBERI MWANAISHA ABDI ABU NABEEL MUSSA MARUA NGUNGU HUSSEIN HHANGALI OMARI HAMISI OMARI OMARY IBRAHIM OMARY RAJABU NUHU MKWIZU RAMADHANI MOHAMED MBANDE REHEMA RAJAB KINANDE ROBERT CHARLES MBONDE RUHWANYA MRISHO RAMADHANI SAID HASSAN KAPERA SAID KHAMIS MAGANGA SALEHE UWESO SALEHE SALUM MUSTAPHA MBEGA SAUDA ADAM JAMES STALIN JAPHET KIHUNGE STUMAI ABDALLAH HUMBARO YAHAYA MUSTAFA RAMADHANI YASINI JUMANNE MAULID ZAITUNI ABDALLAH ZAITUNI MUSSA MLANGI ZULFA PONGWA BSC WITH EDUCATION ABUBAKARI MJENGA MUSTAPHA ABUBAKARI RAMADHANI NDWATA ABUBAKARY SADIKI KANYOTA ADINANI MAHAMUDU MAWAZO AISHA RASHID ABUBAKAR ALHAMDU HAJI ALLY BAKARI ALLY MUSSA BENDERA ALLY MVOI ALLY

M M F M F M M M F M M F F M M M M M M M F M M M M M M F F F M M M M M M F M M M M M M F M F M M F F F M M M M F M M M M

10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76

AMAN HUSSEIN MKWANGA AMANI SELEMANI AMANI AMRI ISSA RULAMYE ASESO HAMISI ASHURA MUSSA UHAKO AWAMI UWESU FUMU AWESO MOMBA HAMISI AZIA ADAM ABBA AZIZA SULEIMAN MOHAMED BAKARI RAMADHANI BARUTI BASHIRU ZUBERI SHEKIYAO BUMANGA SHIGAGAGTA ITENDELEBANYA ELEVAN HAJI MALIKA FADHILI KADESHA FATMA JUMA MBUKUZI FATMA MOHD KHAMIS HAJI SUBEYA HAJI SUBEYA HALIMA ABDALLAH MWANGA HALIMA HAMISI SALUM HALIMA JUMA LUVASILE HAMISI BAKARI NDIDJO HAMISI RAJABU CHAMBULI HAMZA KONDO KUNGWA HANIFA RAJABU JUMA HARID MAGAMBO RAMADHANI HARUNA IDRISA MNGARE HASHIM KASSIM ATHUMANI HASHIM RASHID MWEMISIMA HASSAN ISSA MPANDA HENRY THABIT NGELLAH HUSNA YUSUPH TELELA HUSSEIN SAMIJI ALLY IBRAHIM HAMISI MAATU IDD JUMA IDD SALUM ABDILLAH IDD SALUM ABDILLAHI JAFARI ABDALLAH KAWALE JAFARI FARAJI MMILE JAFARI OMARI NGURANGWA JAMAL MNDOLWA SHEMDOE JAMES FRANSIS JAMILA HASSAN MABOTE JAMILA JIRANI HAKIKA JAMILA JUMA JORI JUMA BAKARI MTOPWA JUMA NGWESHANI MONERO JUMA RAMADHANI LABIA JUMA YASINI BUTOKI JUMAA SALIM ABDALLAH KASIM JUMA RAMADHAN KASSIM ISSA LICHANDA KHALID HAMIS KONDO KHALID RAJABU KIKWESHA JONAS MNYINDO KINDAMBA MBWANA KINDOMITE MAJALIWA SAIDI MARIAM SALUM MANNA MARIETHA ELIAS MWENDI MARYAM ALLY SALIM MATOVU YAI ZIADI MGENI SAIDI MOHAMED JUMA RWECHAKO MOHAMED NASSORO FARAJI MOHAMED SALEHE MAVURA MSAFIRI SELEMANI JUMA MUHSIM RUSHAKA

M M M M F M M F F M M M M M F F M M F F F M M M F M M M M M M F M M M M M M M M M M F F F M M M M M M M M M M M M F F F M M M M M M M

77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 1 2 3 4

MUSA MFAUME SAANANE MUSSA AYOUB MUSSA TWALIBU RAJABU MWAJABU IBRAHIM MWAJUMA OMARI LUNGO MWAJUMA SHABANI KUNAMBI MWAKA HAJI FAKI MZEE SAIDI NASIBU ALLY NASIBU SELEMANI LUHULO NASRA ABDALLA MAKOLELA NASRA SHAMBA SHOMARI NUNI KALUGIRA ABDUNURU OMAR MOHD ABDALLA OMARI SAID OMARI OMARY ISSA IDDI PATRISIA FORTUNATUS MWENAMBURO RAJABU ALLY MWINSHEHE RAJABU MABRUKI BAKARI RAMADHANI TAMIMU JUMBE RAMADHANI A RAMADHANI RAMADHANI OMAYA NDUNGURU RAMADHANI SAID MKUMBA RAMADHANI YASSIN KAYUNGILO RAMADHANI ZILI RAMADHANI RASHID MBALAMULA SAIDI REHEMA MASHAKA RAMADHANI RICHARD JUMA MKAMBALA SADIKI HAJI KARATA SALIM OMAR HAMAD SALIMU ISSA NKWIVI SALUM HAMISI CHALEMA SHAABAN CHARLES TESHA SHABANI MASSENGA SALUM SHABANI SAID SELEMANI SHAFII SWALEHE SAIDI SHELA JUMA SALUM SHINUNA JUMA MATSAWILLY SHOMVI SHABANI SUBIRA JUMA CHIZA SUDI YUSUPH SUENA TEMEKE KIKANAN SULEIMAN MAHAMUDU MUHAMED SWAUMU FADHILI SAALUM TARIQ MOHAMED ABDULRAHMAN TAUSI SALEHE DIWANI TERESIA MCHOME BASHIRI UMMY SHABAN KAUNGA UWESU MOHAMED SUWED YUSUPH AMANI MKETO ZAINABU OMARI MAULID ZAINABU RAMADHANI CHOTILE ZAKARIA MOHAMED MSENGA ZEPHANIA MTOI JOHN ZETI SHABANI MWISHEHE ZUBEDA BAHARI ABDALLAH ZUHURA IBRAHIM KAKOOLE B.A EDUCATION ABASI SALUM DIGALU ABASS KHAMIS MSELLEM ABBASI HABIBU KABWE ABBASI SHAIBU

M M M F F F F M M M F F M M M M F M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M F M F M F M F M F F F M M F F M M F F F M M M M

6
5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77

Tangazo
ABDALLA ALI ABDALLA ABDALLA MOHD ALI ABDALLAH AHMADI ABDALLAH ALI ABDALLAH ALI BAO ABDALLAH ALI SAIDI ABDALLAH SALIM KANGAJAKA ABDALLAH SALUM NGATAWA ABDALLAH WAZIRI UNGANDO ABDI SALEH JUMA ABDILAH ALI USSI ABDILLAH SALI LYANA ABDUL KATANGA MAULID ABDUL NURUDINI NAKUMNA ABDUL SHABANI KAPATE ABDUL SHABANI KAPATE ABDUL SHAKUL ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ABDUL-KARIM MOHAMED OGA ABDULMALIKI JAFARY MKWAWA ABDULRAHIM IDI MTALI ABEID ALLY MABRUKI ABEID SALUM ABILAH MKUNGA ABOUD HUSSEIN MUSTAFA ABOUD HUSSEIN MUSTAFA AB-TWAHIL AKILIMALI ABUBAKAR ABDALLA SALUM ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKAR SAID MOHD ABUBAKARI RASHID ABDUL ABUBAKARI RAMADHANI KIMIA ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ABUBAKARY ABDULY KATUNZI ABUTWALIB MKANGA MPEMBEE ABUUBAKAR MOSHI RAJAB ADAM ADIM PILLY ADAM ADIM PILLY ADAM OMARY ADAM ADHRA SALUM ZAHORO ADIA ABDALLAH OMARI ADINA SELEMANI BAKARI ADIRATH ADADI MSAFIRI AFISWA AMIR NGAYANA AFSA JUMA UGANGA AGNES DAUDI MUGYABUSO AHAMADI JUMBE ABDALLAH AHMAD CHANDE AHMAD RASHID MAGETE AHMAD RASHID RAMADHAN AHMAD SALUM CHOPOTI AHMADI ABDUL AHMED FADHILI RAI AHMED SAID BAKAR AINATH KASSIM MSUM AISHA AYOUB OMARY AISHA MATHIAS KISHOSHA AISHA TWAHA KILUA AJIRATH HUSSEIN MGANGA AKAMA HAMDU HAJI AKIBA MOHAMED ULEDI AKIDU DAIMU PILLI AKTARI SABIHI ISSA ALFAN HAMISI SAIDI ALFANI BAKARI ALFANI ALI ABDALLA DADI ALI ABDI ABDALLA ALI FAKI JUMA ALI MASOUD ALI ALI MOHD ISSA M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F F F F M M M M M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M
78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


M M M M M M M M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F F F F F F F F F F F M M F F F F M F F F F F F F F F F F F F
151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163 164 165 166 167 168 169 170 171 172 173 174 175 176 177 178 179 180 181 182 183 184 185 186 187 188 189 190 191 192 193 194 195 196 197 198 199 200 201 202 203 204 205 206 207 208 209 210 211 212 213 214 215 216 217 218 219 220 221 222 223

AN-NUUR

ALI MZURI KHAMIS ALI RAMADHANI KHATIB ALI RAMADHANI KHATIB ALI SAID ALI ALI SALIM ABEID ALI SALIM HAJI ALI SALUM SIYAHI ALI SALUM SIYAHI ALI SALUM SIYAHI ALI SHARIF MOHAMED ALI YUSSUF ALAWI ALLY HASHIM MUSA ALLY MUSTAFA DANGA ALLY HAMZA SAID ALLY HASSAN ISMAIL ALLY HASSAN MUCHAN ALLY HASSANI MTAWANGO ALLY HATIBU NDITI ALLY HEMEDI MWEHUTI ALLY HUMUDI NDEGE ALLY IDRISA MIKUNGE ALLY JUMA DIGONZA ALLY MANGARA ALLY MAULID MSUYA ALLY MIRAJI ALLY ALLY MIRAJI ALLY ALLY RASHID MLOPOKAGE ALLY SAID MAUYA ALLY SAIDI LICHENJELE ALLY SAIDI NASIBU ALLY SAIDI OMARY ALLY SALIMU ZAHARAN ALLY SEIF KIWANGO ALLY SHABANI LENGE ALMASI AMIRI BAKARI ALPHONCE BELAS NGAPONDA ALPHONCE NESTORY MICHAEL AMANA ABDALLA ALI AMASHA HARIDI SIMBA AMINA ALI HASSAN AMINA ALI SOUD AMINA ATHUMANI MCHOPA AMINA HABABUU MOHAMED AMINA HABABUU MOHAMED AMINA HUSSEIN NGIDO AMINA KHATIB NASSOR AMINA MAKAME HAJI AMINA MOHAMED ABDALA AMINA MOHAMED YASSIN AMINA PAULA GAO AMINA SELEMANI HOZA AMINA SHABANI HUSSEIN AMINA SULEIMAN KATUGA AMRANI IDDY MWAJASHO ARABI MAURID RAHISI ARABIA ALI HASSAN ARAFA HARUNA MABARAZA ARAFA IDDI MOHAMED ARAFA SAIDI SELEMANI ARAFAT IDDI KYEJU ASHA ABDALLAH MWINYI ASHA ABDUL MIDUMA ASHA ALI HAMAD ASHA ALI KHATIB ASHA ATHUIMANI KISEMYA ASHA HAMAD MANJA ASHA IDD KUNKI ASHA KHATIBU MAUYA ASHA KOMBO JUMA ASHA KOMBO JUMA ASHA MOHD ADAM ASHA OMAR KOMBO ASHA RAMADHANI MSONGELA

ASHA SAID AMIR ASHA SALUM MAURID ASHA TWALIBU RAJABU ASHA YAZIDU KATIMA ASHIA OMARY ABDALLAH ASHURA ABUBAKARI KIMARO ASHURA KHATIB KHAMIS ASHURA OTHMAN MUSSA ASHURA SHABANI MAULID ASIA IBRAHIM NGAKOPEYA ASIA MAULID IBRAHIM ASIA RAMADHANI MPENDU ASIYA KHAMIS HAJI ASMA ABDUL GOMA ASNA MOHAMED LACHA ASNA MOHAMED LACHA ASNATH IDRISSA RAJABU ASUMIN BAKARI ATHUMAN AHMAD KAJIRU ATHUMANI ALLY MAKAME ATHUMANI ALLY MAKAME ATHUMANI HAMISI ITAMBU ATHUMANI ISSA MWENDA ATHUMANI JUMA BAKARI ATHUMANI MUSSA MSANGI ATHUMANI SAIDI MIRABO ATHUMANI SAIDI MIRABO AWADH ATHUMANI MACHIBYA AWENA SAID JUMA AWENA SAID JUMA AYOUB HAMISI CHILEMBU AYOUB HAMISI CHILEMBU AYOUB LOTH CHACHAGE AYOUB MOHAMED MAGHIMBA AYSHA SULEIMAN MSANGI AYSHA ZAHRAN MOHD AYUBU BAKARI UGASSA AZIZA AMOUR MABROUK AZIZA HAKIM MOHD AZIZA MOHD ALI AZIZI ABDALLAH LIKATY AZIZI ALLY MFAUME AZIZI ASEDI LYANGA AZIZI KIBWANA ABDALLAH AZIZI KIBWANA ABDALLAH AZIZI MOHAMED AZIZI AZIZI ULEDI HUSSEIN AZIZIZ AYUBU MDIMBE BADRU MAULID MTAMBO BADRU MAULID MTAMBO BAHATI MAALIM ALI BAHIA TANER ABUBAKAR BAKARI ABDARAHAMANI BAKARI HAMAD SHARIF BAKARI IDDI BAKARI BAKARI JAFARI BAKARI MOHAMED LINGAMBA BAKARI RAMADHANI MUSSA BAKUME ISMAIL RAJABU BARAKA ABDUL JONGO BASHIRU DAUDA BASHIRU HASSAN DADI BATULI YAHAYA NYANGE BAWAZIRI ALLY MBUMA BAYA BAKARI BERTHA GEORGE KAPUFI BILHUDA MIRAJI SHEMBOZA BIMKUBWA ABDULLA MASOUD BIMKUBWA KHAMIS SALIM BUKURU YAHYA KIBALIZA BURHANI HAMISI HUSSEIN BURHANI UWESU AHMAD BURHANI UWESU AHMAD

F F F F F F F F F F F F F F F F F F M M M M M M M M M M F F M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M F F M M M M M M F F M M F M F F F F F M M M M

7
224 225 226 227 228 229 230 231 232 233 234 235 236 237 238 239 240 241 242 243 244 245 246 247 248 249 250 251 252 253 254 255 256 257 258 259 260 261 262 263 264 265 266 267 268 269 270 271 272 273 274 275 276 277 278 279 280 281 282 283 284 285 286 287 288 289 290 291 292 293 294 295 296

Tangazo
CATHERINE GODFREY KOBA CHAUSIKU ALLY CHIBOKO JUMA ABDALLAH CHITELA MUSSA CHITELA CHRISTOM SIMPLIS DAROUS HAMAD SHAAME DAUDI JUMA GUMBO DAWA ALI HAJI DAWA SHURURU MAKAME DIANA MARTINI KONDO DOGO SHABANI SALUM DUA YUSSUF AMEIR EDWARD ALBERT KAYOMBO EMMANUEL DANIEL MUSSA FADHILA AHMAD MKOBA FADHILA IBRAHIM SAID FADHILA MMANGA MTUMWA FADHILI MWINYI KHAMIS FADHILI SAIDI FADHILI SHAHA SALUM FAHARIA SAID HAMAD FAIDA MANYAKALUMWA KABAJU FAKI KHAMIS JUMA FAKI KHAMIS JUMA FAKI SULEIMAN OMAR FAKI SULEIMAN OMAR FARAJI OMARY NDUNGWI FARAJI RASHID MSUSA FARIDA ALLY ATHUMANI FARIDA HASSAN FARIDA HASSAN MOHAMED FARIDA MAKAME KITWANA FARIJALA ALLY MSAGATI FARIJALA ALLY MSAGATI FARSHUU KHALFAN HAFIDH FATMA ABDULLA ZAHOR FATMA HABIBU ALI FATMA HAJI BAKARI FATMA HASSAN KHATUM FATMA IDRISA MAKAME FATMA IDRISA MAKAME FATMA ISSA MOHAMED FATMA JUMA NASSOR FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA JUMA SUILEIMAN FATMA MUSTAFA ABDALLAH FATMA OMAR ZAHOR FATMA OTHMAN HAJI FATMA RASHID BAKAR FATMA SAID SALIM FATMA YUSSUF HAMAD FATUMA ABDULLA KHAMIS FATUMA AHMAD KONDO FATUMA ALLY ABDALLA FATUMA ALLY BARAZA FATUMA AMRI SELEMANI FATUMA CHIBWANA DIHONI FATUMA HAJI JUMA FATUMA HAMADI KHALFAN FATUMA JUMA GOME FATUMA LAI MASIMBA FATUMA LAI MASIMBA FATUMA MABRUK NASSOR FATUMA MOHAMED SAID FAT U M A R A M A D H A N I FATUMA SELAMNI SAID FAUDHIA YUSUPH KHAMIS FEDHA KASHUSHU FEDHA SUDI SAID FIKIRI ATHUMANI KILUMBI FULUGECE I S S AYA FUM HAJI ALI F F M M M M M F F F F F M M F F F M M M F M M M M M M M F F F F F M F M F F F M M F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F F M M
297 298 299 300 301 302 303 304 305 306 307 308 309 310 311 312 313 314 315 316 317 318 319 320 321 322 323 324 325 326 327 328 329 330 331 332 333 334 335 336 337 338 339 340 341 342 343 344 345 346 347 348 349 350 351 352 353 354 355 356 357 358 359 360 361 362 363 364 365 366 367 368 369

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


F F F F M F F F F F F F F F F F F F F M M M F M M M M M M M M M M M M M M F F F F F M F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F M M
370 371 372 373 374 375 376 377 378 379 380 381 382 383 384 385 386 387 388 389 390 391 392 393 394 395 396 397 398 399 400 401 402 403 404 405 406 407 408 409 410 411 412 413 414 415 416 417 418 419 420 421 422 423 424 425 426 427 428 429 430 431 432 433 434 435 436 437 438 439 440 441 442

AN-NUUR

FURAHA KASSIM WAMBONAHENI HABIBA DAFA HASSAN HABIBA JUMA ABDALLA HABIBA JUMA ABDALLA HABIBU ABDALLAH MBENA HADIA ALLY SAID HADIA MACHANO JUMA HADIJA AHAMDI ALLY HADIJA HAMAD ABDALLAH HADIJA HAMASI MZEE HADIJA HOSENI SADIKI HADIJA MOHAMED IDD HADIJA MOHAMED MBAZI HADIJA OAMRI KONDO HADIJA ZAHIR MAEDA HADIYA ABDALLA SALEH HADIYA ABDALLA SALEH HADIYA SAID ABDALLAH HADIYA SALEHE YUSUFU HAFIDH ALI ABBSI HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAFSA ABDALLA MAHMOUD HAIDARI MUHIBU MOHAMED HAJI ADAM KHAMIS HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI ABDALLA HAJI ALI BAKAR HAJI ALI JUMA HAJI ALLY USSI HAJI KHAMIS HAJI HAJI MUSTAFA SADIKI HAJI NASSOR NGOMENI HAJI SHASANI OMARI HAJI SHASANI OMARI HAJJI ALLY HAJJI HALIMA ABDALLA ALI HALIMA ABDALLAH HALIMA ALI NASSOR HALIMA ALI SALEH HALIMA ALLY HALIMA HEMED MPAKI HALIMA RAJABU IBRAHIM HALIMA SHABAN ADAM HAMAD ALI HAMAD HAMAD MOHD MADAFU HAMADI JUMA BAKARI HAMADI KIMOLO HAMADI KIMOLO HAMADI KIMOLO HAMDUNI JUMA MUKHANDI HAMDUNI JUMA MUKHANDI HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA HAMISI BAKARI HAMISI HAMISI FAKI SAIDI HAMISI HEMED MATESO HAMISI MASANDA YAHAYA HAMISI MLANDALI HAMISI NURDINI MAULID HAMISI RASHID MPENJA HAMISI SAID MKELE HAMISI SAIDI LUTAVI HAMISI SAIDI MGOWO HAMISI SHABANI UZIGO HAMOUD SAID BANDIO HAMZA OMARI ISSA HANAFI KHALFAN ALI HANIFA MOHAMED HANIFA SAID IDD HANIFA SAID IDD HARUNA KHAMIS MSALALE HARUNA RASHID KATEGILE

HASHIM ISSA BWIKILA HASHIM SAID MAZENGO HASHIM SAID MBOTONI HASINA HAMAD KHAMIS HASSAN ABDALLAH RWAMBO HASSAN ABDALLAH UWESU HASSAN BASHIR NDOSSA HASSAN HAJI MUHAMAD HASSAN HUSSEIN KAPONA HASSAN JUMA NUSURA HASSAN JUMANNE MAFELE HASSAN KOMBO HASSAN HASSAN MAKAME OMAR HASSAN MBWANA ALLY HASSAN SAID MAKUMBURA HASSAN SALUM KAPALATU HASSANA SADICK LUBENGE HASSANA SADICK LUBENGE HASSANA SADICK LUBENGE HASSANI ABDALLAH SELEMANI HASSANI ISSA MNYAMILI HASSANI JUMA DOU HASSANI KAYOYO HAWA ALI KOMBO HAWA ATHUMANI NKUSA HAWA HAKIMU KIBERA HAWA MSHAMU STEPHANO HAWA SHAABAN KOMBO HELENA MACHALLA MANYANDU HEMEDI BAKARI HERI HASSAN KITOGO HERY MAULID SELEMAN HIDAYA ALI NUHU HIDAYA BAKARI SAIDI HIDAYA KHATIB ALI HIDAYA TWAHA TASLIMA HIJA SALUM ISSA HIJA WILSON MUJIGABA HIJRA JUMA MSUMBA HILALI USSI ALI HOSSEIN SHABANI KAJIA HOSSEIN TUMBO SAIDI HUBA KHATIBU SAID HUBA RAMADHANI SHEHA HUDHAIFA MSISI ABDALLAH HUMUD AHMED SALIM SEIF HUSINA ZINGA HAJI HUSNA ALLY KATETA HUSNA BASHIR KIVOJA HUSNA IBRAHIM HUSSEIN HUSNA MAULIDY ZUBERI HUSNA SAID HUSSEIN ABDALLAH MSONZO HUSSEIN ALLY THABIT HUSSEIN AYUBU MKWIZU HUSSEIN KAYOYO HUSSEIN SWARD LUGOME IBRAHIM ATHUMANI DAUD IBRAHIM ATHUMANI NKUMBI IBRAHIM HAMAD ALI IBRAHIM KOMBO YAHYA IBRAHIM MOHAMED HONELLO IBRAHIM SHAWEJI KHALID IBRAHIM WALDI SILAYO IBRAHIMA AMANI MRESA IDD ABUTWAHI IDD MANYOZA MOHAMED IDD MOHAMED AWADH IDD MOHAMED KIJAMBA IDD MUSIBA WARIOBA IDDI MUSSA MADONJI IDDI SULEIMAN MFAUME IDRIS SULEIMAN HASSA

M M M F M M M M M M M M M M M M F F F M M M M F F F F F F M M M F F F F M F F M M M F F M M F F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M

8
443 444 445 446 447 448 449 450 451 452 453 454 455 456 457 458 459 460 461 462 463 464 465 466 467 468 469 470 471 472 473 474 475 476 477 478 479 480 481 482 483 484 485 486 487 488 489 490 491 492 493 494 495 496 497 498 499 500 501 502 503 504 505 506 507 508 509 510 511 512 513 514

Makala
IDRISA MOHD NAHODA IDRISA SADIKI RUKAMATA IDRISSA ALI HASHIM IDRISSA HASSAN ISSA IFADAT HABIBU SEIF ILIASA MADAI JAFAR IL-YASA KHAMIS SAID IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI IMANI THOMAS MAPUNDA ISAYA DANIELI LUKINDO ISAYA DANIELI LUKINDO IS-HAKA OMAR SULEIMAN ISMAIL ABDULRAHMANI MKONYI ISMAIL ATHUMANI HAJI ISMAIL ATHUMANI HAJI ISSA ABDALLAH MWISHEHE ISSA ATHUMANI ISSA BAKARI ISSA HAMDANI JUMA ISSA HAMISI ISSA HAMISI BOMBO ISSA JUMA ISSA ISSA MOHAMED YUSUPH JAAFARY SADIKI MRISHO JABIRI DAUDI MGOLI JACROBA OMARY DIOFF JAFARI APILA BONOMALLY JAFARI JUMA NGONDAVI JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY JAILANI AYUBU RAJABU JALIA AHMAD KAONEKA JAMALI HAMISI LINJEMBWA JAMALI HAMISI LINJEMBWA JAMALY MOHAMED KIMBUKWA JAMILA THABIT KOMBO JAMILA THABIT KOMBO JAMILA THABIT KOMBO JAPHARY ATHUMANI MSENGI JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY ISSACK MASHULANO JAPHARY YAHAYA MWANDOBO JASMIN AKWILIN MAKOY JAZIRA NAJIBU JINA SEIF JUMA JOHA OMARI JOHARI IBRAHIM JOHARY OMARI MVUNGI JOHN SIMON KANGA JUMA ABUDU MUHIJA JUMA ALLY AHAMADI JUMA ALLY MATIGA JUMA ALLY MOHAMED JUMA ATHUMANI DOSSA JUMA FAKI WAZIRI JUMA HAJI JUMA JUMA HAMAD ABDULLA JUMA HILALI SHAABANI JUMA HUSSEIN SAID JUMA IDD BIZEI JUMA IDDI ABEID JUMA ISSA MBALAULE JUMA JUMANNE NJIKU JUMA KHAMIS ALI JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KHAMIS JUMA JUMA KOMBO VUAI JUMA MAKAME HAJI M M M M F F M F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F M M M F F F M M M M M F F F F M F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M
515 516 517 518 519 520 521 522 523 524 525 526 527 528 529 530 531 532 533 534 535 536 537 538 539 540 541 542 543 544 545 546 547 548 549 550 551 552 553 554 555 556 557 558 559 560 561 562 563 564 565 566 567 568 569 570 571 572 573 574 575 576 577 578 579 580 581 582 583 584 585 586

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F F M F F M F F F M F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M
587 588 589 590 591 592 593 594 595 596 597 598 599 600 601 602 603 604 605 606 607 608 609 610 611 612 613 614 615 616 617 618 619 620 621 622 623 624 625 626 627 628 629 630 631 632 633 634 635 636 637 638 639 640 641 642 643 644 645 646 647 648 649 650 651 652 653 654 655 656 657 658

AN-NUUR

JUMA MOHAMED MADAKU JUMA MOHAMED VUMBA JUMA MWALIMU JUMA JUMA NGONYANI JUMA RAJABU MSUKA JUMA RAMADHANI NTANDU JUMA RASHID KUNDEMA JUMA RASHIDI MTUMBA JUMA SHABANI AMIR JUMA SULEIMAN YUSSUF JUMANNE MLAMBALAZI JUMANNE HAMISI KOMBENGE JUMANNE OMARY MAKALA JUMANNE OMARY MAKALA KABOGO BARUANI HEMEDI KAHEMBA YUSUPH YANDIRO KAIMU MTULIA MRISHO KARAMA KHALID MOHAMED KARIM MOHAMED MPUTA KARIM SALUM CHINDORO KARIM SELEMAN CHAMBUSO KARIM ZOO SEIF KASIMU ABUU KASIMU KASSIM HAMAD JUMA KASSIM HASSAN KASSIWA KASSIM OMAR SULEIMAN KASSIM OMAR SULEIMAN KASSIM OMAR SULEIMAN KASULA HADJI KASOGOTA KATARINA PAUL MFINANGA KAUSALI ABDUL KAUTHAR MUHAMMAD MBARUK KAUTHAR YUSUPH HANEIN KAZIJA SALEH MZEE KAZUMARI RICHARD NGUNGURU KHADIJA ALLY SALUM KHADIJA ALLY SALUM KHADIJA AMIRI KIWANGO KHADIJA DAUD MTOLELA KHADIJA KOMBO MWINYI KHADIJA MAKAME HAJI KHADIJA MUSTAPHA AMIRI KHADIJA NAHODA JUMA KHADIJA SABIHI SELEMANI KHADIJA SALUM KHAMIS KHADIJA SHARIF ALI KHADIJA SIMAI FAKI KHALFAN KHAMIS AME KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFAN SULEIMAN JUMA KHALFANI YASINI BWANGALO KHALFANI YASINI BWANGALO KHALID JUMA ALI KHALID KHAMIS KAPERA KHALID WAHID BAHORERA KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ALI OTHMAN KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI SAID KHAMIS ALI VUAI KHAMIS FAKI MATI KHAMIS GHALIB HASSAN KHAMIS HAJI KHAMIS KHAMIS HAJI UJUDI KHAMIS HAJI UJUDI KHAMIS HAMAD OMAR KHAMIS JUMA ABAS KHAMIS KOMBO MOHD

KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED IS-HAKA KHAMIS MOHAMED MKOMANGI KHAMIS OMAR ALI KHATWIBU SIRAJI MAGAYANE KHEIR ALI MAKAME KHEIR ALI MAKAME KIBABE MUHIDINI MAKAME KIGUMI SAIDI KUBANGA KIGUMI SAIDI KUBANGA KIMANDA T MWAITA KINANDA I MWAITA KIROBO SELEMANI KITWANA JUMA ABDALLAH KOMBO ALI MTENGWA KOMBO MACHANO ABDALLAH KOMBO ZUBERI KUDRA ISMAIL NKUMBI KUJIJA JAFARI KUJIJA KURUTHUMU OMARY MOHAMED LAHAMDU ABDALLAH LIKENGE LAHIU SALEHE SHEMWETA LAILA ALI RIDH-WANI LAILATI JUMA NKANYEMKA LAINI MUSSA MKAMULIKA LATIFA SULTAN SEI LAURENT JOACHIM JOACHIM LIGHTNESS AMOS NJALI LUCAS PAUL LULUA SALIM ALI MABINA MOSHI MABINA MABINA MOSHI MABINA MAFUNDA HAMAD SAID MAFUNDA ISSA HEMEID MAFUNDA ISSA HEMEID MAHAFUDHA ISSA SALEH MAHMOUD ALI HAJI MAHMOUD HASSAN ABDULRAHMAN MAIMUNA MOHAMED KILINDO MAIMUNA SHABANI MAIMUNA SHABANI MAISARA ATHUMANI SAID MAJID SHABAN MWINGE MAJIDI AMRI MNINGWANELA MALABE HAMISI RUCHELA MALEPO OMARY OTHUMAN MALICK SHABAN MANZI ALLY CHUMO MAPESA W HAMZA MARIA ZAHORO SULEIMAN MARIAM ALLY SULEIMAN MARIAM DAFFA HAMISI MARIAM FADHIL ALI MARIAM HASSAN KWELEZA MARIAM MOHAMED ALLY MARIAM MOHAMED NJUKI MARIAM MOHD RASHID MARIAM MUSSA KAWAMBWA MARIAM OMARI MSEDE MARIAM SWALEHE NCHASI MARIAMU FRUMENCE MGAYA MARIAMU RASULI ABDALLA MARICK SAID BYAMBWENU MARIJANI AHMADI MBUYU MARIJANI RAJABU MARIYAM ALI JUMA MARIYAM MFAKI YUSSUF MARYAM ALI SAID

M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F M F M F F F M F M F M F M M M F F F M M F F F F M M M M M M M F F F F F F F F F F F F F M M M F F F

9
659 660 661 662 663 664 665 666 667 668 669 670 671 672 673 674 675 676 677 678 679 680 681 682 683 684 685 686 687 688 689 690 691 692 693 694 695 696 697 698 699 700 701 702 703 704 705 706 707 708 709 710 711 712 713 714 715 716 717 718 719 720 721 722 723 724 725 726 727 728 729 730

Makala
MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM JUMA ABDALLA MARYAM KHAMIS FEREJI MARYAM KHAMIS SALIM MARYAM MUHAJIRI MOHAMED MARYAM OMAR MOHD MARYAM YUSSUF ALI MASHA MOHD SALIM MASHAKA PAULO BUNDALA MASHAVU MSHAMARA CHUMU MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MASOUD HUSSEIN ABDALLA MASUDI RASHIDI NTIMPEMA MAUWA SHOMARI JUMA MBARAKA ALLY CHIMELA MBARAKA MOHAMED MATUTU MBARAKA NYONA HAJI MBAROUK ABDALLA OMAR MBAROUK SULEIMAN RASHID MBELU MUHAMEDI MFAUME OMARI MFAUME MGENI ABASS HAJI MGENI ABASS HAJI MIHAYO LUBAPULA MIKIDADI HAMISI MILDRED W SELULA MINIHAJI HARUN JUMA MIZA MAULID HAMADA MKASI SILIMA USSI MKIWA KIZIGINA ATHUMANI MKOMBOZI ALLY MWEGOLE MKOMBOZI KAPAYA MKOSONI HAJI HAROUN MKUBWA A HAMAD MKUBWA ALI HAMAD MNGWALI HASSAN FAKI MOHAMED ALI MOHAMED MOHAMED ATHUMAN SARAI MOHAMED HAMISI ALLY MOHAMED HAMISI LIMBOKA MOHAMED HUSSEIN SELEMANI MOHAMED ISSA OMARI MOHAMED ISSA OMARI MOHAMED JUMA OMARY MOHAMED KIASSIM MANULA MOHAMED KUZIGA MOHAMED MFAUME HIOGORA MOHAMED MKETO FADHILI MOHAMED RAJABU MOHAMED MOHAMED RASULY CHELANGWA MOHAMED SAIDI RUDIKI MOHAMED SELEMANI NGOI MOHAMED SHEHE HAMISI MOHD ALI NAIM MOHD HAJI KHATIB MOHD HAMIMU ALI MOHD R. HABIB MOHD SULEIMAN HIJA MOHD SULEIMAN HIJA MOHD SULEIMAN HIJA MOROZEN SHIRAZ MZEE MOSES SAKILA MOSES MOSHI BIKWILA OMARY MPAJI ABUBAKAR OMAR MPAJI ABUBAKAR OMAR MPAJI ABUBAKAR OMAR MRASHI MAULID KATANDE MREMA HAKIM MSEMO MRISHO NGULANGWA MPITA MRISHO ZUBERI KAMBI F F F F F F M F F M F M M M M F M M M M M F M F F M M F M F F F M M F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M M M
731 732 733 734 735 736 737 738 739 740 741 742 743 744 745 746 747 748 749 750 751 752 753 754 755 756 757 758 759 760 761 762 763 764 765 766 767 768 769 770 771 772 773 774 775 776 777 778 779 780 781 782 783 784 785 786 787 788 789 790 791 792 793 794 795 796 797 798 799 800 801 802

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


M F M F M M F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F M M M M F F F F F F F F M M M M F F F F F F F F F F F F F F
803 804 805 806 807 808 809 810 811 812 813 814 815 816 817 818 819 820 821 822 823 824 825 826 827 828 829 830 831 832 833 834 835 836 837 838 839 840 841 842 843 844 845 846 847 848 849 850 851 852 853 854 855 856 857 858 859 860 861 862 863 864 865 866 867 868 869 870 871 872 873 874

AN-NUUR

MSHAMATA HASSAN MSHAMATA MSHANGI MASOUD ALI MSHAURI MOHAMED BOFU MSHINDO ALI KHATIB MTAALAM MAKAKILA MTOPA SAIDI MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA MOSSI BAYA MTUMWA SALI MOHAMED MTUPE SALUM SEIF MUHADHIRU HAKIKA NAWEMA MUHAMED MASOUD ABDULLA MUHAMMADY IDRISA MIRUKO MUHIBU ISSA AHMADI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUHIDINI ABDALAH MUHIDINI MUHIDINI ABDULY GEORGE MUHIDINI MOHAMED SABUNI MUKSIN I SAID MUSSA ABDUL GOMA MUSSA ALI SOUD MUSSA ALLY ABDALLAH MUSSA HAJI JAHA MUSSA HAJI JAHA MUSSA HAJI JAHA MUSSA HASSAN CHUTI MUSSA HEMED MRUMA MUSSA HUSSEIN MUSSA JANDIBU SALUM MUSSA MOHAMED MVOGOGO MUSSA RAMADHANI MUSSA MUSSA RASHID KUNJA MUSSA SHWAIBU MUSSA MUSTAFA JUMA HAMAD MUSTAFA MUSSA SEIPH MUSTAFA P NNUNDUMA MUSTAPHA AHMAD SWALEHE MUZNA HINDU MARUA MVITA MGENI MOHD MWADHI MOHAMED MUWINO MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWAITA IBRAHIM OMARI MWAJABU IBRAHIMMNGOYA MWAJABU MOHAMED NDULI MWAJABU MOHAMED NDULI MWAJABU OMARY MNGOMA MWAJUMA HAMIS NGENJE MWAJUMA KONDO MKWAMA MWAJUMA SAID SOMA MWAKADI OMARY BAYA MWAKUMUNA SALIMU KIDOMBO MWALIM OMAR HASSAN MWALIMU MOHAMED HAMISI MWALIMU WALII MOHAMED MWAMVUA OMAR SALIM MWANABARAKA MSENGA MRISHO MWANAFELA SHEBE MWANAFELA MKUU MWANAHAMISI JUMA MWARU MWANAHAMISI MUSTAFA MCHITIKA MWANAHAMISI SWEDI ALLY MWANAHAWA R MZEE MWANAHAWA RAJABU MWANAHIJA JUMA SALUM MWANAIDI OMAR MWINYI MWANAIDI PANDU VUAI MWANAISHA JUMA MWANAISHA JUMA ALAWY

MWANAISHA SHABAN MWANAISHA SHABAN SHEMTAWA MWANAISHA YASSIN MWANAISHA YASSIN ABDALLAH MWANAKHEIR ISSA SHAABAN MWANAKOMBO HAJI MWANAKOMBO HAJI HASSAN MWANALI SAIDI ALI MWANAMKUU SAID MWANAMKUU SAID LANGIA MWANASITI SAID OMAR MWANASITI SAID OMAR MWANAVITA MTALU MWANAVITA AUGUSTINO MTALU MWANZANI IDDY MWANZANI IDDY KIBASU MWANZO ABLAHAM LULAMBO MWARAMI OMAR MAPARILO MWASHAMBA JUMA KHAMIS MWASHAMBA JUMA KHAMIS MWASHAMBA T KUWA MWASHAMBA TWALHATA KUWA MWASITI IDD MWASITI IDD MRUKE MWATATU KASSIM MWATATU KASSIM NYALUSI MWEDADI ADINANI HAMISI MWEMA S MWAMBAPA MWEMA SETH MWENCHUMU HEMED BAU MWINJUMA HEMED KIMWERI MWINYI IDD BAKARI MWINYIMKUU JABU MAARUFU MZAMILU RAMADHANI OMARI MZEE AHME MWATANDA NABILA AZIZI NABILA AZIZI SIMAI NACHIA ALI SILIMA NACHIYA OMAR NACHIYA OMAR HAJI NADHIFA A ABDALLA NADHIFA KHAMIS HAJI NADHIRA HAJI HASSAN NADHIRU HASHNI HAMISI NADHRA YUSSUF ALI NAIMA H ALI NAIMA HESABU NAIMA K NOOR NAIMA KHUZAIMA NAJMA BARAKATI SWALEHE NAJMA JUMA NAJMA JUMA MASOUD NAMANGI MAVURA NASIBU BAKARI NGEREZA NASIR SALIM KITUKU NASIRI HARUNA MOHAMED NASRA ABULAZIZI KOOSA NASRA ABULAZIZI KOOSA NASRA AZIZI SIKWANDA NASRA MUSTAPHA SHAMTE NASRA SADALA URASA NASSIR CLAUS MALIKI NASSOR AMAN VUAI NASSOR HAMAD NASSOR NASSOR KASSIM RASHID NASSOR OMAR JUMA NASSOR OMAR JUMA NASSOR OMAR JUMA NASSOR USSI OMAR NASSOR YUSHAU ALI NASSUUNA SHAMILAH NASSUUNA NAZISHI MOHAMMED MADEA

F F F F F F F F F F F F F F F F M M F F F F F F F F M F F M M M M M M F F F F F F F F M F F F F F F F F F M M M F F F F F M M M M M M M M M F F

10
NIMEFURAHI sana kwa walionitayarishia vijana wangu kukutana na Waandishi wa habari, na wasomi wengine kuzungumzia mambo ya Muungano wetu. Kwanza naomba niseme mawili matatu kabla sijaanza kusema hayo niliyokusudia. Kwanza nimeweka haya katika karatasi hii, sitaki mje kuandika hovyohovyo. La pili nataka kuweka wazi kabisa, nimefurahi sana kunitayarishia mkutano huu. Katika maisha yangu sikuwahi kupata mkusanyiko wa magazeti kama huu, nimekuwa ndani ya siasa lakini sikupata kukabiliana na kundi la magazeti kama hivi. Nimekuwa nikikutana nao mmoja mmoja tu. Furaha yangu ni kubwa sana itaniwezesha kueleza watu nakiri nini juu ya nchi yangu. Nataka niseme kwamba wengi wenzangu wananiandika mimi wanavyotaka wenyewe na kuna choyo fulani ndani yake, ndio maana wakisikia Moyo kasema, nao wanastuka kwa nini kasema, ndiyo nasema. Nasema kwa sababu mimi ni mtu wa nchi hii, mimi nimezaliwa hapa. Kwa hiyo la kwanza ni kwamba mimi sikuwa muasisi wa ASP, na wala siku moja sikuwahi kusema hilo. Mimi nimekuwa mwanachama wa ASP, kuanzia mwaka 1957, sasa kama uasisi wangu, basi nimekuwa muasisi wa ASP chama kimeundwa na mimi nimekuwa mwanachama, lakini sio miongoni mwa waliounda ASP, mimi nilikuwa mdogo. La pili mimi sikuwa mmoja katika watu wa Mapinduzi waliokwenda Bomani kupindua Serikali ya Kikoloni, sikuwa. Na nataka niseme wazi sikuwa hivyo na wala sikuwa mmoja ya watu wa fourteen. Kwangu mimi si jambo la kufurahia memba wa fourteen (14). Naelewa nini maana yake, kwangu mimi hiyo haiwezi kuwa sifa. Wala siwezi kusema nimepata hasara kwa nini sikuwa memba wa fourteen. Mimi nimekuwa muasisi wa Baraza la Mapinduzi lililoundwa kama tarehe/ 12, mimi ndio nilikuwa mmoja katika hao, kama kuna watu walikuwa 30, nilikuwa wa kwanza, wa pili au watatu. Ile Serikali ya Mapinduzi inaundwa mimi ni mmoja katika memba wa serikali ya mwanzo kabisa. Kwa hiyo sikuwa muasisi wa ASP, sikuwa wa Fourteen, lakini nimekuwa mmoja wa Baraza la Mapinduzi. Nataka watu wanielewe hivyo, wasichanganye maelezo haya. Lakini sasa nikizungumza hivyo maana yake nini? Watu wanadhani yale Mapinduzi yalitayarishwa na wale watu 14. Lile ni kundi la vijana kwa maana nyingine Umoja wa Vijana wa ASP, ndio kundi lile la watu 14, na mimi ndio nilikuwa Rais wa mwanzo wa Umoja wa Vijana wa ASP, maana yake nini, wale ni wanachama wangu, wakatae basi. Sasa unapozungumzia habari ya Mapinduzi hayakuandaliwa tarehe 11 wala 12, watu wakaenda Bomani, No. Wanasiasa kama

Makala/Tangazo

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


YASU, Miembeni. Waliunda Umoja wa vijana wa Youth leag, kwa kiasi fulani hawa walikuwa wakipingana na chama chetu (ASP) kwa kuwa walijifanya wao ni wasomi. Walimfanyia Chai Mzee Karume, Gongoni pale, mimi na Balozi Diria (marehemu), Mzee Karume alikuwa hapendi kutukosa, basi alitualifu akituambia tufike tukawasikilize vijana wenzetu. Pale vijana wale wa YASU, wakamuuliza Mzee Karume, wewe unataka Uhuru na watu wako hawakusoma huu uhuru utauendeshaje? Mzee Karume akacheka, akawaambia, wajinga nyie. Mimi sitaki uhuru wa elimu, nataka Uhuru wa nchi yangu, tujitawale. Haya katika nyie nani aliyesoma hapa. Huyo mkubwa wenu wa Umoja wa Vijana kisoma chake kasoma kupiga sindano Ngombe. Lakini sisi tukipata Uhuru, anawambia vijana wale, nyinyi mtasoma, mtakuwa madaktari, wanasheria, mtakuwa kila kitu nyie. Palepale chai ikaja tukanywa tukaondoka. Usubuhi siku ya pili kiasi cha saa tatu au tano, kaja osini kwangu kagonga dirisha nafungua dirisha namuona Mzee Karume kasimama na Baiskeli yake na kapu lake la Samaki anatoka Sokoni. Ofisi ya pili yupo Diria, nikamwambia bwana Mzee kanita, yupo nyuma, akaniuliza, jana unakumbuka tulikwenda kule, nikajibu ndiyo, wale vijana umewasikia, sasa nataka uonane na wenzio muunde umoja wa vijana wa ASP. Wakati ulee ASP, ilikuwa haiana Umoja wa vijana, ili tupambane na wale, haya pingeni na hilo maana mmezoea Moyo akisema mnapinga. Kutoka pale Mzee akaondoka nikamuambia asante sana, nikamuambia BaLozi Diria, naye akasema basi kawaone kina Seifu Bakari na Kepe marehemu Abbas Hussein, tukamtafuta Mzee Thabiti Kombo, wiki moja iliyofuata tukaitisha mkutano mkubwa wa watu wote palepale Jangwani, hapo dipo tulipounda Umoja wa Vijana na hapo ndipo nikachaguliwa Rais wa mwanzo wa Umoja wa Vijana wa Afro Shirazi Party. Nataka muelewe hivyo vijana. Umoja wa vijana mlio nao leo mimi ndio Champion, wakatae. Enzi ananikumbusha siku ile kumbe pia alikuwepo Mzee Thabiti Kombo kama Katibu Mkuu wa ASP. Sasa kwa sababu mimi nilikuwa napanda Farasi wawili, huku Umoja wa Vijana huku vyama vya wafanyakazi na wakati ule ulikuwa wa mapambano, nikaona lazima niache ngazi, baada ya miezi sita, nikaacha. Ndio tulimchagua Seif Bakari, kuwa kiongozi wetu Umoja wa Vijana akaendelea mpaka Mapinduzi. Kwa hiyo mimi ndio championi wa Umoja wa Vijana hapa Zanzibar, kama muasisi hilo ndio nilikuwa muasisi, mi sikuwa muasisi wa ASP, lakini nimekuwa musisi wa ASP Youth league.

AN-NUUR

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi

MZEE Hassan Nassor Moyo.


kina Enzi, wanajua kwamba Mapinduzi katika nchi ni hatua na ni vuguvugu ambalo limeanza huko nyuma, na ndio shabaha ya kila chama cha ukombozi lazima waelewe siku moja litawakuta, mnagombania kwa njia mbalimbali, mkishindwa basi njia ni hiyo. Sasa baada ya hayo, nije katika shughuli ambazo nimezifanya katika mambo yetu ya siasa. Moja katika kazi ambazo nimezifanya wakati wa maisha yangu ya ujana nilikuwa mmoja muasisi muanzilishi wa umoja wa vijana wa ASP. Kulikuwa na umoja wa

Ndugu Wazanzibari, Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatu, Nchi yetu iko katika kipindi muhimu katika historia yake ndefu na ni kwa mapenzi yake Allah SW kuwa kizazi hiki kipya cha leo kakichagua yeye mwenyewe kilete salama, amani na utengamano ambao ulikuwa umepotea kwa kipindi kirefu sana. Tunanyanyua mikono yetu juu kumshukuru Mola wetu kwa neema hii kubwa aliotufadhili. Sisi Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar tumepata faraja kubwa isiyo kifani kwanza kwa kushuhudia kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu wenyewe, ndugu zetu, Wawakilishi wetu, kusimama na kutetea maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila hofu yoyote ndani ya Baraza la Wawakilishi. Pili tumezidi kufarajika pale tulipopokea tamko

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
lilioandikwa na Vijana wa Umoja wa Kitaifa (VUK) wakiwapongeza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa kuweka mbele maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila ya kujali itikadi zilizokuwa zimejengwa katika misingi ya vyama vya siasa na mavuno ya kisiasa. J u m u i y a n a Ta a s i s i za Kiislamu Zanzibar zimesikitishwa sana na tunakemea kwa hali ya juu kabisa vitendo vya vitisho na uchochezi vinavyoendeshwa na baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya wanachama wake na wananchi wa Zanzibar. Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kwa pamoja zinaamini kabisa kwamba baadhi ya viongozi hao wachache wa CCM kuwawekea wanachama wake masharti na muungozo na kikomo juu ya nini wanachoweza kukisema ni kuwanyima uhuru, utu na

ubinadamu wao wakiwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ni kinyume na haki za binadamu kwa mujibu wa misingi iliowekwa na Umoja wa Mataifa (United Nations), na ni kinyume na Katiba ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kitendo cha baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi kujaribu kuwafunga midomo na kuwatishia kuwafukuza kutoka chama hicho Wawakilishi halali wa chama chao waliochaguliwa na wananchi wa Zanzibar ni hatari na ni aibu kubwa kwa chama hicho kikongwe. Maneno ya kashfa na kebehi yaliolengwa na viongozi hao wachache wa chama hicho kwa viongozi wastaafu wa nchi tena waliotokana na chama chao ni vya aibu kubwa na ni hatari kwa amani, utulivu, na mshikamano wa nchi yetu. Inaendelea Uk. 11

Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
Mwaka 1961 kwenda 1962, niko Urusi masomoni, delegesheni za vyama Hizib na ASP, zinakwenda London, mkutano wa mwanzo wa Katiba, vyama vimekwenda kule kuzungumza Uhuru wa Zanzibar, Mzee Karume mwenyewe akaniletea Telegram, Moyo uende Uingereza ukaungane na timu ya ASP. Nikawaambia wakubwa zangu wa Chuo wakanipa tiketi, nikaendaa kuungana na wenzangu katika mkutano wa mwanzo wa Katiba, nilikuwa mimi na Marehemu Rajabu Swaleh, yeye alitokea Ghana tulikuwa na ofisi yetu kule akiiongoza yeye (Rajab), sisi wawili tukiwa ni waangalizi katika mkutano ule wa Katiba ya mwanzo kabisa. Mwaka 1961 mimi kijana miaka 27/28 kijana mdogo why mimi. ASP ikaniteuwa nafasi ya uchaguzi nikagombee Jimbo la Mangapwani, katika Baraza la Kutunga Sheria, nataka munielewe sana vijana leo nataka hawa wajinga wasikie nasema nini. Uchaguzi mwingine wa mwaka 1963, Mzee Karume akaniteuwa tena kusimamia uchaguzi, why mimi, nasema haya waelewe kuwa nilikuwa mtumishi wa watu, sikuwa kibaraka. Kwani wakati huo hapakuwa na vijana mbona walikuwa wengi tu, mbona hawakuchukuliwa na ndio hawa hawa wanasema maneno yangu. Sifichi leo nawaambieni, baada ya kuteuliwa mimi kuwa nitasimamia jimbo la Kiboje, katika uchaguzi wa 1963, na kama mnavyojua chama chetu ni Washirazi na Waafrika, jioni yake ya siku ile ile ya kuteuliwa. Wakatoka Wazee wa Kishirazi wakamuendea Mzee Karume nyumbani kwake pale Kisima Jongoo, wakamueleza kuwa Moyo, kule asisimame, asimame Nungwi kule kwa Mahizib na wakati huo ilikuwa Nungwi asimame Athumani Sharifu. Wakataka mimi niende Nungwi nikashindwe, Athumani Sharif aende Kiboje. Mzee Karume, akawaitikia, wanaondoka tu wazee wale Mzee Karume ananipigia simu, njoo Hassan, nakupeni siri si siri tena, nikaenda jioni akanimbia sikiliza wamekuja wale Washirazi, wakinitaka nikuondoshe kule nimewaitikia tu, lakini haiwezekani lakini utasimama Kiboje, siwezi kukuacha wewe kiongozi wa wafanyakazi hapana mcheze hapa. Na kweli hakunitoa Mzee karume nikasimama, na kweli nikashinda. Why mimi, kwani hapakuwa na kijana pale, kwa sababu nilikuwa najua ninalofanya na kwa sababu mimi nilikuwa na kundi la wafanyakazi. Wafanyakazi wa nchi hii ilikuwa nikisema wananisikia na nikiita mkutano wa wafanyakazi utadhani mkutano wa siasa, makomred wanaelewa tumepigania Uhuru wa nchi

Makala

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


ya ule uraki. Hivyo Muungano umeanza, lakini umeanzaje taarifa niliokuwanazo hiyo sikushuhudia inasemekana kuwa Tarehe 14 ya mwezi April, Mzee Karume aliitwa na Mwalimu kwenda Dar es Salaam na alivyokwenda huko alifatana na Salum Rashid, wakati huo akiwa Katibu Mkuu wetu wa mwanzo kabisa wa Baraza la Mapinduzi yu hai mpaka leo. Labda nirudi nyuma, wakati wa kuunda Baraza la Mapinduzi tulitunga sheria mbili kubwa sana, moja ni kutengeneza Serikali ya Zanziba ya Mapinduzi sheria ile ilitiwa saini na sote sisi watu 31, na lingine ni kuwa ule mjumuiko wa Baraza la Mapinduzi lilikuwa na makundi manne, mle mlikuwa wazee wetu akina Aboud Jumbe, akina Mzee Karume, yaani mamemba wa Baraza la Kutunga Sheria kundi la pili, UMMA Party, Babu kaingia, eeh wakati huo Umma Party ilikuwa na uhusiano mzuri ili kuleta nguvu ya mapinduzi yetu, wengine ni wale wa Fourteen, na wote tulitia saini hakutia Karume peke yake, hao ndio wa asisi wa Baraza la Mapinduzi . Sasa niendelee kwa hiyo Salum Rashid, Mwarabu yule Hizb lakini tayari alikwishakuwa Umma, na nasema la Mwarabu si ukabila hapana historia huwezi kuifuta ipo, itoshe kutuonyesha sisi Mzee Karume hakuwa asili yake si mtu wa ubaguzi, alikuwa ni mtu aliyekuwa akiamini nchi, nyinyi mtashanga ndiyo tupo katika motomoto pale tunaunda Baraza la Mapinduzi siri za mapinduzi ziko pale, unakwenda kumchukua Mwarabu kwenda kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi, kila kinachozungumzwa yeye anajua, yataka moyo. Mimi wewe tungeweza? Lakini Mzee Karume alionyesha anaweza. Tumepigana sote Hisb upande wake sisi upande wetu, tumeshashinda sasa lazima tutafute njia za kukaa pamoja na njia hizo ni kila unayemuona anatufaa unamchukua ili muende mbele na ndivyo alivyokuwa akifanya Mzee Karume. Akenda naye kule Tarehe 14, Aprili, bahati alipofika tu kule Dar es Salaam, Mwalimu akamwambia Salum, mbona hujashevu ndevu, kumbe vile zile ni siasa za kiutu uzima. Hakupenda (Mwalimu Nyerere hakupenda Salim Rashid, msomi) awepo katika mazungumzo yale, basi akapewa gari kwenda kushevu kurudi Salimu kakuta watu wako ndani, sasa mtu mzima huwezi kuingia mahala ambapo watu wazima wanazungumza (wamejifungia) waliokuzidi na wewe ukaingia. Basi akasubiri. Basi walipomaliza wakarudi, wamezungumza nini hata Salimu hajui, lakini bila shaka yalikuwa masala haya ya Muungano. Tarehe 17, April, ujumbe ukaja kutoka Dar es Salaam, na drafti ya makubaliano ya Muungano (article of Union), akaipokea Salimu, baadaye akamtafasiria Mzee Karume (iliandikwa kwa

AN-NUUR

hii. Muungano Sasa tunakuja katika hili suala ambalo nadhani wote mlikuwa na hamu ya kulisikiliza. Muungano wakati ule tunaungana ilikuwa Afrika yote inagombania kuwa na Serikali moja na tunaendelea kupigana baadhi ya nchi fulani ziwe huru. Sasa mazungumzo ya kuunda Afrika Mashariki yalikuwa yanaendelea, miaka sita

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi


katikati pale na sisi tushafanya mapinduzi tusha jitawala, ndipo Mwalimu (Nyerere) akaja kuonana na Mzee Karume, mimi sina hakika kama kulikuwa na mzungumzo huko nyuma sina hakika. Lakini ninachojua huko nyuma kulikuwa na uraki wa kina Kambona kina Hanga, kina Moyo na kina Kawawa, lakini vile vile kulikuwa na uhusianao wa TANU na ASP wa kusaidiana wakati wa mapambano. Huu uhusiano ulikuwepo, kwa lile la harakati za Afrika za kuwa na serikali moja ya Afrika, harakati za urafiki wa TANU na ASP, maelewano ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, hivi ni vitu ambavyo kusema kweli vilitusukuma sisi kufanya Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar, bila kuangalia baadhi ya mambo kwa sababu

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
Inatoka Uk. 10
Baadhi ya viongozi hao wachache wa Chama Cha Mapinduzi wanaendeleza ajenda ya Tanganyika dhidi ya Wazanzibari ya kuendelea kuitawala Zanzibar chini ya sera batili. Kwa miaka 48 (takriban nusu karne) sasa, Wazanzibari wamenyimwa uhuru wa kweli wa kuamua hatma ya Muungano kwa vitisho vya sera hizo. Sasa viongozi hao wachache wa CCM wanaendeleza kiini macho dhidi ya Wazanzibari na Watanzania kwa kuwaekea mipaka kwa hiyo tunawaomba wanachama wa CCM Zanzibar kuweka uzalendo mbele na kutumia haki yao ya maamuzi na kuirejeshea Zanzibar heshima yake mbele ya jamii za kimataifa na jumuiya za madola na ndani ya muungano wa mkataba watakaouridhia wananchi wa Zanzibar kwa umoja wao. J u m u i y a n a Ta a s i s i za Kiislamu Zanzibar haikubaliani hata kidogo na Azimio la baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi kwa wanachama wake wanaotoka Zanzibar ambalo linawashurutisha kusema ati serikali mbili bila ya mamlaka kamili ya kitaifa na kimataifa ya Zanzibar ndio msimamo wao. Kitendo hiki ni hatari kwa Zanzibar yenye hadhi ya kitaifa na ya kimataifa kwani nchi yoyote huru haiwezi kupata uhalali wa katiba yake ikiwa sehemu ya jamii imeshurutishwa na kunyimwa haki za msingi za kukiri na kuamua bila ya shinikizo na kitendo hiki kinakua hatari zaidi kwani CCM ndicho chama kinachotawala sehemu zote mbili za Jamhuri ya

SHEIKH Farid Hadd.

Muungano wa Tanzania. Ikiwa viongozi hao wachache wa CCM wanawashurutisha wanachama wenziwao, sisi wengine tunaamini tutanyimwa haki zetu juu ya aina ya mfumo wa utawala tuutakao sisi wananchi wa Zanzibar. Hata huko Tanganyika kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amefuatwa na kuambiwa kuwa sera ya chama chake ni serikali tatu. Waliomuendea wanahoji mbona CUF Zanzibar inaunga mkono hoja ya Wazanzibari ya kuitaka Zanzibar yenye mamlaka kamili na kufuatiwa na mkataba? Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar zitapinga kwa msimamo mmoja chama chochote cha kisiasa kitakachoonesha dhamira/nia ya kuisaliti

Inaendelea Uk. 15

Inaendelea Uk. 15

12
875 876 877 878 879 880 881 882 883 884 885 886 887 888 889 890 891 892 893 894 895 896 897 898 899 900 901 902 903 904 905 906 907 908 909 910 911 912 913 914 915 916 917 918 919 920 921 922 923 924 925 926 927 928 929 930 931 932 933 934 935 936 937 938 939 940 941 942 943 944 945

Tangazo
NCHONO FURAHA MOHAMED NCHONO FURAHA MOHAMED NCHONO FURAHA MOHAMED NEEMA DANIEL MMBANDO NEEMA KHAMIS MAKUMPIRA NEEMA MOHAMED MAVUMBI NEEMA SHOMARI FUNGO NEMGANGA BAKARI ZUBERI NGAIGWA ADAM YAHAYA NGANGAGE HASSAN MTEGA NICHOLAUS NTINDA BALELE NURDIN MAKONO HASSAN NURDIN SIAMINI HAJI NURU HUSSEIN HADINGOKA NURU IBRAHIM KIHOMBO NURU ISSA ALLY NURU OMARI MGONDA NURU SHABAN MNUBI NURUFATKA OMARY NURUFATKA OMARY MNOSA NUSAIBA ABDALLAH HANEIN NUSAYBATH ATHUMANI NUSYABATH BURUHANI NYAMIZI SALUM KINGENGENA OMAR ALI BAKAR OMAR ALI OMAR OMAR KAISSA MAKAME OMAR SAID LIPWATA OMAR SALUM KHAMIS OMAR SEIF KILAMBO OMAR SULEIMAN OMAR OMAR SULEIMAN OTHMAN OMAR SULEIMAN OTHMAN OMARI AHMADI SAIDI OMARI BAKARI CHITEMBEDYA OMARI H SAIDI OMARI HAJI TOJO OMARI MOHAMED OMARI NURDIN SAID OMARY MUSSA HAMISI OMARY SAID NGOMA OMARY SWALEHE SHEDAFA ONESMO BERDAN KILENZA OTHMAN HAJI MKUWI OTHMAN HAMAD SALEH PANUEL HEMED PANUEL HEMED KITIA PILI ALI PILI ALI NADA PONGWA KHAMIS PONGWA PRISILA KILIAN CHIHEU RABIHU ALBAKI RABIHU ALBAKI SALIM RADHIA MUSSA RADHIA MUSSA YUSSUF RAHIKA MAKAME RAHIKA MAKAME VUAI RAHIL MUSSA HAJI RAHIM MAKIYU KATENGA RAHMA HAMAD RAHMA HAMAD ALI RAHMA RAJAB RAHMA RAJAB MOHAMED RAJAB MOHAMED RASHID RAJABU ALLY RAJABU IDDI RAMADHANI RAJABU JAMES NYAMJANA RAJABU JUMAA RAMADHANI RAJABU NASSORO BATASHI RAJABU RAMADHANI SAID RAJABU SAIDI KITAMBULIO F F F F F F F F M M M M M F F F M M F F F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M F F F F F F F M M F F F F M M M M M M M M
946 947 948 949 950 951 952 953 954 955 956 957 958 959 960 961 962 963 964 965 966 967 968 969 970 971 972 973 974 975 976 977 978 979 980 981 982 983 984 985 986 987 988 989 990 991 992 993 994 995 996 997 998 999 1000 1001 1002 1003 1004 1005 1006 1007 1008 1009 1010 1011 1012 1013 1014 1015 1016 1017

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F M F F F F F F F F M M M M F F M F F M M F F F F F F M F F F F
1018 1019 1020 1021 1022 1023 1024 1025 1026 1027 1028 1029 1030 1031 1032 1033 1034 1035 1036 1037 1038 1039 1040 1041 1042 1043 1044 1045 1046 1047 1048 1049 1050 1051 1052 1053 1054 1055 1056 1057 1058 1059 1060 1061 1062 1063 1064 1065 1066 1067 1068 1069 1070 1071 1072 1073 1074 1075 1076 1077 1078 1079 1080 1081 1082 1083 1084 1085 1086 1087 1088 1089

AN-NUUR

RAJABU SAIDI MCHANJAMBE RAJIPU MUSSAH KIBOHOLA


RAMADHAN HAMAD RAMADHANI RAMADHANI ABDULHAKIM MWALIMU RAMADHANI ALLY RAMADHANI

RAMADHANI AMANI GELEGE RAMADHANI BAKARI KASSIM RAMADHANI HASSANI MSHANA RAMADHANI ISSA MTUNGUJA RAMADHANI JUMA MBURU RAMADHANI KAKOMBE KHALFANI RAMADHANI M SHABANI RAMADHANI MOHAMED DILUNGA RAMADHANI MUHOZYA RAMADHANI OMARY JUMA RAMADHANI SAID SEMROKI RAMADHANI SAIDI MPONDOMOKA RAMLA FAKI RAMLA FAKI YUSSUF RAMUNA ALLY MUNISSI RAMUNA ALLY MUNISSI RASHID ABDULRAHAMAN MPANDANGINDO RASHID AHMAD RASHID AMIIR ABDALLAH RASHID AUNI CHISUSE RASHID GIDION LUTAMBI RASHID HAMZA KHAMIS RASHID IDRISA TINDWA RASHID JAFARI MALINO RASHID MABROUK MARSOUK RASHID MOHAMED SULEIMAN RASHID MZAMILO RASHID RASHID SALUM RASHID RASHID SELEMAN UMELA RASHID SHAAME JUMA RASHID YAHAYA MUHENGA RASHIDI ISSA GINGO RASHIDI ALLY GUGU RASHIDI SAIDI KINYOGOLI RAYA KHAMIS RAYA KHAMIS SHAIB REGINA KEYA NJOVU REHEMA BASHIRU REHEMA BASHIRU LUBUVA REHEMA DALLU REHEMA DALLU MAGILLA REHEMA MASHAKA REHEMA MOHAMED MLANDULA REHEMA SHOKO REHEMA SHOKO BASHIRI RIDHIWANI ALLY SAID RIDHIWANI ASHIRY KOMBA RIDHIWANI SAIDI ATHUMANI RIKKO HAROUN MASAI RIZIKI HATIBU RIZIKI HATIBU RASHID RIZIKI YAHYA SHEKOLOWA RUKIA ALLY ABDULLA RUKIA ALLY ABDULLA RUKULA JUMBE RUMANYIKA TIBEDA ABDULMARIK SAADA JUMA SAADA JUMA HAJI SAADA OMAR SAADA OMAR RASHID SAADA RIYAMI ISSA SAADA RIYAMI ISSA SAADULLAH AHMADA SABAHI SALIM A SABAHI SALIM ABDALLA SADA MUSSA JUMA SADA MUSSA JUMA

SADA YUSUF ALI SADICK AYOUB SADICK SADIKI MOSHI MPABUKA SADIKI RASHID KIGUNGULI SADIQ MASSAWE TWHA SAFIA BAKAR ALI SAFIA RAJAB MASOUD SAFINA IBRAHIM KATABARO SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID ABOUD JUMA SAID ALI SAID SAID ALI SHEHE SAID ALI SULEIMAN SAID ATHUMANI SAID SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SAID HAMISI MAKONGORO SAID HAMISI MAKONGORO SAID HASSAN MKANDU SAID ISSA MKUMBACHI SAID JUMA ABEID SAID JUMA MUSSA SAID KHAMIS SAID SAID MOHAMED MTAMBO SAID MRISHO HASSAN SAID RASHID KHALID SAID SAHIM KOMBO SAID SULEIMAN ABDULA SAID SULEIMAN ABDULA SAID YUSSUF ALI SAIDA ADAN CHIMA SAIDI ATHUMANI NGAGAMA SAIDI HEMEDI NJONJO SAIDI RASHID MANGENYA SAIDI RASHID NAMPONDA SAIDI TEWA ATHUMANI SAIDI YUNUSI SAKINA RASHID NYANGE SALAMA ISSA ALLI SALAMA MOHAMED RASHID SALAMA MOYO ABEID SALEH HASSAN VUAI SALEH MASOUD SALEH SALEHE MUHIDINI MTAULA SALEHE SELEMANI NGESA SALHA ABDULRAHMAN SEIF SALHA KHAMIS SEIF SALHA OTHMAN KHAMIS SALHA SAID AHMED SALHA USSI MJENGO SALHINA KEIS MMANGA SALIM FAKI SALIM SALIM FAKI SALIM SALIM FAKI SALIM SALIM HAMISI ALLY SALIM HASSAN SULTAN SALIM ISSA OTHMAN SALIM KHAMIS BAKAR SALIM KHAMIS SHARIFF SALIM OMAR AHMED SALIMU ADINANI LIARE SALIMU DAUDI SALIMU SALIMU RAMADHANI SALMA MOHAMED NASSOR SALMA ALLY JUMA SALMA HAMISI CHISASA SALMA HUSSEIN MUSTAFA SALMA LLY SEIF SALMA MUHIDINI MTAWAMBA

F M M M M F F F M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M M F F F F M M M M F F F F F M M M M M M M M M M M M M F F F F F F

13
1090 1091 1092 1093 1094 1095 1096 1097 1098 1099 1100 1101 1102 1103 1104 1105 1106 1107 1108 1109 1110 1111 1112 1113 1114 1115 1116 1117 1118 1119 1120 1121 1122 1123 1124 1125 1126 1127 1128 1129 1130 1131 1132 1133 1134 1135 1136 1137 1138 1139 1140 1141 1142 1143 1144 1145 1146 1147 1148 1149 1150 1151 1152 1153 1154 1155 1156 1157 1158 1159 1160 1161

Tangazo
SALMA SADICK JUMANNE SALMA SULEIMAN HAMAD SALUM AHMAD SALUM SALUM HABIBU SALUM SALUM HASSAN MUSSA SALUM MICHAEL MNONJELA SALUM MOHAMED MGENI SALUMU BURIANI NANDALA SALUMU BURIANI NANDALA SALUMU KAVENDE SALUMU OMARI SALUMU OMARI PACHANA SAMIA KOMBO MUSSA SAMIRA CHANDE KILOLA SANGIWA SALEHE SANGIWA SALEHE KINGWAHI SAUDA HASSAN HAJI SAUDA MIKIDADI MKOMANGI SAUDA MOHAMED ALI SAUMU ABRAHAMAN ALI SAUMU AME ALI SAUMU MBWANA MNYAMISI SAUMU MOHAMED ALI SAUMU MOHAMED ISMAIL SAUMU TALIB KASSIM SAVON DARAGI EDSON SEIF ALLY SEIF ALLY NAMBA SEIF MOHD SEIF MOHD SAID SEIF MZEE SEIF MZEE OMARY SEIF OMARI SEIF SEIF OMARI SEIF SEIF OMARY SEIF OMARY SEKELA FIDELIS MWAKINGILI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI SELEMANI ADAM SELEMANI ADAM NYENJE SELEMANI AHAMAD SELEMANI AHAMAD MLEKE SELEMANI ATHUMANI SELEMANI ATHUMANI NAMNIMUKA SELEMANI BARAKA SELEMANI BARAKA BADI SELEMANI SAIDI SELEMANI SAIDI OMARY SELEMANI TWAHA SELEMANI SELEMANI TWAHA SELEMANI SELEMNI RASHIDY SELINA UNDERSON SHAABAN JUMA SHAABAN JUMA MTINDO SHAAME MAHAMUDU SHABAN ALLI SHABAN ALLI MGANGA SHABAN HAMISI SHABAN HAMISI MNAMBA SHABAN HAMISI SAGIN SHABANI ABDALLAH LABIA SHABANI HAMISI SHABANI HAMISI SHABANI JUMA SHABANI JUMA NAHAI SHABANI JUMANNE MAKOKO SHABANI MOHAMED HARIRI SHADIA IDRISA ADAM SHADYA DHAMIR KOMBO SHADYA ISSA SALUM F F M M M M M M M M M M F F M M F F F F F F F F F M M M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M M M F F F
1162 1163 1164 1165 1166 1167 1168 1169 1170 1171 1172 1173 1174 1175 1176 1177 1178 1179 1180 1181 1182 1183 1184 1185 1186 1187 1188 1189 1190 1191 1192 1193 1194 1195 1196 1197 1198 1199 1200 1201 1202 1203 1204 1205 1206 1207 1208 1209 1210 1211 1212 1213 1214 1215 1216 1217 1218 1219 1220 1221 1222 1223 1224 1225 1226 1227 1228 1229 1230 1231 1232 1233

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


M M M M M M M F F M M F F F M M M M M F F M M F F F F M M M M M F F F F F F F M M M F M M F F M F M M M M M M M M M M F F M M F F F M F F M M M
1234 1235 1236 1237 1238 1239 1240 1241 1242 1243 1244 1245 1246 1247 1248 1249 1250 1251 1252 1253 1254 1255 1256 1257 1258 1259 1260 1261 1262 1263 1264 1265 1266 1267 1268 1269 1270 1271 1272 1273 1274 1275 1276 1277 1278 1279 1280 1281 1282 1283 1284 1285 1286 1287 1288 1289 1290 1291 1292 1293 1294 1295 1296 1297 1298 1299 1300 1301 1302 1303 1304 1305

AN-NUUR

SHAFII MAJID SHAFII MAJID KOMBA SHAFII SAID SHAFII SAID MUONGOLA SHAHA ABDALLAH SHAHA ABDALLAH DONGWALA SHAHAME MAHAMUDU LIKWEMBE SHAIB NOOR RUGEMA SHAIB NOOR RUGEMA SHAIBU FADHILI L SHAIBU FADHILI LYANGA SHALFINA NYANZA SHAMIMU SUED ALMAS SHAMSA OMAR AMIRI SHAMSHI OMARY CHANDE SHAMSI ABDUL SHAMSI ABDUL RUSHEKE SHAMSOIN SHIRIMA SHAMSOIN EPIMAKI SHIRIMA SHANI MACHEO SHANUNU RAHIM OMAR SHARIF KHAMIS SHARIF KHAMIS SHARIF SHARIFA ALI ABDALLA SHARIFA JUMA KHATEMA SHARIFA RASHID SELEMANI SHARIFA SELEMANI SHARIFU MASOUD MACHELA SHARIPH RASHID SHARIPH RASHID MATUMBI SHEKHE ABDALLAH SHEKHE ABDALLAH ALLI SHEMSA SAID SINAN SHEMSA SALUM ABDLLAH SHUFAA ALI NASSOR SHUFAA IBRAHIM NZARO SHUFAA JUMA SHABANI SHUFAA OMARY KABELWA SHUFAA RAMADHANI SIBELA ABASI YUSUPH SILAJI ABEID MUSSA SINGLESS BAKARI MRISHO SOMOE KHATIBU SOUD MOHAMED SALYM SOUD MOHAMED SALYM STUMAI ALLY SERERI STUMAI MBARUKU ALLY SUBIRA SHABANI KABELWA SUBIRA WITNESS ULEDI SUKUMA MAYENGA MASONGA SULEIMAN ABDALLA ABDALLA SULEIMAN ABDALLAH FIA SULEIMAN HAMAD BAKAR SULEIMAN MNGANA SULEIMAN SULEIMAN MSUYA SULEIMAN OMAR ZAHARAN SULEIMAN RASHID MOHAMED SULTAN NASSOR SUNA MWALASI AKIDA SURIA BAKAR HAMAD SWAFIA RASHID OMAR SWAHIBU SAID SEMROKI SWALEHE AMRI LONKA SWALIHINA MUSSA ZUMO SWAUM SAID KINDILE SWAUMU HUSSEIN LUHOLELA SWEDI ABDALA NJOMO TABU HUSSEIN KIMBUI TABU JUMA ATHUMANI TALIB SULEIMAN ALI TALINU ABDALLAH TALIBU TAMASHA ATHUMANI KIBEGWA

TATU HAJI KHAMIS TATU HAMDU MAKAME TATU KHAMIS HAJI TATU KHAMIS MASSOUD TATU MUHIBU MANDANJE TATU SILIMA KHAMIS TAUSI JUMA KITANO THUREA RAJAB JUMA THUWEIN THABIT MZEE THUWEIN THABIT MZEE TIME HAMAD ALI TIME KHAMIS MASOUD TIME MOHD MKUBWA TIME RASHID MBAROUK TIME SIMAI BAKAR TUMAINI RAPHAEL MWASHA TWAHIL HALFAN TWAIBA KHALIFA KWEKA TWALHA MASOUD ABDALLA TWALIBU SELEMANI HUSENI UDDY AHMARD NGILANGWA UMARU IBRAHIM ILIAS UMI HAMAD SIMAI UMMI SHAIB SALIM UMMI SHAIB SALIM UMMU-AIMANA JAABIR KOOSA UMMUL-KHEIR ABASI OMAR UMMULKULTHUM FAT-HUDIN ALLY USSI ALI OTHMAN UWESU YUSUPH NGOCHELE UZERI ABDALLA MOHD VICTOR JOHN TEMU WAHIDA HAROUB ALI WASTARA JUMA MASANYIWA WAZIRI SHABANI MDOE WEMA AYUBU SEIPH WEMA BARAKA KILONGOLA WEMA BARAKA KILONGOLA YAHAYA TALIB MUSSA YAHYA ALI AMOUR YAHYA MCHA ALI YAHYA MOHAMED MWINYI YAHYA MOHAMED MWINYI YAHYA SAID BAKARI YASINI MIKIDADI KABANGA YASINI MKONO YASINI MUSA MOHAMED YUSRA SILIMA ALI YUSSUF ALI RASHID YUSSUF ALLY MACHANO YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF NUHU ADAM YUSSUF NUHU ADAM YUSSUF OMAR KHAMIS YUSSUFU SHAABAN KASSIM YUSUPH ABDULLAH MIRARO YUSUPH ISMAIL MAKWESA YUSUPH ISRAEL STEPHEN YUSUPH MBUGUNI HAMISI YUSUPH SALEHE LUDIMO ZABIBA HAMAD MBAROUK ZAINA SHAMTE SAIDI ZAINAB KOMBO HAJI ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ ZAINAB SEIF ISSA ZAINAB SULEIMAN BAKARI ZAINAB YUSUFU TAHERALY ZAINABU HAMISI LUBUVA ZAINABU SAID NZIGE ZAITUNI MDIGO

F F F F F F F F M M F F F F F F M F F M M M F F F F F F M M M M F F F F F F M M M M M M M M M F M M M M M M M M M M M M M F F F F F F F F F F F

14
1306 1307 1308 1309 1310 1311 1312 1313 1314 1315 1316 1317 1318 1319 1320 1321 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55

Tangazo
ZAITUNI ABDALLA OMAR ZAITUNI ABDUL OMARY ZAITUNI HAJI ZAITUNI HAJI MDIGO ZAITUNI HAMISI MBAMBAMBA ZALIHA ALI HAJI ZAMDA JAPHARI MTUNU ZAMZAM KHELEF KIBAO ZARAFI HAJI LUAMBANO ZENA ALLY BWAKILA ZENA IDD CHAMWAGO ZUBEDA SHABANI ZUBEIR MATISHO MSUNGWA ZUHURA ALLY HAMDUNI ZULFA RAMADHANI SHEMTAWA ZUWENA RAMADHANI OMARI B.ISLAMIC STUDIES WITH EDUCATION ABASS JUMA MAKAME ABDALLA CHUM JUMA ABISALIT ALI SEIF AISHA YAHYA SUFIAN AK-THAR ALI MOHAMED ALHAJI SAID JUMA ALI HAJI SHEHA AME MWIGA SILIMA AMINA YAHYA MWECHE ANATH ATHUMANI MOHAMED ASAJILE JOSHUA MHANDO ASHA ADAMU MISSANA FATMA ALI YASSIN FATMAH ABDUL KIRIWE FLORENCE PIUS RWAIGEMU HAFSWA MNIRU MASOUD HALIMA KOMBO ABDALLA HAMIDA KHAMIS HAJI HAMISI ATHUMANI NGOLILO HAMISI WAZIRI MAZIKU HARITH ABDALLA MOHAMED IBRAHIM ALLY IDD IDRISA AMEIR JAMILA TAJI LILAWE JUMA FAKI MAKAME JUMA MOHAMED MKWACHU JUMA MUSSA KILIMBI JUMA MUSSA SAIDI JUMAA HAMZA OMARI KAITE ABDALLA MASSOUD KEMSHA BURHANI ABUBAKARY KHAIRAT HASSAN HAJI KHAMIS BAKAR KHAMIS KHAMIS MRISHO GOBEKA KINANDA YUSUPH SHOMARI KURTHUM NASSOR MSELEM LATIFA ISSA ISSA LUTTA KHALID MABINA MOSHI MABINA MACHANO ABDALLAH KHAMIS MAIMUNA MAANGO KITWANA MARIAM MJANAKHEIR MANENGELO MARYAM HAJI KHAMIS MARYAM MAHMOUD ALI MOHD HAMDU FADHILI MTUMWA KASSIM ALI MWAJUMA PANDU MAKAME MWAMVUA MAKAME ALI MWANA ABDULLA ALI MWANAHAMISI HAMISI IDDY MWANAIDI BAKARI IBRAHIM MZEE ABDU MWINYI NACHIA OMAR SHEHA NASIBU WAZIRI NASSIBU HUSSEIN NTUNDUU F F F F F F F F M F F F M F F F M M M F F M M M F F M F F F M F F F M M M M M F M M M M M F F F M M M M F M M M F F F F M F F F F F M M F M M
56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 1 2

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


F M F F F F F F M M M F F F M F F F F M M F F F F F M M M F F M F M M M F M M F F M M M M M M M M F F M M F F F M F F M M F M F M M M F M M
3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 26 27 28 29 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37

AN-NUUR

NUNUU OMAR MUHIDIN OMAR HAMAD OMAR RAHMA MBARAKA SHABANI RAMLA JABIR HAMAD RIZIKI KHAMIS SAID SAADA BAKAR NASSOR SADA HAMAD BAKAR SAKINA HAJJ NASSOR SALHA IDRIS RAMADHANI SALIM SULEIMAN SOKA SALUM ALI KHAMIS SHARIFA ABEID SHARIFAH SALUM AKIDA SIMNI MOHAMED NAIM SWALEHE RAJABU MKETO SWAUMU SULEYMAN NDANI TAHILA RAMADHANI KASSIM TATU MSHAMBA KUNDI TATU MUHAMDI ABASI THOMAS PETER ATHUMANI WAZIRI KHAMIS ABDALLA ZABIBU SHAMUUNI HASSAN ZAINAB ALLY TWAHA ZAINAB JUMA USSI ZAMDA SALEHE KAISI ZUWENA HAMOUD AHMED B. LLB WITH SHARIAH ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN ADAM ADIM PILLY AMANA ABDALLA ALI AMINA HABABUU MOHAMED ASHA YAZIDU KATIMA ATHUMANI ALLY MAKAME AWENA SAID JUMA AZIZI KIBWANA ABDALLAH BADRU MAULID MTAMBO BURHANI UWESU AHMAD CHAUSIKU ALLY FAKI KHAMIS JUMA FATMA IDRISA MAKAME FATUMA LAI MASIMBA HADIYA ABDALLA SALEH HAFIDH SHAABAN SULEIMAN HAMDUNI JUMA MUKHANDI ISAYA DANIELI LUKINDO ISMAIL ATHUMANI HAJI JUMANNE OMARY MAKALA KASSIM HASSAN KASSIWA KHALFANI YASINI BWANGALO MABINA MOSHI MABINA MAFUNDA ISSA HEMEID MAIMUNA SHABANI MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN MOHAMED ISSA OMARI MUZNA HINDU MARUA MWANASITI SAID OMAR MWASHAMBA JUMA KHAMIS OMARY MUSSA HAMISI PRISILA KILIAN CHIHEU RUKIA ALLY ABDULLA SAID HAMISI MAKONGORO SAID SULEIMAN ABDULA SALHA ABDULRAHMAN SEIF SEIF OMARI SEIF SHAIB NOOR RUGEMA SIBELA ABASI YUSUPH SOUD MOHAMED SALYM YAHYA MOHAMED MWINYI ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ B.LANGUAGE AND INTERPRETATION ABUBAKAR SAID MOHD ALI SALUM SIYAHI

FATMA JUMA SUILEIMAN HAJI ALI ABDALLA HAMADI KIMOLO HASSANA SADICK LUBENGE IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI JAMILA THABIT KOMBO JAPHARY ISSACK MASHULANO JUMA KHAMIS JUMA KASSIM OMAR SULEIMAN KHALFAN SULEIMAN JUMA KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS KHAMIS ALI SAID KHAMIS MALIK SUWED KHAMIS MOHAMED IS-HAKA MARYAM JUMA ABDALLA MOHD SULEIMAN HIJA MPAJI ABUBAKAR OMAR MTUMWA MOSSI BAYA MUHIDINI RAJABU RAMADHANI MUSSA HAJI JAHA NASSOR OMAR JUMA NCHONO FURAHA MOHAMED SAID HAMAD SALIM SAID HAMAD SALIM SALIM FAKI SALIM SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI ZAITUNI HAJI MDIGO B.A MASS COMMUNICATION ABDALLAH ALI BAO ABDUL SHABANI KAPATE ABOUD HUSSEIN MUSTAFA ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU ALI RAMADHANI KHATIB ALLY HUMUDI NDEGE ASHA KOMBO JUMA ASNA MOHAMED LACHA ATHUMANI SAIDI MIRABO AYOUB HAMISI CHILEMBU FAKI SULEIMAN OMAR HABIBA JUMA ABDALLA HAJI SHASANI OMARI HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA HANIFA SAID IDD HUSSEIN ALLY THABIT JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY JAMALI HAMISI LINJEMBWA KHADIJA ALLY SALUM KHAMIS HAJI UJUDI KHEIR ALI MAKAME MGENI ABASS HAJI MWADHI MOHAMED MUWINO MWAIKAMBO MOSES KALELUKA MWANAKHEIR ISSA SHAABAN NASRA ABULAZIZI KOOSA OMAR SULEIMAN OTHMAN RAMUNA ALLY MUNISSI SAFINA IBRAHIM KATABARO SALUMU BURIANI NANDALA SELEMANI TWAHA SELEMANI STANLEY FEDASTO MKUNDA THUWEIN THABIT MZEE UMMI SHAIB SALIM WEMA BARAKA KILONGOLA YUSSUF KHAMIS CHUM YUSSUF NUHU ADAM

F M M F F F M M M M M M M M F M F F M M M F M M M M F M M M M M M F F M M M F M M F M M M F M M F M M F F M F F M M M M F F M M

F.A. Tamim For DVC (ACADEMIC)

15
Inatoka Uk. 11
Kiingereza cha Kisheria), baada ya wale kuondoka. Mambo yakawa mazito mle. Salimu akamwambia hili suala lazima tupate mwanasheria si jambo jepesi hili la kuunganisha nchi. Ndipo Salimu akaambiwa na Mzee Karume, usimueleze yoyote suala hili, ndio maana hata Dorado, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Selikali ya Mapinduzi hakujua. Basi tarehe 22, akaja Mwalimu (Nyerere) mwenyewe na timu yake ya kina Kambona (Osca), Swai, Paul Bomani, Lusinde, Bonka Munanka, wote hao akaja nao Mwalimu, na Mzee wetu mmoja wa Kingazija, akiitwa Tambwe, aliyekuwa mtu wa TANU. Kufika pale wakafanya mazungumzo watu wawili tu, wengine walikaa pale Ikulu, wazee wamekwenda chumbani wamepiga soga huko kutoka pale basi watu wa magazeti wapo pale saini ikatiwa ndio hao mnaona katika picha mashaidi wale, na wezetu Unguja walikuwepo Twala, Salehe Sadala na Hanga, hawa kwa sababu ya uraki wao bila shaka walijulishwa kwamba sisi tunakuja kesho huko ni maraki hawa na kina Kambona, lakini sisi wengine wote wa Baraza la Mapinduzi hatukujua suala lile. Tumekuja kujua lilipoitwa Baraza la Mapinduzi tarehe 23, kuelezwa kuhusu ule mkataba na kuelezwa kuwa tumeungana na Tanganyika, mananielewa vijana? Kwa hiyo Salum, kama Katibu Mkuu aliisoma ile karatasi kwa Kiswahili, maana iliandikwa kwa Kizungu, sasa katika kuendelea kuzungumza mwenzetu mmoja Hamisi Abdallah Ameir, yu hai akamuuliza Mzee Karume, lakini Mzee hili jambo muhimu sana mbona tunalifanya harakaharaka na halina wanasheria hili jambo, tutulie, Mzee Karume alisema kama hamtaki haya makaratasi nitamrudishia mwenyewe Nyerere. Sasa sisi tukarudia kumuuliza sasa Mzee, kuhusu mambo yetu ya elimu haya wakati ule elimu bure, afya itakuwaje, ardhi nayo itakuwaje, tunauliza kwa sauti ya chiini kabisa wakati wenyewe ushakuwa mbaya tena, ukipandisha sauti juu utapotea. Mzee akasema, hayo yatakuwa chini ya Serikali yetu maana Muungano huu utakuwa na Serikali mbili, yetu itakuwa yetu sisi na wenzetu itakuwa katika Serikali ya Muungano, kwa hiyo tutakuwa na Serikali ya Muungano na Serikali ya Zanzibar, ya wao ya Tanganyika itaingia katika Serikali ya Muungano, tukanyamaza tukamaliza. Chini ya nusu saa tumemaliza kuunganisha nchi. (Chini ya Nusu Saa Nchi imeunganishwa!!!). Hebu niambieni kweli! Lakini tumefanya lakini kilichotawala zaidi ni ule uhusiano lakini Mzee, akatueleza pamoja na yote sisi bwana nchi yetu ni ndogo na ni Kisiwa, bahari inakula Kisiwa. Sisi leo tupo laki tatu kesho na kesho kutwa tutaka milioni tatu tutawaweka wapi watu hawa, uchumi wetu ni Karafuu na

Makala

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012


(Karume) Akamwambia ndio nimewarejesha, anamwambia Rais wake, kwa nini, akamwambia kwa mujibu wa katiba na kwa mujibu wa makubaliano mimi si ndio msaidizi wako number one kule Unguja kwa Mambo yetu ya Muungano, ndiyo, mbona sijui mie, na wale ni watoto wa watu na vita maana yake ama utavunjika mguu ama utakufa nitawajibu nini wazee wa watoto wale nitawajibu Nyerere kawachukua? Mimi sina habari ndio nikawazuia nikawarejesha. Hapo ndio mkasa ukaanza kutokea hapo. Siku ya tatu Mzee Karume anaitisha Baraza la Mapinduzi, lilikaa kitako likamua mambo manne na akaeleza kwamba hatari ile lazima tuiwahi mapema, na yote yalikuwa ni mambo ya Muungano. Tukaamua kuanzia wakati ule hali ya hatari katika nchi kutangazwa vita lazima Rais wa Zanzibar ajulishwe na akubali. La pili, Polisi hawa lisiwe tena jambo la Muungano kila mmoja awe na Polisi wake. La tatu Mambo ya Jje kama ni mabalozi 14, basi saba huku saba huku, pia mambo ya sarafu kila mmoja we na yake, na vile vile tufungue osi ndogo ya Mambo ya Nje. Tu k a a n d i k a b a r u a k w a Mwalimu, sina hakika kama alitia saini Mzee Karume au Aboud Jumbe, ilipelekwa ikieleza kuwa mambo hayo sasa tunataka yawe ya Muungano na mengine yasiwe ya Muungano lakini tuwe tunashauriana na kukubaliana. Mwalimu akaituisha mkutanio wa pamoja Baraza la Mapinduzi na Kebineti ya Muungani, tumekwenda Dar es Salama hatuulizani hali na wenzetu wa Bara, watu wote wanajua leo ndio mwisho wa Muungano. Tunatazamana kama Chui na Paka. Aboud Jumbe kama Waziri wa Nchi, akatoa muhtasiri wa mazungumzo yale, Mwalimu, akamuuliza Mzee Karume, hivi ndivyo mnavyotaka mambo haya? Mzee Karume a k a m w a m b i a : Wa u l i z e wanaume hao. Mwalimu katuuliza sisi jamani hivi ndivyo mnavyotaka, soote tukaitika kwa pamoja ndiooo. Akarudia mara tatu tukajibi hivyo ndivyo tunavyotaka. Mwalimu, akamuita Mzee Karume, Sheikh, kama hivi ndivyo mnavyotaka wakati wake bado. Sasa ndio wakati wake huu. Nilitaka nitoe hadithi hii nikukisheni mahala hapa muelewe, msije hata mara moja mkaogopa, mkadhani nyie manaleta fujo hapa, tulianza fujo sisi wazee wenu. Haya kina Ally Ameir wanisute basi, maana ndio ukweli wenyewe mimi sisemi kitu ambacho sikijui aah. Kwanza Ally Ameir, hakuwa katika Baraza la Mapinduzi, hakuwa katika Umoja wetu wa Vijana, Mzee Hammed Ameir, ndio alikuwa katika Serikali. (Itaendelea wiki ijayo)

AN-NUUR

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi


Mbata, watu hawa wakiongezeka watakula nini, kazi hatuwezi kuwapa hawa watakuwa wengi. Lakini tukiungana na wenzetu watakwenda kule Bara watapata kazi kule watapata mashamba, watafanya biashara watajenga nyumba, nchi ndogo lakini tutakuwa tumepata fursa nyingi. Basi tukaona ni jambo zuri, hivyo ndivyo ilivyokuwa. Kwa hiyo Muungano wetu zaidi ulitawaliwa na udugu haukutawaliwa na sheria na Katiba, haya maneno mengine kuwa Mzee Karume alikuwa anaogopa kuja kupinduliwa na Hizbu, mambo ya kitoto. Mzee Karume alikuwa hana sifa ya woga. Huo ndio ukweli niliokuelezeani mimi kiasi ninavyojua sio kwamba nimehadisiwa nilikuwa nipo, hivyo ndivyo Muungano ulivyokuwa tukafika hapo tulipofika na tukaunganisha nchi yetu. Mwanzo wa matatizo Lakini sasa katika kuunganisha tunaendelea na Muungano, Tarehe siijui lakini mwaka ninaujua yalipoanza matatizo 1970. Mwaka huo (Tarehe 8 Agasti) bado harakati za ukombozi Afrika zinaendelea, Msumbiji bado haijajitawala, jeshi lishakuwa la Muungano, Mwalimu (Nyerere) akatoa maagizo askari vijana wetu wa kijeshi watoke waende Msumbiji kusaidia mapambano. (Mzee Karume) alikuwa hana habari kwamba vijana wa Kiunguja watatoka hapa kwenda Msumbuji kusaidia mapambano, akaja akasikia askari wetu wapo Melini wanakaribia Chumbe, alipopata habari, Mzee Karume akatoa uamuzi

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar
Zanzibar na Wazanzibari katika kupata mamlaka yake kamili ya ndani na nje. Baada ya kusema hayo tunapenda kuwashukuru Wazanzibari wote na nchi nzima ya Zanzibar na visiwa vyake kwa mshikamano mlioonyesha na kwa kutuunga mkono toka mwanzo hadi hapa ambapo kwa kushirikiana kwa pamoja tumeweza kuufikisha umma katika mustakbal mzuri. Ndugu Wazanzibari tunakuombeni tusimame pamoja na kwa sauti moja tuwaunge mkono Wawakilishi wetu wote waliosimama ndani ya Baraza la Wawakilishi kuitetea ardhi na nchi yetu ya Zanzibar. Tunapenda kutoa shukurani za dhati na maalum kwa Mzee Mheshimiwa Hassan Nassor Moyo kwa kuendeleza msimamo wake usiotetereka katika kuitetea Zanzibar na maslahi ya Wazanzibari bila ya kujali itikadi ya chama chake. Tunahitimisha tamko hili kwa kuwahakikishia viongozi wetu wa ngazi za juu na Wawakilishi wote katika Baraza la Wawakilishi na kila anaesimamia maslahi ya Zanzibar wakae wakijua kuwa umma wa Kizanzibari pamoja na osi zote na viongozi wote

kwamba vijana warejeshwe, kweli wakarejeshwa, siku ileile Meli ishaka Chumbe, ikarejea Unguja. Mwalimu akapata habari kwamba wale Askari wako wale uliotoa kwamba waende M s umbiji w amer ejes h w a, na nani? Na Makamu (Mzee Karume). Mwalimu zikampanda kwa nini mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu, Mzee Karume akapigiwa simu hapa, kwamba Mwalimu anataka kuonana naye. Ikaletwa ndege hapa, Mzee Karume akaenda akapokelewa kule, na aliyempokea uwanja wa ndege alikuwa Songambele, (Mustafa) akiwa Mkuu wa Mkoa pale, moja kwa moja mpaka Ikulu, kufika pale anamkuta Mwalimu sharubu zinacheza na Mzee Karume naye akapandisha sharubu zake. Sheikh vipi tena mbona nasikia askari wangu umewarejesha.

Inatoka Uk. 11

watakuwa pamoja nao katika kuipigania nchi yetu. Iwapo Wawakilishi wetu wataendelea kutishwa na kufedheheshwa, basi tuko tayari kuitisha mkusanyiko wa amani (sit-in) nchi nzima utakaomalizikia Baraza la Wawakilishi kwa lengo la kuwaunga mkono na kuwalinda Wawakilishi wetu wenye kuitetea Nchi ya Zanzibar yenye hadhi zake zote za Kitaifa na Kimataifa. Tunatamka wazi kuwa tuko tayari kuwatetea Wawakilishi wetu na kulilinda Baraza letu la Wawakilishi ambalo ni chombo cha kisheria chenye kusimamia matakwa na matilaba ya wananchi wa Zanzibar bila ya kujali vyama vya kisiasa. Na tunauthibitishia ulimwengu kuwa tutalinda amani na utulivu wa nchi yetu na hatutowapa mwanya maadui wa nchi ya Zanzibar kututia ndani ya mtego wa kuvuruga neema ya amani na mfungamano baada ya Allah Subhana wa Taala kuiokoa Zanzibar baada ya nusu karne ya tina baina ya ndugu wa nchi moja. Wabillaahi Tawq. . AMIR: Farid Hadi Ahmed Msemaji Mkuu wa Umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Zanzibar. NAKALA: Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Spika na Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Waziri wa Katiba na Sheria Kamishna wa Polisi. Viongozi wa Dini na Jamii. Vijana wa Umoja wa Kitaifa (Wanafunzi wa Vyuo Vikuu). Mabalozi na Wawakilishi wa Nchi za Nje. Waandishi na Vyombo vya Habari. Viongozi wa Vyama vya Siasa.

16
Na Abu Yusuf
KUNA watu wengi duniani huwa wanaumwa na magonjwa mbali mbali isipokuwa wanajijuwa kuwa wanaumwa, na wengine kwa bahati mbaya huwa hawajijui kama wana ugonjwa. Na ubaya zaidi ni pale unapomwambia kuwa ndugu yangu una ugonjwa, basi huwa mkali kama pilipili. Anahisi kumwambia yeye ni mgonjwa kama umemdharau na kumshusha hadhi. Ama wengine unapowaambia kama wana ugonjwa, hufurahi na kukushukuru kwa kuwa umemzindua na haraka huanza kutafuta tiba. Tatizo kubwa zaidi kuliko yote ni kuwa wengi katika watu hudhania ugonjwa unakuwa ndani ya mwili tu na kusahau kuwa hata moyo (nafsi) una magonjwa yake kati ya hayo ni: Chuki, hasadi, choyo, ubaguzi n.k. Kuna mzee wetu mmoja naye tunahisi ana ugonjwa wa ubaguzi wa rangi na dini. Hayo yanadhihirika katika makala yake aliyoandika katika gazeti la RAI la Alkhamis 7-14 Juni 2012 kwenye ukurasa wa 8 yenye kichwa cha habari kinachosomeka: W A N A O V U N J A M U U N G A N O WA N A R E J E S H A USULTANI? Nashindwa kumuelewa mzee wangu anaposema maneno hayo anakusudia nini, kwani maneno kama haya na mfano wa hayo kama vibaraka, wanatumiwa, hawaitakii mema Tanzania, wanataka kurudisha ukoloni n.k. Kwa kweli maneno kama haya walikuwa wanaweza kuyatumia kwenye miaka ya mingi iliyopita lakini kwa karne hii si ya kudanganya watu kwani ni wakati wa utandawazi na ambao kila kitu kinafahamika ukiziba dirisha moja watu wasichungulie kuna madirisha 20 yapo wazi ambayo wewe huyajui na watu. Sasa kusema wanaovunja muungano wanarejesha usultani labda tumuulize mzee wetu na wale wenye fikra kama yeye, maana inaonekana amekula chumvi nyingi na anajua mengi anaweza kutusaidia kupata jawabu la suali letu. Anaposema kurudisha usultani anakusudia masultani wenyewe ni : Watoto, wake, mashemegi wa: Hayati Abeid Amani Karume, Ali Hassan Mwinyi, Khamis Darweshi, Ali Muhsin, Ibrahim Amani na Pili Khamis. Au Hassan Nassor Moyo, Amani Abeid Karume, Ali Abeid Karume, Said Bavuai, Yussuf Himid, Said Washoto, Rashid Abdallah, Hasnuu Makame na Mtoro Rehani. Au anakusudia nani? Maana hao tuliowataja shemeji zao wake zao na watoto wao ni Waarabu na

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

watoto hao wajomba zao ni Waarabu ambao wewe unaowaita masultani. Ama kama umekusudia watoto hao ndio masultani wenyewe kwa hivyo wasipewe madaraka kwa sababu mama zao ni Waarabu bali wapewe madaraka watu waliotoka Tanganyika hilo unajisumbua kwani Wazanzibari halisi hawatizami hilo sasa hivi. Wao wanatizama maslahi ya Zanzibar bila ya kubaguana kirangi au kikabila, na inaonekana hicho ndio kinachowauma wale wenye fikra kama za Mzee Halimoja, kuona kwa nini Wazanzibari wamekuwa kitu kimoja hawakubali kugawiwa mapande ili watawaliwe!! Jambo lingine ambalo limepotoshwa kwenye historia inayoandikwa na wenye ugonjwa wa ukabila ndani ya nyoyo zao wala hawalizungumzi ni kuwa walioshiriki mapinduzi s i Wa a f r i k a w a l i o t o k a Tanganyika na Uganda na Kenya peke yake, bali Waarabu walishiriki katika mapinduzi hayo au labda mzee wetu ana ugonjwa wa macho unaoitwa color blind ambao humfanya mtu aone vitu vyote ni vyeupe au vyeusi, basi inawezekana mzee wetu huyu yeye haoni rangi nyengine isipokuwa nyeusi tu. B a a d h i y a Wa a r a b u walioshiriki mapinduzi hayo kwa namna moja au nyengine ni: Ali Mahfudh, Ali Sultan Issa, Salim Ahmed Salim, Humoud Albarwaniy, Amour Aldugheishy, Amour Aldugheishy na Salum Rashid. Wengine ni Ahmed Badawiy, Hamed Hilal, Khamis Abdallah Ameir, Biubwa Zahor, Salim Saleh, Hashil Albusaidy, Mohammed Said Mtendeni, Abdurrahman Babu, Haroub Mohammed Salum, Salim Saleh na wengine wengi waliokuwa katika chama cha UMMA PARTY. Kwa hivyo kutokea kwa watu wakaipotosha historia na kudai ni Waafrika tu ndio walioshiriki mapinduzi ni kuigeuza historia juu chini, na kudanganya watu wasioujua u k w e l i , i k i w a Wa a r a b u walishiriki mapinduzi ya kumtoa Sultani kwa nini iwe dhambi na kosa kwa Mwarabu huyo huyo akisimama na kutetea maslahi ya Zanzibar na Wazanzibari? Kwa nini iwe nongwa kwa watu wa Tanganyika pindi Wazanzibari wenye rangi nyeupe wakisimama kutetea maslahi ya nchi yao? Kwa nini iwe chuki kwa Mapadri na Maaskofu wa Tanganyika pindi wakiona Wazanzibari wanatetea maslahi yao? Hivi wamsubiri nani atakayekuja kutetea maslahi yao kutoka Tanganyika? Wakati wao ndio walioimeza Zanzibar? Hapo siku za nyuma mzee

Halimoja mgonjwa asiyejijua


wetu huyu Yusuf Halimoja aliwahi kuandika makala akimuunga mkono mmoja katika ya waanzilishi wa kimoja kati ya vyama vya upinzani, aliposema kuwa tume ya kukusunya maoni kuhusu mabadiliko ya katiba ina udini kwa sababu Waislamu ni wengi kuliko Wakristo. Hapa ndipo tunaposema kuwa mzee wetu bado anasumbuliwa na dhambi za udini, kwa sababu Waislamu siku zote wanapiga kelele kuwa katika serikali ya muungano kuna udini na wanatoa data za uhakika, ila hutukumsikia akiunga mkono maneno yao hayo, tunamwomba mzee wetu na wale wenye maradhi kama hayo wasijaribu kutoa kibanzi kilicho kwenye jicho la jirani wakati katika macho yao mna maboriti ! Tunamwambia mzee wetu aangalie idadi ya Wakristo wapo wangapi na Waislamu ni wangapi katika sehemu zifuatazo halafu atwambie nani wana udini Tanzania: Mawaziri, Manaibu wao, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Mahakimu, Tume ya

NECTA n.k. Toka nchi hii imepata uhuru, imepata kuwa na Wakurugenzi wa Mashitaka 11 (1961 hadi 2012). Jina la Muislamu linatokea mara moja tu. Kwa upande wa Mwanasheria Mkuu, kumekuwa na wanasheria wakuu 7 na manaibu 11 toka 1961 hadi 2012 ambapo haijawahi kutokea kuwa na Muislamu katika nafasi hiyo. Asisahau pia lile suala la MoU ambao ni mkataba wa maridhiano baina ya kanisa na serikali wakati wa ambapo serikali itatoa mgao maalum wa pesa kwa ajili ya kuyapa makanisa yajiimarishe. Jee hizo pesa wanazopewa Makanisa si kodi za Watanzania wote wakiwemo Waislamu wakiwemo Wazanzibari? Inawezekana mtu akasema ndio wanapewa, lakini wanaosoma na kutibiwa katika Vyuo na Mahospitali hayo ni watu wa dini zote bila ya ubaguzi. Tunasema sawa kwanza: Nani aliyewapa

Serikali kutiliana mkataba na Wakristo ili wapewe Mgao maalum katika bajeti ya Serikali ambayo inatokana na kodi za wananchi? Ingelikuwa Waislamu ndio waliofanya hivyo Tanzania pangelikalika kutokana na makelele ya Wakristo? Pili faida inayopatikana katika Mashule na Mahospitali hayo wanaipeleka Serikalini au wanatumia Makanisa kujiendeleza mambo yao? Vi l e v i l e p e s a h i z o wanazopewa Makanisa kwa nini zisingetumika kwenye kuziboresha hospitali za serikati na kuwaongezea madaktari mishahara au kuboresha mashule na vyuo vya serikali na kuwaongezea mishahara walimu? Vile vile asisahau kuangalia pesa za kodi za wananchi zinavyotumika kupambia maofisi ya serikali katika siku za Krismas na katika sherehe za kikristo. Jee huo si udini mbona mzee wetu hauzungumzii ? Kwa kweli yapo mengi mfano wa hayo ila tutosheke na hayo kwani lengo letu si kuelezea udini katika Tanzania b a i n a y a Wa i s l a m u n a Wakristo. Jambo hilo linataka makala yake maalum.

Jumuiya ya Kuhifadhisha Quraan Tukufu Tanzania na Tanzania Muslim Hajj Trust

MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR`AN TUKUFU YA KIMATAIFA


Mashindano hayo yatashirikisha Nchi zifuatazo:- Nigeria, Yemeni, Misri, China, Kenya, Filipino Sudan, Uganda, UAE, Oman, Uingereza na Afrika Kusini. FAINALI KWA WASICHANA: Jumamosi tarehe 11 Agosti 2012 saa 3:00 asubuhi. UKUMBI: Starlight Hotel Hall (Waalikwa wanawake ) FAINALI ZA WAVULANA: Jumapili tarehe 12 Agosti 2012 saa 3:00 asubuhi UKUMBI: Diamond Jubilee Hall (Waalikwa wanaune na wanawake) Kwa mawasiliano zaidi, Barua pepe: info@quran.or.tz Tovuti: www.quran.or.tz Changia Kuendeleza Kuhifadhisha Qur`an tukufu Tanzania. Wabillah Tawiq

Wanawaakaribisha waislam wote katika

17

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Waislamu watatumiwa mpaka lini?


ni sehemu ya mfumo kamili wa kutoa haki na kutekeleza sheria za nchi hii. Wanapinga kabisa nchi hii kuwa mwanachama wa OIC wakati kama inavyojulikana Baba Mtakatifu Papa wa Vatican anamuwakilishi wake hapa ambaye anahudhuria mikutano ya maaskofu kupanga mipango ya maendeleo yao nchini humu. Mipango hiyo ikiwemo ya kuendeleza elimu na afya. Huduma muhimu ambazo Serekali ya Tanzania inachangia marudufu. Hii maana yake ni kuwa huyu muwakilishi wa Papa ana sauti kubwa katika maendeleo ya nchi hii ambao pia ina wananchi wasio kuwa Wa K a t o l i k i . N d i o h a w a wanaodanganya wakuwaalika Waislamu ati kufuturu nao. Hilo haliwahusu WaKatoliki tu peke yao. Palipotokea rabsha kule Zanzibar makanisa ya bara yalijitokeza kwa nguvu sana kuwalaani watu waliosemekana kuwa walichoma moto makanisa. Lugha iliyotumiwa na hawa viongozi wa makanisa ilikuwa kali sana dhidi ya Waislamu wote na Imani yao. Haikuonyesha hali ya uraki hata kidogo, hakika uhasama ulionyeshwa wazi wazi. Hilo linaweza kuwa hivyo kwa sababu hawa viongozi wa makanisa wanafahamu sana kuwa Uislamu ni dini ya amani na hivyo kama kuna waumini wanafanya fujo yeyote hilo ni lao wenyewe hao wanaojiita Waislamu. Lakini ni Uislamu uliokuwa ukishambuliwa na hawa viongozi wa dini zisizokuwa za Kiislamu. Kweli hawa wanaweza kuwa ni watu ambao wanaweza kujumuika na Waislamu katika kufuturu kwa dhati bila kuwa na unaki nyuma yake? K w a w a l e Wa i s l a m u wanaohudhuria hafla hizi za futari hivi kweli hawafahamu kuwa ni hao wanaowaalika ama kushirikiana nao ndio hasa wanaoendeleza MfumoKristo nchini humu ambao hakika unaotunga na kutekeleza zile sera za dhulma ambayo wao Waislamu wamekuwa wanalalamikia siku nyingi. Inakuwaje Muislamu unashirikiana nae katika dhifa ambayo ina asili ya Uislamu wakati huo huo akiondoka hapo yuko tayari kuhujumu maendeleo ya hao Waislamu. Pia Waislamu wa Tanzania wafahamu kuwa wao na dini yao ni vitu ambavyo havina thamani mbele ya Mkristo aliyeiva baada ya kupikwa na mafundisho potofu yanayo tolewa na viongozi wao. Huko nyuma katika safu ya gazeti hili ni kulikuwa na makala ambazo zilitoa taarifa ya mafundisho wanayopewa hasa Wakatoliki katika kijitabu kiitwacho DINI MBALI MBALI NA UTUME WETU ambacho kinatoa uwongo mwingi juu ya Uislamu na Waislamu. Pia Waislamu watafute kijitabu kingine kilichoandikwa na Kanisa Katoliki kinachoitwa L AW G L O S S A RY O F ISLAMIC TERMS IN SWAHILI kilichoandikwa na Dr Jam Knappert na kupigwa chapa Peramiho. Kwa mfano anasema kuwa Iran ni POLYTHEISTS AND SINNERSTHEY W O R S H I P H U S AY N (Staghfurullah) (page 9). Uwongo kama huu unashikwa na waumini wa makanisa na kuleta dharau juu ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla. Hawa ni watu wakushirikiana katika futari kweli? Unaki wa ukarimu huu wa futari inaonekana katika njia mbili. Moja ni kwamba aghlab wale wanaoalikwa si wawakilishi wa Uislamu na Waislamu nchini humu. Uwakilishi hauwezi kuwa kamili kama viongozi kama vile Sheikh BaSaleh, Sheikh Kilemile na hata Sheikh Issa Mohamed Issa na Sheikh Ponda Issa Ponda hawamo katika orodha. Ukweli ni kwamba hawa ni katika wale hakika wanaowakilisha maoni na hisia za Waislamu nchini humu. Inajulikana kuwa hawa maadui wa Uislamu nchini hawataki kukubali kuwa BAKWATA sio wawakilishi wa Waislamu ni hawa ambao wamekuwa kigingi cha maendeleo ya Waislamu ndio wanatambuliwa na wale wanaotekeleza dhulma dhidi ya Waislamu. Pili ati baadhi ya hawa wasiokuwa Waislamu wanahudhuria haa hizo huku wamevaa kanzu na baraghashia!!
Inafahamika kuwa watu ambao hilo ni vazi lao la kawaida hudharauliwa sana kama ni watu ambao hawakusoma na hawana ustaarabu wa Kimagharibi ambao kwa mawazo ya wengi ndio tu ustaarabu unaokubalika. Pia hivi ni lazi ma pawepo na kamera

Na Khalid S Mtwangi
KWA wale wanaofuatilia kwa karibu mienendo ya Waislamu kwao haitakuwa mara ya kwanza kwa swali hili kuulizwa. Yaani mpaka lini Waislamu wa nchi hii watakuwa ni watu wa kutumiwa kama chombo cha kufanikisha haja na madhumuni ya watu wengine tu? Huko nyuma Ustadh Mohamed Said hakuweza kuvumilia na aliliweka swali hili hadharani katika safu za gazeti hili; kweli imekuwa ni siku nyingi kidogo sasa tangu alipoliandikia swali hilo. Lakini inaelekea jibu na wala jawabu hayajapatikana. Hili limejitokeza zaidi na kwa kasi mwezi huu mtukufu wa Ramadhani pale inaonekana dhahiri kuna watu wanaowadanganya Waislamu kuwa wao ni ndugu zao na wako pamoja kwa kila hali. Huu ni uwongo mtupu. Itakumbukwa kuwa huko nyuma Mabalozi wa nchi za Magharibi, hasa Marekani na Uingereza, walijitoa wazi kwa kuwakaribisha baadhi ya Waislamu ati waende kufuturu kwao wakati wa swaumu ya mwezi wa Ramadhani. Wasomaji watakumbuka kuwa ni wakati huo ndio mataifa haya makubwa yalikuwa yamekazana kabisa kuwauwa Waislamu wasiokuwa na hatia yoyote huko Iraq na Afghanistan. Wale Wazungu wenzao walowezi wa Israel wakifurahia kuwauwa wananchi wa Palestine huku wakiikalia nchi yao kwa kutumia kila aina ya silaha. Miaka miwili hii ya karibuni kwa sababu zinazoweza kufahamika haya mataifa makubwa yamesitisha hadaa hiyo, labda tu wameacha kujitangaza hadharani kuwa bado wanawateka akili baadhi ya Waislamu ili wawatambue kuwa ni maraki wa Waislamu hata kama wanaendekea kuwauwa Waislamu wenzao huko Afghanistan. Labda inawezekna kuwa baadhi ya wasomaji wanaweza kuelewa vibaya pale huu uuite ukarimu wa ndugu wasio Waislamu wakati huu wa mfungo wa Ramadhani. Hakuna haja kabisa ya kuzua uhasama. Hilo litakuwa jambo geni kwa Waislamu wa nchi hii kwani tangu huko nyuma Waislamu wa nchi hii wameonyesha ukarimu wa hali ya juu kabisa katika mahusiano yao na wale wasiokuwa Waislamu. Lakini hawa wanaofika hata kuandaa futari hakika ni wanaki wa hali ya juu kabisa. Kwanza kiria ndio hao walio mstari wa mbele kupinga kabisa Waislamu wasipate nafasi ya kutekeleza ibada zao muhimu. Wanapiga vita kabisa kuwepo kwa Mahakama za Kadhi yakiwa

TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA INAWATANGANZIA WAISLAMU WOTE SAFARI YA HIJA KWA GHARAMA YA DOLA 4450 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWA AWAMU (KIDOGO KIDOGO). GHARAMA YA (KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU. MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMA ZIFUATAZO: NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI (KWA NGEGE YA EMIRATES) MALAZI MAKKA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 18 TU MPAKA MASJID HARAM. MALAZI MADINA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 5 TU MPAKA MASJID NABAWY USAFIRI WA BASI KATI YA JEDDAH MAKKA, MAKKA MADINA USAFIRI WA UHAKIKA WA BASI MASHAIR (MINA,ARAFAT, MUZDALIFA) CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA MWENYEWE (BUFFET) NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NA WANAWAKE, GALONI LA LITA 10 MAJI YA ZAMZAM KUCHINJIWA MNYAWA WA UDH-HIYA, ZIYARAH SEHEMU ZOTE MAKKA NA MADINA KHIDMAT ISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZA MAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NA MASJID NABAWY). SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZO KWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMADO) NA AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN (ZULLY) VIONGOZI WENYE UZOEFU WA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUSIMAMIA MASUALA YA USAFIRI. LENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZA IBADA YAKE INAVYOTAKIWA.DAKTARI ATAKUWEPO KATIKA MSAFARA NA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANA WAKATI WOTE WA SAFARI. KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJI WASILIANA NA: SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA NAMBA YA SIMU 0715 915 008, 0784 915 008 SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545 AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020, 0713 530 036, 0786 411 020 AL-HAJJ HAFIDH SALIM 0655 616 623, 0682 535 319 SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA 0715 985 413 AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED 0789 373 222, 0779 786 786 AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI WA QIBLATAIN - 0715 210 666 ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALA NA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBA YA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513, 0655 125 513 MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (AHMADO)- 0715 372 776, 0773 372 776 DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSU RUGEIYAMU 0754 334 400, 0786 293 901 DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H. ALLIY 0713 677 683 MOSHI: IMAM MSIKITI WA SUNNI MAULANA DOGO 0754 918 977 AU AL-HAJJ OMAR AHMED FARAJ 0784 476 220 MPANDA: AL HAJJ HEMED SALUM -0784 838 945 MWANZA&DAR: Dr. ABDULKARIM MAMBO SALEH (DAKTARI WA DAWA ZA KISUNNA) 0773 594 334 MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJ MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573 KIGOMA: AL-HAJJ ABASSI ISSA NYOTA 0688 154 004 TANGA: HAJAT ZAINAB MOHAMED 0713 416 454 HANDENI: AL HAJJ MOHAMED ADAM HAJEE 0784 705 750 KATIBU MTENDAJI MUHSIN MOHAMED HUSSEIN 0784 /0715 /0774 786 680, 0767 876 680

HIJJAH NA UMRAH

za television na magazeti kila panapokuwa na kukaribisha kula futari? Kujionyesha na kujigamba huku si katika madili ya Kiislamu! Pamoja na hayo yote ni muhimu kusisitiza kuwa pasiwepo na

uadui kati ya Waislamu na watu wa dini zingine hasa Wakristo. Waislamu wanatafuta haki tu sio upendeleo. Kuna Waislamu wengi (ikiwa pamoja na muandishi huyu) ambao wana ndugu waumini wa madhebu za Kikristo. Hakika ni khulka ya Waislamu kushirikiana na wananchi wenzao katika mambo mengi na ndio maana nchi hii ina sifa ya amani. Pengine lau kama ile dhulma wanayopitishiwa wao Waislamu ndio ingekuwa wanayodhalilika hao wasiokuwa Waislamu labda sifa ya nchi hii ingekuwa ya aina nyingine. Ta f a d h a l i n i Wa i s l a m u msikubali kutumiwa kila siku kwa manufaa ya wale wanaendeshao dhulma dhidi yenu. TUAMKE!!!

MALIPO YAFANYE KWA KHIDMAT ISLAMIYA CHARITABLE SOCIETY BENKI YA NBC (MATAWI YOTE TANZANIA) AKAUNTI NAMBA 0211 0500 3194 KWA DOLA ZA KIMAREKANI AU KATIKA OFISI YETU ILIYOPO MTAA WA MAFIA DAR ES SALAAM
OFISI YETU IPO MTAA WA MAFIA, TUNATAZAMANA NA MSIKITI WA MANYEMA Namba ya Simu 0655 409 135 (TIGO), 0684 409 135 (AIRTEL), 0713 986 671. Barua pepe (E-Mail) hajjkhidmat@gmail.com , Tovuti (Website) www.khidmatislamiya.com Peace Travel & Tours LTD, ambayo ipo chini ya Khidmat Islamiya ni kampuni inayouza tiketi za safari ya ndege kwenda sehemu yeyote duniani na pia ni kampuni iliyosajiliwa rasmi na Serikali ya Saudia kushughulikia viza za Umrah kwa mtu mmoja mmoja, familia au kikundi.

18

Yasiyojulikana Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar


Na Mohamed Said

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

NI kweli kabisa kuwa Zanzibar ni visiwa kidogo lakini kuna tafauti kubwa baina ya visiwa vya Zanzibaar na visiwa vya Ukerewe katika Ziwa Victoria, au hata visiwa vya Maa au Kilwa. Zanzibar ina historia ndefu na jiograa pana sana yenye sifa ya dola yenye kujulikana duniani. Dola ya mwisho ya Zanzibar ilikuwa ni Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo na udogo wake wote ni nchi, pekee pamoja na Tanganyika, ilioshiriki katika jaribio pekee la umoja wa Waafrika barani Afrika. Suala, ni kweli Wazanzibari walipindua tarehe 12 Januari 1964 au mapinduzi yao yalianza walipokutana Rais Amani Abeid Karume na Maalim Seif Sharif Hamad Ikulu ya Zanzibar, tarehe 5 Novemba 2009? Kwa kipindi kirefu historia ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa ni ile historia rasmi ambayo imeathiri historia nyingi Afrika. Viongozi wa Afrika wanapenda ile historia itakayowakweza na kuwaonyesha wao katika mwanga wa kupendeza. Vinginevyo historia hiyo haitakiwi. Wazalendo wenyewe hawakuwa na hamu ya kuandika historia hii na watu wa nje walioandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar hawakupata kuifanyia haki historia ya Zanzibar labda kwa ugeni wao na kwa kuyaamini maelezo yaliyokuwa wazi kwa wakati ule, mfano mkubwa ukiwa ni kule kuamini kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na makomredi wa Umma Party. Hapajakuwapo udanganyifu mkubwa katika uandishi na utati kama huu. Dkt Ghassany amekiweka chano uwanjani bila kawa. Akizungumza na Abdushakur Aboud wa Sauti ya Amerika Dkt Ghassany amesema kuwa historia ya Zanzibar ni historia ya kujijuwa maisha yake akiwa mjukuu wa babu wa mababu Muomani na mabibi wa Kimanyema na Kimwera mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika. Hii kwa hakika ndiyo historia ya wananchi wa Zanzibar. Ni tabu sana kumpata huyo Muarabu Zanzibar kila umuonae Muarabu basi ana mjomba na shangazi Mwafrika. Maadui wa Zanzibar wakiweka mkazo katika ubaguzi wa rangi na kuwafitinisha Wazanzibari. Ukweli huu ndiyo chanzo cha matatizo yote yaliyoikumba Zanzibar toka vyama vya siasa vilipoanza katika miaka 1950 na matatizo yaliyosababisha mauaji ya mwisho yakiwa mwaka 2001. Mohamed Omari Mkwawa Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea urais wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba katika kampeni za uchaguzi katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako

MZEE Mohamed Omari Mkwawa walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa. Mimi kazi yangu ilikuwa kuangalia niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia historia ikijiandika. Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950. Lakini ninalotaka kusema si hili bali ni picha ambayo niliipiga ndani ya nyumba ya Mama Ummie. Picha hii ilikuwa inamuonyesha mzee mmoja wa makamo aliyevaa fulana ya CUF mbele ikiwa na picha ya Prof. Lipumba. Mzee huyu alikuwa amekaa nyuma ya Prof. Lipumba. Kwa wakati ule picha hii haikuwa na maana yoyote kwangu na hata nilipokuwa naitazama mara kwa mara sura yake si iliyokuwa inanivutia bali ile fulana ya CUF aliyovaa ambayo ilikuwa na picha ya raki yangu Prof. Lipumba. Mungu ana mipango yake. Mihangaiko ya kutafuta riziki yakanihamishia Tanga na nikawa karibu sana na baadhi ya viongozi wa CUF na wanachama wake. Sasa hapa ndipo nilipokuja kuonana uso kwa uso na mzee yule kwenye picha yangu niliyoipiga hata kwa wakati ule ilikuwa miaka mingi iliyopita. Jina la huyu mzee wangu ni Mohamed Omar Mkwawa. Ilikuwa katika barza yetu ya kawaida ya kunywa kahawa na kula pweza huku tukijadili historia ya Tanzania ambako s iku moja M zee Mkwawa alinambia, Mohamed nataka nikuambie kitu. Unajua mimi nimehusika sana katika mapinduzi ya Zanzibar? Nilimuangalia Mzee Mkwawa kwa makini. Fikra yangu ya utafiti na uandishi ishashtuka haipo tena usingizini. Mzee Mkwawa aliendelea, Mimi ndiye niliyekuwa nikiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP na wakati wa mapinduzi mie ndiye niliyewavusha Wamakonde kwenda kuipindua serikali ya Jamshid. Sasa moyo wangu ukaanza kudunda kwa nguvu. Naisemesha nafsi yangu, Huyu mzee anajua uzito wa maneno haya? Tuishie hapa. Kuanzia siku ile nikawa sasa namtazama Mzee Mkwawa kwa jicho jingine na heshima yangu kwake ikawa imepanda maradufu. Nilikuwa nimeshatambua kuwa Mzee Mohamed Omari Mkwawa alikuwa mmoja wa wanahistoria waliosahaulika katika historia ya Tanganyika na Zanzibar. Juu ya hayo nilishangazwa na kitu kimoja. Iweje leo huyu mwanamapinduzi wa ASP ambae Abeid Amani Karume alimpa jina la Tindo kwa ujasiri wake amekuwa mstari wa mbele CUF chama ambacho kinanasibishwa na Hizbu hasimu mkubwa wa ASP? Dr. Harith Ghassany Nilikutana na Dr Harith Ghassany mwaka 1999 nyumbani kwake Maskati, Oman. Naikumbuka siku ile kama jana vile. Kanipeleka kwake mwenyeji wangu Farouk Abdulla lakini kabla ya kunipeleka nilikuwa nimeshalisikia jina lake mara nyingi sana pale Maskati kila nikikutana na jamaa wenye asili ya Tanzania jina lake litaibuka. Katika fikra yangu ikanijia kuwa Dkt Ghassany atakuwa ni mtu mzima. Sielewi kwa nini nilipata picha hii. Tulipopiga hodi na akatokea Dkt Ghassany kuja kutufungulia mlango nikapata mshangao mkubwa. Aliyekuwa mbele yangu alikuwa ni kijana mdogo sana tofauti na nilivyodhani. Kwa njia ya utani hata kabla sijatoa salamu. Nikamgeukia Farouk nikasema, Ah! Dkt Ghassany, Dkt Ghassany, Dkt mwenyewe ndiye huyu? Mila na tamaduni za watu wa Pwani wakikutana hazipishani. Maskhara ni dalili ya mapenzi. Dkt Ghassany pale pale alipokea yale maskhara na akajibu,Bwana wangu we wanakutisha bure kwani we ulidhani litakuwa jitu kubwa? Urafiki na udugu wetu umedumu hadi leo na ndipo katika mazungumzo aliponifahamisha kuwa anataka kuandika historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar. Hapo ndipo nilipomjuvya kuhusu Mzee Mkwawa na nikamuomba aje Tanga amuhoji. Kitu kimoja mashuhuri kwa mashujaa wa harakati za siasa katika Tanzania ni kuwa takriban wote wana hali ngumu sana za maisha. Sikujua vyema hali ya Mzee Mkwawa hadi nilipoka nyu mbani kw ake na D kt Ghassany. Utu uzima na udhaifu wa maisha ulikuwa umempiga barabara. Nilimjulisha Dkt Ghassany kwa Mzee Mkwawa na kuwaacha waendelee na maongezi yao. Niliporudi mchana kumchukua Dkt Ghassany raki yangu alinambia nimuache nije jioni kumfuata. Niliporudi jioni nilimkuta Dkt Ghassany amechoka na uso umesawijika. Tukiwa ndani ya gari yangu tunaondoka nikamuuliza kulikoni. Dkt Ghassany akanambia maneno ambayo hadi leo yamebaki kichwani mwangu, Mohamed ufunguo wa kitabu changu anao Mzee Mkwakwa na kama nisingeonana naye utati wangu wote wa kabla ungelikuwa hauna maana yoyote. Dkt Ghassany alikuwa amechukuliwa na Mzee Mkwawa katika safari ya zaidi ya nusu karne. Mzee Mkwawa akimshika mkono kwanza kumpeleka Pemba ambako akiwa kijana wa kiasi cha miaka 25 akifanya kazi ya uashi. Huo ndio ulikuwa wakati wa siasa za ASP na Hizbu zimepamba moto. Mzee Mkwawa alikuwa mmoja wa wachezaji wa ngoma ile hata kama alikuwa anatoka Tanganyika. Dkt Harith akavushwa na kuletwa Pwani ya Kipumbwi na Sakura ambako Mzee Mkwawa alikuwa akisimamia kambi ya mafunzo iliyokuwa msituni ya wakata mkonge wengi wao wakiwa Wamakonde, kambi ambayo ilitoa askari waliotumika kuipindua serikali ya Mohamed Shamte 12 Aprili 1964. Dkt Ghassany hakuwa amejitayarisha kwa haya. Alishangazwa na uwezo wa kumbukumbu wa Mzee Mkwawa, akitaja majina na mahali na akirudia mazungumzo

neno kwa neno kati yake na maofisa wa serikali ya Tanganyika kutoka vyombo vya usalama waliomtia katika operesheni maalum ya kuipindua Zanzibar kutoka Tanganyika. Majina ya Abdulla Kassim Hanga, Jumanne Abdallah, Ali Mwinyi Tambwe, Victor Mkello, Oscar Kambona na wengine yakawa yanadondoka moja baada ya lingine. Taarifa hizi ndizo zilizommaliza Dkt Ghassany na kumsawajisha uso. Mimi binafsi nilipigwa na butwaa. Nilibaini kama alivyobaini Dkt Ghassany kuwa Mzee Mkwawa alikuwa hazina na tulikuwa tumevumbua mgodi wa dhahabu. Kazi yetu sasa ilikuwa kuchimba tu. Kumekuwa na uvumi kwa miaka mingi katika duru za wanasiasa wapya na wa zamani na katika wanafunzi wa historia ya Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Ali Mwinyi Tambwe alihusika sana katika kupinduliwa kwa serikali ya Zanzibar lakini hakuna aliyejuwa ni kwa kiwango gani na alihusika vipi. Lakini zito ni kuwa yeye mwenyewe akiudhika sana mtu akimuuliza habari zile. Kwa nini ilikuwa hivyo? Kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru cha Dkt Ghassany kilikuja kutoa majibu. Hakuna binadamu apendae historia yake ihusishwe na mauaji na dhulma na kufutwa kwa nchi yake. Kwa kipindi cha takriban miaka saba Dkt Ghassany alikuwa akija Tanga kwa mahojiano na Mzee Mkwawa na katika kipindi hicho Mzee Mkwawa alitupeleka Kipumbwi na Sakura na kutuonyesha sehemu zile ambazo walikuwa na kambi na wakifanya mazoezi ya kivita na matumizi ya silaha. Mkahawa ambao wale wakata mkonge walikuwa wakila chakula cha usiku kabla ya kuvushwa kwa vyombo vya bahari kwenda Unguja bado upo hadi leo ingawa kwa sasa kijumba kile hakitumiki tena kama mkawaha. Endapo itakuja siku serikali ya Zanzibar itataka kuhifadhi historia ya Mapinduzi ya Zanzibar bila shaka moja ya vitu vitakavyokuwa katika makumbusho ni picha ya hicho kibanda. Victor Mkello Kipumbwi haijabadilika iko kama vilevile iliyokuwa miaka ya 1960. Kipumbwi imebaki vilevile kama kijiji cha uvuvi. Mzee Mkwawa alitupeleka hadi sehemu ambapo bahari imeingia katika kijiji lakini sehemu hiyo imefunikwa na mikoko mingi na vichaka. Tuliingia ndani na kuangalia mandhari ya pale mahali. Hakika pale palikuwa sehemu nzuri ya kujificha. Leo imekuwa sehemu hii ni maarufu kwa watu wa magendo. Mzee Mkwawa alitueleza kuwa hapo ndipo walipojificha na ndipo walipopandia vyombo vyao kwa usiri mkubwa wakati wote wakiwa wamevaa nguo matambara na koa za makuti kama wavuvi. Tanga ilikuwa kituo muhimu cha kufanikisha m a p i n d u z i y a Z a n z i b a r. Haikuwa bure kuwa Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah na Victor Mkello walikuwa Inaendelea Uk. 19

19

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Inatoka Uk. 18 hapo na wala haistaajabishi kwa Dkt Ghassany kutueleza kuwa vinara wa mapinduzi kwa upande wa bara, Mkello na wenzake, walisubiri taarifa za mapinduzi katika mkesha ndani ya osi ya TANU Tanga. Napenda kukiri kuwa sikupata kushiriki kama msikilizaji wa mahojiano wakati wa utati wa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Kazi yangu kubwa sana ilikuwa kufungua milango na kumwendesha daktari. Kwa ufupi kazi yangu ilikuwa kumwekea mwandishi mazingira mazuri ili kazi yake iwe nyepesi. Kwa hakika ilikuwa kazi ambayo na mimi vilevile nilisoma, kujifunza mengi na kupata faida kubwa. Katika haya nakumbuka sakata la kumtafuta Victor Mkello. Leo si wengi wanaomjua Victor Mkello au hata kupata kusikia jina lake likitajwa. Lakini kwa sisi tuliokuwa wadogo tukiwa shule katika miaka ya 1960 Mkello alikuwa hapungui katika magazeti ya Ngurumo na Mwafrika. Mzee Mkwawa ndiye aliyetusaidia kumtafuta alipo. Victor Mkello ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa lile jeshi la Wamakonde lililokuwa na makao yake makuu katika mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi. Bila ya kupata kauli ya Mkello kitabu kisingeweza kuandikika. Ilichukua muda kuweza kumpata. Kwanza tulikwenda Muheza ambako ndiko kwao. Huko tukaambiwa kuwa hakuwapo hapo bali kwa muda mrefu alikuwa Tanga. Mwishowe tulimkuta nyumbani kwake Nguvu Mali. Mkello alikuwa katika kitanda cha mauti. Kisukari kilikuwa kikimla kiwiliwili chake. Hakuwa anaweza kunyanyuka kitandani wala kukaa. Kwa hakika alikuwa anasikitisha. Huyu hakuwa Victor Mkello niliyekuwa namsoma katika magazeti wala yule ambae Mzee Mkwawa alikuwa akituelezea. Mtu mjanja aliepambana na Magiriki wamiliki wa mashamba ya mkonge akitetea haki za Waafrika katika miaka ya 1960. Huyu kwa kweli hakuwa yule Victor Mkello aliyekuwa akisaidiana na TANU na Mwalimu Julius Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika. Hiki mbele yetu kilikuwa kivuli chake. Hapakuwa na wasiwasi wowote Victor Mkello alikuwa akisubiri malaika wa mauti amtembelee na yeye hilo alikuwa akilijua ka. Victor Mkello na Mzee M k w aw a w an amap in d u zi waliofutwa katika historia walitazamana na wakasalimiana kama vile hawakupata kujuana. Jicho la Mkello lilikwenda kwa Dkt Ghassany kisha likaangukia kwangu kisha likarudi kwa mwanamapinduzi mwenzake Mzee Mkwawa. Baada ya utambulisho uliofanywa na Mzee Mkwawa nilihisi woga na wasiwasi kwenye sura ya Victor Mkello. Hakuwa anaamini kuwa Dkt Ghassany katoka Maskati kwa ajili ya utati wa historia na hili lilijidhihirisha alipofunua kinywa kuzungumza. Victor Mkello alikuwa na hisia kuwa alifuatwa kukamatwa kwa vifo vya Waarabu vilivyotokea Zanzibar wakati wa mapinduzi

Yasiyojulikana Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar


ili apelekwe Mahakama ya Kimataifa. Baadae Dkt Ghassany alinifahamisha kuwa jinsi Waingereza walivyomueleza katika taarifa zao za siri ambazo yeye alizisoma London zimeafikiana kabisa na jinsi alivyomuona pale. Waingereza walimsia Mkello kwa kusema kuwa alikuwa bingwa wa kuteleza kama samaki ndani ya maji. Kufupisha maelezo. Ilichukua karibu miaka mitatu kwa Victor Mkello kukubali kuzungumza kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Dkt Ghassany akienda Maskati na kurudi Tanga na kila akienda kwa Victor Mkello, Mkello hakuwa tayari kueleza kile alichokijua kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Kila nilipokwenda na Dkt Ghassany kumuona Mkello hali yake ilikuwa inazidi kudidimia. Sasa alikuwa kakatwa mguu mmoja kwa ajili ya kisukari. Ilikuwa katika hali ile katika siku zake za mwisho ndipo siku moja alipomwambia Dkt Ghassany aje siku ya pili na yeye atazungumza na angependa azungumze mbele ya mkewe ili amkumbushe pale atakapokuwa kasahau kitu. Hapa ndipo ilipo moja ya sehemu tamu kabisa ya kitabu hiki Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Victor Mkello Amiri Jeshi Mkuu wa Mamluki wa Kimakonde alizungumza. Mimi sikushiriki katika mazungumzo yale nilijiweka pembeni ili Mkello azungumze na Dkt Ghassany kwa utulivu. Nilikuwa nimeegesha gari yangu karibu ya msikiti jirani ya nyumba ya Mkello nikimsubiri daktari akamilishe upasuaji mgonjwa apate nafuu. Mwendo wa Dkt Ghassany wa kudunda alipokuwa ananijia pale nilipoegesha gari ulidhihirisha furaha yake. Haukupita muda mrefu baada ya mazungumzo yale na Dkt Ghassany, Victor Mkello akaaga dunia kimya kimya. Hakuna mtu aliyejua kifo chake kama ilivyokuwa vifo vingi vya mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika. Hakuna hata gazeti moja lililotoa taazia yake wala hotuba hazikusomwa kaburini kwake. Mkello aliondoka katika historia ya Tanzania kimya kama jinsi mamluki wake walivyokuwa wakiingia Zanzibar kimya kimya usiku mkuu na kwa siri, mapanga yao makali ya kukata mkonge yakiwa chini ya nguo zao za ndani yakisubiri kuivamia Zanzibar na kuua watu wasio na hatia. Kazi hii kwao haikuhitaji mafunzo kwani mafunzo walikuwanayo muda mrefu katika kazi yao ya kukata mkonge katika mashamba ya mkonge ya Tanga. Pigo moja lilitosha kuangusha chini jani zito la mkonge seuze kiungo cha binadamu. Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru ni kitabu kilichoandikwa kwa staili ya pekee wahusika wenyewe wa matokeo katika mapinduzi kujitolea kueleza kile kilichotokea katika mapinduzi, kabla na baada yake. Kuanzia mipango ya kuangusha serikali ya Zanzibar hadi katika kuwaua wale waliokujakushukiwa kuwa ni maadui wa mapinduzi hadi kukia hata kuweka wazi jinsi walivyoshiriki katika mengi ya kusikitisha kupelekea hata msomaji kujiuliza kwa nini hawa watu baada ya miaka yote hiyo kupita wameamua kueleza yote hayo. Vipi Abdallah Kassim Hanga, Othman Shariff, Mdungi Ussi, Jaha Ubwa, Abdulaziz Twala na wengineo walivyouliwa, nani alitoa amri ya mauaji, nani aliwauwa na katika mazingira gani. Kifo cha Karume mwenyewe kwa mtutu wa bunduki hakikuwekewa pazia na chanzo cha kuamuliwa kuwa auawe ni tofauti ya kilichozoeleka kuelezwa. Karume hakuuawa na wapinga mapinduzi kama ilivyozoeleka kuelezwa katika historia rasmi. Kwa kumaliza tusubiri mapitio ya kitabu hiki na ni wazi kuwa wasomaji watapata mengi ya kuelimisha na kuhuisha. Tunategemea wasomi wa somo la historia watakaopitia kitabu hiki watatufanyia hisani kubwa kwa kuwaleta katika picha wahusika wakuu wa mapinduzi Mwalimu Julius Nyerere fundi mkuu mwenye kishindo kikubwa lakini hakisikiki, mkono wake wa chuma hauonekani, uso wake nyuma ya pazia, Abdallah Kassim Hanga kiongozi hasa na mpangaji wa mapinduzi, Victor Mkello mtumishi wa Hanga na Nyerere bila ya yeye mwenyewe kujua kati ya hao wawili nani aliyekuwa bingwa kumshinda mwenzake katika mchezo mchafu wa siasa ya kuiuwa Zanzibar na Wazanzibari na wengineo. Lakini juu ya hayo yote mipango hii ilikuwa ni ya akina Nyerere, Hanga na Mkello pekee? Dkt Ghassany anaeleza nini kuhusu mkono w a Wa i n g e r e z a , A l g e r i a , M i s r i , Wa c h i n a , Wa r u s i , Marekani na Mayahudi? Nini kilichowasukuma hao wote katika mapinduzi ya Zanzibar? Nini kilimsukuma Nyerere, k u w a p i n d u a Wa i s l a m u walioupigania Uhuru wa Ta n g a n y i k a n a b a a d a e k u w a p i n d u w a Wa i s l a m u walioupigania Uhuru wa Zanzibar na kuendelea kuwadhibiti hata baada ya kuipindua Zanzibar? Nini kilichowasukuma Waingereza na Wamerekani kuachia mapinduzi yafanyike? Lakini kubwa zaidi kipi kilichowasukuma Wayahudi kuingia na kusaidia mapinduzi, ni ile chuki yao ya asili dhidi ya Waarabu au kulikuwa na jengine ambalo liliwatia khofu? Na kwa nini kitabu kiitwe Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru: Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia? Kitabu kina majibu ya haya maswali mengine ambayo bado hayajaulizwa na chemchemu mpya za utati. Dkt Ghassany anastahili pongezi kubwa sana kwa kuinusuru historia ya mapinduzi ya Zanzibar na kuwaamsha Wazanzibari na Watanganyika toka lepe zito la usingizi ili wajitambue na wamjue adui yao. Anastahiki pongezi kubwa zaidi si kwa kukiandika kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru bali kwa kutumia mrengo usiokuwa na mrengo. Huna pa kumuweka Dkt Ghassany na baada ya kumaliza kukisoma kitabu ukaridhika napo. Kama utakiria kuwa kitabu ni cha CUF basi baada ya kusoma mpaka mwisho utavunjika moyo. Kama utamtumbukiza ndani ya CCM basi ataelea. La kama unataka upae nje ya masunduku na mapakacha basi utamuona katulia ndani ya uhuisho wa Zanzibar na Tanganyika/Tanzania Mpya ambayo itafuata mfumo wa Umoja wa Ulaya (European Union) ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru ni ngoma nzito ambayo watu wameanza kuicheza hata mdundo haujaanza kupigwa! Tayari imeshaingia katika rikodi za Hansard za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tayari imeshasikika katika Sauti ya Marekani. Tayari daktari anafuatilia kwa karibu ukweli wa Maridhiano na kuwa kwa mara nyengine tena ukweli wake umeshaanza kupotoshwa na waroho na tayari historia mpya na kubwa zaidi hata kuliko ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964 imeshaanza kuvurugwa. Kwa hivi sasa muamko wa vijana juu ya Muungano ni mkubwa na japokuwa wamekaa kimya kuhusu Mapinduzi, mie naamini kwamba hawataki kuyagusa Mapinduzi kwa sasa ili kutotibua hali ya maelewano ilokuwepo Zanzibar kwa sasa katika kipindi hichi. Hii ni kwasababu Mapinduzi ndo yanayo-define utaifa wa Zanzibar na kwa hiyo Mapinduzi ni jambo nyeti linalogusa moja kwa moja uhalali wa Serikali ya Zanzibar iliopo. Kwa vile bado Serikali ya Umoja wa Kitafa bado ni changa, kuyapinga Mapinduzi kwa sasa sio jambo la busara, kwani kutaweza kurudisha machafuko na kutokuelewana miongoni mwa Wazanzibari. Sababu ni kwamba bado kuna wananchi kadhaa hawajui kiini cha Mapinduzi na kwao Mapinduzi ndio uhuru kama upotoshaji wa makusudi wa kiini cha Mapinduzi hayo unavyoelekeza. Pia kuna baadhi ya viongozi kwa utashi wao wa kisiasa na maslahi yao, kupitia ushawishi walionao kwa wafuasi wao, wataleta mtafaruku pindi watu watakapoyaponda Mapinduzi hadharani na hatimae ni machafuko baina ya Wazanzibari wenyewe kwa wenyewe. Zama za kiboko zimepita Hizi ni zama za duma Mwanauchumi maarufu kutoka Ghana, George Ayittey, anatafautisha baina ya kizazi cha Chita na kizazi cha Kiboko. Kizazi cha zamani ni kile cha kiboko ambacho ni kizazi kivivu na hakiishi kulalamika juu ya ukoloni. Kizazi kipya ni kile cha Cheetah (Duma) ambacho kimeamua kuzikamata hatamu za mustakbali wake ndani ya mikono yao wenyewe, badala ya kuwasubiri kuendeshwa na wanasiasa ambao kivitendo huyaweka maslahi yao binafsi mbele zaidi kuliko maslahi ya nchi na ya wananchi. Kizazi kipya cha duma cha Kizanzibari chenye kukisoma kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! hakitaki

kuzisikia hadithi za paukwa pakawa za Katiba au kero za Muungano. Wakitakacho ni nchi mbili, serikali mbili, na baada ya hapo ndipo wataamua aina ya Muungano wautakao. Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! kimeliamsha Taifa lililolazwa na kwa hivi sasa Wazanzibari wanadai Mapinduzi ya Muungano ambayo yalianza Zanzibar tarehe 5 Novemba, 2009. Suala, ni jee, duma wa Kitanganyika au wa Kitanzania Bara na yeye atadai Mapinduzi ya Muungano na kuanzisha mchakato mpya wa mashirikiano baina nchi mbili huru ya Zanzibar na ya Tanganyika/ Tanzania? Au kiboko cha Tanganyika/Tanzania Bara na wafuasi wao walioko Zanzibar wataendelea kuyalinda mapinduzi yao ya Zanzibar ili kuulinda muungano wenye kutawaliwa na Tanganyika/ Tanzania Bara? Watengenezaji wa filamu Hollywood wana mtindo wa kumaliza senema zao za matokeo ya kweli kwa kueleza katika maandishi yale yaliyowafika wahusika wa kisa kilichotengenezwa hiyo senema. Huonyesha majina na mwisho wa hao wahusika, kama wahai, wako wapi, wamekufa na kama wamekufa ni kwa kuuliwa au kwa amri ya Mungu nk. Katika Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru majina ya wahusika machache ambayo yametajwa katika makala haya yako kama hivi: 1.Mohamed Omar Mkwawa: Yu hai na anaishi Makorola Tanga 2.Abeid Amani Karume: Ameuawa 1972 3. Abdallah Kassim Hanga: Ameuawa 1967/68 4. Mustafa Songambele: Yuhai anaishi Songea. 5. Victor Mkello: Amekufa kifo cha kawaida 6. Ali Mwinyi Tambwe: Baada ya mapinduzi alikuja kuhusika katika mchakato wa kuunda muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Amekufa kifo cha kawaida. 7. Jumanne Abdallah: Alitumikia serikali kwa muda mrefu hadi alipofariki kifo cha kawaida 8. Oscar Kambona: Aligombana na Nyerere na akakimbia nchi mwaka 1967 na kwenda kuishi uhamishoni Uingereza 9. Kuna vigogo kadhaa ambavyo viko hai na kwa sasa wameomba majina yao yahifadhiwe. 10. Kizazi kipya cha duma kitakachokuja kuliunganisha Bara la Afrika kwa kuufuata mfumo wa Umoja wa Ulaya (EU) badala ya kuwangangania mapacha wa Mapinduzi na Muungano ambao wameunganishwa na kutengwa na kitabu cha Dkt. Ghassany, Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!

20

AN-NUUR
20
badala ya kuunga mkono wale wanaotekeleza agizo hilo la Mungu, wewe unalaumu. Ni lazima Waislamu tuwe makini maana hao badala ya kusimamia haki wao wanadhirisha chuki dhidi ya Uislamu. Amesema. Akifafanua zaidi kauli ya

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Gazeti la An-nuur na watendaji wake wanawatakia Waislamu wote Ramadhani Kareem, Ramadhani Mubaraka.

RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR

Mbunge Msigwa kachefua Waislamu


Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU wametakiwa kuwa makini na vyama vya Siasa vinavyoonyesha chuki dhini ya Dini yao na kuviepuka vinginevyo watajitia katika janga wenyewe bila kujijua. Wito huo umetolewa na Maalim Ally Bassaleh, akiwahutubia Waislamu mara baada ya ibada ya swala ya Ijumaa wiki iliyopita, katika Msikiti wa Idrisa, Kariakoo Jijini Dar es Salaam. Mhadhiri huyo maarufu Jijini Dar es Salaam, ametoa wito huo, akikemea kauli aliyoitoa Bungeni Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), aliyehoji uhalali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kupiga marufuku kula na uuzwaji hadharani vyakula sambamba na kuvaa vimini ndani ya ibada ya mwezi huu mtuku wa Ramadhani. Maalim Bassaleh, alisema Mbunge huyo, aliye Mchungaji pia amewachefua Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla, na kuzidi kujidhihirisha kuwa CHADEMA ina siasa za hatari za udini. Mchungaji Msigwa kawachefuwa Waislamu kwa ujumla, kwa kuwa ameonyesha chuki dhidi ya ibada yao, si hivyo tu inaonyesha zaidi kuwa chama chake CHADEMA kinasisa za udini na udini wenyewe ni Ukristo. Alisema Maalima Bassaleh. Bassaleh alisema kuwa Mbunge huyo wa CHADEMA, ameonyesha ni jinsi gani alivyokusudia kuidhalilisha ibada tukufu ya Kiislamu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Alisema, huenda kauli ya Mchungaji Msigwa, ina ajenda ya siri ndani ya CHADEMA na mlengo wao wa kidini, huku akihoji, vipi wakishika utawala wa nchi ikiwa hivi sasa hawapo madarakani lakini vitimbi vyao dhidi ya Uislamu vinaonekana dhahiri. Je wakiwapa kura na kuingia madarakani hali itakuwaje? Huku akinukuu aya ndani ya Biblia zinazoamrisha Wakristo kufunga siku arobaini, alimshangaa Mchungaji huyo wa CHADEMA, akisema alitarajia yeye angekuwa mtu wa kwanza kuunga mkono amri hiyo ya Mungu lakini yeye anakurupuka na kulaumu. Mtu hata dini yako mwenyewe inakuagiza kufunga, leo kwa wadhifa wako wa Kichungaji na Ubunge

Msigwa, ambaye alilazimika kumuuliza Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda, katika maswali ya papo kwa papo, akikosoa amri hiyo.

Mchungaji Msigwa, dhidi ya amri ile ya kulinda Ibada ya Kiislamu Visiwani Zanzibar, Maalima Bassaleh alisema, Mbunge huyo wa CHADEMA alidai amri ile iliyotolewa na mamlaka isiyopaswa, kwa sababu siyo ya kidini bali ingetolewa na mamlaka ya Mufti wa Zanzibar. Alisema, kumbe Mchungaji huyo inaonyesha anaelewa kuna mamlaka ya Mufti na mamlaka ya kadhi, pamoja na kujua hivyo lakini wao (wachungaji) wamekuwa wapingaji wakubwa wa Mahakama ya Kadhi ambayo Waislamu wanaitaka katika njia ambayo ikija itakuwa ni Mahakama kwa ajili ya kuwashughilikia Waislamu tu. Alisema, huo ndio udini kwa kukataa na kuhoji kila jambo linalowahusu Waislamu hata kama linafaida kwao na jamii kwa ujumla. Alisema, hali hiyo pia ya chuki za kidini kwa wachungaji na Wabunge kama hao huwa mstari wa mbele kukataa Tanzania kujiunga na OIC, wakati huo huo wao wanauhusianao wa Vatican na Ubalozi wao umo humu nchini. Lakini, alisema OIC ikifunguliwa milango itanufaisha kiuchumi taifa kwa ujumla bila kujali dini zao, tatizo alidai wao (Wachungaji) wametanguliza chuki na choyo zaidi kuliko maslahi ya Taifa. Mwanzoni mwa mwezi wa Ramadhani, Waziri wa Sheria na Katiba wa Zanzibar, alitangaza kuwa ni marufuku mtu kuonekana anakula mchana wa Mwezi wa Ramadhani hadharani pia alipiga marufuku kufungua hoteli mchana wa mwezi huu sambamba na kupiga marufuku kuvaa vimini kwa wanawake. Hali hiyo ilimgusa Mbunge wa Chadema, Mchungaji Peter

Na Bakari Mwakangwale

Mwinyi ataka waliohifadhi Quran kupewa elimu zaidi


Mungu ili wizi, ubadhirifu katika utawala upungue. Aliwataka wazazi wa Kiislamu kuwachagiza na kuwaunga mkono watoto wao kupenda kusoma na kuhifadhi Qur an, ikae vifuani mwao kisha waiingize katika maisha yao ya kila siku. Aidha, alisema hivi sasa Qur an, inapendwa Duniani kote kwa ile hali ya usomwaji wake na inavyoghaniwa na vijana waliohifadhi kwa ufasaha kama Mwenyezi Mungu alivyoagiza. Alisema, kupitia njia hiyo ya uhifadhi murua wa vijana wa Tanzania, huiwakilisha nchi vizuri na kuitangaza jambo ambalo kwa sasa pia husaidia kuitangaza Tanzania katika ramani ya Dunia. Nimeshuhudia mara nyingi katika mashindano mengi ya nje yanayoshirikisha mataifa mbalimbali ya kuhifadhi Qur an, na Watanzania wamo, na hujitahidi kwelikweli na wanapokosekana huulizwa. Alisema Mzee Mwinyi. Alisema, mbali ya faida hiyo lakini vijana hao pia ni sawa na Qur an inayotembea kwani pindi ikatokea Qur an kuharibiwa au kupotea, hakuna shaka kuwa vijana hawa watakuwa msaada mkubwa kwa kuwa tayari imo ndani ya vifua vyao. Mashindano hayo ya usomaji na uhifadhi wa Qur an tukufu, yaliandaliwa na taasisi ya AlHikma Education Centre, ya Temeke Jijini Dar es Salaam, ambapo jumla ya vijana 40, kutoka katika nchi za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na wenyeji Tanzania, walishiriki katika uhifadhi wa Juzuu moja hadi 30. Kwa upande mwingine, katika mashindano ya kuhifadhi Qur an, yaliyofanyika Kigamboni, akisoma risala mbele ya mgeni rasmi, Ust. Abdallah Idd, alisema dhamira ya Jumuiya ya Waislamu wa Kigamboni ni kuhakikisha wanatengeneza kizazi cha Qur an. Alisema matarajio yao ni kwamba kizazi hicho kije kuweza kusimamia mambo yao kwa kwa haki na uadilifu ili kujenga ustawi mwema katika Uislamu, Taifa na jamii yake. Ndugu mgeni rasmi mikakati yetu ni kuhimiza na kuuzindua umma wa Kiislamu ili sote kwa ummoja wetu tuelekeze nguvu kuziboresha Madrsa zetu na kuwasaidia walimu wa madrasa kupata mahitajio yao muhimu ili waweze kufundisha Qur an na maadili kwa ufanisi zaidi. Alisema ust. Idd mbele ya Mgeni Rasmi Ust. Adam Athuman, aliye Kaimu Mkurugenzi wa Africa Muslim Agency.

MAALIM Ally Bassaleh

VIJANA wa Kiislamu wanaojibidiisha katika kuhifadhi na kusoma Qur an nchini, wameelezwa kuwa ni hazina kubwa ya Taifa hivyo hawana budi kuendelezwa kielimu ili kupata viongozi waadilifu. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ally Hassani Mwinyi, akiongea na Waislamu mara baada ya kuwakabidhi zawadi washindi wa kuhifadhi Qur an katika mashidano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika viwanja vya Sabasaba, Jijini Dar es Salaam. Mzee Mwinyi alisema, vijana hao ni hazina kubwa hivyo ni matarajio ya Umma wa Kiislamu kuwa vijana hao wataendelezwa kitaaluma zaidi hadi kukia ngazi ya elimu ya juu kwa faida ya Uislamu na Taifa kwa ujumla. Hii ni hazina kubwa, tunatarajia wafike mbali kitaaluma wasipotelee njiani, waendelezwe zaidi hata kukia elimu ya juu katika masomo yao, watasaidia kupatikana vijana wenye maadili kiutawala. Alisema Alhaji Mwinyi. Alisema, moja ya faida ya hili lengo la kuhifadhisha Qur ana vijana wetu iwe pia ni kuandaa na kupata viongozi wa umma wanaomuogopa Mwenyezi

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

También podría gustarte